HUYU ASKOFU NI BALAA, BILA WOGA ADAI RAIS SAMIA ANAHONGA PIKIPIKI NA GESI ILI APIGIWE KURA 2025
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- #TANZANIA: Huyu Askofu Mwanamapinduzi Machumu ni balaa, aanika siri nzito ya Rais Samia, adai anahonga pikipiki na mitungi ya gesi kwa Wananchi ili apigiwe kura uchaguzi ujao, wananchi wathibitishankupokea mitungi ya gesi.
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram
Zimwi la Magufuli litamtafuna Mama Samia
Simba
Kesho utasikia yuko lupango" mchochezi" 😮😮
hakuna mwenye time naye.
hayo yalikuwa ni ya kipindi cha yule mwendazake.
AA WAPII
Mchungaji atapotezwa na ccm
Msisumbuke alilopanga Mungu HATA watu wasipolipenda litatimia tuu msijisumbue Kwa neno lolote Bali kila neno kusali kuomba pamoja na kumshukuru Mungu yeye atosha haleluya
Safi sana
Biblia nzima ukiisoma mgogoro mkubwa uliokuwepo ni baina ya viongozi wa kidini na serikali.
Hovyo viongozi wa dini Wana wajibu wa kuingilia kati pale serikali inapokosea
Amen
majinga mengi
Fisiyemu halijitambui watanganyika tunajitambua tumewakataa hata mkiongea. Humu mautumbo yenu hamtaeleweka
Watu wa mungu acheni siasa. Hubirini injili
Fisiyemu tulieni sindano iwaingie
pole sanaaaa huwezi kuisinda Ccm hata ufanye pamoja na uaskofi wako
Kuisinda😂
Kwani ccm ni MUNGU?
Watu tumechoka na maisha magumu ya huyu Raisin samia
Kweli maisha magum sana tz
Usutumie vibaya neno la Mungu askofu
kweli alitakiwa ajiuzulu
Askofu Big up!
Faida ya mungano huo munauziwa nchi yenu sasa na bado pumbavu kwa nini munataka mungano
Mama samia rudi kwenu znz
Sasa Samia ni rais wa Z,bar we mpumbavu Nini na Kwa uchochezi huo naaoa kama mtapata ushidi,
Mpumbavu ni wewe boya wewe
Umejaa matope kwenye ubongo
Watanzana amkeni ccm ni sawa na nguo ya zamani au nguo mtumba shauri yenu
watazilipa kwa kutekwa
Kweli
Ajihadali
Maguli.alisem@
Mh samia atareta Vita ya wazanzibar na watanganyika kwa kuwasaport wazenji tuuu inchi itakua kama Rwanda kwa ujinga wake samia
Mkundu wako
Hana kanisa kanisa kwanza
Ukipewa chukua piga kura kwa anayetetea rasilimali
Viongozi hawataki kusikiliza wanainchi wakiwa madarakani wanafikkli wanaakili kuliko wanainchi wote mwanamapinduzi hapa anaongea kwa hasira sababu yao hawataki kutusikiliza wanainchi
Ujinga wa askofu huyu .Mheshimiwa Samia hahongi pikipiki kwani vitendea kazi vya CCM vinakuhusu nini .Siasa na dini hiviendi njia moja .Askofu uliyechanganyiikiwa kama Tundulisu.Mungu hajakwambia hayo nimajukuu .
Hatujafikia steji ya kutumia siraha za jadi kwenye uchaguzi mnatutisha sisi wapiga kula tusiende hata kupiga kula siku ya uchaguzi mtaenda wenyewe wewe ni mchungaji unatakiwa kuhamasisha amani sio machafuko na swala la ccm kuiba kula kwakutumia vyombo vya dola kama wewe mtumishi wa Mungu unatakiwa ulikemee nakumuomba Mungu aingilie kati haki itendeke hakuna kisichowezekana kwa Mungu
acha uongo mchungaji.Hakuna mtu anakataliwa na mungu.huna hoja mchungaji.kangombee uone kama utapata kura hata moja,kama kuna mtu anakataliwa na mungu kama unavyosema labda ni huyo aliyekufa akiwa ofcn.
Mungu kashaa ombwa Sana haki itendeke na haikutendeka Hadi Leo. Sasa nikummaliza tu atakaejaribu kupora haki.
Mtukutu haishi kwa maombi. Fimbo hutumika kumwelimisha mtukutu.
😢ombeni.kura.punguzeni.maneno.mkali.sera
Zuri.mafundi sho
Juu.uchaguzi.waamke.wasids
Sio askofu huyu
Huyu akawaulize wa Pemba na unguja, walifikia wapi.
Upinzani uchwara hautachukua dola kwa vikaratasi vya kura
Asikofu mjinga anapingana na mungu wewe Kama Nani mungu hajamkataa samia ila wewe mpumbavu aliekwambia bandali zimeuzwa nani wewe unachuki za kidini sio acha uongo askofu mzima unamused mjinga
Mjinga ni wewe kenge wewe. Askofu kasema huyo kakataliwa na Mungu, wewe unasema mungu, sasa huyo mungu ni shetani. Jifunze ili uelewe boya mkubwa
Haya maneno angekuwa kayasema sheikh sasahivi angekuwa keshabambikwa kesi ya ugaidi
Umeyakamyaga
Samia naona amechanganyikiwa.Maana hata polisi wamemsaliti.
Yaani askofu u nahimiza watu kubeba silaha mungutuepushe.
