Ni muhimu kubainisha ni ķatiba gani ya Muungano au TANGANYIKA?Tunajua Zanzibar ina katiba yake.Kama tunajitambua zinatakiwa KATIBA mbili.Kuzungusha zungusha hoja ni kutafuta dawa ya ugonjwa tusiobaini.
Mamluki upinzani wanafahamika ktk vyama vya upinzani hupenda kulete fujo kukataa taratibu za mfumo wa chama hupenda kupandikiza chuki na kutengeneza magrop ktk nafasi kumlinda hata kuhonga apate nafasi ktk kupanda daraja na hupenda kulazimisha kupanda daraja ktk nafasi ya uongozi huyo ni mamluki
INAELEKEA WENGI HATUTAMBUI UMUHIMU WA NYAKATI. HALI YA DUNIA HIVI SASA NI TETE KUNA HATARI YA VITA NA NCHI ZINAJIPANGA KIMKAKATI KUJIHAMI KIUCHUMI NA ATHARI ZA TABIA NCHI. MUHIMU TUMALIZE HARAKA SWALA KATIBA ILI TUJIPANGE KUKABILIANA NA MAMBO MAKUBWA YANAYOTISHIA UHAI WA WATU NA NCHI YETU.
WANAOENDA FRONT
Hao
Watu.wanavuruga.chama
Huyu.raisi.wa.awam
Ya.sita.hatari.sana.angalieni.anacheka.moyoni.simba
Tukazani.tufike.raisia.anaongozwa.viongozi.wake.wanapotosha.makusudi.mabaya.ashindwe
Wapete.kusemayeye.hajui.msafara.wake.nlwababa.na.mama.wamshauri
Ni muhimu kubainisha ni ķatiba gani ya Muungano au TANGANYIKA?Tunajua Zanzibar ina katiba yake.Kama tunajitambua zinatakiwa KATIBA mbili.Kuzungusha zungusha hoja ni kutafuta dawa ya ugonjwa tusiobaini.
Mamluki upinzani wanafahamika ktk vyama vya upinzani hupenda kulete fujo kukataa taratibu za mfumo wa chama hupenda kupandikiza chuki na kutengeneza magrop ktk nafasi kumlinda hata kuhonga apate nafasi ktk kupanda daraja na hupenda kulazimisha kupanda daraja ktk nafasi ya uongozi huyo ni mamluki
WELL SAID TUMWEZESHE TUNDU LISSU
INAELEKEA WENGI HATUTAMBUI UMUHIMU WA NYAKATI. HALI YA DUNIA HIVI SASA NI TETE KUNA HATARI YA VITA NA NCHI ZINAJIPANGA KIMKAKATI KUJIHAMI KIUCHUMI NA ATHARI ZA TABIA NCHI.
MUHIMU TUMALIZE HARAKA SWALA KATIBA ILI TUJIPANGE KUKABILIANA NA MAMBO MAKUBWA YANAYOTISHIA UHAI WA WATU NA NCHI YETU.
Mchangani
Kwa
Moyo.wote.lisu.imani
Kubwa