GODBLESS LEMA KATIKA DK 90 KWA KINAGAUBAGA AFUNGUKA YALIYOKUWA YAMEJIFICHA KWENYE MEDANI ZA SIASA.
HTML-код
- Опубликовано: 26 янв 2024
- Karibu utazame chaneli yako pendwa ya Star TV Africa.
Jiunge nasi kupata habari za kitaifa na kimataifa, makala, burudani na habari za michezo katika nyanja zote!
Kutoka Ilemela - Mwanza, Tanzania mpaka ulipo, TUNAKUFIKIA!
Star TV Brightens Your Day !
Tungepata watu kama 10 tu Tanzania aaàh tungekuwa mbali sana .LEMA KICHWA
Godbless Lema Mtumishi Anaehubiri Ukweli Hata Pahali Pa Hatari, Mungu Akulinde Mwamba Wetu,🙏🙏🙏
Lema Mungu akubariki sana ... nakuombea . Hakika hizi ni dk 90 zitazo ishi mika mingine 90
Lema wew kichwa ubarikiwe Sana kiongozi wetu ✌️✌️
Kwa lipi ndugu yangu jiongeze 😂😂😂
Hongereni star tv mnajitahidi kujitofautisha na Yale ma tv
TV za machawa na mashabiki
Good my lema,umekomaa kisiasa.
Lema ww nimtu muhimu sana mungu alikuweka hpo kwasababu tuna kukubalisana ww nifaither brother.
Hongera sana Mh Lema, uko vizuri sana, Mungu akutunze
Lema akili kubwa sana huyu jamaa sema tu mungu akubaliki
Lema Anaongea ukweli na hata mtangazaji anajua Hilo
Lemaaa!!!!!!! Smart Sanaa hiki kiumbee
Lema ni shujaa
Najiulizaga chadema wanatoaga wapi watu wenye uelewa mkubwa,ukiachana nalema kamata yeyote pale chadema hata mfagiaji point nikubwa full madin kichwan yani utajibiwa na utarizika sio wababaishaji wawale jamaa wengine wanaojar matumbo yao2 Allah akubariki sana kaka lema
Tupeni fursa tuunde Serikali ya CHADEMA.
Wananchi wakiamua inawezekana tukafanya mageuzi.
UKO SAHIHII NDUGU UMESEMA UKWELI, CHADEMA INAHAZINA YA VIONGOZI, TAIFA MPAKA VITONGOJINI NI WATU WENYE AKILI KUBWA SI VIONGOZI TU HATA WANACHAMA WA CHADEMA WENGI NI WENYE UWEZO MKUBWA SANA WA KUFIKIRI AJABU!!! NDIYO MAANA CHADEMA IKO IMARA SANA!! KUMBUKA VYAMA VYOTE VYA UPINZANI NCHINI VIKO MFUKONI MWA CCM, LAKINI CCM HIYO HIYO IMEISHINDWA KABISA KUIWEKA CHADEMA MFUKONI MWAO NA HOFU KUBWA YA CCM NI JUU YA CHADEMA. HAKIKA CHADEMA NDIYO KIBOKO YA CCM.
Tatizo siyo wanatowaga wapi, ni watu wanaoamini utawala Sheria na haki.
HAHAHAHAHAHAHAAAAAA UMENIFURAHISHA SANA
Kiongozi shupavu G Lema
Lema ameongea ukweli kabisa Arusha barabara alitengeza kipindi chake 42:08
God bless lema uko makini sana umeupiga mwingi waambie ukweli na waswahili wanasema myonge mnyongeni lakini mpeni haki yake
Lema nakuelewa san
Lema uko safi pipoooooooz
Lema nimemfuatilia ana uelewa mpana wa mifumo wa serikali ya tz
Goodbless lema ni mwanasiasa mwenye uwezo mkubwa wa kujenga hoja na pia anauwezo mkubwa wa kufikiria kuhusu maisha ya watu na kuhusianisha na utawala.
Kwa kujenga hoja hata akiwa muuaji awe kiongozi wa nchi. Kwa kweli fikra zenu matope ndo maana Tanzania na utajiri wote tuliokuwa nao fikra za Mtanzania ni kiwango cha chini sana sana, hamjithamini kama nyinyi ni binadamu mnaostahili usawa, haki na maendeleo. Ni mtu asiyejithamini tu na mjinga ambaye hajielewi. Inasikitisha kuona na elimu zetu, miaka ishirini bado tunaongelea afya bira, barabara mbovu, elimu duni, ufisadi, kuporwa ardhi, kuteka watu. Bado mnakihitaji hiki chama kiendelee hivyohivyo , basi sisi si binadamu kamili bali nusu watu tusiojielewa.
