Godbless Lema Aliamsha Dude Bungeni, Hali ya Hewa Yatibuka

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amechafua hali ya hewa bungeni akipinga muswada wa mabadiliko ya sheria ya maliasili, wakati akichangia hoja huku akiwatuhumu wabunge wa CCM kufanya mambo kwa ushabiki.
    Lema amesema sheria zilizoligharimu taifa mpaka sasa, zilipitishwa kishabiki bungeni, kama ambavyo wabunge wanataka kufanya hivyo sasa hivyo kama ushabiki utaendelea, lazima sheria zitakazopitishwa zitakuwa ni zilezile.
    Ilibidi mheshimiwa George Simbachawene, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais anayeshughulikia Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, asimame na kumkosoa Lema kwamba alikuwa akikiuka sheria katika uchangiaji wake lakini alipokaa, Lema alimpiga kijembe kwamba anataka kubadilishiwa wizara ndiyo maana anapinga hoja ya Lema.
    Akataka utengwe muda wa kutosha kujadili muswada huo na si kupeleka bungeni kwa hati ya dharura. Mjadala mkali uliendelea ambapo Lema aliendelea kutoa hoja nzito akizielekeza upande wa wabunge wa CCM.

Комментарии • 291

  • @shebbyrnem7003
    @shebbyrnem7003 5 лет назад +15

    nimemshangaa sana kusema Arusha mjini hatuna m bunge huyo ni nan sasa funguka lema

  • @reganjuma152
    @reganjuma152 7 лет назад +39

    mh:lema ameongea point kubwa sana na mueshimiwa rais angalia hilo coz kuna wabunge wa ccm wanatetea ujinga big up mh lema

  • @rahmayussuf4368
    @rahmayussuf4368 6 лет назад +9

    Thank you Lema congrat ....smart na unajua kujenga hoja ipasavyo....goood

    • @nicholasakeya6790
      @nicholasakeya6790 2 года назад

      here from Kenya 🇰🇪I like this guy personally

  • @masalumashala185
    @masalumashala185 3 года назад +5

    Wakati wa Mungu ukifika, ccm itashindwa na watu wengine, hongera lema kwa kulitambua hilo

    • @ombenianton3611
      @ombenianton3611 2 года назад

      😂😂😂🤣🤣🤣 ila walipoondoka ndio bunge lilipoteza mwelekeo wake. But 1 day tutachukua kombe tu na sisi

  • @aibansaidy2286
    @aibansaidy2286 5 лет назад +11

    Arusha tuna mbunge makin saanaa, mungu akubariki mheshimiwa lema.

  • @isuqalex8726
    @isuqalex8726 7 лет назад +27

    ccm hawajielew
    big up mh. lemaa

  • @maikonmsafirilatonga114
    @maikonmsafirilatonga114 4 года назад +8

    Nimemkubali Sana lema kwa alichozungumza ila simabachawene anajaribu kufosi kupindisha alichozungumza

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 4 года назад +6

    Chuma hichoo mungu awape umakini wakurudishe tenaaa

  • @geofbeka1669
    @geofbeka1669 7 лет назад +30

    Pole Lema, mna kazi ngumu sana

  • @stelasasala5972
    @stelasasala5972 7 лет назад +50

    Hivi kichwa km hiki kijana unapataje ujasiri wa kukipinga? Viva Lema

  • @tracyjustice1600
    @tracyjustice1600 7 лет назад +47

    ila CCM ni watu waajabu sana kwa kweli, hule muimbaji wa gospel Munishi hakukosea, Mh.Lema I salute you

  • @lubavaclassic7048
    @lubavaclassic7048 7 лет назад +28

    Duuuuuuh kweliii kiboko duuuuu.. umebonga adii nafsi yangu imeshtukaa jombaaa

  • @saddiqkinkoro389
    @saddiqkinkoro389 5 лет назад +27

    Chuga huyu ndo kiongozi msikoseee anafunguka ipasavyoooo yuko njemaa km rais Wa Arushaaa

  • @yusufukazamba2391
    @yusufukazamba2391 5 лет назад +4

    Arusha mkimpoteza Lema mtapata hasara kubwa na mtakumbuka daima

  • @elizabethmlay5015
    @elizabethmlay5015 7 лет назад +5

    nice sana Mungu akujaze hekima

  • @justinemgomi9561
    @justinemgomi9561 7 лет назад +42

    Lema umefungukaaaa hahahahaa dozi imepenyaaaa

  • @billionairemuksini2981
    @billionairemuksini2981 7 лет назад +31

    wapinzani wapo kwa ajili ya kuweka mambo wazi huku watawala wanafichaficha

  • @Adryfierce
    @Adryfierce 7 лет назад +28

    Shikamoo Lema

  • @josephjohn6219
    @josephjohn6219 7 лет назад +4

    Ni vizuri Wah.Wabunge kufanya kazi za Bunge na siyo kazi za matakwa ya vyama vyao vya siasa!

