Je, Dini Inaweza Kutenganishwa na Siasa? | Jenerali Ulimwengu Exclusive on The Chanzo S09

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com....
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2022 © All Rights Reserved.

Комментарии • 57

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 11 месяцев назад +7

    bagonza nimtumishi wa mungu sio mchumia tumbo kama gwajima na lusekelo mungu mlinde ameni

  • @fraternshirima2474
    @fraternshirima2474 8 месяцев назад

    Mungu awatunze sana wazee wetu Mzee Ulimwengu na Askofu Bagonza, elimu yenu inatufikia vizuri sana🙏

  • @NSAMBELAGEORGE
    @NSAMBELAGEORGE 23 дня назад

    Kitafsiri;huwezi kutenganisha dini na siasa.mungu ni mwanasiasa no 1 .siasa mwanzo wake ni mungu mwenyewe!

  • @phillipmasungwa7365
    @phillipmasungwa7365 Год назад +3

    Big up Jenelali na Baba Askofu Benson Bangonza.

  • @DominickBoniface-e4c
    @DominickBoniface-e4c 11 месяцев назад

    Hawa wazee nawapenda sana wametimiza na wanaendelea kutetea haki ,watu wengi wamekimbia jukumu hili! Viongozi wa dini wengi wataulizwa kwa dhambi hii ya kutokemea uvunjwaji wa haki!! Lkn viongozi wa dini wa jue hata Imani haiko salama kwa UMASIKINI, huu na kuogopa kuikemea uovu!!

  • @NelsoniJamily
    @NelsoniJamily 11 месяцев назад

    Jenelali ulimwengu na bagonsa nimewafuatilia sana mko vizuri sana selekali yeti imetufanya sisi hatuelewi tunaelewa ubabe unao tumika Iko siku ubabe utaisha ccm isifikili wamejiwekea hati miliki hapana watu wamewachoka watakuja kusababisha vita amini usiamini

  • @StewartUkason
    @StewartUkason 4 месяца назад

    Emperial Presidency....!! Hii ni mpya kwangu, ila nimeielewa vizuri.

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 Год назад +2

    Huyu askofu hakika ni hazina kubwa, Chanzo mzidi kuleta kwenye interview ili elimu yake ipate kumea,
    Ahsanteni Chanzo

  • @mubarakmohammed7311
    @mubarakmohammed7311 11 месяцев назад +1

    Imedhihiri kuwa dini haiwezi kutenganishwa na Siasa. Thanks.

  • @fabby1181
    @fabby1181 11 месяцев назад +1

    Nimesoma karibu comments zote, nimegundua watazania wengi wanaelewa vizuri kilichobaki ni kuchukua uamuzi katika kuleta mabadiliko. Nawashauri ccm wasithubutu hata kidogo kuzuia mabadiliko kwa propaganda zao, nchi itapasuka na hawata kuwa na pa kutokea

  • @kaizamulinda633
    @kaizamulinda633 10 месяцев назад

    Two big brains

  • @EzeckielMzungu
    @EzeckielMzungu Год назад +3

    Ameongea vyema sana hongera baba askofu

  • @EvaristoSanga-ry7by
    @EvaristoSanga-ry7by Год назад +1

    Nawaelewa sana.

  • @NelsoniJamily
    @NelsoniJamily 11 месяцев назад +1

    Tunaomba muendelee kuwapa elimu hivyo hivyo watu waneewa

  • @ziyadanyandwi2908
    @ziyadanyandwi2908 9 месяцев назад

    Mbarikiwe sana wazalendo wa nchi yetu

  • @josephaturio8624
    @josephaturio8624 Год назад +2

    Usisahau pale viongozi wa nnchi walipoacha falsafa ya baba wa taifa kuitwa ndugu wao wakajibatiza
    waheshimiwa Ili sisi tulio chini Yao tuwe wanyonge wao tuwasujudie hapo ndiko chanzo hiki Cha watwana na mabwana.

