🔴🅻🅸🆅🅴 : TUNDU LISU ANAUNGURUMA SEGEREA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 дек 2023
  • #JAMBOTV
    🔴🅻🅸🆅🅴 : CHAADEMA WANAFANYA MKUTANO WA HADHARA JIMBO LA SEGEREA../TUNDU LISSU/ JOHN MNYIKA/BONIFACE.
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 124

  • @user-hu9bf7nw4c
    @user-hu9bf7nw4c 6 месяцев назад +6

    Lisu tunakukubali hua unafichua ukweli ambao hua wanauficha

  • @user-kf1xh6lj2x
    @user-kf1xh6lj2x 6 месяцев назад +12

    Hakika tundu lisu ulizaliwa kwa kusudi LA mungu kwa ajili ya ukombozi was dunia na Tanzania hadi ikungi mahambe

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 6 месяцев назад +18

    Tundulissu anaongea ukweli lakini baadhi ya watu hawamwelewi! Mungu tunaomba utusaidie uwafungue Watanganyika/Watanzania waujue ukweli unaozungumzwa na watu hawa! na ulibadilishe Taifa letu! Taifa linauzwa! Watoto wetu watarithi nini kama rasilimali tulizopewa na wewe Mungu zinauzwa zote kwa wageni! Mungu tusaidie,Ameni

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 6 месяцев назад +16

    tunakurewa sana liissu mungu akupe nguvu ya kuwashinda ma ccm

  • @isayakihongile4921
    @isayakihongile4921 5 месяцев назад +6

    Hotuba ya leo ni zaidi ya elimu ya miaka 3 ya chuo kikuu

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 6 месяцев назад +6

    Lissu ndio mkombozi pekee wa kweli wa taifa hili

  • @BahameJuke-wp5cs
    @BahameJuke-wp5cs 6 месяцев назад +8

    Aisee mungu akupe Nini,zawadi ya kwanza ,magufuli alipofeli kukuua nabadala akafa mwenyewe ndiyo zawadi. Pia mungu amekuaandalia zawadi ya kuuwa raise wa nchi ya jamuhuli ya muungano

  • @tumsifumartine612
    @tumsifumartine612 6 месяцев назад +7

    Lisu yuko sawa 100%100%

  • @rastheunique
    @rastheunique 6 месяцев назад +5

    Kaka wa Taifa amesema 🙏💪

  • @georgelukas1272
    @georgelukas1272 6 месяцев назад +11

    Kwa mtu mwenye akili ukisikiliza roho inauma kweli.

  • @johnmwanyika
    @johnmwanyika 6 месяцев назад +4

    Watakao mjibu Mh. LISU, WAMJIBU KWA HOJA. SIO KUTOA TAARIFA NA KUSEMA HAKUNA UPINZANI TUTAWASHANGAA SANA

  • @user-ry1pe3tu5s
    @user-ry1pe3tu5s 5 месяцев назад +6

    Anapo ongea mh tundu lissu ,,moyo na akili na ubongo huwa tulivu kwasababu mh lissu hutowa madini ya uhakika

  • @usafiaps318
    @usafiaps318 6 месяцев назад +9

    Asante Shujaa Wetu Tuliofunguka Macho.

  • @johnmwanyika
    @johnmwanyika 6 месяцев назад +19

    Ni mtu ambae nikimsikiliza ananiongezea Sana kuwa mwerevu na kunipa uwezo wa kufikiria kwa kina kuhusu nchi yangu ninayoipenda Sana.
    Napenda Sana kujifunza kutoka kwake, Mana Kama watu hata robo tu ya watanzania wangekuwa na uelewa Kama wa lisu, nchi ingekuwa na Baraza Sana.

