MAKONDA AMVAA TUNDU LISSU na MBOWE, ATANGAZA VITA - ''TUTAMPIGA KILA KONA''...
HTML-код
- Опубликовано: 25 окт 2023
- MAKONDA AMVAA TUNDU LISSU na MBOWE, ATANGAZA VITA - ''TUTAMPIGA KILA KONA''...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Aina yoyote 😊😊😊😊 huna rudi kuja kuhuwa watu na kupiga masase watu...
Usije Zanzibar kenge wewe tumewachoka maadui kama wewe Allah akushinde na nia yako mbaya hasbiallah
Mungu akulindea makonda
Safi sana makonda😂😂😂😂
Maji na Umeme in
Tatizo.nchini
.
Bora umeludishwa chadema imefanya ghalama ya mafuta kupanda
Unamsema mtu sema mliyo yafanya
Daaah babake 2025 inabd tuwapige chini
Ole wako uwalete wasiojulikana mungu atakuonyesha shoo
Kiburi hutangulia anguko
Eti nakuombea mafuta kwa budget ipi..hela zinatok kwapi..Police na wakurugenzi wakikaa mbali CCM haifiki saa 4 chali
Ww ng'ombe kweli
Tena ng'ombe tasa
Akiwa chini nenda nae akiruka ruka nae tunakuamini kijana wetu makonda
wanataka mwenezi muuaji ndiomaana wamekuteua wewe uwa watu itayapata uyatendayo
Mda mwingi kusema watu tuuuuu...unatusahaiiii tulokuweka hapo SIsi masikini
WEWE MAKONDA USIFIKIRI UNAVYOROPOKA BASI WATU WATAOGOPA VITISHO VYAKO,KAMA NI KUFA WOTE TUTAKUFA,KWA HIYO USIONGEE HOVYO KWA SABABU UMEPEWA CHEO CHA KUONGEA POROJO SISI TUMESHAICHOKA CCM AMBAYO IMESHINDWA KUIONGOZA NCHI HII YA TZ.
Hoja dhaifu
Shida nimbaya sana jamaa alipoa kama maji yamtungi.
Hiyo hoja nimuf elim Bure tumeanza kuisikia huu mwaka wa 10
Karejeshwa fitna 😳
Kauli zake ni hatarishi sana, ametuletea kigugumizi .Ni mda tu tutajionea cha mtema kuni .Nawaangalia hao waliopo pembeni yake wanatia huruma kabisa na vikofia vyao
Sasa huyu ana nguvu ya kupamba a na Mbowe??
Una akili sis wananch tunaon ujitambui wee makond
Ety wanataka mwenezi wa aina Gani!mkisasi huyu
Mizani ipelekwe kuthibiti ubora
Haya ngoja tuone wakubwa zako wameshindwa ww utaweza au utatumia kama zamani Yale yailaud redio
Mhh kwani wao wamemfanyaje au wamemzuia nn
Tunataka hoja
Mwaa acheni lisu aende ngorongoro
Ku'nguta vumbi kbsa
Fata yako acha unyoko😏
Fisi ni fisi tu
Ruka nae popote alipo
Sjui wanaongea nn yaani ni mbowe sasa mbowe ni nani tunataka maendeleo sio mambo ya mbowe
Sugu uko wapii Luka naye chadema Hana Sela tume hulu
Huyu mpumbavu amerudi tena umeanza kumchokonoa tundu lisu tena
😂😮
makonda wewe achana na tundu lisu yeye sio size yako wewe mweche ccm hatuitaki
Huna lolote
Haelewek anaongea nn yaani hana hoja kabisa naona uchawa tu
Sanaaa yani kaja na MIHEMUKO Kama yote
Mda mwingi kusema watu tuuuuu...unatusahaiiii tulokuweka hapo SIsi masikini