Wenye mitazamo ndiyo wanaopigwa vita na serikali ya nchi hizi, lakini lema hayumbi kwenye misimamo yake
Bro nakukubali sana
Namuona Odemba akipokea madini kutoka kwa professor nguli wa siasa ya jamii G.LEMA
Safi sana kamanda wetu
Navutiwa sana na Mwandishi Odemba kwa weledi na maswali mazuri anayowahoji watu mbalimbali...Mhs Lema,ni mkweli,mwenye ufahamu wa mambo ya kimsingi,mtetezi wa haki na mwanasiasa mahiri sana...
Nilimuomba mungu anipe mtt wa kiume nimuite jina la huyu mwamba na kweli mungu amejaalia nimetimiza ilo Sasa mwanangu ni God bless ❤
❤❤❤❤ hakika kabisa mwamba umesema kila kitu chakweli
Odemba Leo Kawa msikilizaji emekutana na ulimi ufunfishao😂😂😂the born agen huyoo
Kaabisa kabisa
Odemba Kiri kuwa umekutana na kiumbe chenye uelewa Kwa maendeleo ya nchi yake. Ukikiri labda serikali ya ccm itakuchukia?
BRAVO MH. LEMA....UMEKUWA JASIRI NA MUWAZI KUHUSU MAKONDA.....HUYU MAKONDA NI MUUAJI...MLA RUSHWA NA FISADI WA KUTISHA....LAANA YOTE YA UTEUZI WAKE ITAMPATA TU MH. RAIS SAMIA....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU 'HACHEZEWI'.
Kuna watu Tanzania hii ukiwaambia kuhusu Makonda wanakutukana matusi kama yote, watakumbuka baadaye wamechelewa subiri tuone mwisho wake
@@user-vd1vx1dc8pmm 57:08
Nyamaza Odemba hahahahahaha nice Interview 👏
❤❤❤❤❤ kamanda wakwe nia yao nzur kwa ichi
Odema jitahidi kutoa sauti , lema tu hapo hakusikii vizuri!
Unauliza maswali kama unaogopa , be free man of god
Lema 🙌🙌
CCM WATAFAKARI WAJIULIZE KWANI KONGO HAWAKUWA NA ASIKARI BINADAMU ANABADILIKA WASIJIAMINI KWENYE JAMBO LA HAKI
Absolutely 💯
He's the mindchanger.....nothing more
Kazi nzuri Godbless
Kamanda upo sahihi
Odemba hanakitu hapo niyaleyale makapi ya sisiemu mapandikizi madogo madogo. Kwanza hana anacho kijua kimataifa. Akiwa anamuhoji lema nisawa na kilimanjaro na kichuguu. Hakuna muandishi hapo. Kuna chawa hapo tu anaefikiria kwamba anaweza kuchaguliwa DC Pumbavu ni ujinga mtupu.lema anaongea point kubwa sana na zamsingi ila huyo bwege anae muhoji anaegemea sana chama tawala.
Kauli ya mkuu wa majeshi kuwa kuna wakimbizi wako kwenye nafasi za maamuzi nchini ni nzito sana ...
TENA ZAIDI YA SANA
Bro umetisha sana umekomaa kisiasa una PhD ya siasa
Big up we appreciate you brother
Lema nakukubali sana
Kabisa lema unachokisema ni kweli tupu
Ni sahih kbsa
God Bless you Godbless Lema ❤
Sawa bwana umeneja Asaalam alahkum mema.
Safiiiii😊
Serikali hii inatawaliwa namagaidi ndiyomaana wanaiba wanaua wanabambika raiawemamakesiyabure walaghai walafi hawajari haki zawatu,
😂😂😂😂😂 brother lema big up😂 iyo ya makondaa bhn
Lema kama Lema God bless you my brother
Stop neglegence friend...congr...4what
Lema nikiongozi Bora ajaye
Great minds
Nakubali sana
Chama Makini
Hapo Lema siyo sawa mpe nafasi nzuri sio umwambie nyamaza.
