Mwanzo Mwisho Hotuba ya Mbowe Babati
HTML-код
- Опубликовано: 27 июн 2024
- Leo Juni 28, 2024 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Taifa Freeman Mbowe amehutubua wananchi wa Babati Mkoani Manyara katika muendelezo wa ziara zake za kufanya mikutano ya hadhara ya chama hicho nchi nzima.
Hata hivyo mapema kabla ya kaunza mkutano huo Mkurugenzi wa Babati amelalamikiwa na Chama hicho kuwa amezuia kwa muda shughuli za mkutano kufanyika katika eneo hilo na kuwataka CHADEMA kutafuta eneo jingine la kufanya mkutano wao huo. lakini baadaye waliruhusiwa kuendelea na mkutano wao.
Wanaichi wamekosa furaha sababu ya macicim yamewanyonya ndiiyo maana wanasikiliza tumaini jipya katka maisha yao CHDEMA
Akili Kubwa Mh Mwenyekiti Taifa Na Na Kanda Lema 👏
Kwa hivyo unataka wazungu wanyonye nchi na wasilipe kodi.
Kodi wasipolipa ndio tukakope kwao maisha wakati huku wanasomba madini bila kununua na kulipa kodi
Mbona mnazimazima hutuba ya mbowe mzuia watuwatisikie ukweli
Ukwer utabaki kua ukwer chadema mnamaono mazuri kweri lakini kwa nini msimsaidie mama yetu mawazo yenu ayafanye tupate maendeleo kuliko kumtoa kwenye urais
Yasitufike ya Kenya2
Kwer mh
Sauti jaman
Chadema acheni kuhamasisha watu wafanane na kenya.
Wakenya sasahivi wengi wamekimbia kwao wapo hoteli za Tanzania wamejiifazi roho zao kwa kuwepa vurugu zinazoendelea kenya.
Sisi Tanzania tunahimiza amani na utulivu.
Na kama mnashindwa kuhutumia siasa za amani na utulivu acheni siasa
Hapa penyewe wanaotekwa na kuuawa kunatofauti gan na Kenya?
Elimu ya kupigania haki yao wananchi sio kuhamasisha fujo! Haki inapiganiwa haiombwi ! Mwalimu Nyerere angedhamini mshahara wake wakati Ukoloni uhuru wa Tanganyika isingepatikana! Acha mambo yako ya kudanganya watu.!
HAKUNA AMANI KAMA HAKI HAIPO. MWALIMU NYERERE HAJAWAHI KUWA MWIZI WA RASILIMAL ZA NCHI!
Vijana tujitambue tumerara sana
Wengi hatujapa kadi ya chama naitwa Alex Petro nipo Kilimanjaro
Si mlimkimbia Magufuli sasa Mama Samia kawarudisha mwanamwita Samia wa ovio.
Facts tupu
Mbona mnaongea porojo badala ya kuhutumia wananchi
Kwanza badilisheni katiba ya Chadema
Maana ndani ya chadema mpaka kufa viongozi ni mbowe na lisu.
Chawa Hovyo Sana Nyinyi.
Hutoba imekwenda shule
Imekwendashulu Ila sio Ila haijaingiadarasani itakua inayopenda kipindi chamapumziko, tumechoshwa na watu walewale
Chadema chama ni ya watu watatu tu mbowe lema na lisu.
Ukweli unauma sana? Kama Mbowe anaongea porojo mbona unamfutilia? Au wewe ulipelekwa Dubai kupokea ?
Rais Samia Suluhu Hassan hakurusi mikutano siasa Ni Katiba ya Tanzania inatolewa haki hiyo! Chama hakiweze kuunda tatizo ( Create) na kuja kusema inatowa suluhisho! CHADEMA KEEP IT! WATAELEWA TUU ,AU TUTAWALAZIMISHA KUELEWA!
Hiyo siyo hoja ya kuongea kwani hao uliowataja siyo viongozi?!?!"@@Simions-q2i
Chadema mnatekana wenyewe acheni kusingizia
Akili Imeoza
Chadema tuambieni mkipewa nchi mtafanya nini? Tunahitaji pointi za ukwer na siyo lawama tu yote unayosema wananchi tunayajua toa njia sahihi
Hiiiiiiiiiiiiiiiiii
Mbowe mwongo we mbona ulidanganya bunge kuwa ulivamiwa na ukapigwa kumbe ulikuwa unakùla konyagi
Msenge ww tulia dawa ikuingie
Mbowe na lisu ninyi ni waongo hakuna wa kuwapa nchi. Mtauza nchi maana mlikuwa mnashadadia ndege ya nchi kushililiwe na watu wa nchi zingine.
Chadema mmepoteza dira na mwelekeo hamna siasa safi siasa zetu chafu 😅😅😂
Acha Uchawa wewe Hayo Maneno kamwambie Mama Abdul "
Ww fara kweli unatapika