🔴🅻🅸🆅🅴 : TUNDU LISU ANAUNGURUMA SEGEREA
HTML-код
- Опубликовано: 2 дек 2023
- #JAMBOTV
🔴🅻🅸🆅🅴 : CHAADEMA WANAFANYA MKUTANO WA HADHARA JIMBO LA SEGEREA../TUNDU LISSU/ JOHN MNYIKA/BONIFACE.
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Lisu tunakukubali hua unafichua ukweli ambao hua wanauficha
Hakika tundu lisu ulizaliwa kwa kusudi LA mungu kwa ajili ya ukombozi was dunia na Tanzania hadi ikungi mahambe
Tundulissu anaongea ukweli lakini baadhi ya watu hawamwelewi! Mungu tunaomba utusaidie uwafungue Watanganyika/Watanzania waujue ukweli unaozungumzwa na watu hawa! na ulibadilishe Taifa letu! Taifa linauzwa! Watoto wetu watarithi nini kama rasilimali tulizopewa na wewe Mungu zinauzwa zote kwa wageni! Mungu tusaidie,Ameni
tunakurewa sana liissu mungu akupe nguvu ya kuwashinda ma ccm
q2 wewe 18:52
P
Hotuba ya leo ni zaidi ya elimu ya miaka 3 ya chuo kikuu
Lissu ndio mkombozi pekee wa kweli wa taifa hili
Aisee mungu akupe Nini,zawadi ya kwanza ,magufuli alipofeli kukuua nabadala akafa mwenyewe ndiyo zawadi. Pia mungu amekuaandalia zawadi ya kuuwa raise wa nchi ya jamuhuli ya muungano
una ushahidi
Lisu yuko sawa 100%100%
Kaka wa Taifa amesema 🙏💪
Kwa mtu mwenye akili ukisikiliza roho inauma kweli.
Watakao mjibu Mh. LISU, WAMJIBU KWA HOJA. SIO KUTOA TAARIFA NA KUSEMA HAKUNA UPINZANI TUTAWASHANGAA SANA
Anapo ongea mh tundu lissu ,,moyo na akili na ubongo huwa tulivu kwasababu mh lissu hutowa madini ya uhakika
Asante Shujaa Wetu Tuliofunguka Macho.
Ni mtu ambae nikimsikiliza ananiongezea Sana kuwa mwerevu na kunipa uwezo wa kufikiria kwa kina kuhusu nchi yangu ninayoipenda Sana.
Napenda Sana kujifunza kutoka kwake, Mana Kama watu hata robo tu ya watanzania wangekuwa na uelewa Kama wa lisu, nchi ingekuwa na Baraza Sana.
Naona tunapiga hatua pmj mimi namuelewa sana tena sanaaa natulia sana kumsikiliza nijue mengi nijifunze mengi sana
Leo lissu umeongea kwa uchungu Sana hotuba Kali Sana inamashiko kweli wewe niyelemia kweli mm huwa nakukubali sana sana
Wewe ni tunu ya Tz
Bigup LISSU Tupo Pamoja Sana Mungu Akulinde.
Elimu kubwa sana ndani ya siasa za CCM wameziba masikio hawataki kabisa kuzisikiaa hoja zinazo elimisha jamiii iliyopo mbele yetu
,hb
CHADEMA....CHAMA PEKEE MBADALA KWA CCM.....WATANZANIA WOTE TUKIUNGE MKONO CHADEMA.
HUYO NDIYE TUNDU ANTIPAS LISSU NILIYEMPA KURA MIMI UKIMSIKIA MWINGINE NI UONGO❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Huyu mh lissu anafaa kuingoza Tanzania kwasababu Ana kipaji kikubwa cha uongozi
BRAVO MH. LISSU....WATANZANIA WANAKUELEWA NA WAKO NYUMA YENU CHADEMA....WATANZANIA WOTE BILA KUJALI VYAMA VYETU TUTETEE RASILIMALI ZA NCHI YETU KWA NGUVU ZOTE.
