CHADEMA TUNACHUKIANA KULIKO CCM ''MIMI NTASEMA UKWELI''MWAMBIGIJA AKOSA UVUMILIVU ACHAFUA HADHARANI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 май 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 103

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 27 дней назад +3

    Tatizo lipo Chadema.Jitafakarini.Hamfuraishi,japo mnaowafuasi wengi fikirini upya.

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Месяц назад +10

    Chadema ni kikundi cha wahuni

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8o Месяц назад +7

    Hiki chama bdo sanaa kwakweli kitatusambatisha waatz 😢 tusiwe watu wakufuatfuat mkumbo tuwe makinji sana hawa watu ni janja janja wacha wapambane wenyewe kwanza

    • @happyjeremiahmhuli4043
      @happyjeremiahmhuli4043 Месяц назад

      Ccm ndio wenye hii kazi wao wamezoea sasa chadema wakikemea wanakosa gani

    • @user-gy5en6cy8o
      @user-gy5en6cy8o Месяц назад

      @@happyjeremiahmhuli4043 ww kwa akili yako huko chama chadema kweli kinaweza Şahika dola🫣wajipange sana ila sio kwa sasa in the near future yes but not now 👍

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 Месяц назад +5

    Umetumwa acha uhuni, CHADEMA tuachie tuliokomaa nacho. Na mwache Mwabukusi.

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Месяц назад +1

      Huyu kwa kauli zake chadema wamfukuze mapema.Hafai hata kidogo.Mwambigija hafai.

    • @samsonsamwel8782
      @samsonsamwel8782 Месяц назад

      Na co muda atahama

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 Месяц назад +4

    chuki ni mahali popote siyo ila ukweli lazima usemwe

  • @yusuphkhalidkadinde6866
    @yusuphkhalidkadinde6866 Месяц назад +7

    Mnachukiana kwa uroho wa madaraka huyo mbewe yeye nani kafanya chama chake akitaka kugombea mwingine anawekewa zongo

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 Месяц назад

      Kwani CCM hii ni yao peke yao?mbona wanaing'ang'ania kuiongoza tangu tupate Uhuru mwaka 1961?unayaona ya Mbowe tu kuwa Mwenyekiti?

  • @TumtukuzeMbise
    @TumtukuzeMbise Месяц назад +3

    Chamsingi chadema tuwe makini sana ccm wasitugombanishe

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 Месяц назад

      Hawawezi kuigombanisha Chadema,wenyewe kwa wenyewe CCM wanagombana,ingawa kwenye mkusanyiko wa watu mbalmbali kugombana ni jambo lakawaida sana kinachotakiwa ni kuvumiliana ili mfikie malengo mliyojiwekea,

    • @qonquererqanquerer1781
      @qonquererqanquerer1781 Месяц назад

      Kabisa Kabisa

  • @View24.
    @View24. Месяц назад +8

    Chadema ni wahuni ..Sisi tulishakimbiaga kitambo sana

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 Месяц назад

      Wahuni wengi wako wapi kati ya Chadema na CCM?

    • @FirstOnline-ul5oh
      @FirstOnline-ul5oh Месяц назад

      Sasa kiongoz wa chadema freeman mbowe ni mwana ccm pure

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 Месяц назад

      Kama ulikimbiaga kitambo,hiyo kazi ya kuifuatilia Chadema inakupataje?Maneno hayo waambie wapumbavu wenzako

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 Месяц назад

      @@FirstOnline-ul5oh Akiwa mwanaccm mwenzako,sasa wewe shida yako ninini?Furahia Chadema haipo.

    • @View24.
      @View24. Месяц назад

      @@yassinnabwera4273 mpumbavu Mama yako alokuzaa.. kwani hajakufundisha adabu ya kuongea na watu

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Месяц назад +7

    TATIZO RUZUKU KILA MTU ANATAKA AMZIDI MWENZAKE 😢😢😢😢😢😢😢HAYA WAKIPEWA NCHI WIKI MOJA TU NCHI BANKRUPTCY

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 Месяц назад +1

      Akili yako ni ndogo,kwani CCM wanavyogombana,huwa wanagombea nini?Au unataka kutuaminisha kwamba CCM huwa hawagombani?

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Месяц назад

      @@yassinnabwera4273 CCM WAKO MATURED LAKINI CHADOMO NI WAROPOKAJI NA KUBWEKA TU WAKISUBIRI MATUKIO 🤧🤧🤧🤧🤧🤧

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 Месяц назад

      Zaidi ya Trilion 80 nchi hii inadaiwa chini ya CCM,hizo pesa walikopa Chadema?

