HII NDIYO KAULI YA TUNDU LISU ILIYOIBUA CCM NA NAPE NNAUYE KUJIBIWA KWA UKALI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
    Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: / kusagamedia
    Instagram: / kusaganews
    RUclips : www.youtube.co...
    Tiktok. www.tiktok.com...

Комментарии • 85

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 4 месяца назад +6

    MZANZIBAR ANAE MIRIK ARIDHI TZ BARA ATANYANGANYWA

    • @ibrahimame9805
      @ibrahimame9805 3 месяца назад +1

      Hata wanyamwezi walionunua viwanje zanzibar wataendelea kujenga😅

  • @johnkaliwanje434
    @johnkaliwanje434 4 месяца назад +1

    hongera kusaga tv kaz nzur. Lebo ya kusaga tv iko kulia juu, taarifa za habar tunazipata vzur bila mwingiliano wowote. Nawashangaa wengine wanajiita waandish wasomi wanakuwekea habari pamoja na tangazo la tv yao, na tangazo la tv yao wanaweka kwa sauti.

  • @michaelsairamagafu
    @michaelsairamagafu 4 месяца назад +8

    do hatukufundishwa shuleni kuhusu katiba ya zanzibar kama naongopa nisaidiwe, baba tupe elimu mwisho ujinga utatoweka

  • @pitosjuma7224
    @pitosjuma7224 4 месяца назад +5

    Kumbe Zanzibar Wana katiba , sikuwahi kujua kabla aise..

  • @dullahkalanjedullahkalanje1422
    @dullahkalanjedullahkalanje1422 4 месяца назад +2

    pamoja sana mwamba wa Tanzania tunakuamini

  • @Pelegrinoemanuel
    @Pelegrinoemanuel 4 месяца назад +2

    Mungu akulinde uwe rais maana hawa ccm ni wanafiki

  • @cosmaswilliam3805
    @cosmaswilliam3805 3 месяца назад

    Tuzidi kuomba sana,kutenda haki kufunga na kuomboleza maana siku zinakalibia watanzania kufunguka.Mungu tusaidie.

  • @wiliamkatala6688
    @wiliamkatala6688 28 дней назад

    Duh! Kuna haja ya kudai Tanganyika yetu.

  • @user-jx5ze9wz8e
    @user-jx5ze9wz8e 4 месяца назад +2

    Nukisha kwel kwel tundu si waliba kura wakasem bila ccm hakuna maendeleo sas maendeleo iko wapi wabunge wapige tu makofi wew fundisha wanainyi wako

  • @johnmwambete6117
    @johnmwambete6117 4 месяца назад +1

    Nimekuelewa sana sana naomba kuuliza jamani wamasai kuishi pamoja na wanyama sio sehemu ya kivutio kwa watalii?

  • @user-ti8fn1wn1w
    @user-ti8fn1wn1w Месяц назад

    Nitakupa dada kiongozi nakuelewa sana

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 27 дней назад

    Makonda hawezi kwenda kinyume na Samia hata siku moja

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4b 4 месяца назад +1

    EEE E Tanganyika iwe uhuru wengi wetu atujui iyo asante sana ndugu yangu tundulisu kaza kamba wajulishe watanganyika aende kwao unguja wakavue pueza bahari kuu watuwache na ngombe zetu wamasai tutakataa na tumekataa walaghai wanaejiita wawekezaji tupambane kumekucha

    • @LuciaAgustino-pt5mg
      @LuciaAgustino-pt5mg 28 дней назад +1

      Wengiwetubwatanganyikabhatujitambui kuzingatia utanganyika wetu

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 4 месяца назад +1

    MZANZIBAR ANAE ISHI TZ BARA ITABID AANZE KUHANGAIKA NA VIBALI VINAVYO MRUHUSU KUISHI TZ BARA AU ARUD ZANZIBA

  • @iddihassan2677
    @iddihassan2677 Месяц назад

    Wazanzibar tutanunuwa popote wakt tuna pesa

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 27 дней назад

    Kwani ninyi wazanzibar mbona mmejitoa katika muungano? Alisema Warioba wazi wazi? Kuwa wanafiki ndiyo uzuri? Tutawatoa baada si sinyingi. Kweli wazanzibar waende kwao wote Samia inclusive.

