Mungu nakuomba umlinde dungu huyu na kila baya watakalo mzushia liwarudie wenyewe na kila kaburi watakalo mchimbia waingie huko Wawo na familia zao. Damu ya Yesu ikuzunguke usiku na mchana wewe na familia yako.
Tuliambiwa Magufuri ndiye alikuwa anakusanya kodi kwa mtutu akumbe alisingiziwa maana migomo kama hii haikuwahi kutokea enzi ya uongozii wake. Hili funzo kubwa tusiingie madarakani tukasahau mema ya watangulizi wetu.
Mwenyekiti wa Wafanyabiashara, ongeleeni na inshu ya VAT , mauzo ya 100 per yr kwa sasa ni kiwango kidogo mno , Serikali waingalie hii kwa sasa toka kiwango hicho kiwekwe bei zimegeuka Wafanyabiashara wanaumizwa kwa hili, miaka takiribani 30 sasa hawaoni bei zimegeuka hta huyo machinga kwa sasa mauzo yke ni 100 kwa mwaka kwahiyo hadi machinga anatakiwa kwny VAT
Yeah, wewe ni kiongozi, sifa za kiongozi kwanza ni kuwa na ushawishi kwa unaowaongoza, hekima na busara, usiwe muoga, na uwe na misimamo itakayoleta utatuzi wa shida iliyopo. Kiongozi hutakiwi kuamua mambo kutokana na mihemko ya wale unaowaongoza bali uamue kwa kufuata njia ambayo unaona ndio sahihi itakayoleta solution ya shida iliyopo na kubwa zaidi kiongozi unatakiwa uwe mzuri ktk kujieleza na kuwasilisha kile unachotakiwa kukiwasilisha kwa watu wako kiufasaha na busara na hatimae wakielewe na kukubaliana nacho - Kwa hili bro naona haya yote umekuwa nayo na kwa kweli approach uliyoitumia ya kuwashawishi viongozi wakuu wa serikali wao wenyewe kuja kutoa majibu mbele ya wananchi wako hiyo ndio imekuwa kete kubwa sana iliyokupa nguvu na kukuweka huru mbele ya wale unaowaongoza - hongera sana sana uko vizuri mno !
Huyu ni kiongozi na nusu. Mnapompa kazi. Mpimeni kwa muda huo alioumba. Kama hamtaki, mtoeni mwekeni mtu mwingine au endeleeni na harakati zenu mpimane nguvu na serikali mpaka mmoja atakapo surrender. Tutajua nani anamtegemea nani. Yetu macho.
vijana wengi hamjawajiri nyie serekari vijana wamejiajiri wenyewe bado mnawanyanyasa na kuwanyonya nch inakufa kwa mfumo hu hamtatoboa uyo mnaemuita mama ndio chanzo ya yote hayo yye ndio ametoa tamko na kod zembe na makato ya kijinga watu wamechoka jmn mnatufanya kama wajinga futen izo tozo za kijinda bola wamefunga maduka tuone izo kod mnakusanya wap
Mwenyeketi wewe ni big up usiofu chochote wewe ni kiongozi wetu tuko nyuma yako kwa asilimia mia moja mijitu imeka kwenye ic inazunguka na vitu vya kuzunguka theni yanasubiri mitozo ili ijichulie inafikiri itaishi milele inakosa ata hofu ya mungu ata sijuhi kwa nini mungu asiishukie hiyo migugu iliyoka kama ndezi hapo Dodoma inasubutu kukuambia una hamazisha mgomo mbona Mimi nimefunga biashara alafu ilo lijitu lillo kuambia una amazisha maandamano tafuta jina lake peleka kwa kaka yetu lifukuzwe kama jambazi sugu
Tatizo la nchi hii mheshimiwa rais achunguze kwa makini kwa nini serukali inatafuta sana pesa kwa watu wadogo wadogo, kwa mfano jana wizara ya maji imipandisha bei ya unit ya maji toka 300 sh. Kwenda 1000 yaani 350% percent, Tumekwama wapi? Tazamama gharama za hosiptali zilivyojuu, elimu,juu. Tufanye uchunguzi kwenye njia kuu za uchumi kama alivyozieleza nyerere wakati wake nchi ilikuwa maskuni tiba bure shule bure kuna nini? Mheshimiwa chunguza kuna wahujumu lazima. Fungua mlango wa uwazui wa katiba ili watu wakupe siri kwa nini.
Pole ndugu yetu kilio chetu hakina mwenyewe ukithubutu utasokotwa na wasokotaji wazoefu kwa kazi hiyo !!mungu ametuweka hapa nae atatusaidia maana ndugu zetu wametugeuka kabisa hawana huluma na sisi
This man is a people's true leader.