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Месяц назад

      @@yassinnabwera4273KUNA NCHI ISIOKUWA NA DENI LA TAIFA HII DUNIA AU UNATAKA PADRE SLAA AFANYE MIUJIZA PESA ZIINGIE KWENYE SIMU ZETU 😢😢😢😢😢

    • @yassinnabwera4273
      @yassinnabwera4273 Месяц назад

      @@OmmyJames-xn7ji Hapo ndipo unapoonekana uko mbali na hii dunia,kwa Chadema wakihoji ruzuku yao kwako wewe ni ajabu ila CCM wakikopa Matriolioni ya pesa na kuyaiba,hilo kwako sio tatizo,unajua ni ngumu sana kuipima akili yako na kuupima uelewa wako,endelea na mambo yako,kama hujui matrilioni hayo wanayoiba viongozi wako wa CCM inabidi tuyalipe Watanzania wote bila kujali vyama vyetu,inaonekana Akili yako haina Akili.

  • @petromwakipesile9574
    @petromwakipesile9574 Месяц назад +1

    hayo madongo kwa sugu......mwambigija na sugu hawaivi kbs,,,, ndo maana anakuambia atamuomba mwabukusu akuje kugombea mbeya mjini. kama huna D mbili huwezi kuelewa hii kitu

  • @francisjohanes3027
    @francisjohanes3027 Месяц назад +3

    Hiyo ndo CDM black and white big up

  • @rebeccamwaisoloka5132
    @rebeccamwaisoloka5132 Месяц назад +2

    Umenena uwazi kabisa

  • @NDEWARA
    @NDEWARA Месяц назад +7

    Kama mlikuwa hamjui CHADOMO ndiyo hiyo😂😂

  • @user-ob9mc5zc1k
    @user-ob9mc5zc1k Месяц назад

    Kwa kweli umekomaa kisiasa Mwambigija

  • @clementhiddi1486
    @clementhiddi1486 Месяц назад +1

    Ni wale wale ila rangi tofauti

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 Месяц назад

    Duh kumbe Chadema hatupendani hii ni hatari sana kwa ustawi wa chama

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 Месяц назад +1

    Leta sera brother maneno yamekuwa mengi hta ukiwa mzuri kuongea unaonekana porojo nyingi kuliko kujenga chama

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Месяц назад

      WAKATI wa magu walilalamika HAWAWEZI kufanya mikutano sasa hivi ni chuki na ubaguzi na kejeli hawana sera ila ni watu wa MATUKIO 😢😢😢😢😢😢😢

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si Месяц назад

    Du! Shughuli ! Acha Inyeshe tujue panapovuja!

  • @user13375
    @user13375 Месяц назад

    Hata kama ukiwa na nguo nzuri ya gharama kubwa kama ni moja tu na ni kauka nikuvae ,haitakufaa ,Tunataka kubadilisha tuu

  • @user-zc2ms4wl6r
    @user-zc2ms4wl6r Месяц назад

    Kweli Mzee siasa ni kutumia akili sio nguvu Wala matusi nikusoma alama zanyakati

  • @hezronsanga5197
    @hezronsanga5197 Месяц назад

    Mmmmmh ninamashaka na ww ila Chadema chama makin sana acha siasa ndan ya chadema

  • @user-es5hj7dj5i
    @user-es5hj7dj5i Месяц назад

    Kumbuka wachafuzi pia wamo wengine ni kutoka huko walikotoka kwa kuchafua kuja kuchafua ili wananchi wasione tofauti

  • @luhanganokapole7759
    @luhanganokapole7759 Месяц назад

    Duh

  • @jonathanakhabuhaya1693
    @jonathanakhabuhaya1693 Месяц назад

    angalia huyu asiisambaratishe CHADEMA.

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 Месяц назад

    Hivi kweli chadema mmefikia mahali pa kujidhalilisha kiasi hiki! Hebu kaeni mjitafakari huyo mdudu aliye waingia ashughulikiwe mapema kabla ya kusambaratika

  • @possianokigwinya9988
    @possianokigwinya9988 Месяц назад

    Unashida pole.

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli4043 Месяц назад +1

    Wahuni kuliko ccm ? Uzuri wa ccmhaup0 hujawajua

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf Месяц назад

    ABAKIYEEE HUKO HUKO MWAMBUKUSI, ACT WAZALENDO HATUMTAKI NG'OOO. ACT WAZALENDO SIO CHAMA CHA MASHOGA NA WAPOTOSHAJI.

  • @ezekieljacob5795
    @ezekieljacob5795 Месяц назад

    Mnagombanishwa na vichwa vya habari ili mfungue msikilize ili apate point....ni biashara

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli4043 Месяц назад

    WATU WENGINE WAPUMBAVU SANA WAONDOLEWE KTK CHAMA

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Месяц назад

    Nasikia kichefichefu nikisikia lifisiyemu humu hatutaki mbogamboga kabisa

  • @kianda973
    @kianda973 Месяц назад

    Mmmh....???

