Godbless Lema VS Waziri Simbachawene bungeni leo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 апр 2017
  • April 6, 2017 mkutano wa saba wa bunge umeendelea ambapo wabunge walikuwa wakijadili mapitio ya mapato na matumizi ya fedha za ofisi ya Waziri mkuu na ofisi ya bunge kwa mwaka wa fedha 2017/2018
    Kati ya Wabunge waliopata nafasi ya kusimama ni pamoja na mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema

Комментарии • 679

  • @williamjosephat8800
    @williamjosephat8800 7 лет назад +3

    My. Lema Safi Sana kwa kazi kubwa uliofanya ikiwemo ya kutetea uhuru wa watanzania na haki za misingi za wananchi kwa upande wa selikari hongera mh. Ahsante Sana ndugu

  • @starlily07
    @starlily07 7 лет назад +8

    Lema umeongea mpaka mwili wangu unasisimka ...... omg, Mungu akutunze kaka angu Lema.

  • @hamisindoki9485
    @hamisindoki9485 7 лет назад +15

    Lema goja. niongezee, Dunia ni sawa na nyumba kubwa. yenye miwili tutaingilia mlango Mbele na kutokea mlango Nyuma hakuna wa kubaki katika hii dunia hata hau wanaotuma kamata Yule bila kosa mungu nae ana askari wake watakamatwa poleni sana wahanga wote

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 7 лет назад +22

    asante#kumbe leo baba Mwakasege alikuwa mjengoni#ashukuriwe Mungu#Lema kuna siku watakuelewa

    • @irenegoodlucky1974
      @irenegoodlucky1974 7 лет назад +1

      christina kaminsa baba hakuwa bungeni ila yupo huko dodoma kwa semina na anamaliza kesho dia

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 7 лет назад +1

      najua yupo ddoma kwenye semina!#najua ratiba yote# siongelei hilo, naongelea kwenda bungeni kuomba na wabunge baadhi!
      hata lema kaongea hapo msikilize,kuna sehemu anasema walikuwa wanaomba na mwakasege

    • @husseinnyomi6120
      @husseinnyomi6120 4 года назад

      Hivi kwa nn wabunge Wa ccm hawakuwelewi mbona

  • @allyngoda761
    @allyngoda761 4 года назад +43

    KWAKWELI BEST SPEECH IN 2019, NI HII YA LEMA HIVI NAJIULIZA WATANZANIA HAMUMSIKII HUYU JAMAA ANAVYOONGEA? KWANI MMEROGWA NA NANI?

  • @janjarovicent2055
    @janjarovicent2055 7 лет назад +17

    Sitakuja kusahau maneno ya lema. Dah I get painful when I hear this speech. 4rever and ever be blessed by sir God lema

  • @edsonsign9441
    @edsonsign9441 7 лет назад +7

    tunataka wabunge wanaozungumzia taifa kama lema! leo kaongelea uzalendo cyo uvyama nadhani ameshauona upuuzi unaofanywa humo bungeni. ni kweli siasa za uvyama hazitusaidii bungeni. bg up lema.

  • @saulomathayo
    @saulomathayo 7 лет назад +7

    Very fantastic speech, I love it. May God bless you Lema.

  • @pastorbonnyphillip8945
    @pastorbonnyphillip8945 4 года назад +2

    Wow... hii mechi nimeipenda sana... bible debate

  • @emmanueljuvieh4316
    @emmanueljuvieh4316 7 лет назад +6

    kwa mtanzania mwenye akili timamu na anaejielewa nadhani kapata kitu ila matahira hawakosekani nimesema tyu neno langu sio sheria bt big upmh.Lema

  • @joycemichaellovelove2221
    @joycemichaellovelove2221 7 лет назад +5

    duuuuuh Mungu akubarik sanaaaa, akutie nguvu na akuongezee ujasir zaid na zaid Amin

  • @geofbeka1669
    @geofbeka1669 7 лет назад +20

    Hii speech inapaswa kuwekwa kama kumbukumbu ya bunge! ahsante Lema..

