HUYU ASKOFU NI BALAA, BILA WOGA ADAI RAIS SAMIA ANAHONGA PIKIPIKI NA GESI ILI APIGIWE KURA 2025

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • #TANZANIA: Huyu Askofu Mwanamapinduzi Machumu ni balaa, aanika siri nzito ya Rais Samia, adai anahonga pikipiki na mitungi ya gesi kwa Wananchi ili apigiwe kura uchaguzi ujao, wananchi wathibitishankupokea mitungi ya gesi.
    Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Комментарии • 92

  • @thadeusmateru1356
    @thadeusmateru1356 4 месяца назад +15

    Zimwi la Magufuli litamtafuna Mama Samia

  • @ntulimwakimonga6966
    @ntulimwakimonga6966 4 месяца назад +7

    Kesho utasikia yuko lupango" mchochezi" 😮😮

  • @SamwelMdamanyi
    @SamwelMdamanyi 4 месяца назад +2

    Msisumbuke alilopanga Mungu HATA watu wasipolipenda litatimia tuu msijisumbue Kwa neno lolote Bali kila neno kusali kuomba pamoja na kumshukuru Mungu yeye atosha haleluya

  • @GidisonMarco
    @GidisonMarco 4 месяца назад +1

    Safi sana

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 4 месяца назад +4

    Biblia nzima ukiisoma mgogoro mkubwa uliokuwepo ni baina ya viongozi wa kidini na serikali.
    Hovyo viongozi wa dini Wana wajibu wa kuingilia kati pale serikali inapokosea

  • @floraflora5717
    @floraflora5717 Месяц назад

    Amen

  • @lovely-mq4rg
    @lovely-mq4rg 2 месяца назад +1

    majinga mengi

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 4 месяца назад +4

    Fisiyemu halijitambui watanganyika tunajitambua tumewakataa hata mkiongea. Humu mautumbo yenu hamtaeleweka

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 3 месяца назад

    Watu wa mungu acheni siasa. Hubirini injili

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 4 месяца назад +5

    Fisiyemu tulieni sindano iwaingie

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 4 месяца назад +1

    pole sanaaaa huwezi kuisinda Ccm hata ufanye pamoja na uaskofi wako

  • @paulalubini8930
    @paulalubini8930 3 месяца назад +1

    Watu tumechoka na maisha magumu ya huyu Raisin samia

  • @IssaMohamed-mp4hj
    @IssaMohamed-mp4hj 4 месяца назад

    Kweli maisha magum sana tz

  • @EzekielKaminyoge
    @EzekielKaminyoge 3 месяца назад

    Usutumie vibaya neno la Mungu askofu

  • @jacksonndiu1070
    @jacksonndiu1070 4 месяца назад +1

    kweli alitakiwa ajiuzulu

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 3 месяца назад

    Askofu Big up!

  • @KhamisiSalimu
    @KhamisiSalimu 4 месяца назад +1

    Faida ya mungano huo munauziwa nchi yenu sasa na bado pumbavu kwa nini munataka mungano

  • @BarakaAkech-r9q
    @BarakaAkech-r9q 3 месяца назад +1

    Mama samia rudi kwenu znz

  • @allyalsubhy6899
    @allyalsubhy6899 4 месяца назад +2

    Sasa Samia ni rais wa Z,bar we mpumbavu Nini na Kwa uchochezi huo naaoa kama mtapata ushidi,

  • @habibakusaga-tf4uu
    @habibakusaga-tf4uu Месяц назад

    watazilipa kwa kutekwa

  • @evelina9621
    @evelina9621 4 месяца назад +1

    Kweli
    Ajihadali
    Maguli.alisem@

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qm 4 месяца назад +1

    Mh samia atareta Vita ya wazanzibar na watanganyika kwa kuwasaport wazenji tuuu inchi itakua kama Rwanda kwa ujinga wake samia

