GODBLESS LEMA KATIKA DK 90 KWA KINAGAUBAGA AFUNGUKA YALIYOKUWA YAMEJIFICHA KWENYE MEDANI ZA SIASA.
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Karibu utazame chaneli yako pendwa ya Star TV Africa.
Jiunge nasi kupata habari za kitaifa na kimataifa, makala, burudani na habari za michezo katika nyanja zote!
Kutoka Ilemela - Mwanza, Tanzania mpaka ulipo, TUNAKUFIKIA!
Star TV Brightens Your Day !
Tungepata watu kama 10 tu Tanzania aaàh tungekuwa mbali sana .LEMA KICHWA
Hongereni star tv mnajitahidi kujitofautisha na Yale ma tv
TV za machawa na mashabiki
Lema Mungu akubariki sana ... nakuombea . Hakika hizi ni dk 90 zitazo ishi mika mingine 90
Godbless Lema Mtumishi Anaehubiri Ukweli Hata Pahali Pa Hatari, Mungu Akulinde Mwamba Wetu,🙏🙏🙏
Lema wew kichwa ubarikiwe Sana kiongozi wetu ✌️✌️
Kwa lipi ndugu yangu jiongeze 😂😂😂
Lema ww nimtu muhimu sana mungu alikuweka hpo kwasababu tuna kukubalisana ww nifaither brother.
Hongera sana Mh Lema, uko vizuri sana, Mungu akutunze
Good my lema,umekomaa kisiasa.
God bless lema uko makini sana umeupiga mwingi waambie ukweli na waswahili wanasema myonge mnyongeni lakini mpeni haki yake
Lema akili kubwa sana huyu jamaa sema tu mungu akubaliki
Lemaaa!!!!!!! Smart Sanaa hiki kiumbee
Lema Anaongea ukweli na hata mtangazaji anajua Hilo
Nyamaza Odemba hahahahahaha nice Interview 👏
Lema ni shujaa
Lema nimemfuatilia ana uelewa mpana wa mifumo wa serikali ya tz
Lema nakuelewa san
Bro nakukubali sana
Lema ameongea ukweli kabisa Arusha barabara alitengeza kipindi chake 42:08
Kiongozi shupavu G Lema
Lema uko safi pipoooooooz
Goodbless lema ni mwanasiasa mwenye uwezo mkubwa wa kujenga hoja na pia anauwezo mkubwa wa kufikiria kuhusu maisha ya watu na kuhusianisha na utawala.
Kwa kujenga hoja hata akiwa muuaji awe kiongozi wa nchi. Kwa kweli fikra zenu matope ndo maana Tanzania na utajiri wote tuliokuwa nao fikra za Mtanzania ni kiwango cha chini sana sana, hamjithamini kama nyinyi ni binadamu mnaostahili usawa, haki na maendeleo. Ni mtu asiyejithamini tu na mjinga ambaye hajielewi. Inasikitisha kuona na elimu zetu, miaka ishirini bado tunaongelea afya bira, barabara mbovu, elimu duni, ufisadi, kuporwa ardhi, kuteka watu. Bado mnakihitaji hiki chama kiendelee hivyohivyo , basi sisi si binadamu kamili bali nusu watu tusiojielewa.
Najiulizaga chadema wanatoaga wapi watu wenye uelewa mkubwa,ukiachana nalema kamata yeyote pale chadema hata mfagiaji point nikubwa full madin kichwan yani utajibiwa na utarizika sio wababaishaji wawale jamaa wengine wanaojar matumbo yao2 Allah akubariki sana kaka lema
Tupeni fursa tuunde Serikali ya CHADEMA.
Wananchi wakiamua inawezekana tukafanya mageuzi.
UKO SAHIHII NDUGU UMESEMA UKWELI, CHADEMA INAHAZINA YA VIONGOZI, TAIFA MPAKA VITONGOJINI NI WATU WENYE AKILI KUBWA SI VIONGOZI TU HATA WANACHAMA WA CHADEMA WENGI NI WENYE UWEZO MKUBWA SANA WA KUFIKIRI AJABU!!! NDIYO MAANA CHADEMA IKO IMARA SANA!! KUMBUKA VYAMA VYOTE VYA UPINZANI NCHINI VIKO MFUKONI MWA CCM, LAKINI CCM HIYO HIYO IMEISHINDWA KABISA KUIWEKA CHADEMA MFUKONI MWAO NA HOFU KUBWA YA CCM NI JUU YA CHADEMA. HAKIKA CHADEMA NDIYO KIBOKO YA CCM.