Asante viongozi wazalendo Tundulissu,Mwabukusi,Mdude,Askofu Mwamakula, na wengine wengi ambao sikuwataja,Mungu awalinde,wapo wengi Heche Msigwa,Wenje Lema,Mpina na wengine,hakika sitawataja wote,Suzan kiwangwa,Ida Kenani na wengine ni wengi! Mungu awalinde.Ndugu zangu Watanganyika na watanzania wenye uchungu na Taifa letu tuamke tuungane tumkatae shetani ccm na wafuasi wake,kwenye uchaguzi mkuu ujao,tudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, tukatae mkataba wa bandari IGA ni haramu UFUTWE! Tukatae wananchi kunyang'anywa ardhi zao kwa nguvu na kuhamishwa kwa nguvu,wananchi tukatae utumwa huu! Tundulissu wewe ni msema kweli siku zote ambae hakuelewi na hatakuelewa atalaaniwa kwa sababu Nchi inaenda kuangamia lakini bado watu wanaikumbatia ccm! Mungu atusaidie,Amen
Mwenye sikio na asikie hekima hii ya Mh. Tundu. Tuchukue hatua
Tundu lisu mungu aendelee kukulinda by Elibariki Kitemangu
lissu wewe ni shujaa na mtetezi weetu pekee
Hata wakianza kutengeneza uchafuzi kwa kugawa kata na kutuongezea wananchi gharama za uchaguzi, watambue kuwa kushinda kwa mbinu zote mbaya sio ushindi halali,kwamaana hiyo watafitinika mbele za Mungu na kukalia viti hivyo kwa tabu na mitihani mingi
Aisee inauma sana ! Lisu unafikisha ujumbe kwa raia. Kinachobaki ni wa Tz kuamua
Rasilimali ziendelee kuuzwa au ccm wajitafakari
Lisu your best man ever seen in Tanzania your better than juliasi nyerere
Tundu Lisu ni tunu ya Taifa
mungu ambariki askofu mwamakula nife mimi yeye abaki mwamakula mungu amekutuma tanganyika ipate uhuru amina
11111111111❤❤❤❤❤❤❤I 11111111
Iv kwanini ccm wanaogopa katiba mpya na uchaguzi huru
Mh.Makamu MWKT.CDM Taifa,ongea yote ya kweli na MUNGU kupitia maombi ya watumishi wake atakulinda kama alivyokuokoa na risasi 16 mwilini mwako na bado wasiweze kuutoa uhai wako!!
Amen
Mungu Akupe Maisha Malefu we mzalendo Tundu lisu Hakika Unaipenda Tanzania na watuwake
Sio malefu, ni marefu
Nakuelewa Kabisa
Tundu Lisu ni kichwa kweli kweli
Ni kweli kabisa mh.Makamu Mwkt.wa CDM-Taifa, kwamba baba Askofu Emaus Mwamakula ni Mtume wa MUNGU katika ukombozi wa taifa hili, MUNGU hatamuacha aumizwe na mabeberu wanasiasa wa nchi hii kabla hajatimiza kazi aliyoitiwa,wengi mtapuuza lakini mtakuja kuamini maana Mungu hajawahi kushindwa kumuangusha shetani dhidi ya wateule wake, amina!
ASANTE MHESHIMIWA TUNDULISU MUNGU AKUBARIKI. AKULINDE NAUOVU
Kuna limsukule la ccm linakukejeli watanganyika tulioteswa miaka yote hii tunakuelewa
Mungu akulinde
Pamoja sana baba, umebaki ew tu ndio mtetezi wa taifa letu, tunakuombea sana mungu akuweke miaka elfu
Sahihi
Mungu akusimamie akulinde, akujalie afya na kukuongoza daima katika maisha. You are a blessing to our beautiful countries ( Tanganyika and Zanzibar) Tanzania
mama wa kambo ipo siku atafungwa na kufia jela kwa mambo anayo fanya sania ipo siku mtasema
Sema mzee baba
Mungu tusaidie tundu lisu
Hilo darasa la kuhusu uchaguzi na uwiano wa majimbo tunamwelewa Tundu Lissu ? Hapo ndipo mwanzo wa kupigwa.!
