DUH! LISSU KIBOKO AMCHANA MAKONDA"HUYU MWANAUME MWENZANGU MBONA ANAWIVU MI SINA KAZI NAYE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2024
  • DUH! LISSU KIBOKO AMCHANA MAKONDA"HUYU MWANAUME MWENZANGU MBONA ANAWIVU MI SINA KAZI NAYE"
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 767 400402)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Комментарии • 128

  • @scieceandtechnology1965
    @scieceandtechnology1965 4 месяца назад +7

    Tajiri lisuuu.
    ...afu yupo tayari kulala gerezani, na dhahama nyingi tuu kwa ajili ya kukutetea ww mnyonge😂

  • @JoshuaSalimu
    @JoshuaSalimu 4 месяца назад +10

    DAWA NI NCHI IUZWE NDO MTAPATA AKILI KUWA LISU ANACHOKIONGEA KINA MAANA. AKILI ZENU MATOPE

    • @user-nn6zq1ok7i
      @user-nn6zq1ok7i 4 месяца назад

      Iuzwe na Nani ss NDIO wenye Nchi

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx 4 месяца назад

      Lisu nijambazi la makinikia

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx 4 месяца назад

      Hakuna takataka nzito kama lisu, et mwanasheria gan alitetea wezi wa makin ikia?

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx 4 месяца назад

      Umeseahau magufuli anahangaika kukamata wezi wamakinikia harafu yy alisema tuwaache waendelee kuiba? Analosema hivo kwasababu alihongwa nawazungu akawa anapewa hela namwenzie zito Kabwe.tunajua sana

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx 4 месяца назад

      Lisu njaa yaurais hana njaa nyingine

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 4 месяца назад +6

    Wanasiasa wa Tanzania mnatuchezea lenu moja kutafuna nchi.

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi 4 месяца назад

      We mbona una ongea bumba una vunja watu moyo lao Moja na nanii jitambue ww

    • @mkamamoris9415
      @mkamamoris9415 2 месяца назад

      Umeongea fact San aisee

  • @king_maik6375
    @king_maik6375 4 месяца назад +1

    Hyu mzee bado sana

  • @Bizmind472
    @Bizmind472 4 месяца назад +4

    Kutoka Kenya nampenda Sana Paul makonda kazi nzuri brother achana na uyu abweke

    • @JoshuaSalimu
      @JoshuaSalimu 4 месяца назад +4

      Makonda hawezi kumaliza matatizo ya Tzania Bali matatizo yetu yatamalizwa na katiba nzuri. Kw mwe Nye akili anaelewa

    • @geofreatumbo4543
      @geofreatumbo4543 4 месяца назад +1

      Wewe ni mtanzania Tena ccm mjinga wewe

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 4 месяца назад

      Kuma la mamako pambaneni na ukabila wenu huko kenya

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx 4 месяца назад

      Asante sana.makonda kwA sasa hata akisema anagombea urais hana wakumshinda.

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx 4 месяца назад

      Lisu ni tapeli wa kisiasa,aliwatetea wezi wa makinikia

  • @user-yv2gx9co1o
    @user-yv2gx9co1o 4 месяца назад +8

    Yaan sisi tuandamane watoto wetu waumie was kwako wako USA 😊😊😊

    • @rashidyusuphwewenimtotowam1761
      @rashidyusuphwewenimtotowam1761 4 месяца назад +8

      Kwani wew unakuwa unaandamana masilahì ya nani niyawatoto wa tundu lisu au ni yakwako

    • @mohamededdi7527
      @mohamededdi7527 4 месяца назад

      ​@@rashidyusuphwewenimtotowam1761Jawabu zuri Sana.

    • @stevensteve7519
      @stevensteve7519 4 месяца назад

      watoto wenu wanaumizwa na nini acha uzushi. Hata wewe unaruhusiwa kupeleka watoto wako nje kusoma kama huna uwezo kaa kimya

    • @jamessiame5169
      @jamessiame5169 4 месяца назад

      Kweli kabisa

    • @stevenghambi3471
      @stevenghambi3471 4 месяца назад

      Kwandamana ni kdai haki si familia

  • @user-nd6xm8tt3x
    @user-nd6xm8tt3x 4 месяца назад

    Daaaaaar lisssu umenichekesha kweri ila kweri anaonaje wivu uyo sasa

  • @godfreychaba9673
    @godfreychaba9673 4 месяца назад +2

    Hongera sana calvin nyanda kijana home boy wa old shinyanga

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 4 месяца назад +1

    LISU HANA NYIMBOOOO HUYOOOO.😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉😂🎉