  • @godfreymgaya435
    @godfreymgaya435 7 лет назад +5

    Mwenyezi MUNGU akupe nguvu ..akutie hekima na maneno yako,,,m4c.....

  • @ramadhanikakoree3728
    @ramadhanikakoree3728 6 лет назад +4

    Uko vzr lema

  • @woltabenad8311
    @woltabenad8311 4 года назад +1

    Lema unajuw sana kujenga oja

  • @princeriwa4000
    @princeriwa4000 2 года назад +8

    Maneno yako ni Sawa na jina lako mwamba.
    Mungu akulinde na kukulinda kwa kila jambo ulitendalo mwamba.
    Your my inspiration

  • @josephkanondo3999
    @josephkanondo3999 7 лет назад +6

    mungu ambariki gobbles lema

  • @ricksonmrema1693
    @ricksonmrema1693 4 года назад +2

    Kweli Lema waambie

  • @kenyatatogota5340
    @kenyatatogota5340 5 лет назад +2

    Hatali Sana

  • @shemsaroja975
    @shemsaroja975 4 года назад +2

    I wish ningekua raisi ninge kuchagua WAZIR MKUU

  • @deogratiusdaudi5482
    @deogratiusdaudi5482 7 лет назад +11

    jah bless u godbless lem 2 live 100yrs ahead with alots of happiness...asante lema

  • @augustinochuhila6004
    @augustinochuhila6004 7 лет назад +6

    lema mungu akubaliki sana katika Kazi yako

  • @marcohamisihubill.1649
    @marcohamisihubill.1649 7 лет назад +8

    Uko Sawa mungu akubariki

  • @ibrahimrikanga1607
    @ibrahimrikanga1607 5 лет назад +4

    Jamani ww lema uko good

  • @pttemba4421
    @pttemba4421 5 лет назад +5

    lema mungu alie watoa wana wa israel misri na kwasauti yako uliotoe kwa kipindi hiki mungu atukuja kukuweka juu nawanao wapinga wata ficha sura zao

  • @foibennjeje7730
    @foibennjeje7730 5 лет назад +6

    Lema Lema Lemaaaa! God bless Lema Amina.

  • @kechbowcech3325
    @kechbowcech3325 4 года назад +2

    Wewe Tulia. ,,,,hatuna hati ya Dharula.... ni Dharura.

  • @tollmrema6049
    @tollmrema6049 2 года назад +1

    Nakukubali sana

  • @muhidinihassani520
    @muhidinihassani520 4 года назад +3

    LEMA Ni hazina ya TAIFA

  • @thomasmario950
    @thomasmario950 5 лет назад +5

    Mh lema watakupinga kila siku maana hao wapo kwajili ya maslahi yao binafsi

  • @mamaedson7179
    @mamaedson7179 4 года назад +1

    Kura yangu ni kwa lema arusha mjini 2020

  • @salimmasatu7637
    @salimmasatu7637 7 лет назад +33

    lema ukisimama wabunge wote wa cc wanatetemeka

  • @ismshakoor1340
    @ismshakoor1340 6 лет назад +5

    asante San lema mungu akulinde

  • @suleimanali609
    @suleimanali609 6 лет назад +24

    hakika wewe Lema Mungu awalete viongozi km wewe

  • @johnmiligo429
    @johnmiligo429 5 лет назад +2

    Jamani lema mbasi kaka igekuwa mungu anaambiwa mh

  • @ama7742
    @ama7742 4 года назад +2

    Kwa mara ya kwanza nimemuelewa lema

  • @khassimnkuruvi4
    @khassimnkuruvi4 6 лет назад +4

    Lema happy nakupa BG up. Umeongea.

  • @shaddytzblog1907
    @shaddytzblog1907 5 лет назад +6

    Sema baba lema mwenyezi mungu aendelee kuwapigania

  • @mpelienock
    @mpelienock 6 лет назад +4

    Lema you are very true

  • @albertmichael8675
    @albertmichael8675 5 лет назад +3

    Wawooooo mkuuu dah unaongea ukweli na kwa uchungu sana ,mbna wabunge wa upinzani wanaakili sana ,adi wivuu

  • @yohanazacharia3352
    @yohanazacharia3352 7 лет назад +35

    ujumbe umefika hata kama wanaukataa kinafiki lkn tumeuelewa wenye akili

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 2 года назад +2

    Huyu jamaa Mungu ambariki Sana kwa kuipigania nchi

  • @markkayuni9775
    @markkayuni9775 7 лет назад +20

    Ndio rema wachane ujumbe ushafika

  • @thomasmario950
    @thomasmario950 5 лет назад +5

    Acha mambo ya ajabu spika ww kwann usiache aongee?

