LISSU AKINUKISHA TMK, POLISI WABAKI HOI INSHU YA KIKOKOTOO, ORODHA YA MAFISADI ILIVYOZUA KIZAA ZAA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 май 2024
  • #TANZANIA: lissu akinukisha Temeke Viwanja vya Mwembe Yanga, Polisi wabaki hoi inshu ya kikokotoo, akemea rushwa zinazoendelea.

Комментарии • 104

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 21 день назад +15

    Lisu wewe ni mtu mbili yaani hkuna na haitatokea mtu wenye ujasiri kama wewe

  • @jdanny497
    @jdanny497 21 день назад +7

    Lissu ni zaidi ya mtu

  • @PaulOrenge-eo4hb
    @PaulOrenge-eo4hb 20 дней назад +4

    Huyu Lisu ni kama Raila wetu hapa 🇰🇪

  • @elisantenyange8751
    @elisantenyange8751 21 день назад +11

    Mwamba sana

  • @williammwamalanga1065
    @williammwamalanga1065 21 день назад +3

    Hongera Hongera kwa elimu muhimu mno kwa taifa letu Mungu MWENYEZI atamalizia

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u 21 день назад +21

    Tundu lisu ni mtu mhimu sana kwenye taifa letu na watu awa imani tunaamini mungu Ana mpango nae mpaka leo hii uwepo wake

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m 21 день назад +11

    Wa tz utadhani wanaelewa kumbe wala wanasubiri simba na yanga

    • @charlesmwambinga4355
      @charlesmwambinga4355 21 день назад +1

      Na kusubilia visketi vya Zuchuu na mikufu ya Diamond

    • @zachariamatemba2004
      @zachariamatemba2004 16 дней назад

      Yani wananikera watu hawa basi tu...yamekaa hapo yanamsikikiza utafikiri yanaelewa kumbe vichwa vinawaza utopolo tu!...mi nashangaa kwann hatuchukui hatua za pamoja waTz tunashida gani .

  • @RichardMgweno
    @RichardMgweno 21 день назад +8

    Ukoo wa panya mtoto mwizi baba na mama wezi polisi na migambo wanakomalia wauza vitunguu na huku madini yao yanaibwa kwa mfano makaa ya mawe hawajui hats yanaenda wapi

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 21 день назад

      Wee acha tuu makaa yameishia kwa ruto

  • @johnmwanyika
    @johnmwanyika 21 день назад +3

    Wanaomsikiza kupitia mitandao ndio wamuhimu zaidi kuliko walioko hapo Mwembeni

  • @sylvestersamwel8210
    @sylvestersamwel8210 21 день назад +6

    Kuna watu wanajuwa kuitafuna hii Nchi kisawasawa.

  • @ERNESTSuleiman
    @ERNESTSuleiman 20 дней назад +1

    Mh.unauthubutu wa kutueleza ukweli Watanganyika,Mungu akutie
    Nguvu baba

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 21 день назад +3

    Kwa uchafu wote huu, hivi majeshi yetu hamuoni? Mnasubiri awaamuru nani?

  • @ERNESTSuleiman
    @ERNESTSuleiman 20 дней назад +1

    Inauma sana ...

  • @user-kl8xf1yk2b
    @user-kl8xf1yk2b 21 день назад +5

    Ivi kikwet kafanyaje kwnye nchi hii😂😂😂

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 21 день назад

      User Mbowe na Lisu wamemwagiwa michuzi ya kufa mtu hao ni danganya toto tu kuobekane kuna Upinzani hicho ni Kikundi cha vikoba au saccos hawana jipya waseme watawafanyia nini watanzania kama watashika dola pumbavu zao

  • @miltonjohn9779
    @miltonjohn9779 21 день назад +2

    Samia anatamaa sana, sijui kwa sbb elimu yake ndogo halafu amepewa mamlaka makubwa

    • @JacksonFrances
      @JacksonFrances 19 дней назад

      Upo Sahihi Kabisa "

