MAPYA YAIBUKA MGOMO KARIAKOO,MWENYEKITI AFUNGUKA A-Z"NILIPIGIWA SIMU USIKU NIENDE DODOMA,SIKUOGOPA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • #uhondotv #uhondo

Комментарии • 203

  • @emmanuelsitayo1977
    @emmanuelsitayo1977 Год назад +11

    This man is a people's true leader.

  • @goldenmaduhumedia4681
    @goldenmaduhumedia4681 Год назад +9

    This man is a leader

  • @ibraagwanda4683
    @ibraagwanda4683 Год назад +8

    Safi sana wafanyabiashara wa kariakoo, mmeonyesha nguvu ya umma.

  • @rahmaabdallah728
    @rahmaabdallah728 Год назад +5

    Huyu baba nimempenda Ana point Sana Allah akulinde

  • @benhorta5121
    @benhorta5121 Год назад +10

    Mungu akupe afya njema na uzima, ulinzi

  • @edithajoseph7675
    @edithajoseph7675 Год назад +19

    Mungu nakuomba umlinde dungu huyu na kila baya watakalo mzushia liwarudie wenyewe na kila kaburi watakalo mchimbia waingie huko Wawo na familia zao. Damu ya Yesu ikuzunguke usiku na mchana wewe na familia yako.

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 Год назад +3

    This man is apple 🍎

  • @mohamedjeizan5929
    @mohamedjeizan5929 Год назад +8

    TRA ni wasumbufu sana sana kuanzia mipakani na SI kweli serikali kama hawalitambui ila viongozi kuanzia waziri wa fedha ndio kiini Cha matatizo

  • @mr.machange1377
    @mr.machange1377 Год назад +1

    bright sana

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 Год назад +4

    Good job brother ❤❤❤❤❤❤

  • @damaspmtz1018
    @damaspmtz1018 Год назад +3

    Chalamila akitoka hapo dar es salaam unatakiwa wewe ndiye uwe Mkuu wa Mkoa wa hapo

  • @michaelelia7058
    @michaelelia7058 Год назад +3

    Kinacho endelea ni mgomo kwanini wamechoka safi sana 😂😂😂 MUNGU akulinde aiseeee

  • @charlzlomo9219
    @charlzlomo9219 Год назад +10

    Tanzania na Kenya inabahati ya kuwa na viongozi sio watawala awamu hii lakini waongozwa wanatest

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Год назад +13

    Kiongozi mzuri huyu safari sana

  • @dominikishilali4645
    @dominikishilali4645 Год назад +3

    una ongea ww kiongozi naumia mm pole sana

  • @saidkanji9882
    @saidkanji9882 Год назад +2

    Safi sana

  • @theroggyplus255
    @theroggyplus255 Год назад

    TRUE LEADER

  • @sudymlela1705
    @sudymlela1705 Год назад +2

    HAPO MWISHO, TULIOSOMA QUBA TUMEMUELEWA MWENYEKITI😄😄😄😄

  • @HisaniMsigwa-lc6zk
    @HisaniMsigwa-lc6zk Год назад +4

    Jaman kufanya biashara ni kazi ngumu sana sana

    • @jeffhard5773
      @jeffhard5773 Год назад

      Hasa kwa nchi yenye utawala wa marafi Rafi ya madaraka huku hayana kalama za uongozi si nyingine Bali ni hii Tanzania

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe Год назад +2

    👊

  • @lastkinglastking3326
    @lastkinglastking3326 Год назад

    19:20 tunamupasuwa😂

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Год назад +1

    Huyy ni kiongozi

  • @Zenny89
    @Zenny89 Год назад +3

    Serikali huwa inawadharau sana wafanyabiashara..hawajui biashara hizo ndizo zinalipia Suti, kaundasuti, ada za watoto wao na maVX yaoo.

  • @machoguhamery3731
    @machoguhamery3731 Год назад +2

    Tuliambiwa Magufuri ndiye alikuwa anakusanya kodi kwa mtutu akumbe alisingiziwa maana migomo kama hii haikuwahi kutokea enzi ya uongozii wake. Hili funzo kubwa tusiingie madarakani tukasahau mema ya watangulizi wetu.

