HOTUBA YA TUNDU LISSU NDANI YA UDONGO WA DODOMA/TUNAPOELEKA NI KUGUMU SANA/UCHAGUZI 2025....

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 61

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi8603 4 месяца назад +1

    Asante mhe. Lissu, Mungu aendelee kukutunza, ili uendelee kutufumbua macho kujua uozo wa ccm na ubovu wa katiba wanayoing'ang'ania ili tuweze kuwa na katiba mpya..yeyote anayechukia mikutano yako na maelezo yaliyojitosheleza ndiye adui mkubwa wa nchi hii.

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 4 месяца назад +1

    BRAVO COMRADE LISSU....WATANZANIA TUNAKUELEWA NA TUKO NYUMA YENU CHADEMA.

  • @GodfredAlfredNgarama
    @GodfredAlfredNgarama 4 месяца назад +2

    Mm nakukubali sana kaka tundulisu tuahitaji waelewa, majasiri aina yako

  • @edwalks4922
    @edwalks4922 4 месяца назад +1

    You’re making sense Amicus Tundu Antipus Lisu. 👊🏿

  • @tobiaspaul9203
    @tobiaspaul9203 4 месяца назад

    Lissu hua anatoa elimu ya kutosha kwa dakika 30 bila cheti, hongera kiongozi

  • @rambostalon2888
    @rambostalon2888 Месяц назад

    Movement for change

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 4 месяца назад

    Ufafanusi ni mzuri na pengine haipingiki , kwa upande mwingine KIHAIBA kiongozi ni mlezi wa kuigwa jinsi alivonyoa kichwa kidogo haiendani na WADHIFA wake na UMRI wake .

  • @alfrediaugustino1026
    @alfrediaugustino1026 4 месяца назад

    ❤❤❤❤❤

  • @DavidDanken-uf7kp
    @DavidDanken-uf7kp 4 месяца назад

    The powerful speech.

  • @user-fx3xj3on5j
    @user-fx3xj3on5j 4 месяца назад +1

    Lisu tusonge mbele , sisi tunakuelewa na umetufungua macho jinsi katiba ilivyo muhimu ili kuwaondoa miungu watu wanaotutawala.

  • @fredrickwiliam6176
    @fredrickwiliam6176 4 месяца назад

    Unaujasiri na kujiamini sana tundu lisu , respect

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 4 месяца назад

    Good sana mh lissu tupopamoja sana.

  • @ZephaniaMwailugula
    @ZephaniaMwailugula 4 месяца назад

    Mmmmh be blessed comrade

  • @kichungatv
    @kichungatv 4 месяца назад +1

    Ni wapumbaf watashindwa kumuelewa huyu Mwamba na hao wasiotaka wasikie ukwel ndio wameilea CCM mpaka hapa ilipotufikisha

  • @ABSTemu
    @ABSTemu 4 месяца назад +1

    Jee chini ya Chadema, Tanzania yake ni kutokuwa na Rais kutokea Zanzibar milele? Swali hilo pamoja na maelezo marefu ya fafanuzi ya Ubaguzi au la, swali lake naona ni zuri na hujalijibu.

    • @sethkivuyo3342
      @sethkivuyo3342 4 месяца назад

      Kwani ni lini mtanganyika atatawala zanziba..

  • @JohnChacha-cy3fz
    @JohnChacha-cy3fz 4 месяца назад

    Hiiiii

  • @ZaitunAbdallah-ol1bb
    @ZaitunAbdallah-ol1bb 4 месяца назад

    Yuko vizuri jibu hoja sio kumbusha kabigwa risasi jibu hoja yuko vizuri hajasema uongo nenda kafunue hiyo katiba kama muongo njoo hewani tutakupa kuwa mwansheria mkuu wa Tanganyika tutapoileta Tanganyika

  • @SalmaHassan-sb2dw
    @SalmaHassan-sb2dw 4 месяца назад

    Lisu tunaama ccm tunaingia chadema

  • @yohanamsongole6489
    @yohanamsongole6489 4 месяца назад

    Asante sana doma kwa kukataa nakumukataa huyo chiz

  • @user-xb1qk3nf7x
    @user-xb1qk3nf7x 4 месяца назад

    Tunakutakia maisha marefu.

