Godbless Lema VS Waziri Simbachawene bungeni leo
HTML-код
- Опубликовано: 5 апр 2017
- April 6, 2017 mkutano wa saba wa bunge umeendelea ambapo wabunge walikuwa wakijadili mapitio ya mapato na matumizi ya fedha za ofisi ya Waziri mkuu na ofisi ya bunge kwa mwaka wa fedha 2017/2018
Kati ya Wabunge waliopata nafasi ya kusimama ni pamoja na mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema
My. Lema Safi Sana kwa kazi kubwa uliofanya ikiwemo ya kutetea uhuru wa watanzania na haki za misingi za wananchi kwa upande wa selikari hongera mh. Ahsante Sana ndugu
Lema umeongea mpaka mwili wangu unasisimka ...... omg, Mungu akutunze kaka angu Lema.
Lema goja. niongezee, Dunia ni sawa na nyumba kubwa. yenye miwili tutaingilia mlango Mbele na kutokea mlango Nyuma hakuna wa kubaki katika hii dunia hata hau wanaotuma kamata Yule bila kosa mungu nae ana askari wake watakamatwa poleni sana wahanga wote
Kabisaa
asante#kumbe leo baba Mwakasege alikuwa mjengoni#ashukuriwe Mungu#Lema kuna siku watakuelewa
christina kaminsa baba hakuwa bungeni ila yupo huko dodoma kwa semina na anamaliza kesho dia
najua yupo ddoma kwenye semina!#najua ratiba yote# siongelei hilo, naongelea kwenda bungeni kuomba na wabunge baadhi!
hata lema kaongea hapo msikilize,kuna sehemu anasema walikuwa wanaomba na mwakasege
Hivi kwa nn wabunge Wa ccm hawakuwelewi mbona
KWAKWELI BEST SPEECH IN 2019, NI HII YA LEMA HIVI NAJIULIZA WATANZANIA HAMUMSIKII HUYU JAMAA ANAVYOONGEA? KWANI MMEROGWA NA NANI?
Nashindwa nani kawaroga
Waulize tena kakangu
Hata mimi najiuliza leo😅
Sitakuja kusahau maneno ya lema. Dah I get painful when I hear this speech. 4rever and ever be blessed by sir God lema
tunataka wabunge wanaozungumzia taifa kama lema! leo kaongelea uzalendo cyo uvyama nadhani ameshauona upuuzi unaofanywa humo bungeni. ni kweli siasa za uvyama hazitusaidii bungeni. bg up lema.
Very fantastic speech, I love it. May God bless you Lema.
Wow... hii mechi nimeipenda sana... bible debate
kwa mtanzania mwenye akili timamu na anaejielewa nadhani kapata kitu ila matahira hawakosekani nimesema tyu neno langu sio sheria bt big upmh.Lema
duuuuuh Mungu akubarik sanaaaa, akutie nguvu na akuongezee ujasir zaid na zaid Amin
Hii speech inapaswa kuwekwa kama kumbukumbu ya bunge! ahsante Lema..
kumbu kumbuka peleka kwa wazaz wako
Mungu akubariki Lema kwa hekima zako. naamini watawala hawakuelewi sababu we ni mpinzani
Emiliano Vedasto hekima zake na aanze kuzitumia kwanza kwa kushughulikia kero za wapiga kura wake badala ya kuhubiri kama nabii
Mpendwa wangu @Emiliano Vedasto, hivi ni mbunge yupi katika bunge letu ametimiza kero za wapiga kura wake? bunge letu linaumizwa na siasa ambazo hazina tija ktk kuendeleza taifa letu.