    • @nassorkhamis6233
      @nassorkhamis6233 14 дней назад

      Samia wapi ami mfumo huu bado upo chini ya mabeberu wa uSA 🇺🇸 n.k tusipo jiripua kwa katiba hii kila siku tutapiga kelele bora kusiwe na Chama cha Siasa nchi iyende kwa mfumo wa neno moja tu .itungwe katiba mpya kupepo na utawala kiongozi akae miaka mi 5. Ukifika mda huo watoke watu wa nne wagombanie bila Chama atakae Pata kura nyingi awe Raisi wa nchi. Lkn si kwa mfumo huu tutapiga kelele sanaaaa. Na hamna liwalo

  • @prospermsemwa1433
    @prospermsemwa1433 21 день назад +3

    jamaa huyu mutu na nusu big 🧠

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 19 дней назад

    Mungu Akupe Maisha Marefu,
    Asiyekuelewa Awamu Hii Basi . Tukiendelea Kulala CCM watauza Mpaka Figo Zetu"

  • @user-qz2cs5wm5u
    @user-qz2cs5wm5u 21 день назад +1

    Mungu akupe balaka waliokufanyia njama yakutakakukuua mungu awaangamize wao nafamilia zao

  • @RaphaelManyosa
    @RaphaelManyosa 17 дней назад

    Mungu akutunze, watanzania tuamke sasa wakati ndy huu.

  • @salyali7807
    @salyali7807 20 дней назад +1

    Katiba mpya katiba mpya ... suala ni vipi kuipata katiba mpya?

  • @williammwamalanga1065
    @williammwamalanga1065 21 день назад

    🙏🙏🙏
    Hongera sana

  • @omaryidd4373
    @omaryidd4373 21 день назад +1

    Lisu nakusiliza kwa makin sn ila MB shida sn

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 21 день назад +5

    Yani huyu mama jamani eeeh! Haya

  • @JofreySanga-lu8pn
    @JofreySanga-lu8pn 21 день назад +4

    Ujinga wetu ume erekezwa kwa yanga na Simba sio kufikiria lingine

    • @RutinikiGosbert
      @RutinikiGosbert 21 день назад

      Ndugu umesema kweli kabisa yaani mambo kama hayo watu hawayasikilizi ila simba na yanga tu

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 17 дней назад

    Mbona Hiziri nyingi Mikononi? Kikristo zinakubalika hizo?

  • @sifamushi1747
    @sifamushi1747 21 день назад

    😅You soo wrong for that..

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 21 день назад +8

    Tumekuwa na tuna Rais makopo, wanahamisha mali zetu kwa unafuu wa maisha yao na watoto wao, na kutengeneza mateso kwa watanzania , bado masikini hawa wanaendelea kuichagua ccm iendelee kuwakamua matako yao. Lisu our golden hero.

    • @adamlubawa1281
      @adamlubawa1281 20 дней назад

      Lissu watoto wake wanasoma wapi
      Mkewe yupo wapi?
      Anachangiwa pesa na watanzania anawalipia watoto wake Ada
      Lissu ni Tapeli
      Ila hamumjui tu
      Familia yake yoote haipo Tanzania
      Fungueni mafuvu hayo

    • @frankjohn8706
      @frankjohn8706 20 дней назад

      ​@@adamlubawa1281nafikiri tapeli atakua yule anaetukamua Kodi kubwa lukuki TOZO kila Kona ada za laza na changizo shinikizo na ufisadi na DHULMA kwa watu wasio na mtu wakuwatetea

  • @sulaimanmallecha6134
    @sulaimanmallecha6134 20 дней назад

    Mh usitusahau cc wakulima tunahagaishwa na mahgeti yamazao

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 20 дней назад

    Songa mbele mwamba

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 20 дней назад

    Wanaofikilia Simba na Yanga watakula Simba na Yanga? Amkeni mjitambue ili na ninyi muweze kujenga majumba, na pia mpeleke watoto wenu shule nzuri kama wao hao mafisadi. Mkijitambua na kuona kuwa katika keki ya Tanganyika wote tunatakiwa kugawana sawa sawa. Tokeni katika ujinga.

