HUYU MZEE NI BALAA! AMLIPUA RAIS SAMIA BILA WOGA, "ANANG'ANG'ANIA UFISADI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2023
  • #TANZANIA: Huyu mzee ni balaa! tazama alivyomlipua Rais Samia bila woga, "anang'ang'ania ufisadi"

Комментарии • 738

  • @user-fs6lp3op1x
    @user-fs6lp3op1x 8 месяцев назад +139

    Mmmmhh tanzania tungekuwaa iviii ingee kuwa safiii saniiiiiii alieee muelewaa mzeee anipee like zanguuuu

    • @kassimsaid1723
      @kassimsaid1723 4 месяца назад

      Chongesheni chengine icho kiti mbao zipo nyingi tu😢😮

    • @rayyahinay-hp7jf
      @rayyahinay-hp7jf 2 месяца назад

      Mwehu tu, huyo anatafuta kura huyo!!!

    • @rayyahinay-hp7jf
      @rayyahinay-hp7jf 2 месяца назад +1

      Kweli huyo achongeshe kiti cha chuma anachosema hakieleweki!!! Anafikiri urais mchezo???

    • @user-cw1mj6yx6y
      @user-cw1mj6yx6y Месяц назад

      Kabisaa ajakoseaa mzeee❤❤❤

  • @ShukuruShaban
    @ShukuruShaban 3 месяца назад +15

    Mzee wangu Mungu akupe maisha marefu uendelee kututetea yaan mpaka nimetokwa na machozi ya furaha❤❤

  • @alfrediaugustino1026
    @alfrediaugustino1026 7 месяцев назад +20

    Yaan Zanzibari mmenyooka Sana muko vizuri Sana .

  • @user-dw9fl5sv2z
    @user-dw9fl5sv2z 8 месяцев назад +39

    Huna dhambi ya unafiki mzee wangu

    • @corrolesscps
      @corrolesscps 2 месяца назад +1

      Tumemchokaaaa, haendeee zakeee

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr 6 месяцев назад +21

    Huyu mzee ndie maalim seif alie bakia daahhhh wanyonge maisha hatunufaiki sababu ni uongozi kauli mbiu daima . Ila mungu . Yuko

  • @johansenerasto5890
    @johansenerasto5890 8 месяцев назад +47

    Huyu mzee anajielewa tumuunge mkono😊

    • @karimkassam571
      @karimkassam571 8 месяцев назад +1

      Hajielewi CHIZI tu

    • @AgnessKabamanywa-sd2dw
      @AgnessKabamanywa-sd2dw 8 месяцев назад +1

      Sawa mzeee

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 8 месяцев назад +4

      @@karimkassam571 musilete mambo ya dini apa samia ameshindwa ajiuzulu!

    • @frankcharles3980
      @frankcharles3980 3 месяца назад +1

      ​@@karimkassam571WEWE KICHWA HASARA NDO CHIZI MZEE YUPO SAWA KABISA

    • @azizauwase9207
      @azizauwase9207 3 месяца назад +1

      Mzee enasema kweli.dini na politic ni vitu viwili viko opposit.kumbuka ukoo wako mama samia tena usitie ubaguzi kwa wanainchi juu uta fail

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 8 месяцев назад +21

    Hongera sana mzee wangu.serikali tatu ndio chaguo la watanzania.Mama samia Rais wangu mpendwa wakati ndio huu wa kuweka historia ya kuruhusu katiba mpya yenye serikali tatu ili zanzibar na Tanganyika zipate mamlaka kamili na ziwe huru.Mfumo wa serikali mbili unainyonya sana zanzibar.

    • @johaiventimothy6583
      @johaiventimothy6583 2 месяца назад

      Unainyonyaje Zanzibar em nifafanulie ili nielewe kidogo

  • @MkeroMkero
    @MkeroMkero 3 месяца назад +9

    ❤❤❤nakupenda sanaa mzeee wambie haooo nakukubali sanaaa

  • @halimamremi5375
    @halimamremi5375 5 месяцев назад +13

    SEMAA BABA SEMAAA AFADHALI MUSEME UKWELI NYIE WAZEE MNALIONA HILOO MUNGU TUSAIDIEEE JAMANII!!!!