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 5 месяцев назад +1

      Naona tunapiga hatua pmj mimi namuelewa sana tena sanaaa natulia sana kumsikiliza nijue mengi nijifunze mengi sana

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 6 месяцев назад +5

    Leo lissu umeongea kwa uchungu Sana hotuba Kali Sana inamashiko kweli wewe niyelemia kweli mm huwa nakukubali sana sana

  • @jacobonaftari8082
    @jacobonaftari8082 6 месяцев назад +5

    Wewe ni tunu ya Tz

  • @phillipmasungwa7365
    @phillipmasungwa7365 6 месяцев назад +10

    Bigup LISSU Tupo Pamoja Sana Mungu Akulinde.

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636 6 месяцев назад +9

    Elimu kubwa sana ndani ya siasa za CCM wameziba masikio hawataki kabisa kuzisikiaa hoja zinazo elimisha jamiii iliyopo mbele yetu

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 6 месяцев назад +5

    CHADEMA....CHAMA PEKEE MBADALA KWA CCM.....WATANZANIA WOTE TUKIUNGE MKONO CHADEMA.

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 6 месяцев назад +4

    HUYO NDIYE TUNDU ANTIPAS LISSU NILIYEMPA KURA MIMI UKIMSIKIA MWINGINE NI UONGO❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @user-ry1pe3tu5s
      @user-ry1pe3tu5s 6 месяцев назад +1

      Huyu mh lissu anafaa kuingoza Tanzania kwasababu Ana kipaji kikubwa cha uongozi

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 6 месяцев назад +5

    BRAVO MH. LISSU....WATANZANIA WANAKUELEWA NA WAKO NYUMA YENU CHADEMA....WATANZANIA WOTE BILA KUJALI VYAMA VYETU TUTETEE RASILIMALI ZA NCHI YETU KWA NGUVU ZOTE.

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 6 месяцев назад +6

    Asante viongozi wazalendo Tundulissu,Mwabukusi,Mdude,Askofu Mwamakula, na wengine wengi ambao sikuwataja,Mungu awalinde,wapo wengi Heche Msigwa,Wenje Lema,Mpina na wengine,hakika sitawataja wote,Suzan kiwangwa,Ida Kenani na wengine ni wengi! Mungu awalinde.Ndugu zangu Watanganyika na watanzania wenye uchungu na Taifa letu tuamke tuungane tumkatae shetani ccm na wafuasi wake,kwenye uchaguzi mkuu ujao,tudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, tukatae mkataba wa bandari IGA ni haramu UFUTWE! Tukatae wananchi kunyang'anywa ardhi zao kwa nguvu na kuhamishwa kwa nguvu,wananchi tukatae utumwa huu! Tundulissu wewe ni msema kweli siku zote ambae hakuelewi na hatakuelewa atalaaniwa kwa sababu Nchi inaenda kuangamia lakini bado watu wanaikumbatia ccm! Mungu atusaidie,Amen

  • @levissanga8867
    @levissanga8867 6 месяцев назад +7

    Mwenye sikio na asikie hekima hii ya Mh. Tundu. Tuchukue hatua

  • @user-kf1xh6lj2x
    @user-kf1xh6lj2x 6 месяцев назад +5

    Tundu lisu mungu aendelee kukulinda by Elibariki Kitemangu

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 6 месяцев назад +5

    lissu wewe ni shujaa na mtetezi weetu pekee

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 6 месяцев назад +6

    Hata wakianza kutengeneza uchafuzi kwa kugawa kata na kutuongezea wananchi gharama za uchaguzi, watambue kuwa kushinda kwa mbinu zote mbaya sio ushindi halali,kwamaana hiyo watafitinika mbele za Mungu na kukalia viti hivyo kwa tabu na mitihani mingi

  • @Lubango-gj3ud
    @Lubango-gj3ud 5 месяцев назад +1

    Aisee inauma sana ! Lisu unafikisha ujumbe kwa raia. Kinachobaki ni wa Tz kuamua
    Rasilimali ziendelee kuuzwa au ccm wajitafakari

