Mwanzo Mwisho Hotuba ya Mbowe Babati

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 июн 2024
  • Leo Juni 28, 2024 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Taifa Freeman Mbowe amehutubua wananchi wa Babati Mkoani Manyara katika muendelezo wa ziara zake za kufanya mikutano ya hadhara ya chama hicho nchi nzima.
    Hata hivyo mapema kabla ya kaunza mkutano huo Mkurugenzi wa Babati amelalamikiwa na Chama hicho kuwa amezuia kwa muda shughuli za mkutano kufanyika katika eneo hilo na kuwataka CHADEMA kutafuta eneo jingine la kufanya mkutano wao huo. lakini baadaye waliruhusiwa kuendelea na mkutano wao.

Комментарии • 36

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk 2 дня назад +8

    Wanaichi wamekosa furaha sababu ya macicim yamewanyonya ndiiyo maana wanasikiliza tumaini jipya katka maisha yao CHDEMA

  • @qonquererqanquerer1781
    @qonquererqanquerer1781 2 дня назад +3

    Akili Kubwa Mh Mwenyekiti Taifa Na Na Kanda Lema 👏

  • @Simions-q2i
    @Simions-q2i 2 дня назад

    Kwa hivyo unataka wazungu wanyonye nchi na wasilipe kodi.
    Kodi wasipolipa ndio tukakope kwao maisha wakati huku wanasomba madini bila kununua na kulipa kodi

  • @eliaschessa5728
    @eliaschessa5728 2 дня назад +1

    Mbona mnazimazima hutuba ya mbowe mzuia watuwatisikie ukweli

  • @Annastaziarobart
    @Annastaziarobart День назад

    Ukwer utabaki kua ukwer chadema mnamaono mazuri kweri lakini kwa nini msimsaidie mama yetu mawazo yenu ayafanye tupate maendeleo kuliko kumtoa kwenye urais

  • @StewartKileva175
    @StewartKileva175 2 дня назад

    Yasitufike ya Kenya2

  • @Annastaziarobart
    @Annastaziarobart День назад

    Kwer mh

  • @Annastaziarobart
    @Annastaziarobart День назад

    Sauti jaman

  • @Simions-q2i
    @Simions-q2i 2 дня назад +1

    Chadema acheni kuhamasisha watu wafanane na kenya.
    Wakenya sasahivi wengi wamekimbia kwao wapo hoteli za Tanzania wamejiifazi roho zao kwa kuwepa vurugu zinazoendelea kenya.
    Sisi Tanzania tunahimiza amani na utulivu.
    Na kama mnashindwa kuhutumia siasa za amani na utulivu acheni siasa

    • @user-vq3zu8ne9b
      @user-vq3zu8ne9b 2 дня назад

      Hapa penyewe wanaotekwa na kuuawa kunatofauti gan na Kenya?

    • @simonnaivasha6393
      @simonnaivasha6393 2 дня назад

      Elimu ya kupigania haki yao wananchi sio kuhamasisha fujo! Haki inapiganiwa haiombwi ! Mwalimu Nyerere angedhamini mshahara wake wakati Ukoloni uhuru wa Tanganyika isingepatikana! Acha mambo yako ya kudanganya watu.!

    • @simonnaivasha6393
      @simonnaivasha6393 2 дня назад +1

      HAKUNA AMANI KAMA HAKI HAIPO. MWALIMU NYERERE HAJAWAHI KUWA MWIZI WA RASILIMAL ZA NCHI!

    • @omaryyusuph7877
      @omaryyusuph7877 День назад +1

      Vijana tujitambue tumerara sana

  • @user-nd4tq6nd8s
    @user-nd4tq6nd8s День назад

    Wengi hatujapa kadi ya chama naitwa Alex Petro nipo Kilimanjaro

  • @Simions-q2i
    @Simions-q2i 2 дня назад

    Si mlimkimbia Magufuli sasa Mama Samia kawarudisha mwanamwita Samia wa ovio.

  • @pendaelmollel1847
    @pendaelmollel1847 2 дня назад

    Facts tupu

  • @Simions-q2i
    @Simions-q2i 2 дня назад

    Mbona mnaongea porojo badala ya kuhutumia wananchi

  • @Simions-q2i
    @Simions-q2i 2 дня назад

    Kwanza badilisheni katiba ya Chadema
    Maana ndani ya chadema mpaka kufa viongozi ni mbowe na lisu.

  • @othmanali5362
    @othmanali5362 2 дня назад +1

    Hutoba imekwenda shule

    • @stanleymanya438
      @stanleymanya438 2 дня назад

      Imekwendashulu Ila sio Ila haijaingiadarasani itakua inayopenda kipindi chamapumziko, tumechoshwa na watu walewale

    • @Simions-q2i
      @Simions-q2i 2 дня назад

      Chadema chama ni ya watu watatu tu mbowe lema na lisu.

    • @simonnaivasha6393
      @simonnaivasha6393 2 дня назад

      Ukweli unauma sana? Kama Mbowe anaongea porojo mbona unamfutilia? Au wewe ulipelekwa Dubai kupokea ?

    • @simonnaivasha6393
      @simonnaivasha6393 2 дня назад

      Rais Samia Suluhu Hassan hakurusi mikutano siasa Ni Katiba ya Tanzania inatolewa haki hiyo! Chama hakiweze kuunda tatizo ( Create) na kuja kusema inatowa suluhisho! CHADEMA KEEP IT! WATAELEWA TUU ,AU TUTAWALAZIMISHA KUELEWA!

    • @JacksonFrances
      @JacksonFrances День назад +1

      Hiyo siyo hoja ya kuongea kwani hao uliowataja siyo viongozi?!?!"​@@Simions-q2i

  • @Simions-q2i
    @Simions-q2i 2 дня назад

    Chadema mnatekana wenyewe acheni kusingizia

  • @Annastaziarobart
    @Annastaziarobart День назад

    Chadema tuambieni mkipewa nchi mtafanya nini? Tunahitaji pointi za ukwer na siyo lawama tu yote unayosema wananchi tunayajua toa njia sahihi

  • @Simions-q2i
    @Simions-q2i 2 дня назад

    Mbowe mwongo we mbona ulidanganya bunge kuwa ulivamiwa na ukapigwa kumbe ulikuwa unakùla konyagi

    • @mgm412
      @mgm412 2 дня назад

      Msenge ww tulia dawa ikuingie

  • @Simions-q2i
    @Simions-q2i 2 дня назад

    Mbowe na lisu ninyi ni waongo hakuna wa kuwapa nchi. Mtauza nchi maana mlikuwa mnashadadia ndege ya nchi kushililiwe na watu wa nchi zingine.
    Chadema mmepoteza dira na mwelekeo hamna siasa safi siasa zetu chafu 😅😅😂