  • @lovenessfrancis5547
    @lovenessfrancis5547 8 месяцев назад +51

    Huyu mzee apewe maua yake 🌹🌹🌹mungu akutunze

  • @mwenem8130
    @mwenem8130 8 месяцев назад +35

    Hata huku TANGANYIKA Hafai, unafiki na ubinafsi ndio mkubwa

  • @nasaelmanya1850
    @nasaelmanya1850 8 месяцев назад +34

    Kweli, Hana lolote huyu mama, Tunataka katiba mpya, Okoa bandari yetu...

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn 8 месяцев назад +17

    Sikutegemea madini kama haya kutoka Z'bar! Ila mzee mwenzangu ingefaa uje bara utoe madini kama hayo kwani bara bado kuna watu hawajitambui! Kumbe mama yetu ameongeza deni la taifa kutoka trilioni 60 hadi trilioni 90! Balaa!

    • @Salmakikuli
      @Salmakikuli 2 месяца назад

      Kasema kweli kabisa ila kuja bara unamdanganya atasombwa

    • @user-ku2sr9se2z
      @user-ku2sr9se2z Месяц назад

      Mzee kama. We ni msema kweli tutajie na mazuri yake kwakua umeeleza matakwa yako sio ukweli wako hakuna raisi alietoa ajira nyingi kama mama samia kumbe unataka uongozi wa chama chako hapo mzee umegonga mwamba ccm ni ile ile oooni ileileeee

  • @husseinkiondo7439
    @husseinkiondo7439 3 месяца назад +10

    Nimekupenda sana

  • @user-bz2nd3bm1w
    @user-bz2nd3bm1w 8 месяцев назад +18

    Tungekuwa na wazee hawa nchi hii ingenyoka,tungeheshimiana,ingefika mbali sana bigup sana mzee wangu

    • @karimkassam571
      @karimkassam571 8 месяцев назад

      Mzee mnafiki

    • @hadimznz
      @hadimznz 8 месяцев назад

      Huyu, Mzee mgonjwa sana. hajui nafasi ya Rais wa Tanzania, anazungumza kwenye mkutano wa siasa kama kijiwe cha siasa

    • @hadimznz
      @hadimznz 8 месяцев назад

      Kijiwe cha kahawa

    • @hadimznz
      @hadimznz 8 месяцев назад

      😂😂😂😂wazee wachadema hatukubali tena kuolewa,eeeeeh aaaa kuonewa. ashapiga shishi huyo.

    • @isayashayo4777
      @isayashayo4777 8 месяцев назад +1

      Nimependa apo tumeshindwa kuthibiti wiz wa bandari apo apo unaweza kujiuzulu maana hiyo ni falier

  • @philiplenardsylvester6063
    @philiplenardsylvester6063 8 месяцев назад +12

    Hongera sanaaa Mzee mungu akulinde

  • @ezekielmatondane714
    @ezekielmatondane714 8 месяцев назад +14

    Uko sahihi kabisa huyu mama ni binafisi

  • @user-rt5vq5vc3k
    @user-rt5vq5vc3k 7 месяцев назад +8

    Mungu akulinde baba huja taka kuwa mnafiki SEMA baba

  • @AlvanEdwine-ih4vy
    @AlvanEdwine-ih4vy 3 месяца назад +7

    Lakini akifariki leo,mtamsifu yaan wanadamu hata ungewapa fedha bado watakuraum,mama samia chapa kazi mm nakukubali na pia naziona kazi zako😘😘

    • @sskondopoleani9616
      @sskondopoleani9616 3 месяца назад

      Binadamu Hawaridhiki na wa Hawatosheki, mpaka mwanandani haumtoshi binaadam, point umenena nakupa maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉

    • @user-gb5we7ts9o
      @user-gb5we7ts9o 3 месяца назад

      Msenge wewe

    • @sskondopoleani9616
      @sskondopoleani9616 2 месяца назад

      @@user-gb5we7ts9o Hivi mtu akitoa maoni yake anakuwa Msenge? Sasa wewe tukuiteje?