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa Месяц назад

    Shida yenu ni hiyo hamtakagi kutoka madalakan . Mtu akijitokeza kuchukua fom mnaaza kusema umetoka na chama mbali. Hutaki kuachia madalaka. Mmeishiwa mbinu Acha kujifanya chama NI chako. Ccm wanawapiga bao

  • @revocatusvedastus8893
    @revocatusvedastus8893 Месяц назад

    mwambukusi multipurpose anagombea popote pale

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Месяц назад

    Mimi simuamini mwambigija anatumiwa na fisiyemu ni mnafiki chadema mbeya mjin kaeni chonjo

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Месяц назад

    Mwambigija anakibomoa chama kwa makusudi ,chadema mfukuzeni huyu mapema.

  • @LovelyGecko-so6ry
    @LovelyGecko-so6ry Месяц назад

    Umesema kweli kabisa ila muda utatoa muelekeo thabiti

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Месяц назад +2

    "Atagombea hapa ni kwao kwani ni Mkinga huyu"hiyo kauli ni ya kibaguzi haifai hata kidogo.Mwambigija umeteleza na umekosea sana.

    • @selemanmoses1310
      @selemanmoses1310 Месяц назад

      Ukweli unaponza sana, OK kosa lake ni lipi..?

    • @zariadunia6328
      @zariadunia6328 Месяц назад

      Hajakosea wakinga waende kwao kuna mnyakyussa anagombea makete😊😊😊

    • @zariadunia6328
      @zariadunia6328 Месяц назад

      Ila Sugu kazi anayo hayo yote ni madongo yake namuhurumia wenye mji wamechoka

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 29 дней назад

      @@zariadunia6328 kwani chaguzi zote anachaguliwa hakukuwepo na wanyakyusa.Acha ujinga ww.

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 29 дней назад

      @@zariadunia6328 hawajamchoka ila ingekuwa mimi sugu nisingegombea ningemwachia huyo wanaemtaka tuone kama atashinda mbele ya Tulia.

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8o Месяц назад +2

    Duh kumbe chadema ni chama dini 😢wasiokua na dini sijui itakuaje😢

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Месяц назад

      Haleluya 😢😢😢😢😢

    • @user-gy5en6cy8o
      @user-gy5en6cy8o Месяц назад

      @@OmmyJames-xn7ji kwaiyo unakubaliana na mm sio kua chadema wadini 😳

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Месяц назад +1

      @@user-gy5en6cy8o NI SUMU KWA JAMII 🤧🤧🤧🤧🤧🤧

  • @jerrymfinanga3773
    @jerrymfinanga3773 Месяц назад

    mbn simjuiii huyuu

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli4043 Месяц назад

    Walaaniwe

  • @geey7893
    @geey7893 Месяц назад

    Jamani mnisaidie Abdul ni nani???

  • @user-jc8el6je5e
    @user-jc8el6je5e Месяц назад +1

    Mbna Kama unamsema sugu braza

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Месяц назад

      Mwabukusi atagombea hapa ni kwao kwani ni mkinga huyu ,hiyo kauli si nzuri na haifai.

  • @patrickmasele4566
    @patrickmasele4566 Месяц назад

    BUSARA NI KUWAUNGANISHA WANACHAMA WAKO SIO KUWATENGANISHA...

  • @thomasmallya2972
    @thomasmallya2972 Месяц назад

    Tukisema chadomo ni chama watu flani muwe mnatuelewaa

  • @gwantwamwalyaje8515
    @gwantwamwalyaje8515 Месяц назад

    Mwambigija Ninakuelewa Lkn Umekosea my friend Kusema Mwabukusi Angeenda Act Mngeponea Wap Umekosea Sana Hata Angeenda Act Bado Chadema Inanguvu Wote Tunahitaajiana Kwa Pamoja

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Месяц назад

      Mwambigija hafai.Chadema wamfukuze mapema anatumika.

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd Месяц назад

      NA MIMI NINA WASI WASI SANA NAYE HUYU ANAWEZA AKAWA NI NYOKA HATARI SANA!!!!! NA KAMA SI NYOKA BASI HANA HEKIMA MANENO YAKE SI SALAMA KWA CDM HATA KAMA HAYO ANAYO YASEMA YANA UKWELI.

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Месяц назад

      @@FrankMwakatundu-cu6bd uko sahihi .Mwambigija ana mwelekeo wa kukibomoa chama kabisa.yaani kwa kauli zake hizi za hovyo anamwelekeo huo kabisa.