  • @venceslausmtanila93
    @venceslausmtanila93 3 месяца назад

    Hana kanisa kanisa kwanza

  • @emmanuelkaale6448
    @emmanuelkaale6448 3 месяца назад

    Ukipewa chukua piga kura kwa anayetetea rasilimali

  • @peterdaimon-ug6fd
    @peterdaimon-ug6fd 2 месяца назад

    Viongozi hawataki kusikiliza wanainchi wakiwa madarakani wanafikkli wanaakili kuliko wanainchi wote mwanamapinduzi hapa anaongea kwa hasira sababu yao hawataki kutusikiliza wanainchi

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 3 месяца назад

    Ujinga wa askofu huyu .Mheshimiwa Samia hahongi pikipiki kwani vitendea kazi vya CCM vinakuhusu nini .Siasa na dini hiviendi njia moja .Askofu uliyechanganyiikiwa kama Tundulisu.Mungu hajakwambia hayo nimajukuu .

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba4413 4 месяца назад +1

    Hatujafikia steji ya kutumia siraha za jadi kwenye uchaguzi mnatutisha sisi wapiga kula tusiende hata kupiga kula siku ya uchaguzi mtaenda wenyewe wewe ni mchungaji unatakiwa kuhamasisha amani sio machafuko na swala la ccm kuiba kula kwakutumia vyombo vya dola kama wewe mtumishi wa Mungu unatakiwa ulikemee nakumuomba Mungu aingilie kati haki itendeke hakuna kisichowezekana kwa Mungu

    • @hassannuru7399
      @hassannuru7399 4 месяца назад

      acha uongo mchungaji.Hakuna mtu anakataliwa na mungu.huna hoja mchungaji.kangombee uone kama utapata kura hata moja,kama kuna mtu anakataliwa na mungu kama unavyosema labda ni huyo aliyekufa akiwa ofcn.

    • @zawadimbwambo1091
      @zawadimbwambo1091 4 месяца назад

      Mungu kashaa ombwa Sana haki itendeke na haikutendeka Hadi Leo. Sasa nikummaliza tu atakaejaribu kupora haki.

    • @EmmanuelKuzenza
      @EmmanuelKuzenza 4 месяца назад

      Mtukutu haishi kwa maombi. Fimbo hutumika kumwelimisha mtukutu.

  • @evelina9621
    @evelina9621 4 месяца назад

    😢ombeni.kura.punguzeni.maneno.mkali.sera
    Zuri.mafundi sho
    Juu.uchaguzi.waamke.wasids

  • @venceslausmtanila93
    @venceslausmtanila93 3 месяца назад +1

    Sio askofu huyu

  • @miraabdul7470
    @miraabdul7470 4 месяца назад

    Huyu akawaulize wa Pemba na unguja, walifikia wapi.
    Upinzani uchwara hautachukua dola kwa vikaratasi vya kura

  • @SaidShabani-s4o
    @SaidShabani-s4o 4 месяца назад +1

    Asikofu mjinga anapingana na mungu wewe Kama Nani mungu hajamkataa samia ila wewe mpumbavu aliekwambia bandali zimeuzwa nani wewe unachuki za kidini sio acha uongo askofu mzima unamused mjinga

    • @thepresidenttobe5481
      @thepresidenttobe5481 4 месяца назад

      Mjinga ni wewe kenge wewe. Askofu kasema huyo kakataliwa na Mungu, wewe unasema mungu, sasa huyo mungu ni shetani. Jifunze ili uelewe boya mkubwa

  • @allymusira2153
    @allymusira2153 3 месяца назад

    Haya maneno angekuwa kayasema sheikh sasahivi angekuwa keshabambikwa kesi ya ugaidi

  • @NayratOmar
    @NayratOmar 4 месяца назад

    Umeyakamyaga

  • @AthanaseKiyoja
    @AthanaseKiyoja 4 месяца назад

    Samia naona amechanganyikiwa.Maana hata polisi wamemsaliti.

  • @AnaniaBulaya-rc3jv
    @AnaniaBulaya-rc3jv 3 месяца назад

    Yaani askofu u nahimiza watu kubeba silaha mungutuepushe.

