BUNGENI: Waziri Mkuu, Mbowe na Dr. Tulia kuhusu kauli ya Rais Magufuli

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • February 2 2017 mkutano wa sita wa bunge umeendelea tena Dodoma na katika kipindi cha maswali na majibu ya moja kwa moja kwa Waziri mkuu moja kati ya waliopata nafasi ya kuuliza alikuwa mbunge wa Hai Freeman Mbowe aliyetaka mwongozo wa serikali kuhusu tuhuma za Rais kuvifuta vyama vya upinzani.

Комментарии • 333

  • @JeremiaElia-z6r
    @JeremiaElia-z6r 9 месяцев назад +2

    Mbowe ubarikiwe kiongozi mzuri sana

  • @jostasnyokwach
    @jostasnyokwach Год назад +2

    Tunawakt sana

  • @happyfiverickaldo4662
    @happyfiverickaldo4662 4 года назад +4

    Chadema love so much mnahoja nzito sio hao mazwazwa wa ccm

  • @AnnaAlly-m4e
    @AnnaAlly-m4e 17 дней назад

    Ahsante mh mbowe

  • @kelvnassey3236
    @kelvnassey3236 5 лет назад +12

    chadema itabaki juuuuuuuuuuuuuuuu salut mbowe

  • @optatusduqangw1071
    @optatusduqangw1071 4 года назад +5

    Wabunge wapinzani ni wamuhimu SANA ndani ya bunge letu,

  • @godifreyoscar4382
    @godifreyoscar4382 4 года назад

    Haahaaaaaaa nimempenda mbowe ni noma sana piga kazi kamanda mungu akutangulie

  • @louisnyoni4139
    @louisnyoni4139 5 лет назад +6

    Ndio maana hatutaki mbowe aondoke kwenye nafasi ya uwenyekiti.

  • @magdalenabenard4208
    @magdalenabenard4208 2 года назад

    Mungu akutunze baba

  • @qaraiserq6532
    @qaraiserq6532 4 года назад

    2020 yametokea aya yangu macho

  • @sifuelinyaki3341
    @sifuelinyaki3341 4 года назад +1

    Kweli cdm iko kazi kutatiza kwenye hii ngome sio mchezo

  • @ronaldmosha4338
    @ronaldmosha4338 4 года назад +1

    Tulia hata mungu anakuona....one day yes...

  • @isaacmediagroup7206
    @isaacmediagroup7206 3 года назад

    Daah mbunge unaonge vzr sana

  • @JumanneMshangi
    @JumanneMshangi Год назад

    Mungu ni mwema

  • @kavassay8899
    @kavassay8899 5 лет назад +16

    Hii video nimemuonyesha mama yang apa amesema anahamia chadema kuanzia leo

    • @pitargamba9208
      @pitargamba9208 5 лет назад +2

      Pole kumbe akili mnafanana na mama yako mtakoma.

    • @kavassay8899
      @kavassay8899 5 лет назад +1

      Pitar Gamba angejib ago maswal sasa mbunge1 wa m4c ni saw wa wabunge 100 wa ccm

    • @alanusrespicius1796
      @alanusrespicius1796 4 года назад

      Kav assay yeye ahame tu akajiunge na genge la mashoga.

    • @hemedymohamedy8725
      @hemedymohamedy8725 4 года назад

      @@alanusrespicius1796 ww nimsenge xn huna akili inaelekea

  • @salamakibuda5394
    @salamakibuda5394 4 года назад +3

    Naona wanachuki tu kwa rais magufuli acheni chuki kwa rais magufuli

  • @abouramsey7829
    @abouramsey7829 4 года назад

    aliekuja hapa baada ya uchaguzi 2020 weka ilke

  • @ezekielmigera8559
    @ezekielmigera8559 4 года назад +4

    Ccm wata ifikisha Tz pabaya; Mungu endelee kuweka hekima ndani ya viongozi;

  • @sasakawagroupone50
    @sasakawagroupone50 4 года назад

    Video ya mapenzi

  • @robertuledi9914
    @robertuledi9914 3 года назад

    Jamaniii

  • @jeniphermaiko3886
    @jeniphermaiko3886 5 лет назад

    wapinzani wamepanic 2020 hamrudi bungen

  • @GideonMalyego
    @GideonMalyego Год назад +1

    Magu alitultea vituko sna ktk hii nchi,yaan hyu spika kma watampa tna Ubunge 2025 Mbeya bac itakuwa dharau kubwa sna.