Askofu mwana mapinduzi Mungu yupo na Wewe tanganyika irudi Zanzibar iende Mungu aripanga sio Nyerere mbweha
siku mkirudi njooni G Lema
😅
Askofu pokea 100% kwako,
Huyu ni askofu au mwanasiasa?
Gwajima yeye unamusemaje
@@philemonsnyanda9450 ulishawahi kumuona Gwajima anavaa nguo za kiaskofu na misalaba katika majukwaa ya kisiasa?
Chadema UDINI UTAWAMALIZA.
Utahira wako ndiyo unawaza udini
Wenye akili timamu tutaenda misukule ibaki. Nyumbani
Kweri wewenichawa wasamia mpaka unasema mungu samia
HABARI NDO HIYOO
Pole sana
Kachanganyikiwa na udini huyu cio kosAlake tumuombe amuongoze halafu askofu sijui hao anaowaongoza wakoje huu mtihani mungu Samia urais Kapewa na mungu wewe huwezi kulitengua Hilo na chuki zako binafs
Huyu mtawala hatumtaki kabisa ila analazimisha tu
Mkundu wew
@@kassimualli1755acha matus boya wew
Askofu wewe huogopi.
Kafiri mkubwa huyu analeta uchochezi wa wazi kuma la mama yake huyu askofu
Umelaaniwa kwa laana huna Mungu wewe ni shetani umekosa elimu kichwani umejaza kinyesi ndiyo maana huoni haya kutamka matusi matandaoni hujuwi madhara yake kwasababu u mjinga tu
Wew imetokea wap kwa mam ako
Mapema tulia sindano ningie
Unamtukana askofu wewe ni shoga hujielewi unafirwa na ccm
Nyie ni wadini sana
Na ndio maana wakirusto wenzenu wakiongoza hamsemi chochote.
Nyerere ndio Raisi anaeingoza kufanya hali ya watanzani kuwa mbaya tena kwa muda zaidi miaka 20.
Mkapa.alibinafsisha vitu vingine vya umma na hamkusema chochote
Sio kweli,ukitaka kufanya kubuka historia mkapa alipingwa kwa sera ya ubinasaj, mchanga wa dhaabu kupelekwa nje ulipingwa rejea doc za bunge, Tics ikija bandari mkurugenzi wa badandari alilamika mbele yake akikataa uwezaji. Mbunge aloys kimaro alitaka Kwa hoja mkapa ashitakiwe. Huyo mbuge mali zake arushwa Ilihujumiwa. Magu alipingwa kila kona na akitwa dictator. Vyombo ya habari kama BBc, hazikukosa habari ya kukosa kila leo. Mwl Nyerere historia inaonyesha alikuwa apinduliwe. Sisi tuna kasumba ya kumjadili mambo ya kutupotezea mda. Kama mzalendo hoja mfano kwa nini kiwanda kinateneza chupa za glass kwa kutumia maligafi za nje wakati Ziko hapa nchini? Kwa nini hua hatuoni haya?. Kwa nini tusifufue viwanda vya mikakati kama general tyre. Hivi hawa tunaowatetea kwa Imani Zetu kwa nini tushauri kwa Watoe uongozi wao Raia tufufue viwanda. Kule nchi ya Ethiopia bwa la umeme limejengwa kwa hisa za raia. Sisi hapa hoja uchwara na ukuwadi wa mali, rushwa.
Wote walikuwa Watanganyika hawakuuza kwa Waarabu.
@@edosha3137 wameuza kwa wazungu
@@edosha3137 Msenge wewe, kwahiyo nchi ilivyouzwa Kwa wengine hiyo ni Sawa, kuuzwa Kwa waarabu ndio tatizo? Msenge sana wewe
Hao akina mkapa waliuza kwa nani? Kwahiyo wewe mtu akiwa wa imani mwenzako, hata kama ni jambazi, utamtetea, hii tanganyika ni mkate wa wote, sio wachache wamege pakubwa, wengine wakose, kwa nyie waislamu hamna jeuri ya kuipinga serikali, sababu ni waoga sana,, wapinzani wenye nguvu duniani kote ni wakristo. Hata katika vitabu vya dini, manabii wengi wa MUNGU walizipinga tawala za miaka ile kwa uzalimu waloufanya.
Acha uaskofu uwe mwanasiasa yani wee dogo umekuwa aibu na unalitia aibu Kanisa na kwataarifa yako samia atapita kwa kishindo 2025 unapoteza muda wako bure Bwanamdogo utakufa na kijiba cha roho
Naonamachawa mnamzoga asikofu mtapatauteuzi waobarozo hata wanyumba kumi asante
Kama Chawa wake mtaiba kura. Na haipendi Tanganyika yenu.
Hamuipendi Tanganyika. Mnapenda kutawaliwa na Wazanzibar
Katiba mpya
Uaskofu ni kazi,na kazi mojawapo ya askofu ni kuwasemea wasioweza kusema
Hivi vitabu vya Mungu nchini. Tanzania vinaruhusu unafiki hivi sasa Dunia inakwenda wapi ? Ona huyu mchungaji wa Mungu kweli? Mbona anawapeleka kondoo wake kwenye mto wenye mamba ili wakaliwe ivi Baibo la Mungu kweli limeandikwa hivyo kweli ? Jamani hii njaa wa Tanzania itatupeleka pabaya. Ndiyo maana Tanzania wachugaji wanajitundika kwa kujinyonga ndiyo kama hayo anayoyafanya kama huyojivisha ngozi ya kondoo huyu sio mchungaji bali ni mtu anayetafuta lana kwa Mungu. Emen
Sio lazima umkubali anyesema usiyopenda.bali Mungu atasmama na kweli daima
Uko sahihi