GODBLESS LEMA KATIKA DK 90 KWA KINAGAUBAGA AFUNGUKA YALIYOKUWA YAMEJIFICHA KWENYE MEDANI ZA SIASA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Karibu utazame chaneli yako pendwa ya Star TV Africa.
    Jiunge nasi kupata habari za kitaifa na kimataifa, makala, burudani na habari za michezo katika nyanja zote!
    Kutoka Ilemela - Mwanza, Tanzania mpaka ulipo, TUNAKUFIKIA!
    Star TV Brightens Your Day !

Комментарии • 303

  • @brunowilliam826
    @brunowilliam826 8 месяцев назад +30

    Tungepata watu kama 10 tu Tanzania aaàh tungekuwa mbali sana .LEMA KICHWA

  • @AmiriKilibwa
    @AmiriKilibwa 8 месяцев назад +18

    Hongereni star tv mnajitahidi kujitofautisha na Yale ma tv

  • @abdulally2764
    @abdulally2764 8 месяцев назад +14

    Lema Mungu akubariki sana ... nakuombea . Hakika hizi ni dk 90 zitazo ishi mika mingine 90

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 8 месяцев назад +21

    Godbless Lema Mtumishi Anaehubiri Ukweli Hata Pahali Pa Hatari, Mungu Akulinde Mwamba Wetu,🙏🙏🙏

  • @mathewyoung2159
    @mathewyoung2159 8 месяцев назад +15

    Lema wew kichwa ubarikiwe Sana kiongozi wetu ✌️✌️

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 7 месяцев назад

      Kwa lipi ndugu yangu jiongeze 😂😂😂

  • @WilfredShirima-e2j
    @WilfredShirima-e2j 8 месяцев назад +10

    Lema ww nimtu muhimu sana mungu alikuweka hpo kwasababu tuna kukubalisana ww nifaither brother.

  • @wiza2309
    @wiza2309 8 месяцев назад +8

    Hongera sana Mh Lema, uko vizuri sana, Mungu akutunze

  • @abdulmshamu801
    @abdulmshamu801 8 месяцев назад +20

    Good my lema,umekomaa kisiasa.

  • @AlansumlekKiroya
    @AlansumlekKiroya 8 месяцев назад +6

    God bless lema uko makini sana umeupiga mwingi waambie ukweli na waswahili wanasema myonge mnyongeni lakini mpeni haki yake

  • @edsonmnego4030
    @edsonmnego4030 8 месяцев назад +22

    Lema akili kubwa sana huyu jamaa sema tu mungu akubaliki

  • @MakalaSimulizi
    @MakalaSimulizi 8 месяцев назад +12

    Lemaaa!!!!!!! Smart Sanaa hiki kiumbee

  • @mocomoja4229
    @mocomoja4229 8 месяцев назад +24

    Lema Anaongea ukweli na hata mtangazaji anajua Hilo

  • @waltergeofrey8543
    @waltergeofrey8543 8 месяцев назад +7

    Nyamaza Odemba hahahahahaha nice Interview 👏

  • @TajewuoMoseka
    @TajewuoMoseka 8 месяцев назад +27

    Lema ni shujaa

  • @gallegalleson4427
    @gallegalleson4427 8 месяцев назад +17

    Lema nimemfuatilia ana uelewa mpana wa mifumo wa serikali ya tz

  • @josephatmsaki5944
    @josephatmsaki5944 8 месяцев назад +20

    Lema nakuelewa san

  • @thomasmollel9465
    @thomasmollel9465 8 месяцев назад +9

    Bro nakukubali sana

  • @omaryidd4373
    @omaryidd4373 8 месяцев назад +16

    Lema ameongea ukweli kabisa Arusha barabara alitengeza kipindi chake 42:08

  • @pastorstevenmdoe5143
    @pastorstevenmdoe5143 8 месяцев назад +21

    Kiongozi shupavu G Lema

  • @apostlejoelyamo2983
    @apostlejoelyamo2983 8 месяцев назад +14

    Lema uko safi pipoooooooz

  • @juliuslukumay333
    @juliuslukumay333 8 месяцев назад +9

    Goodbless lema ni mwanasiasa mwenye uwezo mkubwa wa kujenga hoja na pia anauwezo mkubwa wa kufikiria kuhusu maisha ya watu na kuhusianisha na utawala.