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qm 4 месяца назад +1

    Askofu mwana mapinduzi Mungu yupo na Wewe tanganyika irudi Zanzibar iende Mungu aripanga sio Nyerere mbweha

  • @PeterJonathan-c8k
    @PeterJonathan-c8k 4 месяца назад

    siku mkirudi njooni G Lema

  • @RafaerPetro
    @RafaerPetro 3 месяца назад

    😅

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 3 месяца назад

    Askofu pokea 100% kwako,

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 4 месяца назад +1

    Huyu ni askofu au mwanasiasa?

    • @philemonsnyanda9450
      @philemonsnyanda9450 3 месяца назад

      Gwajima yeye unamusemaje

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 3 месяца назад

      @@philemonsnyanda9450 ulishawahi kumuona Gwajima anavaa nguo za kiaskofu na misalaba katika majukwaa ya kisiasa?

  • @abuuazhar3738
    @abuuazhar3738 4 месяца назад

    Chadema UDINI UTAWAMALIZA.

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 4 месяца назад

    Wenye akili timamu tutaenda misukule ibaki. Nyumbani

  • @EliaBurinda
    @EliaBurinda 4 месяца назад

    Kweri wewenichawa wasamia mpaka unasema mungu samia

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 4 месяца назад

    HABARI NDO HIYOO

  • @SaidShabani-s4o
    @SaidShabani-s4o 4 месяца назад +1

    Kachanganyikiwa na udini huyu cio kosAlake tumuombe amuongoze halafu askofu sijui hao anaowaongoza wakoje huu mtihani mungu Samia urais Kapewa na mungu wewe huwezi kulitengua Hilo na chuki zako binafs

  • @majebelemathis9991
    @majebelemathis9991 3 месяца назад

    Huyu mtawala hatumtaki kabisa ila analazimisha tu

  • @janengaga2928
    @janengaga2928 3 месяца назад

    Askofu wewe huogopi.

  • @kassimualli1755
    @kassimualli1755 3 месяца назад

    Kafiri mkubwa huyu analeta uchochezi wa wazi kuma la mama yake huyu askofu

    • @erickmsigala138
      @erickmsigala138 3 месяца назад

      Umelaaniwa kwa laana huna Mungu wewe ni shetani umekosa elimu kichwani umejaza kinyesi ndiyo maana huoni haya kutamka matusi matandaoni hujuwi madhara yake kwasababu u mjinga tu

    • @emanuelmkama1325
      @emanuelmkama1325 3 месяца назад

      Wew imetokea wap kwa mam ako

    • @PhilipoNyangusi-f3u
      @PhilipoNyangusi-f3u 3 месяца назад

      Mapema tulia sindano ningie

    • @AdamShaban-uu4en
      @AdamShaban-uu4en 3 месяца назад

      Unamtukana askofu wewe ni shoga hujielewi unafirwa na ccm

  • @Al.habeebAl.habaaib
    @Al.habeebAl.habaaib 4 месяца назад

    Nyie ni wadini sana
    Na ndio maana wakirusto wenzenu wakiongoza hamsemi chochote.
    Nyerere ndio Raisi anaeingoza kufanya hali ya watanzani kuwa mbaya tena kwa muda zaidi miaka 20.
    Mkapa.alibinafsisha vitu vingine vya umma na hamkusema chochote