+Emma Tarimo njoo arusha uone acha kuongea km unakipande cha nyama
Mikumi peke yake wanafaidi matunda ya mbunge wao J
Emiliano Vedasto vbaya San mamuzi magumu mungu yupo
lema nakupenda bureeeeeeeeeeeeeeeeee
Nakushukuru Mungu wangu Kwa ajili ya Godbless. Lema mpandishe utukufu mpaka utukufu
Kabisaa
Daah mlifanya kazi yenu vizur mmemaliza pumzikeni waachieni waongoze peke yao
Mhe lema Nena ukwel Mungu akusaidie Sana ktk hatua unayopita
Kuna speech nikisiliza huwa zinasisimua mwili wangu na akili uchanganua yaliyomo alafu naishia kusema nashukuru Mungu kwa chakula ulichonilisha leo.
kweli kabisa mh.Lema, watu hatuandamani barabarani lakini mioyoni mwetu tuna kuna moto unawaka, tunajeruhiwa sanaaaa
Ndio ukweli job ndugai
Mim ni ccm lakn huyu Lema hua wakat mwingne anaongea point sana@
Only smart brain will understand this talented guy...
Simbachawene yupo kweli
Amina lema
Very well said.
true
only
Amina Mtumishi Lema Mungu akubariki Sana
Naipendaga chadema sanaaaa.
Lema juu sana 💯👍 👍
Duh, mpaka nimepata hasira.....well said Lema
one of the best speech only smart brain will understand it God bless you Lema
Baba lema @....hata Yohana aliacha uoga na kuthubutu kumwambia Mfalime ametenda thambi kumtwaa mke wa mdogo wake ...Uoga ni thambii
Nice thinking 😢
Chin ya jua acha tunyanyasike lakn wote tutakufa.dunian hakun mungu mtu wa kumwabudu kwa kuogopa udikteta hakika lema mwanasiasa na mcha mungu ntakukumbuka sana lema hakika nmejeruhiwa moyon mwang mungu shahidi magufuli na serikali yake have to take ages
Aisee pamoja na ushabiki wa kivyama lakin lema kuongea mpaka nimesikia kusisimuka kuna mtu anaongea point kweli
Joel Joel kesoy me mwenyewe nna ule ushabiki wa vyama but leo nimeguswa
Joel Joel kesoy uyuuuuuuu noooumaaa jamaaa
+Monica Samba umeona Monica samba huo ndio ukweli na tujifunze siku zote kusema kweli
+SHADRACK MNJELU yaan huyu jamaa ana kitu ambacho inahitajika
Umesema kweli
Barikiwa saanaa Lema kuwakumbusha wabunge kwamba kesho INAKUJA na moto wa Jehenamu unatusubiri tusipoacha utahira kiroho
Simbachawene Jana umepata majibu ya unyenyekevu, hongera sana
Fact Fact Fact Fact, mimi ni Ccm nisie na kadi ya chama ila huyu mwamba leo kaongea Fact tupu aisee
Aisee Lema kaongea Sana kwa kupitia neno Amen
mungu akubariki akutie nguvu akupe hekima ya kunena mazuri kila ihitwayo leo
lema uko vizuri hawaelew mpaka waende jela.....povu hilo ni la wote...nakupenda mpaka kesho......
Lema nakukubari Sana brother
Jaman lema natamani ungeendelea kuwepo bungeni miaka yote
asante Kaka sema ukweli utalipwa na mungu anakupenda kwaajili ya uwo ukweli wako
Hukoseagi kk mkubwa huwa nakuwelewa sana KK mungu akulinde kila ukanyagapo
Mtupu
Lema Mungu atakulinda tetea haki tetea haki Mh tunakuelewa kabisa mbunge wetu big up sana
aaaaah umenikosha mheshimiwa uuwiiiiiii..baba hyo miatar shkamoo babaa
Inackitisha Sana..... Bunge halijitambui lina nguvu kiasi gani, laiti wangeweka interest za wananchi wao mbele I bet kuwa bunge letu lingekuwa na tija Sana kwa taifa!!
