RAIS SAMIA ATASHINDWA UCHAGUZI 2025/ WANAMDANGANYA/ SIRUDISHI KADI YA CHADEMA/ WANANCHI WANA KERO
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Kwa story zaidi za maisha, burudani, vipindi na za kila siku tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
►JOIN OUR WhatsApp Group chat.whatsapp....
►SUBSCRIBE / @stbongotv
►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
RATIBA ZA VIPINDI VYETU
THE BANTU JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 10 JIONI
SPOTLIGHT JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 12 JIONI
TWENDE JIKONI KILA IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 JIONI
FASHIONISTA KILA JUMAPILI SAA 1 USIKU
MR RIGHT SHOW KILA JUMAMOSI SAA 4 USIKU
KIU SERIES JUMATATU HADI IJUMAA SAA2:30 USIKU
THE SPIRIT NA IBADA LIVE KILA JUMAPILI KUANZIA SAA 4 ASUBUHI
MOVIE NIGHT NI KUANZIA JUMATANO MPAKA IJUMAA KUANZIA SAA NNE USIKU NA MARUDIO MCHANA KILA SIKU #tanzania #siasa #DktSlaa #chadema #ccm #samiasuluhu #RaisSamia #magufuli #actwazalendo
Safi sana Doctor slaa mungu Akubariki sana gombea URAISI inchi iingie Neema
Slaa hana jipya, labda arudi katika uchungaji Kanisani.
Slaa alifanya kazi kubwa sana karatu na tunampenda sana mpka kesho na anachokisema ni sahihi hana unafki
Sio kweli, huyo kinacho mponza ni udini tu, na huyu ni mtu hatari sana hatufayi hata kidogo,
WASAFI
Mhe. DR Silaa uko vizuri nimekuelewa sana.Hata ulivyosema kadi ya. Ccm hujui iko wap nimekukubal sana.wew ni mzee kijana.
Dr slaa Peter ni mfano wa wanasiasa wazuri Sana ktk taifa hili
Asante mzee naomba muendele na siasa
Naomba Mungu afutilie mbali hii serikali iliyojaa wezi.
Duh safi sana Doctor Slaa ushauri muhimu sana! Kustaafu 60 old year Doctor Slaa 74 Old year = 14 sio unamiaka 24...
Amefanya error kihisabati. Lakini yuko very smart.
Dah, mzee anaongea points kweli kweli. Mama wanampamba tuu ili wajilambie asali 😂😂😂😂
🤣🤣
Doctor very wise man 👨
Ningependa doctor uwe rais wangu
😳
Utasubiri sana kwa mpumbavu huyo eti awe rais never.
Huyo jua la jioni tena.
Doctor wewe ni genius wa siasa
Noted with thanks, dk Slaah!👍
Nabariki uchambuzi mzuri wa Dr. Slaa juu ya Siasa ya Taifa letu.
Slaa hana mpya, amekwisha itumikia nchi vyema yeye amekinai siasa, kweli ana haki ya kuoumzika.
Ni kweli Samia atashindwa anadutenganisha watanzania kwa misingi ya chuki na fitna kwa wasanii haswa WCB.....Samia must fall#❤❤❤❤❤❤
Sasa WCB na samia wapi na wapi
Acha ujinga wa WCB ha sijui ndio nini Kwa Tanzania. Mtu analima viazi makambako anapata Mbolea kwa bei nafuu na anavuna vya kutosha wewe unamwambia mambo ya WCB wakati hata hajui ni nini.
Samia tunamchinja haturdii kuongozwa na wanawake tena never mwanamke hafai kuwa kiongoz wa taifa
Person Peter
NI VIZURI KUTOA MATAMSHI YAKO UKIJUA RAIS SAMIA ANA FAMILIA NI USHUNGU MWINGI SANA WANAWE WAKISIKIA ETI WEWE NI MCHINJAJI . BIBLIA YATUFUNZA LOLOTE ULIFANYALO OMBA MWENYENZI MUNGU AKIKUJALIE NA UNJUE KUNA WATU WENGI TUNAMPENDA RAIS SAMIA NA TUNAJUA WANAWAKE NI WENGI .