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm 8 месяцев назад

      Kwa kujenga hoja hata akiwa muuaji awe kiongozi wa nchi. Kwa kweli fikra zenu matope ndo maana Tanzania na utajiri wote tuliokuwa nao fikra za Mtanzania ni kiwango cha chini sana sana, hamjithamini kama nyinyi ni binadamu mnaostahili usawa, haki na maendeleo. Ni mtu asiyejithamini tu na mjinga ambaye hajielewi. Inasikitisha kuona na elimu zetu, miaka ishirini bado tunaongelea afya bira, barabara mbovu, elimu duni, ufisadi, kuporwa ardhi, kuteka watu. Bado mnakihitaji hiki chama kiendelee hivyohivyo , basi sisi si binadamu kamili bali nusu watu tusiojielewa.

  • @jamallysayd3886
    @jamallysayd3886 8 месяцев назад +12

    Najiulizaga chadema wanatoaga wapi watu wenye uelewa mkubwa,ukiachana nalema kamata yeyote pale chadema hata mfagiaji point nikubwa full madin kichwan yani utajibiwa na utarizika sio wababaishaji wawale jamaa wengine wanaojar matumbo yao2 Allah akubariki sana kaka lema

    • @LumolaSteven
      @LumolaSteven 8 месяцев назад

      Tupeni fursa tuunde Serikali ya CHADEMA.
      Wananchi wakiamua inawezekana tukafanya mageuzi.

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd 8 месяцев назад

      UKO SAHIHII NDUGU UMESEMA UKWELI, CHADEMA INAHAZINA YA VIONGOZI, TAIFA MPAKA VITONGOJINI NI WATU WENYE AKILI KUBWA SI VIONGOZI TU HATA WANACHAMA WA CHADEMA WENGI NI WENYE UWEZO MKUBWA SANA WA KUFIKIRI AJABU!!! NDIYO MAANA CHADEMA IKO IMARA SANA!! KUMBUKA VYAMA VYOTE VYA UPINZANI NCHINI VIKO MFUKONI MWA CCM, LAKINI CCM HIYO HIYO IMEISHINDWA KABISA KUIWEKA CHADEMA MFUKONI MWAO NA HOFU KUBWA YA CCM NI JUU YA CHADEMA. HAKIKA CHADEMA NDIYO KIBOKO YA CCM.

    • @salummohamed2689
      @salummohamed2689 7 месяцев назад

      Tatizo siyo wanatowaga wapi, ni watu wanaoamini utawala Sheria na haki.

    • @MussaSelemani-wz5np
      @MussaSelemani-wz5np 7 месяцев назад

      HAHAHAHAHAHAHAAAAAA UMENIFURAHISHA SANA

  • @SamweliBurra
    @SamweliBurra 8 месяцев назад +7

    Bro umetisha sana umekomaa kisiasa una PhD ya siasa

  • @isayakihongile4921
    @isayakihongile4921 8 месяцев назад +6

    Namuona Odemba akipokea madini kutoka kwa professor nguli wa siasa ya jamii G.LEMA

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 8 месяцев назад +4

    ❤❤❤❤ hakika kabisa mwamba umesema kila kitu chakweli

  • @MnuwiiItowela-vf1td
    @MnuwiiItowela-vf1td 8 месяцев назад +11

    Kamanda upo sahihi

  • @listenshao2716
    @listenshao2716 8 месяцев назад +10

    Safi sana kamanda wetu

  • @ignacekiwale7281
    @ignacekiwale7281 8 месяцев назад +10

    Navutiwa sana na Mwandishi Odemba kwa weledi na maswali mazuri anayowahoji watu mbalimbali...Mhs Lema,ni mkweli,mwenye ufahamu wa mambo ya kimsingi,mtetezi wa haki na mwanasiasa mahiri sana...

    • @FrankMichael-tg4vz
      @FrankMichael-tg4vz 8 месяцев назад

      Nilimuomba mungu anipe mtt wa kiume nimuite jina la huyu mwamba na kweli mungu amejaalia nimetimiza ilo Sasa mwanangu ni God bless ❤

  • @udazakikoti3419
    @udazakikoti3419 8 месяцев назад +10

    Wenye mitazamo ndiyo wanaopigwa vita na serikali ya nchi hizi, lakini lema hayumbi kwenye misimamo yake

  • @MiriamAziz-z5t
    @MiriamAziz-z5t 8 месяцев назад +6

    BRAVO MH. LEMA....UMEKUWA JASIRI NA MUWAZI KUHUSU MAKONDA.....HUYU MAKONDA NI MUUAJI...MLA RUSHWA NA FISADI WA KUTISHA....LAANA YOTE YA UTEUZI WAKE ITAMPATA TU MH. RAIS SAMIA....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU 'HACHEZEWI'.

