HOTUBA YA TUNDU LISSU NDANI YA UDONGO WA DODOMA/TUNAPOELEKA NI KUGUMU SANA/UCHAGUZI 2025....
HTML-код
- Опубликовано: 13 сен 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Asante mhe. Lissu, Mungu aendelee kukutunza, ili uendelee kutufumbua macho kujua uozo wa ccm na ubovu wa katiba wanayoing'ang'ania ili tuweze kuwa na katiba mpya..yeyote anayechukia mikutano yako na maelezo yaliyojitosheleza ndiye adui mkubwa wa nchi hii.
BRAVO COMRADE LISSU....WATANZANIA TUNAKUELEWA NA TUKO NYUMA YENU CHADEMA.
Mm nakukubali sana kaka tundulisu tuahitaji waelewa, majasiri aina yako
You’re making sense Amicus Tundu Antipus Lisu. 👊🏿
Lissu hua anatoa elimu ya kutosha kwa dakika 30 bila cheti, hongera kiongozi
Movement for change
Ufafanusi ni mzuri na pengine haipingiki , kwa upande mwingine KIHAIBA kiongozi ni mlezi wa kuigwa jinsi alivonyoa kichwa kidogo haiendani na WADHIFA wake na UMRI wake .
❤❤❤❤❤
The powerful speech.
Lisu tusonge mbele , sisi tunakuelewa na umetufungua macho jinsi katiba ilivyo muhimu ili kuwaondoa miungu watu wanaotutawala.
Unaujasiri na kujiamini sana tundu lisu , respect
Good sana mh lissu tupopamoja sana.
Mmmmh be blessed comrade
Ni wapumbaf watashindwa kumuelewa huyu Mwamba na hao wasiotaka wasikie ukwel ndio wameilea CCM mpaka hapa ilipotufikisha
Jee chini ya Chadema, Tanzania yake ni kutokuwa na Rais kutokea Zanzibar milele? Swali hilo pamoja na maelezo marefu ya fafanuzi ya Ubaguzi au la, swali lake naona ni zuri na hujalijibu.
Kwani ni lini mtanganyika atatawala zanziba..
Hiiiii
Yuko vizuri jibu hoja sio kumbusha kabigwa risasi jibu hoja yuko vizuri hajasema uongo nenda kafunue hiyo katiba kama muongo njoo hewani tutakupa kuwa mwansheria mkuu wa Tanganyika tutapoileta Tanganyika
Lisu tunaama ccm tunaingia chadema
Asante sana doma kwa kukataa nakumukataa huyo chiz
Tunakutakia maisha marefu.
😮
TUNAKUKUBALI SANA MH. TUNDU LISSU
Daaaaaaaa na ya makanyagio
😢😢
Ombaomba Tz nzima..😢😢
Kanafanya kwa sababu ni rais wa Tanzania kama alivyo tuua kwa risasi mkapa ni mtanganyika.
Jee lissu kuuza bandari za Tanganyika na kuua wazanzibar lipi zito ni mtanganyika huyo mamia kwa mamia Zanzibar tulipigwa risasi na wataanganyika
Huyu jamaa kishaathirika kisaikorojia Tanzania hatuna oposition
Mmmh.....kweli????
Hajaathirika ila watanzania waliaminishwa kwamba maandamano ni dhambi kubwa.
Hivi kweli unalindwa na hao askari Bado unawtukana,Tena ni dharau kuita watu nyie mapolice nyie,hao ndio wanakulinda,acha siyasa uchwara na ukubila kaka,umepoteza mwelekeo
Na siyo ubaguzi kidogo unaongelea,fundisha jamii siyasa za kupambana na uchumi wa jamii ya kitanzania,watu watakuelewa kaka
Nawewe Mwelekea Wako nini Ukiwa Huna Akili ndo Huwezi Kumuerewa Tundu Lisu
Kawatukana au kawakumbusha juu ya majumukumu yao ya kipolisi! huwezi ruhusu magari yakatize kw waandamaji.
Kuna watu hawa elewi tofauti matusi na mtu kukumbushwa majukumu yake
Mimi nikiona comment kama hii, kama siyo mtoto wa mjumbe wa mtaa, mwenyekiti wa mtaa, au diwani, wewe utakuwa mtoto wa mgambo
Mheshimia achana na mambo ya ukabila fanya siasa ukabila mm enyewe niko chadema
Nikwel mkuu
Hakika wewe ndiyo sauti ya wanyonge wa nchi hii
Rais samia akikosea,alaumiwe kama Samia,asilaumiwe kama zanzibar, nami nasema hiyo ni damu ya kibaguzi.
Magufuri tulimlaumu sisi wa vyama vya upinzan hadi wengine tukakimbia nchi,je yeye hakuwa mtanganyika? Kama hoja ni uzanzibar.
Not good ,we're Tanzanian
Lisu wacha uongo huo wabongo kibao wanamiliki Ardhi Zanzibar kweli wewe mmbaguzi
Siyo kweli.
We ng'ombe
ASANTE MAMA TUMESHAWAJUA WAKIKOSA HOJA NA SERA WANAKIMBILIA UPANDE WA 2🤧🤧🤧🤧🤧🤧🤧🤧
Fisadi mkubwa ww, alichosema ambacho ni uongo ni kipi..tatizo lako unasikiliza robo ya robo ya maelezo.. haufatilii mpaka mwisho
Kampeni ni kumponda mpinzani wako alafu wewe uwe bora kuliko mwingine sasa unataka akuongelee wewe au familia yako?
@@user-wv9wc6yr1u KWA HOJA SIO PERSONAL ISSUES 🤩🤩🤩🤩🤩USELESSLY
unastahili kabisa kua RAISI wa Nchi hii
100
Angalia hizo nywele kama ametoroka jela
Yupo kazini kukukomboa wewe na vizazi vyako.Hana muda wa kujiremba.Ingefaa tu umshukuru
Kula kuma wew chawa wa ccm
Nywele zake wewe zinakuhusu nini ,
Na wafuac wake wote ziro pia waoga
huyu amehapoteza mwelekeo.natulisikitika sana alipogigwa risas kumbe mungu aimuacha hakufa ili tujue unafiki wake
Kati ya LISU na wewe, ni yupi kaoteza mwelekeo , waliopiteza mwelekeo ni ninyi mnaodhubutu kuwapa waarabu bandari na kuwatoa wamasai kwao ngorongoro.
Uchawa ni tatizo kubwa sana nchi hii
Mbuzi hawezi kuwa kondoo ata akichangamanishwa na kundi la kondoo! huyo Fatma Karume tyr kaonyesha kuwa yeye Ni mbuzi anayejichanganya na kondoo Ni muhimu kuishi nae kwa Akili japo anazuga kuwa Ni mtetezi wa haki! kumbe Ni mnafiki ambae anaweza kuuwa ktk wakati usiotarajia
SIASA haina rafiki wala adui unakumbuka PADRE SLAA🤧🤧🤧🤧🤧
@@OmmyJames-xn7ji Ukilegalega kweny siasa utaishia kuchombeza unafiki! na kila Jambo utalifananisha na ujinga tu! kumbe unazo Akili za kuwasaidia watu achana na mihemuko binafsi Kama huyo Fatma Karume.