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke 6 месяцев назад +3

    Lisu your best man ever seen in Tanzania your better than juliasi nyerere

  • @edwardelibahat8012
    @edwardelibahat8012 6 месяцев назад +4

    Tundu Lisu ni tunu ya Taifa

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 6 месяцев назад +7

    mungu ambariki askofu mwamakula nife mimi yeye abaki mwamakula mungu amekutuma tanganyika ipate uhuru amina

    • @markmosi473
      @markmosi473 6 месяцев назад

      11111111111❤❤❤❤❤❤❤I 11111111

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 6 месяцев назад +5

    Iv kwanini ccm wanaogopa katiba mpya na uchaguzi huru

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 6 месяцев назад +5

    Mh.Makamu MWKT.CDM Taifa,ongea yote ya kweli na MUNGU kupitia maombi ya watumishi wake atakulinda kama alivyokuokoa na risasi 16 mwilini mwako na bado wasiweze kuutoa uhai wako!!

  • @user-kg8dn6qr8o
    @user-kg8dn6qr8o 6 месяцев назад +4

    Mungu Akupe Maisha Malefu we mzalendo Tundu lisu Hakika Unaipenda Tanzania na watuwake

  • @gwantwamwalyaje8515
    @gwantwamwalyaje8515 6 месяцев назад +4

    Nakuelewa Kabisa

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw 2 дня назад

    Tundu Lisu ni kichwa kweli kweli

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 6 месяцев назад +7

    Ni kweli kabisa mh.Makamu Mwkt.wa CDM-Taifa, kwamba baba Askofu Emaus Mwamakula ni Mtume wa MUNGU katika ukombozi wa taifa hili, MUNGU hatamuacha aumizwe na mabeberu wanasiasa wa nchi hii kabla hajatimiza kazi aliyoitiwa,wengi mtapuuza lakini mtakuja kuamini maana Mungu hajawahi kushindwa kumuangusha shetani dhidi ya wateule wake, amina!

  • @user-nn6zq1ok7i
    @user-nn6zq1ok7i 6 месяцев назад +3

    ASANTE MHESHIMIWA TUNDULISU MUNGU AKUBARIKI. AKULINDE NAUOVU

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 6 месяцев назад +3

    Kuna limsukule la ccm linakukejeli watanganyika tulioteswa miaka yote hii tunakuelewa

  • @DoganJagard-dn2sk
    @DoganJagard-dn2sk 6 месяцев назад +4

    Mungu akulinde

  • @blandinamwingira3229
    @blandinamwingira3229 5 месяцев назад +1

    Pamoja sana baba, umebaki ew tu ndio mtetezi wa taifa letu, tunakuombea sana mungu akuweke miaka elfu

  • @user-eo6ni2md7r
    @user-eo6ni2md7r 6 месяцев назад +5

    Sahihi

  • @TNgwale-eu3xl
    @TNgwale-eu3xl 6 месяцев назад +8

    Mungu akusimamie akulinde, akujalie afya na kukuongoza daima katika maisha. You are a blessing to our beautiful countries ( Tanganyika and Zanzibar) Tanzania

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 6 месяцев назад +6

    mama wa kambo ipo siku atafungwa na kufia jela kwa mambo anayo fanya sania ipo siku mtasema

  • @leoncebenjamin8107
    @leoncebenjamin8107 6 месяцев назад +4

    Sema mzee baba

  • @user-hs5tb5qq8e
    @user-hs5tb5qq8e 5 месяцев назад

    Mungu tusaidie tundu lisu

  • @csato9415
    @csato9415 6 месяцев назад +4

    Hilo darasa la kuhusu uchaguzi na uwiano wa majimbo tunamwelewa Tundu Lissu ? Hapo ndipo mwanzo wa kupigwa.!

  • @user-ii2ej1bx4n
    @user-ii2ej1bx4n Месяц назад

    Mungu akulinde muheshimiwa ndio jambo la kwanza nalamsingi afyaaa iwe tele muda wote ili mambo mengine yafuate kwa nguvu kubwa.

