SHEIKH KADOGOO AUWASHA MOTO, AICHAKAZA SERIKALI YA CCM, "WANAZIDIWA HADI NA BAKHRESA,"WAKATAEN HAWA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • #TANZANIA: SHEIKH KADOGOO NI BALAA, "MSHAHARA WA POLISI UNASIKITISHA"
    Sheikh Kadoo, Mwanachama wa Chadema afunguka mazito, "Polisi mishara yao utawaonea huruma, wanapata hasira ndio maana wanatupiga virungu, maisha yao ni magumu", Serikali ya CCM wanazidiwa hadi na Bakhresa"
    Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Комментарии • 34

  • @benedictgamuya8855
    @benedictgamuya8855 3 месяца назад

    Allah uhakbal...... God is great.....umemleta huyu sheikh azungumze maneno ya maama sana. Umeongea maneno mazuri na hata Mungu anakuona. Ubarikiwe sana.

  • @johnhaule9520
    @johnhaule9520 2 месяца назад

    Msema kweli mpenzi wa Mungu, uko vizuri Sheikh.

  • @KassimHanga-xr7rb
    @KassimHanga-xr7rb 3 месяца назад

    Hee shehe mm mpenzi wa ccm lakiñi hotuba yako imeniingia vizuri nimekukubali❤❤❤❤❤❤

  • @lwitikomwakatumbula5672
    @lwitikomwakatumbula5672 3 месяца назад +1

    Sheikh wangu ubarikiwe sana

  • @lupyanamatimbwi8064
    @lupyanamatimbwi8064 3 месяца назад +2

    Shee bora no,1 Tanzania
    Tutoe ujinga

  • @paulmadundo8084
    @paulmadundo8084 3 месяца назад +2

    Shekh uko vizuri, pata barka zote za mtume!

  • @admaumsengi4230
    @admaumsengi4230 3 месяца назад +4

    Sheikh Kadogoo wewe ni kamanda wa makanda big up bro

  • @yomseyyomsey5114
    @yomseyyomsey5114 3 месяца назад +2

    Huyo Sheikh Yuko VIZUR Sana Mungu Amlinde na Anafaa Kuwa Kiongoz Mkubwa Hakika Apewe Maua Yake Na HAKIKA HUYU Ni Kiongozi wa Dini Kwelikweli Hataki UNAFIKI,FITINA, UONGO HAKIKA Yuko Vizuri na Apewe Jimbo HUYU Kiongozi wa Dini

  • @ezekielkiduge8730
    @ezekielkiduge8730 3 месяца назад

    Shekhe uko vizuri sana wengine sijui wako wapi !!!wanogopa utafikiri hawatakufa!!!!!!

  • @giftyjackson2461
    @giftyjackson2461 3 месяца назад

    Swafi shehe

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 3 месяца назад

    Nakubali she wanyoshe

  • @DanielMgeni-x1z
    @DanielMgeni-x1z 3 месяца назад

    Napenda Kala uko vzr sana

  • @MenruphKahimba
    @MenruphKahimba 3 месяца назад +3

    SHEKHE UKO VIZURI MWENYEZIMUNGU AKULINDE AKUPE AFYA NJEMA BAKI CHADEMA NAOMBA UPEWE JIMBO UGOMBEE UBUNGE TUKUONE BUNGENI KAWASHE MOTO

  • @allyhasani3750
    @allyhasani3750 3 месяца назад

    Kadogoo unajua sanaaa

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 3 месяца назад

    Shelve kama Shelve👏🏼👏🏼

  • @RaymondKilomeye
    @RaymondKilomeye 3 месяца назад

    Yunahtaji mashekh wanaojitambua km huyu msema kwel co wanafk kaz yao kusifia ujinga, pongez kwako shekh mungu akubariki kwa Nia yako njema

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 3 месяца назад

    Njaa njaa!

  • @AbasiAbdi
    @AbasiAbdi 2 месяца назад

    Shekhe umesema kweli

  • @johnnyoni3976
    @johnnyoni3976 3 месяца назад

    UMEONGEA UKWELI SANA

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 3 месяца назад +1

    Sheikh kadogo big brain educate tanzania people to the maximum vary clear l don't know lf ccm have capacity of answering chadema let ccm use police force they can't answering chadema only police force lteligince

  • @tugemwakilewa1298
    @tugemwakilewa1298 3 месяца назад

    Jamaa siasa zake zipo vizuri hachishi kumsikiliza asipobadika kwenye uongeaji wake anaweza kujipatia wafuasi wengi sana. Anatumia lugha ya kistaarabu sana.

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds 3 месяца назад

    Sheikh nakukubali sana viongozi wa dini mkipaza sauti hivi tutaikomboa inchi yetu mikononi mwa mafisadi ya CCM ambayo hawataki hata katiba mpya inchi yetu

  • @FabianJustine-bq6qv
    @FabianJustine-bq6qv 3 месяца назад +1

    Ukweli umesema wakukusikia sasa hapo kazi ipo

  • @maligiretongora3333
    @maligiretongora3333 3 месяца назад +2

    Shekh uko umewapa ukweli ccm safari hi mmefundishwa

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 3 месяца назад +1

    Yaani Hawa ccm wanaojipambanua kuwaniwema huku Marais wasitafu wameijeruhi inchi Kwa kuuza rasilimali zetu na wanaendelea kuchukua mishahala huu ni ubwege huu uzalendo Bora tuuache kabisaa

  • @GeorgeMhada
    @GeorgeMhada 3 месяца назад +1

    Siasa kama izi huwA nazikubali

  • @JohnS.mwafubo
    @JohnS.mwafubo 3 месяца назад +1

    Ccm hawjibu hoja za chadema zinawahukumu kwasababu ni ngumu.

  • @MenruphKahimba
    @MenruphKahimba 3 месяца назад +3

    NDUGU TUNAOMBA GOMBEA UBUNGE KWELI UNATOSHA

  • @akidajulius1581
    @akidajulius1581 3 месяца назад

    🎉

  • @SaidShabani-s4o
    @SaidShabani-s4o 3 месяца назад

    Mwiiteni kadogo msimwte sheghe Hana elimu ya kuitwa sheghe

  • @frankcharles3980
    @frankcharles3980 3 месяца назад

    UPO VIZURI KAMANDA

  • @LushidulaJidamawi
    @LushidulaJidamawi 3 месяца назад +1

    Unatosha

  • @gidongailo7174
    @gidongailo7174 3 месяца назад

    Chawa wa mama. Kwahiyo mama ana chawa ndani ya nguo😂?! #&@+😢😮 Chawa ndani ya nguo za mama au chawa ndani ya mama?!? &#@ Chawa wanaishi kwenye nguo za mama au chawa wapo mwilini mwa mama?! # CCM tafuteni slogan nyingine. Hii inachefua sana

  • @davidkawesa3594
    @davidkawesa3594 3 месяца назад

    Mataahira Duuh