  • @festolorry5257
    @festolorry5257 21 день назад +1

    Leo jumapili ibada ulikuwa wapi

  • @musajuma8353
    @musajuma8353 19 дней назад

    Nikisema vyombo vya habari Bongo haviko huru kabisa Na Wala si mawakala Wa democracy ya kwel inatanabaishwa Na kilichotokea punde kwann mmekata wakati TAL anaongelea ufisadi unaofnywa na viongozi wetu tena Kwa kutukumbusha tu.

  • @chage97
    @chage97 19 дней назад

    Ccm kumamae zenu

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 21 день назад

    Nakushukuru leo kidogo mama umemuacha apumue, hii maana yake Tanganyika kuna ufisadi mzito wala hakusababishwa na mama kwa Uzanzibar wake kama unavyoeleza wananchi kwenye majukwaa mengine.

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu 20 дней назад

      Kwahio unataka mama ahukumiwe hataa asipo Stahili kuhukumiwa? Kwa Comment hii Unatakiwa kujua kuwa wanapomhukum mama ujue kweli kavurunda ndo maana anahukumiwa Sasa Nyie Mnataka asiambiwe ukweli ndo shida ya nyie vibaraka wa Ccm

  • @clickway..
    @clickway.. 19 дней назад

    Uko vema Lissu, ni kweli tunahitaji kubadilisha mfumo wa utawala tulio nao na si hapa maeneo mengi pia duniani, ili kupunguza nguvu ya siasa katika maendeleo, mfano sioni haja ya kuwa na uchaguzi wa serikali za mitaa hii ni kupeleka siasa mtaani, watu mtaani wanahitaji huduma sio siasa. Ni bora pia kama ulivyosema tuwe na waziri mkuu tu na sio rais kwani kumuondoa waziri mkuu ni rahisi tu kwa kutumia kura za wabunge mda wowote tofauti na kumuondoa rais madarakani. Pia hakuna haja ya kuwa na wakuu wa mikoa,wilaya na madiwani hawa ni wanasiasa na yao ni maneno na fitna, tunahitaji mfumo utakaoanza na wakurugenzi tu ngazi ya mkoa, wilaya ili kupunguza siasa na hawa waajiriwe sio kuteuliwa au kuchaguliwa, wafanyiwe interviews kama watumishi wengine serikalini.

  • @user-tn5ym5gd6s
    @user-tn5ym5gd6s 20 дней назад

    Kama kicheko chekeni ila maneno ya Kamanda tukutane 2025

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 20 дней назад

    Amukeni watanganyika huyu Bwana anawakumbusha maovu makubwa yanayo wafanya vijana, watu wazima na wazee wa Tanganyika masikini na watumwa watanganyika.

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 21 день назад

    Huyu mama afanyiwe kitu mbaya, maana ametugeuza tumbili wa waarabu.

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 20 дней назад

    sema sera acha historia za miaka 17 iluyopita

  • @JohnMnzava-du2we
    @JohnMnzava-du2we 21 день назад +1

    Wewe mwanzo TV uchukuaji wako wa kibaguzi

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 20 дней назад

    WEWE KIBARAKA UNAPASPOTI TATU DUNIANI UNATAKA KUKAANGA MBUYU UKIMBIE NA FAMILY YAKO KWA EDICOPTA YAKO UMEFANYA NJEMA KUMUUA MAKUFULI ULIKUA UTAKUA RAIS WA TANZANIA 😂😂

  • @ElihurumaThomas-kz8nq
    @ElihurumaThomas-kz8nq 19 дней назад +1

    LISU LISU HOYEEEEEEEE

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 21 день назад

    Fisiyemu hawaelewi wanataka waambiwe maana ya mwembe fumbo mfumbie. Mjinga mwelevu ataelewa

  • @josephmkinga9509
    @josephmkinga9509 21 день назад +1

    lissu mika elf100000000 huna baya mungu akusimamimiea sema ukweli wote mungu yu pamoja nawe

