Baada ya Mungu ni mama. Heshimu Mamlaka Lema, MAMA amemteuwa MAKONDA kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha, Magufuli atabaki kuwa Icon ya Tanzania. Kazi Iendelee 🇹🇿
Chadema mkiendelea kumchukia Magufuli mtachelewa kukubalika Tanzania.........Magu alikuwa ni Rais sahihi kwa Tanzania japo alikuwa na mapungufu yake ambayo hayakuzidi ubora wake. Na hii si Cdm tu hata CCM kuwa kinyume na Magu ni hasara kwenu. Qualities za Tanzania mpaka sasa ni 2 tu Nyerere na Magu.
Kwanza hongera kwa kuongea na wananchi kwa kua wanapata nafazi ya kutafakari. Ila upinzani mtambue kwa sasa wapiga kura wengi wanataka Sera itakayowatoa hapa kwenda mbele. Gari walilopanda hawawezi kushuka mpaka wahakikishe wamefika kituoni. Usiringe kuwataka watu washuke kwa kisingizio cha kubanana wakati hutawafikisha kwenye kituo kwa usafiri mbadala.
Wewe mtukane aliye tangulia mbele ya haki lakini jua jembe limeshafika hapo ,maliza maneno yako yote kisha jembe linakuja kulima kuanzia shambani , kwenye vibaraza hadi barabarani tutaona utajificha kichaka gani
YANI MIMI BINAFSI AWE MTU WA CCM AWE MTU WA CHADEMA ,KAMA ANATAKA NIMTUKANE NA NIMCHUKIE amseme vibaya MAGUFULI , Tena kwa kumdhihaki ukome shoga la wazungu na ukengewako ata ungekua rais usingewafanya watuwote kua matajiri kenge mmoja ukome kumdhihaki JPM lione akili alina
Sio lazima ww kusikiliza alafu ww ni chawa wa ccm alafu chadema hawataki macha ww na ndo maana wanao kuja kwenye mikutano hawabebwi kwenye fuso kama mizigo una jua ni kwanini hatuli zulma ya taifa
Unaeleza sera au unaropoka comedy? EleA sera tukukubali jatutaki historia yako. Hayo yako twambia utatufanyia nini katika ukombozi wa maisha bora. Hatutaki maisha maisha yako ya ujanja ujanja usipoteze muda wetu tuma mengi ya kufanya.
Baada ya Mungu ni mama. Heshimu Mamlaka Lema, MAMA amemteuwa MAKONDA kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha, Magufuli atabaki kuwa Icon ya Tanzania. Kazi Iendelee 🇹🇿
Kadri unavyo mtukana Magufuli ndio jinsi unazidi kuonekana mpuuzi.
Lema sema sana ila juu ya Magufuli acha bro yule alikua damu yetu haitokuja tokea
Hakika 100%
Tanzania ilipata kiongozi Jemedari
Enz zake watu walikufa weng kwaxabab ya unyanya xaj pia
@@YusuphShaban-t5g nyie Chadema ndiyo mlikuwa mnaua
Hak ya kwel aipotei broo na ndo uyo alikuw atak akoxolew
Mbunge Wetu Halali Wa Arusha ✌️✌️💪
Hakuwa na pressure ila alikuwa mzalendo kumbe unajisifia wizi
Chadema mkiendelea kumchukia Magufuli mtachelewa kukubalika Tanzania.........Magu alikuwa ni Rais sahihi kwa Tanzania japo alikuwa na mapungufu yake ambayo hayakuzidi ubora wake. Na hii si Cdm tu hata CCM kuwa kinyume na Magu ni hasara kwenu. Qualities za Tanzania mpaka sasa ni 2 tu Nyerere na Magu.
Nimekuelewa kaka.
