🅻🅸🆅🅴 SUGU, MSIGWA WAWEKWA MTU KATI SHUHUDIA MDAHALO HUU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 май 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 260

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 21 день назад +6

    Mdahalo huu kwa kweli ni meupenda hongera sana

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 22 дня назад +5

    Hapo mmeonesha ukomavu mkubwa wa kisiasa, ila kiukwel wote mko vizuri, nimependa sana hii.

  • @user-un8si7wk1z
    @user-un8si7wk1z 22 дня назад +6

    Hii debate ni excellent. Wamefanya vinzuri ĝ

    • @pirminmatumizi5464
      @pirminmatumizi5464 21 день назад

      Ni mapema mno. Lazima uzijue siasa za Africa ndugu yangu. Tusiige wamagharibi kila kitu.

  • @shinjemsuka1822
    @shinjemsuka1822 22 дня назад +13

    Sugu ana hoja za kitoto sana, comedians

  • @leocadianjau7410
    @leocadianjau7410 22 дня назад +6

    Natamani hii midahalo ifanyike kwa viongozi wote wa kanda tutapata watu wazuri sana kuinua utawala bora hadi level ya chini kabisa

  • @PelleSamky
    @PelleSamky 21 день назад +2

    Hongera sana Naiona Nuru Chadema Mungu awabariki sana na wakubali

  • @frankSamwel-rg3lz
    @frankSamwel-rg3lz 22 дня назад +6

    Midahalo kama hii ina stimuleti thinking. Big up chadema na Act wazalendo kwa kuliona hilo

    • @user-jt4lo1og8w
      @user-jt4lo1og8w 16 дней назад

      Hii ndiyo demokrasia ya kweli, big up chadema❤❤❤❤❤

  • @noeljacob9644
    @noeljacob9644 22 дня назад +6

    Ila maswali ya Odemba yamenyoka sana🙌🙌🙌🙌

  • @user-uz9mw1ie6z
    @user-uz9mw1ie6z 22 дня назад +20

    Tuache makundi ya hivyo ili tushinde uchaguzi wa serikali za mitaa mwako 2024 na uchaguzi mkuu 2025. God Bless Us - CHADEMA

  • @PaulKabungo
    @PaulKabungo 22 дня назад +2

    Safi Sana

  • @wemakyagunya1895
    @wemakyagunya1895 21 день назад

    Uongozi ni kazi sana aisee inataka roho ya Bwana wa Mungu iwe juu yako.
    Hapa Sugu na Msigwa wanapamhana kupata tu nafasi ya Uenyekiti wa kanda tu aisee kwa kweli ni kazi saana.

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 21 день назад +1

    Nakubali

  • @othannmpoli9896
    @othannmpoli9896 7 дней назад

    You have show us, the meaning of democracy keep it up !!! May be next time….,.!

  • @user-ig7tb1cf8z
    @user-ig7tb1cf8z 21 день назад +2

    Chadema bigup sana kwa njia hii inawajengea uwezo zaidi chadema

  • @user-so9fo5tv3j
    @user-so9fo5tv3j 21 день назад +1

    Well said Mchungaji Peter Msigwa.

  • @AronsMugisha55
    @AronsMugisha55 21 день назад +2

    Mko vzr sana Chadema

  • @isayakihongile4921
    @isayakihongile4921 21 день назад +5

    Haya ndiyo mawazo huru ninayoyataka yanajenga yanamuamsha kiongozi asibweteke nipo na Sugu

  • @user-so9fo5tv3j
    @user-so9fo5tv3j 21 день назад +3

    Mdahalo mzuri sana

  • @respiciusmugezi8645
    @respiciusmugezi8645 21 день назад +6

    Mimi sijui sana siasa lkn ninachokiona kwa Msigwa ni mtu ambaye anajua kujieleza vizuri na kujitetea ya wezekana hiyo ni kalama yake,ila kwa utendaji sio mzuri

    • @lusajomwaipopo5042
      @lusajomwaipopo5042 20 дней назад

      Uko vzuri

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu 10 дней назад

      Uko Sahihi Msigwa anakipaji Chakujieleza Vizuri sana

    • @faustinombilinyi9809
      @faustinombilinyi9809 10 дней назад

      Kweli ndugu msigwa anajua SN kujieleza kujibu hoja lkn UTENDAJI hajui sn pili huwa anajua yy yupo superior than others tatu hajui miiko na mipaka na yake na viongozi wake alinukuliwa akipingana na makamu mwenyekiti hadharani ni kosa lile

