LISSU ATOBOA SIRI NZITO BABATI, AWATAJA WANAOHUJUMU BIDHAA YA SUKARI, VIONGOZI WA DINI WAHUSISHWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 апр 2024
  • #TANZANIA: Hii balaa! Lissu atoboa siri nzito Babati Manyara, awataja wanaihujumu bidhaa ya Sukari, mtoto wa Rais Samia ahusishwa pamoja na Viongozi wa dini, "tozo, vikokotoo na mambo yote yanapangwa Ikulu"

Комментарии • 96

  • @jeitangogo-rf8uf
    @jeitangogo-rf8uf Месяц назад +6

    Miaka mingi🎉 kwako kamanda tuvushe watanzania😊

  • @felixmsengi1084
    @felixmsengi1084 22 дня назад +1

    Asante kiongozi kwa Elimu ya uraia na haki na umuhimu wa katiba

  • @geraldgedi4657
    @geraldgedi4657 28 дней назад +2

    You are my future PRESIDENT OF TANGANYIKA. WE supposed to pull up our socks in order to get Real freedom in our country.

  • @TonnyJunior-cc2bt
    @TonnyJunior-cc2bt 29 дней назад +3

    Tundu lissu asante.

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 26 дней назад +2

    Imeisha hyoo😅😅

  • @lgf7297
    @lgf7297 Месяц назад +5

    Strong language!

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 29 дней назад +3

    This is politician training tanzanati strong dision meeker among Tanzania people this is the voice of tanzanian politician and this is the training tanzanati need to be training how to dimand they right training of how constuetion walks to Tanzania people how to benefits

  • @user-qv4jb7mt5q
    @user-qv4jb7mt5q 26 дней назад +1

    Kweli ndugu, ushindi ni lazima.

  • @Bonnie__1
    @Bonnie__1 Месяц назад +3

    He deserve to be prime minister 👋

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 26 дней назад +2

    Tukopamoja mh lissu kuidai katba mpya.

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 29 дней назад +1

    Tupo pamoja sana kamanda tunawasubili sana uchaguzi

  • @user-rn2dl8cf4t
    @user-rn2dl8cf4t 10 дней назад

    Ng'hana ngosha wachibulage maatu.

  • @josephmedah575
    @josephmedah575 18 дней назад

    Tunamiss sana lema

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tn 29 дней назад

    Very strong speech

  • @user-wl2wm8qg6r
    @user-wl2wm8qg6r 29 дней назад +1

    Tutakutana 2025 ccm hawapati ng'oo

  • @Ayubuulotu0404gmailcom
    @Ayubuulotu0404gmailcom 21 день назад +1

    Punguza porojo mkuu unatuchosha to a Sera tukuelewe

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 29 дней назад +1

    Anachofundisha Lisu ni historia ya asili ya maisha ya mateso tuliyopata wazee wenu kutokana na katiba hii ya Uhuru, na sasa vijana mnarithi, msikubali kataeni tafuteni yenu achaneni na vijiwe vya mpira na kubeti jitokezenii...

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 29 дней назад +1

    Ardhi yote ni Mali ya uma, chini ya udhamini wa mtu mmoja ambaye sasa unaitwaa ardhi ya uma na kuigawa kwa wageni kwa kisingizio cha maendeleo ambayo tangu Uhuru hatuyaoni tunaona vitu tu!

  • @kaidiSaid-ot9nl
    @kaidiSaid-ot9nl 29 дней назад

    Hugo kamera men sijui kama yukopamoja nawewe

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 24 дня назад

    Kodi nu dunia nzima. Hivi chadema mtatoza too au hamtotoza mkiwa madarakani? Na zipi mtazifuta ili Rais wasidanganywe kama ilivyo dunia nzima?

  • @LiberatusMlay
    @LiberatusMlay 25 дней назад

    Fact

  • @nth3512
    @nth3512 29 дней назад

    Jifunzeni kuposti klip fupi fupi kufikiaha ujumbe, sio unapost li video la lisaa lizima, sa mtu atasikia wapi hayo maneno?

