LEMA AMJIBU GAMBO SIWEZI KUMJIBU MTOTO MDOGO YULE /WANAMTAJA MAGUFULI KAMA ALIKUWA TLP

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 114

  • @robertlary6007
    @robertlary6007 6 месяцев назад +5

    Baada ya Mungu ni mama. Heshimu Mamlaka Lema, MAMA amemteuwa MAKONDA kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha, Magufuli atabaki kuwa Icon ya Tanzania. Kazi Iendelee 🇹🇿

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 5 месяцев назад +3

    Kadri unavyo mtukana Magufuli ndio jinsi unazidi kuonekana mpuuzi.

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 6 месяцев назад +13

    Lema sema sana ila juu ya Magufuli acha bro yule alikua damu yetu haitokuja tokea

    • @Worldunite
      @Worldunite 6 месяцев назад +2

      Hakika 100%

    • @Jal210
      @Jal210 6 месяцев назад +3

      Tanzania ilipata kiongozi Jemedari

    • @YusuphShaban-t5g
      @YusuphShaban-t5g 6 месяцев назад +1

      Enz zake watu walikufa weng kwaxabab ya unyanya xaj pia

    • @Jal210
      @Jal210 6 месяцев назад

      @@YusuphShaban-t5g nyie Chadema ndiyo mlikuwa mnaua

    • @YusuphShaban-t5g
      @YusuphShaban-t5g 6 месяцев назад

      Hak ya kwel aipotei broo na ndo uyo alikuw atak akoxolew

  • @qonquererqanquerer1781
    @qonquererqanquerer1781 6 месяцев назад +6

    Mbunge Wetu Halali Wa Arusha ✌️✌️💪

  • @mariamfaicalhassan2890
    @mariamfaicalhassan2890 6 месяцев назад +4

    Hakuwa na pressure ila alikuwa mzalendo kumbe unajisifia wizi

  • @Froedpr
    @Froedpr 4 месяца назад +1

    Chadema mkiendelea kumchukia Magufuli mtachelewa kukubalika Tanzania.........Magu alikuwa ni Rais sahihi kwa Tanzania japo alikuwa na mapungufu yake ambayo hayakuzidi ubora wake. Na hii si Cdm tu hata CCM kuwa kinyume na Magu ni hasara kwenu. Qualities za Tanzania mpaka sasa ni 2 tu Nyerere na Magu.

  • @MwatijaFikoti
    @MwatijaFikoti 6 месяцев назад +5

    Nimekuelewa kaka.

  • @DoctorRengeda
    @DoctorRengeda 5 месяцев назад +1

    Lema wewe ni fimbo ya mssa ,,,,, Big up sana tupo pamoja 🇹🇿💪✌️✌️✌️

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 5 месяцев назад +3

    dah magufuli alikua rais wawanyonge

  • @patellaisangai6013
    @patellaisangai6013 6 месяцев назад +4

    Mungu bwana sio mwanadamu huyu jamaa yupo siryasi na sana na nimkweli tungepata wabunge 20 nchi hii ingeenda mbali sana

  • @daudisalum9574
    @daudisalum9574 6 месяцев назад +6

    Namkubali sana lema

    • @malkavoice2570
      @malkavoice2570 6 месяцев назад +1

      Lema mwamba jamaas

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 5 месяцев назад

      Mkubali mwenzio kikinuka anakuacha kwenye moyo yeye anapanda zake ndege kwenda Canada.

  • @alfrediaugustino1026
    @alfrediaugustino1026 6 месяцев назад +3

    Nakukubali sana

  • @mtimti3912
    @mtimti3912 6 месяцев назад +2

    Waambie bila Mungu Roho mtakatifu siyo bila Chadema.

  • @MnyamaTolu-kd5ct
    @MnyamaTolu-kd5ct 4 месяца назад

    Upo Vizuri MABWEGE hawawez kuelewa ila ikibidi TUTAWALAZIMISHA.

