LISSU AKINUKISHA TMK, POLISI WABAKI HOI INSHU YA KIKOKOTOO, ORODHA YA MAFISADI ILIVYOZUA KIZAA ZAA
HTML-код
- Опубликовано: 25 май 2024
- #TANZANIA: lissu akinukisha Temeke Viwanja vya Mwembe Yanga, Polisi wabaki hoi inshu ya kikokotoo, akemea rushwa zinazoendelea.
Lisu wewe ni mtu mbili yaani hkuna na haitatokea mtu wenye ujasiri kama wewe
Lissu ni zaidi ya mtu
Huyu Lisu ni kama Raila wetu hapa 🇰🇪
Mwamba sana
Hongera Hongera kwa elimu muhimu mno kwa taifa letu Mungu MWENYEZI atamalizia
Tundu lisu ni mtu mhimu sana kwenye taifa letu na watu awa imani tunaamini mungu Ana mpango nae mpaka leo hii uwepo wake
Wa tz utadhani wanaelewa kumbe wala wanasubiri simba na yanga
Na kusubilia visketi vya Zuchuu na mikufu ya Diamond
Yani wananikera watu hawa basi tu...yamekaa hapo yanamsikikiza utafikiri yanaelewa kumbe vichwa vinawaza utopolo tu!...mi nashangaa kwann hatuchukui hatua za pamoja waTz tunashida gani .
Ukoo wa panya mtoto mwizi baba na mama wezi polisi na migambo wanakomalia wauza vitunguu na huku madini yao yanaibwa kwa mfano makaa ya mawe hawajui hats yanaenda wapi
Wee acha tuu makaa yameishia kwa ruto
Wanaomsikiza kupitia mitandao ndio wamuhimu zaidi kuliko walioko hapo Mwembeni
Kuna watu wanajuwa kuitafuna hii Nchi kisawasawa.
Mh.unauthubutu wa kutueleza ukweli Watanganyika,Mungu akutie
Nguvu baba
Kwa uchafu wote huu, hivi majeshi yetu hamuoni? Mnasubiri awaamuru nani?
Inauma sana ...
Ivi kikwet kafanyaje kwnye nchi hii😂😂😂
User Mbowe na Lisu wamemwagiwa michuzi ya kufa mtu hao ni danganya toto tu kuobekane kuna Upinzani hicho ni Kikundi cha vikoba au saccos hawana jipya waseme watawafanyia nini watanzania kama watashika dola pumbavu zao
Samia anatamaa sana, sijui kwa sbb elimu yake ndogo halafu amepewa mamlaka makubwa
Upo Sahihi Kabisa "
Samia wapi ami mfumo huu bado upo chini ya mabeberu wa uSA 🇺🇸 n.k tusipo jiripua kwa katiba hii kila siku tutapiga kelele bora kusiwe na Chama cha Siasa nchi iyende kwa mfumo wa neno moja tu .itungwe katiba mpya kupepo na utawala kiongozi akae miaka mi 5. Ukifika mda huo watoke watu wa nne wagombanie bila Chama atakae Pata kura nyingi awe Raisi wa nchi. Lkn si kwa mfumo huu tutapiga kelele sanaaaa. Na hamna liwalo
jamaa huyu mutu na nusu big 🧠
Mungu Akupe Maisha Marefu,
Asiyekuelewa Awamu Hii Basi . Tukiendelea Kulala CCM watauza Mpaka Figo Zetu"
Mungu akupe balaka waliokufanyia njama yakutakakukuua mungu awaangamize wao nafamilia zao
Mungu akutunze, watanzania tuamke sasa wakati ndy huu.
Katiba mpya katiba mpya ... suala ni vipi kuipata katiba mpya?
🙏🙏🙏
Hongera sana
Lisu nakusiliza kwa makin sn ila MB shida sn
Yani huyu mama jamani eeeh! Haya
Ujinga wetu ume erekezwa kwa yanga na Simba sio kufikiria lingine
Ndugu umesema kweli kabisa yaani mambo kama hayo watu hawayasikilizi ila simba na yanga tu
Mbona Hiziri nyingi Mikononi? Kikristo zinakubalika hizo?
😅You soo wrong for that..
Tumekuwa na tuna Rais makopo, wanahamisha mali zetu kwa unafuu wa maisha yao na watoto wao, na kutengeneza mateso kwa watanzania , bado masikini hawa wanaendelea kuichagua ccm iendelee kuwakamua matako yao. Lisu our golden hero.
Lissu watoto wake wanasoma wapi
Mkewe yupo wapi?