This man is a leader
Safi sana wafanyabiashara wa kariakoo, mmeonyesha nguvu ya umma.
Huyu baba nimempenda Ana point Sana Allah akulinde
Mungu akupe afya njema na uzima, ulinzi
Mungu nakuomba umlinde dungu huyu na kila baya watakalo mzushia liwarudie wenyewe na kila kaburi watakalo mchimbia waingie huko Wawo na familia zao. Damu ya Yesu ikuzunguke usiku na mchana wewe na familia yako.
Hakika huyu ni mtu na nusu nimemkubali
This man is apple 🍎
TRA ni wasumbufu sana sana kuanzia mipakani na SI kweli serikali kama hawalitambui ila viongozi kuanzia waziri wa fedha ndio kiini Cha matatizo
bright sana
Good job brother ❤❤❤❤❤❤
Chalamila akitoka hapo dar es salaam unatakiwa wewe ndiye uwe Mkuu wa Mkoa wa hapo
Kinacho endelea ni mgomo kwanini wamechoka safi sana 😂😂😂 MUNGU akulinde aiseeee
Tanzania na Kenya inabahati ya kuwa na viongozi sio watawala awamu hii lakini waongozwa wanatest
charlz lomo unachokiongea hata hakieleweki
Kenya kinaturamba bwana wewe hujui unasema nini
Kiongozi mzuri huyu safari sana
I love penina wangu❤❤❤
una ongea ww kiongozi naumia mm pole sana
Safi sana
TRUE LEADER
HAPO MWISHO, TULIOSOMA QUBA TUMEMUELEWA MWENYEKITI😄😄😄😄
Jaman kufanya biashara ni kazi ngumu sana sana
Hasa kwa nchi yenye utawala wa marafi Rafi ya madaraka huku hayana kalama za uongozi si nyingine Bali ni hii Tanzania
👊
19:20 tunamupasuwa😂
Huyy ni kiongozi
Serikali huwa inawadharau sana wafanyabiashara..hawajui biashara hizo ndizo zinalipia Suti, kaundasuti, ada za watoto wao na maVX yaoo.
Tuliambiwa Magufuri ndiye alikuwa anakusanya kodi kwa mtutu akumbe alisingiziwa maana migomo kama hii haikuwahi kutokea enzi ya uongozii wake. Hili funzo kubwa tusiingie madarakani tukasahau mema ya watangulizi wetu.
Wakati wa magufuli,dhubutu.
rais mtarajiwa 2025
Walipe Kodi Waache Milioni Mingi
Mwenyekiti wa Wafanyabiashara, ongeleeni na inshu ya VAT , mauzo ya 100 per yr kwa sasa ni kiwango kidogo mno , Serikali waingalie hii kwa sasa toka kiwango hicho kiwekwe bei zimegeuka Wafanyabiashara wanaumizwa kwa hili, miaka takiribani 30 sasa hawaoni bei zimegeuka hta huyo machinga kwa sasa mauzo yke ni 100 kwa mwaka kwahiyo hadi machinga anatakiwa kwny VAT
Nilijua tu anawapanga huyo
Hongera wafanyabiashara kwa msimamo
Serikali itaku felisha kaka tupo apa
KWA HIYO?
Tulia ulitakaje wew unajua biashara wew tulia kama hufanyi biashara
Mjinga akierevuka mwerevu huwa mashakani..na umoja ni nguvu
HUYU NI KIONGOZI
Loh! Nakuaminia kiongozi, hawajakosea kukuchagua, wakuombee Mungu sana wakati unapambana na hao wasio na utu wako kama simba wala watu!
Walipe Kodi Waache Milioni Mingi
Akipotea huyu tunawaambia nchinzima tutaandama.Ole wenu apotee
Ha haaaa, hadi machozi yamenitoka.
Hawezi kupotea kwa serikali hii
Waziri wa fedha ni tatizo,naishangaa sana serikali hasa mamlaka ya uteuzi kuendelea kumvumilia waziri wa fedha kwa kuboronga kila pahali
Wanamaslah nae ndio maana wanamlea lea
Ni timu moja
Achen ujinga na upuuzi makufuri mngemfanyia hivi???????
