Godbless Lema Aliamsha Dude Bungeni, Hali ya Hewa Yatibuka
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amechafua hali ya hewa bungeni akipinga muswada wa mabadiliko ya sheria ya maliasili, wakati akichangia hoja huku akiwatuhumu wabunge wa CCM kufanya mambo kwa ushabiki.
Lema amesema sheria zilizoligharimu taifa mpaka sasa, zilipitishwa kishabiki bungeni, kama ambavyo wabunge wanataka kufanya hivyo sasa hivyo kama ushabiki utaendelea, lazima sheria zitakazopitishwa zitakuwa ni zilezile.
Ilibidi mheshimiwa George Simbachawene, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais anayeshughulikia Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, asimame na kumkosoa Lema kwamba alikuwa akikiuka sheria katika uchangiaji wake lakini alipokaa, Lema alimpiga kijembe kwamba anataka kubadilishiwa wizara ndiyo maana anapinga hoja ya Lema.
Akataka utengwe muda wa kutosha kujadili muswada huo na si kupeleka bungeni kwa hati ya dharura. Mjadala mkali uliendelea ambapo Lema aliendelea kutoa hoja nzito akizielekeza upande wa wabunge wa CCM.
nimemshangaa sana kusema Arusha mjini hatuna m bunge huyo ni nan sasa funguka lema
mh:lema ameongea point kubwa sana na mueshimiwa rais angalia hilo coz kuna wabunge wa ccm wanatetea ujinga big up mh lema
Thank you Lema congrat ....smart na unajua kujenga hoja ipasavyo....goood
here from Kenya 🇰🇪I like this guy personally
Wakati wa Mungu ukifika, ccm itashindwa na watu wengine, hongera lema kwa kulitambua hilo
😂😂😂🤣🤣🤣 ila walipoondoka ndio bunge lilipoteza mwelekeo wake. But 1 day tutachukua kombe tu na sisi
Arusha tuna mbunge makin saanaa, mungu akubariki mheshimiwa lema.
Ipo siku arusha mtamkumbuka lema
ccm hawajielew
big up mh. lemaa
Nimemkubali Sana lema kwa alichozungumza ila simabachawene anajaribu kufosi kupindisha alichozungumza
Chuma hichoo mungu awape umakini wakurudishe tenaaa
Pole Lema, mna kazi ngumu sana
Hivi kichwa km hiki kijana unapataje ujasiri wa kukipinga? Viva Lema
ila CCM ni watu waajabu sana kwa kweli, hule muimbaji wa gospel Munishi hakukosea, Mh.Lema I salute you
Duuuuuuh kweliii kiboko duuuuu.. umebonga adii nafsi yangu imeshtukaa jombaaa
Chuga huyu ndo kiongozi msikoseee anafunguka ipasavyoooo yuko njemaa km rais Wa Arushaaa
Arusha mkimpoteza Lema mtapata hasara kubwa na mtakumbuka daima
Huyo ndojembe letuuuu 2020 ten
nice sana Mungu akujaze hekima
Lema umefungukaaaa hahahahaa dozi imepenyaaaa
wapinzani wapo kwa ajili ya kuweka mambo wazi huku watawala wanafichaficha
Billionaire Muksini haswaaaa
Shikamoo Lema
Ni vizuri Wah.Wabunge kufanya kazi za Bunge na siyo kazi za matakwa ya vyama vyao vya siasa!
Mwenyezi MUNGU akupe nguvu ..akutie hekima na maneno yako,,,m4c.....
Uko vzr lema
Lema unajuw sana kujenga oja
Maneno yako ni Sawa na jina lako mwamba.
Mungu akulinde na kukulinda kwa kila jambo ulitendalo mwamba.
Your my inspiration
mungu ambariki gobbles lema
Kweli Lema waambie
Hatali Sana
I wish ningekua raisi ninge kuchagua WAZIR MKUU
jah bless u godbless lem 2 live 100yrs ahead with alots of happiness...asante lema
Deogratius Daudi
lema mungu akubaliki sana katika Kazi yako
Uko Sawa mungu akubariki
Jamani ww lema uko good
lema mungu alie watoa wana wa israel misri na kwasauti yako uliotoe kwa kipindi hiki mungu atukuja kukuweka juu nawanao wapinga wata ficha sura zao
Lema Lema Lemaaaa! God bless Lema Amina.
Wewe Tulia. ,,,,hatuna hati ya Dharula.... ni Dharura.
Nakukubali sana
LEMA Ni hazina ya TAIFA
Mh lema watakupinga kila siku maana hao wapo kwajili ya maslahi yao binafsi
Kura yangu ni kwa lema arusha mjini 2020
lema ukisimama wabunge wote wa cc wanatetemeka
pole sana Lema ila mkono mmoja hauvunji chawa..kaka yangu umoja ni nguvu
ongea bana tumechoka kabisa
Salim Masatu
asante San lema mungu akulinde
hakika wewe Lema Mungu awalete viongozi km wewe
Jamani lema mbasi kaka igekuwa mungu anaambiwa mh
Kwa mara ya kwanza nimemuelewa lema
Lema happy nakupa BG up. Umeongea.