  • @kelvinstephano8
    @kelvinstephano8 6 лет назад +2

    safi Sana mhe spika wa bunge Tuli

  • @dnaofgodtv4873
    @dnaofgodtv4873 5 лет назад +12

    Bunge la maspika hawa ni la kihistoria, hawatakuwepo wa mfano wao, wametia aibu ni hakuna tena!

  • @vicentelias491
    @vicentelias491 4 года назад

    Alichokisema mh naibu spika kipo sawa bunge na mahakma ni vitu viliwi tofauti kama wamefungwa au kutopewa dhamana ni suala la kisheria hivo bunge sio kazi yake

  • @thomasalwenya3128
    @thomasalwenya3128 4 года назад

    Nice

  • @samsonkhenani8666
    @samsonkhenani8666 6 лет назад +13

    Bunge la tanzania huwa sioni ata umuhim wake

    • @charlesmwandenuka7986
      @charlesmwandenuka7986 5 лет назад

      Samson Khenani huwezi jua kwakua umemezeshwa upinzani huwezi jua maana bunge.

  • @bonnymakuke7758
    @bonnymakuke7758 4 года назад +2

    duh!! swali limekimbiwa uku!! ili swali ata Mimi na elimu yangu yote ya chuo ningelikwepa limeshiba aswa!!

  • @mossesmlokozi3425
    @mossesmlokozi3425 7 лет назад +10

    MWe nyekiti mbowe uko vzr KAMAnda yaan watanzania tupambane maccm 2020 yapigwe chin

  • @ronaldmosha4338
    @ronaldmosha4338 4 года назад

    Mbowe anabusara sanaa. God bless him.

  • @frankmalimamatagasyajr6617
    @frankmalimamatagasyajr6617 5 лет назад +1

    Hapa kazi tu. Ikulu mtapasikia tuu.

  • @chumatzchumatz3026
    @chumatzchumatz3026 5 лет назад +1

    Nice my mbowe

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Год назад

      Hiki ni kichwa ndani ya bunge

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Год назад

      Nilijua tu huyu mama ataweza kumpa nafasi ajibu

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Год назад

      Mimi kwa kwa kweli MTU was ccm nikama ibilis MTU. Ana uliza swaili LA msingi aijibiwi

  • @davidjosephmsuya1929
    @davidjosephmsuya1929 4 года назад

    Mbowe ana madini kichwani

  • @paulomosson3346
    @paulomosson3346 4 года назад +2

    Nambona ajajibu swali sioni umuhimu wa bunge hili la Tanzania ni kuteteana 2

  • @maheralmuayqily1900
    @maheralmuayqily1900 7 лет назад +2

    Kamanda Majaliwa Kassim Majaliwa Hongera hajawahi Tokea Wazir Mkuu kama ww Tanzania

  • @pantaleokulaya5308
    @pantaleokulaya5308 5 лет назад +1

    asante mama tulia kwa busara kubwa

  • @ramadhanikessy7581
    @ramadhanikessy7581 5 лет назад +2

    Nchi inaongozwa kwa Sheria ,Taratibu , na Kanuni mbona hazizingatiwi Si Udikteta huu

    • @samwelimasoya6464
      @samwelimasoya6464 4 года назад

      Shelia ipi na katiba ipi wewe acha mambo yako wewe

  • @msabahaiddi4755
    @msabahaiddi4755 4 года назад

    Tulia ni kichwa sana aise

  • @the_white_43.
    @the_white_43. 5 лет назад +25

    mbowe unaongea kwa busara hadi raha.

