BUNGENI: Waziri Mkuu, Mbowe na Dr. Tulia kuhusu kauli ya Rais Magufuli
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- February 2 2017 mkutano wa sita wa bunge umeendelea tena Dodoma na katika kipindi cha maswali na majibu ya moja kwa moja kwa Waziri mkuu moja kati ya waliopata nafasi ya kuuliza alikuwa mbunge wa Hai Freeman Mbowe aliyetaka mwongozo wa serikali kuhusu tuhuma za Rais kuvifuta vyama vya upinzani.
Mbowe ubarikiwe kiongozi mzuri sana
Tunawakt sana
Chadema love so much mnahoja nzito sio hao mazwazwa wa ccm
Ahsante mh mbowe
chadema itabaki juuuuuuuuuuuuuuuu salut mbowe
Wabunge wapinzani ni wamuhimu SANA ndani ya bunge letu,
Haahaaaaaaa nimempenda mbowe ni noma sana piga kazi kamanda mungu akutangulie
Ndio maana hatutaki mbowe aondoke kwenye nafasi ya uwenyekiti.
Mungu akutunze baba
2020 yametokea aya yangu macho
Kweli cdm iko kazi kutatiza kwenye hii ngome sio mchezo
Tulia hata mungu anakuona....one day yes...
Daah mbunge unaonge vzr sana
Mungu ni mwema
Hii video nimemuonyesha mama yang apa amesema anahamia chadema kuanzia leo
Pole kumbe akili mnafanana na mama yako mtakoma.
Pitar Gamba angejib ago maswal sasa mbunge1 wa m4c ni saw wa wabunge 100 wa ccm
Kav assay yeye ahame tu akajiunge na genge la mashoga.
@@alanusrespicius1796 ww nimsenge xn huna akili inaelekea
Naona wanachuki tu kwa rais magufuli acheni chuki kwa rais magufuli
aliekuja hapa baada ya uchaguzi 2020 weka ilke
Ccm wata ifikisha Tz pabaya; Mungu endelee kuweka hekima ndani ya viongozi;
Video ya mapenzi
Jamaniii
wapinzani wamepanic 2020 hamrudi bungen
Magu alitultea vituko sna ktk hii nchi,yaan hyu spika kma watampa tna Ubunge 2025 Mbeya bac itakuwa dharau kubwa sna.
safi Sana mhe spika wa bunge Tuli
Bunge la maspika hawa ni la kihistoria, hawatakuwepo wa mfano wao, wametia aibu ni hakuna tena!
Alichokisema mh naibu spika kipo sawa bunge na mahakma ni vitu viliwi tofauti kama wamefungwa au kutopewa dhamana ni suala la kisheria hivo bunge sio kazi yake
Nice
Bunge la tanzania huwa sioni ata umuhim wake
Samson Khenani huwezi jua kwakua umemezeshwa upinzani huwezi jua maana bunge.
duh!! swali limekimbiwa uku!! ili swali ata Mimi na elimu yangu yote ya chuo ningelikwepa limeshiba aswa!!
MWe nyekiti mbowe uko vzr KAMAnda yaan watanzania tupambane maccm 2020 yapigwe chin
ajarltanzanla
Mosses Mlokozi mmechelewa xna jamni poleni
Yani wasiojielewa wapo wengi ukichanganya na Mbowe
Mbowe anabusara sanaa. God bless him.
Hapa kazi tu. Ikulu mtapasikia tuu.
Demokrasia sio fujo
Kumamako msenge usiyejitambua
Nice my mbowe
Hiki ni kichwa ndani ya bunge
Nilijua tu huyu mama ataweza kumpa nafasi ajibu
Mimi kwa kwa kweli MTU was ccm nikama ibilis MTU. Ana uliza swaili LA msingi aijibiwi
Mbowe ana madini kichwani
Nambona ajajibu swali sioni umuhimu wa bunge hili la Tanzania ni kuteteana 2
Kamanda Majaliwa Kassim Majaliwa Hongera hajawahi Tokea Wazir Mkuu kama ww Tanzania
asante mama tulia kwa busara kubwa
Nchi inaongozwa kwa Sheria ,Taratibu , na Kanuni mbona hazizingatiwi Si Udikteta huu
Shelia ipi na katiba ipi wewe acha mambo yako wewe
Tulia ni kichwa sana aise
mbowe unaongea kwa busara hadi raha.
Hana Lolita ametumwa mbeya mpigeni chini anakurukupuka huyo
Nimemsikia kama hajajibu hilo swali, au nimesikia tofauti.
Tulsa kiherehere alikimbia umande nini akasome
So sad !
sasa utaelewa kwann walikuwa wanapiga marufuku bunge kuwa live wanajua wana madudu yao mengi
Haha
Hana hora msada kwa wanambeya kibaraka atawatasa katumwa huyo
Binge LA nn?
Bado kazi ni ndefu
Ni maswali kwa waziri mkuu au ni swali kwako?
huyu tulia anamjibia wazili mbona kwann lakin?
Viongozi wenye uzalendo na nchi yetu huwa bega kwa bega katika kulijenga kwa umakini sanaaaaaaa,salute kwa spika wa bunge Tulia Akson
Sister wabunge wa ccm wapuuzi sana wanateteana na kurindana
Duh! Mboe sasa mwanasiasa.
Mbowe hekima nyiiingi, ila mpaka cd imescrach hatujaona jibu!!!!!