  • @allenmhando8443
    @allenmhando8443 Год назад

    Wakati wa magufuli,dhubutu.

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 Год назад

    rais mtarajiwa 2025

  • @victoreleonardmdee9158
    @victoreleonardmdee9158 Год назад

    Walipe Kodi Waache Milioni Mingi

  • @kondoatown8765
    @kondoatown8765 Год назад

    Mwenyekiti wa Wafanyabiashara, ongeleeni na inshu ya VAT , mauzo ya 100 per yr kwa sasa ni kiwango kidogo mno , Serikali waingalie hii kwa sasa toka kiwango hicho kiwekwe bei zimegeuka Wafanyabiashara wanaumizwa kwa hili, miaka takiribani 30 sasa hawaoni bei zimegeuka hta huyo machinga kwa sasa mauzo yke ni 100 kwa mwaka kwahiyo hadi machinga anatakiwa kwny VAT

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 Год назад

    Nilijua tu anawapanga huyo

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Год назад

    Hongera wafanyabiashara kwa msimamo

  • @BennyNgatunga-hx2yf
    @BennyNgatunga-hx2yf Год назад +1

    Serikali itaku felisha kaka tupo apa

  • @malindimalindimerinyo1632
    @malindimalindimerinyo1632 Год назад

    Mjinga akierevuka mwerevu huwa mashakani..na umoja ni nguvu

  • @rinusrichard
    @rinusrichard Год назад

    HUYU NI KIONGOZI

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Год назад +3

    Loh! Nakuaminia kiongozi, hawajakosea kukuchagua, wakuombee Mungu sana wakati unapambana na hao wasio na utu wako kama simba wala watu!

  • @victoreleonardmdee9158
    @victoreleonardmdee9158 Год назад

    Walipe Kodi Waache Milioni Mingi

  • @mbondelotv8380
    @mbondelotv8380 Год назад +10

    Akipotea huyu tunawaambia nchinzima tutaandama.Ole wenu apotee

  • @walidmgonja3644
    @walidmgonja3644 Год назад +13

    Waziri wa fedha ni tatizo,naishangaa sana serikali hasa mamlaka ya uteuzi kuendelea kumvumilia waziri wa fedha kwa kuboronga kila pahali

  • @charlzlomo9219
    @charlzlomo9219 Год назад +4

    Achen ujinga na upuuzi makufuri mngemfanyia hivi???????

  • @saimonseleka8792
    @saimonseleka8792 Год назад +8

    Peke yangu nawaza yani usipokuwa na hadhi fulani hata kama una fact huwezi sikilizwa

  • @oscarmlaponi8355
    @oscarmlaponi8355 Год назад +6

    Huyu jamaa anajua sana kuwaandaa watu, kaanzia mbali sana hahahaahah, alafu kawarudisha dhamira yake ni maduka yafunguliwe

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Год назад +1

    Waziri mkuu ni mwelewa sana, nimemuelewa na anaelewekaga..kiongozi

  • @yusufunguruko8080
    @yusufunguruko8080 Год назад +7

    Yeah, wewe ni kiongozi, sifa za kiongozi kwanza ni kuwa na ushawishi kwa unaowaongoza, hekima na busara, usiwe muoga, na uwe na misimamo itakayoleta utatuzi wa shida iliyopo. Kiongozi hutakiwi kuamua mambo kutokana na mihemko ya wale unaowaongoza bali uamue kwa kufuata njia ambayo unaona ndio sahihi itakayoleta solution ya shida iliyopo na kubwa zaidi kiongozi unatakiwa uwe mzuri ktk kujieleza na kuwasilisha kile unachotakiwa kukiwasilisha kwa watu wako kiufasaha na busara na hatimae wakielewe na kukubaliana nacho - Kwa hili bro naona haya yote umekuwa nayo na kwa kweli approach uliyoitumia ya kuwashawishi viongozi wakuu wa serikali wao wenyewe kuja kutoa majibu mbele ya wananchi wako hiyo ndio imekuwa kete kubwa sana iliyokupa nguvu na kukuweka huru mbele ya wale unaowaongoza - hongera sana sana uko vizuri mno !

