SHEIKH KADOGOO AUWASHA MOTO, AICHAKAZA SERIKALI YA CCM, "WANAZIDIWA HADI NA BAKHRESA,"WAKATAEN HAWA"
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- #TANZANIA: SHEIKH KADOGOO NI BALAA, "MSHAHARA WA POLISI UNASIKITISHA"
Sheikh Kadoo, Mwanachama wa Chadema afunguka mazito, "Polisi mishara yao utawaonea huruma, wanapata hasira ndio maana wanatupiga virungu, maisha yao ni magumu", Serikali ya CCM wanazidiwa hadi na Bakhresa"
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram
Allah uhakbal...... God is great.....umemleta huyu sheikh azungumze maneno ya maama sana. Umeongea maneno mazuri na hata Mungu anakuona. Ubarikiwe sana.
Msema kweli mpenzi wa Mungu, uko vizuri Sheikh.
Hee shehe mm mpenzi wa ccm lakiñi hotuba yako imeniingia vizuri nimekukubali❤❤❤❤❤❤
Sheikh wangu ubarikiwe sana
Shee bora no,1 Tanzania
Tutoe ujinga
Shekh uko vizuri, pata barka zote za mtume!
Sheikh Kadogoo wewe ni kamanda wa makanda big up bro
Huyo Sheikh Yuko VIZUR Sana Mungu Amlinde na Anafaa Kuwa Kiongoz Mkubwa Hakika Apewe Maua Yake Na HAKIKA HUYU Ni Kiongozi wa Dini Kwelikweli Hataki UNAFIKI,FITINA, UONGO HAKIKA Yuko Vizuri na Apewe Jimbo HUYU Kiongozi wa Dini
Shekhe uko vizuri sana wengine sijui wako wapi !!!wanogopa utafikiri hawatakufa!!!!!!
Swafi shehe
Nakubali she wanyoshe
Napenda Kala uko vzr sana
SHEKHE UKO VIZURI MWENYEZIMUNGU AKULINDE AKUPE AFYA NJEMA BAKI CHADEMA NAOMBA UPEWE JIMBO UGOMBEE UBUNGE TUKUONE BUNGENI KAWASHE MOTO
Kadogoo unajua sanaaa
Shelve kama Shelve👏🏼👏🏼
Yunahtaji mashekh wanaojitambua km huyu msema kwel co wanafk kaz yao kusifia ujinga, pongez kwako shekh mungu akubariki kwa Nia yako njema
Njaa njaa!
Shekhe umesema kweli
UMEONGEA UKWELI SANA
Sheikh kadogo big brain educate tanzania people to the maximum vary clear l don't know lf ccm have capacity of answering chadema let ccm use police force they can't answering chadema only police force lteligince
Jamaa siasa zake zipo vizuri hachishi kumsikiliza asipobadika kwenye uongeaji wake anaweza kujipatia wafuasi wengi sana. Anatumia lugha ya kistaarabu sana.
Sheikh nakukubali sana viongozi wa dini mkipaza sauti hivi tutaikomboa inchi yetu mikononi mwa mafisadi ya CCM ambayo hawataki hata katiba mpya inchi yetu
Ukweli umesema wakukusikia sasa hapo kazi ipo
Shekh uko umewapa ukweli ccm safari hi mmefundishwa
Yaani Hawa ccm wanaojipambanua kuwaniwema huku Marais wasitafu wameijeruhi inchi Kwa kuuza rasilimali zetu na wanaendelea kuchukua mishahala huu ni ubwege huu uzalendo Bora tuuache kabisaa
Siasa kama izi huwA nazikubali
Ccm hawjibu hoja za chadema zinawahukumu kwasababu ni ngumu.
NDUGU TUNAOMBA GOMBEA UBUNGE KWELI UNATOSHA
🎉
Mwiiteni kadogo msimwte sheghe Hana elimu ya kuitwa sheghe
UPO VIZURI KAMANDA
Unatosha
Chawa wa mama. Kwahiyo mama ana chawa ndani ya nguo😂?! #&@+😢😮 Chawa ndani ya nguo za mama au chawa ndani ya mama?!? @ Chawa wanaishi kwenye nguo za mama au chawa wapo mwilini mwa mama?! # CCM tafuteni slogan nyingine. Hii inachefua sana
Mataahira Duuh