    • @samwelimasoya6464
      @samwelimasoya6464 4 года назад

      Hana Lolita ametumwa mbeya mpigeni chini anakurukupuka huyo

  • @aloycemwakatala2634
    @aloycemwakatala2634 4 года назад +1

    Nimemsikia kama hajajibu hilo swali, au nimesikia tofauti.

  • @haidaryjoe5546
    @haidaryjoe5546 4 года назад

    So sad !

  • @davidsamson8292
    @davidsamson8292 7 лет назад +41

    sasa utaelewa kwann walikuwa wanapiga marufuku bunge kuwa live wanajua wana madudu yao mengi

  • @tecnonkwenda8240
    @tecnonkwenda8240 4 года назад

    Binge LA nn?

  • @omarimsangi9031
    @omarimsangi9031 4 года назад

    Bado kazi ni ndefu

  • @marygaspar6429
    @marygaspar6429 5 лет назад +1

    Ni maswali kwa waziri mkuu au ni swali kwako?

  • @adijamwampulule6947
    @adijamwampulule6947 6 лет назад +15

    huyu tulia anamjibia wazili mbona kwann lakin?

    • @astonishmgawa1801
      @astonishmgawa1801 5 лет назад

      Viongozi wenye uzalendo na nchi yetu huwa bega kwa bega katika kulijenga kwa umakini sanaaaaaaa,salute kwa spika wa bunge Tulia Akson

    • @mahelamnazaletimahela1823
      @mahelamnazaletimahela1823 5 лет назад

      Sister wabunge wa ccm wapuuzi sana wanateteana na kurindana

  • @ramatall9702
    @ramatall9702 4 года назад +2

    Duh! Mboe sasa mwanasiasa.

  • @marygaspar6429
    @marygaspar6429 5 лет назад +16

    Mbowe hekima nyiiingi, ila mpaka cd imescrach hatujaona jibu!!!!!

  • @rachelissacmahenge1348
    @rachelissacmahenge1348 4 года назад +1

    Sheria wametunga wenyewe mbona hawatekelezi?

  • @0742-k9h
    @0742-k9h 5 лет назад +2

    Mwenye macho haambiwi tazama

  • @JeremiaElia-z6r
    @JeremiaElia-z6r 9 месяцев назад

    Naibu spika sijui hailewi

  • @esterjoseph1310
    @esterjoseph1310 6 лет назад +3

    R.i.p Tanzania

  • @wilfredmmbando689
    @wilfredmmbando689 Год назад

    Ok

  • @richardmaro2402
    @richardmaro2402 6 лет назад +2

    najua kbs Hakuna anaeweza kujibu kiholela swali la kaka

  • @richardmaro2402
    @richardmaro2402 6 лет назад

    ccm wote wanafichiana maovu uyu mama mbona anamsumbua Kaka embu fanyeni kazi kwa ufanisi basi

  • @christophertarimo5047
    @christophertarimo5047 4 года назад

    Mh. MBOWE,KESI YA MBUZI UNAMPELEKEA FISI .....

  • @marygaspar6429
    @marygaspar6429 5 лет назад +3

    Halima ni shogangu wa siasa, lakini huwa anawashwa kuliko bunge zima. Moto wake hauzimiki kirahisi!😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @godfreymayowa5871
    @godfreymayowa5871 7 лет назад +5

    inaumasana

  • @salisali3738
    @salisali3738 3 года назад

    Halima yupo bam bam

  • @eliasyasaya1723
    @eliasyasaya1723 7 лет назад +5

    tumuuombenisana mungu
    wetumaanatuendako

  • @danielmwanjali2449
    @danielmwanjali2449 7 лет назад +1

    HUYU Mh. Naibu Spika simuelewi angeomba ushauri kwa Mh Anne Makinda amsaidie namna ya kuliongoza Bunge.