  • @emillyvedastus1972
    @emillyvedastus1972 7 лет назад +103

    Mungu akubariki Lema kwa hekima zako. naamini watawala hawakuelewi sababu we ni mpinzani

    • @emmatarimo2815
      @emmatarimo2815 7 лет назад +1

      Emiliano Vedasto hekima zake na aanze kuzitumia kwanza kwa kushughulikia kero za wapiga kura wake badala ya kuhubiri kama nabii

    • @csato9415
      @csato9415 7 лет назад +7

      Mpendwa wangu @Emiliano Vedasto, hivi ni mbunge yupi katika bunge letu ametimiza kero za wapiga kura wake? bunge letu linaumizwa na siasa ambazo hazina tija ktk kuendeleza taifa letu.

    • @amanimfaume7027
      @amanimfaume7027 7 лет назад +5

      +Emma Tarimo njoo arusha uone acha kuongea km unakipande cha nyama

    • @rashidisaidi9102
      @rashidisaidi9102 7 лет назад +2

      Mikumi peke yake wanafaidi matunda ya mbunge wao J

    • @ayubuuomaary4689
      @ayubuuomaary4689 5 лет назад

      Emiliano Vedasto vbaya San mamuzi magumu mungu yupo

  • @janetcharles4991
    @janetcharles4991 7 лет назад +7

    lema nakupenda bureeeeeeeeeeeeeeeeee

  • @happinessmwanga3633
    @happinessmwanga3633 7 лет назад +5

    Nakushukuru Mungu wangu Kwa ajili ya Godbless. Lema mpandishe utukufu mpaka utukufu

  • @jacobpatrick7936
    @jacobpatrick7936 3 года назад +1

    Daah mlifanya kazi yenu vizur mmemaliza pumzikeni waachieni waongoze peke yao

  • @jimmysalag9820
    @jimmysalag9820 5 лет назад +2

    Mhe lema Nena ukwel Mungu akusaidie Sana ktk hatua unayopita

  • @kijanaHai
    @kijanaHai 7 лет назад +28

    Kuna speech nikisiliza huwa zinasisimua mwili wangu na akili uchanganua yaliyomo alafu naishia kusema nashukuru Mungu kwa chakula ulichonilisha leo.

  • @monicasamba2557
    @monicasamba2557 7 лет назад +16

    kweli kabisa mh.Lema, watu hatuandamani barabarani lakini mioyoni mwetu tuna kuna moto unawaka, tunajeruhiwa sanaaaa

  • @angelinasimchimba705
    @angelinasimchimba705 4 года назад +5

    Mim ni ccm lakn huyu Lema hua wakat mwingne anaongea point sana@

  • @mottofoundationinc.3492
    @mottofoundationinc.3492 7 лет назад +49

    Only smart brain will understand this talented guy...

  • @godhelplatia3044
    @godhelplatia3044 4 года назад +1

    Amina Mtumishi Lema Mungu akubariki Sana

  • @cosmaswilliam3805
    @cosmaswilliam3805 2 года назад +1

    Naipendaga chadema sanaaaa.

  • @feisalissa3009
    @feisalissa3009 4 года назад +9

    Lema juu sana 💯👍 👍

  • @jeviounipers
    @jeviounipers 7 лет назад +5

    Duh, mpaka nimepata hasira.....well said Lema

  • @eliasmshabaha1509
    @eliasmshabaha1509 6 лет назад +4

    one of the best speech only smart brain will understand it God bless you Lema

  • @elishaalex6695
    @elishaalex6695 7 лет назад +37

    Baba lema @....hata Yohana aliacha uoga na kuthubutu kumwambia Mfalime ametenda thambi kumtwaa mke wa mdogo wake ...Uoga ni thambii

  • @janjarovicent2055
    @janjarovicent2055 7 лет назад +2

    Chin ya jua acha tunyanyasike lakn wote tutakufa.dunian hakun mungu mtu wa kumwabudu kwa kuogopa udikteta hakika lema mwanasiasa na mcha mungu ntakukumbuka sana lema hakika nmejeruhiwa moyon mwang mungu shahidi magufuli na serikali yake have to take ages

  • @ngometvarusha4030
    @ngometvarusha4030 7 лет назад +62

    Aisee pamoja na ushabiki wa kivyama lakin lema kuongea mpaka nimesikia kusisimuka kuna mtu anaongea point kweli