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 4 месяца назад +2

    Haitabaki hivyo wenye akili.timamu tunataka Tanganyika yetu hatutokubali dunia ya Leo siyo ya juzi kitaeleweka tu

  • @MariaCassian-e2i
    @MariaCassian-e2i Месяц назад

    Kumbee ndiyo maana wanautafuta uhai wako yajayo yanafraisha aendeakarudishe mali zetu ujinga huu haukubaliki

  • @SilahMasima-pi7bn
    @SilahMasima-pi7bn 23 дня назад

    Hiki kichwa hatar xana

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai 3 месяца назад +1

    Kaka unatumia kichwa au kompyuta daa

  • @johnkaliwanje434
    @johnkaliwanje434 4 месяца назад +2

    hv ni kwel mbara ( mtanganyika) hawez kabisa kugombea urais Zanzibar ? na kama ni kwel mbona mzanzibari anakuwa rais wa Tanganyika ?

    • @JosephuSwai
      @JosephuSwai 3 месяца назад +1

      Chukua mauwa yako kaka

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 3 месяца назад +1

      Tumujua tuyokuwa tunayajua tuamke sasa watanganyika

  • @mokiaolenaputu7648
    @mokiaolenaputu7648 4 месяца назад

    Duh, hazina ya taifa

  • @user-zf2dn7su4f
    @user-zf2dn7su4f 3 месяца назад

    Nimekuelewaa sanaaa mwambaa asieee kuelewaaa wewe nikengeee tu

  • @user-ig7tb1cf8z
    @user-ig7tb1cf8z 4 месяца назад +1

    Namwona makonda amesimama nyuma ya Lisu au namfananisha?

  • @JaphetyAliphonce
    @JaphetyAliphonce Месяц назад

    Wanaanza kutofautiana wenyewe Kama Kama wale wa mnara wa babeli

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 4 месяца назад +1

    YAN IN SHORT KUNA MAMBO KIBAO YATATOKEA NA YATA TUGHALIM SANA HILI SWALA TUSILICHUKULIE MCHEZO N KUBWA SANA EM TUWEN MAKIN

    • @josephmantago2837
      @josephmantago2837 4 месяца назад +1

      Hakuna shida ya Zanzibar yatashughulkiwa na wazanzibar ya Tanganyika tutayashughulikia ss ya muungano tutashirikiana ndo ukweli hutaki iache Zanzibar iende zake

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 3 месяца назад

      Na woga wetu ndio umaskini wetu

  • @EmanuelSolomon-ij1is
    @EmanuelSolomon-ij1is 4 месяца назад +2

    Daaa!!! Apa tumepigwa

  • @kalebiestomihi
    @kalebiestomihi 3 месяца назад

    📢📢📢

  • @iddihassan2677
    @iddihassan2677 Месяц назад

    Yote ayo yamekuja kwakuwa rais kutoka zanzibar na bado mpka 2030

  • @andrewIzdory-sk4cu
    @andrewIzdory-sk4cu 4 месяца назад

    Siku zijazo tutaingia Zanzibar kwa passport.

  • @iddihassan2677
    @iddihassan2677 Месяц назад

    Kwani nyinyi wa bara hamfaid huku Zanzibar omba omba wote kutoka Tanzania bara

  • @user-kr5qc8jm2t
    @user-kr5qc8jm2t 4 месяца назад

    Fanya utafiti Lisu

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 4 месяца назад

    WALIOWEKEZA TANZANIA WAKAT N WAZANZIBAR SERIKAL ITAWATAMBUA KAMA WAWEKEZAJ WA KIGEN HIVYO KUNA FURSA KIBAO WATAZIKOSA

  • @user-kr5qc8jm2t
    @user-kr5qc8jm2t 4 месяца назад

    Hata Hao wabunge was Zabr busu ni wabara

  • @user-jn3nf7uw1w
    @user-jn3nf7uw1w 4 месяца назад

    Ben makucha hakwenda kuuza mgonjwa bali AMEKIMBIA WAGONJWA SAMBUSA!