Anachangiwa pesa na watanzania anawalipia watoto wake Ada
Lissu ni Tapeli
Ila hamumjui tu
Familia yake yoote haipo Tanzania
Fungueni mafuvu hayo
@@adamlubawa1281nafikiri tapeli atakua yule anaetukamua Kodi kubwa lukuki TOZO kila Kona ada za laza na changizo shinikizo na ufisadi na DHULMA kwa watu wasio na mtu wakuwatetea
Mh usitusahau cc wakulima tunahagaishwa na mahgeti yamazao
Songa mbele mwamba
Wanaofikilia Simba na Yanga watakula Simba na Yanga? Amkeni mjitambue ili na ninyi muweze kujenga majumba, na pia mpeleke watoto wenu shule nzuri kama wao hao mafisadi. Mkijitambua na kuona kuwa katika keki ya Tanganyika wote tunatakiwa kugawana sawa sawa. Tokeni katika ujinga.
Leo jumapili ibada ulikuwa wapi
Kanisani kwa Lissu
Nikisema vyombo vya habari Bongo haviko huru kabisa Na Wala si mawakala Wa democracy ya kwel inatanabaishwa Na kilichotokea punde kwann mmekata wakati TAL anaongelea ufisadi unaofnywa na viongozi wetu tena Kwa kutukumbusha tu.
Ccm kumamae zenu
Nakushukuru leo kidogo mama umemuacha apumue, hii maana yake Tanganyika kuna ufisadi mzito wala hakusababishwa na mama kwa Uzanzibar wake kama unavyoeleza wananchi kwenye majukwaa mengine.
Kwahio unataka mama ahukumiwe hataa asipo Stahili kuhukumiwa? Kwa Comment hii Unatakiwa kujua kuwa wanapomhukum mama ujue kweli kavurunda ndo maana anahukumiwa Sasa Nyie Mnataka asiambiwe ukweli ndo shida ya nyie vibaraka wa Ccm
Uko vema Lissu, ni kweli tunahitaji kubadilisha mfumo wa utawala tulio nao na si hapa maeneo mengi pia duniani, ili kupunguza nguvu ya siasa katika maendeleo, mfano sioni haja ya kuwa na uchaguzi wa serikali za mitaa hii ni kupeleka siasa mtaani, watu mtaani wanahitaji huduma sio siasa. Ni bora pia kama ulivyosema tuwe na waziri mkuu tu na sio rais kwani kumuondoa waziri mkuu ni rahisi tu kwa kutumia kura za wabunge mda wowote tofauti na kumuondoa rais madarakani. Pia hakuna haja ya kuwa na wakuu wa mikoa,wilaya na madiwani hawa ni wanasiasa na yao ni maneno na fitna, tunahitaji mfumo utakaoanza na wakurugenzi tu ngazi ya mkoa, wilaya ili kupunguza siasa na hawa waajiriwe sio kuteuliwa au kuchaguliwa, wafanyiwe interviews kama watumishi wengine serikalini.
Kama kicheko chekeni ila maneno ya Kamanda tukutane 2025
Amukeni watanganyika huyu Bwana anawakumbusha maovu makubwa yanayo wafanya vijana, watu wazima na wazee wa Tanganyika masikini na watumwa watanganyika.
Huyu mama afanyiwe kitu mbaya, maana ametugeuza tumbili wa waarabu.
kauli zako.zita kuponza ndugun
sema sera acha historia za miaka 17 iluyopita
Huna akili
Wewe mwanzo TV uchukuaji wako wa kibaguzi
WEWE KIBARAKA UNAPASPOTI TATU DUNIANI UNATAKA KUKAANGA MBUYU UKIMBIE NA FAMILY YAKO KWA EDICOPTA YAKO UMEFANYA NJEMA KUMUUA MAKUFULI ULIKUA UTAKUA RAIS WA TANZANIA 😂😂
LISU LISU HOYEEEEEEEE
Fisiyemu hawaelewi wanataka waambiwe maana ya mwembe fumbo mfumbie. Mjinga mwelevu ataelewa
lissu mika elf100000000 huna baya mungu akusimamimiea sema ukweli wote mungu yu pamoja nawe
Lussu ni Tapeli tu
Mnamchangia anawalipia watoto wake waliopo marekani
Mimi nitamwelewa huyu jamaa na nitaamini Mungu ana makusudi na kumbakiza kwake.
Usiyemwelewa usimwelewe kwakuwa umeshikiwa akili ila mimi kushikiwa akili bado sana.
Hii nchi ina wajinga wengi na wafiki wengi sana wenye njaa ndio maana anajipendekeza kwingi sana ndio maana hatutakaa tusogee popote tutamark Time mpaka akili itukae.
Yaaani Lissu anafikiri Mbowe atamuachia kiti hata ukimtukana mama Samia mbowe hakuachiiii kiti
😂😂😂wewe naye unatumia mahaba kufikiria badala ya ubongo
Kusema ukweli SI kutukama. Inaonekana u Simba na Yanga wewe.