  • @abdallahnkrumah6237
    @abdallahnkrumah6237 Год назад +1

    Hili Ni Darsa Tosha

  • @eliasnganira7661
    @eliasnganira7661 Год назад +1

    Kijana mmoja ambaye baba yake alikuwa mbunge alinidokezea ili ugombee na kushinda uchaguzi unatakiwa uwe na shilingi milioni 300 na zaidi

  • @eliasnganira7661
    @eliasnganira7661 Год назад +1

    Jenerali nakufuatilia ukiwa na Askofu Bagonza

  • @batwelimahenge7850
    @batwelimahenge7850 11 месяцев назад

    Nimewaelewa 100%mungu awabaliki

  • @sholavalencemgimwamgimwa2812
    @sholavalencemgimwamgimwa2812 Год назад +1

    Watawala hawaoni hilo. Macho yao hayaoni, masikio yao hayasikii. Wanaona na kusikia kile wanachodhani Ni Keri.

  • @kindysuleiman5935
    @kindysuleiman5935 11 месяцев назад

    Ahsante general usichoke tunakuomba baba itusemee tusipkuwa na sauti

  • @wamisangi2801
    @wamisangi2801 Год назад +1

    Dini ni Siasa kwenye upande wa Kiroho zaidi.

  • @denisschacha4971
    @denisschacha4971 7 месяцев назад

    Duh Aiise chuma

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Год назад

    Nimenufaika sana kwa kujiongezea upeo wa kimantiki wa maarifa kutokana na mada hii.

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 11 месяцев назад +1

    wa tz tumeichoka ccm tunasubiri amri tuu mama wa kambo tumkimbize tumechoka bado dakiikaka au sekunde tuu tuwakimbize ccm

  • @h77-f8m
    @h77-f8m 11 месяцев назад

    Mbona hamkumuasi Magufuli ambaye alileta giza katika nchi nzima Watu walipotezwa wacha unafiki ulimwengu

  • @SamwelKatabila
    @SamwelKatabila Год назад +1

    Hongeren sana watumish wa mungu kwa kaz nzur ya kuwaelimisha uma

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha 11 месяцев назад

    Hata makanisani, kwenye magazeti na vyombo vya habari hakuna demokrasia. Demokrasia wakati mwingine ni kama aina fulani ya udikteta uliohalalishwa na wakoloni ili kutuchonganisha. Waswahili walikuwa na namna ya kujiongoza tena kwa haki bila kutegemea hii domoghasia au demockery tuliyo nayo sasa. Ndugu Bagonza yuko sawa kuhusiana na siasa. Mbona matapeli kama Gwajima, na Rwakatare walipoingia siasa hadi kuwa wabunge hakuna aliyetokwa povu au ni kwa sababu walijiunga na CCM na kutafuta ulaji kama wachumia tumbo wengine wanaotumia siasa? Rais wa Malawi ni mchungaji. Papa ni kiongozi wa kidini na kisiasa sawa na Ayatollah wa Iran au mashehe wa mashariki ya kati.

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 11 месяцев назад

    Kazi ipo

  • @philimonndinadyo2120
    @philimonndinadyo2120 11 месяцев назад

    Kwqkweli tuko hatarini

  • @mosesngendello
    @mosesngendello Год назад

    mjadala mzuri. Suala la Rushwa Ni baya kuliko hata Katiba, Hata Kama katiba ikibadilishwa Kama Hali ya Rushwa itabaki hivi ilivyo, uchaguzi utakuwa Ni ovyo TU.

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui729 11 месяцев назад

    Hii mifumo mibovu imewekwa na CCM ili kucompromise utawala wa sheria na uwajibikaji!.

