Kumbukizi ya miaka 10 ya Dk Magufuli akikagua mradi wa barabara ya Ndundu Somanga ya 65KM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 50

  • @christophertanu1880
    @christophertanu1880 3 месяца назад +24

    Magufuli ulikuwa Rais kweli kweli. Kifo chako ni pigo la maisha kwa nchi yetu. Umetuachia Shida baba😭

  • @user-dk6rc9kb3f
    @user-dk6rc9kb3f Месяц назад +4

    Huyu Mzee alikuwa ni mtu wa kutekeleza angepewa uraisi akiwa kijana tungeshafika mbali sana Tanzania na Africa kwa ujumla✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️

  • @MzunguNamungu
    @MzunguNamungu 2 месяца назад +6

    Ulikua vzr mno father,waliofanya mtandao wa kukuua wametutesa cn watanzania.hakika Leo tunalia

  • @nyandaephraim4039
    @nyandaephraim4039 3 месяца назад +11

    Rais wangu Magufuli endelea kupumzika kwa Amani ulitupenda sana🌹

  • @godfreyhiza1075
    @godfreyhiza1075 11 месяцев назад +17

    Mzee miss you sanaaa!!!!ulikua na matumizi sahihi ya akili!!!

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 11 месяцев назад +18

    Huyu Mze hakuwa kuwa fake toka mwanzo wa maisha yake. 😢😢
    Sijuwi kwa nini wa Afrika hatuelewi umuhimu wa hizi hazina😢😢

    • @geey7893
      @geey7893 3 месяца назад +2

      Roho mbaya na uroho

    • @toymadebho7048
      @toymadebho7048 3 месяца назад +2

      aise namm nashangaa kwnn ha2elew

  • @Jumacharlesmadale2958
    @Jumacharlesmadale2958 3 месяца назад +14

    Baba ulikuwa kiongozi mzalendo sana siwezi kupingana na mipango ya MUNGU ulikuwa Rais

  • @user-vv6ox9xh9k
    @user-vv6ox9xh9k 3 месяца назад +14

    Hakika huyu ndie alikua kiongozi mpenda nchi yake, alikua mtu sahihi kwetu

  • @mamboshepea8888
    @mamboshepea8888 11 месяцев назад +12

    Hatuwezi elewa...unafki mwingi Afrika ukiwa mkweli hupendwi, kwa wenzetu wazungu hakunaga unafki...ndo maana kuna usemi unasema aheri mchawi kuliko mnafki anakuangamiza huku anakuchekea!!

  • @joelmnzava
    @joelmnzava 11 месяцев назад +16

    Mzee alikua mtata tangu miaka akiwa wizara ya ujenzi

    • @geey7893
      @geey7893 3 месяца назад +2

      Aisee ivi hawakuogopa kumpa uraisi mtu mkorofi hivi😂😂😂😂

    • @ananiachelesi1486
      @ananiachelesi1486 3 месяца назад +6

      Na wewe ni miongoni mwa waafrika usiyeelewa ukorofi na ufatiliaji na uwajibikaji ni nini.mwisho umetafusili mkorofi aise pole.

  • @jamalnaheka1131
    @jamalnaheka1131 Месяц назад +1

    yaani hyu mzee alikuw powerful toka yupo waziri.

  • @zakariapaulowiliamuwiliamu1840
    @zakariapaulowiliamuwiliamu1840 2 месяца назад +6

    kwangu bado n RAIS wangu hadi apatikane wakumzidi

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 3 месяца назад +5

    R. I. P Mjomba MAGU😭😭😭😭😭

  • @bennie7239
    @bennie7239 2 месяца назад +2

    Huko kanda ya ziwa misimamo ya hii bado ipo, wekeni chuma kingine nchi inyooke hii. Watu pwani wanabembeleza mno 😎

  • @innocent91044
    @innocent91044 3 месяца назад +6

    Nnammiss Sana huyu Mzee Kila nikitizama yanayoendelea nnashindwa kuelewa ni kwanini aliondoka mapema hivi.

