PAMBALU AWEKA WAZI''NITAJIVUA, SITOKUWA MWENYEKITI BAVICHA TENA/ATAJA SABABU ZA KUJIVUA NAFASI HIYO.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 окт 2024

Комментарии • 30

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 4 месяца назад +2

    Hongera Pambalu kwa kazi nzuri ya kikakamavu na ujasiri, tunakutambua vizuri sana, tunakuombea uendelee kuwa kamanda muaminifu katika nafasi itakayofuata. Fahari ya vijana ni nguvu zao...

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 4 месяца назад

    Asante mwalimu. You have a good self understanding .

  • @mwaamwetahussain9947
    @mwaamwetahussain9947 2 дня назад

    Hpo sawa

  • @gregoryRukiza
    @gregoryRukiza 4 месяца назад

    A leader is a commitment you have aleadership quality. Go on the sky is nolonger a limit.

  • @fabby1181
    @fabby1181 4 месяца назад

    Perfect
    Munofu imeeleweka

  • @PROFESSORSHEDY
    @PROFESSORSHEDY 4 месяца назад

    Respect kamanda

  • @emmanuelymganga5737
    @emmanuelymganga5737 4 месяца назад

    Pamoja sana

  • @AnossyMbonekela-sb6ol
    @AnossyMbonekela-sb6ol 4 месяца назад +2

    Take note that Hii ni machine kwenye siasa be careful!!!!

  • @charlzmboya
    @charlzmboya 4 месяца назад +1

    Yule anae beza wee endelea kubeti kwa mchina na kushabikia mpira wa Simba na Yanga ...msipiganie àTAIFA LENU WAPUUZI NYIE MMEBAKI KUBETI ...

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 4 месяца назад

    Kijana unatakiwa kua kiongozi

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 4 месяца назад

    Tatizo mukipewa pesa ccm mnatusaliti makamanda.

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si 4 месяца назад

    Masikiniiii hana elimu ya kutosha juu ya utawala wa majimbo kuanzia America! Halafu ana hasira !

  • @charlzmboya
    @charlzmboya 4 месяца назад

    Taifa linahitaji vijana wadogo wa humri huu ndio wazalendo na wenye nguvu ya kupigania rasilimal ZETU nakuzilinda ...hongera chadema kwakuibua hivi vpaji....

  • @LeoLaurentTarimo
    @LeoLaurentTarimo 4 месяца назад +1

    Kwa nini msichague huyu jamaa Pambalu anatosha kabisa

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 4 месяца назад

    Uko flexible kwa kweli.

  • @charlzmboya
    @charlzmboya 4 месяца назад

    Dogo ana zungumza kwa point ...kama chadema Wana mashine hyu ni balaa haswaa na hii ni HAZINA YA CHAMA YA BADAE HII NI MBEGU BORA YENYE KULETA MAZAO MEMA YA BAADAE KTK CHAMA ...UONGOZI WA taifa haujakosea kua na hii mashine

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 4 месяца назад

    Lifisi byemu acha basi kutuzingua tutapigania tanganyika yetu kwa jasho nadamu

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 4 месяца назад

    acha tamaa kaa huku chin kwanza ujifunze usikimbilie madalaka makubwa bado mda unao

  • @charlzmboya
    @charlzmboya 4 месяца назад +1

    Wee k Wacha ushoga wewe Hii ni mashine kweli kweli inasaga nakukoboa...MH PAMBALU NI JEMBE

  • @charlzmboya
    @charlzmboya 4 месяца назад

    Dogo huna papara uko vyema haswaa tulio timamu tunakuelewa sana pambana PAMBALU endelea kuji pambanua kisiasa

  • @Mwitabenson_tz
    @Mwitabenson_tz 4 месяца назад

    Ndio umetuachia nini

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 4 месяца назад

    Huyu dogo anapapala sana akiongea harafu hajielewi kwwnye siasa bora wampe hata Twaha mwaipaya hyo nafasi

  • @azizihfarijala5307
    @azizihfarijala5307 4 месяца назад +1

    dogo haielewi marekani majimbo ni nchi ziliungana na kila jimbo lina fanya uchaguzi kumchagua rais wake kule wanaita gavana ni tofauti na hapa kwetu ni nchi mbili zilizoungana kabla sijaendelea mbele kajifunze siasa wewe bado

  • @BonifasiAmosi
    @BonifasiAmosi 4 месяца назад

    Tuko nyuma yako kamanda

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 4 месяца назад

    Wewe sina shaka na wewe

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 4 месяца назад

    Dogo hajielew huyu ngs

  • @Kachuba-w9p
    @Kachuba-w9p 4 месяца назад

    Chadema bdo sanaa muache kwanza huu ukabila na udini 😢mjitadhimini kitandakindaki 😢