🅻🅸🆅🅴 SUGU, MSIGWA WAWEKWA MTU KATI SHUHUDIA MDAHALO HUU
HTML-код
- Опубликовано: 24 май 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Mdahalo huu kwa kweli ni meupenda hongera sana
Hapo mmeonesha ukomavu mkubwa wa kisiasa, ila kiukwel wote mko vizuri, nimependa sana hii.
Hii debate ni excellent. Wamefanya vinzuri ĝ
Ni mapema mno. Lazima uzijue siasa za Africa ndugu yangu. Tusiige wamagharibi kila kitu.
Sugu ana hoja za kitoto sana, comedians
Sio kweli ila nimependa mdahalo huu
Na ameshibda; Sugu anaongea simple lakini strong
Hoja za Kitoto kama??
Natamani hii midahalo ifanyike kwa viongozi wote wa kanda tutapata watu wazuri sana kuinua utawala bora hadi level ya chini kabisa
Mjadala haukuwa wa afya
Hongera sana Naiona Nuru Chadema Mungu awabariki sana na wakubali
Midahalo kama hii ina stimuleti thinking. Big up chadema na Act wazalendo kwa kuliona hilo
Hii ndiyo demokrasia ya kweli, big up chadema❤❤❤❤❤
Ila maswali ya Odemba yamenyoka sana🙌🙌🙌🙌
😂😂
Tuache makundi ya hivyo ili tushinde uchaguzi wa serikali za mitaa mwako 2024 na uchaguzi mkuu 2025. God Bless Us - CHADEMA
Safi Sana
Uongozi ni kazi sana aisee inataka roho ya Bwana wa Mungu iwe juu yako.
Hapa Sugu na Msigwa wanapamhana kupata tu nafasi ya Uenyekiti wa kanda tu aisee kwa kweli ni kazi saana.
Nakubali
You have show us, the meaning of democracy keep it up !!! May be next time….,.!
Chadema bigup sana kwa njia hii inawajengea uwezo zaidi chadema
Well said Mchungaji Peter Msigwa.
Mko vzr sana Chadema
Haya ndiyo mawazo huru ninayoyataka yanajenga yanamuamsha kiongozi asibweteke nipo na Sugu
Mdahalo mzuri sana
Mimi sijui sana siasa lkn ninachokiona kwa Msigwa ni mtu ambaye anajua kujieleza vizuri na kujitetea ya wezekana hiyo ni kalama yake,ila kwa utendaji sio mzuri
Uko vzuri
Uko Sahihi Msigwa anakipaji Chakujieleza Vizuri sana
Kweli ndugu msigwa anajua SN kujieleza kujibu hoja lkn UTENDAJI hajui sn pili huwa anajua yy yupo superior than others tatu hajui miiko na mipaka na yake na viongozi wake alinukuliwa akipingana na makamu mwenyekiti hadharani ni kosa lile
Msigwa, kwenye ngorongoro mmmmh, ulijikwaa
Safi sana CDM
Mdahalo mzuri sana. Tunapata wasaa wa kuelewa thinking, goals na the end... Nafurahi sana kuwasikiliza mnavyorespond hoja na maswali.
Hii ni nzuri sana....hata atakaeshinda atajua ana kazi ya kufanya na si kujibweteka tu!!
Sana, walioshinda watimize majukumu yao kwa bidii na ubunifu mkubwa kwa mujibu wa katiba.
Congratulations for the voted leaders, all are winners
@illomowerner7690 sure, they have a great job to do!!
Msigwa very nice,
Safi sana
Asante sana kwakufafanua hapo maana mh msigwa anapotosha uma
Chadema mmekuwa mfano mfano mzr one mnavyofanya mdahalo live ili kumpata kiongozi bila mizengwe aise hii ni demokrasia ya hali ya juu sn. Safi sana vyama vingine viige mchakato huu wa kupata viongozi
Congrats msigwa, freedom of opinion
Ataanza ujenzi baa ndani ya siku saba msigwa acha kupotosha eti atakenga ndani ya siku saba.
Sisi tupo tayari tunahitaji pakukutania sasa nakujadili yetu ya chama.
Huko ndiyo kushindana kwa hoja,mwisho wa siku mmoja akishinda mnapongezana.
CHADEMA safi sana.