  • @vedastusmlavumba1158
    @vedastusmlavumba1158 22 дня назад

    Mwambaaaaaaaa, tunakuelewa sna

  • @ngimbakuyi3250
    @ngimbakuyi3250 4 месяца назад

    Jamani jamani, ingekuwa ni ombi langu kwa wote MUNGU WETU ATUSAIDIE kutuvukisha jamani uchaguzi ujao, tufunge tuombe kwa ajil ya LISSU. 🙏🙏

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 6 месяцев назад +5

    huyu mama nae akiiba uchaguzi nae atakufa ghafla kama jpm dictetar magufuli atakufa mapema tuu samia ngoja muone

  • @rashidmakuri531
    @rashidmakuri531 5 месяцев назад +1

    Makato na ushuru kwa wamama wanao okota uchafu wa mawe au ukwale kwenye migodi midogo ni kero kubwa na ni aibu.

  • @solomoneglesias9752
    @solomoneglesias9752 5 месяцев назад

    Halafu utakuta kuna limutu likimbeza Lissu,,,yaaaan haya matumbo haya hayanaga shukrani😭😭😭

  • @user-bb4sv3fp7r
    @user-bb4sv3fp7r 4 месяца назад

    Ongera Lissu

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 5 месяцев назад +1

    Kweli kbs

  • @NaftaliMhemi-du5re
    @NaftaliMhemi-du5re 6 месяцев назад +4

    Hongera mtoa taarifa

  • @gadielmungure9711
    @gadielmungure9711 6 месяцев назад +5

    Watanzania wanaangamizwa kwa kunyimwa maarifa

  • @majaliwabenedictor
    @majaliwabenedictor 5 месяцев назад +1

    Kwa hutuba hyo wenye hakili na wazalendo tunaelewa

  • @AshrafuJonny-sz4gs
    @AshrafuJonny-sz4gs 5 месяцев назад

    Mwambaaa waafrica

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds 5 месяцев назад

    Watanzania tuamke ukijani utatumaliza kama mmewapendea rangi mtabaki kulalamika maisha magumu kila siku tuchukuwe hatua nyoka wa kijani atoke

  • @innocentmleli1196
    @innocentmleli1196 6 месяцев назад +1

    Hallelujah

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 6 месяцев назад +4

    uoga unawaponza mnashindwa kumtaja na biii idda nabii bora kuriko nabi yeyotee dunianiani

    • @bonabonala5559
      @bonabonala5559 6 месяцев назад

      huyu anaf\ kua kiongozi wa jimbo kuriko yure changudoa wa ccm kamoli

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 6 месяцев назад

      Nabii idda ?

  • @peninanyaisare
    @peninanyaisare 5 месяцев назад

    Mungu atatusaidia tukiamka

  • @edwinmandela5658
    @edwinmandela5658 5 месяцев назад

    Tundu lissu ni chuma

  • @FadhiliMrutu-uj2ef
    @FadhiliMrutu-uj2ef 5 месяцев назад

    Bila maandamano yasiyo na ukomo,mtaishia kupiga kelele majukwaani na hatutambulia kitu.
    Kuweni Jaramongi Odinga wa Kenya tutakuwa nanyi

  • @user-du6cs7ik6y
    @user-du6cs7ik6y 5 месяцев назад

    Haiitaji elim kubwa kuku elewa thenks my brother

  • @edwardlugakingira5142
    @edwardlugakingira5142 5 месяцев назад

    Brother unatoa shule kweli!! Ila watz ni kazi kweli.

  • @husseynzooh1979
    @husseynzooh1979 6 месяцев назад +3

    Mhe LISSU nakuelewa sn mung akuweke sn

  • @majaliwabenedictor
    @majaliwabenedictor 5 месяцев назад

    Chadema mngu awaweke pazen saut Kwa ajili ya haya ila ipo sku

  • @zuberiseguni
    @zuberiseguni 5 месяцев назад

    Sasa huu siyo mkutano wa imani unapotaka kuhusisha imani uwe na weledi wa kuangalia pande zote.Naona baragashia mkutanoni !!!