  • @maruhe1958
    @maruhe1958 6 месяцев назад +7

    Mbona kama akili 0 !!!! Acha kumsema Magu we lema mpuuzi, mwizi

    • @DanielTumaini
      @DanielTumaini 5 месяцев назад

      Magufuli Yuko wapi nawe R I P ili ujue haya ni maisha

    • @tumainimwaifunga3884
      @tumainimwaifunga3884 5 месяцев назад

      Kama lema ni mpuuzi, basi wengine wameuzo. Lema safi

    • @LilianMpenda-gw5pp
      @LilianMpenda-gw5pp 4 месяца назад

      Kwahiyo amekuwa mungu asisemwe.. km unavyofurahi akisema kwa mazuri yake na mabaya yake pia yapokee

  • @Petro.John.
    @Petro.John. 3 месяца назад

    Yaani hawa wanafurahi sana vifo vya watu wa ccm lakini kifo cha mtu ni mpango wa mungu tu .

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 4 месяца назад

    Watu wanataka ubunge tu.Mtu ameishi Kanada na makazi anayo.Analipwa na majajusi.Siyo mwenzetu😮

  • @judicalosika7642
    @judicalosika7642 5 месяцев назад +1

    Ukweli sisi sijui katuloga nani!!!

  • @thomasluhumbika9606
    @thomasluhumbika9606 6 месяцев назад +4

    Kweli bangi ni mbaya sana

  • @EdwinCharles-o8f
    @EdwinCharles-o8f 4 месяца назад +1

    Bodaboda zime poteza vijana wengi

  • @kigomamaranathagospelchoir2642
    @kigomamaranathagospelchoir2642 5 месяцев назад +1

    Wanachadema wote ni wenyekujitambua

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 6 месяцев назад +1

    Usiempenda kaja....😅Makonda anakuja hapo jiandaeni kisaikolojia.,..mkuu wa mkoa makonda mbunge Gambo

  • @thomasmunis9814
    @thomasmunis9814 6 месяцев назад +4

    Lema ww ni mkweli pambania jimbo la A town nijimbo lako

  • @JaffariBuyogera
    @JaffariBuyogera 4 месяца назад

    Utoto upo wapi hatujui mtu anakufa kwa mipango ya Mungu.

  • @Petro.John.
    @Petro.John. 3 месяца назад

    Ila huyu jamaa ananifurahisha sana.

  • @dianamakatu9298
    @dianamakatu9298 6 дней назад

  • @AsifiweMwamatenge
    @AsifiweMwamatenge 6 месяцев назад +1

    LEMA waelimishe sana Wana chadema wawe waaminifu nawakweli.

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 5 месяцев назад

    Magufuli kilikuwa chuma imara hamtakoma kukitaja

  • @nasaelmanya1850
    @nasaelmanya1850 5 месяцев назад +1

    Sukari kilo 5000

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg 6 месяцев назад +2

    Lema tabiri nyingine

  • @MashauriManyanda-v6t
    @MashauriManyanda-v6t 6 месяцев назад +1

    Leo uchaguliwe kuwa kiongozi

  • @romastasenterprises4447
    @romastasenterprises4447 5 месяцев назад

    Kwanza hongera kwa kuongea na wananchi kwa kua wanapata nafazi ya kutafakari. Ila upinzani mtambue kwa sasa wapiga kura wengi wanataka Sera itakayowatoa hapa kwenda mbele. Gari walilopanda hawawezi kushuka mpaka wahakikishe wamefika kituoni. Usiringe kuwataka watu washuke kwa kisingizio cha kubanana wakati hutawafikisha kwenye kituo kwa usafiri mbadala.

  • @fettyaziza
    @fettyaziza 2 месяца назад

    Wewe unajisifaa wizi uwe mfao unajisifia wizi mchaga kwa era

  • @emanuelcharles1464
    @emanuelcharles1464 5 месяцев назад +1

    Achana na magufuli

  • @antonykomba6631
    @antonykomba6631 6 месяцев назад +1

    We ongea yako ila Magufuli muache kabisa yaani

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 4 месяца назад

    Ana nchi mbili😢

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 5 месяцев назад

    Sukar matbab petroliam Tozo vat zipo juu,wa Tanganyika Tatizo shule,

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 5 месяцев назад

    Mtume angekua dhaifu uislam usingekuwepo,lema kazia hp hp,haki kwanza,

  • @HassanSaleheSima
    @HassanSaleheSima 6 месяцев назад +2

    Lema sio mwanasiasa Bali ni msanii au mchambuzi wa siasa TU Hana jipya Kwa kusherehesha TU.