Mungu akulinde muheshimiwa ndio jambo la kwanza nalamsingi afyaaa iwe tele muda wote ili mambo mengine yafuate kwa nguvu kubwa.
Mwambaaaaaaaa, tunakuelewa sna
Jamani jamani, ingekuwa ni ombi langu kwa wote MUNGU WETU ATUSAIDIE kutuvukisha jamani uchaguzi ujao, tufunge tuombe kwa ajil ya LISSU. 🙏🙏
huyu mama nae akiiba uchaguzi nae atakufa ghafla kama jpm dictetar magufuli atakufa mapema tuu samia ngoja muone
Makato na ushuru kwa wamama wanao okota uchafu wa mawe au ukwale kwenye migodi midogo ni kero kubwa na ni aibu.
Halafu utakuta kuna limutu likimbeza Lissu,,,yaaaan haya matumbo haya hayanaga shukrani😭😭😭
Ongera Lissu
Kweli kbs
Hongera mtoa taarifa
Wewe akili ndogo
Watanzania wanaangamizwa kwa kunyimwa maarifa
Hapo umeongea point sana mkuu
Kwa hutuba hyo wenye hakili na wazalendo tunaelewa
Mwambaaa waafrica
Watanzania tuamke ukijani utatumaliza kama mmewapendea rangi mtabaki kulalamika maisha magumu kila siku tuchukuwe hatua nyoka wa kijani atoke
Hallelujah
uoga unawaponza mnashindwa kumtaja na biii idda nabii bora kuriko nabi yeyotee dunianiani
huyu anaf\ kua kiongozi wa jimbo kuriko yure changudoa wa ccm kamoli
Nabii idda ?
Mungu atatusaidia tukiamka
Tundu lissu ni chuma
Bila maandamano yasiyo na ukomo,mtaishia kupiga kelele majukwaani na hatutambulia kitu.
Kuweni Jaramongi Odinga wa Kenya tutakuwa nanyi
Haiitaji elim kubwa kuku elewa thenks my brother
Brother unatoa shule kweli!! Ila watz ni kazi kweli.
Mhe LISSU nakuelewa sn mung akuweke sn
Amina
Chadema mngu awaweke pazen saut Kwa ajili ya haya ila ipo sku
Sasa huu siyo mkutano wa imani unapotaka kuhusisha imani uwe na weledi wa kuangalia pande zote.Naona baragashia mkutanoni !!!
Sema kaka mi nakuerewa sana,
Kweli kabisa mbona watumishi darasa la daba kutoongezwa mishahara ukweli ni ubaguzi wasemee na wao
❤
Kweli mkuu nchi hii tunakupa Hao kwao huruma mwiko
Maendeleo na ajira zitapatikana sio bure HAO wanalipa na SIO kuuzwa vitu vinazalisha BIASHARA ajira zitapatikana 😮😮😮😮😮😮
Sasa ni siasa au dini
Yani nimekuerewa ccm Allah anawaona mtaendatu kaburini mtaacha kila kitu mali ulioichuma kwa dhulma mtaiyachatu afu faida aitokuepo bali faida ya dhambitu
Sio mseme aseme tu wakati hamuelewi anachokisema
Lisu umenifanya niwe mwelevu na msikivu na ujinga kuweka kapuni
Hao wasio Elena ni vichaa
Amen
👍✌️🙏.
