RAIS SAMIA ATASHINDWA UCHAGUZI 2025/ WANAMDANGANYA/ SIRUDISHI KADI YA CHADEMA/ WANANCHI WANA KERO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Kwa story zaidi za maisha, burudani, vipindi na za kila siku tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
    ►JOIN OUR WhatsApp Group chat.whatsapp....
    ►SUBSCRIBE / @stbongotv
    ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
    RATIBA ZA VIPINDI VYETU
    THE BANTU JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 10 JIONI
    SPOTLIGHT JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 12 JIONI
    TWENDE JIKONI KILA IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 JIONI
    FASHIONISTA KILA JUMAPILI SAA 1 USIKU
    MR RIGHT SHOW KILA JUMAMOSI SAA 4 USIKU
    KIU SERIES JUMATATU HADI IJUMAA SAA2:30 USIKU
    THE SPIRIT NA IBADA LIVE KILA JUMAPILI KUANZIA SAA 4 ASUBUHI
    MOVIE NIGHT NI KUANZIA JUMATANO MPAKA IJUMAA KUANZIA SAA NNE USIKU NA MARUDIO MCHANA KILA SIKU #tanzania #siasa #DktSlaa #chadema #ccm #samiasuluhu #RaisSamia #magufuli #actwazalendo

Комментарии • 153

  • @nurumohammed1310
    @nurumohammed1310 7 дней назад +3

    Safi sana Doctor slaa mungu Akubariki sana gombea URAISI inchi iingie Neema

    • @jamalkishangu
      @jamalkishangu 9 часов назад

      Slaa hana jipya, labda arudi katika uchungaji Kanisani.

  • @acquelinapissa2968
    @acquelinapissa2968 Год назад +11

    Slaa alifanya kazi kubwa sana karatu na tunampenda sana mpka kesho na anachokisema ni sahihi hana unafki

    • @istambulahmed6664
      @istambulahmed6664 Год назад +2

      Sio kweli, huyo kinacho mponza ni udini tu, na huyu ni mtu hatari sana hatufayi hata kidogo,

    • @alfredpeter8732
      @alfredpeter8732 Год назад +1

      WASAFI

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 29 дней назад

    Mhe. DR Silaa uko vizuri nimekuelewa sana.Hata ulivyosema kadi ya. Ccm hujui iko wap nimekukubal sana.wew ni mzee kijana.

  • @othmanmapunda2310
    @othmanmapunda2310 Год назад +5

    Dr slaa Peter ni mfano wa wanasiasa wazuri Sana ktk taifa hili

  • @richardmwambene3366
    @richardmwambene3366 Год назад +3

    Asante mzee naomba muendele na siasa

  • @asungushepatrick5414
    @asungushepatrick5414 Год назад +1

    Naomba Mungu afutilie mbali hii serikali iliyojaa wezi.

  • @peterjohnson167
    @peterjohnson167 Год назад +3

    Duh safi sana Doctor Slaa ushauri muhimu sana! Kustaafu 60 old year Doctor Slaa 74 Old year = 14 sio unamiaka 24...

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 Год назад +5

    Dah, mzee anaongea points kweli kweli. Mama wanampamba tuu ili wajilambie asali 😂😂😂😂

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 Год назад +11

    Doctor very wise man 👨

  • @boniphacemaseromwtta7048
    @boniphacemaseromwtta7048 Год назад +4

    Ningependa doctor uwe rais wangu

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 Год назад

      😳

    • @millowamilonga
      @millowamilonga Год назад

      Utasubiri sana kwa mpumbavu huyo eti awe rais never.
      Huyo jua la jioni tena.

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 Год назад +2

    Doctor wewe ni genius wa siasa

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 Год назад +3

    Noted with thanks, dk Slaah!👍

  • @user-ck9fp3xl8g
    @user-ck9fp3xl8g Год назад +1

    Nabariki uchambuzi mzuri wa Dr. Slaa juu ya Siasa ya Taifa letu.

