DUH! SHEIKH KADOGOO APOKEA SMS NA SIMU ZA KUSHANGAZA KUTOKA KWA MASHEIKH WA CCM, AWAPA ONYO KALI
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- #TANZANIA: Sheikh Kadogoo apokea SMS na simu za kushangaza kutoka kwa Masheikh wa CCM, awapa onyo kali.
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram
Shekhe hongera upo vizuri mungu akulinde
Uko vizuri sana shee kadogo big up
Hongera baba
Hii ni namba nyingine...ni "jiwe" la kuleta mabadiliko...
Allah akulinde!!
No fear hao ni mashehee ubwabwa na kajimati that only what they expect to get from ccm kadogo tusiwaogope hao ni mashehee kazu na ubwabwa tuu
Nakupendaje.
I admire this shekh
Huyo sio shekhe kufuga ndevu
Hamna sera bali nikulalamika tu niefanyiwa hivi mimi nifanyaiwa hivi mkifanya makosa muachiwe tu hakuna serekali ya hivyo
MH Ally kadogoo elimu imepenyeza ndani ya Taifa na vichwani mwa watanganyika ndiyo maaana, unatumiwa SMS zisizo na afya Kwa Taifa letu
Shehe umeongea vizuri
Ao mashehe wanao kulaumu wanaasili ya utumwa maana mtumwa anakua anaaki yoyote yakulalamika
Haudumu happ
huyu jamaa ange kua nafasi ya tundu lisuu
tunaomba bendera za ccm kwa wingiii
Muombe mama yako mama abduli
Kumbe kunà masheikh wa cccm
Shehe ukovizi mno
M SAIZ SIMUAMIN MWANASIASA YEYOTE N UPUUZ TU
😂😂😂😂😂
Kadogoo umechemka
Wew ndio umekoroga rudi shule ukasome 😂
We muongo chadema hakina nguvu
Unachuki za kidini na chuki za kisiasa chukiza uchawa kwa mama kilemba
Hakina nguvu basi uchaguz uwe huru
Punguza wivuu na makasiriko 😂😂
Bandari. Bandari. Bandari