DUH! SHEIKH KADOGOO APOKEA SMS NA SIMU ZA KUSHANGAZA KUTOKA KWA MASHEIKH WA CCM, AWAPA ONYO KALI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • #TANZANIA: Sheikh Kadogoo apokea SMS na simu za kushangaza kutoka kwa Masheikh wa CCM, awapa onyo kali.
    Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Комментарии • 27

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 2 месяца назад +2

    Shekhe hongera upo vizuri mungu akulinde

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke 2 месяца назад +2

    Uko vizuri sana shee kadogo big up

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t 2 месяца назад +2

    Hongera baba

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo Месяц назад

    Hii ni namba nyingine...ni "jiwe" la kuleta mabadiliko...
    Allah akulinde!!

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 2 месяца назад +3

    No fear hao ni mashehee ubwabwa na kajimati that only what they expect to get from ccm kadogo tusiwaogope hao ni mashehee kazu na ubwabwa tuu

  • @ulimbagakipole3971
    @ulimbagakipole3971 2 месяца назад

    Nakupendaje.

  • @amanmwalyambi1416
    @amanmwalyambi1416 2 месяца назад

    I admire this shekh

  • @fauzseif7344
    @fauzseif7344 Месяц назад

    Huyo sio shekhe kufuga ndevu

  • @fauzseif7344
    @fauzseif7344 Месяц назад

    Hamna sera bali nikulalamika tu niefanyiwa hivi mimi nifanyaiwa hivi mkifanya makosa muachiwe tu hakuna serekali ya hivyo

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636 2 месяца назад

    MH Ally kadogoo elimu imepenyeza ndani ya Taifa na vichwani mwa watanganyika ndiyo maaana, unatumiwa SMS zisizo na afya Kwa Taifa letu

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 2 месяца назад

    Shehe umeongea vizuri

  • @user-qz2cs5wm5u
    @user-qz2cs5wm5u 2 месяца назад

    Ao mashehe wanao kulaumu wanaasili ya utumwa maana mtumwa anakua anaaki yoyote yakulalamika

  • @SalumKapona
    @SalumKapona Месяц назад

    Haudumu happ

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 2 месяца назад

    huyu jamaa ange kua nafasi ya tundu lisuu

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 2 месяца назад

    tunaomba bendera za ccm kwa wingiii

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg 2 месяца назад

    Kumbe kunà masheikh wa cccm

  • @JosephIbrahimu
    @JosephIbrahimu 2 месяца назад

    Shehe ukovizi mno

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 2 месяца назад

    M SAIZ SIMUAMIN MWANASIASA YEYOTE N UPUUZ TU

  • @SalumKapona
    @SalumKapona Месяц назад

    Kadogoo umechemka

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 2 месяца назад

    We muongo chadema hakina nguvu

  • @MagrethKatondo-qs9oz
    @MagrethKatondo-qs9oz Месяц назад

    Bandari. Bandari. Bandari