    • @AlvanEdwine-ih4vy
      @AlvanEdwine-ih4vy 2 месяца назад

      @@user-gb5we7ts9o ukiokoka Mungu ataondoa matusi ya kila namna kinywani mwako kaka

    • @AlvanEdwine-ih4vy
      @AlvanEdwine-ih4vy 2 месяца назад

      @@user-gb5we7ts9o ivo ulivo ukifa unakwenda jehanum ya moto,ningekusihi ungeokoka ukampendeza Mungu kaka

  • @glorykapenja9473
    @glorykapenja9473 Месяц назад +1

    Yaani zanzibari ni sehemu nzuri sana baadaye itakuwa ni tajili sana Mungu ataiinua sana hiyo Zanzibari watakuwa matajiri mno

  • @gosbertrwezahura3645
    @gosbertrwezahura3645 3 месяца назад +4

    Mzee hongera sana. Mwenyezi Mungu akubariki. Tunakushukuru sana tena sana.

  • @stefanomasolwa8979
    @stefanomasolwa8979 10 дней назад +1

    Mzee Mungu akubariki pia Akupe Maisha Marefu Amen

  • @adampetermakombe5654
    @adampetermakombe5654 8 месяцев назад +13

    Namuelewa Sana huyu muzeeee😂😅

  • @user-fq2ut9ep8r
    @user-fq2ut9ep8r 7 месяцев назад +8

    Hongera kwa kututetea wanyonge watanzani.

  • @charlesassey5642
    @charlesassey5642 4 месяца назад +5

    Safi sana watu kama hawa nawapenda sana hakuna kumuogopa mtu , wakimwaga mboga unamwaga ugali wote mnalala na njaa

  • @user-jo8xr8cx4s
    @user-jo8xr8cx4s 5 месяцев назад +7

    Asante baba

  • @steveJkaaya-qt1ih
    @steveJkaaya-qt1ih 3 месяца назад +4

    respect dah sema mzeee wang b mkubwa anafel sana atumuelewi

  • @user-vs2hs6qy3p
    @user-vs2hs6qy3p 4 месяца назад +6

    Ubarikiwe baba🎉❤

  • @user-fk1ne4qk7y
    @user-fk1ne4qk7y 8 месяцев назад +13

    Huyu mzee awekewe ulinzi mkali🙏🙏

  • @johansenerasto5890
    @johansenerasto5890 8 месяцев назад +11

    Huyu ni mzalendo haswa

  • @alexmosha9979
    @alexmosha9979 8 месяцев назад +14

    Kweli watu wamechoka

  • @user-jy8fl1mv8j
    @user-jy8fl1mv8j 8 месяцев назад +5

    eee leo kapata chamoto asante sana mzee mungu akubariki

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 8 месяцев назад +9

    MWENYEZI MUNGU AKULINDE NA HILA ZA CCM BABA YETU.🙏🙏🙏

  • @abdallamasoud7734
    @abdallamasoud7734 8 месяцев назад +10

    😂😂😂 Dah watu wamechoka sana maisha yamekua magumu sana kwa kweli uchumi umezidi kushuka kwa kweli..

    • @thomastarimo
      @thomastarimo 7 месяцев назад

      ana angalia kwao na siyo hapa na akuna mwenye imani na yeye

    • @thomastarimo
      @thomastarimo 7 месяцев назад

      amina amina amina ata engejenga bara bara ya kioo

  • @JamesJasson-dg8lf
    @JamesJasson-dg8lf 8 месяцев назад +12

    Axante mzee wangu.

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 8 месяцев назад +12

    Mzee watu wa aina yako ni wapenzi wa mwenyezi Mungu, utaiona pepo ingawa wanadamu wenye laana watakuchukia. Neno lolote atakalokuja nalo kwenye press na vikosi kazi vyake kuchelewesha katiba ni kinyume cha haki. Wananchi tusikubaliane na ushauri Bali tushauriane wote namna ya kupata katiba sasa.