Lema wewe ni fimbo ya mssa ,,,,, Big up sana tupo pamoja 🇹🇿💪✌️✌️✌️
dah magufuli alikua rais wawanyonge
Mungu bwana sio mwanadamu huyu jamaa yupo siryasi na sana na nimkweli tungepata wabunge 20 nchi hii ingeenda mbali sana
Namkubali sana lema
Lema mwamba jamaas
Mkubali mwenzio kikinuka anakuacha kwenye moyo yeye anapanda zake ndege kwenda Canada.
Nakukubali sana
Waambie bila Mungu Roho mtakatifu siyo bila Chadema.
Upo Vizuri MABWEGE hawawez kuelewa ila ikibidi TUTAWALAZIMISHA.
Mbona kama akili 0 !!!! Acha kumsema Magu we lema mpuuzi, mwizi
Magufuli Yuko wapi nawe R I P ili ujue haya ni maisha
Kama lema ni mpuuzi, basi wengine wameuzo. Lema safi
Kwahiyo amekuwa mungu asisemwe.. km unavyofurahi akisema kwa mazuri yake na mabaya yake pia yapokee
Yaani hawa wanafurahi sana vifo vya watu wa ccm lakini kifo cha mtu ni mpango wa mungu tu .
Watu wanataka ubunge tu.Mtu ameishi Kanada na makazi anayo.Analipwa na majajusi.Siyo mwenzetu😮
Ukweli sisi sijui katuloga nani!!!
Kweli bangi ni mbaya sana
Bodaboda zime poteza vijana wengi
Wanachadema wote ni wenyekujitambua
Usiempenda kaja....😅Makonda anakuja hapo jiandaeni kisaikolojia.,..mkuu wa mkoa makonda mbunge Gambo
Lema ww ni mkweli pambania jimbo la A town nijimbo lako
Utoto upo wapi hatujui mtu anakufa kwa mipango ya Mungu.
Ila huyu jamaa ananifurahisha sana.
❤
LEMA waelimishe sana Wana chadema wawe waaminifu nawakweli.
Magufuli kilikuwa chuma imara hamtakoma kukitaja
Sukari kilo 5000
Lema tabiri nyingine
Leo uchaguliwe kuwa kiongozi
Kwanza hongera kwa kuongea na wananchi kwa kua wanapata nafazi ya kutafakari. Ila upinzani mtambue kwa sasa wapiga kura wengi wanataka Sera itakayowatoa hapa kwenda mbele. Gari walilopanda hawawezi kushuka mpaka wahakikishe wamefika kituoni. Usiringe kuwataka watu washuke kwa kisingizio cha kubanana wakati hutawafikisha kwenye kituo kwa usafiri mbadala.
Wewe unajisifaa wizi uwe mfao unajisifia wizi mchaga kwa era
Achana na magufuli
Wewe una kili
We ongea yako ila Magufuli muache kabisa yaani
Ana nchi mbili😢
Sukar matbab petroliam Tozo vat zipo juu,wa Tanganyika Tatizo shule,
Mtume angekua dhaifu uislam usingekuwepo,lema kazia hp hp,haki kwanza,
Lema sio mwanasiasa Bali ni msanii au mchambuzi wa siasa TU Hana jipya Kwa kusherehesha TU.
✌️✌️✌️👏
Lema oyee
KWANINI ULIKIMBIA.CHAGADEMA😂
Askar Kaz hiyo Wiz live
Sio ushamba ila ni uchawa
Bingwaa Sana wewe
Wewe hutakufa?