  • @pascalprince4408
    @pascalprince4408 5 лет назад +2

    King

  • @hitmanhunter9557
    @hitmanhunter9557 7 лет назад +9

    roma akiwaambia ukweli wabunge wetu mnatuangushaa anatekwaaa....
    sasa mambo gani hayo...
    watu wazima mnashindwa kukaa mkaelewana na kuskilizana.

  • @jolojist929
    @jolojist929 3 года назад +2

    Viva lema

  • @zompasevenludovick51
    @zompasevenludovick51 7 лет назад +12

    tunahita watyu kama nyie 100 tyu wenye ujasiri na weledi wa kutosha ili tulikomboe taifa....Viva Lemaaa

  • @emmanuelmambarera141
    @emmanuelmambarera141 4 года назад +1

    Safi sana

  • @yusufukazamba2391
    @yusufukazamba2391 5 лет назад +3

    Lema na zito kabwe ni ndugu pacha I love you all

  • @omarymachea2364
    @omarymachea2364 4 года назад +2

    Lisu aliwakomesha sasa zamu ya lema kuwaonyesha kazi

  • @ladsonmshana9920
    @ladsonmshana9920 7 лет назад +6

    namkubali sana lema

  • @fabiolapanga8680
    @fabiolapanga8680 3 года назад +1

    Nakumic san rais wa Arusha

  • @leonidaobed2952
    @leonidaobed2952 7 лет назад +8

    lema mungu akutie nguvu hao wangine Hawajui wafanyalo ni ndio tu kila kitu tunawasubiri kwa hamu-2020 wataungua tuuuuuuuu.

  • @pelgrindominicus4890
    @pelgrindominicus4890 5 лет назад +4

    Yes this is what we need in our nation the truly guy like Mr. Lema is good even if most of the parliament are oppose him

  • @paulalipakwa9077
    @paulalipakwa9077 2 года назад +1

    Godblessings you lema mangu akulinde popote ulipo Godbless you lema

  • @theodorychristopher4795
    @theodorychristopher4795 6 лет назад +3

    Waheshimiwa msicheke hilo swala ni muhimu sana raia sisi hatufurahii hata.

  • @augustinochuhila6004
    @augustinochuhila6004 7 лет назад +9

    lema baba uchaguzi ujao waviongozi gombeya uwenyekiti taifa utawanyosha

  • @jamilaismail5227
    @jamilaismail5227 7 лет назад +6

    👏👏👏Lema👏👏👏👏👏❤❤❤💙Lema💙💙💙Lema 💪💪💪 Lema👌👌👌👌

    • @Onicavee
      @Onicavee 6 лет назад

      Jamila Ismail 👏🙏mbuge wanguuu

  • @babujinga5819
    @babujinga5819 4 года назад +3

    Wabunge wa upinzani nawakubali sana tena sana

  • @mhavilesukari2708
    @mhavilesukari2708 7 лет назад +4

    asante saaana LEMA

  • @mahirimahiri2643
    @mahirimahiri2643 Год назад

    Mungu anawaona. Mlidhani mko makini kumbe hakuna lolote. Haya sasa

  • @yusufukazamba2391
    @yusufukazamba2391 5 лет назад +2

    Wana macho hawaoni na wana masikio lakini hawasikii kabisa

  • @angeljustine1978
    @angeljustine1978 3 года назад +1

    Our pride Arusha tumekumisss sanaaaa mhe

  • @dicksontheobald7032
    @dicksontheobald7032 4 года назад +1

    Raisi Wa arusha

  • @eliezaseme714
    @eliezaseme714 7 лет назад +5

    Good imepenya hyo wameipata

  • @josephlasway664
    @josephlasway664 7 лет назад +13

    mbungeee wang uyo god+bless u

  • @mabulantinyehu5575
    @mabulantinyehu5575 6 лет назад +3

    makamanda tusikate tamaa endeleen kulipigania taifa

  • @mashalamaduka2296
    @mashalamaduka2296 6 лет назад +4

    lema BG ap

  • @salimmasatu7637
    @salimmasatu7637 7 лет назад +21

    we simba cha wene kaa chini hauna maana

  • @edlineglorycutemunis4986
    @edlineglorycutemunis4986 7 лет назад +4

    lema wape ukweli

  • @chegebukoli1914
    @chegebukoli1914 5 лет назад +2

    Bila upinzani hakuna nchi

  • @mohamedshabani2263
    @mohamedshabani2263 5 лет назад +2

    yani wabunge wa ccm nimuzingo mkubwa mno kasoro bashe tu anaye jitambua.