  • @davidchihimba9489
    @davidchihimba9489 4 месяца назад

    Nimecheka sna

  • @kamalissabig4631
    @kamalissabig4631 4 месяца назад +3

    Mfireni sana huyo Hana akili 😂😂😂😂 anaenda umama

    • @nixonjohnson4908
      @nixonjohnson4908 4 месяца назад

      Wrwe je umesha acha hiyo tabia ..utaiona mbaya mbele

  • @filbertkumburu8015
    @filbertkumburu8015 4 месяца назад +4

    Pumbavu kweli,yaani wewe kutafuta haki yako mpaka watoto wa lisu wawepo,ebo! Hawakosi mahisia ,je lisu mwenyewe asingekuwepo? Mi nashauri watu wasimhadili mtu bali ajadili juu ya maandamano kwako yanalipa au hayalipi,hoja iko hapo?

    • @user-fr7jj1bo7y
      @user-fr7jj1bo7y 4 месяца назад

      nani aliyekulazimisha uandamane?? sisi tutaandamana wewe lala kwako..Tanzania na chadema itajengwa na wenye moyo

    • @samsonsamson7936
      @samsonsamson7936 4 месяца назад

      Ndo akili ya vilaza haangalii ukweli wa kinachoongelewa

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx 4 месяца назад +1

      Leta watoto na mkeo kuandamana

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 4 месяца назад +1

    Atakuwa anakupenda hakuna siku ajakusema na mbaya sana alikukosa kupoka uhai wako

  • @user-xy7yc4qp6o
    @user-xy7yc4qp6o 4 месяца назад +1

    Lisu bwana

  • @user-ib1kp5ch4m
    @user-ib1kp5ch4m 4 месяца назад +1

    Wapo marekani eeh

  • @chichahamis635
    @chichahamis635 4 месяца назад +5

    Mzee mihuni ya chadema hiyo milisu

    • @user-fr7jj1bo7y
      @user-fr7jj1bo7y 4 месяца назад

      Makonda ana wivu sana nae si atafute mzungu wake tatizo ni nini? aache wivu wa kike

    • @stevensteve7519
      @stevensteve7519 4 месяца назад

      Hayakusaidii hayo toa hoja tukuelewe

  • @AlexAlex-kf1eg
    @AlexAlex-kf1eg 4 месяца назад

    Makonda oooooyeeeeeee

  • @David-if6nk
    @David-if6nk 4 месяца назад

    Daah kumbe wanasoma Marekani na ni wamarekani

  • @filbertkumburu8015
    @filbertkumburu8015 4 месяца назад +2

    Kaa nao tena wafungie kwenye kitundu cha nguruww au cha kuku giza la kukusa umeme uone litakufinya huko mpaka ukome, bei ya sikar bado, vibano vya tozo bado,hospitalini nadawa ghali itakufinya kuzani wenzako wanafanya ngonjela

  • @mosesg.pendael8381
    @mosesg.pendael8381 4 месяца назад +4

    Lisu mhuni sana 😀😀😀😀

  • @dionizkipanya2355
    @dionizkipanya2355 4 месяца назад

    Hahahaha Mwamba Ban

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 4 месяца назад

    Hiki kichwa ni hatari sana

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 4 месяца назад

    Yaani Mimi
    Ningekuwa mm Ni?ngemrudia Mungu ningemrudia Mu ngu

  • @mkamamoris9415
    @mkamamoris9415 2 месяца назад

    Kama nimeelew vizur huyu syo mtanzania ila anafanya kazi Tanzania na familia yake Iko marekan mke Yuko uberigij sas vp atakuw na machungu na vijana wa kitanzania

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps
    @AnnoyedFlowerPot-mr2ps 3 месяца назад

    Nenda kagombee huko huna chako tz

  • @JoshuaSalimu
    @JoshuaSalimu 4 месяца назад +2

    DAWA YENU KODI IPANDISHWE NDO MTAKUWA NA AKILI TAZANIA

    • @frankhoffa8356
      @frankhoffa8356 4 месяца назад

      Wabongo hawajawahi pata akili kwanza hawanaga akili wewe, hata auawe mamayake hapa bado ni zero

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx 4 месяца назад

      Kuandamana UN huna ishu

  • @omarkapula588
    @omarkapula588 4 месяца назад +4

    Mnamsikia huyu watoto wako marekani mama ubelgiji huku anadai maandamano hana familia hapa atoke ni muomgo watu huwa wanapanga wapi wazae ameamua akazae marekani

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 4 месяца назад +1

      Shida tulizokuwa nazo je zinahusiana na familia yake

    • @mvukiedavid4332
      @mvukiedavid4332 4 месяца назад +1

      Kapula ni Kapula kwel

    • @kareemsanga5952
      @kareemsanga5952 4 месяца назад +2

      Kwani kakwambia wewe upeleke wanao?