  • @EmmanuelMakyao-er2nl
    @EmmanuelMakyao-er2nl 8 месяцев назад +4

    Akili hii .na ujasiri huu ni wakipekee sana Mungu akubariki sana

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri Месяц назад +2

    ACHAA UKUBWA JINGA WEWE MZANZIBARI SISI WOTE NI WA TANZANIA ACHA SIASA ZAKINA MBOWE ZAUBAGUZI NA UKABILA

  • @user-tl1nz7qx2l
    @user-tl1nz7qx2l Месяц назад +1

    Safi sanaaaa Asante pepo hilooo!!!!

  • @josephbernadnajiunganisham453
    @josephbernadnajiunganisham453 8 месяцев назад +10

    mzee nimekupenda bre ww ndo mtu wamungu kabisa

  • @zabronjonathan2264
    @zabronjonathan2264 8 месяцев назад +9

    Kweli Watanzania tunataka katiba mpya.

  • @dottondege8869
    @dottondege8869 8 месяцев назад +6

    uko sawa kamanda watanzania tunataka katiba

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc 4 месяца назад +5

    Kweli mama Sikia ujumbe huu,

  • @charlesbarongo2778
    @charlesbarongo2778 8 месяцев назад +26

    Amejitoa mzee wa watu

  • @mohamedkigwehe3561
    @mohamedkigwehe3561 8 месяцев назад +5

    Mama Samia badilika mama asahivi watu tumechoka au mnataka mpaka tutoane damu?😢😢

  • @solutionprovider7155
    @solutionprovider7155 8 месяцев назад +11

    Kumbe tuko wengi,rais hana faida hata kidogo,ila Yeye na familia yake na wapambe wake tu ndio wanafaidi ila Mungu yupo

    • @TeamKRX
      @TeamKRX 4 месяца назад

      Nasikia msago

  • @khelefsalum3803
    @khelefsalum3803 8 месяцев назад +7

    Maneno mazuri sana yanataja kufanyiwa kazi

  • @user-ry1pe3tu5s
    @user-ry1pe3tu5s 6 месяцев назад +2

    Uhiii ukweli mtupu, ,hongera mh Hashim

  • @modrikabdallah
    @modrikabdallah 18 дней назад

    2memchoka wa tanzania wote naa wala habadiliki uyo samia nimwizi2 kwenye taifa le2❤

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 4 месяца назад +3

    Hongera sana msemaji kwa sababu unaongea haki kabisa kwa sababu CCM hawana lo lote bali unafiki mtupu. Huyu samia analea wala rushwa na wezi mtupu. Na huyu mama naye ni mwizi kwa sababu analea wezi watupu na ndiyo wanampamba. Wanao mpamba wezi ni Samia

    • @oswardnshoki1000
      @oswardnshoki1000 3 месяца назад

      Kuwa na SERIKALI tatu ni muhim sana hata mim huwa nafikiria hilo mara kwa mara

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 8 месяцев назад +7

    Huyu Mzee alikua kajificha wapi??!!

    • @Imaniamockgmail
      @Imaniamockgmail 2 месяца назад

      😃🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙏

  • @elizabethnzunda9223
    @elizabethnzunda9223 3 месяца назад +2

    Wewe ni nan ungekuwa ndo mama Samia ungefanya nn

  • @user-mh5mx1kn8j
    @user-mh5mx1kn8j 8 месяцев назад +4

    Haya kwa mjomba hatuyasikia mliufyata Leo kila mtu mwanasiasa achen porojo zenu nyinyi mngelisema miaka miwili nyuma tungeona kwer wanasiasa Sasa upole wa mama umejua kosa heshimuni mamlaka na viongozi waliowekwa na mungu achen porojo zenu