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu 9 часов назад +1

    Slaa hana mpya, amekwisha itumikia nchi vyema yeye amekinai siasa, kweli ana haki ya kuoumzika.

  • @muntueric-oy1ty
    @muntueric-oy1ty Год назад +4

    Ni kweli Samia atashindwa anadutenganisha watanzania kwa misingi ya chuki na fitna kwa wasanii haswa WCB.....Samia must fall#❤❤❤❤❤❤

    • @bigjizee4130
      @bigjizee4130 Год назад +1

      Sasa WCB na samia wapi na wapi

    • @ameedamilja7992
      @ameedamilja7992 Год назад +1

      Acha ujinga wa WCB ha sijui ndio nini Kwa Tanzania. Mtu analima viazi makambako anapata Mbolea kwa bei nafuu na anavuna vya kutosha wewe unamwambia mambo ya WCB wakati hata hajui ni nini.

  • @personpeter2221
    @personpeter2221 Год назад +12

    Samia tunamchinja haturdii kuongozwa na wanawake tena never mwanamke hafai kuwa kiongoz wa taifa

    • @NGINDA99
      @NGINDA99 Год назад

      Person Peter
      NI VIZURI KUTOA MATAMSHI YAKO UKIJUA RAIS SAMIA ANA FAMILIA NI USHUNGU MWINGI SANA WANAWE WAKISIKIA ETI WEWE NI MCHINJAJI . BIBLIA YATUFUNZA LOLOTE ULIFANYALO OMBA MWENYENZI MUNGU AKIKUJALIE NA UNJUE KUNA WATU WENGI TUNAMPENDA RAIS SAMIA NA TUNAJUA WANAWAKE NI WENGI .

  • @jumawaziri5053
    @jumawaziri5053 Год назад +3

    Kweli kabisa

  • @yusuphchankwa4759
    @yusuphchankwa4759 Год назад +3

    Kiukweri Mzee wangu mm nakupenda sana tena sana

    • @Abdallah-hr3hd
      @Abdallah-hr3hd Год назад

      KAZI YA MUNGU ILIMSHINDA NA KUFUATA KAZI YA SHETANI.

    • @yusuphchankwa4759
      @yusuphchankwa4759 Год назад

      @@Abdallah-hr3hd kwa Hilo mm sihusiki atajuana na Mungu wake

  • @Epicmarkmedia
    @Epicmarkmedia Год назад +4

    Napataje hicho kitabu

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 Год назад +1

    DR.Slaa rasmi rudi Chadema gombea Urais, una nguvu za kipekee na kuongoza nchi.

  • @barakaisiraeli
    @barakaisiraeli Год назад +3

    Hatuna Raisi tumepigwa

  • @user-yb5vk2oo5i
    @user-yb5vk2oo5i Год назад

    Dr Slaa shupavu sana

  • @godwinshoo5032
    @godwinshoo5032 Год назад +5

    Umeongeza ukweli mtupu

  • @abisaimsewa1935
    @abisaimsewa1935 Год назад +3

    Samia watampisha ila kiuhalisia hatu saidii chochote

  • @komumbughuni8301
    @komumbughuni8301 Год назад

    Ashinde au ashindwe yote sawa lkn bado atabaki ktk kumbukumbu ya kuwa amefanya mambo makubwa sana ❤

    • @talents7934
      @talents7934 Год назад

      Acha uchawa we punguani

    • @komumbughuni8301
      @komumbughuni8301 Год назад

      @@talents7934 be blessed ma men, accepted if matters u anything, FLABBERGASTED

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Год назад +1

    Watanzania hatutataka vyamavyama wala mipirapira inaonekana watu wameviweka mbele kuliko Mungu

  • @josenyambeo3587
    @josenyambeo3587 Год назад +2

    Nyie vijana wa 2000 mnae msema silaa vibaya hamjui siasa anacho kisema mzee kasha jua ukweli