  • @harunrhobi3007
    @harunrhobi3007 Год назад +12

    Nimekuamini sana kupitia maongezi yako, Mungu wetu akutangulie katika safar hii ya usuluisho.

  • @aseelaisaa428
    @aseelaisaa428 Год назад +10

    Hongeraaaa sanaaaa Mwenye kiti safiii yote. Maneno ya busara na hekma. Nduo uongozi.

  • @ismailsalumu1112
    @ismailsalumu1112 Год назад +5

    M/Kiti wa wafanyabiashara kariakoo umepevuka akili
    Hakika unaongea points

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 Год назад +8

    Ndo hivo, Kiongozi unapaswa kuongea hivo kwa misimamo!

  • @DavidikaAldo-ky4ek
    @DavidikaAldo-ky4ek Год назад +7

    Baba mbarikiwa alisema mwanadamu Kwa upole wowote ukimugusa sana atatumia nguvu yake ya mwisho kutatua tatizo lake

  • @JomoJomo-g4q
    @JomoJomo-g4q 3 месяца назад +2

    Hongera mweshimiwa

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 Год назад +5

    Huyu jamaa ilifaa kua kiongozi mkubwa au kua bungeni maana anaonekana ni mtu Alie ishi na uhalisia wa maisha ya kawaida

    • @bockerbocker8495
      @bockerbocker8495 Год назад

      Wenye akili kubwa kama hizo huwa hawapewi nafasi

  • @erickzephania1030
    @erickzephania1030 Год назад +4

    Aya mambo ni ya mda mrefu.. na Serikali inayafahamu. Iyo wiki ni ya nn zaidi ya viongozi kutoa maamuzi..!?

    • @mwaaang
      @mwaaang Год назад

      Basi wavunje uongozi wao waendelew kugoma kila mtu ashinde mechi zake

  • @mghuna
    @mghuna Год назад +5

    Huyu ndio mfano wa kiongozi anatakiwa awe hvi kiongozi ndio njia

  • @maulidmnukwa3171
    @maulidmnukwa3171 Год назад +6

    I repeat again the guy is more than smart itself....

  • @emmyanold9306
    @emmyanold9306 Год назад +4

    Mungu nakuomba umlinde huyo mwenyekiti maana hawajui kujitetea wanaishia kufa na mapresha

  • @petersilas4234
    @petersilas4234 Год назад +5

    Ni wakati pia wa wafanyabiashara wa kariakoo kuwa waangalifu, kitovu Cha biashara kinaweza kuhama!!??

  • @nimlambangu2771
    @nimlambangu2771 Год назад +5

    Uko sahihi sana, malaika wa bwana wakulinde,wasiojulikan a wasikuone, na baada ya yote ukavalishwe taji

  • @richardmagaka9525
    @richardmagaka9525 Год назад +8

    Dah mwenyekiti nimekupenda bure uko vizuri sana

  • @nailaty
    @nailaty Год назад +8

    Watanzania tukipendana hivi tutaendelea mungu akulinde mwenyekiti

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 Год назад +12

    Hata Mimi nimeichoka Serikali...

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 3 месяца назад

    Wamezoweya nikuondoka wote watafute kazi nyingine kibuli Cha ccm mungu anawaona tu ipo siku wabongo wataamuka

  • @andrew29468
    @andrew29468 Год назад +3

    Upo vzr mwenyekiti, mihemuko ikemee upo vzr sanaaa
    Nimependa tuna watu wazuri sanaa nchi hii,huyu jamaa yupo safii mtii

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 Год назад +6

    Kiongozi umeongea kiutu uzima sana Mungu akulinde

  • @mwaaang
    @mwaaang Год назад +2

    Huyu ni kiongozi na nusu. Mnapompa kazi. Mpimeni kwa muda huo alioumba. Kama hamtaki, mtoeni mwekeni mtu mwingine au endeleeni na harakati zenu mpimane nguvu na serikali mpaka mmoja atakapo surrender. Tutajua nani anamtegemea nani. Yetu macho.