    • @BenjaminBatano
      @BenjaminBatano 8 месяцев назад +1

      Kuna watu Tanzania hii ukiwaambia kuhusu Makonda wanakutukana matusi kama yote, watakumbuka baadaye wamechelewa subiri tuone mwisho wake

    • @aloycemruma6552
      @aloycemruma6552 7 месяцев назад

      ​@@BenjaminBatanomm 57:08

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho 8 месяцев назад +7

    ❤❤❤❤❤ kamanda wakwe nia yao nzur kwa ichi

  • @danielmakelemo2395
    @danielmakelemo2395 8 месяцев назад +13

    Odemba Leo Kawa msikilizaji emekutana na ulimi ufunfishao😂😂😂the born agen huyoo

    • @mhinajerome5964
      @mhinajerome5964 8 месяцев назад

      Kaabisa kabisa

    • @salummohamed2689
      @salummohamed2689 7 месяцев назад

      Odemba Kiri kuwa umekutana na kiumbe chenye uelewa Kwa maendeleo ya nchi yake. Ukikiri labda serikali ya ccm itakuchukia?

  • @JoshuaStanley-qu3im
    @JoshuaStanley-qu3im 8 месяцев назад +8

    Lema nakukubali sana

  • @DoctorKajase
    @DoctorKajase 8 месяцев назад +3

    Odemba hanakitu hapo niyaleyale makapi ya sisiemu mapandikizi madogo madogo. Kwanza hana anacho kijua kimataifa. Akiwa anamuhoji lema nisawa na kilimanjaro na kichuguu. Hakuna muandishi hapo. Kuna chawa hapo tu anaefikiria kwamba anaweza kuchaguliwa DC Pumbavu ni ujinga mtupu.lema anaongea point kubwa sana na zamsingi ila huyo bwege anae muhoji anaegemea sana chama tawala.

  • @SaviorAfrica
    @SaviorAfrica 8 месяцев назад +9

    CCM WATAFAKARI WAJIULIZE KWANI KONGO HAWAKUWA NA ASIKARI BINADAMU ANABADILIKA WASIJIAMINI KWENYE JAMBO LA HAKI

  • @AlexMkwama
    @AlexMkwama 8 месяцев назад +6

    Odema jitahidi kutoa sauti , lema tu hapo hakusikii vizuri!
    Unauliza maswali kama unaogopa , be free man of god

  • @feddymwanga5462
    @feddymwanga5462 8 месяцев назад +6

    Kazi nzuri Godbless

  • @egbertmachumu8552
    @egbertmachumu8552 8 месяцев назад +6

    Kauli ya mkuu wa majeshi kuwa kuna wakimbizi wako kwenye nafasi za maamuzi nchini ni nzito sana ...

  • @richardhoseni2643
    @richardhoseni2643 8 месяцев назад +3

    Absolutely 💯

  • @selemanishambi6524
    @selemanishambi6524 8 месяцев назад +5

    Sawa bwana umeneja Asaalam alahkum mema.

  • @SaidHussein-d8v
    @SaidHussein-d8v 8 месяцев назад +2

    He's the mindchanger.....nothing more

  • @swaxtv4650
    @swaxtv4650 8 месяцев назад +9

    Lema 🙌🙌

  • @ERICKEXON
    @ERICKEXON 8 месяцев назад +4

    Lema nikiongozi Bora ajaye

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 8 месяцев назад +5

    Serikali hii inatawaliwa namagaidi ndiyomaana wanaiba wanaua wanabambika raiawemamakesiyabure walaghai walafi hawajari haki zawatu,

  • @tubonemahalack7505
    @tubonemahalack7505 8 месяцев назад +21

    Kabisa lema unachokisema ni kweli tupu

  • @ThobiMbilinyi
    @ThobiMbilinyi 8 месяцев назад +4

    Nakubali sana

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 8 месяцев назад +7

    Mrombo nikiwa gikombaa Nairobi

  • @Euph59
    @Euph59 8 месяцев назад +3

    Chama Makini

  • @queenmama2033
    @queenmama2033 8 месяцев назад +5

    😂😂😂😂😂 brother lema big up😂 iyo ya makondaa bhn

  • @emmanuelmziray1073
    @emmanuelmziray1073 8 месяцев назад +4

    God Bless you Godbless Lema ❤

  • @prochesytesha8040
    @prochesytesha8040 8 месяцев назад +3

    Lema yupo good

  • @ChristerShao
    @ChristerShao 8 месяцев назад +2

    Hapo Lema siyo sawa mpe nafasi nzuri sio umwambie nyamaza.