  • @user-kg8dn6qr8o
    @user-kg8dn6qr8o Месяц назад +1

    Mwambigija kweli ni mtu wa hovyo Sana Yeye anaona yuko sahihi kuliko wote chadema mbeya

  • @petermogha7025
    @petermogha7025 Месяц назад

    Nabado utajua

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri Месяц назад

    NDUGU YANGU KAKA YANGU MBOWE MIMI MDOGO WAKO NINA KUSHAURI KUTOKANA NAHIYO MBWAA KOKO YAKO TUNDULISSU AKUFAI WEWE TUMEKUWA WOTE HAPA MJINI KWA KWA HIKMA NABUSARA HUJUWI KUMTUKANA AO KUMDHAU MTUU SASAHUYO MWANA KIJIJI ATAKUSABABISHIA KUONEKANA KAMA NA WEWE HUJITAMBUWI SIUNAONA WAKATI ALIPO KUWA UBELIGI UKIMBIZINI ULIMBUKENI WAKE WA AJABU

  • @user-kq7ee4vp7o
    @user-kq7ee4vp7o Месяц назад

    Kwa ushauri wangu tofauti zenu viongozi mliokusudia kujenga nyumba nyumba embu jaribuni kuyamaliza ndani mnakiuwa iko chama wenyew kwa mikono yenu siyo busara hata kidogo kutoka hadharani nakussemana kijinga kama ivo.

  • @davidsimbeye1548
    @davidsimbeye1548 Месяц назад

    Sasa hapo unajenga chama au unakibomoa?

  • @alexmnogi1822
    @alexmnogi1822 Месяц назад

    Wewe sio chadema uskute na wewe unataka umwenyekit ...kuongea kwenyewe hujuh njaaa mbyaaa

  • @AbelNelson-lt2ql
    @AbelNelson-lt2ql Месяц назад

    Tatizo la huyu mnyakyusa mwenzangu ni umimi wake na kumwona sugu kama mkimbizi mbeya, kakimbia tujuyu alikogombea anapambana na sugu kwa hila zake, alafu napenda sana kutumia unyakyusa kumnyanyasa sugu kama mtu asiyefaa kwa ukinga wake ni mambo ya kijinga sana. Niliwambia wafuasi wake kuwa mwambigija hana vision mkimfuata mtaenda na maji chadema ni taasisi kubwa inaweza kumwengua yeyote mleta mitafaruku hawakuelewa badaye walitupwa wote nje ya uongozi wa chama na wengine kutimuliwa.

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 Месяц назад

    Et waziri mkuu wa mbeya! Mpumbavu mkubwa chama ni tasisi c mali ya mtu ni mali ya watu! Ohooo mnaanza kuchambana wenyewe! Huna akili yoyote we kenge danganyaga wajinga

  • @user-rg2py2yz4x
    @user-rg2py2yz4x Месяц назад +2

    Wewe.mjinga..umeacha..biashara..ukaaza..siasa..fara

  • @thobiasmarandu214
    @thobiasmarandu214 Месяц назад

    That is Being Stupid

  • @abubakarimburu9096
    @abubakarimburu9096 Месяц назад

    Chadema mlimuua chacha wangwe kwa uroho wa madaraka na hiyo laana haitawaacha mpaka msambaratike

    • @charleslukumai7875
      @charleslukumai7875 Месяц назад

      Kumbe unao ushahidi wa mauaji, halafu hutaki kuutoa kwa vyombo husika!!? Basi wewe ni mshirika wa hayo mauji, na vyombo husika vinatakiwa vikuchukulie hatua stahiki. Au wewe ni yule kijana wa uvccm Kagera?

  • @paullutegwa-lo7bv
    @paullutegwa-lo7bv Месяц назад

    Cotoon

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Месяц назад

    Kwani mwabukusi ni mwanachama wa chadema?mwambigija mbona kama ww ni wa hovyo sana.Mwabukusi sio mwanachama wa chadema.Subiri mwabukusi ajiunge chadema ndiyo umsemee ila kwa sasa unakwenda kinyume na taratibu za chama.unaonekana ni mtu mzima lakini huna hekima wala busara.kauli zako za leo hazifai hata kidogo.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Месяц назад

      Hujuwi siasa kutoka chama hakuhitaji tamko wala barua, ukisimama tu jukwaa la chama kingine maana yake ameachana na chama cha zamani.

  • @antipasmkude3789
    @antipasmkude3789 Месяц назад

    CHADEMA Muwe Makini na mapandikizi ya Ccm. Wanapandikizwa kuharibu CDM.

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Месяц назад

    Broooooo
    Nimekukubali.......
    Natamani niwe mwanafunzi wako katika siasa....
    Iwe her kwako..

  • @hezronsanga5197
    @hezronsanga5197 Месяц назад

    Mmmmmh ninamashaka na ww ila Chadema chama makin sana acha siasa ndan ya chadema

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u Месяц назад

    Pongez makamanda wetu kwakujitoa kulitetea taifa letu linaenda kubaya