  • @yusuphabel5530
    @yusuphabel5530 6 месяцев назад

    ✌️✌️✌️👏

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 5 месяцев назад

    Lema oyee

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 4 месяца назад

    KWANINI ULIKIMBIA.CHAGADEMA😂

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 5 месяцев назад

    Askar Kaz hiyo Wiz live

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 6 месяцев назад +1

    Sio ushamba ila ni uchawa

  • @noelsanga6853
    @noelsanga6853 5 месяцев назад +1

    Bingwaa Sana wewe

  • @frimatuslupimo2031
    @frimatuslupimo2031 6 месяцев назад +2

    Wewe hutakufa?

  • @ZaycargoMovers-vx6lf
    @ZaycargoMovers-vx6lf 5 месяцев назад

    Hakuna mpya

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 6 месяцев назад +2

    MH.BENSON KIGAILA NI TISHIO KWAKWELI,WALA HACHOKI, LEMA HAKUMPAMBA BURE MPENI MAUA YAKE JAMANI

  • @why-ir8zl
    @why-ir8zl 5 месяцев назад

    Ulipokuwa mbunge hukuwaona bodaboda watakatwa miguu

  • @ClaudyKonga
    @ClaudyKonga 5 месяцев назад

    Mimi nasikiliza

  • @SaidKinyota
    @SaidKinyota 5 месяцев назад

    Sasa apo magu anausika nini acha ujinga usitukumbushe uchungu

  • @SaidKinyota
    @SaidKinyota 5 месяцев назад

    Ongea yako magu acha apumzike uache ujinga wako magu muache ajipumzikie kwa amani acha ujinga wako

  • @PeleSilili-uk3vd
    @PeleSilili-uk3vd 5 месяцев назад

    Wananchi awatakiayo madeniyako

  • @mariamfaicalhassan2890
    @mariamfaicalhassan2890 6 месяцев назад +3

    Koma kumuita JPM mwendazake kumanyoko wewe mxiiiuuuu

  • @alexsimon9674
    @alexsimon9674 6 месяцев назад +2

    Kuna muda sijui uyu jamaa anaongeaga nini,

  • @FrancisBena
    @FrancisBena 5 месяцев назад +1

    Wewe mtukane aliye tangulia mbele ya haki lakini jua jembe limeshafika hapo ,maliza maneno yako yote kisha jembe linakuja kulima kuanzia shambani , kwenye vibaraza hadi barabarani tutaona utajificha kichaka gani

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 6 месяцев назад +1

    Mungu wako Nani meku ? Sasa we si uwe Nabil ufungue kanisa Tu ili uwaongopee Hao Wana Apollo vizuri 😅

  • @designdesign4426
    @designdesign4426 5 месяцев назад +1

    YANI MIMI BINAFSI AWE MTU WA CCM AWE MTU WA CHADEMA ,KAMA ANATAKA NIMTUKANE NA NIMCHUKIE amseme vibaya MAGUFULI , Tena kwa kumdhihaki ukome shoga la wazungu na ukengewako ata ungekua rais usingewafanya watuwote kua matajiri kenge mmoja ukome kumdhihaki JPM lione akili alina

    • @hancybrouwn5032
      @hancybrouwn5032 5 месяцев назад

      We ujiulew watu wanamsema mungu asisemwe nan

  • @ericinnocent-c9e
    @ericinnocent-c9e 6 месяцев назад +1

    Huna akili

  • @CharlesLimo
    @CharlesLimo 6 месяцев назад +1

    Sio lazima ww kusikiliza alafu ww ni chawa wa ccm alafu chadema hawataki macha ww na ndo maana wanao kuja kwenye mikutano hawabebwi kwenye fuso kama mizigo una jua ni kwanini hatuli zulma ya taifa

  • @MashauriManyanda-v6t
    @MashauriManyanda-v6t 6 месяцев назад +1

    Unamaisha mafupi sana

  • @paschalmagandula5929
    @paschalmagandula5929 6 месяцев назад +2

    Chiziiiii

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 6 месяцев назад +2

    Wewe unaonge kama mtu mwenye tumbo la kuhala asingekuwe huyo unemuita Samia siungendelea kuwa mkimbizi uchwala wewe😂😂