Lema yupo good
Ww apo kwenye nyuklia nimestopisha kwanza nimekunywa maji then naendelea kusikiliza kiukwel nainjoy na elimu napata
Da! Huyu jamaa sikuwahi kufikiri kama anauwezo namna hii aiseee😢😢😢😢😢
Hongera samaa mh lemaa
Hongera lemaa
Very wise Lema✌️✌️✌️
Mrombo nikiwa gikombaa Nairobi
Ukimuona mwana cdm popote ujue ni madini Bora na adimu katika Nchi
Mbona linapokuja suala la kutangaza kiasi tulichochanga kwenye programu ya Join -the chain anakuwa mkali.Wachaga kwenye pesa hawana utani.
Odemba uko vizuri.Mtulivu.
MFUMO UMETUTENGENEZEA UMASIKINI SERIKALI KUJIÓNA KUWA INAMAAMU ZI YANCHI NA SIO WANANCHI
Uko sawa! Ila wenye akili timamu tu ndiyo watakuelewa
Ila Mimi Lema Huwa nabarikiwa sana kukusikiliza
👍👍👍
Mbamban boss ✌️✌️✌️✌️💯
Odemba kwanza hondera kwa mijadara mizuri inayolenga kuelimisha jamii,pili tunahitaji viongozi kama lema nawengine wenye uthubutu.
TIME WILL TELLLLLLLLLLL
Apo kwenye tuzo ya raisi na majibu nimepozi nimekunywa maji afu naendelea kusikiliza napata elimu ya kutosha apa
Madini
Great thinker 👏,nchi ina hali ngumu wala haionyeshi matumaini kwa watu wa kada ya chini🥺
Think tank ✌️✌️
Na wapo wengi ambao wanaweza kutuvusha
Lema uko makini na majibu 👏👏👏
Makini aje...
Makini aje...
Akili kubwa
Lema,Heche na Pambalu ninyi ni vifaa kweli kweli 2ko pamoja mpaka kieleweke
Safi
❤
Tatizo mkuu akili Yako kubwa ubongo wa watanzania nimdogo unaingiza vitu vizito kwenye ubongo mdogo
🔥🔥🔥
Huyu odemba na alloyce nyanda ni waandishi wazuri na wanao jua sio hawa wengine machawa na wachambuz wa mapenzi
Star tv au chadema tv?msiwe wanafik.awamu hii ya sita imebarikiwa na mungu kuleta haki na utanda wazi.tukubali hali halisi
Fikiria kwanza ndg
Lema ubunge ni kitu kidogo sana lami kata ya Ngarenaro ni alama
Aliyempiga kofi Mzee Sinde Warioba,ni yule aliyemuuliza Kubenea swali unajua mimi ni nani? Kubenea alijibu nini?
Uchaguzi uje tuu lema tukurudishe mjengini haraka cnaaa
Lema ni Nabii
Hivi serikali yetu ni masikini kweli mbona viongozi wetu wanatumia magari ya kifahari sana mbn kama vile sisi sio masikini kiivyooo
Hii nchi ni ya VIONGOZI
Ccm haiwezi kushinda bila nguvu ya dola mshahara dhambi ni mauti watakufa
😮
Lemaaaaaaaa sio utamaduni wangu kuangalia comedy😂😂😂
❤😮😮😊😊😊
Kinachoniuma una mwelimisha hadi odemba et pambana jiamin ila so vizur lema
😮😮
Hongera sana Mr Odemba kwa mahojiano mazuri, nimefurahishwa na utulivu mzuri uliokuwa nao wakati wote na kuibua hoja zilizokuwa zikimkera mlengwa.
Job well done.
Hahahahahaha lema kamanda kweli kweliii nmefurahi na wazo lako kua umshauri mkuu wa jesh la polix makonda awe ndani
👊✌️👍.
TUNATAKA uhuru wetu
Lema wakikuita tena ongelea na machinga ulisahau Kamanda wangu Mbauda hamna sehem ya kufanyia biashara wanatukamatia biashara zetu
Kampokeeni mwenezi😂
Maccm niviziwi hawana bahatihiyo yakusoma nyakati ingawamwenyezi mungu amewafunulia nakuonyeshanguvu yake lakini bado wameshupaza shingo kama Farao kipindi cha musa, kwahiyo kunakitukibayasana kinainyemelea TZ eemungu tusaidiye utuepushe naubaya huu
tofauti ya Paul Makonda na Paul Mackenzie ni Nchi lakini mauaji ni yaleyale 😢