  • @davykisabo875
    @davykisabo875 3 месяца назад +7

    Dah huyu ndiye mwana halisi wa Africa, kazi yake mola Haina makosa umelala usingizi wa milele ila vitendo vyako , maneno yako yataishi vizazi na vizazi

  • @shakaurembo477
    @shakaurembo477 11 месяцев назад +10

    Msema kweli
    Rip 🎉

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 3 месяца назад +5

    Alikuwa mwamba kweli kweli rip jpm

  • @johanesitembe2440
    @johanesitembe2440 3 месяца назад +6

    Hapa kazi tu

  • @user-vf8wv8hi5b
    @user-vf8wv8hi5b 2 месяца назад +2

    Jpm nimekumiss sana Mzee wangu but sababu mungu kakuita bas sawa kapumzike kwa amani rais wangu naimai ww ndio rais wangu mpka natiweka duniani

  • @DaudiSaid-bj7dh
    @DaudiSaid-bj7dh 2 месяца назад +2

    Wapigaji hawakuwa na nafasi na tena. Saa hii wanaendelea na upigaji wao. Pumzika baba

  • @stevinmwanzaa1785
    @stevinmwanzaa1785 2 месяца назад +1

    Hapo bado ni wazir

  • @kaayafred3545
    @kaayafred3545 11 месяцев назад +8

    Otakumbukwa afrika nzima kwa ukweri wako ,Baba

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 3 месяца назад +2

    Huyu jamaa alikua kiongozi mzuri lkn kosa kubwa alilolifanya kua wapinzani dictetor wahatari

    • @user-sh3tr8cm1v
      @user-sh3tr8cm1v 3 месяца назад

      Kiongozi lazma awe mang'a huku Bara la Africa, la si hivyo...

  • @kalokolamulumbe8445
    @kalokolamulumbe8445 2 месяца назад +1

    Jaman jpm .

  • @babajohn8308
    @babajohn8308 11 месяцев назад +4

    Dah😢😢

  • @mussahancy6591
    @mussahancy6591 2 месяца назад +1

    R.I.P

  • @josephnyalomba860
    @josephnyalomba860 2 месяца назад +1

    Leta futi 😂😂😂😂😂R.I.P J.P.M

  • @geraldndila5172
    @geraldndila5172 3 месяца назад +2

    Robert sidhani kama utakuwa naakili timamu aisee

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215 3 месяца назад +3

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @kefamwakipesile275
    @kefamwakipesile275 26 дней назад

    Mungu kwa nini ulituondelea huyu jamaa mapema?

  • @JohnMongi-gp2zj
    @JohnMongi-gp2zj 2 месяца назад

    Hatar sana magufuli

  • @Bless-sk8uv
    @Bless-sk8uv 3 месяца назад +1

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @bogoheidaso2628
    @bogoheidaso2628 2 месяца назад

    Tshet za jpm zinapatikana wapi

  • @ElishaKalinabhene-mm2fr
    @ElishaKalinabhene-mm2fr 2 месяца назад

    👊

  • @user-yq4wf4qo9t
    @user-yq4wf4qo9t 2 месяца назад

    Yupo mtu anaitwa Masunga hanafaa kuwa raisi wa nchi.

  • @ELISHAPHILLIPO
    @ELISHAPHILLIPO 3 месяца назад

    Baba tutakukumbuka

  • @edwardmwambene3748
    @edwardmwambene3748 2 месяца назад

    RIp jpm

  • @muntaswiruabdulrazack3153
    @muntaswiruabdulrazack3153 11 дней назад

    Sema ulikua jembe sana

  • @HamadiRamadhani-y2n
    @HamadiRamadhani-y2n 2 месяца назад

    Hapakazi tu

  • @YoakimMsuha
    @YoakimMsuha 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂 daaa

  • @kalokolamulumbe8445
    @kalokolamulumbe8445 2 месяца назад

    Jaman jpm .

  • @kalokolamulumbe8445
    @kalokolamulumbe8445 2 месяца назад

    Jaman jpm .