  • @amedeusleonce-hg7qf
    @amedeusleonce-hg7qf 7 месяцев назад +2

    Ww apo kwenye nyuklia nimestopisha kwanza nimekunywa maji then naendelea kusikiliza kiukwel nainjoy na elimu napata

  • @kirariwilanya1850
    @kirariwilanya1850 8 месяцев назад +2

    Ukimuona mwana cdm popote ujue ni madini Bora na adimu katika Nchi

  • @thomasmollel9465
    @thomasmollel9465 8 месяцев назад +12

    Big up we appreciate you brother

  • @pendolema7195
    @pendolema7195 8 месяцев назад +6

    Safiiiii😊

  • @godfreytarimo4296
    @godfreytarimo4296 8 месяцев назад +2

    Hongera lemaa

  • @WilisonSeth
    @WilisonSeth 5 дней назад

    Lema jamaa huyu ni nomaaa sana akili mingi mpaka inamwagika

  • @amedeusleonce-hg7qf
    @amedeusleonce-hg7qf 7 месяцев назад +1

    Apo kwenye tuzo ya raisi na majibu nimepozi nimekunywa maji afu naendelea kusikiliza napata elimu ya kutosha apa

  • @PaulMadatta
    @PaulMadatta 8 месяцев назад +3

    Da! Huyu jamaa sikuwahi kufikiri kama anauwezo namna hii aiseee😢😢😢😢😢

  • @ChristerShao
    @ChristerShao 8 месяцев назад +1

    Aliyempiga kofi Mzee Sinde Warioba,ni yule aliyemuuliza Kubenea swali unajua mimi ni nani? Kubenea alijibu nini?

  • @GeofreyMwakibombaki
    @GeofreyMwakibombaki 8 месяцев назад +3

    Ila Mimi Lema Huwa nabarikiwa sana kukusikiliza

  • @michellerobert4600
    @michellerobert4600 8 месяцев назад +4

    Madini

  • @SaviorAfrica
    @SaviorAfrica 8 месяцев назад +5

    MFUMO UMETUTENGENEZEA UMASIKINI SERIKALI KUJIÓNA KUWA INAMAAMU ZI YANCHI NA SIO WANANCHI

    • @BenjaminBatano
      @BenjaminBatano 8 месяцев назад +1

      Uko sawa! Ila wenye akili timamu tu ndiyo watakuelewa

  • @FredrickKinyaha
    @FredrickKinyaha 8 месяцев назад +2

    Hongera samaa mh lemaa

  • @deomuday7315
    @deomuday7315 8 месяцев назад +7

    Lema kama Lema God bless you my brother

  • @calistusmahombo-ty8ni
    @calistusmahombo-ty8ni 8 месяцев назад +2

    Great minds

  • @kimalinganomhelela8377
    @kimalinganomhelela8377 8 месяцев назад +2

    Mbona linapokuja suala la kutangaza kiasi tulichochanga kwenye programu ya Join -the chain anakuwa mkali.Wachaga kwenye pesa hawana utani.

  • @PaulLukumbi-en3qd
    @PaulLukumbi-en3qd 8 месяцев назад +1

    Odemba kwanza hondera kwa mijadara mizuri inayolenga kuelimisha jamii,pili tunahitaji viongozi kama lema nawengine wenye uthubutu.

  • @WisdomPhiri-b8z
    @WisdomPhiri-b8z 8 месяцев назад +4

    Mbamban boss ✌️✌️✌️✌️💯

  • @BenjamnimsakaBenjamnimsa-ls9gu
    @BenjamnimsakaBenjamnimsa-ls9gu 8 месяцев назад +2

    Tatizo mkuu akili Yako kubwa ubongo wa watanzania nimdogo unaingiza vitu vizito kwenye ubongo mdogo

  • @zuberilekengere5763
    @zuberilekengere5763 8 месяцев назад +2

    Safi

  • @ChristerShao
    @ChristerShao 8 месяцев назад +1

    Odemba uko vizuri.Mtulivu.