Hakuna mpya
MH.BENSON KIGAILA NI TISHIO KWAKWELI,WALA HACHOKI, LEMA HAKUMPAMBA BURE MPENI MAUA YAKE JAMANI
Namkubali Sana Lema Na Kigaila
Kigaila ni habari nyingine kabisa....namkubali sana
Kigaila ni Mashine Si mchezo
Ulipokuwa mbunge hukuwaona bodaboda watakatwa miguu
Mimi nasikiliza
Sasa apo magu anausika nini acha ujinga usitukumbushe uchungu
Ongea yako magu acha apumzike uache ujinga wako magu muache ajipumzikie kwa amani acha ujinga wako
Wananchi awatakiayo madeniyako
Koma kumuita JPM mwendazake kumanyoko wewe mxiiiuuuu
Kuna muda sijui uyu jamaa anaongeaga nini,
Wewe mtukane aliye tangulia mbele ya haki lakini jua jembe limeshafika hapo ,maliza maneno yako yote kisha jembe linakuja kulima kuanzia shambani , kwenye vibaraza hadi barabarani tutaona utajificha kichaka gani
Mungu wako Nani meku ? Sasa we si uwe Nabil ufungue kanisa Tu ili uwaongopee Hao Wana Apollo vizuri 😅
YANI MIMI BINAFSI AWE MTU WA CCM AWE MTU WA CHADEMA ,KAMA ANATAKA NIMTUKANE NA NIMCHUKIE amseme vibaya MAGUFULI , Tena kwa kumdhihaki ukome shoga la wazungu na ukengewako ata ungekua rais usingewafanya watuwote kua matajiri kenge mmoja ukome kumdhihaki JPM lione akili alina
We ujiulew watu wanamsema mungu asisemwe nan
Huna akili
Sio lazima ww kusikiliza alafu ww ni chawa wa ccm alafu chadema hawataki macha ww na ndo maana wanao kuja kwenye mikutano hawabebwi kwenye fuso kama mizigo una jua ni kwanini hatuli zulma ya taifa
Unamaisha mafupi sana
Chiziiiii
Ktk uchizi wake
Wewe unaonge kama mtu mwenye tumbo la kuhala asingekuwe huyo unemuita Samia siungendelea kuwa mkimbizi uchwala wewe😂😂
Ukimbizi alijipeleka kwa kufadhiliwa na ngozi nyeupe
Ulipita nazo kwahiyo wewe mwizi
Hunatofauti na mlevi,halafu unapigiwa makofi
Bora magufuri alivyofukuza wezi bungeni
Ulipita nazo zote ukamsaidia nani wewe bangi imekujaa.
Kila kitu hovyo huna sera.
Lock yako Makonda tu.
Hapana👎👎👎👎👎
Kweli Bangi mbaya
Ulivyovuta ulifanyajwe?
inatakiwa uache kuvuta
Jinga tupu
Wewe ikifa chadema utakukufa wewe
Mvuta Bangi anawahubiria Wala unga😂
Akili ndogo wewe
Ulijuaje kama mvuta bangi alikufanya nini?
Na ww uliye comment nani
Exactly jambazi
@@mbwanahasan2971 huwezi kuwa na akili unaongea Siri za maisha yako jukwaani. Empty Brainy hilo
Acha ujinga wewe,hata wewe utakufa tuu,
Hao wanakusikiliza ni wajinga wote
Jambazi wewe?
Unaeleza sera au unaropoka comedy? EleA sera tukukubali jatutaki historia yako. Hayo yako twambia utatufanyia nini katika ukombozi wa maisha bora. Hatutaki maisha maisha yako ya ujanja ujanja usipoteze muda wetu tuma mengi ya kufanya.
Boya ww
Kweli ni comedy toka Canada 🇨🇦 😢😢😢😢😢😢
Webangi ndozinakusumbua jambazi mkubwa wewe,chadema kaziyenu matusitu,,magufuri mwacheni tutamkumbuka daima nyie wanafik
Wesimwizitu nachamachenu chakibiashara,,demokorasia gani mwenyekit kakaa miaka 25,kunachamahapo,,
Huyo anawapa story za kijiweni na nyie mnasikiliza utumbo
Bwege wewe muhuni kabisa huna lolote
Huna lolote mhuni tu wewe .
HILI JAMAA BWANAA, BWEGE SANA. YAANI ATAKAYE MCHAGUA LEMA HANA AKILI.