  • @alfredmmbaga9336
    @alfredmmbaga9336 7 лет назад +26

    MANENO YAKO MARA NYINGI , YAMEUACHA MOYO WANGU NA TABASAM....!!
    MUNGU AZIDI KUKUHEKIMISHA LEMA

    • @yohanamgungu9850
      @yohanamgungu9850 4 года назад

      Alfred Mmbaga sanaaaa kaka

    • @joycedaniel6127
      @joycedaniel6127 4 года назад

      Alfred Mmbaga nakuunga mkono kabisa Lema Hapa aliongea kiuongozi zaidi na alipiga picha ya mbali sana lazima sheria zilenge matakwa ya sasa na ya baadae sheria nyingi kwenye nchi zakiafrika zinalenga kulinda viongozi hao kwa muda wanapokuwa kwenye mamlaka kitu ambacho sio afya kwa ustawi wa Taifq

    • @nicholasakeya6790
      @nicholasakeya6790 3 года назад

      Big up sir kamanda

  • @theodorychristopher4795
    @theodorychristopher4795 6 лет назад +2

    Kuwachokonoa kivipi tena ukweli unauma.

  • @richisaibulu1538
    @richisaibulu1538 4 года назад +1

    Big up

  • @dicksonmsongole1059
    @dicksonmsongole1059 6 лет назад +3

    Big up ma brother

  • @mussamarwachamahaaaaaaaaaa8065
    @mussamarwachamahaaaaaaaaaa8065 2 года назад

    Pole Sana lema ccm aizidiwi kabisa ndugu yangu iyo niile ile

  • @husseinjejeleje6585
    @husseinjejeleje6585 7 лет назад +6

    lema hatari

  • @rahmayussuf4368
    @rahmayussuf4368 6 лет назад +2

    mnapigwa vita wazi wazi daah..Anakula dakika zako kukupinga

  • @francissalamba8112
    @francissalamba8112 7 лет назад +18

    lemaa shikamoooooooooooooooooo

  • @abdulyesswigo5266
    @abdulyesswigo5266 3 года назад +3

    Lema wewe ni mwamba wapo wabunge wachache Sana kwenye taifa hili wenye moyo Kama wako

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel2640 4 года назад +1

    Sura mbayaaaaaa! Kaoneeee

  • @frankmkama5169
    @frankmkama5169 4 года назад +1

    Lemaaa big brain master

  • @njaunestory761
    @njaunestory761 6 лет назад +2

    Simba chaweneee sijui akili yako vip

  • @KUTOKA-ep2fk
    @KUTOKA-ep2fk 7 лет назад +13

    wakati mwingine wapinzani wanaongeaga pointi Sijawahi kuikubali chochote cha lema ila kwa hii point "Sio kila Rais anayechaguliwa ni mzalendo kama MAGUFULI.............." Ni kweli kabisa hapo umeongea!
    Ushauri: tungeni hizo sera bila chuki na msichanganye vyama na maisha ya wananchi wa tz. hii mambo ya taaarifa mweshimiwa au utaratibu mweshimiwa mimi ninadhani hazina maana yoyote!

  • @christophertarimo5047
    @christophertarimo5047 3 года назад +1

    Ni mtoro ila Nabii wa ukweli..keep up Lema

  • @rashidlimanyile6237
    @rashidlimanyile6237 5 лет назад +2

    ccm mzigo,lema yupo sawa kinga ya Rais iondolewe.

  • @fredrickwaosure9286
    @fredrickwaosure9286 5 лет назад +2

    Lema uko vzr xn wachane hao ccm ukweli

  • @nelsonmushi9012
    @nelsonmushi9012 7 лет назад +8

    akili kubwa

  • @woltabenad8311
    @woltabenad8311 4 года назад +1

    Lema wewe ndombunge naomba uruditena bungen wewe niraisi ajaye 2035

  • @kyomamabifi7686
    @kyomamabifi7686 6 лет назад +1

    pilot kamnda lema nakukubali ad tunajivunia kuwa nambunge kama ww

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 6 лет назад +1

    Uwezo wa Lema ni mkubwa sanaaa

    • @Onicavee
      @Onicavee 6 лет назад

      mtanzania mzalendo 🙌🙌