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 19 часов назад

    Unadhani watu wapo karatu tuu au mbea tuu tanzania kubwa cc siwanasiasa ispokua tatizo mnapenda madaraka kesho mtu akipewa cheo bas anawasaliti raiya

  • @MichaelNdonde-g6w
    @MichaelNdonde-g6w Год назад

    HAJAWAHI KUKOZEA WHEN IT COMES TO ISSUES OF POLYTICAL ANALYSIS

  • @FaridaJames
    @FaridaJames Год назад +2

    Hayo mabilion yaliyo ibiwa sindio hayohayo yata mpitisha urahisi na watanzania na wanawake eti tunapewa mkopo kumbe hizohizo no Mari za watanzania lichafueni Sana taifa Ila upo mbadala wa jpm zitakuja ziwatokee puan

  • @mohamedrashid9035
    @mohamedrashid9035 Год назад +2

    Huyo Mzee ni Chadema

  • @abdulrahmanmohamed7221
    @abdulrahmanmohamed7221 Год назад +1

    Rafiki wa jiwe,mama angemwachia ubalozi asingeongea,njaa tu.

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 Год назад +2

    Dk angefungua shule ya kufundisha vijana watanzania siasa....

    • @kastulielias496
      @kastulielias496 Год назад

      Kweli kabisa huyo mzee ana madini adimu ya siasa safi

  • @FahmiAbdallah-x9w
    @FahmiAbdallah-x9w 4 дня назад

    SORRY MTU KM HUYO WEWE SI SIZE YAKO PLEASE(UTAKUA MWEPESI SANA NAFKIRI)CJUI LABDA UTAMUWEZA

  • @thelivingwordchannel9027
    @thelivingwordchannel9027 Год назад +2

    Huyu ndo mwanasiasa niliyemkubali

  • @hbtv4169
    @hbtv4169 Год назад

    TIMU ZANZIBAR MUNAMSEMA SAMIA SANA KISA MZANZIBAR ILA IKIFIKA 2025 MSIJE MKALIAA TU MACHOZII DAMU

  • @hajifakisalum7909
    @hajifakisalum7909 18 часов назад

    Waa Tanzania tuache kupenda kudanganywa hana ukweli huyooo

  • @user-ep2cm5xo3k
    @user-ep2cm5xo3k Год назад

    Ni kweli atashindwa, Bora aache kugombea maana ataaibika.

  • @johnsulle4679
    @johnsulle4679 Год назад +2

    Nchi ni kubwa xana kuliko Mama

  • @millowamilonga
    @millowamilonga Год назад +3

    Slaa ni mjinga tu hana jipya ndumilakuwili huyo.
    CDM yenyewe wanalamba asali kwa kwenda mbele.
    Huyo sio mtu wa kuhojiwa hana msimamo.

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 Год назад

    Dah! kwer saiv pesa imekuw ngum hata kwa tochi ni mbinde🤔🤔

  • @francisriziki1954
    @francisriziki1954 Год назад +3

    Ni mtu mwenye akili sana Anafanya analysis vizuri mno ,,very objective ,, masomo aliyosoma yamemsaidia sana

  • @selestiniasenga
    @selestiniasenga Год назад

    Ee Mungu Mfalme wa Ulimwengu, tunaomba Rais wa Tanzania anayetuongoza kwa uongozi unaotoka kwako.

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo Месяц назад

    Mpenda haki

  • @mbarakadau7345
    @mbarakadau7345 Год назад +1

    Mama Samia atashinda kwa kishindo (over 70%) Mzee apumzike naona umri umeathiri ubongo wake kwa kiasi kikubwa

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 Год назад +1

    Maridhiano lazima yawekwe public.
    Kwa kuwa it has something to do with wananchi.
    Hapo mh Mbowe amekosea.
    Inabidi aongee na umma.

