Lissu Ataka Uchunguzi Maalumu ufanyike Sakata la Sukari
HTML-код
- Опубликовано: 16 июн 2024
- Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) anawahutubia wananchi wa Itigi mkoani Singida,
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
Mungu azidi kukulinda kamanda,Mungu atusaidie ccm ife na mafisadi wake wote.
Wanatugeuza geuza kama chapati, yaani haya haya maisha mafupi yaliyojaa shida na mateso bado kuna watu wapo busy kuwakandamiza wengine mara dufu...jamanii!!
Mwaka 2025 kura yangu ni kwa chadema watetezi haki za kibinadamu kweli kweli makamanda zetu wapendwa
Nondo tupo, pamoja sana Kamanda
Wazee wa kudandia hoja!😂😂
Hakika Mungu akulindee kiongozi bora mpendwa wetu lisu ndio mkombozi wa watanzania acheni unafiki wa CCM ni wizi kweli kweli
Ndiomana wanasema eti mama Yao anaupiga mwingi manayake wanaiba hawafuatiliwi
Izi ndio siasa za tanzania
kashfa ya bashe inanikumbusha kuibuka kwa kashfa ya mafuta ya Kula ya mwaka 1996 ambapo akiyekuwa waziri wa zamani ND Simon mbilinyi alipolazimika kustafu
Nondo za maana kabisa
MWANAHARAKATI WA KUSUBIRI MATUKIO NA KUBWEKA TU 😢😢😢😢😢😢😢
Leo sukali katibu umeacha tena usitufanye wapumbavu sisi na wewe maliza moja baada jingine kila likitoka unakulupuka tukuweke wapi sasa lasukali jukwaa la kisiasa
Sema sukari siyo sukali, halafu sema unakurupuka siyo unakulupuka
Katiba ni Kila kitu hata Hilo ni la kikatba
Sasa mtu hata kuandika hajui unadhani ataelewa nini,acheni hii mijinga iuziwe sukari hata elfu 10 mpaka iseme 😂
Hivi bando umejiunga mwenyewe kwa pesa yako, au umepiga ganji kwa pesa ya mama yako. Aliyokuagiza sukari dukani? Maana sikuoni kama una uwezo hata wa kujinunulia boxer. Unaandika upumbavu Huna hakiri
😅@@mickyjoseph5492
Nenda kajifunze kuandika chura ww cyo sukali ni sukari
Pumbavu tu wewe
Wakurya hawawezi kusema sukari
@@George-jz3jgunachukia nini? Kubali kukosolewa
@@robertphilip385SHIDA TANGU ANUNUE TECNO 😢😢😢😢😢😢😢
Jinga@@OmmyJames-xn7ji