Wawapeleke kwa wafugaji kama walivyofanya OPERATION TOKOMEZA alafu waanze ohoo ilikosewa, ohoo tunakiri ilifanyike kinyume na matarajio wakati huo watu wameishapoteza maisha😛😛🥲🥱
Mimi nimesema kabisa Mungu kama Lissu huyu anamakosa yanayomfanya usimpe anachokipambania miaka yote awe Raisi na chama chake wawepo madarakani hizo dhambi nipatie mimi nipe adhabu ye yote ila huyu bwana umpandishe kitini na akomboe hili Taifa sisi wabongo hii sio size yetu hata kidg kwa mujibu wa maneno yake hakika!
Umeomba jambo gumu. Wewe omba Mungu amuinue na kumpa hiyo nafasi unayoisema. Ila kwa habari ya dhambi zake sidhani kama unaweza kuzibeba. Ila huyu mwamba anastahili kuwa Rais wa TZ, tumwombee Mungu ampe afya njema na amuepushe na maadui.
Hakuna jambo gumu mbele ya Mungu,, aombalo mtu ndo apewalo ilimradi kaomba kwa Imani yake yote na kwa moyo wake wote na kwa akili yake yote,, thenks@@brownsebastianmwibi5647
Amani tuliyo nayo inatutosha ! Nchi zingine jirani wanililia.
✌️✌️✌️
Ukitaka kupata elim yenye mashiko ya kiwango cha 5G,nakushauri msikilize mh tundu lisu hana mfano wake,kubali au usikubali.
Lissu umesem vizur
😊😂😅
Anagawa nchi yeti mbons huko kwao zanzib hagusi
Zitto kiogozi wa act anasema Zanzibar kuna wajanja wanaenda na kura za ziada mfukoni halafu wanazipiga kura hilo je linarekebishwa vipi
Mh.Asenga, wapi Teddy?
Mbona kila siku watu wanapungua Tu mikutano yako?
Samia ametangaza wanafunzi wa primary na secondary wapatiwe chakula cha mchana kwa bajeti yake ila waalimu wamegeuza mradi mzazi akikosa buku mtoto haendi shule si kwamba atanyimwa chakula bali atachapwa na kutengwa asiingie darasani ikibidi pia.
Unatia aibu kubwa kwa uongo wako, bajeti ipi ya kuwarisha wanafunzi acha uongo ni walemavu tu ndio wanaopewa chakula bure acha uzushi usisikilize viredio mbao changia mahindi mwanao ale kande darasa la kwanza hadi form four kama hupendi mpeleke private akale ubwabwa
Akiingia madarakani huyu ndio atafanya mchele ushuke bei
Pumbafu zao
Ivi uyo askofu anafanya nini apo? Chadema ebu muwe na ufahamu sana wa kuangalia wakati. Sababu ni lahisi sana watu wakahusisha chadema na imani ya kikristo. Ili jambo liliwahasili sana chama cha cuf. Ivi uyu askofu sawa ni mwanaharakati lakini asiwe anakwenda kwenye jukwaa la kisiasa
*Lissu, wazungumzie hao waliopigika na maisha ninaowaona kwenye 'clip' hiyo waweze kupata chakula, wale; wanenepe, kama wewe ulivyo!* Amina.
@rommelmauma8081 unawaza kula badala ya kutafakari mambo ya msingi😂😂😂
Huwa nashindwa kuelewa utofauti kati ya mikutano ya injili na mikutano ya CHADEMA.Mngesajili kanisa tu badala ya kufanya siasa imewashinda.
Ninyi mmeweza vizuri kufanya siasa kwakuwatesa wafugaji na kuzipoteza rasilimali zetu bandari, gesi,madini, hifadhi n.k Ila msisahau MUNGU yupo hai
Huwezi kuelewa kama Huna utashi kwa kifupi ww Huna utashi maana yke Huna utofauti na mbuzi
Akili yako mbovu na uzuzu daima uwezi kumuelewa hata chembe.
Mi nauliza mheshimiwa kitu kinaitwa tiva naomba ufafanuzi wahicho kitu
Mwamba yuko mjini