    • @lameckmbele5901
      @lameckmbele5901 8 месяцев назад

      ww huna akili kweli Mungu gani kawaweka hao viongozi? unachopanda ndicho utakachovuna kama hutavuna ww watavuna watoto wako kama watoto hawatavuna vitukuu vyako Biblia imeandka atawabatiliza wana maovu ya baba zao kuwa makini kushabikia dhuruma huko mbele kizazi chako watajuta kuzaliwa na ww mjinga ww waandalie huo upuuzi wako kila ovu linalofanywa litalipwa sawa sawa na ulivyofanya kwasasa furahieni ni kwa muda mfupi sn acha watanzania walio wengi wateseke na udharimu wenu

    • @user-mh5mx1kn8j
      @user-mh5mx1kn8j 8 месяцев назад

      @@lameckmbele5901 roho mbaya inakusumbua mungu akipanga hakuna wa kupangua ndo maana unachuki zisizo na msing amin kwa Imani yako lakin mungu ndo mtoaji utasubir sana kama hajapanga kukupa utabaki lawama tu mungu ndio kila kitu broo anampa amtakaye kwa sababu zake mwenyew

    • @isaacdavid3997
      @isaacdavid3997 8 месяцев назад

      Si kila mamlaka duniani imewekwa na Mungu. Acheni kupotosha watu maana hata ibilisi ana nguvu za kuweka mamlaka za uongozi duniani. Maandiko ya vitabu vitakatifu yalilenga jamii za watu Wenye hofu ya Mungu na si jamii za watu wapumbavu kama hizi za kwetu. Hizi ni serikali za kishetani zenye asili ya kuzimu. Zingetoka Kwa Mungu zingejiepusha na maovu. Eti uongozi wa Mama Samia, Mwigulu, Nape au January umetoka Kwa Mungu? Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa asema Mungu.

  • @MohdSuleiman-fw2un
    @MohdSuleiman-fw2un 8 месяцев назад +10

    Nikwel kabisaaaaaa mzeee

  • @w4058
    @w4058 8 месяцев назад +5

    Wote hawana Imani na Wazanzibar lakini na Wazanzibar wenyewe pia hawajipendi maana wana unafiki Allaah atuhifadhi

  • @vickytorry100
    @vickytorry100 8 месяцев назад +10

    Wewe ndio Waziri wa baadae !!! Respect sana

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 8 месяцев назад

      Kunaanzishwa Wizara ya vichaa.

    • @vickytorry100
      @vickytorry100 8 месяцев назад

      @@hajihassan5433
      Si hao vichaa wa family yako na wewe mwenyewe🤣

  • @AbubakaryMohamedy
    @AbubakaryMohamedy 3 месяца назад +1

    Really my brother msema kwel nimpenz wamungu mungu akusimamie san

  • @nefertitibelinda1146
    @nefertitibelinda1146 2 месяца назад +1

    Asante Sana kwa kutusemea.... Uchawa unaharibu nchi maana hakuna uwajibikaji na waliopo madarakani ni machawa wasio na weledi wa wizara au taasisi wanazopeana...😢

  • @user-nv9to8cq6d
    @user-nv9to8cq6d 4 месяца назад +1

    Ila aliachia huru mashekhe wa zanzibar ,"DOGO ILO" PUMBAVU ZAKO

  • @felixsanga
    @felixsanga 8 месяцев назад +3

    Kila jambo ni "Wakati"A right word spoken in a right time is an "Apple in the golden Plate!Speak Loudly,Makeloud!Parles,parle,Sololar bien!Merci beau coup!

  • @seiftaji7838
    @seiftaji7838 8 месяцев назад +9

    safi sana dawa imemuingia samia hana hofu ya mungu

    • @shubebunyesi542
      @shubebunyesi542 7 месяцев назад

      😂😂 kama vile wewe unahofu yaani kwanini mkishiba hamchukui jembe mkalime na mvua nyingi jamaani uongozi sio lelemama ebu jiangalie wee umeifanyia nn familia yako yaani mambo yote Aya yanayofanyika kila Kona yaani mnataka mnambie amuoni mkiwa mnasafiri mbona mambo yanakwenda au ukiwa na chuki huwezi ona mazuri ya mtu Niwaambie tu kama mmeamua kumkataa bila sababu kataeni kwa mapenzi yenu lkn mama anachapa kazi

  • @HenryKisusi
    @HenryKisusi 5 часов назад

    Safiii sana we Mzee, duh huyu Mzee anafaa sana atuzwe tuzo!
    Mbinafsi sana Samia Suluhu Hassan leo kakumbushwa makumbusho na Wazanzibari wenyewee katiba iko wapi?