  • @joycemosha1898
    @joycemosha1898 11 месяцев назад

    Ni lazima kuwa na dini maharishi popote pence mkusanyiko wa watu hasa kwenye siasa kwani hukoo kwa mm mathematics wanaamini ndiyo maana wanaanza na wachungaji na hao wezetu waamini sana mabundi na kuwaweka mashehe wa kuwalinda na kuwajengea na kodi zetu

  • @omolomaxfitnessbodylifetim8252

    Africa inahitaji Meritokrasia siyo demokrasia maana yenyewe ilikwishafeli badala ya kuwa demokrasia kinadharia na kivitendo demokrasia ya Africa ni kinadharia ilihali kivitendo ni Idiokrasia ( Idiocracy) hivyo jibu la Africa kujikwamua kisiasa ni kutoa nafasi kwa Meritocracy ili na uchumi uweze kushamili

  • @NelsoniJamily
    @NelsoniJamily 11 месяцев назад

    Iko siku watu watakuwa kama watu wa mbeya na mbeya ndiko kutako anzia wambeya wabishi kumbuka maandamano ya machinga

  • @iddmasyen4258
    @iddmasyen4258 8 месяцев назад

    Sauti km ya Buraza K wa futuhi

  • @scolasticakaduma5143
    @scolasticakaduma5143 11 месяцев назад

    Dawa ya kukomesha ujinga ktk. Nchi hii ni kurekebisha katiba na Tume ya Uchaguzi

  • @eliudimwakasenga9754
    @eliudimwakasenga9754 Год назад

    😊😊😊😊

  • @samwelkavwanga4491
    @samwelkavwanga4491 11 месяцев назад

    Kweny WiGo wa kidemocrasia Magufuri aliturudisha nyuma sana😢😢ilikuwa ni kipindi kibaya zaidi kuwahi kutokea

  • @dennisrwelamira1259
    @dennisrwelamira1259 Год назад +1

    Katiba mpya ndiyo itakayo tupatia hayo yote uliyoyataja Baba Askofu

    • @mdmahammad3278
      @mdmahammad3278 11 месяцев назад

      Tuna hitaji katiba mpya kwanzia sasa ndio mwongozo

  • @edwardmizambwa237
    @edwardmizambwa237 Год назад

    Mtu avae au asivae gloves, uchungu wa ngumi upo palepale.

  • @BakenaKegwa
    @BakenaKegwa 11 месяцев назад

    Naomba niwalaani wanaojifanya wasomi na huku hawajui wamesoma nn nakubaki kuwa wasifiaji

  • @aminieljohn5475
    @aminieljohn5475 Год назад

    ....kuna haja mahusus ya moral and political reconstruction katika taifa hili.....wako wapi "watu" wanaoliona hili!!....Baba Jenerali, asilimia kubwa wapo kwenye lepe la usingizi wamefungwa kwenye gereza la usingizi mzito!!....tukija kuzinduka blanketing litakua lishaenda!! We will pay the cost unspeakable mediocrity!!...lazima watu waseme "wakati ni huu au never!!

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Год назад

    👊👍✌️。

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 11 месяцев назад

    Haya yote ni manyarwanda ni maadui wa taifa hawa! Mambwa kabisa hawa

  • @innocentraymond3301
    @innocentraymond3301 Год назад

    baba askofu Bagonza kizazi cha sasa kimeathiliwa sana na emperor power or presidency ndio maana hata kwenye familia kuna huu ugonjwa sana na ndio maana hata vijana wa sasa wamejaa hofu,hawajiamini, hawana uzalendo na hata hawajui wafanye nn,

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Год назад

      Hakika huo ndiyo uhalisia! Hása vijana wamepoteza ujasiri wa kuthubutu na kujisimamia!

    • @JUMAHASSAN-j4j
      @JUMAHASSAN-j4j 11 месяцев назад

      Hongera , sana mzee ulimwegu

  • @eliasnganira7661
    @eliasnganira7661 Год назад

    Ni kweli hali ya rushwa ni mbaya sana

  • @dassustephen731
    @dassustephen731 Год назад

    Kazi kweli kweli

  • @abedymtore2707
    @abedymtore2707 Год назад

    Bagonza ukisema kwamba rais akiamua kuzba masikio na macho sio kwamba atakua kiziwi2 Bali few years later nchi itakua na machafuko makubwa sana inawapasa viongoz walijue Hilo na waache kujidanganya kua wanainch wataenderea kua wajinga miaka yote

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza7450 11 месяцев назад

    Wambieni wajinga.