    • @kimangu1
      @kimangu1 Год назад +1

      Dr ongoza jahazi la chadema tupate katiba mpya wananchi tunakuhitaji bado

    • @janemwaipopo
      @janemwaipopo Год назад

      Mbivu na mbichi zitajulikana 2025

    • @georgekimasaofficial1629
      @georgekimasaofficial1629 Год назад

      Point sana umeongea

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Год назад

      @@kimangu1 Katiba ya Chadema ? Katiba ni mkataba mpya Wazanzibar tumechoka na Muungano uliopo unatuaminisha je kusaini mkataba mpya. Ni vigumu sana kupata Katiba mpya Tanzania.

  • @jpmgwama6960
    @jpmgwama6960 Год назад +2

    Mzee yupo vema sana

  • @barakaisiraeli
    @barakaisiraeli Год назад +1

    Sio karatu tu ni nchi nzimz acha wampake mafuta kwa chupa ya mgongo

  • @imanifute-qs7bn
    @imanifute-qs7bn Год назад

    Kuna maeneo Mzee unahoja kimsingi. Hasa ulipozungumzua political maturity lakini Kuna wakati haeleweki kiasi kwamba ninaona unafiki mkubwa na kuona kuwa ni msaka tonge tuu kama wasakatonge wengine.

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 Год назад +3

    ACT mageuzi!!

  • @RichardMlaguzi
    @RichardMlaguzi Год назад

    Kikubwa uhai

  • @GeorgeUsele
    @GeorgeUsele Год назад

    Siasa za kimalaya malaya😂

  • @charlesseba2000
    @charlesseba2000 Год назад

    Mzee kwanza pole naona mkono wa kushoto una shida ya stroke lakini Kama ulivyosema move on and rest

  • @othmanmapunda2310
    @othmanmapunda2310 Год назад +1

    Unajidanganya rais Samia atashinda usipoteze watu uchaguzi bado

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 Год назад

      Kama uchaguzi utakuwa kama zamani atapita
      Kama uvhaguzi utakuwa wa hakisitegemei

  • @muhammedbakari2867
    @muhammedbakari2867 Год назад

    Kwan ccm iliwahi kushinda lin Kwa haki zaid yakupora uchaguzi na kujipa ushind wa uwongo wapate kula asali pekeyao tu..

  • @vedastusngaiza5960
    @vedastusngaiza5960 Год назад

    Kuacha active party politics sawa je wananchi wakikutaka uhudumie kisiasa?

  • @richardzakaria8669
    @richardzakaria8669 Год назад +2

    2025 mabadiliko ni lazima

  • @franciscomasungulwa3575
    @franciscomasungulwa3575 Год назад

    Siku nyingine kijana ujipange kufanya interview na Dr.

  • @jobdismas1947
    @jobdismas1947 Год назад

    Huo Mkono Wa Kushoto Wa Dk Slaa Umepooza Ama

  • @hajifakisalum7909
    @hajifakisalum7909 18 часов назад

    Uwongo hamtoweza kumshinda raisi samia sila sio mpinzani wewe ni mbaba ishaji ulipo kuwaa balozi hujaongea chochote kuutetea upinzani acheni ubabaishaji nakufanya watoto wamasikini wakiuwawa pasina sababu

  • @josephnchunga4229
    @josephnchunga4229 Год назад

    Yuko vizuri Sana Ni jasri Sana w,slaa Ni magufuli kabisaa

  • @hbtv4169
    @hbtv4169 Год назад

    Zanzibar yote samia anakura zake kma rais wa muungano ni yeye tu samia kusema anataka au hatakiii

  • @isakhamisi8923
    @isakhamisi8923 Год назад

    Kwani ccm gani aliwahi kushinda uchaguzi c wizi tu wa uchaguzi.

