Lissu Ataka Uchunguzi Maalumu ufanyike Sakata la Sukari

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 июн 2024
  • Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) anawahutubia wananchi wa Itigi mkoani Singida,
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Комментарии • 24

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 10 дней назад +3

    Mungu azidi kukulinda kamanda,Mungu atusaidie ccm ife na mafisadi wake wote.

  • @paulmadundo8084
    @paulmadundo8084 11 дней назад +2

    Wanatugeuza geuza kama chapati, yaani haya haya maisha mafupi yaliyojaa shida na mateso bado kuna watu wapo busy kuwakandamiza wengine mara dufu...jamanii!!

  • @JoshuaKamusiara
    @JoshuaKamusiara 11 дней назад +2

    Mwaka 2025 kura yangu ni kwa chadema watetezi haki za kibinadamu kweli kweli makamanda zetu wapendwa

  • @pendaelmollel1847
    @pendaelmollel1847 11 дней назад +2

    Nondo tupo, pamoja sana Kamanda

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 10 дней назад +1

    Wazee wa kudandia hoja!😂😂

  • @JoshuaKamusiara
    @JoshuaKamusiara 11 дней назад +1

    Hakika Mungu akulindee kiongozi bora mpendwa wetu lisu ndio mkombozi wa watanzania acheni unafiki wa CCM ni wizi kweli kweli

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 11 дней назад +1

    Ndiomana wanasema eti mama Yao anaupiga mwingi manayake wanaiba hawafuatiliwi

  • @user-wu2du6jy5c
    @user-wu2du6jy5c 11 дней назад +1

    Izi ndio siasa za tanzania

  • @muhammadalibhaz1390
    @muhammadalibhaz1390 11 дней назад +1

    kashfa ya bashe inanikumbusha kuibuka kwa kashfa ya mafuta ya Kula ya mwaka 1996 ambapo akiyekuwa waziri wa zamani ND Simon mbilinyi alipolazimika kustafu

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 10 дней назад

    Nondo za maana kabisa

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji 9 дней назад

    MWANAHARAKATI WA KUSUBIRI MATUKIO NA KUBWEKA TU 😢😢😢😢😢😢😢

  • @JoelJoel-xu7lj
    @JoelJoel-xu7lj 11 дней назад

    Leo sukali katibu umeacha tena usitufanye wapumbavu sisi na wewe maliza moja baada jingine kila likitoka unakulupuka tukuweke wapi sasa lasukali jukwaa la kisiasa

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 11 дней назад +1

      Sema sukari siyo sukali, halafu sema unakurupuka siyo unakulupuka

    • @erasmusaloyce4398
      @erasmusaloyce4398 11 дней назад +2

      Katiba ni Kila kitu hata Hilo ni la kikatba

    • @mickyjoseph5492
      @mickyjoseph5492 11 дней назад +1

      Sasa mtu hata kuandika hajui unadhani ataelewa nini,acheni hii mijinga iuziwe sukari hata elfu 10 mpaka iseme 😂

    • @victaboy7273
      @victaboy7273 11 дней назад

      Hivi bando umejiunga mwenyewe kwa pesa yako, au umepiga ganji kwa pesa ya mama yako. Aliyokuagiza sukari dukani? Maana sikuoni kama una uwezo hata wa kujinunulia boxer. Unaandika upumbavu Huna hakiri

    • @FilbertFissoo-pe2xm
      @FilbertFissoo-pe2xm 11 дней назад

      😅​@@mickyjoseph5492

  • @salehjuma9354
    @salehjuma9354 11 дней назад +1

    Nenda kajifunze kuandika chura ww cyo sukali ni sukari

    • @George-jz3jg
      @George-jz3jg 11 дней назад

      Pumbavu tu wewe

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 9 дней назад +1

      Wakurya hawawezi kusema sukari

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 9 дней назад

      ​@@George-jz3jgunachukia nini? Kubali kukosolewa

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 9 дней назад

      @@robertphilip385SHIDA TANGU ANUNUE TECNO 😢😢😢😢😢😢😢

    • @dannysommy4118
      @dannysommy4118 5 дней назад

      Jinga​@@OmmyJames-xn7ji