Kweli kabisa
Kiukweri Mzee wangu mm nakupenda sana tena sana
KAZI YA MUNGU ILIMSHINDA NA KUFUATA KAZI YA SHETANI.
@@Abdallah-hr3hd kwa Hilo mm sihusiki atajuana na Mungu wake
Napataje hicho kitabu
DR.Slaa rasmi rudi Chadema gombea Urais, una nguvu za kipekee na kuongoza nchi.
Hatuna Raisi tumepigwa
Dr Slaa shupavu sana
Umeongeza ukweli mtupu
Samia watampisha ila kiuhalisia hatu saidii chochote
Ashinde au ashindwe yote sawa lkn bado atabaki ktk kumbukumbu ya kuwa amefanya mambo makubwa sana ❤
Acha uchawa we punguani
@@talents7934 be blessed ma men, accepted if matters u anything, FLABBERGASTED
Watanzania hatutataka vyamavyama wala mipirapira inaonekana watu wameviweka mbele kuliko Mungu
Nyie vijana wa 2000 mnae msema silaa vibaya hamjui siasa anacho kisema mzee kasha jua ukweli
Unadhani watu wapo karatu tuu au mbea tuu tanzania kubwa cc siwanasiasa ispokua tatizo mnapenda madaraka kesho mtu akipewa cheo bas anawasaliti raiya
HAJAWAHI KUKOZEA WHEN IT COMES TO ISSUES OF POLYTICAL ANALYSIS
Hayo mabilion yaliyo ibiwa sindio hayohayo yata mpitisha urahisi na watanzania na wanawake eti tunapewa mkopo kumbe hizohizo no Mari za watanzania lichafueni Sana taifa Ila upo mbadala wa jpm zitakuja ziwatokee puan
Huyo Mzee ni Chadema
Rafiki wa jiwe,mama angemwachia ubalozi asingeongea,njaa tu.
Dk angefungua shule ya kufundisha vijana watanzania siasa....
Kweli kabisa huyo mzee ana madini adimu ya siasa safi
SORRY MTU KM HUYO WEWE SI SIZE YAKO PLEASE(UTAKUA MWEPESI SANA NAFKIRI)CJUI LABDA UTAMUWEZA
Huyu ndo mwanasiasa niliyemkubali
Kabisa
TIMU ZANZIBAR MUNAMSEMA SAMIA SANA KISA MZANZIBAR ILA IKIFIKA 2025 MSIJE MKALIAA TU MACHOZII DAMU
Waa Tanzania tuache kupenda kudanganywa hana ukweli huyooo
Ni kweli atashindwa, Bora aache kugombea maana ataaibika.
Nchi ni kubwa xana kuliko Mama
Slaa ni mjinga tu hana jipya ndumilakuwili huyo.
CDM yenyewe wanalamba asali kwa kwenda mbele.
Huyo sio mtu wa kuhojiwa hana msimamo.
Dah! kwer saiv pesa imekuw ngum hata kwa tochi ni mbinde🤔🤔
Ni mtu mwenye akili sana Anafanya analysis vizuri mno ,,very objective ,, masomo aliyosoma yamemsaidia sana
Ee Mungu Mfalme wa Ulimwengu, tunaomba Rais wa Tanzania anayetuongoza kwa uongozi unaotoka kwako.
Mpenda haki
Mama Samia atashinda kwa kishindo (over 70%) Mzee apumzike naona umri umeathiri ubongo wake kwa kiasi kikubwa
Brother uelewa wako ni mdg sana tulia
Maridhiano lazima yawekwe public.
Kwa kuwa it has something to do with wananchi.
Hapo mh Mbowe amekosea.
Inabidi aongee na umma.
