I like that way of dressing on this comedy you will always remain legends of commedy respect for Africa, my favorite from DRC, KINGWENDU the best comedy. One love 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mama yangu 🤔🤔 kingwendu king of comedy hiyo kofia kaa panga iko 👍👍 tz 🇹🇿 vidole 🙆🙆 cash,,cash,,bila samahani ukata vidole zote jamani 🥱🥱 utatembea na nini million 92 za Zimbabwe ila kwa kweli 😂😂 Una account🔥🔥 jamani
aa Hawa wanakata vidole Dunia kesho Kwa mungu nlmutamjibu Nini na yeye ndio kawapa mapambo yake mikono na miguo subhama llah moto unawangojea asafiruallah ya Allah totelee haya mambo machafu duniani Hawa Wana taka kuangamiza Dunia allahu Akbar
😂😂😂😂😂😂😂😂Haaaahaaaahaaaa.. Kingwendu anasema nataka niezue bati za zamani.. Niezeke bati za M...south ...Halafu dola za Zimbabwe kumbe sawasawa na alf 25..😂😂😂😂😂😂😂 Halafu wote waishia jela na kidole kimeondoka
Mungu akulinde kingwendu kupata comedian kama hawa sio kazi ndogo kabisa 🤣🤣
Asante
Nakubal sana Tm kingwendu pia naomben sapot yenu kama tupo comedy pia naomba like
Kingwendu we ni legend toka niko mdogo nakukubali sanaaa.....Mungu azidi kukubalikii
🙏☝️
Kingwendu hazeeki nakumbka nikimuona nkiwa mdogo sana adi sai niko 23yrs more love from kenya🇰🇪 kingwendu we love you so much❤❤
Much love from Kenya....umeniundia siku.😂
Kingwedu muhigizaji poa 😂😂😂
😂😂🤣🤣🤣🤣atali kwakweli 🙌🙌🙌mzee unamambo wewe yani nachekaga mpaka bas dah ilo vazi la leo saluty
Hyo kofia imenimaliza🤣🤣🤣🤩
Umeona ehe. Hiyo kofia na jinsi anavxozungumza na pia anajua kucheza na uso na mdomp
Njinsi ulivyo tu wewe ni kichekesho tosha, hongera sana
Ngwendu ngwendurire, hello hello ndo manake bby nang'o😂😂
Kingwendu Eeeh come zanzibar my broo skenk zipo🤣🤣
Nataka skank upo sehem gani mwamba mi mwera
Heino heino kingwendu nkutizama tangu ile filamu yakonya lunchi taimu,Ila kwa kweli, bebe nango
Tunakukuubali huku🇰🇪
😂 kingwendu wewe mwenyewe ndo umesema kama unatalala ma pesa 😅😅😅😅 vidole
ila bebi nang'o. hiyo kofia na nguo ulioivaa😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
namtambua sana kingwendu kwa raha zangu.kenya ajulikana sana
kabisa kaka brzaa
Kingwendu ndo king,👑 wa comedy noma sn
Watching From Kenya, much love
I like that way of dressing on this comedy you will always remain legends of commedy respect for Africa, my favorite from DRC, KINGWENDU the best comedy. One love 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kingwendu unanifurahisha saana unavyozungumza.
Vidole vya mbwa😂😂
😮😂😂😂😂
Tisini na mbili za Zimbabwe 😅😅😅
Kingwendu umependeza utolewe hayo macho 😂😂😂😂😂
Msijifanye hamjaona hiyo surupwenye ilivyotoa mzigo wa kingwendu 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤗
Eti vedole vya mbwaa au kuku😂😂😂😂🤣🤣
Kingwendu my favorite 🤣🤣🤣🤣🤣
Nenda kakate ukose vidole vya kutembelea😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Di top chatta kingwendu extravaganza ,number one, love from Rwanda 🇷🇼🔥🔥🔥
Ako Noma sana
Duu yani
Leo nimecheka
Hadi mbavu zinaniuma kingwendu noma
Hii nliipenda Sana #ranking electricals NRB kenya
Mzee pesa ina matatizo sana😂😂😂😂
My best East African male comedian 🙏🥰🥰🥰👏👏👏
À
Exactly 💯
Kingwendu you know the game since long time, hundred percent.😁😍 I'm from congo DRC
Nakukubari Sana mze wangu tangu nikiwa mdogo
Waaa kingwendu will kill me one day 🤣🤣🤣🤣love from kenya
😂😂😂😂😂😂😆
May favorite kingwenduuuu😂😂😂😂😂
😂😂 me na angalia kofia tu siimaliz kabisaa😂
Mzeh kingwendu nakushukuru sana kwaku nipa furah Siku ya leooo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
You are so funny
Kingwendu you make me smile when i m tired
Nice comedy checking straight outta +254🇰🇪🥰🥰😘
Chanjo ya Covid 19 hamuitaki lakini vidole nakwenda kata !!! Tamaa tuuu
🤣🤣🤣
nao precepo dialeto max ese kota e bom na história kkkkkkkkkkkkkk diretamente d Moçambique
Kingwendu kwa kweli wafurahisha na kuchekesha sana iyee baby nango
Ilove you brother, hoping to meet you again onces am back in Tanzania.God bless you abundantly.