  • @istambulahmed6664
    @istambulahmed6664 Год назад

    Kuna umri flani ukifika mtu anatakiwa kuwa karibu sana na MUNGU Kwaajili ya kuiandaa safari ya maisha bora baada ya haya ya duniani, kwa mfano mafundisho ya yesu ame fundisha ya kuwa MUNGU ni mmoja, na hakuna mwingine , na amesema MUNGU wake ndio MUNGU wetu, na yeye ni MTUME wa MUNGU tuu, na haja wahi kufindisha utatu, je ana yaamini hayo ili apate uzima wa milele?

    • @allyshija2613
      @allyshija2613 Год назад +1

      Kaugeugeu ndo shida mungu ni mwema

  • @ahmedissa7882
    @ahmedissa7882 Год назад

    Udini ndio tatizo angekuwa muungwana asengeondoka chadema kinachomliza zaidi kwa nini Mama Samia karuhusu vyama Vingi kufanya mikutano yao na kujaribu kuondoa malumbano.Mama Kampiga na chini

    • @emmanuelchiza7733
      @emmanuelchiza7733 Год назад

      Mama hana uwezo wa uongozi kabisa, labda awe kiongozi wa mkoa wa Zanzibar

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x Месяц назад

    Kwakweli wananchi walalamikaji laisi mlalamikaji

  • @samwelifundi4394
    @samwelifundi4394 Год назад

    Babu hana sera mbona alikihama chadema hana sera,,
    wenye chadema tuliwaona wakati wa magufuli walipokuwa na watikati mgumu

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 Год назад

    Chadema chawa wa samia

  • @johnsulle4679
    @johnsulle4679 Год назад

    Wanawake wanaweza uongo

  • @ibrahimngunga8385
    @ibrahimngunga8385 Год назад

    Anayasema hayo kwa sababu ya njaa tu hakuna lolote

  • @athumanhassani805
    @athumanhassani805 Год назад +2

    Huwa wanao msifia niwale wana piga kisha eti anaipiga mwigi

  • @unknownsasha8383
    @unknownsasha8383 Год назад

    Mnapoteza mda wenu tu upige kura usipige utaongozwa na yule usiemchagua anijichagua mwenyewe na watu wake

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 Год назад

      Slaa unataka cheo lkn hupewi mfamaji tapa tapa tu

  • @ahmedissa7882
    @ahmedissa7882 Год назад

    Wananchi ndio watotowa maamuzi yao

  • @josephmugala1970
    @josephmugala1970 Год назад +3

    Ulipewa ubalozi na ccm ww ni ccm

  • @barakaisiraeli
    @barakaisiraeli Год назад +1

    Watu wa akili hawapatago nafasi za kuongoza nchi

  • @malamlaaj9852
    @malamlaaj9852 Год назад

    Chadema wabebe makapi tena!!??

  • @zainaboniphace
    @zainaboniphace Год назад +2

    Hakika wewe ni nguli wa siasa

  • @vedastusngaiza5960
    @vedastusngaiza5960 Год назад

    Kumbe bado unakumbuka utaratibu

  • @ashahassan2120
    @ashahassan2120 Год назад

    Wala samia tusimchangue tena

  • @kapanyaammakitaba1538
    @kapanyaammakitaba1538 Год назад

    Hakutumika bali alitumikia vyama!

  • @eliudmsigwa4947
    @eliudmsigwa4947 Год назад +1

    iv 74 kutoa 60 n 24?

    • @condegsubscribes7911
      @condegsubscribes7911 Год назад

      Huyu mwanasiasa mwanasiasa siku zote mjanjamjanja Sana na masrahi mbele

  • @user-yb5vk2oo5i
    @user-yb5vk2oo5i Год назад

    Nyuma ya pazia itufie

  • @fredymahinda4024
    @fredymahinda4024 Год назад

    Mama yetu mkuu wa nchi yetu. Chukua maamuzi wawajibishe hao waliokula hizo pesa wanakuharibia wananchi wanakosa Imani kuona madudu yanafanyika unashindwa kuwachukulia hatua. Kamata zuia account zao. Waondoe kazin wafitis Mari zao. Wanakuharibia hao!! Kuwa km JPM. MAAMUZI MAGUMU

