MANARA ATANGAZA VITA KWA SIMBA BAADA YA KUFUNGULIWA | ALLY KAMWE | AUNGURUMA MUDA HUU SERENA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
    Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv

Комментарии • 69

  • @DavidMeshack-c6s
    @DavidMeshack-c6s 2 месяца назад

    Karibu tena mwamba wetu tulikumic sana kaka. Sasa makoolo wako wanaharisha huko kusikia upo huru. Mungu akutangulie jiandae tuijenge yanga yetu.

  • @suleimanali2017
    @suleimanali2017 2 месяца назад +1

    Hongera sana ndugu Manara, nimefuatilia maelezo Yako na kabla nimekuwa nakuangalia na kukusikiliza sana. UPO VIZURI MASHAALLAH.
    Omni moja TU punguza sifa husisan kwenye mahusiano

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 2 месяца назад +1

    BUGATI kama BUGATI"
    Huwa Nakuelewa Sana Hujawahi Kuniangusha BUGATI kama BUGATI"

  • @asifznz
    @asifznz 2 месяца назад +4

    WAONGO NYIE KASEMA WAPI AMETANGAZA VITAAAAA DAHHHH MBONA NYIE WAANDISHI WANAFIKI

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 2 месяца назад +1

    MANARA NI SHUJAA WA AINA YAKE ....HONGERA SANA "WELCOME AGAIN AND AGAIN"

  • @godfreymwandara
    @godfreymwandara 2 месяца назад

    Ayoma tv boresheni camera zenu sio quality

  • @chrithicksambo2287
    @chrithicksambo2287 2 месяца назад

    Kamanda

  • @charleslinhege690
    @charleslinhege690 2 месяца назад

    Hujui Yanga nao walishakuweka pembeni. Pole sana

  • @nassorseif
    @nassorseif 2 месяца назад

    Meno ya kijani😂😂

  • @IsayaShokaulaya
    @IsayaShokaulaya 2 месяца назад

    Mimi simba ila nilikumisi sana mzeee wa kuchaluwana

  • @SirajiZacharia
    @SirajiZacharia 2 месяца назад +1

    Karibu El-Bughatti wapate tabu..😂😂

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 2 месяца назад

    Subiriii vita vya manara na Ally Kamwe vimbelembele wawili kugombea bwanayao Hersi

    • @Fatma-jt6zn
      @Fatma-jt6zn 2 месяца назад

      daa nirikuwa nakuombea Sanaa urudi mungu nimwema sikuzote hongeraa sana

  • @hamadabdullah9702
    @hamadabdullah9702 2 месяца назад +1

    Ushafunguliw uache maneno ya ovyo mjinga wew utulie

  • @alitante4279
    @alitante4279 2 месяца назад

    Aki kamwe jeur kwisha 😂😂 soon utarud kuchambua mpira

  • @AAbubakariSharif
    @AAbubakariSharif 2 месяца назад

    Uache matusi na kashfa kwa watu wazito we manara ni kitu kidogo Sana kwa watu Acha dharau

  • @AlmasSamwel
    @AlmasSamwel 2 месяца назад

    Wewe manara simba ndio alikufungia?hujitsmbui kweli

  • @DavidJuma-b4h
    @DavidJuma-b4h 2 месяца назад +3

    Aly kamwe vs Haji manara,mh mm sijui je,aly kamwe anafraha ulejeo wa manara?

  • @janetybubegwa5272
    @janetybubegwa5272 2 месяца назад +1

    Manara ukikaa kimya itakusaidia badala ya Kuchamba

  • @japhetpwiti9651
    @japhetpwiti9651 2 месяца назад

    Heshimu sana walioko madarakani kinyume cha hapo utakuwa unajivunjia heshima yako

  • @theonasmkoba6121
    @theonasmkoba6121 2 месяца назад

    Rudisha kadi ya Simba

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 2 месяца назад +1

    Matusi si uungw'ana kwenye mitandao, kuna kosa gani hapo kwenye media? Au uyanga na usimba?.