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai 3 месяца назад

    Ambae hakuelewi ni chizi mwalimu lisu wakili msomi mchungaji nabii mfia nchi tunakupenda sana baba

  • @user-kr5qc8jm2t
    @user-kr5qc8jm2t 4 месяца назад

    Hata viongozi was mitaa ,ni wabara

  • @user-kr5qc8jm2t
    @user-kr5qc8jm2t 4 месяца назад

    Utauwa chama chako Lisu

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 3 месяца назад

      Kivipi

    • @TanganyikaChakupewa
      @TanganyikaChakupewa Месяц назад

      ​@@MiriamAbdallahwee chawa kama chawa wengine 😂😂😂

    • @IsayaSosolo-nx8zk
      @IsayaSosolo-nx8zk Месяц назад

      Makalio ya Mama yako umeyachunguxa yapo sawa Kama Tundu Lissu? Uwe unajitahidi kujifunza wewe kenge!

  • @user-kr5qc8jm2t
    @user-kr5qc8jm2t 4 месяца назад

    Huo ni uongo HPA Zabr kna viongozi tele was bara

  • @saidPeace-xq1ld
    @saidPeace-xq1ld 3 месяца назад

    Tusipo pewa ukweli na elimu kwa tundunlisu hakuna mwingine anaeweza kuelimisha, kama huyu, ndio maana mungu hajaitaji ufe amekuacha uendelee kutoa elimu hadi wajinga walau wakuelewe

  • @johnkaliwanje434
    @johnkaliwanje434 4 месяца назад

    rais wa jamuhuri wa muungano wa Tanzania ina maana gan ? naomba tafsir. Je ! ni rais wa Tanganyika na Zanzibar ? Je ! rais wa Zanzibar ni mdogo kiutawala kwa rais wa jamuhuri ya muungano wa Tz ?

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 4 месяца назад +1

    R.I.P Magufuli, kwahakika alikuwa sahihi tena saaaana mana kelele zimezidi Nchini, kama Ni mkweli yeye na Lema warudishe familia zao Tz

    • @josephmantago2837
      @josephmantago2837 4 месяца назад

      Ww mbona tope kichwa hv hizo shule haziwaelimishi?

    • @JohnWangare
      @JohnWangare 3 месяца назад

      Hauna hoja hauna uwezo wa kufikir na kujib Kwa hoja

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 3 месяца назад

      Uelewa ni kitu chenye dhamani kubwa sio kila mja kajaaliwa ni husuni kwa waliokupeleka shule na walimu wako, huwezi jibu hoja kaa pembeni angalia match

  • @user-kr5qc8jm2t
    @user-kr5qc8jm2t 4 месяца назад

    Wacha chuki Kwa wazanbar Lisu

  • @user-kr5qc8jm2t
    @user-kr5qc8jm2t 4 месяца назад

    Utakja Zanzibar kpga kampeni utatuambia Nini Kwa Kaili Zako hzo

    • @drjbmsige4098
      @drjbmsige4098 3 месяца назад +1

      kura zenyewe nchi nzima zanzibar hazifiki laki tano! tutazipatia temeke

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 3 месяца назад

      Hajitambui jamaa

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 4 месяца назад

    ILA MNAJUA MADHARA YA MUUNGANO KUVUNJIKA

    • @josephmantago2837
      @josephmantago2837 4 месяца назад

      Madhara gani acha kutisha watu Zanzibar ni nchi acha kulazimisha uwongo uwe kweli muungano ni masrahi ya ccm si watanzania

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 3 месяца назад

      Wajaza matumbo yao utawaelewa

    • @wiliamkatala6688
      @wiliamkatala6688 28 дней назад

      Tueleze madhara yake.

  • @YusuphChediel-lz1li
    @YusuphChediel-lz1li 4 месяца назад

    Acha uchonganishi TANZANIA ni moja na itabaki hivyo.. milele

    • @josephmantago2837
      @josephmantago2837 4 месяца назад +1

      Moja kwako mbona huna maarifa ww

    • @sylvestersamwel8210
      @sylvestersamwel8210 4 месяца назад +1

      Kuna watu wanajifanya mazezeta!! Maelezo ya katiba ya Zanzibar yapo wazi lakini ww unajifanya hauelewi.

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 3 месяца назад

      Jadanganye mwenyewe, watoto wa 2000 sio 70,

    • @wiliamkatala6688
      @wiliamkatala6688 28 дней назад

      Umefumbwa,

  • @anastazialushika
    @anastazialushika 4 месяца назад +1

    Muongo wewe