PAMBALU AWALIZA WAZEE INSHU YA TASAF, DIWANI KUUZA MAENEO, "MPAKA LINI MTAENDELEA KUTESWA NA CCM?"
HTML-код
- Опубликовано: 17 июн 2024
- #TANZANIA: John Pambalu, Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa awaliza wazee akitoa hotuba yake katika Kata ya Mitundu mkoani Singida, adai wazee wanafanyishwa kazi ili wapate pesa za TASAF, aelezea mengi mazito, auliza mpaka lini wataendelea kuteswa na CCM?, awataka waachane na CCM.
Zaidi: • PAMBALU AWALIZA WAZEE ...
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram
Pamoja sana pambalu
Nakukubali pambalu
Jamaa amechoka kwa njaaa halafu nae anataka uongo Sibslaahi
Pamoja kiongoz
Mungu ni mwema siku zote
Hongera Pambalu
IQ ya MH Pambaru ni kubwa inawatesa Sana CCM, unafundisha elimu iliyopotea hapa nyumbani kwetu Tanganyika, wewe ni mwalimu Bora sana ktk maisha ya watanganyika, waelewe wameanza kuyaelewa unayofundisha Mungu yupo pamoja nawe ktk kuielimisha, kuifundisha jamiii iliyopo mbele yako ielewe kinachojiri nchini kwetu Tanganyika
Fisiyemu acha sindano iwaingie
Nchi imechangamka kwa sababu ya mikutano
Kula chuma iko --- Chuma kweli kweli , Kama mwinjilisti.
Waambie hao
Kabla kuvuma America uingereza, ujerumani,ufaransa,ubelgiji. Nk hawa ndio walioitengeneza Africa hii tunayo taabika nayo nyinyi ngome yenu ujermani sasa kuna ukombozi kweli? Hebu mtuache na maneno yenu mazuri zamira zenu mbaya hapa tutatafuta makored wetu na kuwapa nchi asante.
Kila kona kilio
Nawe mwizi mtarajiwa
Ndio upumbavu wenu huo
Waliologwa wakalogeka utawaona kwa mavazi yao na maneno yao..!!
Masisiem ni majizi yaende