Je, Dini Inaweza Kutenganishwa na Siasa? | Jenerali Ulimwengu Exclusive on The Chanzo S09
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2022 © All Rights Reserved.
bagonza nimtumishi wa mungu sio mchumia tumbo kama gwajima na lusekelo mungu mlinde ameni
Mungu awatunze sana wazee wetu Mzee Ulimwengu na Askofu Bagonza, elimu yenu inatufikia vizuri sana🙏
Kitafsiri;huwezi kutenganisha dini na siasa.mungu ni mwanasiasa no 1 .siasa mwanzo wake ni mungu mwenyewe!
Big up Jenelali na Baba Askofu Benson Bangonza.
Hawa wazee nawapenda sana wametimiza na wanaendelea kutetea haki ,watu wengi wamekimbia jukumu hili! Viongozi wa dini wengi wataulizwa kwa dhambi hii ya kutokemea uvunjwaji wa haki!! Lkn viongozi wa dini wa jue hata Imani haiko salama kwa UMASIKINI, huu na kuogopa kuikemea uovu!!
Jenelali ulimwengu na bagonsa nimewafuatilia sana mko vizuri sana selekali yeti imetufanya sisi hatuelewi tunaelewa ubabe unao tumika Iko siku ubabe utaisha ccm isifikili wamejiwekea hati miliki hapana watu wamewachoka watakuja kusababisha vita amini usiamini
Emperial Presidency....!! Hii ni mpya kwangu, ila nimeielewa vizuri.
Huyu askofu hakika ni hazina kubwa, Chanzo mzidi kuleta kwenye interview ili elimu yake ipate kumea,
Ahsanteni Chanzo
Imedhihiri kuwa dini haiwezi kutenganishwa na Siasa. Thanks.
Nimesoma karibu comments zote, nimegundua watazania wengi wanaelewa vizuri kilichobaki ni kuchukua uamuzi katika kuleta mabadiliko. Nawashauri ccm wasithubutu hata kidogo kuzuia mabadiliko kwa propaganda zao, nchi itapasuka na hawata kuwa na pa kutokea
Two big brains
Ameongea vyema sana hongera baba askofu
Nawaelewa sana.
Tunaomba muendelee kuwapa elimu hivyo hivyo watu waneewa
Mbarikiwe sana wazalendo wa nchi yetu
Usisahau pale viongozi wa nnchi walipoacha falsafa ya baba wa taifa kuitwa ndugu wao wakajibatiza
waheshimiwa Ili sisi tulio chini Yao tuwe wanyonge wao tuwasujudie hapo ndiko chanzo hiki Cha watwana na mabwana.
Nakubaliana na wewe!
Hili Ni Darsa Tosha
Kijana mmoja ambaye baba yake alikuwa mbunge alinidokezea ili ugombee na kushinda uchaguzi unatakiwa uwe na shilingi milioni 300 na zaidi
Jenerali nakufuatilia ukiwa na Askofu Bagonza
Nimewaelewa 100%mungu awabaliki
Watawala hawaoni hilo. Macho yao hayaoni, masikio yao hayasikii. Wanaona na kusikia kile wanachodhani Ni Keri.
Ahsante general usichoke tunakuomba baba itusemee tusipkuwa na sauti
Dini ni Siasa kwenye upande wa Kiroho zaidi.
Duh Aiise chuma
Nimenufaika sana kwa kujiongezea upeo wa kimantiki wa maarifa kutokana na mada hii.