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 8 месяцев назад +4

    Bravo MZEE WETU.

  • @user-zg1zf7er3c
    @user-zg1zf7er3c 7 месяцев назад +2

    Hongera sana mauayako❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-kv1mf5rn5o
    @user-kv1mf5rn5o 20 дней назад

    Sema baba nimefurahi sana♥️♥️♥️♥️♥️

  • @tajirilmole3092
    @tajirilmole3092 4 месяца назад +4

    Asante sana baba kweli kabisa hali mbaya samia cjui kama ana watoto

  • @user-iw9zm7zh2u
    @user-iw9zm7zh2u 8 месяцев назад +4

    Mzee kala pilipili kichaa kachachuka😅😅😅😅😅😅

    • @magretomondi8312
      @magretomondi8312 3 месяца назад

      Hahahaaaaa pilipili ki chaa yamwashaaa yuatapika yoteee

  • @khalifasaidi7001
    @khalifasaidi7001 5 месяцев назад +2

    Mnyonge mnyongeni hakiyake mpeni, mama samia tangu ameingia madarakani kapambanapakubwa sana kuihusu zanzibar amehakikisha kero za muungano zimepunguzwa pakubwa kuliko wakatiwowote acha chokochoko

  • @luckynation7747
    @luckynation7747 7 месяцев назад +2

    Nimeipenda kinomaa speech yako mzee

  • @MaikoMkwawa-fk9tc
    @MaikoMkwawa-fk9tc 22 дня назад

    Msema ukweli mpenzi wa mungu mungu akubariki sana

  • @user-jy8fl1mv8j
    @user-jy8fl1mv8j 8 месяцев назад +5

    afadhali umesema mzee wangu hata hafai kuitwa mama huyo ni mhuni tu wakawaida

    • @TeamKRX
      @TeamKRX 4 месяца назад

      Muhuni nasikia pombe msago ndio zako

  • @lanezboy7016
    @lanezboy7016 3 месяца назад +1

    Safi sana tunataka watu kama hawa wenye kusema ukwer

  • @juliusryoba3142
    @juliusryoba3142 8 месяцев назад +1

    Mzee ahsant sana Mora akulinde na akupe afya njema, HUO NDO UZALENDO

  • @heliudjulias7748
    @heliudjulias7748 8 месяцев назад +4

    Huu ndio ukweri ata uku mtaani akubariki wara hatu muerewi cjui ana ongoza vitu gan ni panga pangua arafu mafisadi ndio rafiki zake nape mwigulu na januali makamba hata wana wake wenzie huku mtaani hawa mpendi kama kufa

  • @user-hr2hw9fc9q
    @user-hr2hw9fc9q 3 месяца назад +1

    Mama Samia Tuendelee na KAZI SAFI wacha Mzee Abwatee tuu!!

  • @andrewdirangw8754
    @andrewdirangw8754 3 месяца назад +1

    Thats good freedom of speech

  • @mwankenjatv9330
    @mwankenjatv9330 3 месяца назад +1

    Mzee anaongea ujinga tu anawaza Samia awapendelee Zanzibar akili kisoda huyu😅😂😂😅kumbe anaiwazia zanzibar tu wakt samia ni rais wa Tanzania.

  • @nyemowanyotanjemaudm4360
    @nyemowanyotanjemaudm4360 3 месяца назад +1

    Msema kweli.uwaga nmpenz wa MUNGU 🙏🙏

  • @user-ko8vq9mn8w
    @user-ko8vq9mn8w 8 месяцев назад +2

    Your so clever keep itup

  • @ismaeliZakayo
    @ismaeliZakayo 3 месяца назад

    Ongera mzee tungepata wazee 1000 kama wewe nchi ingenyooka vizuri , Mungu akulinde ,akutunze ,mwombe Mungu sana sana, na uwe makini sana

  • @estambuya3901
    @estambuya3901 8 месяцев назад +1

    Mungu akulinde baba.