  • @DeusiMorisi
    @DeusiMorisi 3 месяца назад

    Uliposema tu kiongozi wa chama kinachotesa watu nimekutoa kwenye ufahamu ukitaka hama

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 2 месяца назад

    Mwigulu hafai kuendelea kuwa waziri wa fedha.Sijui kwanini, mama hamtengui?

  • @salama1113
    @salama1113 Год назад +5

    Safi sana yy c anatwambiaga twende burudy😂😂😂

  • @lailalaila8206
    @lailalaila8206 Год назад +1

    vijana wengi hamjawajiri nyie serekari vijana wamejiajiri wenyewe bado mnawanyanyasa na kuwanyonya nch inakufa kwa mfumo hu hamtatoboa uyo mnaemuita mama ndio chanzo ya yote hayo yye ndio ametoa tamko na kod zembe na makato ya kijinga watu wamechoka jmn mnatufanya kama wajinga futen izo tozo za kijinda bola wamefunga maduka tuone izo kod mnakusanya wap

  • @apollobupolo9884
    @apollobupolo9884 Год назад

    Nimekukubali sana mwamba ......wewe ndio kiongozi sasa sio hao wanaokaa kwenye maviti yakuzunguka nakula rushwa ovyo tu tushawachoka sana

  • @ambitiousholyspirit395
    @ambitiousholyspirit395 Год назад +6

    huyu jamaa Mungu amlinde maana inaonesha wazi hapendi uchawa!

  • @mkonothomas9517
    @mkonothomas9517 Год назад +2

    Mwenyekiti ameonyesha ukomavu ktk uongozi. Wadau vuteni subira yavuta heri

  • @saimonseleka8792
    @saimonseleka8792 Год назад +4

    Mi najaribu kufikiria tu! asingekuwa ni mwenyekiti wa chama ingekuwaje

  • @DominikoTvOnline
    @DominikoTvOnline Год назад +22

    This man is powerful

  • @mukhutarymatimbwa864
    @mukhutarymatimbwa864 Год назад +4

    Leo nimeamini serikari Inatumia wanasaikolojia vizuri sana

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika6321 Год назад +5

    Jamani tumusikilize mwenyekiti jamani amepambana sana

  • @ibraagwanda4683
    @ibraagwanda4683 Год назад +2

    Kamanda Mbwana usilegeze kamba kiongozi, serikali na Tra wanaona wafanyabiashara kama mandezi.

  • @mustafaally274
    @mustafaally274 Год назад +12

    Brother wewe ni zaidi ya mwanaharakati
    Mungu akulinde,kwa pamoja tutashinda
    We love you

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Год назад +1

      Mwenyeketi we we ni kiongozi unayejitambua

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Год назад +1

      Kaka we we usiogope kaka mungu yuko na we we hayo magugu yameka tu kusubiri kodi zetu

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Год назад +1

      Mweshimiwa mwenyeketi wewe usiogope mungu yuko na wewe usiofu kaka hayo majini yaliyojikalia tu kwenye viyoyozi ayajuhi shida watu wanazopata kariako

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Год назад

      Mwenyeketi wewe ni big up usiofu chochote wewe ni kiongozi wetu tuko nyuma yako kwa asilimia mia moja mijitu imeka kwenye ic inazunguka na vitu vya kuzunguka theni yanasubiri mitozo ili ijichulie inafikiri itaishi milele inakosa ata hofu ya mungu ata sijuhi kwa nini mungu asiishukie hiyo migugu iliyoka kama ndezi hapo Dodoma inasubutu kukuambia una hamazisha mgomo mbona Mimi nimefunga biashara alafu ilo lijitu lillo kuambia una amazisha maandamano tafuta jina lake peleka kwa kaka yetu lifukuzwe kama jambazi sugu

    • @sultansallah8772
      @sultansallah8772 Год назад +2

      Kuwaamini watu haraka ndo ugonjwa unaowatesa watanzani. Yaan bingo ukiwa na ufasaha wa kutunga uongo tu umetoboa

