SIKILIZA! TANZANIA HAKUJAWAHI KUTOKEA KIONGOZI KAMA LISSU!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 май 2024

Комментарии • 20

  • @paschalmagai751
    @paschalmagai751 22 дня назад +5

    To be honest Mh. Tundu Lissu ni mtu sahihi sana kwa Tanzania ya leo na endapo tutampa support na akaweza kuwa our next president, ninaimani kubwa sana huyu jamaa atafanya mapinduzi makubwa sana nchi hii economically, politically and socially.

  • @kinandajumanne
    @kinandajumanne 22 дня назад +3

    Lisu ni jasili sana!!! Mungu amjalie atuvushe kwenye madai ya Kariba mpya

  • @user-gy5gu1mn4x
    @user-gy5gu1mn4x 22 дня назад +4

    Mungu akubariki lisu

  • @OlosekiLokoy-sy6qg
    @OlosekiLokoy-sy6qg 22 дня назад +3

    Lisu mungu akulinde

  • @jumakilinja6341
    @jumakilinja6341 22 дня назад +4

    Alichokichagua mungu kuishi mwanadamu hana uwezo nacho, Lisu mpango wa mungu

  • @StephanJimmy-uj7rw
    @StephanJimmy-uj7rw 22 дня назад +3

    Huyu mtu nmemtafakari kaletwa na mungu

  • @Mwitabenson_tz
    @Mwitabenson_tz 22 дня назад +4

    Lisu ni mtu Bora sanaa

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 22 дня назад +2

    Ni kweli kulinga na matatizo anayopitia lisu anaupendo wa watu wote masikini na tajili wote anawapambania ndiomana wanaopambania matumbo Yao hawampendi iwe miajona au buku tuchange ili apate usafiri

  • @adenmwakalobo760
    @adenmwakalobo760 22 дня назад +1

    Ni kweli kumtia moyo Tundu Lissu ktk kazi yake ya kuwaamsha na kuwaelimisha Watanzania ni jambo jema. Moyo mkubwa alionao wa kujitolea kwa ajili ya wengine ni sifa adhimu na jamii lazima iithamini sana ili wajitokeze watu wengi wa aina hii na nchi yetu itafaidika sana.

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 22 дня назад +3

    HALAFU BAADAE BAADA YA UCHAGUZI WA 2019 NA 2020 WAKATAKA KUMKAMATA TENA AKAOKOLEWA NA UBALOZI WA ALIPOKUWA ANAPATIWA MATIBABU 😮😮DAH JAMANII HATA KAMA

  • @user-el1eh6xn6w
    @user-el1eh6xn6w 22 дня назад

    Uko sahihi Oleshangai lissu wa kututetewa kama MUNGU mwenyewe anavyo mtetea

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 22 дня назад

    Mungu amlinde na kumpa maisha marefu .japo watanganyika wengi tumerogwa na ccm wamekuwa wajinga na mamuma wamekuwa machawa wala hawajuwi hatima ya vizazi vyo wako kwa ajili ya matumbo yao ya muda mfupi pumbavu sana

  • @deborahlagila6351
    @deborahlagila6351 22 дня назад +1

    Msione ajabu biblia lnjili ya Yohana Yesu alipomfufua Razaro mafarisayo wakaanxa kumtafuta ili wamuue tena

  • @saturinimushi4746
    @saturinimushi4746 22 дня назад +2

    Kwa Upande Wangu Mhe. Lissu Ni zaidi ya Baadhi ya Viongozi Wa Kiroho (DINI).
    Mhe. Lissu ni Jasiri
    Mhe. Lissu ni Mtu mwenye Msimamo.
    Ana Kitu Cha Kipekee sana.

  • @kaguripenina63
    @kaguripenina63 22 дня назад

    Kikika namkubali mheshimiwa tundu lisu

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 22 дня назад

    Lissu angekuwa mtu mwingine angishaunga juhudi. Fedha chafu kazigundua harufu na akasema tuwe macho, na ukweli wapo watu 28 wameshahamia ccm. Wananchi tuwe wazalendo , fedha zisipoteze utu wa mtu.

  • @OlosekiLokoy-sy6qg
    @OlosekiLokoy-sy6qg 22 дня назад +1

    Lisu mungu akulinde

  • @OlosekiLokoy-sy6qg
    @OlosekiLokoy-sy6qg 22 дня назад +1

    Lisu mungu akulinde