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 4 месяца назад

      Sio kweli,ukitaka kufanya kubuka historia mkapa alipingwa kwa sera ya ubinasaj, mchanga wa dhaabu kupelekwa nje ulipingwa rejea doc za bunge, Tics ikija bandari mkurugenzi wa badandari alilamika mbele yake akikataa uwezaji. Mbunge aloys kimaro alitaka Kwa hoja mkapa ashitakiwe. Huyo mbuge mali zake arushwa Ilihujumiwa. Magu alipingwa kila kona na akitwa dictator. Vyombo ya habari kama BBc, hazikukosa habari ya kukosa kila leo. Mwl Nyerere historia inaonyesha alikuwa apinduliwe. Sisi tuna kasumba ya kumjadili mambo ya kutupotezea mda. Kama mzalendo hoja mfano kwa nini kiwanda kinateneza chupa za glass kwa kutumia maligafi za nje wakati Ziko hapa nchini? Kwa nini hua hatuoni haya?. Kwa nini tusifufue viwanda vya mikakati kama general tyre. Hivi hawa tunaowatetea kwa Imani Zetu kwa nini tushauri kwa Watoe uongozi wao Raia tufufue viwanda. Kule nchi ya Ethiopia bwa la umeme limejengwa kwa hisa za raia. Sisi hapa hoja uchwara na ukuwadi wa mali, rushwa.

    • @edosha3137
      @edosha3137 4 месяца назад +2

      Wote walikuwa Watanganyika hawakuuza kwa Waarabu.

    • @Al.habeebAl.habaaib
      @Al.habeebAl.habaaib 4 месяца назад

      @@edosha3137 wameuza kwa wazungu

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 4 месяца назад

      ​@@edosha3137 Msenge wewe, kwahiyo nchi ilivyouzwa Kwa wengine hiyo ni Sawa, kuuzwa Kwa waarabu ndio tatizo? Msenge sana wewe

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 3 месяца назад

      Hao akina mkapa waliuza kwa nani? Kwahiyo wewe mtu akiwa wa imani mwenzako, hata kama ni jambazi, utamtetea, hii tanganyika ni mkate wa wote, sio wachache wamege pakubwa, wengine wakose, kwa nyie waislamu hamna jeuri ya kuipinga serikali, sababu ni waoga sana,, wapinzani wenye nguvu duniani kote ni wakristo. Hata katika vitabu vya dini, manabii wengi wa MUNGU walizipinga tawala za miaka ile kwa uzalimu waloufanya.

  • @SaidShabani-s4o
    @SaidShabani-s4o 4 месяца назад +1

    Acha uaskofu uwe mwanasiasa yani wee dogo umekuwa aibu na unalitia aibu Kanisa na kwataarifa yako samia atapita kwa kishindo 2025 unapoteza muda wako bure Bwanamdogo utakufa na kijiba cha roho

    • @EliaBurinda
      @EliaBurinda 4 месяца назад +2

      Naonamachawa mnamzoga asikofu mtapatauteuzi waobarozo hata wanyumba kumi asante

    • @edosha3137
      @edosha3137 4 месяца назад +1

      Kama Chawa wake mtaiba kura. Na haipendi Tanganyika yenu.

    • @edosha3137
      @edosha3137 4 месяца назад +1

      Hamuipendi Tanganyika. Mnapenda kutawaliwa na Wazanzibar

    • @PetroMpunga-rt7hv
      @PetroMpunga-rt7hv 4 месяца назад +1

      Katiba mpya

    • @karolikisaka8991
      @karolikisaka8991 4 месяца назад

      Uaskofu ni kazi,na kazi mojawapo ya askofu ni kuwasemea wasioweza kusema

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 4 месяца назад

    Hivi vitabu vya Mungu nchini. Tanzania vinaruhusu unafiki hivi sasa Dunia inakwenda wapi ? Ona huyu mchungaji wa Mungu kweli? Mbona anawapeleka kondoo wake kwenye mto wenye mamba ili wakaliwe ivi Baibo la Mungu kweli limeandikwa hivyo kweli ? Jamani hii njaa wa Tanzania itatupeleka pabaya. Ndiyo maana Tanzania wachugaji wanajitundika kwa kujinyonga ndiyo kama hayo anayoyafanya kama huyojivisha ngozi ya kondoo huyu sio mchungaji bali ni mtu anayetafuta lana kwa Mungu. Emen

    • @SamwelMdamanyi
      @SamwelMdamanyi 4 месяца назад

      Sio lazima umkubali anyesema usiyopenda.bali Mungu atasmama na kweli daima

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 4 месяца назад

      Uko sahihi