Ndg yangu hapa ni kuangushana sio kushindana ndani ya Chama halipaswi hili maana baada ya huu uchaguzi mmoja Kati Yao ataanguka kisiasa sayansi ya siasa haitakiwi Chama kimoja viongozi wawili tena wa ngazi za juu kufanya hayo madhara yake ni makubwa Sana ndani ya Chama kisiasa
indigenous • \in-DIJ-uh-nuss\ • adjective. 1 : having originated in and being produced, growing, living, or occurring naturally in a particular region or environment 2 : innate, inborn.May 12, 2024 Msigwa Hapo au hajui au Kapotosha, Indignous Haina Maana ya Suti au Nyumba Ina Maana (Watu wa Asili wa Mahali, Iwe wana Suti au rubega) Wamasai ni Indiginous wa Maeneo hayo.
Safi Sana kwa mdahalo mzuri
Pamoja siyo mzoefu wa siasa ,ila mfumo wa kifikiri ndio engine ya Kila jambo,wote hao wanamazuri na madhaifu ,ila mchungaji ni mbobevu kwenye leadership,sugu ni hodari wa kumobilize watu,sugu he have to lean more.
ÌNGEKUWA CCM WANAJIGEUZA CHAWA KWA MTU MMOJA HII NDIYO CHADEMA TUNAYOIJUA❤❤❤
Kweli kabisa hata wakati wa ukoloni shule zilikuwepo chini ya miembe na watu walipata elimu ndo waliopata elimu wamejenga shule
Muzingwa uko vizuri sana
Kanda ya Nyasa mnawatu wazuri sana mimi nawashauri wajumbe wawape wote, maana simwoni wakumwacha.
hahahaaaas
Not Impressed by anyone!
Moderater anamuataki Msigwa
Msigwa ndiye anamkatisha mwenzake na kupelekea moderator kuingilia kati.
Good! Hiki ndicho chama cha siasa bhana
Kweli kabisa kamanda, umehoji na kutoa mawazo yako kizalendo... materialistic
👊👍✌️.
Mjadala mzuri Sana
Daaah ila Msigwa 💪💪💪💪💪
Safii kabisa hiyo ndio democrasia
Hot soup!
Mdaharo mzuri sana ila siku nyingine boresheni sauti
Nyie ni maswaiba nawajua na kiukweli mko vizuri maana tunhitaji hoja kamili kama hizi,wote mko vizuri kimawazo tunawatakia heri ktk uchaguzi.
Bonge la hoja, unajitambua
Msigwa P. you are so strong you deserve what you have and you will win this battle on 29.5.24
UKO wapi @regnald
Let's know about your prediction whether is has gone okay or not😂
Chama kingine kiige hiv Kama wataweza
walianza ACT hii
Nawaomba viongozi wangu wapongezane wao kwa wao mi nawakubari wako vzr hawawezi kufanana ndo maana ya democrasia atakaeshinda tumeshinda wote chadema kizazi kipya cha kuhoji Mungu ibariki chadema na watu wake
Kumbe waliokimbia walikosea sana
Msigwa yuko vizuri sugu akae pembeni kwa heshima ya chama
Chadema ni chama kikubwa sana kinakuabsiku Hadi siku.
Mh Msigwa nakukubali sana ila hapa naona Mh Sugu ana nafasi kubwa ya kushinda.
Haya ndio mambo
Wana ccm tuingie tujifunze Chadema mambo mema si vibaya kuviiga.
Sugu nchi haijengwi kwa connection ni policy
In fact Msigwa tena
Nilikuwa najua yale ya wamasai yatamfuata Msigwa pole hili litakuangusha trust me bro check your arrogance
Great prediction @karestephen
Hii ni kitu nzuri sana CCM WAIGE HILI KWA ULIMWENGU WA SASA
Msigwa kuhusu jambo la ngorongoro ni kama ulikuwa CCM,
Jaribu Tena kujisahihisha kulingana na Imani ya Chama chako,
Kuhusu lugha jaribu kupunguza kingereza,
Watanzania walio wengi utawaacha nyuma hivyo ujumbe wako kutowafikia Sawa sawa
Muungwana ni vitendo, hoja nzuri @edomukiruswa
Msigwa tayari umetumika mwachie sugu aongoze nyasa
Chadema mko vzur hongera kwa mabadiliko
Big post
Msigwa is a big brain
Kweny jibu la nyumbu mch umejib vzr san.