    • @adamlubawa1281
      @adamlubawa1281 20 дней назад

      Lussu ni Tapeli tu
      Mnamchangia anawalipia watoto wake waliopo marekani

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 21 день назад +1

    Mimi nitamwelewa huyu jamaa na nitaamini Mungu ana makusudi na kumbakiza kwake.
    Usiyemwelewa usimwelewe kwakuwa umeshikiwa akili ila mimi kushikiwa akili bado sana.
    Hii nchi ina wajinga wengi na wafiki wengi sana wenye njaa ndio maana anajipendekeza kwingi sana ndio maana hatutakaa tusogee popote tutamark Time mpaka akili itukae.

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 21 день назад +1

    Yaaani Lissu anafikiri Mbowe atamuachia kiti hata ukimtukana mama Samia mbowe hakuachiiii kiti

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 21 день назад +1

      😂😂😂wewe naye unatumia mahaba kufikiria badala ya ubongo

    • @obinasimbeye1750
      @obinasimbeye1750 21 день назад

      Kusema ukweli SI kutukama. Inaonekana u Simba na Yanga wewe.

    • @zamorad5654
      @zamorad5654 21 день назад

      Ni wapi katukanwa huyo samia

    • @noelnchimbi1287
      @noelnchimbi1287 21 день назад

      Awazi kama mawazo yako kwani kunasiku ulishamsikia anakwambia anataka kiti

    • @johnmwanyika
      @johnmwanyika 21 день назад

      We nae cjui unafikiriaje?. Sasa ndio hoja gani hiyo

  • @user-tk8pd3cz3l
    @user-tk8pd3cz3l 21 день назад

    Lisu acha upuuzi usifikili nyie mnaakili kuliko wa tz wengine mikataba ilipitiwa na wasomi vizuri

    • @noelnchimbi1287
      @noelnchimbi1287 21 день назад

      Wasomigani ao Awawa au wawapi

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 21 день назад

      Wasomi ndio wapogaji kuliko ambao hawajasoma kama ujui😅😅😅😮😮😮

    • @iddysekamba
      @iddysekamba 21 день назад

      ​@@noelnchimbi1287we we huna akili

    • @RutinikiGosbert
      @RutinikiGosbert 21 день назад

      Hufai wewe kwahiyo hao wakina hawajasoma labda wewe wa darasa la saba

    • @EnockKanduli-cv8yr
      @EnockKanduli-cv8yr 20 дней назад +2

      Uuzaji wa maliasili zetu ni kutumia akili sana. Mbona maguli alipitisha Sheria ya kutouza maliasili zetu. Kifo chake TU. We unasema wenyeakili wakapitisha uuzaji wa Mali zetu. Eti wenye akili!!!!!!

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m 21 день назад +2

    Watu wa dar utazani wanamsikia kumbe wanawaza simba na yanga unacheza watu wa dar hapo kuna msimbazi na wananchi teh teh teh hawana mpango wala bora liendee

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 21 день назад +1

      Yaani wako na fikra mgando

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 21 день назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 21 день назад

      @@bcozhenry2698 usicheke ni ukweli kesho aulizwe Jana lissu alisema nini hakuna jibu ila muulize yanga nani alikuwa mgeni rasmi kwenye kukabidhi kombe, ataeleza nayale hayajaandikwa na waandishi wa habari

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 21 день назад

      ​@@MiriamAbdallah Fikra mgando both side, wasemaji na wasikilizaji. Maana Wasemaji baadae walimchukuwa fisadi mkubwa wao akawa mgombea Urais wa chama.