  • @ignasmwamwenda3154
    @ignasmwamwenda3154 22 дня назад +5

    Msigwa, kwenye ngorongoro mmmmh, ulijikwaa

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui729 21 день назад +2

    Safi sana CDM

  • @nzagiherman1628
    @nzagiherman1628 18 дней назад

    Mdahalo mzuri sana. Tunapata wasaa wa kuelewa thinking, goals na the end... Nafurahi sana kuwasikiliza mnavyorespond hoja na maswali.

  • @user-vz4xv7lg3x
    @user-vz4xv7lg3x 21 день назад +2

    Hii ni nzuri sana....hata atakaeshinda atajua ana kazi ya kufanya na si kujibweteka tu!!

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 15 дней назад +2

      Sana, walioshinda watimize majukumu yao kwa bidii na ubunifu mkubwa kwa mujibu wa katiba.
      Congratulations for the voted leaders, all are winners

    • @user-vz4xv7lg3x
      @user-vz4xv7lg3x 15 дней назад +1

      @illomowerner7690 sure, they have a great job to do!!

  • @DenisKagine
    @DenisKagine 9 дней назад

    Msigwa very nice,

  • @HenryKasaje-on4xq
    @HenryKasaje-on4xq 19 дней назад

    Safi sana

  • @mcongomakete1664
    @mcongomakete1664 10 дней назад

    Asante sana kwakufafanua hapo maana mh msigwa anapotosha uma

  • @AronsMugisha55
    @AronsMugisha55 21 день назад +2

    Chadema mmekuwa mfano mfano mzr one mnavyofanya mdahalo live ili kumpata kiongozi bila mizengwe aise hii ni demokrasia ya hali ya juu sn. Safi sana vyama vingine viige mchakato huu wa kupata viongozi

  • @user-oo3qw8ns7g
    @user-oo3qw8ns7g 22 дня назад +1

    Congrats msigwa, freedom of opinion

  • @mcongomakete1664
    @mcongomakete1664 10 дней назад +1

    Ataanza ujenzi baa ndani ya siku saba msigwa acha kupotosha eti atakenga ndani ya siku saba.
    Sisi tupo tayari tunahitaji pakukutania sasa nakujadili yetu ya chama.

  • @sebastianmwantuge5597
    @sebastianmwantuge5597 21 день назад +5

    Huko ndiyo kushindana kwa hoja,mwisho wa siku mmoja akishinda mnapongezana.
    CHADEMA safi sana.

    • @gaspercharles2244
      @gaspercharles2244 21 день назад +1

      Ndg yangu hapa ni kuangushana sio kushindana ndani ya Chama halipaswi hili maana baada ya huu uchaguzi mmoja Kati Yao ataanguka kisiasa sayansi ya siasa haitakiwi Chama kimoja viongozi wawili tena wa ngazi za juu kufanya hayo madhara yake ni makubwa Sana ndani ya Chama kisiasa

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 21 день назад

    indigenous • \in-DIJ-uh-nuss\ • adjective. 1 : having originated in and being produced, growing, living, or occurring naturally in a particular region or environment 2 : innate, inborn.May 12, 2024 Msigwa Hapo au hajui au Kapotosha, Indignous Haina Maana ya Suti au Nyumba Ina Maana (Watu wa Asili wa Mahali, Iwe wana Suti au rubega) Wamasai ni Indiginous wa Maeneo hayo.

  • @jamessoke4454
    @jamessoke4454 17 дней назад

    Safi Sana kwa mdahalo mzuri

  • @costamasuba1099
    @costamasuba1099 21 день назад +1

    Pamoja siyo mzoefu wa siasa ,ila mfumo wa kifikiri ndio engine ya Kila jambo,wote hao wanamazuri na madhaifu ,ila mchungaji ni mbobevu kwenye leadership,sugu ni hodari wa kumobilize watu,sugu he have to lean more.