  • @OmbeniLuka
    @OmbeniLuka 8 месяцев назад +2

    Ccm haiwezi kushinda bila nguvu ya dola mshahara dhambi ni mauti watakufa

  • @agustinokimaro1483
    @agustinokimaro1483 8 месяцев назад +2

    Uchaguzi uje tuu lema tukurudishe mjengini haraka cnaaa

  • @alibalushi4691
    @alibalushi4691 8 месяцев назад +2

    Star tv au chadema tv?msiwe wanafik.awamu hii ya sita imebarikiwa na mungu kuleta haki na utanda wazi.tukubali hali halisi

  • @Methylfesto
    @Methylfesto 8 месяцев назад +2

    Huyu odemba na alloyce nyanda ni waandishi wazuri na wanao jua sio hawa wengine machawa na wachambuz wa mapenzi

  • @Zanijasy-hy7vm
    @Zanijasy-hy7vm 8 месяцев назад +1

    Lema ni Nabii

  • @onesmomasala-rg2wd
    @onesmomasala-rg2wd 7 месяцев назад

    Lema nakuele sana maneno yako

  • @BozaDizamile-u1d
    @BozaDizamile-u1d 8 месяцев назад +4

    Big Up Lema Kamanda Nimekuelewa Naomba Unipe Number Zako Naitaji. Kadi Ya Chadema Na Kombati Za Chadema Ninumue

  • @yusuphkichawele1009
    @yusuphkichawele1009 8 месяцев назад +1

    Very wise Lema✌️✌️✌️

  • @SaviorAfrica
    @SaviorAfrica 8 месяцев назад +5

    WARUDISHE BANDARI ZETU NA MAPANDE YA NCHI

  • @amedeusleonce-hg7qf
    @amedeusleonce-hg7qf 7 месяцев назад +1

    Kinachoniuma una mwelimisha hadi odemba et pambana jiamin ila so vizur lema

  • @IddyWahabu
    @IddyWahabu 8 месяцев назад +3

    Hivi serikali yetu ni masikini kweli mbona viongozi wetu wanatumia magari ya kifahari sana mbn kama vile sisi sio masikini kiivyooo

  • @KakadKassam
    @KakadKassam 8 месяцев назад +1

    Lema,Heche na Pambalu ninyi ni vifaa kweli kweli 2ko pamoja mpaka kieleweke

  • @WamburaJomu-xy2is
    @WamburaJomu-xy2is 8 месяцев назад +7

    Lema uko makini na majibu 👏👏👏

  • @SaviorAfrica
    @SaviorAfrica 8 месяцев назад +3

    TUNATAKA uhuru wetu

  • @DottoMussa-fx8pn
    @DottoMussa-fx8pn 8 месяцев назад +2

    Hahahahahaha lema kamanda kweli kweliii nmefurahi na wazo lako kua umshauri mkuu wa jesh la polix makonda awe ndani

  • @edsonmnego4030
    @edsonmnego4030 8 месяцев назад +2

    Odemba Leo umeyakanyaga naona tu unavo drop

  • @SaviorAfrica
    @SaviorAfrica 8 месяцев назад +4

    TIME WILL TELLLLLLLLLLL

  • @msemakweli243
    @msemakweli243 8 месяцев назад +2

    Haya ndo maono tunayo yahitaji

  • @omaryidd4373
    @omaryidd4373 8 месяцев назад +1

    Lema wakikuita tena ongelea na machinga ulisahau Kamanda wangu Mbauda hamna sehem ya kufanyia biashara wanatukamatia biashara zetu

  • @MakalaSimulizi
    @MakalaSimulizi 8 месяцев назад +2

  • @CRJr0905
    @CRJr0905 8 месяцев назад +2

    🔥🔥🔥

  • @Evanceluhakana
    @Evanceluhakana 8 месяцев назад +1

    Uwe unatuletea mashne hzo

  • @manenokiza8124
    @manenokiza8124 8 месяцев назад +1

    Mbona hajawahi kusema mabaya ya chadema tokea ameingia chadema hajawahi kuona chadema inafanya vibaya

  • @RobsonMushikutokamanyarambulun
    @RobsonMushikutokamanyarambulun 8 месяцев назад +4

    Unaeleweka kaka

  • @boniphacemwalikiamos4516
    @boniphacemwalikiamos4516 8 месяцев назад +1

    tofauti ya Paul Makonda na Paul Mackenzie ni Nchi lakini mauaji ni yaleyale 😢

  • @ElishaGowele
    @ElishaGowele 5 месяцев назад

    Waambie lema

  • @OmbeniLuka
    @OmbeniLuka 8 месяцев назад +1

    Lema ni mkweli wakati wote