Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Mhe Makonda hamna kumbwelambwela Arusha kazi tunaiona mh endele na spana wengi watajifunza kwako nawaona mungu azidi kukubariki. Insha Allah ❤
Miaka mitatu nje ya utumishi kumbe ulikuwa darasani. Hongera mwamba Makonda
Ndg makonda kuna mtu hawezi kujieleza hadharani kwa kushtukuzwa. Mtu ana 59 hawezi jua kila kitu papo hapo
auna uwezo wa kumfukuza kazi mtendaji.mbona unaingilia mamlaka yasiyo yako.makonda badilika
Mweshiwa makonda ata uku sinoni mtaa wa engosingiu kuna kivuko kina ubadhirifu kama cha uko matevesi kilichokuwa kikijengwa na tasafu having kiwango
😮 yaani kweli useme umejenga kitu na kumbe hujajenga?Like serious?
Mungu akuongoze kk watuwenge wanaonewa sana wasaidie
Kamanda hapa Tanzania wapo wawili wa kwanza Makonda wa pili Chalamila hawa wanaojitambua sana wakuu wa mikoa iliyobaki hawafai
Na sillaa basi
Fire fire fire @Makonda chumaaa
Hapo ndipo ccm. Inachafuliwa kwa kuajili ndugu mbumbu waajiliwe wasomi kama hapa gongolamboto bwana afya mwekiti katibukata wa mtaa shida
sᴘᴀɴᴀ ᴢɪᴇɴᴅᴇʟᴇᴇ
Mmmmmm haya bana tutayaona mengi?
Mtendaji nikiboko
Amemuonea
Nani kaonewa?Mtendaji anasema amejenga darasa wakati hajajenga?
Duh
Mhe Makonda hamna kumbwelambwela Arusha kazi tunaiona mh endele na spana wengi watajifunza kwako nawaona mungu azidi kukubariki. Insha Allah ❤
Miaka mitatu nje ya utumishi kumbe ulikuwa darasani. Hongera mwamba Makonda
Ndg makonda kuna mtu hawezi kujieleza hadharani kwa kushtukuzwa. Mtu ana 59 hawezi jua kila kitu papo hapo
auna uwezo wa kumfukuza kazi mtendaji.mbona unaingilia mamlaka yasiyo yako.makonda badilika
Mweshiwa makonda ata uku sinoni mtaa wa engosingiu kuna kivuko kina ubadhirifu kama cha uko matevesi kilichokuwa kikijengwa na tasafu having kiwango
😮 yaani kweli useme umejenga kitu na kumbe hujajenga?
Like serious?
Mungu akuongoze kk watuwenge wanaonewa sana wasaidie
Kamanda hapa Tanzania wapo wawili wa kwanza Makonda wa pili Chalamila hawa wanaojitambua sana wakuu wa mikoa iliyobaki hawafai
Na sillaa basi
Fire fire fire @Makonda chumaaa
Hapo ndipo ccm. Inachafuliwa kwa kuajili ndugu mbumbu waajiliwe wasomi kama hapa gongolamboto bwana afya mwekiti katibukata wa mtaa shida
sᴘᴀɴᴀ ᴢɪᴇɴᴅᴇʟᴇᴇ
Mmmmmm haya bana tutayaona mengi?
Mtendaji nikiboko
Amemuonea
Nani kaonewa?
Mtendaji anasema amejenga darasa wakati hajajenga?
Duh