  • @thomastemu3332
    @thomastemu3332 4 месяца назад

    😮

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 4 месяца назад

    TUNAKUKUBALI SANA MH. TUNDU LISSU

  • @Ushauri235
    @Ushauri235 4 месяца назад

    Daaaaaaaa na ya makanyagio

  • @SamsonJohn-mo7en
    @SamsonJohn-mo7en 4 месяца назад

    😢😢

  • @mchunguliechibwa198
    @mchunguliechibwa198 4 месяца назад

    Ombaomba Tz nzima..😢😢

  • @ZaitunAbdallah-ol1bb
    @ZaitunAbdallah-ol1bb 4 месяца назад

    Kanafanya kwa sababu ni rais wa Tanzania kama alivyo tuua kwa risasi mkapa ni mtanganyika.
    Jee lissu kuuza bandari za Tanganyika na kuua wazanzibar lipi zito ni mtanganyika huyo mamia kwa mamia Zanzibar tulipigwa risasi na wataanganyika

  • @kamalofanuel8120
    @kamalofanuel8120 4 месяца назад +2

    Huyu jamaa kishaathirika kisaikorojia Tanzania hatuna oposition

    • @antipasmkude3789
      @antipasmkude3789 4 месяца назад

      Mmmh.....kweli????

    • @DavidMutiba-hr3vo
      @DavidMutiba-hr3vo 4 месяца назад +2

      Hajaathirika ila watanzania waliaminishwa kwamba maandamano ni dhambi kubwa.

  • @tumsifuweraufoo5380
    @tumsifuweraufoo5380 4 месяца назад +1

    Hivi kweli unalindwa na hao askari Bado unawtukana,Tena ni dharau kuita watu nyie mapolice nyie,hao ndio wanakulinda,acha siyasa uchwara na ukubila kaka,umepoteza mwelekeo

    • @tumsifuweraufoo5380
      @tumsifuweraufoo5380 4 месяца назад

      Na siyo ubaguzi kidogo unaongelea,fundisha jamii siyasa za kupambana na uchumi wa jamii ya kitanzania,watu watakuelewa kaka

    • @YohanaPetro-xv9tp
      @YohanaPetro-xv9tp 4 месяца назад

      Nawewe Mwelekea Wako nini Ukiwa Huna Akili ndo Huwezi Kumuerewa Tundu Lisu

    • @AugustinMpeta-te4fm
      @AugustinMpeta-te4fm 4 месяца назад

      Kawatukana au kawakumbusha juu ya majumukumu yao ya kipolisi! huwezi ruhusu magari yakatize kw waandamaji.

    • @danielkanso
      @danielkanso 4 месяца назад +1

      Kuna watu hawa elewi tofauti matusi na mtu kukumbushwa majukumu yake

    • @victaboy7273
      @victaboy7273 4 месяца назад

      Mimi nikiona comment kama hii, kama siyo mtoto wa mjumbe wa mtaa, mwenyekiti wa mtaa, au diwani, wewe utakuwa mtoto wa mgambo

  • @PaulTajiri-i6b
    @PaulTajiri-i6b 4 месяца назад +1

    Mheshimia achana na mambo ya ukabila fanya siasa ukabila mm enyewe niko chadema

  • @OnesimuFransi-gd1be
    @OnesimuFransi-gd1be Месяц назад

    Nikwel mkuu

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds 4 месяца назад

    Hakika wewe ndiyo sauti ya wanyonge wa nchi hii

  • @user-sf4ze8kb7z
    @user-sf4ze8kb7z 4 месяца назад +1

    Rais samia akikosea,alaumiwe kama Samia,asilaumiwe kama zanzibar, nami nasema hiyo ni damu ya kibaguzi.
    Magufuri tulimlaumu sisi wa vyama vya upinzan hadi wengine tukakimbia nchi,je yeye hakuwa mtanganyika? Kama hoja ni uzanzibar.
    Not good ,we're Tanzanian

