LISSU ATOBOA SIRI NZITO BABATI, AWATAJA WANAOHUJUMU BIDHAA YA SUKARI, VIONGOZI WA DINI WAHUSISHWA
HTML-код
- Опубликовано: 25 апр 2024
- #TANZANIA: Hii balaa! Lissu atoboa siri nzito Babati Manyara, awataja wanaihujumu bidhaa ya Sukari, mtoto wa Rais Samia ahusishwa pamoja na Viongozi wa dini, "tozo, vikokotoo na mambo yote yanapangwa Ikulu"
Miaka mingi🎉 kwako kamanda tuvushe watanzania😊
Asante kiongozi kwa Elimu ya uraia na haki na umuhimu wa katiba
You are my future PRESIDENT OF TANGANYIKA. WE supposed to pull up our socks in order to get Real freedom in our country.
Tundu lissu asante.
Imeisha hyoo😅😅
Strong language!
This is politician training tanzanati strong dision meeker among Tanzania people this is the voice of tanzanian politician and this is the training tanzanati need to be training how to dimand they right training of how constuetion walks to Tanzania people how to benefits
English please!!! Or drop it😂😂
Kweli ndugu, ushindi ni lazima.
He deserve to be prime minister 👋
Even president
Tukopamoja mh lissu kuidai katba mpya.
Tupo pamoja sana kamanda tunawasubili sana uchaguzi
Ng'hana ngosha wachibulage maatu.
Tunamiss sana lema
Very strong speech
Tutakutana 2025 ccm hawapati ng'oo
Punguza porojo mkuu unatuchosha to a Sera tukuelewe
Anachofundisha Lisu ni historia ya asili ya maisha ya mateso tuliyopata wazee wenu kutokana na katiba hii ya Uhuru, na sasa vijana mnarithi, msikubali kataeni tafuteni yenu achaneni na vijiwe vya mpira na kubeti jitokezenii...
Ardhi yote ni Mali ya uma, chini ya udhamini wa mtu mmoja ambaye sasa unaitwaa ardhi ya uma na kuigawa kwa wageni kwa kisingizio cha maendeleo ambayo tangu Uhuru hatuyaoni tunaona vitu tu!
Hugo kamera men sijui kama yukopamoja nawewe
Kodi nu dunia nzima. Hivi chadema mtatoza too au hamtotoza mkiwa madarakani? Na zipi mtazifuta ili Rais wasidanganywe kama ilivyo dunia nzima?
Fact
Jifunzeni kuposti klip fupi fupi kufikiaha ujumbe, sio unapost li video la lisaa lizima, sa mtu atasikia wapi hayo maneno?
Siasa
Tupe mwangaza kiongozi
Latest news
👍👊✌️.
Hii baya,apana sema taifisa veve sema nyang'anya sio sajili jumba yote sajili pamoya mimi dani! Sava veve chukua...
Lisu umewah kwenda kwa mama mkakaa meza moja kumpa makero yako .bc nenda kaanae chni mjenge nch yenu
Raia wanadanganywa sana na hawa wanasiasa. Aseme wao watafanya nini baada ya kushika madaraka? Watatoaza tozo? Zipi ambazo hawatotoza na utaratibu gani?
Huyu tundu lusu akapimwe akili
Tuliambiwa Kuna vita ya uchumi ghafla kamanda akafa katkat ya vita xo tunasikitika jeshi letu limeshindwa kutuvusha kwenye vita ya uchumi xaiz wahun wanagawana tu mali wananchi tunatahabika wakuu wa vyombo vya usalama walikaa kmya wakjua wao watakua salama lakn Cha ajabu wote wamepembuliwa na wao wamebak kuwa mashuhuda tu wahun wanavogawama minofu
Mabeyo Alidhani atakuwa salama kwakumsaliti MAGUFULI na yeye wamemfukuzia mbali
Nyie msemao gender balance husawa kati ya mwanamke na mwanaume, sasa je!!! mbona apo kwenye mahandamano hadadi kati ya mwanamke na mwanaume hailingane?
Hii ni dhairi kwamba: haiwedgekanike kuwa husawa uo, Sababu mwanaume ndie mwenye upendo na huruma na nchi, pia ni dhairi kwamba: Rais apaswe kuwa mwanamke kama SAMIA. sababu ni kwamba mwanamke hakuumbwa kutawala bali kutawaliwa na mwanaume.
Kama utanipinga basi anza kuona doctor wa akili mapema....
Umeona mwanangu tanzania ni nchi ngumu sana
Huyu taahira alikua anahutubia watu 16😂😂
Hata hivyo waisilamu hamnaga akili huna akili
Usalama na mapolisi wetu tumieni akili hawa wazanzibar wanauza rasilimali za nchi yetu Tanganyika,bandari,misitu ,maliasili halafu mnamlinda kumbuka mnavizazi na ndugu pia nanyi mkistafu utaimbana na matatizo au watoto wenu
Kweli kabisa BHANA askari wetu wajinga sana
Lakini CCM kimekuwa Chama cha watu wa ajabu mno. Ng'ombe afuge mtu kwa nguvu na juhudi zake, lakini akitaka kuiuza mpaka apate Kigali cha mtendaji wa kijiji. Ni upumbavu gani huu!! Watanganyika inatakiwa kuamka usingizini. Hiki kikundi cha walafi wa CCM kinaona watu ni wapumbavu na wajinga mno
Mheshimiwa Lissu Ndivyo binadamu wenzetu tuliowapa dhamana wanavyotumia dola kututishia kifo miaka yote 60 wanatutawala kijamaa,wao wanaishi kibepari utadhani hawajazaliwa na kupanguswa na mwanamke!, wameshushwa wala hawatakufa! Tunataka katiba mpya ya haki sawa wote, tule wote, tufe wote, tuviache salama kwa wenzetu, hivyo!!
