MANARA ATANGAZA VITA KWA SIMBA BAADA YA KUFUNGULIWA | ALLY KAMWE | AUNGURUMA MUDA HUU SERENA
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv
Karibu tena mwamba wetu tulikumic sana kaka. Sasa makoolo wako wanaharisha huko kusikia upo huru. Mungu akutangulie jiandae tuijenge yanga yetu.
Hongera sana ndugu Manara, nimefuatilia maelezo Yako na kabla nimekuwa nakuangalia na kukusikiliza sana. UPO VIZURI MASHAALLAH.
Omni moja TU punguza sifa husisan kwenye mahusiano
BUGATI kama BUGATI"
Huwa Nakuelewa Sana Hujawahi Kuniangusha BUGATI kama BUGATI"
WAONGO NYIE KASEMA WAPI AMETANGAZA VITAAAAA DAHHHH MBONA NYIE WAANDISHI WANAFIKI
MANARA NI SHUJAA WA AINA YAKE ....HONGERA SANA "WELCOME AGAIN AND AGAIN"
Ayoma tv boresheni camera zenu sio quality
Kamanda
Hujui Yanga nao walishakuweka pembeni. Pole sana
Meno ya kijani😂😂
Mimi simba ila nilikumisi sana mzeee wa kuchaluwana
Karibu El-Bughatti wapate tabu..😂😂
Subiriii vita vya manara na Ally Kamwe vimbelembele wawili kugombea bwanayao Hersi
daa nirikuwa nakuombea Sanaa urudi mungu nimwema sikuzote hongeraa sana
Ushafunguliw uache maneno ya ovyo mjinga wew utulie
Aki kamwe jeur kwisha 😂😂 soon utarud kuchambua mpira
Uache matusi na kashfa kwa watu wazito we manara ni kitu kidogo Sana kwa watu Acha dharau
Wewe manara simba ndio alikufungia?hujitsmbui kweli
Aly kamwe vs Haji manara,mh mm sijui je,aly kamwe anafraha ulejeo wa manara?
Furaha itoke wapi.akae Pemben amuwez manara
Manara ukikaa kimya itakusaidia badala ya Kuchamba
Heshimu sana walioko madarakani kinyume cha hapo utakuwa unajivunjia heshima yako
Rudisha kadi ya Simba
Matusi si uungw'ana kwenye mitandao, kuna kosa gani hapo kwenye media? Au uyanga na usimba?.
Unstema mateee sanaa punguzaaa domo
Hongela San jmn mandala
Umelipia faini bado hujatumikia kifungo
Sasa umesema unasubr kupangiwa majukumu huku unaleta ratiba zako hii si kulazimisha jmn😂😅
Watauwana
Kweli Rudi Yanga imepwaya sana
Huyu jamaa simba mnfiki tu anataka ugali achana na sisi yanga nahuyu iko mwaka atarud simba nabatatunyia mbovu
Ulivumilia nini chawa wa gsm
Hauna vita yoyote ss ndio Simba tutapambana na wewe mzushi ukicheza tunakungia tena
UPANDE WA HAMASA KWA YANGA ALI KAMWE AMEMALIZA KIUKWELI MENGINE NI FUJO KAMWE AMEVAA VIATU VYAKE KWA WELEDI, MM NI SIMBA LAKINI HAMASA IKO MBELE TOKA KWA KAMWE, MIMI NI SIMBA UBAYA UBWELA SIMBA NGUVU MOJA
Wewe utatutishia wanawake tuu hauna mapya
Yule msomari wa tff kaumbuka umempa mirioni kumi umeflai sana
Mwamba karudi mzigoni tar 4 sio mbali.
Hawezi kufanyakazi na Ali kamwe hii vita itakuwa ya kwenu yanga kwa utopax
Omba omba kama kawaida, mpaka mda huu yanga hawajakupokea maana hakuna post yoyote kukuhusu wwe, inakubidi uwe na adabu ilifika wakati ukajawa kiburi jeuri na kujiona wwe ndo wwe hakuna mwingine kuliko wwe. Sasa nafikiri umejua kuwa wapo wengi kukushinda wwe aiseee dunia imefika mbali sanaaaaaa
Fara utafungiwa maisha
Vita na simba nani hasa
Na ili urudi mjini lazima ukitaje kilichokuzid kama magoma na kongowele fc na huyo mlemavu na simba timu namba 6 kwa ubora afrika
Ahmed all wameomba nguvu bwana😂😂😂😂😂
Bugati karud makolo mjiandae
Karibu sana haji manara yanga Bado yamoto ilikua ni fitina tu mungu atakusaidia uwe juu yawabaya sahau yote songa mbele I love manara
War with simba😏,
Karibu sana manara ila upunguze mdomo
Mbona umemtaja mke mmoja tu mwingine hana umuhimu au
choko tu uyu hana inshuu
Ataku fira huyo manara
Si ulisema mambo ya mpira basi tena. Kumbe ni sizitaki mbichi hizi
Ww msemaji wa yanga au
usimwamini binadamu yoyote dunia 😂
Nikaongo🤔
Sis tunakula tarh tatu alfu Kuna umbwa anakuja kumalizia makombo tarehe nne
Ulisema mpira basi
Sasa unaanza kuhangaika
Huna jipya wewe habari ya mjini Hamedi Ally na Aliy kamwe wewe ushakuwa mzee wala swaga huna yan huna mvuto tena wewe
Watakukoma El bugatti
Haji bhana😂😂😂 unatoka mpaka mate
Rudi yanga maana wewe ni msemaji bora kuliko Ali kamwe yule bado mtoto hajui kuongea na hana mvuto yudi kaka
Na tutamfungia tena
Hizo ni opinions zake, wewe unakasirika bila sababu yoyote kisa usimba na uyanga, tuliza ball.
Tukana tena
sasa Mbona ulikuwa unalia lia kila siku ufunguliwe wee wacha kujisifu bwana Mpumbavu wewe?
Anafuta kiki au nin anataka mbona kawa sitaa anataka nini tena
Acha huongo wewe huna familia
Kesho utafungiwa tena domo bwabwaja
Ongera sana semaji la GSM mungu azidi kinda kipaji chako!!!
Vita na Simba kuhusu na nini?
makolo mmekwisha
Lud baba una bayaa
😅😮😮😊