    • @MubinaRoshan
      @MubinaRoshan 4 месяца назад

      Yeye mke hayupo tz watoto hawspo anataka kuharibu kws wenzake

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 4 месяца назад

      @@MubinaRoshan kati ya mke wake watoto wake na wako wapi wanamaisha magumu elimu duni sukari shida umeme shida na uongozi mbovu wa CCM hivi nani kawaroga nyinyi.

  • @geey7893
    @geey7893 4 месяца назад

    Huyu Lissu sdhani kama hakuliwa Ubelgij. Mbona hatak kuhana uko😂

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 4 месяца назад

    Hizo fedha umepata wapi ya kuwasomesha marekani

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 4 месяца назад

      Ww umekosa pesa unafikiri kila mtu ndio hana?😂😂😂

  • @user-pt7lc4xu3d
    @user-pt7lc4xu3d 4 месяца назад +2

    Tuandamane sisi watoto wako marekani duh

    • @melchiadepaschal3097
      @melchiadepaschal3097 4 месяца назад +3

      Umelazimishwa, Kalale unenepe

    • @1961nungwi
      @1961nungwi 4 месяца назад +2

      Dah, huyu Jamaa kumbe aliwahi kufanya kazi Marekani! Dah kweli Dunia hii ametembea

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 4 месяца назад +3

      Kwani unadhani viongozi wa CCM watoto wao wanasoma Tanzania?

    • @alphoncewilliam4325
      @alphoncewilliam4325 4 месяца назад

      Ningefurai kusikia kwenye maandamano yao ile ela ya ruzuku wagawe kwa wanao hamasisha kuandamana

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 4 месяца назад

      @@alphoncewilliam4325 Hivi hayo mav8 na matumizi mabaya ya kodi wakati kila kitu ni hovyo hakuna chenye unafuu huoni umeshupalia ruzuku what is rong with Tanzanias special you are you made !

  • @eliaichraymond1215
    @eliaichraymond1215 4 месяца назад +2

    Toka ameukubali ushoga,mm nimemkataa kutoka moyon Tindu Lissu

    • @mvukiedavid4332
      @mvukiedavid4332 4 месяца назад +2

      Akili huna Bwege,wapi aliukubal ushoga mBwa Wewe

    • @user-gr9wc7bc2m
      @user-gr9wc7bc2m 4 месяца назад +1

      Mbona papa humsemi unafata mkumbo tu na uhakika huna

    • @user-qn8pb9er6c
      @user-qn8pb9er6c 4 месяца назад +2

      Huna akili yawezekana wewe ndo shoga unatafuta wanaume hawapo wa hivyo

    • @nixonjohnson4908
      @nixonjohnson4908 4 месяца назад +1

      Aliukubali wapi ...tueleze au dishi lime hrza

  • @MsAggie5
    @MsAggie5 4 месяца назад +3

    Ndo maana anaukubali ushoga 😂😂😂

    • @mohddelo
      @mohddelo 4 месяца назад

      Ndio mashoga wenzio

  • @user-ly2tv5og1n
    @user-ly2tv5og1n 4 месяца назад +2

    Kumbe huyu jamaa si mwenzetu !!!

  • @VenerandaKundi-ph4hg
    @VenerandaKundi-ph4hg 4 месяца назад

    Sasa weee unataka urais wakati familia yako iko nje je inahusu mungu na akufundishe

  • @salehwaziri5062
    @salehwaziri5062 4 месяца назад

    Mpuuzi kamawapuuziwengine

  • @adamsengo1869
    @adamsengo1869 4 месяца назад

    TUSI HILI JAMANI, YANI MAANAAKE MAKONDA ANAMUONEA WIVU MZUNGU AU? NDIO MAANA LISSU ANASEMA MAKONDA YEYE NI MWANAUME 😂😂😂😂😂

  • @martinchambala9399
    @martinchambala9399 4 месяца назад

    Mke yupo uberigiji alafu kinataka kutuletea fujo huku hata tukikupa nchi ww ndio rahisi kituuza

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 4 месяца назад

    Wewe pandikizi,unahamasisha wetu wagome wako wanaishi marekani nenda kadanganye wazungu

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki 4 месяца назад +5

    Watoto wa masikin waandamane wakwako wapo marekani mbwa nini

    • @rashidyusuphwewenimtotowam1761
      @rashidyusuphwewenimtotowam1761 4 месяца назад +2

