Yani huwa najiuliza sana shekh hiyo ni Point kubwa sana ,yani mtu anashangalia ccm wakt hyo angalia maisha yake magumu sana , tatizo bado kuna watu mijinga
Kadogoo jitafakari kwa kina wote ndo hao hao chadema CCM ni hao hao matumbo yao tu usiwadanganye wanachi na hao wakiingia bungeni kilavmmoja analia mama angu
Sheikh Ally kadogoo akili kubwa sana, Mungu mkubwa akulinde daima ktk kipindi hiki kigumu kinachoendelea nchini kwetu, sasa hiyo elimu unayoitoa ni kubwa sana, mh hicho unachokielimisha kwenye Taifa hili, Mungu yupo pamoja nawe ktk kuielimisha jamiii iliyopo mbele yako
Umeongea vizuri sana ni kweli wote tunaasiliwa na uwepo wa ccm tunaacha kazi zetu sisi wanainchi tunaenda kumpigia kula mbowe au lisu matokeo yake anatangazwa ambaye hamjamupigia kula inaumiza sana na kuvunja moyo sana
😂😂😂😂 ko we iliambiwa kwamba unaye mpigia kura ndo lazima ashinde 😅😅 mtu anashinda kutokana na wastan wa kura so unaweza kumpigia kura mtu lakin akapata wastan mdogo so automatically anakuwa ameshindwa
WEWE DOGOO UNGELIA NYAMA WAKATI WAMA GUFURI UNGE TUPWA MAJINI TANGANYIKA ,MFANO WAWALE MASHEIKH WA ZANZIBA HUSENI MWINYI NA KIKWETE WALIVYO WA JERUHI BILA ĶOSA LOLOTE .
Sheikh kutoka mikoa ya bara, amekuzwa kwa maziwa,samaki na nyama.. ukiwasikiliza masheikh wa pwani na Zanzibar, kichefuchefu..eti wanampinga samia kwa sababu ni mwislam
Sheikhe wa maana sana huyu. Ameamua kusimama na wenye kudhurumiwa. Allah akubariki sana.❤
Sheikh big respect 🙏 your a big brain Men
Big point mueshmiwa nakukubali sana ktk point zako
Mungu akulinde
Shekh Asante sana hongera sana mwanaume yimara
Kweli sana sheikh WANGU unaejitambua
🙌🙌👏👏👏Shekh Nakuheshimu Sana wewe NI Muelewa Kwa 100%
Ubarikiwe sana shehe, kweli we mtu wa Mungu.
Kadogoooo nakuelewa sana
Chadema mpelekeni huyu bungeni atatusaidia sana
Mungu akulinde katika harakati za kuibadiri nchi.
Watumishi wa Mungu wakweli
Yani huwa najiuliza sana shekh hiyo ni Point kubwa sana ,yani mtu anashangalia ccm wakt hyo angalia maisha yake magumu sana , tatizo bado kuna watu mijinga
Allah akubaliki shehe wetu tuelimishe mana watanzania awaelewi
Hongera sana shekhe
Shehe Mimi nakubali sana naomba ugombee ubunge mwakani
Sawa shekh WANGU nakuelewa sana
🎉🎉❤❤❤❤
Saluti shehe kadogoo
Mungu awabariki viongozi wote wa chadema
Point
Good speech
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Uko vizur sana shehe
Kadogoo jitafakari kwa kina wote ndo hao hao chadema CCM ni hao hao matumbo yao tu usiwadanganye wanachi na hao wakiingia bungeni kilavmmoja analia mama angu
Sheikh Ally kadogoo akili kubwa sana, Mungu mkubwa akulinde daima ktk kipindi hiki kigumu kinachoendelea nchini kwetu, sasa hiyo elimu unayoitoa ni kubwa sana, mh hicho unachokielimisha kwenye Taifa hili, Mungu yupo pamoja nawe ktk kuielimisha jamiii iliyopo mbele yako
Kweli shehe unasema kweli
GOOD SPEECH SHEHE
Power
Kadogoo ❤
umetishaa sana unaakili nyingi sana mazuzu wenye akili ndongo kama hawajakuelewa kivyao
Umeongea vizuri sana ni kweli wote tunaasiliwa na uwepo wa ccm tunaacha kazi zetu sisi wanainchi tunaenda kumpigia kula mbowe au lisu matokeo yake anatangazwa ambaye hamjamupigia kula inaumiza sana na kuvunja moyo sana
😂😂😂😂 ko we iliambiwa kwamba unaye mpigia kura ndo lazima ashinde 😅😅 mtu anashinda kutokana na wastan wa kura so unaweza kumpigia kura mtu lakin akapata wastan mdogo so automatically anakuwa ameshindwa
Sad sana sheikh kwa pamoja tutaikomboa nchi yetu
Huko vzr shehe
Heshima yako shekhe...unatendea haki elimu na nafasi yako
Hiyo ndio mijinga pumbavu iliyobakia ccm hata Kula hawana lakini hawaamki maisha watabakia kuwa kama popo kulala miguu juu kichwa chini
Mungu akubariki na akulinde Sheikh wangu RESPECT BRO
Mashehe wanaojitambua
Wana ccm walio wengi hasa hao wafuasi wao Wana matatizo ya akili
Wote tunaisoma namba.
WEWE DOGOO UNGELIA NYAMA WAKATI WAMA GUFURI UNGE TUPWA MAJINI TANGANYIKA ,MFANO WAWALE MASHEIKH WA ZANZIBA HUSENI MWINYI NA KIKWETE WALIVYO WA JERUHI BILA ĶOSA LOLOTE .
Kama hakuna ucha Mungu kote kite haya mambo yataendelea tu
Shehe endelea kuelimisha wataelewa tu
Umenena vema Sheikh 😂
Ama kweli miso misondo
Muislamu msomi huyo. Safi she
sema tusijisahau kuwaambia vijana kwamba maendeleo yako binafsi yanaanza na wew sio selikal ko usikae af utegemee serikal utaumia sana
Mafisiem manafiki sana tumeshayagundu
Sheikh kadooo ...
Ni kweli udini ni kitu kibaya
Sheikh kutoka mikoa ya bara, amekuzwa kwa maziwa,samaki na nyama.. ukiwasikiliza masheikh wa pwani na Zanzibar, kichefuchefu..eti wanampinga samia kwa sababu ni mwislam
Mtu wa Maana kabisa
Akiingia bungeni moto utawaka
Kwakweli upo vizuli
Karime wewe maharage alafu uze. 1000,
Shehe upo makini MUNGU yupo nawe naomba ukazie sana swala la siasa sio simba Na yanga😊
Kwakweri tumechoka
NCHIETU INA VICHWA KWELI ,LOO!!
Aaaaaaaa,,
Mpeni ubunge iyo shehe
Kweli bwana tupo taabani
Mungu akubaliki
sema tusijisahau kuwaambia vijana kwamba maendeleo yako binafsi yanaanza na wew sio selikal ko usikae af utegemee serikal utaumia sana
Sawa hakuna asiyejua Hilo,mtu ana nafasi yake , na Serikali Ina nafasi yake, mtu anarudishwa nyuma na Serikali atapataje maendeleo?