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 4 месяца назад

    Lisu wacha uongo huo wabongo kibao wanamiliki Ardhi Zanzibar kweli wewe mmbaguzi

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji 4 месяца назад +1

    ASANTE MAMA TUMESHAWAJUA WAKIKOSA HOJA NA SERA WANAKIMBILIA UPANDE WA 2🤧🤧🤧🤧🤧🤧🤧🤧

    • @edsonkahesi8603
      @edsonkahesi8603 4 месяца назад

      Fisadi mkubwa ww, alichosema ambacho ni uongo ni kipi..tatizo lako unasikiliza robo ya robo ya maelezo.. haufatilii mpaka mwisho

    • @user-wv9wc6yr1u
      @user-wv9wc6yr1u 2 месяца назад

      Kampeni ni kumponda mpinzani wako alafu wewe uwe bora kuliko mwingine sasa unataka akuongelee wewe au familia yako?

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 2 месяца назад

      @@user-wv9wc6yr1u KWA HOJA SIO PERSONAL ISSUES 🤩🤩🤩🤩🤩USELESSLY

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 4 месяца назад +1

    unastahili kabisa kua RAISI wa Nchi hii

  • @SaidMohamed-k9h
    @SaidMohamed-k9h 4 месяца назад +1

    Angalia hizo nywele kama ametoroka jela

    • @kifenditimothy7094
      @kifenditimothy7094 4 месяца назад +2

      Yupo kazini kukukomboa wewe na vizazi vyako.Hana muda wa kujiremba.Ingefaa tu umshukuru

    • @JamesJasson-dg8lf
      @JamesJasson-dg8lf 4 месяца назад

      Kula kuma wew chawa wa ccm

    • @user-wv9wc6yr1u
      @user-wv9wc6yr1u 2 месяца назад

      Nywele zake wewe zinakuhusu nini ,

  • @JabiriMfaume
    @JabiriMfaume 4 месяца назад

    Na wafuac wake wote ziro pia waoga

  • @rashidichuri1149
    @rashidichuri1149 4 месяца назад +1

    huyu amehapoteza mwelekeo.natulisikitika sana alipogigwa risas kumbe mungu aimuacha hakufa ili tujue unafiki wake

    • @user-fx3xj3on5j
      @user-fx3xj3on5j 4 месяца назад +1

      Kati ya LISU na wewe, ni yupi kaoteza mwelekeo , waliopiteza mwelekeo ni ninyi mnaodhubutu kuwapa waarabu bandari na kuwatoa wamasai kwao ngorongoro.

    • @danielkanso
      @danielkanso 4 месяца назад

      Uchawa ni tatizo kubwa sana nchi hii

  • @AugustinMpeta-te4fm
    @AugustinMpeta-te4fm 4 месяца назад

    Mbuzi hawezi kuwa kondoo ata akichangamanishwa na kundi la kondoo! huyo Fatma Karume tyr kaonyesha kuwa yeye Ni mbuzi anayejichanganya na kondoo Ni muhimu kuishi nae kwa Akili japo anazuga kuwa Ni mtetezi wa haki! kumbe Ni mnafiki ambae anaweza kuuwa ktk wakati usiotarajia

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 4 месяца назад

      SIASA haina rafiki wala adui unakumbuka PADRE SLAA🤧🤧🤧🤧🤧

    • @AugustinMpeta-te4fm
      @AugustinMpeta-te4fm 4 месяца назад

      @@OmmyJames-xn7ji Ukilegalega kweny siasa utaishia kuchombeza unafiki! na kila Jambo utalifananisha na ujinga tu! kumbe unazo Akili za kuwasaidia watu achana na mihemuko binafsi Kama huyo Fatma Karume.