  • @abubakarbajun3503
    @abubakarbajun3503 2 месяца назад

    Unstema mateee sanaa punguzaaa domo

  • @KudraEliasa
    @KudraEliasa 2 месяца назад +1

    Hongela San jmn mandala

  • @davidruhasha9670
    @davidruhasha9670 2 месяца назад

    Umelipia faini bado hujatumikia kifungo

  • @salehhemed9388
    @salehhemed9388 2 месяца назад

    Sasa umesema unasubr kupangiwa majukumu huku unaleta ratiba zako hii si kulazimisha jmn😂😅
    Watauwana

  • @lusekelonelson7256
    @lusekelonelson7256 2 месяца назад

    Kweli Rudi Yanga imepwaya sana

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 2 месяца назад

    Huyu jamaa simba mnfiki tu anataka ugali achana na sisi yanga nahuyu iko mwaka atarud simba nabatatunyia mbovu

  • @ClementKonda-uj1nj
    @ClementKonda-uj1nj 2 месяца назад

    Ulivumilia nini chawa wa gsm

  • @kasongoIDDi-mx7gz
    @kasongoIDDi-mx7gz 2 месяца назад

    Hauna vita yoyote ss ndio Simba tutapambana na wewe mzushi ukicheza tunakungia tena

  • @johnelias2166
    @johnelias2166 2 месяца назад

    UPANDE WA HAMASA KWA YANGA ALI KAMWE AMEMALIZA KIUKWELI MENGINE NI FUJO KAMWE AMEVAA VIATU VYAKE KWA WELEDI, MM NI SIMBA LAKINI HAMASA IKO MBELE TOKA KWA KAMWE, MIMI NI SIMBA UBAYA UBWELA SIMBA NGUVU MOJA

  • @kasongoIDDi-mx7gz
    @kasongoIDDi-mx7gz 2 месяца назад

    Wewe utatutishia wanawake tuu hauna mapya

  • @MsevenSaudisaidi
    @MsevenSaudisaidi 2 месяца назад

    Yule msomari wa tff kaumbuka umempa mirioni kumi umeflai sana

  • @MohamediIbrahim-cl4gc
    @MohamediIbrahim-cl4gc 2 месяца назад

    Mwamba karudi mzigoni tar 4 sio mbali.

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 2 месяца назад

    Hawezi kufanyakazi na Ali kamwe hii vita itakuwa ya kwenu yanga kwa utopax

  • @Clement-rm8xu
    @Clement-rm8xu 2 месяца назад

    Omba omba kama kawaida, mpaka mda huu yanga hawajakupokea maana hakuna post yoyote kukuhusu wwe, inakubidi uwe na adabu ilifika wakati ukajawa kiburi jeuri na kujiona wwe ndo wwe hakuna mwingine kuliko wwe. Sasa nafikiri umejua kuwa wapo wengi kukushinda wwe aiseee dunia imefika mbali sanaaaaaa

  • @VIVIANEMAKOTO-rl8lt
    @VIVIANEMAKOTO-rl8lt 2 месяца назад

    Fara utafungiwa maisha
    Vita na simba nani hasa

  • @MkaliZuberi-rt3gb
    @MkaliZuberi-rt3gb 2 месяца назад

    Na ili urudi mjini lazima ukitaje kilichokuzid kama magoma na kongowele fc na huyo mlemavu na simba timu namba 6 kwa ubora afrika

  • @goodluckygobam4477
    @goodluckygobam4477 2 месяца назад

    Ahmed all wameomba nguvu bwana😂😂😂😂😂

  • @IbrahimOmar-tu5tc
    @IbrahimOmar-tu5tc 2 месяца назад

    Bugati karud makolo mjiandae

  • @DICKSONKALINGA-uq7by
    @DICKSONKALINGA-uq7by 2 месяца назад

    Karibu sana haji manara yanga Bado yamoto ilikua ni fitina tu mungu atakusaidia uwe juu yawabaya sahau yote songa mbele I love manara