Thanks Hon. Godbless!!!!
daaaa nimesikitika sana Mungu akusaidie my. lema akuinue zaidi
halleluya#glory be to God#itafahamika tu#Mungu yupo na anajibu#Mungu akubariki na akusaidie#💪💪👊👊Lema#safi
Nice speech #LEMA be blessed. Thanks AYOTV
mueshimiwa lema tukiwapata watu kama ww mia mbili ii nchi ingekuwa tajiri cna wala tucnge angaika ivi mungu akutangulie cna
Mwenye masikio na asikie. Upendeleo huleta matata!! Ccm bila upinzani, nchi imekwisha. Yaani watu hawana jeshi, wanalindwa na Mungu, hawana silaha, silaha yao ukweli mtupu kupitia ndimi zao. Hakika hakuna jiwe litakalosalia juu ya jingine!!
Daaaaah Lema mungu akuzdishie miaka
Big up sana lema leo nimekuelewa
Nimeipenda hiyo mweshimiwa Lema
Sawa kabisa Lema unastahili pongezi
safi sana, walishe neno la MUNGU, may God bless you Lema
Upo vizuri mkuu
Yaani hili bunge linahitaji maombi na si vinginevyo.
Lema baba yangu sema tena waseme maana daaa lisu ameniuma sana ungekuwa nae hapo bungeni pange, kuwa patam,san,mungu aibariki,Tanzania, mungu,awalinde,wabunge,wa,,chadema,,,,tena,sana,
Baba kunywa maji bill kwangu
Hana lolote huyo mbona azungumziii kuhusu Mashehe walio wekwa ndani kwa kesi za ugaidi
Daaaahhh ewe m/mungu mpe LEMA maisha marefu namtangulie kwenye harakati hizi kwn amesema ukweli mtupu
mungu akubariki sana unachonena n sahihi kabsa leo watu wameendamana ndan ya mioyo yao ila ipo siku wataingia barabarani
chaz denis in
Thanks lema ila ni kweli tunaandamana miyooni mwetu na tupo wengi maneno kuntu sana nathani Mungu shahidi natamani kuyafanya maneno haya ring tone yangu ya simu si kwa uchungu naosikia
Jembe letu chuga Mungu akulinde mno
duuu,,,umeongea point sana godbless lema,umeongea maneno yanayoendana na jina lako kweli wazazi wako hawakukosea kukuita ''mungu mbaliki lema",,pia jamani tuache ushabiki wa vyama,tupime mawazo na uwezo wa kiongozi kabla ya kuuliza anatoka chama gani.Tanzania ni ya watanzania wote sio ya mtu m1
lema unajua kaka mungu azidi kukuongoza katika kusimamia haki.hakika ww ni nguzo imara kwa ustawi wa taifa hili
Kabisaa ukweli
Mr lema u are one of a kind yani nakupenda tu bure 😍😍
Well speaking lema daah!!!!... Free Ben saa nane
Kuna watu wanaakili nchi hii... Nakuelewa Lema
Godbless Lema. huyu jamaa anajambo la msingi sana ila hasikilizwi....lakini kwenye mambo ya msingi tuache uchama...kibaya alichosema Lema ni kipi?Tanzania kwanza.
Kwel kbs ndugu yangu
uvyama unachukua nafasi kuliko maslahi ya taifa....taifa halifutiki ila vyama muda wowote vinapotea..ndio maana sisi ni wana ukawa kutokea Tanzania ndiomana sisi ni wana ccm kutokea Tanzania..so TZTZTZTZ...HAIFUTIKI...Mwenye sikio asikie...siku moja ya Lema yanawezakujitokeza.