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 29 дней назад

    Siasa

  • @DanielMagwiza-wx7el
    @DanielMagwiza-wx7el 25 дней назад

    Tupe mwangaza kiongozi

  • @joycemsai34
    @joycemsai34 27 дней назад

    Latest news

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 29 дней назад

    👍👊✌️.

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 29 дней назад

    Hii baya,apana sema taifisa veve sema nyang'anya sio sajili jumba yote sajili pamoya mimi dani! Sava veve chukua...

  • @SalminTenga-fx6wi
    @SalminTenga-fx6wi 24 дня назад

    Lisu umewah kwenda kwa mama mkakaa meza moja kumpa makero yako .bc nenda kaanae chni mjenge nch yenu

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 24 дня назад

    Raia wanadanganywa sana na hawa wanasiasa. Aseme wao watafanya nini baada ya kushika madaraka? Watatoaza tozo? Zipi ambazo hawatotoza na utaratibu gani?

  • @user-qc8rs3ry4y
    @user-qc8rs3ry4y 24 дня назад

    Huyu tundu lusu akapimwe akili

  • @ChancellorFelix-vm5yp
    @ChancellorFelix-vm5yp 26 дней назад +1

    Tuliambiwa Kuna vita ya uchumi ghafla kamanda akafa katkat ya vita xo tunasikitika jeshi letu limeshindwa kutuvusha kwenye vita ya uchumi xaiz wahun wanagawana tu mali wananchi tunatahabika wakuu wa vyombo vya usalama walikaa kmya wakjua wao watakua salama lakn Cha ajabu wote wamepembuliwa na wao wamebak kuwa mashuhuda tu wahun wanavogawama minofu

    • @MACHOYATAI-jk6fu
      @MACHOYATAI-jk6fu 24 дня назад

      Mabeyo Alidhani atakuwa salama kwakumsaliti MAGUFULI na yeye wamemfukuzia mbali

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka1008 29 дней назад +1

    Nyie msemao gender balance husawa kati ya mwanamke na mwanaume, sasa je!!! mbona apo kwenye mahandamano hadadi kati ya mwanamke na mwanaume hailingane?
    Hii ni dhairi kwamba: haiwedgekanike kuwa husawa uo, Sababu mwanaume ndie mwenye upendo na huruma na nchi, pia ni dhairi kwamba: Rais apaswe kuwa mwanamke kama SAMIA. sababu ni kwamba mwanamke hakuumbwa kutawala bali kutawaliwa na mwanaume.
    Kama utanipinga basi anza kuona doctor wa akili mapema....

  • @geey7893
    @geey7893 26 дней назад

    Huyu taahira alikua anahutubia watu 16😂😂

    • @MACHOYATAI-jk6fu
      @MACHOYATAI-jk6fu 24 дня назад

      Hata hivyo waisilamu hamnaga akili huna akili

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 29 дней назад +1

    Usalama na mapolisi wetu tumieni akili hawa wazanzibar wanauza rasilimali za nchi yetu Tanganyika,bandari,misitu ,maliasili halafu mnamlinda kumbuka mnavizazi na ndugu pia nanyi mkistafu utaimbana na matatizo au watoto wenu

  • @TNgwale-eu3xl
    @TNgwale-eu3xl 24 дня назад

    Lakini CCM kimekuwa Chama cha watu wa ajabu mno. Ng'ombe afuge mtu kwa nguvu na juhudi zake, lakini akitaka kuiuza mpaka apate Kigali cha mtendaji wa kijiji. Ni upumbavu gani huu!! Watanganyika inatakiwa kuamka usingizini. Hiki kikundi cha walafi wa CCM kinaona watu ni wapumbavu na wajinga mno

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 29 дней назад +2

    Mheshimiwa Lissu Ndivyo binadamu wenzetu tuliowapa dhamana wanavyotumia dola kututishia kifo miaka yote 60 wanatutawala kijamaa,wao wanaishi kibepari utadhani hawajazaliwa na kupanguswa na mwanamke!, wameshushwa wala hawatakufa! Tunataka katiba mpya ya haki sawa wote, tule wote, tufe wote, tuviache salama kwa wenzetu, hivyo!!