    • @monicasamba2557
      @monicasamba2557 7 лет назад +3

      Joel Joel kesoy me mwenyewe nna ule ushabiki wa vyama but leo nimeguswa

    • @shadrackmnjelu5285
      @shadrackmnjelu5285 7 лет назад +3

      Joel Joel kesoy uyuuuuuuu noooumaaa jamaaa

    • @ngometvarusha4030
      @ngometvarusha4030 7 лет назад +13

      +Monica Samba umeona Monica samba huo ndio ukweli na tujifunze siku zote kusema kweli

    • @ngometvarusha4030
      @ngometvarusha4030 7 лет назад +10

      +SHADRACK MNJELU yaan huyu jamaa ana kitu ambacho inahitajika

    • @elizabethmkali5782
      @elizabethmkali5782 5 лет назад

      Umesema kweli

  • @modesttryphone4030
    @modesttryphone4030 4 года назад +1

    Barikiwa saanaa Lema kuwakumbusha wabunge kwamba kesho INAKUJA na moto wa Jehenamu unatusubiri tusipoacha utahira kiroho

  • @drex81
    @drex81 6 лет назад +6

    Simbachawene Jana umepata majibu ya unyenyekevu, hongera sana

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 4 года назад +9

    Fact Fact Fact Fact, mimi ni Ccm nisie na kadi ya chama ila huyu mwamba leo kaongea Fact tupu aisee

  • @priscaoscar9263
    @priscaoscar9263 4 года назад +2

    Aisee Lema kaongea Sana kwa kupitia neno Amen

  • @suzyjohn6791
    @suzyjohn6791 4 года назад +5

    mungu akubariki akutie nguvu akupe hekima ya kunena mazuri kila ihitwayo leo

  • @richardjames8615
    @richardjames8615 7 лет назад +4

    lema uko vizuri hawaelew mpaka waende jela.....povu hilo ni la wote...nakupenda mpaka kesho......

  • @hanskalitus5583
    @hanskalitus5583 4 года назад +3

    Lema nakukubari Sana brother

  • @upendomasai331
    @upendomasai331 3 года назад +1

    Jaman lema natamani ungeendelea kuwepo bungeni miaka yote

  • @yusuphmruma1771
    @yusuphmruma1771 4 года назад +12

    asante Kaka sema ukweli utalipwa na mungu anakupenda kwaajili ya uwo ukweli wako

  • @angelatarimo6900
    @angelatarimo6900 4 года назад +1

    Lema Mungu atakulinda tetea haki tetea haki Mh tunakuelewa kabisa mbunge wetu big up sana

  • @preciousdoreen9225
    @preciousdoreen9225 7 лет назад +9

    aaaaah umenikosha mheshimiwa uuwiiiiiii..baba hyo miatar shkamoo babaa

  • @SarahLibogomalove
    @SarahLibogomalove 7 лет назад +2

    Inackitisha Sana..... Bunge halijitambui lina nguvu kiasi gani, laiti wangeweka interest za wananchi wao mbele I bet kuwa bunge letu lingekuwa na tija Sana kwa taifa!!
    Thanks Hon. Godbless!!!!

  • @tumainimkane2710
    @tumainimkane2710 7 лет назад +2

    daaaa nimesikitika sana Mungu akusaidie my. lema akuinue zaidi

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 7 лет назад +1

    halleluya#glory be to God#itafahamika tu#Mungu yupo na anajibu#Mungu akubariki na akusaidie#💪💪👊👊Lema#safi

  • @hassankayla4076
    @hassankayla4076 7 лет назад +8

    Nice speech #LEMA be blessed. Thanks AYOTV

  • @starchincho3667
    @starchincho3667 7 лет назад +3

    mueshimiwa lema tukiwapata watu kama ww mia mbili ii nchi ingekuwa tajiri cna wala tucnge angaika ivi mungu akutangulie cna

  • @ceciliajimmy5652
    @ceciliajimmy5652 5 лет назад +1

    Mwenye masikio na asikie. Upendeleo huleta matata!! Ccm bila upinzani, nchi imekwisha. Yaani watu hawana jeshi, wanalindwa na Mungu, hawana silaha, silaha yao ukweli mtupu kupitia ndimi zao. Hakika hakuna jiwe litakalosalia juu ya jingine!!

