MWABUKUSI AKINUKISHA BABATI, AIVAA SERIKALI YA CCM, "ACHENI UWOGA, CCM NI WABAYA KULIKO WAKOLONI"
HTML-код
- Опубликовано: 25 апр 2024
- #TANZANIA: Mwabukusi akinukisha Babati Manyara, aivaa Serikali ya CCM, awataka wananchi waache woga wasimame kudai Katiba Mpya ili kuweka mifumo mizuri ya kiuongozi nchini humo.
Mweshimiwa sana honorable Mwabukusi...
Ahsante sana ndugu Mwambukusi...❤️❤️🙏😭😭😭...sema baba tumepigika..!!!?
Be blessed mwambukusi, people 's powereeee
Genius
Hongera Mwambukusi na pokea mauwa yako
Huyu mtu mungu amlinde kwa kila ubaya🤲
Kweli watawala wa CCM ni wabaya kuliko wakoloni. Hata huwezi kuwalinganisha.
TUNADAI KATIBA MPYA HARAKA WEWE MAMA!!
Ni kweli kwa sababu hamna HAKI ya kumchaguwa kiongozi mnayemtaka.
Training tanzania powerforce getting new costuetion and free team organization of election point lndipendet privet advocate mwabukusi in babati there thouse are the mostly safering people in babati under ccm leadership creat fear to them with original commissioner and his team wambieni wakipewa wale sababu ni pesa ya watanzania wenyewe kwani kura ni Siri Kwan nn waziogope ni zetu wenyewe walioiba kwa muda mrefu ni ngumu wananchi kukutaa rushwa wale ni haki yao
Mbona wanauza lasimali za inchi vitu vinapanda bei hizo pesa zinaenda wapi na mikopo wanakopa sisi watanganyika mbona shida zinaongeka?
Mm
Mkoloni hakufukuza wamasai na hakuuwa watu hakutesa watu kama watawala wa CCM
Ukweli mtupu tz Masai hanathamani kama mkaa
Hahahaha "kujikunyata " siku nyingi hili neno linanikumbusha marehem mama yangu.
PAMOJA SANA MWAMBUKUSI.
Wewe mchawa wa CCM Mungu atawashusha hata kwa mapigo hata ya majipu.
Na wewe unayesema kuwa maandamano ya watukumi hata huyo unamchawa kwake si anaona watu ni 10. Nenda ukainame huyo mama yako apite juu yako kama daraja huku ukimueleza kuwa walikuwa watu 10.
Ccm ni Simba wa mabox tusiogope
Hakika kuingia uchaguzi bila hili ni kazi bure👇🏿
#katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
Duuu maandamano ya watu 10 nyinyi mtabaki kubwaka kama mbwa koko hakuna atakae wapa Nchi hii Mavibaraka ya mabeberu
Hesabu za kujumlisha ulifaulu? Tuanzie hapo.
Trillion 90
kwa waliolala ww unaongoza maana hujui unakoishi na unakoelekea
kwa waliolala ww unaongoza maana hujui unakoishi na unakoelekea 2:12