PAMBALU AWALIZA WAZEE INSHU YA TASAF, DIWANI KUUZA MAENEO, "MPAKA LINI MTAENDELEA KUTESWA NA CCM?"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 июн 2024
  • #TANZANIA: John Pambalu, Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa awaliza wazee akitoa hotuba yake katika Kata ya Mitundu mkoani Singida, adai wazee wanafanyishwa kazi ili wapate pesa za TASAF, aelezea mengi mazito, auliza mpaka lini wataendelea kuteswa na CCM?, awataka waachane na CCM.
    Zaidi: • PAMBALU AWALIZA WAZEE ...
    Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Комментарии • 17

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 12 дней назад +4

    Pamoja sana pambalu

  • @JoshuaStanley-qu3im
    @JoshuaStanley-qu3im 2 дня назад

    Nakukubali pambalu

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d 9 дней назад +1

    Jamaa amechoka kwa njaaa halafu nae anataka uongo Sibslaahi

  • @admaumsengi4230
    @admaumsengi4230 7 дней назад

    Pamoja kiongoz

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 9 дней назад

    Mungu ni mwema siku zote

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 11 дней назад

    Hongera Pambalu

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636 12 дней назад

    IQ ya MH Pambaru ni kubwa inawatesa Sana CCM, unafundisha elimu iliyopotea hapa nyumbani kwetu Tanganyika, wewe ni mwalimu Bora sana ktk maisha ya watanganyika, waelewe wameanza kuyaelewa unayofundisha Mungu yupo pamoja nawe ktk kuielimisha, kuifundisha jamiii iliyopo mbele yako ielewe kinachojiri nchini kwetu Tanganyika

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 12 дней назад +1

    Fisiyemu acha sindano iwaingie

  • @PastorBiluko-wl1ex
    @PastorBiluko-wl1ex 12 дней назад

    Nchi imechangamka kwa sababu ya mikutano

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 7 дней назад

    Kula chuma iko --- Chuma kweli kweli , Kama mwinjilisti.

  • @yudanziku6030
    @yudanziku6030 12 дней назад

    Waambie hao

  • @nongollohsuleyman9734
    @nongollohsuleyman9734 6 дней назад

    Kabla kuvuma America uingereza, ujerumani,ufaransa,ubelgiji. Nk hawa ndio walioitengeneza Africa hii tunayo taabika nayo nyinyi ngome yenu ujermani sasa kuna ukombozi kweli? Hebu mtuache na maneno yenu mazuri zamira zenu mbaya hapa tutatafuta makored wetu na kuwapa nchi asante.

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 11 дней назад

    Kila kona kilio

  • @ThomasLucas-rh7wf
    @ThomasLucas-rh7wf 12 дней назад +1

    Nawe mwizi mtarajiwa

  • @BenardBwakitare
    @BenardBwakitare 12 дней назад

    Masisiem ni majizi yaende