Dr ongoza jahazi la chadema tupate katiba mpya wananchi tunakuhitaji bado
Mbivu na mbichi zitajulikana 2025
Point sana umeongea
@@kimangu1 Katiba ya Chadema ? Katiba ni mkataba mpya Wazanzibar tumechoka na Muungano uliopo unatuaminisha je kusaini mkataba mpya. Ni vigumu sana kupata Katiba mpya Tanzania.
Mzee yupo vema sana
Sio karatu tu ni nchi nzimz acha wampake mafuta kwa chupa ya mgongo
Kuna maeneo Mzee unahoja kimsingi. Hasa ulipozungumzua political maturity lakini Kuna wakati haeleweki kiasi kwamba ninaona unafiki mkubwa na kuona kuwa ni msaka tonge tuu kama wasakatonge wengine.
ACT mageuzi!!
Kikubwa uhai
Siasa za kimalaya malaya😂
Mzee kwanza pole naona mkono wa kushoto una shida ya stroke lakini Kama ulivyosema move on and rest
Unajidanganya rais Samia atashinda usipoteze watu uchaguzi bado
Kama uchaguzi utakuwa kama zamani atapita
Kama uvhaguzi utakuwa wa hakisitegemei
Kwan ccm iliwahi kushinda lin Kwa haki zaid yakupora uchaguzi na kujipa ushind wa uwongo wapate kula asali pekeyao tu..
Kuacha active party politics sawa je wananchi wakikutaka uhudumie kisiasa?
2025 mabadiliko ni lazima
Siku nyingine kijana ujipange kufanya interview na Dr.
Huo Mkono Wa Kushoto Wa Dk Slaa Umepooza Ama
Uwongo hamtoweza kumshinda raisi samia sila sio mpinzani wewe ni mbaba ishaji ulipo kuwaa balozi hujaongea chochote kuutetea upinzani acheni ubabaishaji nakufanya watoto wamasikini wakiuwawa pasina sababu
Yuko vizuri Sana Ni jasri Sana w,slaa Ni magufuli kabisaa
Huyu mzee 2025 agombee kura yangu anapata
Zanzibar yote samia anakura zake kma rais wa muungano ni yeye tu samia kusema anataka au hatakiii
Kwani ccm gani aliwahi kushinda uchaguzi c wizi tu wa uchaguzi.
Kuna umri flani ukifika mtu anatakiwa kuwa karibu sana na MUNGU Kwaajili ya kuiandaa safari ya maisha bora baada ya haya ya duniani, kwa mfano mafundisho ya yesu ame fundisha ya kuwa MUNGU ni mmoja, na hakuna mwingine , na amesema MUNGU wake ndio MUNGU wetu, na yeye ni MTUME wa MUNGU tuu, na haja wahi kufindisha utatu, je ana yaamini hayo ili apate uzima wa milele?
Kaugeugeu ndo shida mungu ni mwema
Udini ndio tatizo angekuwa muungwana asengeondoka chadema kinachomliza zaidi kwa nini Mama Samia karuhusu vyama Vingi kufanya mikutano yao na kujaribu kuondoa malumbano.Mama Kampiga na chini
Mama hana uwezo wa uongozi kabisa, labda awe kiongozi wa mkoa wa Zanzibar
Kwakweli wananchi walalamikaji laisi mlalamikaji
Babu hana sera mbona alikihama chadema hana sera,,
wenye chadema tuliwaona wakati wa magufuli walipokuwa na watikati mgumu
Chadema chawa wa samia
Wanawake wanaweza uongo
Tena wanaume siku hizi ndo waongo usipime
@@beatricekatunzi903 Hautanielewa mpk uwe mkubwa
Anayasema hayo kwa sababu ya njaa tu hakuna lolote
Huwa wanao msifia niwale wana piga kisha eti anaipiga mwigi
Mnapoteza mda wenu tu upige kura usipige utaongozwa na yule usiemchagua anijichagua mwenyewe na watu wake
Slaa unataka cheo lkn hupewi mfamaji tapa tapa tu
Wananchi ndio watotowa maamuzi yao
Ulipewa ubalozi na ccm ww ni ccm
Watu wa akili hawapatago nafasi za kuongoza nchi
Ni kweli
Chadema wabebe makapi tena!!??