Peke yangu nawaza yani usipokuwa na hadhi fulani hata kama una fact huwezi sikilizwa
Huyu jamaa anajua sana kuwaandaa watu, kaanzia mbali sana hahahaahah, alafu kawarudisha dhamira yake ni maduka yafunguliwe
Waziri mkuu ni mwelewa sana, nimemuelewa na anaelewekaga..kiongozi
Yeah, wewe ni kiongozi, sifa za kiongozi kwanza ni kuwa na ushawishi kwa unaowaongoza, hekima na busara, usiwe muoga, na uwe na misimamo itakayoleta utatuzi wa shida iliyopo. Kiongozi hutakiwi kuamua mambo kutokana na mihemko ya wale unaowaongoza bali uamue kwa kufuata njia ambayo unaona ndio sahihi itakayoleta solution ya shida iliyopo na kubwa zaidi kiongozi unatakiwa uwe mzuri ktk kujieleza na kuwasilisha kile unachotakiwa kukiwasilisha kwa watu wako kiufasaha na busara na hatimae wakielewe na kukubaliana nacho - Kwa hili bro naona haya yote umekuwa nayo na kwa kweli approach uliyoitumia ya kuwashawishi viongozi wakuu wa serikali wao wenyewe kuja kutoa majibu mbele ya wananchi wako hiyo ndio imekuwa kete kubwa sana iliyokupa nguvu na kukuweka huru mbele ya wale unaowaongoza - hongera sana sana uko vizuri mno !
Nimekuamini sana kupitia maongezi yako, Mungu wetu akutangulie katika safar hii ya usuluisho.
Hongeraaaa sanaaaa Mwenye kiti safiii yote. Maneno ya busara na hekma. Nduo uongozi.
M/Kiti wa wafanyabiashara kariakoo umepevuka akili
Hakika unaongea points
Ndo hivo, Kiongozi unapaswa kuongea hivo kwa misimamo!
Baba mbarikiwa alisema mwanadamu Kwa upole wowote ukimugusa sana atatumia nguvu yake ya mwisho kutatua tatizo lake
Hongera mweshimiwa
Huyu jamaa ilifaa kua kiongozi mkubwa au kua bungeni maana anaonekana ni mtu Alie ishi na uhalisia wa maisha ya kawaida
Wenye akili kubwa kama hizo huwa hawapewi nafasi
Aya mambo ni ya mda mrefu.. na Serikali inayafahamu. Iyo wiki ni ya nn zaidi ya viongozi kutoa maamuzi..!?
Basi wavunje uongozi wao waendelew kugoma kila mtu ashinde mechi zake
Huyu ndio mfano wa kiongozi anatakiwa awe hvi kiongozi ndio njia
I repeat again the guy is more than smart itself....
Mungu nakuomba umlinde huyo mwenyekiti maana hawajui kujitetea wanaishia kufa na mapresha
Ni wakati pia wa wafanyabiashara wa kariakoo kuwa waangalifu, kitovu Cha biashara kinaweza kuhama!!??
Sio rahisi kiivoo
Inawezekana usifanye mchezo na serikali
Uko sahihi sana, malaika wa bwana wakulinde,wasiojulikan a wasikuone, na baada ya yote ukavalishwe taji
Dah mwenyekiti nimekupenda bure uko vizuri sana
Watanzania tukipendana hivi tutaendelea mungu akulinde mwenyekiti
Hata Mimi nimeichoka Serikali...
Wamezoweya nikuondoka wote watafute kazi nyingine kibuli Cha ccm mungu anawaona tu ipo siku wabongo wataamuka
Upo vzr mwenyekiti, mihemuko ikemee upo vzr sanaaa
Nimependa tuna watu wazuri sanaa nchi hii,huyu jamaa yupo safii mtii
Kiongozi umeongea kiutu uzima sana Mungu akulinde
Huyu ni kiongozi na nusu. Mnapompa kazi. Mpimeni kwa muda huo alioumba. Kama hamtaki, mtoeni mwekeni mtu mwingine au endeleeni na harakati zenu mpimane nguvu na serikali mpaka mmoja atakapo surrender. Tutajua nani anamtegemea nani. Yetu macho.
Uliposema tu kiongozi wa chama kinachotesa watu nimekutoa kwenye ufahamu ukitaka hama
Mwigulu hafai kuendelea kuwa waziri wa fedha.Sijui kwanini, mama hamtengui?
Safi sana yy c anatwambiaga twende burudy😂😂😂
vijana wengi hamjawajiri nyie serekari vijana wamejiajiri wenyewe bado mnawanyanyasa na kuwanyonya nch inakufa kwa mfumo hu hamtatoboa uyo mnaemuita mama ndio chanzo ya yote hayo yye ndio ametoa tamko na kod zembe na makato ya kijinga watu wamechoka jmn mnatufanya kama wajinga futen izo tozo za kijinda bola wamefunga maduka tuone izo kod mnakusanya wap
Nimekukubali sana mwamba ......wewe ndio kiongozi sasa sio hao wanaokaa kwenye maviti yakuzunguka nakula rushwa ovyo tu tushawachoka sana
huyu jamaa Mungu amlinde maana inaonesha wazi hapendi uchawa!