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 21 день назад

      Wew ndio unawazia wengine hatuna muda😮😮

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 21 день назад

    Huna lolote Chadema mnapewa ridhiki Mantashalla hamna lolote

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 21 день назад

      Iko siku utasema( kumbe) wewe beza tu

    • @sebastianmwantuge5597
      @sebastianmwantuge5597 21 день назад

      @ezekieljacob5795
      Tetea akishapandwa na jogoo hana ujanja,kila jogoo likija huchutama hata kama linaumizwa mabega kwa kukanyagwakanyagwa,lenyewe linajali raha ya kutekenywa mahali

  • @user-nm8ym6iq7n
    @user-nm8ym6iq7n 21 день назад +1

    Mzee mwanzo umesema nn maana ya mwembe yanga nikajua utatupa historia ya mwembe yanga kumbe unatupa historia ya chadema hujasema maana ya mwembe yanga hapo nilikua macho kusikiliza chanzo cha huo uwanja na hilo jina cjui ninani anaweza kunisaidia

    • @obinasimbeye1750
      @obinasimbeye1750 21 день назад +2

      Wewe acha mwembe Yanga zako hapa sikiliza pointi.msomi anatiririka kisawasawa.

    • @ephraimkalanje7105
      @ephraimkalanje7105 21 день назад

      Achana na masuala yako ya Utopolo! Sikiliza hoja za kuikwamua nchi na hali ngumu ya maisha inayoletwa na ufisadi, mfumo mbaya wa nchi (katiba mbaya) na muungano wa kibaguzi!

    • @RutinikiGosbert
      @RutinikiGosbert 21 день назад

      Endelea kusikiliza ya mwembe yanga tu

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 21 день назад +2

    Tundu Lisu akiongoza Nchi hii nitajua Mungu amekusudia kutuadhibu kwa upumbavu wetu
    Kila nikimsikiliza naona visasi,chuki,huyu anaweza kuvunja makaburi ya Marais waliomtangulia ama kuondosha ulinzi wa Serikali kwa makaburi hayo
    Pia naona mateso na manyanyaso watakayofanyiwa familia za Marais hao pia naona mateso makubwa kwa baadhi ya wananchi watakaokuwa kinyume chake
    Naona hata mateso kwa baadhi ya wanachadema ambao kwa Sasa wanaona kana kwamba Ni wamoja
    Mtu hatari Kama huyu na Mbowe wake hawafai kamwe kuingoza Nchi hii ninyi mnaosoma meseji hii mwaweza kuniona kichaa lakini siku ikitokea wakatawala mtanikumbuka

    • @user-iy8mq9ii8t
      @user-iy8mq9ii8t 21 день назад +2

      Hayo ni mawazo yako SI lazima yaeleweke Kwa wote watu pia wanazo akili na wanapambanua

    • @corporatethugsent7380
      @corporatethugsent7380 21 день назад

      Emb we bwana ondoa mavi apa kwahio we kulindiwa maiti za marais ndo umeona akili sana pumbavu wewe bandar zinauzwa kina abduli wanapewa raslimali za nchi watu wachache wanafanya ufisadi we tako ubaongelea visasi toa umalaya wa akili nenda katembeze saa na pafyumu stand ya magufuli na tisheti la yanga na kofia la ccm shwain mkubwa.visasi visasii visasi na ufisadi wa nchi hali mbaya ya huduma za afya we unaleta mavi mavi ya kuondolewa walinzi kwenye makaburi ya marais pimbi kweli wewe

    • @noelnchimbi1287
      @noelnchimbi1287 21 день назад +1

      Umjui vizur mtu uyu ...ungekuwa wajua hata historia yake usingesema ivyo

    • @sebastianmwantuge5597
      @sebastianmwantuge5597 21 день назад +1

      Sasa kama wao wametutesa na kujaribu kutuua!

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 21 день назад

      Weujotambui

  • @rommelmauma8081
    @rommelmauma8081 21 день назад

    *Lissu, Mtanzania mwenzangu, punguza safari za mkono toka kwenye sahani kwenda kinywani.*
    *Chunga sana kile wataalamu wa shibe waitacho, uwiano wa urefu wa mtu na uzito wake [body mass index]!*

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 21 день назад

      Kazaliwa na mifupa mipana wala siyo chakula ...huyo kazaliwa hivyo