      Maandamano ni haki ya mtanzania masikini wanyonge sio matajili wala mtoto wa lisu sis masikini ndo tunahangaiķa mfano jana nmaa anagombana na konda kisa 200 halafu konda andai haki yake

    • @stevensteve7519
      @stevensteve7519 4 месяца назад

      Maskini nikina nani acha kudanganya watu. Mmejificha kwenye hilo chaka kutudanganya muendelee kutuibia

    • @nabimanyafesto5014
      @nabimanyafesto5014 4 месяца назад

      Kwani alipo andamana alikua ni kivuli

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 4 месяца назад

    Lisu hafai tena hatufai lbs

  • @chaleslwenje3047
    @chaleslwenje3047 4 месяца назад

    Wanasheria toeni elimu hivi maandamano ni vurugu mbona majuzi hata sisimizi hakukanyagwa na yalifanyika

  • @martinchambala9399
    @martinchambala9399 4 месяца назад

    Kwakweli tundu ww mtu wa hovyo sana

  • @mzalendomtokambali6551
    @mzalendomtokambali6551 4 месяца назад

    Na huku unahamasisha familia za wezako kufanya mahandamano

    • @user-fr7jj1bo7y
      @user-fr7jj1bo7y 4 месяца назад

      nani aliyekulazimisha uandamane?? sisi tutaandamana wewe lala kwako..Tanzania na chadema itajengwa na wenye moyo

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in 4 месяца назад

    😂😂😂😂Mke yupo ubelgiji watoto wapo marekan c tunaandama Tanzania....Nyau kabisa wewe

  • @BahameJuke-wp5cs
    @BahameJuke-wp5cs 4 месяца назад

    Ivi nyinyi mnaomsifia makonda hakiri zenu matako kabisa mutu jambazi,muuanzi,mporaji

  • @Masige_fm
    @Masige_fm 4 месяца назад +3

    Lissu aliishi USA miaka mitatu, na watoto wake wawili wakazaliwa huko ndani ya hiyo miaka mitatu.

  • @mariosigala8760
    @mariosigala8760 4 месяца назад +4

    Huna maono na nchi Yako makonda humuwez Tanzania imeuelewa MAMA

    • @KenedyMboma-zb4cq
      @KenedyMboma-zb4cq 4 месяца назад +1

      Labdawewe nafamiliayako ndiomnamuelewa mamayenu

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 4 месяца назад +2

    Lisu nimtoa tarifa sio mtendaji ni muhuni tu

  • @ephraimndelwa4073
    @ephraimndelwa4073 4 месяца назад +2

    Makonda ndo Rais wako

  • @merckmdamu2942
    @merckmdamu2942 4 месяца назад +4

    Tuandamane wewe familiayako iko malekani😂😂😂😂😂😂😂

    • @mvukiedavid4332
      @mvukiedavid4332 4 месяца назад +2

      Kuandika hujui,huwez kujua sabab au maana ya kuandamana kudai haki yako

    • @user-gr9wc7bc2m
      @user-gr9wc7bc2m 4 месяца назад +3

      Wewe kaa nyumbani kwako uendelee kununua sukari 5000 na kuhangaika na umeme

    • @merckmdamu2942
      @merckmdamu2942 4 месяца назад

      @@user-gr9wc7bc2m Nenda barabarani ss sukari5000? Kwani inaurazima🤣🤣🤣

    • @merckmdamu2942
      @merckmdamu2942 4 месяца назад

      @@user-gr9wc7bc2m Nenda barabarani ss sukari5000? Kwani inaurazima🤣🤣🤣

    • @merckmdamu2942
      @merckmdamu2942 4 месяца назад

      @@mvukiedavid4332 Hakiyako niwewe namaisha yako kaka haukna rais atakaekuja kukuletea majumba magar napesa nyumbanikwako. Atahuyo anaekusihi uandamane akichukua madaraka bado utaenderea kumkosoa. Chakukushaur pambana namaishayako pigakazi kwabidii na ukimtanguriza mungu. Utafanikiwa. Achana na siasa siasa inawenyewe broo,, 🤣🤣

  • @ricklandennis
    @ricklandennis 4 месяца назад

    Lisu kuwa raisi bado sana una chuki za ndani

  • @scieceandtechnology1965
    @scieceandtechnology1965 4 месяца назад

    Tajiri lisuuu.
    ...afu yupo tayari kulala gerezani, na dhahama nyingi tuu kwa ajili ya kukutetea ww mnyonge😂

  • @kamalissabig4631
    @kamalissabig4631 4 месяца назад +3

    Mfireni sana huyo Hana akili 😂😂😂😂 anaenda umama