Msigwa kujipa sifa umekwama acha watu wakupe sifa
Pili tuhuma simekuchafua
Pili unajibu kwa hasira ambayo na jaziba usilazimishe mambo wakati umebugi stape
Nipo nasugu
Msingwa ni Kiongozi, Wanachama wa CHADEMA waamue vizuri. Wakichagua vibaya watapotea
Acha kuwapangia wajumbe nani achaguliwe, wapigakura watachagua kiongozi wao kutokana na mahitaji yao ikiwepo vipaumbele vyao.
Isitoshe wote bado wataendelea kufanya kazi za chama hata kama si viongozi, aliyekwambia mtu akidondoka kwenye kura hafanyi kazi za chama?
Acha akili mgando
Mdaahalo mhim kati msigwa na mbilinyi
Aliwaita nyumbu kwakuwa nyie ni nyumbu kweli. 😂😂
Huna akili
Msigwa ni genius sana.... I wish angekuwa ndani ya CCM tushuhudie potential yake ikiwa full taped
Ccm hamuwapi watu wenye pontetiol nafasi
@@lusajomwaipopo5042 ni kweli mkuu ndipo tunapofeli kama Chama.... Tunaenda Kwa kujuana zaidi kuliko Nini mtu anajua....
Msomi mh msigwa uwelewa wa juu sanaa
Kwa hoja nilijuatu Msigwa hashindwi. Sasa kwenye utendaji huko sijui sanaa
Mpeni ushindi sugu sugu ameshinda huu mdahalo
Kipepeo msigwa mbona anapanic ?
Kuna wakati msiwa ataisaliti chadema
Ulishabikia na kuungana na ccm kuwafukuza wamasai ngorongoro
Chill bro msigwa
Musikwazane wote moo vizuri kisiasa katika taifa letu
Chief Odemba ni hbar nyingne kwa wanahabar
Dah, mjadala haukuwa na afya kwa wadaawa,,,
Chadema let VITENDO.
Moderator mwenyewe mhhhhh.Mungu mwema
Chama kinakuwa sasa zamani chama wanachaguaana tu sasa ivi mtifuano
Apa nakubali kiongozi sio kuchaguliwa tuu ila kupewa charenge kesho akishindwa wanamwacha!.
Leo nimebaini Mbeya wana kila sababu ya kumchagua Tulia Ackson , huyu Mbilinyi hana kitu na mtupu
Sugu alifanya Mengi Mby wewe, Tulia anapora tu Maeneo ya wananchi wanakosoa makazi
Kwani Tulia Ackson ana cha maana alichokifanya Mbeya compared na Sugu...?
Halafu huyu anatafuta uongozi wa CHADEMA kanda na sio serikali..unamfananishaje na Tulia Ackson mjumbe wa CC CCM?
Huna akili, jiheshimu
Mimi si chadema lakini nawaunga mkono kwa mjadala mnaofanya hii itasaidia wananchi kuchagua viongozi makini
Bonge la hoja @user
Tumpe Sugu kura Zetu, Mchungaji msigwa aeleweki,mmetutukana,pili ameunga mkono kufukuzwa Kwa wamasai
Alishawahi kuunga mkono juhudi za mr prdnt asubuhi alafu jioni akapinga.dable standard.😅
Msigwa for live
Cm nao wafanye mdahalo kama huu tutaona vioja kwa kweli
Tatizoo,,ni moja tuuu,,,UCHU WA MADARAKA.
Hongereni CDM kwa Mdahalo
Kama Naona mpasuko furani hivi but is good for Chadema ✌️
Jongwe music
Manyumbu ni mengi sana Nchi hii including that guy and that woman in the house
Nimegundua msigwa kinachomsumbua ni suala la wamasai 😂
Msigwa anapaniki, twende na Sugu nyasa.
Mussolini..
😃@boneyme
Msigwa umeferi kwenye huu mdahalo
Msigwa Yuko sawa
Msigwa mdahalo umekushinda yaan hauleeweki
Jamani msigombane ndani yachama
mbna ofisi hazikosehemu nyingisana katka w,namikoani hakuna, mh msigwa mulango upo.wazi ccm njooo,wakikukata,kamakweri kunademocrasia. na nafasi ya uenyeketi taifa ufanyike mdaharo
Msigwa apishe nainatosha kama amejenga chama na mboye
Tumpe sugu Kwa Sasa nyasa msigwa miaka kumi imetosha