Sio unyenyekevu wa kukubali ujinga
Wish ningekuwa lema
the best ever speech I have ever had
mheshimiwa Lema .hongera kwa ujasiri wa kuongea ukweli najua kuna watu wanajifanya wanaupinga ukweli wako ila mungu atatenda kenye kweli hiyo hiyo.
like this guy
Mungu akutie nguvu lema
God bless you brother
big up sana mheshimiwa lema umenena hadi machozi yamenitoka kweli hii nchi inakoelekea Mungu ndie anajua
Kweli Lema ulitabiri leo ndugai chali walinaliza upinzani Waka hamia upande wa pili
Ni kweli siasa zimejaa bungeni...lema unasema ukweli..bunge limejaa siasa ya ccm..ipo cku mungu atahukumu haki
lema unaongea point sana kaks yungelikuwa na wabunge wa fisiem 20 kama wwe nchi hii ingependeza sana
Kati ya speech nazo zikubali ni zahuyu jamaa mungu amsaidie
Huyu mwamba anaakili za pekee yani
Alafu kuna speech nikizioma na kuzisikiliza mwili unakufa ganzi akili uchanganyikiwa na woga uniingia na mwisho nasema ee Mungu naomba kikombe hiki kiniepuke ........Leo nimeona maneno yanayopaswa kuongea na #KIJANA_HAI ambaye anapenda Taifa na watu wake hongera kijana #HAI LEMA endelea ulipoishia
Lema umeongea kwa hisia mimi wa darasa la saba nime kuelewa vizuri sana hao watawala wenye visomo sijui wakuelewaje ila tuzidi kumuomba mungu huku tuki utafuta utakatifu kwa bidii mungu akudumishe uzidi kuwasemea wananchi kwa jina la yesu amina.
Lema upo vizuri sana,,
Hakika upo vizur broo Lema
Aminaaaa...!!! Lema live long
Amina mungu shughulika
lema is so deep kwene maandiko aisee, majbu mazuri sana kwa simbachawene
Mungu Mungu
tena majibu ya fasta
Kuna siku watajua kaka lema
This video never get old .Lema🙌🙌
Mheshimiwa Lema Barikiwa Sana Hakika upo vizuri
Best speech ever
preach brother Mh Lema
Lema nakukubali unathibitisha maneno yako kwa maandiko Mungu akubariki sana sana
Lema! We ni nabii wa ukweli hakika maneno yako hayatapita bila jiwe kunena
Kila neno unalolitamka kwani imani lazima litatimia kaka lema yuna imani thabiti
Arusha pls Lema ni bonge la kiongozi. Anasema ukwel kwa mambo alopitia angekuwa mwingine angekaa kimya. Lakn huyu yupo kwaajili ya kutetea wanchi
Mungu atakuvusha kwenye bonde la uvuli wa mauti kiongozi wangu.
Hongera mh kwa kuongea vizuri MUNGU awe pamoja nawe
lema wewe ni mtu wa mungu hakika niko geita ila nakukubali sana
Well Said Lema. Umeongea kwa hekima sanaaa. Hope watakusikia tu one day.
Kabisaa bila shaka
EEEE HPO IMEWAKAA AKLINI HTA WAKIGOMA KIMWLI KIAKILI Y IMEWAKAA TNKUOMBE MR LMA
mh. Lema Mungu ae ndelee kukutunza maana kuna. maono ndani yako
Lema big up up up broh
Lema uko stronger sana kwenye kutoa point hongera sana
Ahsante lema Mungu akubariki
Mh.Lema umeongea point, Tanzania imeanza kupoteza nuru ya Amani, watu wantekwa amna anayefuatilia # bring back Roma wetu
Lema mungu akubariki xana
mh.lema Munguu akuonekanie popote na ukweliii useme cku zote...pendaaa sana Mh. lema Golbless you broo
kwelu kabisa my Lema ukovzi sana
Noma noma Sana .mungu tufanyie wepesi
Lema, Mkali wao. Safi sana.
Nakukubali lema unajuwa ongea watanza niatupone
Safi sana lema mungu akusaidie sanaaaaa
Roma ndo hvyo hatukonae wala hautackia amepatkana watakaa kmya mwsho wa cku wanatuma FBI. Nakumbuka maneno ya roma kwamba hii ndo Tanzania nchi yenye udongo wenye dhambi nakupenda sana kaka najua hurudsha kadi ya chama kama nakaaya wema hufa mapema
Mtaacha watu waokoke!!!😀😀😀