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 13 дней назад

    ÌNGEKUWA CCM WANAJIGEUZA CHAWA KWA MTU MMOJA HII NDIYO CHADEMA TUNAYOIJUA❤❤❤

  • @geraldgedi4657
    @geraldgedi4657 22 дня назад +6

    Kweli kabisa hata wakati wa ukoloni shule zilikuwepo chini ya miembe na watu walipata elimu ndo waliopata elimu wamejenga shule

  • @LuciaAgustino-pt5mg
    @LuciaAgustino-pt5mg 10 дней назад

    Muzingwa uko vizuri sana

  • @user-ig7tb1cf8z
    @user-ig7tb1cf8z 21 день назад +2

    Kanda ya Nyasa mnawatu wazuri sana mimi nawashauri wajumbe wawape wote, maana simwoni wakumwacha.

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 21 день назад

    Not Impressed by anyone!

  • @josephmchila6467
    @josephmchila6467 22 дня назад +2

    Moderater anamuataki Msigwa

    • @johnjohnkipokola5077
      @johnjohnkipokola5077 21 день назад

      Msigwa ndiye anamkatisha mwenzake na kupelekea moderator kuingilia kati.

  • @karenstephen8738
    @karenstephen8738 22 дня назад +3

    Good! Hiki ndicho chama cha siasa bhana

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 15 дней назад

      Kweli kabisa kamanda, umehoji na kutoa mawazo yako kizalendo... materialistic

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 22 дня назад

    👊👍✌️.

  • @finiasmaengela2996
    @finiasmaengela2996 22 дня назад +1

    Mjadala mzuri Sana

  • @Simulizitulivuu
    @Simulizitulivuu 22 дня назад

    Daaah ila Msigwa 💪💪💪💪💪

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu 21 день назад +1

    Safii kabisa hiyo ndio democrasia

  • @safarimashimba5080
    @safarimashimba5080 16 дней назад +1

    Hot soup!

  • @NyangiMarwa
    @NyangiMarwa 18 дней назад +1

    Mdaharo mzuri sana ila siku nyingine boresheni sauti

  • @user-xi2mf4xh7r
    @user-xi2mf4xh7r 21 день назад +2

    Nyie ni maswaiba nawajua na kiukweli mko vizuri maana tunhitaji hoja kamili kama hizi,wote mko vizuri kimawazo tunawatakia heri ktk uchaguzi.

  • @geraldgedi4657
    @geraldgedi4657 22 дня назад

    Msigwa P. you are so strong you deserve what you have and you will win this battle on 29.5.24

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 15 дней назад

      UKO wapi @regnald
      Let's know about your prediction whether is has gone okay or not😂

  • @deodathsilayo3639
    @deodathsilayo3639 22 дня назад +5

    Chama kingine kiige hiv Kama wataweza

  • @josephmantago2837
    @josephmantago2837 21 день назад +1

    Nawaomba viongozi wangu wapongezane wao kwa wao mi nawakubari wako vzr hawawezi kufanana ndo maana ya democrasia atakaeshinda tumeshinda wote chadema kizazi kipya cha kuhoji Mungu ibariki chadema na watu wake

  • @View24.
    @View24. 22 дня назад +4

    Kumbe waliokimbia walikosea sana

  • @AnithaQueen-jc6wt
    @AnithaQueen-jc6wt 22 дня назад +1

    Msigwa yuko vizuri sugu akae pembeni kwa heshima ya chama

  • @ambitiousholyspirit395
    @ambitiousholyspirit395 22 дня назад +2

    Chadema ni chama kikubwa sana kinakuabsiku Hadi siku.

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw 18 дней назад

    Mh Msigwa nakukubali sana ila hapa naona Mh Sugu ana nafasi kubwa ya kushinda.

  • @onesmomasala-rg2wd
    @onesmomasala-rg2wd 21 день назад

    Haya ndio mambo

  • @user-ig7tb1cf8z
    @user-ig7tb1cf8z 21 день назад +2

    Wana ccm tuingie tujifunze Chadema mambo mema si vibaya kuviiga.