  • @victorlutrac3667
    @victorlutrac3667 5 лет назад +3

    Daaaaah Lema mungu akuzdishie miaka

  • @musawambura1229
    @musawambura1229 4 года назад +6

    Big up sana lema leo nimekuelewa

  • @stanlecioussimba5404
    @stanlecioussimba5404 7 лет назад +24

    Nimeipenda hiyo mweshimiwa Lema

  • @mastermwakyembe1093
    @mastermwakyembe1093 4 года назад +2

    Sawa kabisa Lema unastahili pongezi

  • @Purity493
    @Purity493 7 лет назад +41

    safi sana, walishe neno la MUNGU, may God bless you Lema

    • @hishamally4846
      @hishamally4846 6 лет назад

      Upo vizuri mkuu

    • @raphaelrichard2392
      @raphaelrichard2392 5 лет назад

      Yaani hili bunge linahitaji maombi na si vinginevyo.

    • @franciskimario1887
      @franciskimario1887 4 года назад

      Lema baba yangu sema tena waseme maana daaa lisu ameniuma sana ungekuwa nae hapo bungeni pange, kuwa patam,san,mungu aibariki,Tanzania, mungu,awalinde,wabunge,wa,,chadema,,,,tena,sana,

    • @drhanda8201
      @drhanda8201 4 года назад

      Baba kunywa maji bill kwangu

    • @machintangachibwena5922
      @machintangachibwena5922 4 года назад

      Hana lolote huyo mbona azungumziii kuhusu Mashehe walio wekwa ndani kwa kesi za ugaidi

  • @ramadhanikakoree3728
    @ramadhanikakoree3728 5 лет назад +1

    Daaaahhh ewe m/mungu mpe LEMA maisha marefu namtangulie kwenye harakati hizi kwn amesema ukweli mtupu

  • @chazdenis7820
    @chazdenis7820 7 лет назад +12

    mungu akubariki sana unachonena n sahihi kabsa leo watu wameendamana ndan ya mioyo yao ila ipo siku wataingia barabarani

  • @visualservices8897
    @visualservices8897 7 лет назад +2

    Thanks lema ila ni kweli tunaandamana miyooni mwetu na tupo wengi maneno kuntu sana nathani Mungu shahidi natamani kuyafanya maneno haya ring tone yangu ya simu si kwa uchungu naosikia

  • @edwinboaz2628
    @edwinboaz2628 3 года назад +2

    Jembe letu chuga Mungu akulinde mno

  • @nyamweririchard4015
    @nyamweririchard4015 7 лет назад +15

    duuu,,,umeongea point sana godbless lema,umeongea maneno yanayoendana na jina lako kweli wazazi wako hawakukosea kukuita ''mungu mbaliki lema",,pia jamani tuache ushabiki wa vyama,tupime mawazo na uwezo wa kiongozi kabla ya kuuliza anatoka chama gani.Tanzania ni ya watanzania wote sio ya mtu m1

    • @alexsamaluku4104
      @alexsamaluku4104 4 года назад

      lema unajua kaka mungu azidi kukuongoza katika kusimamia haki.hakika ww ni nguzo imara kwa ustawi wa taifa hili

    • @nicholasakeya6790
      @nicholasakeya6790 3 года назад

      Kabisaa ukweli

  • @TGN2
    @TGN2 7 лет назад +2

    Mr lema u are one of a kind yani nakupenda tu bure 😍😍

  • @a.j9964
    @a.j9964 7 лет назад +17

    Well speaking lema daah!!!!... Free Ben saa nane

  • @ericklibaba1198
    @ericklibaba1198 5 лет назад +2

    Kuna watu wanaakili nchi hii... Nakuelewa Lema

  • @MOJAZAIDI.
    @MOJAZAIDI. 7 лет назад +33

    Godbless Lema. huyu jamaa anajambo la msingi sana ila hasikilizwi....lakini kwenye mambo ya msingi tuache uchama...kibaya alichosema Lema ni kipi?Tanzania kwanza.

