To be honest Mh. Tundu Lissu ni mtu sahihi sana kwa Tanzania ya leo na endapo tutampa support na akaweza kuwa our next president, ninaimani kubwa sana huyu jamaa atafanya mapinduzi makubwa sana nchi hii economically, politically and socially.
Ni kweli kulinga na matatizo anayopitia lisu anaupendo wa watu wote masikini na tajili wote anawapambania ndiomana wanaopambania matumbo Yao hawampendi iwe miajona au buku tuchange ili apate usafiri
Ni kweli kumtia moyo Tundu Lissu ktk kazi yake ya kuwaamsha na kuwaelimisha Watanzania ni jambo jema. Moyo mkubwa alionao wa kujitolea kwa ajili ya wengine ni sifa adhimu na jamii lazima iithamini sana ili wajitokeze watu wengi wa aina hii na nchi yetu itafaidika sana.
Mungu amlinde na kumpa maisha marefu .japo watanganyika wengi tumerogwa na ccm wamekuwa wajinga na mamuma wamekuwa machawa wala hawajuwi hatima ya vizazi vyo wako kwa ajili ya matumbo yao ya muda mfupi pumbavu sana
Kwa Upande Wangu Mhe. Lissu Ni zaidi ya Baadhi ya Viongozi Wa Kiroho (DINI). Mhe. Lissu ni Jasiri Mhe. Lissu ni Mtu mwenye Msimamo. Ana Kitu Cha Kipekee sana.
Lissu angekuwa mtu mwingine angishaunga juhudi. Fedha chafu kazigundua harufu na akasema tuwe macho, na ukweli wapo watu 28 wameshahamia ccm. Wananchi tuwe wazalendo , fedha zisipoteze utu wa mtu.
To be honest Mh. Tundu Lissu ni mtu sahihi sana kwa Tanzania ya leo na endapo tutampa support na akaweza kuwa our next president, ninaimani kubwa sana huyu jamaa atafanya mapinduzi makubwa sana nchi hii economically, politically and socially.
Lisu ni jasili sana!!! Mungu amjalie atuvushe kwenye madai ya Kariba mpya
Mungu akubariki lisu
Lisu mungu akulinde
Alichokichagua mungu kuishi mwanadamu hana uwezo nacho, Lisu mpango wa mungu
Huyu mtu nmemtafakari kaletwa na mungu
Lisu ni mtu Bora sanaa
Ni kweli kulinga na matatizo anayopitia lisu anaupendo wa watu wote masikini na tajili wote anawapambania ndiomana wanaopambania matumbo Yao hawampendi iwe miajona au buku tuchange ili apate usafiri
Ni kweli kumtia moyo Tundu Lissu ktk kazi yake ya kuwaamsha na kuwaelimisha Watanzania ni jambo jema. Moyo mkubwa alionao wa kujitolea kwa ajili ya wengine ni sifa adhimu na jamii lazima iithamini sana ili wajitokeze watu wengi wa aina hii na nchi yetu itafaidika sana.
HALAFU BAADAE BAADA YA UCHAGUZI WA 2019 NA 2020 WAKATAKA KUMKAMATA TENA AKAOKOLEWA NA UBALOZI WA ALIPOKUWA ANAPATIWA MATIBABU 😮😮DAH JAMANII HATA KAMA
Uko sahihi Oleshangai lissu wa kututetewa kama MUNGU mwenyewe anavyo mtetea
Mungu amlinde na kumpa maisha marefu .japo watanganyika wengi tumerogwa na ccm wamekuwa wajinga na mamuma wamekuwa machawa wala hawajuwi hatima ya vizazi vyo wako kwa ajili ya matumbo yao ya muda mfupi pumbavu sana
Msione ajabu biblia lnjili ya Yohana Yesu alipomfufua Razaro mafarisayo wakaanxa kumtafuta ili wamuue tena
Kwa Upande Wangu Mhe. Lissu Ni zaidi ya Baadhi ya Viongozi Wa Kiroho (DINI).
Mhe. Lissu ni Jasiri
Mhe. Lissu ni Mtu mwenye Msimamo.
Ana Kitu Cha Kipekee sana.
I agree with you
Kikika namkubali mheshimiwa tundu lisu
Lissu angekuwa mtu mwingine angishaunga juhudi. Fedha chafu kazigundua harufu na akasema tuwe macho, na ukweli wapo watu 28 wameshahamia ccm. Wananchi tuwe wazalendo , fedha zisipoteze utu wa mtu.
Lisu mungu akulinde
Lisu mungu akulinde
Amen