Mwenyekiti ameonyesha ukomavu ktk uongozi. Wadau vuteni subira yavuta heri
Mi najaribu kufikiria tu! asingekuwa ni mwenyekiti wa chama ingekuwaje
Ilo nalo neno
This man is powerful
Leo nimeamini serikari Inatumia wanasaikolojia vizuri sana
Kivipi ndg
Plz nipe madini insha’Allah
Jamani tumusikilize mwenyekiti jamani amepambana sana
Kamanda Mbwana usilegeze kamba kiongozi, serikali na Tra wanaona wafanyabiashara kama mandezi.
Brother wewe ni zaidi ya mwanaharakati
Mungu akulinde,kwa pamoja tutashinda
We love you
Mwenyeketi we we ni kiongozi unayejitambua
Kaka we we usiogope kaka mungu yuko na we we hayo magugu yameka tu kusubiri kodi zetu
Mweshimiwa mwenyeketi wewe usiogope mungu yuko na wewe usiofu kaka hayo majini yaliyojikalia tu kwenye viyoyozi ayajuhi shida watu wanazopata kariako
Mwenyeketi wewe ni big up usiofu chochote wewe ni kiongozi wetu tuko nyuma yako kwa asilimia mia moja mijitu imeka kwenye ic inazunguka na vitu vya kuzunguka theni yanasubiri mitozo ili ijichulie inafikiri itaishi milele inakosa ata hofu ya mungu ata sijuhi kwa nini mungu asiishukie hiyo migugu iliyoka kama ndezi hapo Dodoma inasubutu kukuambia una hamazisha mgomo mbona Mimi nimefunga biashara alafu ilo lijitu lillo kuambia una amazisha maandamano tafuta jina lake peleka kwa kaka yetu lifukuzwe kama jambazi sugu
Kuwaamini watu haraka ndo ugonjwa unaowatesa watanzani. Yaan bingo ukiwa na ufasaha wa kutunga uongo tu umetoboa
Hivi kwnin huyu Waziri wa Fedha asitenguliwe,uwaziri wake
kuna watu wamejificha kwenye carpet lakini DMI
Umetuakilisha vyema sisi wafanyabiasha wadogo
Mmetisha msilainike mpka kieleweke
Nimekuelewa sana mwenye kiti wangu❤❤❤
hyu jamaa n kiongozi kwel
Wameichoka serikalo .wameichoka serikali. Serikali imechokwa na watu wake!!!!?
Huyu jamaa apewe ububge
Kweli wèwe ni kiongozi safi
Dah
mkuu,
Safi Sana.
Dawa kukusanya machine za efd kuwarudishia
*Mungu akubariki sanaa kaka kuendelea kutusema ss tunaodhulumiwa*
Mwenyekiti Anastahili Kuwa Mkuu Wa Mkoa Wa Dar Es Salaam
Upumbavu
Uliitwa na wahuni, wezi wakubwa hao wsliokuita. Wanakula hizo kodi zenu.
Kweli uongea kama kiongozi safii sana na mim nakuombea wakupe kweli huo mda
Safi sana kiongozi uko sawa kabisa
Kweli
Tatizo la nchi hii mheshimiwa rais achunguze kwa makini kwa nini serukali inatafuta sana pesa kwa watu wadogo wadogo, kwa mfano jana wizara ya maji imipandisha bei ya unit ya maji toka 300 sh. Kwenda 1000 yaani 350% percent, Tumekwama wapi? Tazamama gharama za hosiptali zilivyojuu, elimu,juu. Tufanye uchunguzi kwenye njia kuu za uchumi kama alivyozieleza nyerere wakati wake nchi ilikuwa maskuni tiba bure shule bure kuna nini? Mheshimiwa chunguza kuna wahujumu lazima. Fungua mlango wa uwazui wa katiba ili watu wakupe siri kwa nini.
Mungu akuinue kaka,na akulindee aiseee
Mwiguru na timu samia.wanajiona ikuru Ni yakwao
Pole ndugu yetu kilio chetu hakina mwenyewe ukithubutu utasokotwa na wasokotaji wazoefu kwa kazi hiyo !!mungu ametuweka hapa nae atatusaidia maana ndugu zetu wametugeuka kabisa hawana huluma na sisi
Suluhu ya hapo ni kuwashughulikia hao wanaowasumbua wafanya biashara
Mwenyekiti uko sawa sana big up
Fact brother uko sahihi
Huyu jamaa kichwa sana