    • @stelasasala5972
      @stelasasala5972 7 лет назад +3

      Kwel kbs ndugu yangu

    • @MOJAZAIDI.
      @MOJAZAIDI. 7 лет назад +3

      uvyama unachukua nafasi kuliko maslahi ya taifa....taifa halifutiki ila vyama muda wowote vinapotea..ndio maana sisi ni wana ukawa kutokea Tanzania ndiomana sisi ni wana ccm kutokea Tanzania..so TZTZTZTZ...HAIFUTIKI...Mwenye sikio asikie...siku moja ya Lema yanawezakujitokeza.

    • @elianifaaluka4790
      @elianifaaluka4790 3 года назад

      Sio unyenyekevu wa kukubali ujinga

    • @nicholasakeya6790
      @nicholasakeya6790 11 месяцев назад +1

      Wish ningekuwa lema

  • @nicholasakeya6790
    @nicholasakeya6790 3 года назад +5

    the best ever speech I have ever had

  • @titomsami4737
    @titomsami4737 7 лет назад +1

    mheshimiwa Lema .hongera kwa ujasiri wa kuongea ukweli najua kuna watu wanajifanya wanaupinga ukweli wako ila mungu atatenda kenye kweli hiyo hiyo.

  • @amoskijangwa936
    @amoskijangwa936 4 года назад +2

    Mungu akutie nguvu lema

  • @lucasjackson3019
    @lucasjackson3019 7 лет назад +16

    God bless you brother

  • @happynessshayo6003
    @happynessshayo6003 7 лет назад +6

    big up sana mheshimiwa lema umenena hadi machozi yamenitoka kweli hii nchi inakoelekea Mungu ndie anajua

    • @AronMkumbwa-wl1ee
      @AronMkumbwa-wl1ee 8 месяцев назад

      Kweli Lema ulitabiri leo ndugai chali walinaliza upinzani Waka hamia upande wa pili

  • @babujinga5819
    @babujinga5819 4 года назад +2

    Ni kweli siasa zimejaa bungeni...lema unasema ukweli..bunge limejaa siasa ya ccm..ipo cku mungu atahukumu haki

  • @talangepaul5583
    @talangepaul5583 7 лет назад +6

    lema unaongea point sana kaks yungelikuwa na wabunge wa fisiem 20 kama wwe nchi hii ingependeza sana

  • @itazowanzagi5721
    @itazowanzagi5721 4 года назад +4

    Kati ya speech nazo zikubali ni zahuyu jamaa mungu amsaidie

  • @kijanaHai
    @kijanaHai 7 лет назад +8

    Alafu kuna speech nikizioma na kuzisikiliza mwili unakufa ganzi akili uchanganyikiwa na woga uniingia na mwisho nasema ee Mungu naomba kikombe hiki kiniepuke ........Leo nimeona maneno yanayopaswa kuongea na #KIJANA_HAI ambaye anapenda Taifa na watu wake hongera kijana #HAI LEMA endelea ulipoishia

    • @kimarojoji5340
      @kimarojoji5340 5 лет назад

      Lema umeongea kwa hisia mimi wa darasa la saba nime kuelewa vizuri sana hao watawala wenye visomo sijui wakuelewaje ila tuzidi kumuomba mungu huku tuki utafuta utakatifu kwa bidii mungu akudumishe uzidi kuwasemea wananchi kwa jina la yesu amina.