  • @BeathaChambo
    @BeathaChambo 8 месяцев назад +2

    Kweli baba nakukubali mzee

  • @cyriakusbaramba594
    @cyriakusbaramba594 24 дня назад

    Mzee Yuko vizuri Sana.
    Tatizo la chadema Kama chadema ni rahisi kukiweka mfukoni njaa ni kali mno.
    Lowasa aliweza Sasa awamu hii sijui itakuwaje 2025 bado VAR inasikilizia

  • @user-eu7jo4lx1c
    @user-eu7jo4lx1c 3 месяца назад +1

    Allahu akbaru hawa ndio watu wanaotafuta pepo ikiwa kwaajili ya Allah

  • @user-pz7zi2bf1w
    @user-pz7zi2bf1w 8 месяцев назад +2

    Tamu sana

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza7450 8 месяцев назад +4

    Huyo mzee ni hazina ya yetu. Anasema ukweli baadaye mtasema mchochezi ila anawachoma .ccm haiwezi kupita hata siku moja sasahivi wanapanga wizi mpya wa kura na katiba kamwe hamutaipata. Hata kwa uchawi muwatowe subutu .vyombo vyote angalia magufuri alikuwa anasafiri vyombo vyote vya usalam.nyerere hajawahi kufanya hivyo

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 8 месяцев назад +2

    wazanzibari tunahitaji katiba mpya bila hivyo samia hujaisaidia Zanzibar

  • @user-gd7tw2ir5b
    @user-gd7tw2ir5b 8 месяцев назад +6

    Ukweli mtumishi wa Mungu uenena ukweli hata sisi wana ngorongoro anatunyanyaza tu na kutafuta sifa kwa waharabu

  • @aminielngungati1487
    @aminielngungati1487 3 месяца назад +1

    This is revolution
    Watanzania tuamke Sasa tunahutaji mabadiliko

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 8 месяцев назад +1

    Good job wa zanzibar nduguzagu

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 8 месяцев назад +1

    Nakupenda sana kakangu, mama jiondoe mapema mama, utaumhuka, yapo yanayokuja.

  • @user-th5fz3dv2b
    @user-th5fz3dv2b 8 месяцев назад +3

    Mhm!! Rudi tu kuwasaidia WENZAKO Watanganyika MBONA tunajiwsza

  • @Time-ev3dw
    @Time-ev3dw 14 дней назад

    Huyu Mzee amenyooka sana namkubali haika anaongea ukweli samia hajaidaidia kabisa Zanzibar

  • @jayson.chanel.9870
    @jayson.chanel.9870 8 месяцев назад +1

    WELL SAID

  • @bakaramourshaaban
    @bakaramourshaaban 8 месяцев назад +3

    Wewe ukipewa unaweza ukakipatia icho kiti zanzibar au unaropokwa tuu

  • @zawadimatunda8914
    @zawadimatunda8914 2 месяца назад

    Big up you my bro ata nikiwa na stress mov zako huwa znanifundsha na kunipa ujasir

  • @annabyekwaso-wt7oi
    @annabyekwaso-wt7oi Месяц назад

    Nilipenda uongozi japo ninaokwenye damu ila nimsalaba,eeeh mum Samia Mungu akutie nguvu na akupe washauri wazuri ktk siku hzi zilizobaki na afya na ulinzi wa kimbingu tu ndo langu.

  • @yokoi3970
    @yokoi3970 8 месяцев назад +1

    Asante sana mzee wangu

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr 6 месяцев назад +1

    Ni kweli kweli huyu mzee hajaongea pumba abadaan

  • @user-vs5ln1ze3q
    @user-vs5ln1ze3q 29 дней назад

    Ase mungu akupe maisha malefu namema❤