  • @SalminTenga-fx6wi
    @SalminTenga-fx6wi 24 дня назад

    Lisu ukichokonoa muungano mtajutia nyny watanganyika .kwanza muujue muungano ni nn .cc wazanzibar muungano hatuutak Kama utavunjika Leo wazanzibar watafurah kuliko wabar. Unayosema Ayo no kwa mujib was katiba rekebisha alaf jarib kuuvunja

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 24 дня назад

    Hata Rais wa Marekani akifa, Kamara anakua Rais mda huo pasina uchaguzi.

    • @johnsonkiwia6577
      @johnsonkiwia6577 21 день назад

      Hilo sio shida. Shida ni mamlaka makubwa na mengi yanayopelekea kuonekana kama Rais ni Mungu.

    • @johnsonkiwia6577
      @johnsonkiwia6577 21 день назад

      Hilo sio shida. Shida ni mamlaka makubwa na mengi yanayopelekea kuonekana kama Rais ni Mungu.

  • @rubanimponzi8259
    @rubanimponzi8259 29 дней назад

    Toa pointi sio kejeri

    • @michaelmhina3613
      @michaelmhina3613 29 дней назад +1

      Rubani wewe ni bongofake. Umevimbiwa maharage ya mbegu.

    • @elibarikimollel7149
      @elibarikimollel7149 29 дней назад

      Wewe hakuna point zaidi ya ukweli kwa mabwenyenye wabinafsi wasiotosheka!

    • @geraldgedi4657
      @geraldgedi4657 28 дней назад

      Acha ufala kwenye mambo serious. Wewe una nini mpaka uone anachozungumza hakihusu maisha ya Watanganyiika.?

    • @geraldgedi4657
      @geraldgedi4657 28 дней назад

      Namjibu huyo anayejiita ruba mm i mponzi.

  • @juliusmlula1658
    @juliusmlula1658 29 дней назад

    We ndosi ni taahira acha matusi Kwa kamanda wetu lisu

  • @juliusmlula1658
    @juliusmlula1658 29 дней назад

    Matusi ya nn we nduli unaye mtukana kamanda lisu

  • @hassannuru7399
    @hassannuru7399 29 дней назад

    Watanzania hatutaki tena mambo ya uzanzibar na utanganyika,rais wetu ni mtanzania acha ubaguzi Lissu,huna hoja.Chadema mmefilisika mmebaki kudandia vioja visivyo na msingi.

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 29 дней назад

    Hiki chama siku hzi hakina hata mvuto wanaomsikiliza wamekata tamaa ya maisha

    • @solomonkambarangwe1372
      @solomonkambarangwe1372 29 дней назад +1

      Wewe ni mpumbavu, huna haya. Umechoka wewe

    • @MACHOYATAI-jk6fu
      @MACHOYATAI-jk6fu 24 дня назад

      Wee ni mzanzibari huwezi kuwa na uchungu na tanzania na hata hivyo waisilamu hamnaga akili huna akili

  • @makongorowassira6593
    @makongorowassira6593 29 дней назад

    Ila Lisu ana pumba sana 😂😂 sasa Samia kagawa ardhi ya nani? Kikwete na Mkapa walifanya yote hayo na huu ni mwendelezo tu.
    Acha kueneza chuki

    • @MACHOYATAI-jk6fu
      @MACHOYATAI-jk6fu 24 дня назад

      Wee nae akili huna

    • @makongorowassira6593
      @makongorowassira6593 24 дня назад

      @@MACHOYATAI-jk6fu Tatizo wenye akili ndo nyie hapo ndo shida inapoanzia😂😂🥵🥵

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 23 дня назад +1

    Kama kuna mtu anatege m ea kuwa atatajirika kwa kumchagua Lissu ninamuonea huruma.
    Anawadanganya wakati mwenzenu ana makazi Ubeljiji na watoto wake Marekani😮
    Wajinga ndio waliwao😢

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 19 дней назад

      Ndugu acha ujinga na vitisho kwamba Lissu ana magazine ubelgiji! Tundulissu anaongea ukweli, kama wewe ni chawa na mnufaika wa mfumo wa mafisadi wa ccm huwezi kumpenda Lissu! Hivyo acha upotoshaji wako! Lissu yuko sahihi. Hata wewe katafute makazi ubelgiji!