  • @damianmachilutv1167
    @damianmachilutv1167 4 года назад +17

    Lema upo vizuri sana,,

  • @petermatonya1455
    @petermatonya1455 4 года назад +5

    Hakika upo vizur broo Lema

  • @abelmachunda9494
    @abelmachunda9494 7 лет назад +4

    Aminaaaa...!!! Lema live long

  • @neemayo4693
    @neemayo4693 3 года назад +1

    Amina mungu shughulika

  • @emmanuelaggery6877
    @emmanuelaggery6877 7 лет назад +13

    lema is so deep kwene maandiko aisee, majbu mazuri sana kwa simbachawene

  • @delekalxon7221
    @delekalxon7221 Год назад +1

    This video never get old .Lema🙌🙌

  • @godhelplatia3044
    @godhelplatia3044 4 года назад +1

    Mheshimiwa Lema Barikiwa Sana Hakika upo vizuri

  • @jacobpatrick7936
    @jacobpatrick7936 3 года назад +3

    Best speech ever

  • @bahatidan4751
    @bahatidan4751 7 лет назад +6

    preach brother Mh Lema

  • @yusufukazamba2391
    @yusufukazamba2391 5 лет назад +1

    Lema nakukubali unathibitisha maneno yako kwa maandiko Mungu akubariki sana sana

  • @hoseakaponya5070
    @hoseakaponya5070 4 года назад +5

    Lema! We ni nabii wa ukweli hakika maneno yako hayatapita bila jiwe kunena

    • @nicholasakeya6790
      @nicholasakeya6790 Год назад +1

      Kila neno unalolitamka kwani imani lazima litatimia kaka lema yuna imani thabiti

  • @stelasasala5972
    @stelasasala5972 7 лет назад +3

    Arusha pls Lema ni bonge la kiongozi. Anasema ukwel kwa mambo alopitia angekuwa mwingine angekaa kimya. Lakn huyu yupo kwaajili ya kutetea wanchi

  • @michaeljohn690
    @michaeljohn690 7 лет назад +4

    Mungu atakuvusha kwenye bonde la uvuli wa mauti kiongozi wangu.

  • @annethdominic3403
    @annethdominic3403 7 лет назад +4

    Hongera mh kwa kuongea vizuri MUNGU awe pamoja nawe

  • @talangepaul5583
    @talangepaul5583 7 лет назад +3

    lema wewe ni mtu wa mungu hakika niko geita ila nakukubali sana

  • @suysoni
    @suysoni 7 лет назад +3

    Well Said Lema. Umeongea kwa hekima sanaaa. Hope watakusikia tu one day.

  • @rajabuabdallah3840
    @rajabuabdallah3840 7 лет назад +18

    EEEE HPO IMEWAKAA AKLINI HTA WAKIGOMA KIMWLI KIAKILI Y IMEWAKAA TNKUOMBE MR LMA

  • @happinessmwanga3633
    @happinessmwanga3633 7 лет назад +1

    mh. Lema Mungu ae ndelee kukutunza maana kuna. maono ndani yako

  • @georgeavelin815
    @georgeavelin815 7 лет назад +3

    Lema big up up up broh

  • @boniphacejonas4109
    @boniphacejonas4109 4 года назад +1

    Lema uko stronger sana kwenye kutoa point hongera sana

  • @Imapolite
    @Imapolite 5 лет назад +2

    Ahsante lema Mungu akubariki

  • @tracyjustice1600
    @tracyjustice1600 7 лет назад +3

    Mh.Lema umeongea point, Tanzania imeanza kupoteza nuru ya Amani, watu wantekwa amna anayefuatilia # bring back Roma wetu

  • @thomsmollel3076
    @thomsmollel3076 4 года назад +2

    Lema mungu akubariki xana

  • @esterkinyaiya1562
    @esterkinyaiya1562 7 лет назад +1

    mh.lema Munguu akuonekanie popote na ukweliii useme cku zote...pendaaa sana Mh. lema Golbless you broo

  • @niwaelibanda7465
    @niwaelibanda7465 7 лет назад +1

    kwelu kabisa my Lema ukovzi sana

  • @barick
    @barick 7 лет назад +3

    Noma noma Sana .mungu tufanyie wepesi

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 4 года назад +1

    Lema, Mkali wao. Safi sana.

  • @woltabenadi2184
    @woltabenadi2184 5 лет назад +1

    Nakukubali lema unajuwa ongea watanza niatupone

  • @ericksimon202
    @ericksimon202 4 года назад +1

    Safi sana lema mungu akusaidie sanaaaaa

  • @mickysunday2494
    @mickysunday2494 7 лет назад +2

    Roma ndo hvyo hatukonae wala hautackia amepatkana watakaa kmya mwsho wa cku wanatuma FBI. Nakumbuka maneno ya roma kwamba hii ndo Tanzania nchi yenye udongo wenye dhambi nakupenda sana kaka najua hurudsha kadi ya chama kama nakaaya wema hufa mapema

  • @tajivicchiuja2143
    @tajivicchiuja2143 4 года назад +6

    Mtaacha watu waokoke!!!😀😀😀