    • @astonishmgawa1801
      @astonishmgawa1801 5 лет назад

      Ni miaka kadhaa sasa toka ameanza kuongoza bunge,swali je bunge haliendi???

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 2 года назад

    How's watching this today 🤔 😀 hili ndio bungee

  • @frankjumanne7285
    @frankjumanne7285 4 года назад

    Jameni hata mmi nimemaliza darasa la saba lakini sina ujinga kama huu ndio maaana kumbe bunge hamlioneshi live lakini ccm tutawadhibu kwenye sanduku la kula

  • @raphaeltv6051
    @raphaeltv6051 7 лет назад +15

    Tuna mawaziri wakuu wawili

  • @marygaspar6429
    @marygaspar6429 5 лет назад +2

    Utawala bora: point!

  • @shd12m55
    @shd12m55 7 лет назад +21

    Kumbe tulia ni waziri mkuu

  • @drgeofreykupaza7707
    @drgeofreykupaza7707 5 лет назад +8

    Anataka kujiwekea record ya ujinga wamebanwa kila idara hawana point

  • @omarymbalala6224
    @omarymbalala6224 7 лет назад +14

    Huyu tulia wala hajatulia unaweza mtukana kesho ukajikuta uko selo

  • @jumamiraji3081
    @jumamiraji3081 5 лет назад +1

    Wabunge wanakosea kwa kupiga mikelele, Ila Naibu spika nae anakosea mbowe ana watu wake? Hii kali mm mm najua watu wote wa mungu

  • @johnerent565
    @johnerent565 4 года назад

    Mimi naona sheria mnazitunga ila hamzielewi

  • @jacksonchacha3606
    @jacksonchacha3606 5 лет назад +6

    mbna chadema wanasumbuaa xana bungen

  • @naurumnazaleti6774
    @naurumnazaleti6774 7 лет назад +2

    wazir amna kitu

    • @bazilkisibo5811
      @bazilkisibo5811 5 лет назад

      Mbwa kabisa wewe. Huna akili. Una matako tu kichwani

  • @franksylivestar7344
    @franksylivestar7344 7 лет назад +1

    Hawa sasa ni baba na mama wa watu!! Noma sana aiseee

  • @andersonmwenda6390
    @andersonmwenda6390 2 года назад

    Nimemis hivi vichwa bungeni,maana sasa hivi hakuna vichwa kama hivi vinavyosimamia ukwl

  • @mzenji
    @mzenji 6 лет назад +4

    Huyu naibu spika mbona haelewi hata structure ya serikali? utasemaje "waambie watu wako" ilhali wabunge wote hawa wanatoka vyama tofauti na wamechaguliwa kwenye majimbo yao wenyewe. Anapendelea wazi wazi.

    • @allyngogomi6623
      @allyngogomi6623 5 лет назад

      Hujielewi

    • @allychande9115
      @allychande9115 5 лет назад

      Nawashangaa wabunge wetu wachadema mbona munamsikiliza mbowetu! Nakisha munapiga kelele! Tunaitaji utulivu waheshimiwa usikivu ni bora zaidi kuliko marumbano.

  • @naurumnazaleti6774
    @naurumnazaleti6774 7 лет назад +3

    yn wabunge wa ccm ndowanaangamiza hili taifa

  • @fredrickakwiliningarcon673
    @fredrickakwiliningarcon673 7 лет назад

    kazi kweli kweli

  • @johaivenmugisha4919
    @johaivenmugisha4919 5 лет назад +2

    Sina haja na marumbano hivi je, tutafika?