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 2 месяца назад

    War with simba😏,

  • @Mjukuuhoteli
    @Mjukuuhoteli 2 месяца назад

    Karibu sana manara ila upunguze mdomo

  • @tintz3157
    @tintz3157 2 месяца назад

    Mbona umemtaja mke mmoja tu mwingine hana umuhimu au

  • @JosephTibu
    @JosephTibu 2 месяца назад

    choko tu uyu hana inshuu

  • @lusekelonelson7256
    @lusekelonelson7256 2 месяца назад

    Si ulisema mambo ya mpira basi tena. Kumbe ni sizitaki mbichi hizi

  • @SaidAwadh-mq2tn
    @SaidAwadh-mq2tn 2 месяца назад

    Ww msemaji wa yanga au

  • @OnikaMsungu
    @OnikaMsungu 2 месяца назад

    usimwamini binadamu yoyote dunia 😂

  • @EmmanuelMandela-f7k
    @EmmanuelMandela-f7k 2 месяца назад

    Sis tunakula tarh tatu alfu Kuna umbwa anakuja kumalizia makombo tarehe nne

  • @VIVIANEMAKOTO-rl8lt
    @VIVIANEMAKOTO-rl8lt 2 месяца назад

    Ulisema mpira basi
    Sasa unaanza kuhangaika

  • @JumaSelemani-q1d
    @JumaSelemani-q1d 2 месяца назад

    Huna jipya wewe habari ya mjini Hamedi Ally na Aliy kamwe wewe ushakuwa mzee wala swaga huna yan huna mvuto tena wewe

  • @saliieking7279
    @saliieking7279 2 месяца назад

    Watakukoma El bugatti

  • @lusekelonelson7256
    @lusekelonelson7256 2 месяца назад

    Haji bhana😂😂😂 unatoka mpaka mate

  • @saidalhinai1131
    @saidalhinai1131 2 месяца назад

    Rudi yanga maana wewe ni msemaji bora kuliko Ali kamwe yule bado mtoto hajui kuongea na hana mvuto yudi kaka

  • @MkaliZuberi-rt3gb
    @MkaliZuberi-rt3gb 2 месяца назад

    Na tutamfungia tena

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 2 месяца назад

    Hizo ni opinions zake, wewe unakasirika bila sababu yoyote kisa usimba na uyanga, tuliza ball.

  • @MuhamedHassan-l5u
    @MuhamedHassan-l5u 2 месяца назад

    Tukana tena

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 2 месяца назад

    sasa Mbona ulikuwa unalia lia kila siku ufunguliwe wee wacha kujisifu bwana Mpumbavu wewe?

  • @AdamuJuma-tp1xr
    @AdamuJuma-tp1xr 2 месяца назад

    Anafuta kiki au nin anataka mbona kawa sitaa anataka nini tena

  • @florencemushi2088
    @florencemushi2088 2 месяца назад

    Acha huongo wewe huna familia

  • @makamejuma6959
    @makamejuma6959 2 месяца назад

    Kesho utafungiwa tena domo bwabwaja

    • @JustusiKazana
      @JustusiKazana 2 месяца назад

      Ongera sana semaji la GSM mungu azidi kinda kipaji chako!!!

  • @jumamngazija4321
    @jumamngazija4321 2 месяца назад

    Vita na Simba kuhusu na nini?

  • @samsonmwaipaja5231
    @samsonmwaipaja5231 2 месяца назад

    makolo mmekwisha

  • @RamadhaniMussa-v7x
    @RamadhaniMussa-v7x 2 месяца назад

    Lud baba una bayaa

  • @joviinnocent624
    @joviinnocent624 2 месяца назад

    😅😮😮😊