Lisu ukichokonoa muungano mtajutia nyny watanganyika .kwanza muujue muungano ni nn .cc wazanzibar muungano hatuutak Kama utavunjika Leo wazanzibar watafurah kuliko wabar. Unayosema Ayo no kwa mujib was katiba rekebisha alaf jarib kuuvunja
Muungano hauna faida kwetu
Hata Rais wa Marekani akifa, Kamara anakua Rais mda huo pasina uchaguzi.
Hilo sio shida. Shida ni mamlaka makubwa na mengi yanayopelekea kuonekana kama Rais ni Mungu.
Hilo sio shida. Shida ni mamlaka makubwa na mengi yanayopelekea kuonekana kama Rais ni Mungu.
Toa pointi sio kejeri
Rubani wewe ni bongofake. Umevimbiwa maharage ya mbegu.
Wewe hakuna point zaidi ya ukweli kwa mabwenyenye wabinafsi wasiotosheka!
Acha ufala kwenye mambo serious. Wewe una nini mpaka uone anachozungumza hakihusu maisha ya Watanganyiika.?
Namjibu huyo anayejiita ruba mm i mponzi.
We ndosi ni taahira acha matusi Kwa kamanda wetu lisu
Matusi ya nn we nduli unaye mtukana kamanda lisu
Watanzania hatutaki tena mambo ya uzanzibar na utanganyika,rais wetu ni mtanzania acha ubaguzi Lissu,huna hoja.Chadema mmefilisika mmebaki kudandia vioja visivyo na msingi.
Acha ubwege kwa nini asiuze na bandari na misitu hko mzanzibar?
Unachekesha watu Hassan😂
Lakini ni mchango piah
Ww wasemaa
Wewe ndio huna hoja
Hiki chama siku hzi hakina hata mvuto wanaomsikiliza wamekata tamaa ya maisha
Wewe ni mpumbavu, huna haya. Umechoka wewe
Wee ni mzanzibari huwezi kuwa na uchungu na tanzania na hata hivyo waisilamu hamnaga akili huna akili
Ila Lisu ana pumba sana 😂😂 sasa Samia kagawa ardhi ya nani? Kikwete na Mkapa walifanya yote hayo na huu ni mwendelezo tu.
Acha kueneza chuki
Wee nae akili huna
@@MACHOYATAI-jk6fu Tatizo wenye akili ndo nyie hapo ndo shida inapoanzia😂😂🥵🥵
Kama kuna mtu anatege m ea kuwa atatajirika kwa kumchagua Lissu ninamuonea huruma.
Anawadanganya wakati mwenzenu ana makazi Ubeljiji na watoto wake Marekani😮
Wajinga ndio waliwao😢
Ndugu acha ujinga na vitisho kwamba Lissu ana magazine ubelgiji! Tundulissu anaongea ukweli, kama wewe ni chawa na mnufaika wa mfumo wa mafisadi wa ccm huwezi kumpenda Lissu! Hivyo acha upotoshaji wako! Lissu yuko sahihi. Hata wewe katafute makazi ubelgiji!
ubongo wa kuku
WEWE ACHENI UJIZI TUPE SERA ZENU SIYO UONGO WENU
Unachekesha walionuna kada🤣🤣😎
Endereaa kuabudu mashetani huko zanzibari achana na sisi
Kwenye suala Muungano huyu sijui ana maono gani? Nachosikia ni chuki tu, hafai kuwa Kiongozi wa nchi kabisaa
Tukuulize wewe una maono gani.Ukinunua bidhaa Zanzibar kuileta Tanganyika unaambiwa uilipie bandarini na wakati hii nchi ni moja.Nisaidie boss.😢😢
Unafaa wewe mkoswa akili?!!?
Kawadanganye wanyaturu wanzako uko una la msingi
Chadomo kwenu ubaguzi na chuki zenu hazikubaliki nchi hii
Mtasema yote lakimi sisi tutaendellea kudai haki mpaka tuipate
Machoko ya ccm tulieni dawa yenu imekaribia.
Endereaa kuabudu mashetani huko zanzibari achana na sisi,
Umetoka Kwa mmeo ubeligiji unafundisha watu ujinga
Nimekuona unambusu mzungu aitwaye king ambao walitutawala na kumdharau kila Mtanzania mwenye akili. Hüyı Charles wa majuu ungengeza una wa udu kWa Vipi. Wewe ni mwingereza nini. Au you are lucking confidence in your own skin . Sad.
Ww ndy njinga ambaye hajielewi
Labda jiogope ww hakuna m2 anayeogopwa ukweli uzungunzwe
Co Bali unachofikili ww ndo ujinga
Kiukwel tz inahtaj usaidiz wa mungu kizaz chote kimejaa uchawa wamezoea kugawiwa kofia za kijan huku upatkanaj wa hizo kofia nikuuziwa sukari bei ya juu ili watu wapate Cha juu chanunuli tishet na kofia mungu tusaidie
Fact