Tatizo siyo wanatowaga wapi, ni watu wanaoamini utawala Sheria na haki.
HAHAHAHAHAHAHAAAAAA UMENIFURAHISHA SANA
Bro umetisha sana umekomaa kisiasa una PhD ya siasa
Namuona Odemba akipokea madini kutoka kwa professor nguli wa siasa ya jamii G.LEMA
❤❤❤❤ hakika kabisa mwamba umesema kila kitu chakweli
Kamanda upo sahihi
Safi sana kamanda wetu
Iam from kenya namkubali saana lema
Navutiwa sana na Mwandishi Odemba kwa weledi na maswali mazuri anayowahoji watu mbalimbali...Mhs Lema,ni mkweli,mwenye ufahamu wa mambo ya kimsingi,mtetezi wa haki na mwanasiasa mahiri sana...
Nilimuomba mungu anipe mtt wa kiume nimuite jina la huyu mwamba na kweli mungu amejaalia nimetimiza ilo Sasa mwanangu ni God bless ❤
Wenye mitazamo ndiyo wanaopigwa vita na serikali ya nchi hizi, lakini lema hayumbi kwenye misimamo yake
BRAVO MH. LEMA....UMEKUWA JASIRI NA MUWAZI KUHUSU MAKONDA.....HUYU MAKONDA NI MUUAJI...MLA RUSHWA NA FISADI WA KUTISHA....LAANA YOTE YA UTEUZI WAKE ITAMPATA TU MH. RAIS SAMIA....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU 'HACHEZEWI'.
Kuna watu Tanzania hii ukiwaambia kuhusu Makonda wanakutukana matusi kama yote, watakumbuka baadaye wamechelewa subiri tuone mwisho wake
@@BenjaminBatanomm 57:08
❤❤❤❤❤ kamanda wakwe nia yao nzur kwa ichi
Odemba Leo Kawa msikilizaji emekutana na ulimi ufunfishao😂😂😂the born agen huyoo
Kaabisa kabisa
Odemba Kiri kuwa umekutana na kiumbe chenye uelewa Kwa maendeleo ya nchi yake. Ukikiri labda serikali ya ccm itakuchukia?
Lema nakukubali sana
Odemba hanakitu hapo niyaleyale makapi ya sisiemu mapandikizi madogo madogo. Kwanza hana anacho kijua kimataifa. Akiwa anamuhoji lema nisawa na kilimanjaro na kichuguu. Hakuna muandishi hapo. Kuna chawa hapo tu anaefikiria kwamba anaweza kuchaguliwa DC Pumbavu ni ujinga mtupu.lema anaongea point kubwa sana na zamsingi ila huyo bwege anae muhoji anaegemea sana chama tawala.
CCM WATAFAKARI WAJIULIZE KWANI KONGO HAWAKUWA NA ASIKARI BINADAMU ANABADILIKA WASIJIAMINI KWENYE JAMBO LA HAKI
Odema jitahidi kutoa sauti , lema tu hapo hakusikii vizuri!
Unauliza maswali kama unaogopa , be free man of god
Kazi nzuri Godbless
Kauli ya mkuu wa majeshi kuwa kuna wakimbizi wako kwenye nafasi za maamuzi nchini ni nzito sana ...
TENA ZAIDI YA SANA
Absolutely 💯
Sawa bwana umeneja Asaalam alahkum mema.
He's the mindchanger.....nothing more
Lema 🙌🙌
Lema nikiongozi Bora ajaye
Serikali hii inatawaliwa namagaidi ndiyomaana wanaiba wanaua wanabambika raiawemamakesiyabure walaghai walafi hawajari haki zawatu,
Kabisa lema unachokisema ni kweli tupu
Ni sahih kbsa
Nakubali sana
Mrombo nikiwa gikombaa Nairobi
Chama Makini
😂😂😂😂😂 brother lema big up😂 iyo ya makondaa bhn
God Bless you Godbless Lema ❤
Lema yupo good
Hapo Lema siyo sawa mpe nafasi nzuri sio umwambie nyamaza.