Sema baba lema mwenyezi mungu aendelee kuwapigania
Lema you are very true
Wawooooo mkuuu dah unaongea ukweli na kwa uchungu sana ,mbna wabunge wa upinzani wanaakili sana ,adi wivuu
lema mh
ujumbe umefika hata kama wanaukataa kinafiki lkn tumeuelewa wenye akili
Yohana Zacharia nawewe unaakili?
Yohana Zacharia +wewe mie naona no number one. unahitaji kupelekwa mirembe.
Safiii
Huyu jamaa Mungu ambariki Sana kwa kuipigania nchi
Ndio rema wachane ujumbe ushafika
Kabisaa lema
Acha mambo ya ajabu spika ww kwann usiache aongee?
King
roma akiwaambia ukweli wabunge wetu mnatuangushaa anatekwaaa....
sasa mambo gani hayo...
watu wazima mnashindwa kukaa mkaelewana na kuskilizana.
Viva lema
tunahita watyu kama nyie 100 tyu wenye ujasiri na weledi wa kutosha ili tulikomboe taifa....Viva Lemaaa
Safi sana
Lema na zito kabwe ni ndugu pacha I love you all
Lisu aliwakomesha sasa zamu ya lema kuwaonyesha kazi
namkubali sana lema
Nakumic san rais wa Arusha
lema mungu akutie nguvu hao wangine Hawajui wafanyalo ni ndio tu kila kitu tunawasubiri kwa hamu-2020 wataungua tuuuuuuuu.
Yes this is what we need in our nation the truly guy like Mr. Lema is good even if most of the parliament are oppose him
Pelgrin Dominicus
Godblessings you lema mangu akulinde popote ulipo Godbless you lema
Waheshimiwa msicheke hilo swala ni muhimu sana raia sisi hatufurahii hata.
lema baba uchaguzi ujao waviongozi gombeya uwenyekiti taifa utawanyosha
Ww ni mwisho
👏👏👏Lema👏👏👏👏👏❤❤❤💙Lema💙💙💙Lema 💪💪💪 Lema👌👌👌👌
Jamila Ismail 👏🙏mbuge wanguuu
Wabunge wa upinzani nawakubali sana tena sana
Karibu mkuu
asante saaana LEMA
Mungu anawaona. Mlidhani mko makini kumbe hakuna lolote. Haya sasa
Wana macho hawaoni na wana masikio lakini hawasikii kabisa
Our pride Arusha tumekumisss sanaaaa mhe
Raisi Wa arusha
Good imepenya hyo wameipata
mbungeee wang uyo god+bless u
Kwer kabisa
Lema kama lema mbge wangu uyo
makamanda tusikate tamaa endeleen kulipigania taifa
lema BG ap
we simba cha wene kaa chini hauna maana
lema wape ukweli
Bila upinzani hakuna nchi
yani wabunge wa ccm nimuzingo mkubwa mno kasoro bashe tu anaye jitambua.
MANENO YAKO MARA NYINGI , YAMEUACHA MOYO WANGU NA TABASAM....!!
MUNGU AZIDI KUKUHEKIMISHA LEMA
Alfred Mmbaga sanaaaa kaka
Alfred Mmbaga nakuunga mkono kabisa Lema Hapa aliongea kiuongozi zaidi na alipiga picha ya mbali sana lazima sheria zilenge matakwa ya sasa na ya baadae sheria nyingi kwenye nchi zakiafrika zinalenga kulinda viongozi hao kwa muda wanapokuwa kwenye mamlaka kitu ambacho sio afya kwa ustawi wa Taifq
Big up sir kamanda
Kuwachokonoa kivipi tena ukweli unauma.
Big up
Big up ma brother
Pole Sana lema ccm aizidiwi kabisa ndugu yangu iyo niile ile
lema hatari
mnapigwa vita wazi wazi daah..Anakula dakika zako kukupinga
lemaa shikamoooooooooooooooooo
Asante mh.Lema
safi Lema cc tumewaelewa wanacho kifanya
Lema wewe ni mwamba wapo wabunge wachache Sana kwenye taifa hili wenye moyo Kama wako
Sura mbayaaaaaa! Kaoneeee
Lemaaa big brain master
Simba chaweneee sijui akili yako vip
wakati mwingine wapinzani wanaongeaga pointi Sijawahi kuikubali chochote cha lema ila kwa hii point "Sio kila Rais anayechaguliwa ni mzalendo kama MAGUFULI.............." Ni kweli kabisa hapo umeongea!
Ushauri: tungeni hizo sera bila chuki na msichanganye vyama na maisha ya wananchi wa tz. hii mambo ya taaarifa mweshimiwa au utaratibu mweshimiwa mimi ninadhani hazina maana yoyote!
sio kila wakati ni kila siku
Hukumueleea vzr ww lema ndo maana unalipuka
Ni mtoro ila Nabii wa ukweli..keep up Lema
ccm mzigo,lema yupo sawa kinga ya Rais iondolewe.
Lema uko vzr xn wachane hao ccm ukweli
akili kubwa
Lema wewe ndombunge naomba uruditena bungen wewe niraisi ajaye 2035
pilot kamnda lema nakukubali ad tunajivunia kuwa nambunge kama ww
Uwezo wa Lema ni mkubwa sanaaa
mtanzania mzalendo 🙌🙌