    • @saidimdoe5246
      @saidimdoe5246 17 дней назад

      ubongo wa kuku

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri 29 дней назад

    WEWE ACHENI UJIZI TUPE SERA ZENU SIYO UONGO WENU

    • @user-vg9sd2fc1k
      @user-vg9sd2fc1k 29 дней назад

      Unachekesha walionuna kada🤣🤣😎

    • @MACHOYATAI-jk6fu
      @MACHOYATAI-jk6fu 24 дня назад

      Endereaa kuabudu mashetani huko zanzibari achana na sisi

  • @makongorowassira6593
    @makongorowassira6593 29 дней назад

    Kwenye suala Muungano huyu sijui ana maono gani? Nachosikia ni chuki tu, hafai kuwa Kiongozi wa nchi kabisaa

    • @user-vg9sd2fc1k
      @user-vg9sd2fc1k 29 дней назад

      Tukuulize wewe una maono gani.Ukinunua bidhaa Zanzibar kuileta Tanganyika unaambiwa uilipie bandarini na wakati hii nchi ni moja.Nisaidie boss.😢😢

    • @MACHOYATAI-jk6fu
      @MACHOYATAI-jk6fu 24 дня назад

      Unafaa wewe mkoswa akili?!!?

  • @EzekielGittu
    @EzekielGittu 21 день назад

    Kawadanganye wanyaturu wanzako uko una la msingi

  • @rahimzuberi2673
    @rahimzuberi2673 29 дней назад

    Chadomo kwenu ubaguzi na chuki zenu hazikubaliki nchi hii

    • @ezekielkiduge8730
      @ezekielkiduge8730 29 дней назад +1

      Mtasema yote lakimi sisi tutaendellea kudai haki mpaka tuipate

    • @helenakamenya8680
      @helenakamenya8680 29 дней назад +1

      Machoko ya ccm tulieni dawa yenu imekaribia.

    • @MACHOYATAI-jk6fu
      @MACHOYATAI-jk6fu 24 дня назад

      Endereaa kuabudu mashetani huko zanzibari achana na sisi,

  • @henryndosi2002
    @henryndosi2002 Месяц назад +1

    Umetoka Kwa mmeo ubeligiji unafundisha watu ujinga

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm 29 дней назад

      Nimekuona unambusu mzungu aitwaye king ambao walitutawala na kumdharau kila Mtanzania mwenye akili. Hüyı Charles wa majuu ungengeza una wa udu kWa Vipi. Wewe ni mwingereza nini. Au you are lucking confidence in your own skin . Sad.

    • @HenryCastuli-jz3cx
      @HenryCastuli-jz3cx 29 дней назад

      Ww ndy njinga ambaye hajielewi

    • @HenryCastuli-jz3cx
      @HenryCastuli-jz3cx 29 дней назад

      Labda jiogope ww hakuna m2 anayeogopwa ukweli uzungunzwe

    • @RaymondKilomeye
      @RaymondKilomeye 29 дней назад +1

      Co Bali unachofikili ww ndo ujinga

    • @RaymondKilomeye
      @RaymondKilomeye 29 дней назад +3

      Kiukwel tz inahtaj usaidiz wa mungu kizaz chote kimejaa uchawa wamezoea kugawiwa kofia za kijan huku upatkanaj wa hizo kofia nikuuziwa sukari bei ya juu ili watu wapate Cha juu chanunuli tishet na kofia mungu tusaidie

  • @LiberatusMlay
    @LiberatusMlay 25 дней назад

    Fact