Ww apo kwenye nyuklia nimestopisha kwanza nimekunywa maji then naendelea kusikiliza kiukwel nainjoy na elimu napata
Ukimuona mwana cdm popote ujue ni madini Bora na adimu katika Nchi
Big up we appreciate you brother
Safiiiii😊
Hongera lemaa
Lema jamaa huyu ni nomaaa sana akili mingi mpaka inamwagika
Apo kwenye tuzo ya raisi na majibu nimepozi nimekunywa maji afu naendelea kusikiliza napata elimu ya kutosha apa
Da! Huyu jamaa sikuwahi kufikiri kama anauwezo namna hii aiseee😢😢😢😢😢
Aliyempiga kofi Mzee Sinde Warioba,ni yule aliyemuuliza Kubenea swali unajua mimi ni nani? Kubenea alijibu nini?
Ila Mimi Lema Huwa nabarikiwa sana kukusikiliza
Madini
MFUMO UMETUTENGENEZEA UMASIKINI SERIKALI KUJIÓNA KUWA INAMAAMU ZI YANCHI NA SIO WANANCHI
Uko sawa! Ila wenye akili timamu tu ndiyo watakuelewa
Hongera samaa mh lemaa
Lema kama Lema God bless you my brother
Stop neglegence friend...congr...4what
Great minds
Mbona linapokuja suala la kutangaza kiasi tulichochanga kwenye programu ya Join -the chain anakuwa mkali.Wachaga kwenye pesa hawana utani.
Odemba kwanza hondera kwa mijadara mizuri inayolenga kuelimisha jamii,pili tunahitaji viongozi kama lema nawengine wenye uthubutu.
Mbamban boss ✌️✌️✌️✌️💯
Tatizo mkuu akili Yako kubwa ubongo wa watanzania nimdogo unaingiza vitu vizito kwenye ubongo mdogo
Safi
Odemba uko vizuri.Mtulivu.
Ccm haiwezi kushinda bila nguvu ya dola mshahara dhambi ni mauti watakufa
Uchaguzi uje tuu lema tukurudishe mjengini haraka cnaaa
Star tv au chadema tv?msiwe wanafik.awamu hii ya sita imebarikiwa na mungu kuleta haki na utanda wazi.tukubali hali halisi
Fikiria kwanza ndg
Huyu odemba na alloyce nyanda ni waandishi wazuri na wanao jua sio hawa wengine machawa na wachambuz wa mapenzi
Lema ni Nabii
Lema nakuele sana maneno yako
Big Up Lema Kamanda Nimekuelewa Naomba Unipe Number Zako Naitaji. Kadi Ya Chadema Na Kombati Za Chadema Ninumue
HAVE A BIG BRAIN MY FRIEND..UNAAIFU 2.... HOJI VITU VYA MAINGI..NCHI INAJENGWA KWA VITENDO SIO LOOMON BROO
Typing error but no problm
Wewe Ni mbeba @@mwalimulossilamsuya1944
Very wise Lema✌️✌️✌️
WARUDISHE BANDARI ZETU NA MAPANDE YA NCHI
Kinachoniuma una mwelimisha hadi odemba et pambana jiamin ila so vizur lema
Hivi serikali yetu ni masikini kweli mbona viongozi wetu wanatumia magari ya kifahari sana mbn kama vile sisi sio masikini kiivyooo
Hii nchi ni ya VIONGOZI
Lema,Heche na Pambalu ninyi ni vifaa kweli kweli 2ko pamoja mpaka kieleweke
Lema uko makini na majibu 👏👏👏
Makini aje...
Makini aje...
Akili kubwa
TUNATAKA uhuru wetu
Hahahahahaha lema kamanda kweli kweliii nmefurahi na wazo lako kua umshauri mkuu wa jesh la polix makonda awe ndani
Odemba Leo umeyakanyaga naona tu unavo drop
TIME WILL TELLLLLLLLLLL
Haya ndo maono tunayo yahitaji
Lema wakikuita tena ongelea na machinga ulisahau Kamanda wangu Mbauda hamna sehem ya kufanyia biashara wanatukamatia biashara zetu
Kampokeeni mwenezi😂
❤
🔥🔥🔥
Uwe unatuletea mashne hzo
Mbona hajawahi kusema mabaya ya chadema tokea ameingia chadema hajawahi kuona chadema inafanya vibaya
Unaeleweka kaka
tofauti ya Paul Makonda na Paul Mackenzie ni Nchi lakini mauaji ni yaleyale 😢
Waambie lema
Lema ni mkweli wakati wote