  • @leodgardotmar7198
    @leodgardotmar7198 22 дня назад +2

    Sugu nchi haijengwi kwa connection ni policy

  • @clarencelazaro9600
    @clarencelazaro9600 21 день назад +1

    In fact Msigwa tena

  • @karenstephen8738
    @karenstephen8738 22 дня назад +5

    Nilikuwa najua yale ya wamasai yatamfuata Msigwa pole hili litakuangusha trust me bro check your arrogance

  • @williamshehemba7224
    @williamshehemba7224 17 дней назад

    Hii ni kitu nzuri sana CCM WAIGE HILI KWA ULIMWENGU WA SASA

  • @edomukiluswa2262
    @edomukiluswa2262 21 день назад +1

    Msigwa kuhusu jambo la ngorongoro ni kama ulikuwa CCM,
    Jaribu Tena kujisahihisha kulingana na Imani ya Chama chako,
    Kuhusu lugha jaribu kupunguza kingereza,
    Watanzania walio wengi utawaacha nyuma hivyo ujumbe wako kutowafikia Sawa sawa

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 15 дней назад

      Muungwana ni vitendo, hoja nzuri @edomukiruswa

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 21 день назад +1

    Msigwa tayari umetumika mwachie sugu aongoze nyasa

  • @johnmakundi9877
    @johnmakundi9877 21 день назад +1

    Chadema mko vzur hongera kwa mabadiliko

  • @nicasissa
    @nicasissa 21 день назад

    Msigwa is a big brain

  • @samsonsanga4368
    @samsonsanga4368 8 дней назад

    Kweny jibu la nyumbu mch umejib vzr san.

  • @1xbetagent24hrsnicolous3
    @1xbetagent24hrsnicolous3 20 дней назад +1

    Msigwa kujipa sifa umekwama acha watu wakupe sifa
    Pili tuhuma simekuchafua
    Pili unajibu kwa hasira ambayo na jaziba usilazimishe mambo wakati umebugi stape
    Nipo nasugu

  • @shukuruphanuel1729
    @shukuruphanuel1729 22 дня назад +1

    Msingwa ni Kiongozi, Wanachama wa CHADEMA waamue vizuri. Wakichagua vibaya watapotea

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 15 дней назад

      Acha kuwapangia wajumbe nani achaguliwe, wapigakura watachagua kiongozi wao kutokana na mahitaji yao ikiwepo vipaumbele vyao.
      Isitoshe wote bado wataendelea kufanya kazi za chama hata kama si viongozi, aliyekwambia mtu akidondoka kwenye kura hafanyi kazi za chama?
      Acha akili mgando

  • @onesmomasala-rg2wd
    @onesmomasala-rg2wd 21 день назад +1

    Mdaahalo mhim kati msigwa na mbilinyi

  • @View24.
    @View24. 22 дня назад +4

    Aliwaita nyumbu kwakuwa nyie ni nyumbu kweli. 😂😂

  • @mwl.elishafredrickmwambeng8921
    @mwl.elishafredrickmwambeng8921 21 день назад

    Msigwa ni genius sana.... I wish angekuwa ndani ya CCM tushuhudie potential yake ikiwa full taped

    • @lusajomwaipopo5042
      @lusajomwaipopo5042 20 дней назад +2

      Ccm hamuwapi watu wenye pontetiol nafasi

    • @mwl.elishafredrickmwambeng8921
      @mwl.elishafredrickmwambeng8921 20 дней назад

      @@lusajomwaipopo5042 ni kweli mkuu ndipo tunapofeli kama Chama.... Tunaenda Kwa kujuana zaidi kuliko Nini mtu anajua....

  • @mangenyanyondo8691
    @mangenyanyondo8691 22 дня назад

    Msomi mh msigwa uwelewa wa juu sanaa

  • @Simulizitulivuu
    @Simulizitulivuu 22 дня назад

    Kwa hoja nilijuatu Msigwa hashindwi. Sasa kwenye utendaji huko sijui sanaa

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 21 день назад +1

    Mpeni ushindi sugu sugu ameshinda huu mdahalo

  • @success-only
    @success-only 22 дня назад +4

    Kipepeo msigwa mbona anapanic ?
    Kuna wakati msiwa ataisaliti chadema
    Ulishabikia na kuungana na ccm kuwafukuza wamasai ngorongoro

  • @dunstankihaa2383
    @dunstankihaa2383 11 дней назад

    Chief Odemba ni hbar nyingne kwa wanahabar

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 13 дней назад

    Dah, mjadala haukuwa na afya kwa wadaawa,,,

  • @boneyme9433
    @boneyme9433 22 дня назад +1

    Chadema let VITENDO.