Ni wapi katukanwa huyo samia
Awazi kama mawazo yako kwani kunasiku ulishamsikia anakwambia anataka kiti
We nae cjui unafikiriaje?. Sasa ndio hoja gani hiyo
Lisu acha upuuzi usifikili nyie mnaakili kuliko wa tz wengine mikataba ilipitiwa na wasomi vizuri
Wasomigani ao Awawa au wawapi
Wasomi ndio wapogaji kuliko ambao hawajasoma kama ujui😅😅😅😮😮😮
@@noelnchimbi1287we we huna akili
Hufai wewe kwahiyo hao wakina hawajasoma labda wewe wa darasa la saba
Uuzaji wa maliasili zetu ni kutumia akili sana. Mbona maguli alipitisha Sheria ya kutouza maliasili zetu. Kifo chake TU. We unasema wenyeakili wakapitisha uuzaji wa Mali zetu. Eti wenye akili!!!!!!
Watu wa dar utazani wanamsikia kumbe wanawaza simba na yanga unacheza watu wa dar hapo kuna msimbazi na wananchi teh teh teh hawana mpango wala bora liendee
Yaani wako na fikra mgando
😂😂😂😂😂😂😂😂
@@bcozhenry2698 usicheke ni ukweli kesho aulizwe Jana lissu alisema nini hakuna jibu ila muulize yanga nani alikuwa mgeni rasmi kwenye kukabidhi kombe, ataeleza nayale hayajaandikwa na waandishi wa habari
@@MiriamAbdallah Fikra mgando both side, wasemaji na wasikilizaji. Maana Wasemaji baadae walimchukuwa fisadi mkubwa wao akawa mgombea Urais wa chama.
Wew ndio unawazia wengine hatuna muda😮😮
Huna lolote Chadema mnapewa ridhiki Mantashalla hamna lolote
Iko siku utasema( kumbe) wewe beza tu
@ezekieljacob5795
Tetea akishapandwa na jogoo hana ujanja,kila jogoo likija huchutama hata kama linaumizwa mabega kwa kukanyagwakanyagwa,lenyewe linajali raha ya kutekenywa mahali
Mzee mwanzo umesema nn maana ya mwembe yanga nikajua utatupa historia ya mwembe yanga kumbe unatupa historia ya chadema hujasema maana ya mwembe yanga hapo nilikua macho kusikiliza chanzo cha huo uwanja na hilo jina cjui ninani anaweza kunisaidia
Wewe acha mwembe Yanga zako hapa sikiliza pointi.msomi anatiririka kisawasawa.
Achana na masuala yako ya Utopolo! Sikiliza hoja za kuikwamua nchi na hali ngumu ya maisha inayoletwa na ufisadi, mfumo mbaya wa nchi (katiba mbaya) na muungano wa kibaguzi!
Endelea kusikiliza ya mwembe yanga tu
Tundu Lisu akiongoza Nchi hii nitajua Mungu amekusudia kutuadhibu kwa upumbavu wetu
Kila nikimsikiliza naona visasi,chuki,huyu anaweza kuvunja makaburi ya Marais waliomtangulia ama kuondosha ulinzi wa Serikali kwa makaburi hayo
Pia naona mateso na manyanyaso watakayofanyiwa familia za Marais hao pia naona mateso makubwa kwa baadhi ya wananchi watakaokuwa kinyume chake
Naona hata mateso kwa baadhi ya wanachadema ambao kwa Sasa wanaona kana kwamba Ni wamoja
Mtu hatari Kama huyu na Mbowe wake hawafai kamwe kuingoza Nchi hii ninyi mnaosoma meseji hii mwaweza kuniona kichaa lakini siku ikitokea wakatawala mtanikumbuka
Hayo ni mawazo yako SI lazima yaeleweke Kwa wote watu pia wanazo akili na wanapambanua
Emb we bwana ondoa mavi apa kwahio we kulindiwa maiti za marais ndo umeona akili sana pumbavu wewe bandar zinauzwa kina abduli wanapewa raslimali za nchi watu wachache wanafanya ufisadi we tako ubaongelea visasi toa umalaya wa akili nenda katembeze saa na pafyumu stand ya magufuli na tisheti la yanga na kofia la ccm shwain mkubwa.visasi visasii visasi na ufisadi wa nchi hali mbaya ya huduma za afya we unaleta mavi mavi ya kuondolewa walinzi kwenye makaburi ya marais pimbi kweli wewe
Umjui vizur mtu uyu ...ungekuwa wajua hata historia yake usingesema ivyo
Sasa kama wao wametutesa na kujaribu kutuua!
Weujotambui
*Lissu, Mtanzania mwenzangu, punguza safari za mkono toka kwenye sahani kwenda kinywani.*
*Chunga sana kile wataalamu wa shibe waitacho, uwiano wa urefu wa mtu na uzito wake [body mass index]!*
Kazaliwa na mifupa mipana wala siyo chakula ...huyo kazaliwa hivyo