    • @florencemeza6540
      @florencemeza6540 6 месяцев назад +1

      Ukimbizi alijipeleka kwa kufadhiliwa na ngozi nyeupe

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 5 месяцев назад +1

    Ulipita nazo kwahiyo wewe mwizi

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 5 месяцев назад

    Hunatofauti na mlevi,halafu unapigiwa makofi

  • @OmaryMkungwa
    @OmaryMkungwa 6 месяцев назад +1

    Bora magufuri alivyofukuza wezi bungeni

  • @kilonzokallage6159
    @kilonzokallage6159 4 месяца назад

    Ulipita nazo zote ukamsaidia nani wewe bangi imekujaa.
    Kila kitu hovyo huna sera.
    Lock yako Makonda tu.

  • @joezeno8
    @joezeno8 6 месяцев назад +1

    Kweli Bangi mbaya

  • @DianaDaud-b1f
    @DianaDaud-b1f 6 месяцев назад +2

    Jinga tupu

  • @MichaelMfangavo
    @MichaelMfangavo 4 месяца назад

    Wewe ikifa chadema utakukufa wewe

  • @geey7893
    @geey7893 6 месяцев назад +2

    Mvuta Bangi anawahubiria Wala unga😂

    • @OdiloMagungu-uf5is
      @OdiloMagungu-uf5is 6 месяцев назад +1

      Akili ndogo wewe

    • @mbwanahasan2971
      @mbwanahasan2971 6 месяцев назад +1

      Ulijuaje kama mvuta bangi alikufanya nini?

    • @chande2k250
      @chande2k250 6 месяцев назад

      Na ww uliye comment nani

    • @florencemeza6540
      @florencemeza6540 6 месяцев назад

      Exactly jambazi

    • @geey7893
      @geey7893 6 месяцев назад +1

      @@mbwanahasan2971 huwezi kuwa na akili unaongea Siri za maisha yako jukwaani. Empty Brainy hilo

  • @TarimoTarimo-pf5lo
    @TarimoTarimo-pf5lo 4 месяца назад

    Acha ujinga wewe,hata wewe utakufa tuu,

  • @ZaycargoMovers-vx6lf
    @ZaycargoMovers-vx6lf 5 месяцев назад

    Hao wanakusikiliza ni wajinga wote

  • @TarimoTarimo-pf5lo
    @TarimoTarimo-pf5lo 4 месяца назад

    Jambazi wewe?

  • @mwanaishaabubakar5013
    @mwanaishaabubakar5013 6 месяцев назад +1

    Unaeleza sera au unaropoka comedy? EleA sera tukukubali jatutaki historia yako. Hayo yako twambia utatufanyia nini katika ukombozi wa maisha bora. Hatutaki maisha maisha yako ya ujanja ujanja usipoteze muda wetu tuma mengi ya kufanya.

    • @gbless9784
      @gbless9784 6 месяцев назад

      Boya ww

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 6 месяцев назад

      Kweli ni comedy toka Canada 🇨🇦 😢😢😢😢😢😢

    • @JosephJonas-to9ny
      @JosephJonas-to9ny 5 месяцев назад

      Webangi ndozinakusumbua jambazi mkubwa wewe,chadema kaziyenu matusitu,,magufuri mwacheni tutamkumbuka daima nyie wanafik

    • @JosephJonas-to9ny
      @JosephJonas-to9ny 5 месяцев назад

      Wesimwizitu nachamachenu chakibiashara,,demokorasia gani mwenyekit kakaa miaka 25,kunachamahapo,,

  • @GODFREYWITARO
    @GODFREYWITARO 6 месяцев назад

    Huyo anawapa story za kijiweni na nyie mnasikiliza utumbo

  • @Jal210
    @Jal210 6 месяцев назад

    Bwege wewe muhuni kabisa huna lolote

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 6 месяцев назад

    Huna lolote mhuni tu wewe .

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 6 месяцев назад +5

    HILI JAMAA BWANAA, BWEGE SANA. YAANI ATAKAYE MCHAGUA LEMA HANA AKILI.