    • @LoxloxJuma
      @LoxloxJuma Год назад

      Anaogopa kufa kufanya nikuweka maisha yako hatarini kwakifo mwamba hakukiogopa kifu nandmn kaenda zake afe kwaajili ya tz kwamtto wakike Tena shombe shombe wa kwafalao aache kula Bata mwamba aliokwenda hanaga mfano

  • @rizikimlela8162
    @rizikimlela8162 Год назад

    Hufai kuwa raisi keasababu wewenikinyonga

  • @froma3732
    @froma3732 Год назад

    Kwani Tanzania tunapiga kura au wanawekwa kwa taarifa yako Rais Samiha atkuwepo mpaka 2030

  • @salehesalehe2967
    @salehesalehe2967 Год назад +2

    Mama atashinda 89%

  • @cleophacephelician6739
    @cleophacephelician6739 Год назад +2

    MAMA SAMIAH ATASHINDA TENA KWA KISHINDO, HATA BILA USHAURI WAKO MZEE! ONGEA MACHACHE!

    • @abisaimsewa1935
      @abisaimsewa1935 Год назад +2

      Wata mpitisha ila wanainchi hawa mtaki maisha magumu hana kauli yupo Kama tv tu remote control ipo kwingine

    • @kimilasayi2626
      @kimilasayi2626 Год назад

      Kenge wewe utampitisha na familia yako , hatutaki rais mwanamke sasa hivi

  • @allymusira2153
    @allymusira2153 Год назад +2

    Upuuzi mtupu

  • @guugug9gt829
    @guugug9gt829 Год назад

    Mama hatumtaki

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Год назад +2

    Masikini Mzee ameshapoteza uelekeo, sasa anawayawaya,,,,,!!!!

    • @salminasalim5630
      @salminasalim5630 Год назад

      Wacha kusema hivyo MMungu ndio anajuwa kila kitu wewe hujui mwache baba wa watu atueleimishe

    • @isaacmwaipopo
      @isaacmwaipopo 18 часов назад

      Hujaelimika bado

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 11 часов назад

      @@isaacmwaipopo hahahaha,,,huna ulijualo

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 11 часов назад

      @@salminasalim5630 huna ulijualo

  • @jumakiduka4625
    @jumakiduka4625 Год назад +3

    Padre Slaa, unapiga Ramli? kwanza unafiki wa kuzaliwa

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 Месяц назад

    Acha potojo na uzushi mheshimiwa samia atashinda bila wasiwasi .

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed8875 Год назад

    usiri wamelambiswa asali serekali haiko makini inaibiwa kila kona ila chadema ndio wako hoi kabisa mana ndio wana wasafisha😅😅😅

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 Год назад +1

    Mamayao anaongea tu wewe acha tuone mwishowe

  • @mohamedhaji2200
    @mohamedhaji2200 Год назад

    Slaa kaa ulee wajukuu. Hakuna utakachongea ukaeleweka. Samia atashinda tena 70%

  • @malamlaaj9852
    @malamlaaj9852 Год назад

    Wacha hiyo. Ashindwe na Nani?!

  • @jumakiduka4625
    @jumakiduka4625 Год назад +1

    ulisema si ccm , wala chadema , lakini internally you are very mucb Biased to chadema

  • @ramadhanjackson8712
    @ramadhanjackson8712 Год назад

    Mwandishi wa habari your immature bado hujajipanga vema kuzungumza na mwanasiasa mkongwe Kama huyo,sio level yako.

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 Год назад

      Nenda wewe

    • @isaacmwaipopo
      @isaacmwaipopo 18 часов назад

      Wewe huna uzoefu. Mie nimemkubali sana anamaswali mazuri sana ya kufikirisha. Na inaonekana anasoma.

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 Год назад

    Ndumi la kuwili huyu😂