  • @thobiasmasabile-cw9xo
    @thobiasmasabile-cw9xo 5 месяцев назад

    Sema kaka mi nakuerewa sana,

  • @user-cr6tm5jz8x
    @user-cr6tm5jz8x 5 месяцев назад

    Kweli kabisa mbona watumishi darasa la daba kutoongezwa mishahara ukweli ni ubaguzi wasemee na wao

  • @BonifasiAmosi
    @BonifasiAmosi 5 месяцев назад

  • @VictorZimba-kg3xr
    @VictorZimba-kg3xr 5 месяцев назад

    Kweli mkuu nchi hii tunakupa Hao kwao huruma mwiko

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 3 месяца назад

    Maendeleo na ajira zitapatikana sio bure HAO wanalipa na SIO kuuzwa vitu vinazalisha BIASHARA ajira zitapatikana 😮😮😮😮😮😮

  • @mohamedseif1549
    @mohamedseif1549 5 месяцев назад

    Sasa ni siasa au dini

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf 4 месяца назад

    Yani nimekuerewa ccm Allah anawaona mtaendatu kaburini mtaacha kila kitu mali ulioichuma kwa dhulma mtaiyachatu afu faida aitokuepo bali faida ya dhambitu

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 6 месяцев назад +1

    Sio mseme aseme tu wakati hamuelewi anachokisema

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf 4 месяца назад

    Lisu umenifanya niwe mwelevu na msikivu na ujinga kuweka kapuni

  • @VictorZimba-kg3xr
    @VictorZimba-kg3xr 5 месяцев назад

    Hao wasio Elena ni vichaa

  • @taulonintume9293
    @taulonintume9293 5 месяцев назад

    Amen

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 5 месяцев назад

    👍✌️🙏.

  • @FloridaAdelinus
    @FloridaAdelinus 6 месяцев назад

    Wawapeleke kwa wafugaji kama walivyofanya OPERATION TOKOMEZA alafu waanze ohoo ilikosewa, ohoo tunakiri ilifanyike kinyume na matarajio wakati huo watu wameishapoteza maisha😛😛🥲🥱

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 6 месяцев назад +3

    Mimi nimesema kabisa Mungu kama Lissu huyu anamakosa yanayomfanya usimpe anachokipambania miaka yote awe Raisi na chama chake wawepo madarakani hizo dhambi nipatie mimi nipe adhabu ye yote ila huyu bwana umpandishe kitini na akomboe hili Taifa sisi wabongo hii sio size yetu hata kidg kwa mujibu wa maneno yake hakika!

    • @brownsebastianmwibi5647
      @brownsebastianmwibi5647 6 месяцев назад +1

      Umeomba jambo gumu. Wewe omba Mungu amuinue na kumpa hiyo nafasi unayoisema. Ila kwa habari ya dhambi zake sidhani kama unaweza kuzibeba. Ila huyu mwamba anastahili kuwa Rais wa TZ, tumwombee Mungu ampe afya njema na amuepushe na maadui.

    • @solomoneglesias9752
      @solomoneglesias9752 5 месяцев назад

      Hakuna jambo gumu mbele ya Mungu,, aombalo mtu ndo apewalo ilimradi kaomba kwa Imani yake yote na kwa moyo wake wote na kwa akili yake yote,, thenks​@@brownsebastianmwibi5647

  • @SizyaChama
    @SizyaChama 4 месяца назад

    Amani tuliyo nayo inatutosha ! Nchi zingine jirani wanililia.

  • @ErickSamky
    @ErickSamky 5 месяцев назад

    ✌️✌️✌️

  • @kimangu1
    @kimangu1 5 месяцев назад

    Ukitaka kupata elim yenye mashiko ya kiwango cha 5G,nakushauri msikilize mh tundu lisu hana mfano wake,kubali au usikubali.