  • @alexpuwale9653
    @alexpuwale9653 Год назад

    Hivi kwnin huyu Waziri wa Fedha asitenguliwe,uwaziri wake

  • @stevenibrahimu326
    @stevenibrahimu326 Год назад

    kuna watu wamejificha kwenye carpet lakini DMI

  • @saitotierick6745
    @saitotierick6745 Год назад

    Umetuakilisha vyema sisi wafanyabiasha wadogo

  • @barakaleader1550
    @barakaleader1550 Год назад +4

    Mmetisha msilainike mpka kieleweke

  • @shuhudiamtasiwa6646
    @shuhudiamtasiwa6646 Год назад +6

    Nimekuelewa sana mwenye kiti wangu❤❤❤

  • @godwinegasper8212
    @godwinegasper8212 Год назад +4

    hyu jamaa n kiongozi kwel

  • @tichamawani6953
    @tichamawani6953 Год назад

    Wameichoka serikalo .wameichoka serikali. Serikali imechokwa na watu wake!!!!?

  • @prijoseph4665
    @prijoseph4665 Год назад +5

    Huyu jamaa apewe ububge

  • @princenelsonsinko5237
    @princenelsonsinko5237 Год назад +1

    Kweli wèwe ni kiongozi safi

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 Год назад +1

    Dah

  • @antonyndinga8890
    @antonyndinga8890 Год назад +1

    mkuu,
    Safi Sana.
    Dawa kukusanya machine za efd kuwarudishia

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 Год назад +3

    *Mungu akubariki sanaa kaka kuendelea kutusema ss tunaodhulumiwa*

  • @aulamongi2020
    @aulamongi2020 Год назад +1

    Mwenyekiti Anastahili Kuwa Mkuu Wa Mkoa Wa Dar Es Salaam

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 Год назад

    Uliitwa na wahuni, wezi wakubwa hao wsliokuita. Wanakula hizo kodi zenu.

  • @mwijagenelsoni357
    @mwijagenelsoni357 Год назад +2

    Kweli uongea kama kiongozi safii sana na mim nakuombea wakupe kweli huo mda

  • @muna1165
    @muna1165 Год назад +5

    Safi sana kiongozi uko sawa kabisa

  • @joshuajacksonbatholomeo3408
    @joshuajacksonbatholomeo3408 Год назад +1

    Kweli

  • @williamgideme2689
    @williamgideme2689 Год назад

    Tatizo la nchi hii mheshimiwa rais achunguze kwa makini kwa nini serukali inatafuta sana pesa kwa watu wadogo wadogo, kwa mfano jana wizara ya maji imipandisha bei ya unit ya maji toka 300 sh. Kwenda 1000 yaani 350% percent, Tumekwama wapi? Tazamama gharama za hosiptali zilivyojuu, elimu,juu. Tufanye uchunguzi kwenye njia kuu za uchumi kama alivyozieleza nyerere wakati wake nchi ilikuwa maskuni tiba bure shule bure kuna nini? Mheshimiwa chunguza kuna wahujumu lazima. Fungua mlango wa uwazui wa katiba ili watu wakupe siri kwa nini.

  • @emmanuelkundael2743
    @emmanuelkundael2743 Год назад +5

    Mungu akuinue kaka,na akulindee aiseee

  • @jumaigoti7541
    @jumaigoti7541 Год назад +1

    Mwiguru na timu samia.wanajiona ikuru Ni yakwao

  • @bethkatunx7677
    @bethkatunx7677 Год назад +1

    Pole ndugu yetu kilio chetu hakina mwenyewe ukithubutu utasokotwa na wasokotaji wazoefu kwa kazi hiyo !!mungu ametuweka hapa nae atatusaidia maana ndugu zetu wametugeuka kabisa hawana huluma na sisi

  • @Veni584
    @Veni584 Год назад +2

    Suluhu ya hapo ni kuwashughulikia hao wanaowasumbua wafanya biashara

  • @sangajaffar7419
    @sangajaffar7419 Год назад +1

    Mwenyekiti uko sawa sana big up

  • @DavidMbwilo-qk1bz
    @DavidMbwilo-qk1bz Год назад +5

    Fact brother uko sahihi

  • @oscarluvanda4589
    @oscarluvanda4589 Год назад +6

    Huyu jamaa kichwa sana