  • @suzanalema96
    @suzanalema96 4 года назад

    Daah udiktetaaa umezidiiiiiii

  • @esteribrahim7127
    @esteribrahim7127 5 лет назад

    tulia kawa wa waziri mkuu

  • @jazaliluyaya9451
    @jazaliluyaya9451 3 года назад

    Huyu naibu spika msenge tu

  • @sowaniheri4783
    @sowaniheri4783 7 лет назад +7

    Aaaaaaaaa serikali yetu inasimamia haki!

  • @nasibusilumbu7215
    @nasibusilumbu7215 2 года назад

    Haya maswali walishindwa kuyajibu kwa sababu ni ya kweli kabisa🤔

  • @paulomosson3346
    @paulomosson3346 4 года назад

    Jamani si ajibu swali au mfunge huu bunge lenu

  • @paulomosson3346
    @paulomosson3346 4 года назад +1

    Mchochezi namba moja ni huyu spka rais amtumbue 2

  • @davidsamson8292
    @davidsamson8292 7 лет назад +1

    rest in peace tz

  • @elizabethmasaga6355
    @elizabethmasaga6355 5 лет назад

    Sawa

    • @zakayomgonche6834
      @zakayomgonche6834 4 года назад

      Swali la mbowe bado halijajibiwa na waziri Mkuu japo amesaidia na naibu spika

  • @charlesmagere9020
    @charlesmagere9020 6 лет назад +4

    Nafikiri wabunge hawajui Sera ni zipi na sheria ni zipi....waende darasani kwanza

  • @fatumanasoro5447
    @fatumanasoro5447 5 лет назад +7

    Hawa vioñgoz mmh makubwa nchi inaenda mwisho tutapigana wenyewe hawa ccm hamnakitu

  • @vicentigiboregibore1007
    @vicentigiboregibore1007 5 лет назад +6

    mkishindwa kujibu mnasema sera wabunge wa upinzani niwasomi naniwanasheria kwanini msiwajibu?

  • @dmsknb1541
    @dmsknb1541 4 года назад

    No democracy in Tanzania

  • @kahangwakamushanga7746
    @kahangwakamushanga7746 5 лет назад

    Ndo maana bunge haliko live

  • @malakimaiga8490
    @malakimaiga8490 5 лет назад

    Juuuu

    • @paulolaizet5175
      @paulolaizet5175 4 года назад

      Huyo mama ni mwooga analinda kazi yake na hivyo inchi aitaenda na haki

  • @dicksonmrema7584
    @dicksonmrema7584 6 лет назад +2

    Spiker wacha kuwwabana wabunge kweenye mambo ya msingi

  • @erasmusnzibonela5151
    @erasmusnzibonela5151 6 лет назад +1

    Kwa tabia iyo chadema mukiondoshwa wanaichi tutaumia sana Kama staili ya kulindana ndo ivo wanaichi tunaumia

  • @huseniyahaya9500
    @huseniyahaya9500 4 года назад

    Ndo maana akapugwa risasi wanamchukiaaa

  • @christophertarimo5047
    @christophertarimo5047 4 года назад

    Tulia unaitetea ccm sana,

  • @jumannemzungu1445
    @jumannemzungu1445 4 года назад

    Tunawaangalia tu na huo ujinga wenu bado miezi kadhaa tu ,tutatoa majibu ni yupi anafaa kurudi bungeni au la

  • @Karimuhamisi-ue6qq
    @Karimuhamisi-ue6qq Месяц назад +1

    Yani CCM WABUNGE WAKE NI VILAZA SANA YAANI ZERO BRAIN

  • @suleimanmakongoro6513
    @suleimanmakongoro6513 4 года назад

    Wabunge wetu tumieni nafasi mlizopewa na wapiga kura wenu kuijenga nchi kwa haki , maswali yamekataliwa yote sasa waziri mkuu hapo anajibu nini? , Tatizo LA hii nchi akitokea mtu akaishauri serikal huitwa mpinzani na kubezwa sana sana , jaman tukaeni chini na kutafakari mbele zaid IPO ck yatatugeukia siku ikifika