  • @joshuarose6756
    @joshuarose6756 5 месяцев назад

    Lissu umesem vizur

  • @user-pm7cp8bd4l
    @user-pm7cp8bd4l 5 месяцев назад

    😊😂😅

  • @blandinamwingira3229
    @blandinamwingira3229 5 месяцев назад

    Anagawa nchi yeti mbons huko kwao zanzib hagusi

  • @davidkayumpu8170
    @davidkayumpu8170 6 месяцев назад

    Zitto kiogozi wa act anasema Zanzibar kuna wajanja wanaenda na kura za ziada mfukoni halafu wanazipiga kura hilo je linarekebishwa vipi

  • @robertaloyce1358
    @robertaloyce1358 6 месяцев назад +2

    Mh.Asenga, wapi Teddy?

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 5 месяцев назад

    Mbona kila siku watu wanapungua Tu mikutano yako?

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 6 месяцев назад

    Samia ametangaza wanafunzi wa primary na secondary wapatiwe chakula cha mchana kwa bajeti yake ila waalimu wamegeuza mradi mzazi akikosa buku mtoto haendi shule si kwamba atanyimwa chakula bali atachapwa na kutengwa asiingie darasani ikibidi pia.

    • @isayakihongile4921
      @isayakihongile4921 5 месяцев назад

      Unatia aibu kubwa kwa uongo wako, bajeti ipi ya kuwarisha wanafunzi acha uongo ni walemavu tu ndio wanaopewa chakula bure acha uzushi usisikilize viredio mbao changia mahindi mwanao ale kande darasa la kwanza hadi form four kama hupendi mpeleke private akale ubwabwa

  • @hajimgwami5224
    @hajimgwami5224 5 месяцев назад

    Akiingia madarakani huyu ndio atafanya mchele ushuke bei

  • @DoganJagard-dn2sk
    @DoganJagard-dn2sk 6 месяцев назад

    Pumbafu zao

  • @user-zg4yz7je8d
    @user-zg4yz7je8d 5 месяцев назад

    Ivi uyo askofu anafanya nini apo? Chadema ebu muwe na ufahamu sana wa kuangalia wakati. Sababu ni lahisi sana watu wakahusisha chadema na imani ya kikristo. Ili jambo liliwahasili sana chama cha cuf. Ivi uyu askofu sawa ni mwanaharakati lakini asiwe anakwenda kwenye jukwaa la kisiasa

  • @rommelmauma8081
    @rommelmauma8081 6 месяцев назад

    *Lissu, wazungumzie hao waliopigika na maisha ninaowaona kwenye 'clip' hiyo waweze kupata chakula, wale; wanenepe, kama wewe ulivyo!* Amina.

    • @bonnyngowo7567
      @bonnyngowo7567 5 месяцев назад

      @rommelmauma8081 unawaza kula badala ya kutafakari mambo ya msingi😂😂😂

  • @omarymkamba3045
    @omarymkamba3045 6 месяцев назад

    Huwa nashindwa kuelewa utofauti kati ya mikutano ya injili na mikutano ya CHADEMA.Mngesajili kanisa tu badala ya kufanya siasa imewashinda.

    • @isayakihongile4921
      @isayakihongile4921 5 месяцев назад

      Ninyi mmeweza vizuri kufanya siasa kwakuwatesa wafugaji na kuzipoteza rasilimali zetu bandari, gesi,madini, hifadhi n.k Ila msisahau MUNGU yupo hai

    • @giztony2009
      @giztony2009 5 месяцев назад

      Huwezi kuelewa kama Huna utashi kwa kifupi ww Huna utashi maana yke Huna utofauti na mbuzi

    • @josembeyaa9032
      @josembeyaa9032 5 месяцев назад

      Akili yako mbovu na uzuzu daima uwezi kumuelewa hata chembe.

  • @daudisimyota3923
    @daudisimyota3923 6 месяцев назад

    Mi nauliza mheshimiwa kitu kinaitwa tiva naomba ufafanuzi wahicho kitu

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 5 месяцев назад

    Mwamba yuko mjini