Hakika wewe ni nguli wa siasa
Ajapata kurambishwa hasari
Kumbe bado unakumbuka utaratibu
Wala samia tusimchangue tena
Tumia akr
Hakutumika bali alitumikia vyama!
iv 74 kutoa 60 n 24?
Huyu mwanasiasa mwanasiasa siku zote mjanjamjanja Sana na masrahi mbele
Nyuma ya pazia itufie
Mama yetu mkuu wa nchi yetu. Chukua maamuzi wawajibishe hao waliokula hizo pesa wanakuharibia wananchi wanakosa Imani kuona madudu yanafanyika unashindwa kuwachukulia hatua. Kamata zuia account zao. Waondoe kazin wafitis Mari zao. Wanakuharibia hao!! Kuwa km JPM. MAAMUZI MAGUMU
Anaogopa kufa kufanya nikuweka maisha yako hatarini kwakifo mwamba hakukiogopa kifu nandmn kaenda zake afe kwaajili ya tz kwamtto wakike Tena shombe shombe wa kwafalao aache kula Bata mwamba aliokwenda hanaga mfano
Hufai kuwa raisi keasababu wewenikinyonga
Kwani Tanzania tunapiga kura au wanawekwa kwa taarifa yako Rais Samiha atkuwepo mpaka 2030
Mama atashinda 89%
😳
Mama yuko vizuri atashinda kama upepo wa kisulisuli
MAMA SAMIAH ATASHINDA TENA KWA KISHINDO, HATA BILA USHAURI WAKO MZEE! ONGEA MACHACHE!
Wata mpitisha ila wanainchi hawa mtaki maisha magumu hana kauli yupo Kama tv tu remote control ipo kwingine
Kenge wewe utampitisha na familia yako , hatutaki rais mwanamke sasa hivi
Upuuzi mtupu
Mama hatumtaki
Masikini Mzee ameshapoteza uelekeo, sasa anawayawaya,,,,,!!!!
Wacha kusema hivyo MMungu ndio anajuwa kila kitu wewe hujui mwache baba wa watu atueleimishe
Hujaelimika bado
@@isaacmwaipopo hahahaha,,,huna ulijualo
@@salminasalim5630 huna ulijualo
Padre Slaa, unapiga Ramli? kwanza unafiki wa kuzaliwa
Unafiki ni sehemu ya Maisha, Haukwepeki.
Dk unaupeo mpana sana
Acha potojo na uzushi mheshimiwa samia atashinda bila wasiwasi .
usiri wamelambiswa asali serekali haiko makini inaibiwa kila kona ila chadema ndio wako hoi kabisa mana ndio wana wasafisha😅😅😅
Mamayao anaongea tu wewe acha tuone mwishowe
Slaa kaa ulee wajukuu. Hakuna utakachongea ukaeleweka. Samia atashinda tena 70%
Akipewa mkati anakaa ccm fasta
Wacha hiyo. Ashindwe na Nani?!
ulisema si ccm , wala chadema , lakini internally you are very mucb Biased to chadema
Yangu macho ninakaa pale 2025 ila Bora ifikie 2
Yangu macho ninakaa pale 2025 ila Bora ifikie 2
Mwandishi wa habari your immature bado hujajipanga vema kuzungumza na mwanasiasa mkongwe Kama huyo,sio level yako.
Nenda wewe
Wewe huna uzoefu. Mie nimemkubali sana anamaswali mazuri sana ya kufikirisha. Na inaonekana anasoma.
Ndumi la kuwili huyu😂
Yuko juuu såna weee ni mtu usiyemjua huyo kichwa