Ukikatwa vidole vyote umaskini kwisha.😂😂😂😂😂
Mama yangu 🤔🤔 kingwendu king of comedy hiyo kofia kaa panga iko 👍👍 tz 🇹🇿 vidole 🙆🙆 cash,,cash,,bila samahani ukata vidole zote jamani 🥱🥱 utatembea na nini million 92 za Zimbabwe ila kwa kweli 😂😂 Una account🔥🔥 jamani
Pesa ni sabuni ya roho unaeza kufanya chochote bora upate safi sana kingwengu
Niko kenya,u r the best ever comedian I always n I will continue loving.
Kingwendu kofia tafadhali
🎉r😊😮❤g😊😊
Weebaba umenikata kidole ujue😀😀
Watching from Cape town nakihamini Sana kingwendu
Yan kingwendu umenichekesha leooo aaaa we achat umenifraisha San da
Nakukubar mzee wangu
😂😂😂😂 nimecheka sana kwa kweli Kingwendu ni really commedia sio kama wale wengine wanao force
Mkali wao🤣😅
Hadi sai bdo naenjoy hii. HB mwenyewe nakkbali sana.
Nakubal brother umenisha San alf mimi ni shabik yko nakufatilia San Yan napenda San movie zako😀😀😀😀😀
Mungu fundi amekupa uwezo wa kuchekesha😢
Nicheka jamani 😂😂😂😂😂
Watu wanakatwa vidole wanalipwa hela ya KIZIMBABWE Miliyoni 92" na thamani yake ovyo ovyo😃😃😃😃😃😃😃😃
Hii kalii nimecheka leo bhebhe nanhooo
aa Hawa wanakata vidole Dunia kesho Kwa mungu nlmutamjibu Nini na yeye ndio kawapa mapambo yake mikono na miguo subhama llah moto unawangojea asafiruallah ya Allah totelee haya mambo machafu duniani Hawa Wana taka kuangamiza Dunia allahu Akbar
Kweli kabisa, Allah atuepushie In shaa Allah 🙏🙏🙏🙏
Hiyo kofia😀😀😀😀😀
😂😂😂😂😂😂😂😂Haaaahaaaahaaaa.. Kingwendu anasema nataka niezue bati za zamani.. Niezeke bati za M...south ...Halafu dola za Zimbabwe kumbe sawasawa na alf 25..😂😂😂😂😂😂😂 Halafu wote waishia jela na kidole kimeondoka
hii kofia ya kingwendu,😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kalipwa pesa ya soda tu
Kingwendu kofia bwana hapo nacheka sana haaaaaaa
iyo kofia😀😀😀
Hahaha! Kingwendu ataka kata vidole vyote 🤣🤣🤣🤣🤣
kingwendu my favorite
ruclips.net/video/jIKtN6WUSe8/видео.html FYI yo
Kofia hiyoooo duuuu
Kigwendu huna mpizani bongo comedy 🤣 😆 🙌🇶🇦
Hiyo kofia napataje 🤣🤣
Tuma namba Sasa tukutafute
Tunaomba namba
Ngwendu wetu mkali sana
Kingwendu nakupenda mpaka naumwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Zimbabwe imewaletea mpaka akina kingwendo shoo majanga ya ulimwengu
Kingwedu always makes me laugh
Kingwendu kaludi Sasa 😃😃😃😃😃
Ila kwa kweli
Kwanii hawataki za mkono😂😂😂😂
Kingwendu aache tamaa
Umeuwa sana kingwendu
Mkongwe kingwendu
Nimekuja mwenyewe na tamaa yangu ya hela🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣hatar kwakwel
Baba lao 😅😅
😅😅😅😅😅😅😅😅kaka yuko professional
Hahahaaaaaa!! Kingwendu wewe ni fundi kwa kweli mweee!! Nakukubali sana Kaka
Kingwendu always makes me laugh 😆 🤣 😂 😄 😅
Mimi mkenya lakini napenda sana hii staff 😂😂😂
Milion 92 za Zimbabwe🤣🤣🤣
Duuuu kigwendu mshezi
Hahaha noma Sana lol
Kingwendu family 😀😁😁😀 nakubali
ruclips.net/video/jIKtN6WUSe8/видео.html Bo
😂😂😂😂😂umaskini itatuuwa😂😂😂
Kingwedu wee kabila gan
Noma Sana kaka
Hiyo kofia jamani 🤣🤣🤣
😂😂😂
Ngwendu, tunakupenda sana
Kingwendu you make my day 😂😂
Jmn kikwengu jmn mbavu zangu leo 😄😃😁😅🤣😂😆😀