#THEBIGAJENDA
HTML-код
- Опубликовано: 6 май 2024
- Karibu utazame chaneli yako pendwa ya Star TV Africa.
Jiunge nasi kupata habari za kitaifa na kimataifa, makala, burudani na habari za michezo katika nyanja zote!
Kutoka Ilemela - Mwanza, Tanzania mpaka ulipo, TUNAKUFIKIA!
Star TV Brightens Your Day !
Yawezekana nikweli Nyanda umepoteza mwelekeo umekuwa chawa lkn naona hapo umekwama pamoja na kujalibu kumuweka kwenye mtego umekwama,naona taratibu Nyanda unaanza kupoteza umaili na hivo unapoteza radha ya kipindi, uenda baada ya muda mfupi utaaza kupoteza wafuasi.
GOOD JOB MR PAMBALU 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼🌹🌹🌹
Kama sio machawa mkaribisheni Wakili Mwabukusi hapo au ndio maelekezo Toka juu
Aloys nyanda sasa kawa chawa wa CCM
Nyanda amekuaa mnafki siku hizi namuamini sana chief odemba medani za siasa yule jamaa anajua sana huyu amekaa kinafki na anahoji mhusika kama anamshambulia nahic amekengeuka viva odemba
Nyanda umetoka kwenye uhalisia wako mbona unalazimisha aseme maneno yako uliyotumwa.Tayari umekuwa Chawa inaonekana unautaka Ukuu wa Wilaya
Keep up Pambalu
Good job 👏
Nyanda wala haelewi point ya Pambalu.
Nitaendelea kuwa shabiki wa Odemba.👍🏻👍🏻
Nyanda uwezi kubishana na ukweli
Nyanda uliza maswali yakisomi ili wa tz wakuelewe vizur
Wewe mwandish wa habari umerishishwa
Pamoja Pambalu
😅😅😅😅 siku ya mafiga 3 hapao mwanza PM MAJALIWA ALIMUAHIDI UTEUZI NYANDA 😆😆😅😅😅😅😅😅😅😅😅 28:02 😅
Nyanda jali sana Cv yako
😂 nyanda umekwisha kimawazo
Kumaa ya ma akoo nyandaaa huna akil nyumbu wew
NYANDA unatupotezea MB za bure tunaingia kwenye Chanel yako star tv kwenye kipindi cha big ajenda ili tusikilize hoja za wageni unao waalika kwenye interview siyo kukusikiliza wewe na unapenda sana kuwaonea wapinzani kuwapotezea muda kuwakatisha lkn wa ccm huwa huwakatishi katishi mazungumzo yao kwaufupi hiki kipindi cha ajenda umekishusha hadhi
Mtangazaji Acha kuingilia maongezi Acha mtu ajibu ndio uulize swali lingine
Duu, Nyanda anapoteza mwelekeo wa kipindi.
BIG BRAIN PAMBALU
Nyanda usimlazi.mishe Mr Pambalu akukubalie Unachokitaka KUMBUKA UNAONGEA NA KICHWA KILICHOJAA MADINI 😂😂
Nikweli nyanda Simon wa zamani
Nyanda anataka ukuu wa wilaya,lakini sio kwamba hajui,hapo anajitoa ufahamu tu
Huyo anayeuliza hajui lolote
Nyanda anaelewa, ila anajifanya haelewi
Hata jakaya alishambuliwa na chadema ndani na nnje ya bunge ndo maana halikuendelea
NYANDA USHAKUA KICHWA HASARA PORE SANA HII NCHI SHIDA SANA
Huuu ni mdahalo au ni Nini?mbona nyanda haeleweki
Nyanda umeamua "kumtumika kafir upate mradi wako"? Simama kwenye mizania!
Huyo nyanda ni ccm anataka cheo mbona hakujibu maswali unayomuuliza
Saiv hatutaki serikali 3 , hoja ya kwanza kabla ya yote , tujadili muungano, maana ndio hoja iliyopo sasa
Nyanda nichawa hata Skumoja tulimshangaaa na Kaka Gofrey mahonge ameramba asali
Mtangazaji huyo ni kilaza hajui kitu
Mbona ile Interview ya yule Mwanafalisafa umeipotezea ? Nyanda
Mwenyewe niliisubiri kwa hamu nikaikosa
Nyanda Acha amalize kujibu then umuulize swali lingine. Kwanini unamlisha maneno
Nyanda tulia ushibe unarukaruka nn
Nyanda unakera skuizi
Chawa mkubwa
Siyo watu na mafisiemu
Issue ya Bandari ya Bagamoyo haikuridhiwa na wengi.Mijadala ya atakacho Rais wa JMT haukuwahi kuwa Huru maana Bunge limetishwa.
Uyu ashaanza kuaribu atatumwa na ccm ivyo kama utaendelea kufanya kazi kwa uchawa wa ccm bora nimtafute odemba
Muite mwabukusi
Kiswahili
Kiswahili 4:50
Tuchukulie serikal tatu tayar je hii serikal ya tanzania ndio ya tatu vyanzo vyake vya Mapato vitatoka wapi la pili je rais wa muungano arakuwa na jeshi na police embu tufafanulie uendeshaji wake hapo au tuvunje muungano???
Hovyo kabisa wewe Nyanda hustahili kabisa katika nafasi hiyo maswali yako siyo uchawa umekuteka
Huyo Mwandishi zero, anaongea zaidi kuliko anayehojiwa, wanabishana kama mtoto
The way, Ntozi anavyo mhoji Pambalu anashindwa kujiweka kati ( Neutral) .
Wanahabari hawajielewi kabisa . Kimsingi wao ndiyo JICHO la jamii ,lakini wanabanwa kiasi kwamba wanakuwa MACHAWA.
Ni shida sana .
wewe nyanda pia zamani tulikuwa tunakuelewa sana ila kwenye mdahalo wa mafiga ma 3 ulionyesha zahili kuwa tayali umeisha kuwa chawa wa ccm kwahiyo sasa hivi umezishusha sana cv zako ndomaana hata maswali unayouliza zahili niyakukibeba chama tawala ila umekutana najiwe gumu sana
Huyu nilimtema siku hiyo na kumwona ni chawa mkubwa aliahidiwa uteuzi na waziri mkuu. !! 20:38 20:40 20:41 20:41
NYANDA UMEKUA KICHWA HASARA PORE SANA
TAKUKURU kazi kwenu watuambie hizo fedha zimetoka wapi???