Mary Gaspar jibuswali
Sheria wametunga wenyewe mbona hawatekelezi?
Mwenye macho haambiwi tazama
Naibu spika sijui hailewi
R.i.p Tanzania
😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Ok
najua kbs Hakuna anaeweza kujibu kiholela swali la kaka
Ona hii mbwa
ccm wote wanafichiana maovu uyu mama mbona anamsumbua Kaka embu fanyeni kazi kwa ufanisi basi
Mh. MBOWE,KESI YA MBUZI UNAMPELEKEA FISI .....
Halima ni shogangu wa siasa, lakini huwa anawashwa kuliko bunge zima. Moto wake hauzimiki kirahisi!😂😂😂😂😂😂😂😂
inaumasana
ukweli unaumaa
Unaweza ukaenda shule halafu ukawa huna akili kama watoto sijui tunajifunza nin
Halima yupo bam bam
tumuuombenisana mungu
wetumaanatuendako
HUYU Mh. Naibu Spika simuelewi angeomba ushauri kwa Mh Anne Makinda amsaidie namna ya kuliongoza Bunge.
Ni miaka kadhaa sasa toka ameanza kuongoza bunge,swali je bunge haliendi???
How's watching this today 🤔 😀 hili ndio bungee
Jameni hata mmi nimemaliza darasa la saba lakini sina ujinga kama huu ndio maaana kumbe bunge hamlioneshi live lakini ccm tutawadhibu kwenye sanduku la kula
Tuna mawaziri wakuu wawili
Hiloooo!! et kiongozi uyo ndo spika anajbu maswali yakwake!
Kuna kanuni ujue
Kabs
Utawala bora: point!
Kumbe tulia ni waziri mkuu
Hili sio bunge
Kanye kwenu
Anataka kujiwekea record ya ujinga wamebanwa kila idara hawana point
Huyu tulia wala hajatulia unaweza mtukana kesho ukajikuta uko selo
Wabunge wanakosea kwa kupiga mikelele, Ila Naibu spika nae anakosea mbowe ana watu wake? Hii kali mm mm najua watu wote wa mungu
Mimi naona sheria mnazitunga ila hamzielewi
mbna chadema wanasumbuaa xana bungen
Wanasumbua kwa sababu wanajua kam ujui uwezi kusumbua
wazir amna kitu
Mbwa kabisa wewe. Huna akili. Una matako tu kichwani
Hawa sasa ni baba na mama wa watu!! Noma sana aiseee
fabian
Nimemis hivi vichwa bungeni,maana sasa hivi hakuna vichwa kama hivi vinavyosimamia ukwl
Huyu naibu spika mbona haelewi hata structure ya serikali? utasemaje "waambie watu wako" ilhali wabunge wote hawa wanatoka vyama tofauti na wamechaguliwa kwenye majimbo yao wenyewe. Anapendelea wazi wazi.
Hujielewi
Nawashangaa wabunge wetu wachadema mbona munamsikiliza mbowetu! Nakisha munapiga kelele! Tunaitaji utulivu waheshimiwa usikivu ni bora zaidi kuliko marumbano.
yn wabunge wa ccm ndowanaangamiza hili taifa
kazi kweli kweli
Sina haja na marumbano hivi je, tutafika?
Daah udiktetaaa umezidiiiiiii
tulia kawa wa waziri mkuu
Huu ni upuuzi wa kiwango cha phd
Huyu naibu spika msenge tu
Aaaaaaaaa serikali yetu inasimamia haki!
Haya maswali walishindwa kuyajibu kwa sababu ni ya kweli kabisa🤔
Jamani si ajibu swali au mfunge huu bunge lenu
Mchochezi namba moja ni huyu spka rais amtumbue 2
rest in peace tz
Tutaelewa tu
Upinzani hamna lololte subirini 2020
Sawa
Swali la mbowe bado halijajibiwa na waziri Mkuu japo amesaidia na naibu spika
Nafikiri wabunge hawajui Sera ni zipi na sheria ni zipi....waende darasani kwanza
Hawa vioñgoz mmh makubwa nchi inaenda mwisho tutapigana wenyewe hawa ccm hamnakitu
mkishindwa kujibu mnasema sera wabunge wa upinzani niwasomi naniwanasheria kwanini msiwajibu?
No democracy in Tanzania
Ndo maana bunge haliko live
Kweriii sijui tungekua tunajifunza Nini hapa
Juuuu
Huyo mama ni mwooga analinda kazi yake na hivyo inchi aitaenda na haki
Spiker wacha kuwwabana wabunge kweenye mambo ya msingi
Kwa tabia iyo chadema mukiondoshwa wanaichi tutaumia sana Kama staili ya kulindana ndo ivo wanaichi tunaumia
Ndo maana akapugwa risasi wanamchukiaaa
Tulia unaitetea ccm sana,
Tunawaangalia tu na huo ujinga wenu bado miezi kadhaa tu ,tutatoa majibu ni yupi anafaa kurudi bungeni au la
Yani CCM WABUNGE WAKE NI VILAZA SANA YAANI ZERO BRAIN
Wabunge wetu tumieni nafasi mlizopewa na wapiga kura wenu kuijenga nchi kwa haki , maswali yamekataliwa yote sasa waziri mkuu hapo anajibu nini? , Tatizo LA hii nchi akitokea mtu akaishauri serikal huitwa mpinzani na kubezwa sana sana , jaman tukaeni chini na kutafakari mbele zaid IPO ck yatatugeukia siku ikifika