  • @MohamedAli-kq2zc
    @MohamedAli-kq2zc 16 дней назад

    Moderator mwenyewe mhhhhh.Mungu mwema

  • @user-zg4yz7je8d
    @user-zg4yz7je8d 21 день назад +1

    Chama kinakuwa sasa zamani chama wanachaguaana tu sasa ivi mtifuano

  • @davidndaha9607
    @davidndaha9607 22 дня назад +1

    Apa nakubali kiongozi sio kuchaguliwa tuu ila kupewa charenge kesho akishindwa wanamwacha!.

  • @NNONGWA
    @NNONGWA 21 день назад +3

    Leo nimebaini Mbeya wana kila sababu ya kumchagua Tulia Ackson , huyu Mbilinyi hana kitu na mtupu

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu 19 дней назад

      Sugu alifanya Mengi Mby wewe, Tulia anapora tu Maeneo ya wananchi wanakosoa makazi

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 15 дней назад

      Kwani Tulia Ackson ana cha maana alichokifanya Mbeya compared na Sugu...?
      Halafu huyu anatafuta uongozi wa CHADEMA kanda na sio serikali..unamfananishaje na Tulia Ackson mjumbe wa CC CCM?
      Huna akili, jiheshimu

  • @user-lw3tg3yg5b
    @user-lw3tg3yg5b 20 дней назад +1

    Mimi si chadema lakini nawaunga mkono kwa mjadala mnaofanya hii itasaidia wananchi kuchagua viongozi makini

  • @HaryPoter-zw7vr
    @HaryPoter-zw7vr 21 день назад +1

    Tumpe Sugu kura Zetu, Mchungaji msigwa aeleweki,mmetutukana,pili ameunga mkono kufukuzwa Kwa wamasai

    • @WilfredRweyemamu-rp5re
      @WilfredRweyemamu-rp5re 9 дней назад

      Alishawahi kuunga mkono juhudi za mr prdnt asubuhi alafu jioni akapinga.dable standard.😅

  • @ShinjeMackenzie
    @ShinjeMackenzie 21 день назад

    Msigwa for live

  • @wilfredmdemu611
    @wilfredmdemu611 3 дня назад

    Cm nao wafanye mdahalo kama huu tutaona vioja kwa kweli

  • @balljmushi9599
    @balljmushi9599 13 дней назад

    Tatizoo,,ni moja tuuu,,,UCHU WA MADARAKA.

  • @boniphacenkombe4868
    @boniphacenkombe4868 20 дней назад

    Hongereni CDM kwa Mdahalo

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid447 11 дней назад

    Kama Naona mpasuko furani hivi but is good for Chadema ✌️

  • @kassiannyamba805
    @kassiannyamba805 6 дней назад

    Jongwe music

  • @shinjemsuka1822
    @shinjemsuka1822 22 дня назад

    Manyumbu ni mengi sana Nchi hii including that guy and that woman in the house

  • @finiasmaengela2996
    @finiasmaengela2996 22 дня назад +1

    Nimegundua msigwa kinachomsumbua ni suala la wamasai 😂

  • @omegamwasenga9823
    @omegamwasenga9823 21 день назад +1

    Msigwa anapaniki, twende na Sugu nyasa.

  • @boneyme9433
    @boneyme9433 22 дня назад +2

    Mussolini..

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 21 день назад +1

    Msigwa umeferi kwenye huu mdahalo

  • @shinjemsuka1822
    @shinjemsuka1822 22 дня назад

    Msigwa Yuko sawa

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 21 день назад +1

    Msigwa mdahalo umekushinda yaan hauleeweki

  • @raphaelmchilo-kx4tt
    @raphaelmchilo-kx4tt 11 дней назад

    Jamani msigombane ndani yachama

  • @user-cu9mj3xj8x
    @user-cu9mj3xj8x 10 дней назад

    mbna ofisi hazikosehemu nyingisana katka w,namikoani hakuna, mh msigwa mulango upo.wazi ccm njooo,wakikukata,kamakweri kunademocrasia. na nafasi ya uenyeketi taifa ufanyike mdaharo

  • @YaeLondon-xy7sh
    @YaeLondon-xy7sh 21 день назад +1

    Msigwa apishe nainatosha kama amejenga chama na mboye

  • @MsifuniMahenge
    @MsifuniMahenge 22 дня назад +1

    Tumpe sugu Kwa Sasa nyasa msigwa miaka kumi imetosha