wa tz tumeichoka ccm tunasubiri amri tuu mama wa kambo tumkimbize tumechoka bado dakiikaka au sekunde tuu tuwakimbize ccm
Mbona hamkumuasi Magufuli ambaye alileta giza katika nchi nzima Watu walipotezwa wacha unafiki ulimwengu
Hongeren sana watumish wa mungu kwa kaz nzur ya kuwaelimisha uma
Hata makanisani, kwenye magazeti na vyombo vya habari hakuna demokrasia. Demokrasia wakati mwingine ni kama aina fulani ya udikteta uliohalalishwa na wakoloni ili kutuchonganisha. Waswahili walikuwa na namna ya kujiongoza tena kwa haki bila kutegemea hii domoghasia au demockery tuliyo nayo sasa. Ndugu Bagonza yuko sawa kuhusiana na siasa. Mbona matapeli kama Gwajima, na Rwakatare walipoingia siasa hadi kuwa wabunge hakuna aliyetokwa povu au ni kwa sababu walijiunga na CCM na kutafuta ulaji kama wachumia tumbo wengine wanaotumia siasa? Rais wa Malawi ni mchungaji. Papa ni kiongozi wa kidini na kisiasa sawa na Ayatollah wa Iran au mashehe wa mashariki ya kati.
Kazi ipo
Kwqkweli tuko hatarini
mjadala mzuri. Suala la Rushwa Ni baya kuliko hata Katiba, Hata Kama katiba ikibadilishwa Kama Hali ya Rushwa itabaki hivi ilivyo, uchaguzi utakuwa Ni ovyo TU.
Hii mifumo mibovu imewekwa na CCM ili kucompromise utawala wa sheria na uwajibikaji!.
Ni lazima kuwa na dini maharishi popote pence mkusanyiko wa watu hasa kwenye siasa kwani hukoo kwa mm mathematics wanaamini ndiyo maana wanaanza na wachungaji na hao wezetu waamini sana mabundi na kuwaweka mashehe wa kuwalinda na kuwajengea na kodi zetu
Africa inahitaji Meritokrasia siyo demokrasia maana yenyewe ilikwishafeli badala ya kuwa demokrasia kinadharia na kivitendo demokrasia ya Africa ni kinadharia ilihali kivitendo ni Idiokrasia ( Idiocracy) hivyo jibu la Africa kujikwamua kisiasa ni kutoa nafasi kwa Meritocracy ili na uchumi uweze kushamili
Iko siku watu watakuwa kama watu wa mbeya na mbeya ndiko kutako anzia wambeya wabishi kumbuka maandamano ya machinga
Sauti km ya Buraza K wa futuhi
Dawa ya kukomesha ujinga ktk. Nchi hii ni kurekebisha katiba na Tume ya Uchaguzi
😊😊😊😊
Kweny WiGo wa kidemocrasia Magufuri aliturudisha nyuma sana😢😢ilikuwa ni kipindi kibaya zaidi kuwahi kutokea
Ni kweli
Katiba mpya ndiyo itakayo tupatia hayo yote uliyoyataja Baba Askofu
Tuna hitaji katiba mpya kwanzia sasa ndio mwongozo
Mtu avae au asivae gloves, uchungu wa ngumi upo palepale.
Naomba niwalaani wanaojifanya wasomi na huku hawajui wamesoma nn nakubaki kuwa wasifiaji
....kuna haja mahusus ya moral and political reconstruction katika taifa hili.....wako wapi "watu" wanaoliona hili!!....Baba Jenerali, asilimia kubwa wapo kwenye lepe la usingizi wamefungwa kwenye gereza la usingizi mzito!!....tukija kuzinduka blanketing litakua lishaenda!! We will pay the cost unspeakable mediocrity!!...lazima watu waseme "wakati ni huu au never!!
👊👍✌️。
Haya yote ni manyarwanda ni maadui wa taifa hawa! Mambwa kabisa hawa
baba askofu Bagonza kizazi cha sasa kimeathiliwa sana na emperor power or presidency ndio maana hata kwenye familia kuna huu ugonjwa sana na ndio maana hata vijana wa sasa wamejaa hofu,hawajiamini, hawana uzalendo na hata hawajui wafanye nn,
Hakika huo ndiyo uhalisia! Hása vijana wamepoteza ujasiri wa kuthubutu na kujisimamia!
Hongera , sana mzee ulimwegu
Ni kweli hali ya rushwa ni mbaya sana
Kazi kweli kweli
Bagonza ukisema kwamba rais akiamua kuzba masikio na macho sio kwamba atakua kiziwi2 Bali few years later nchi itakua na machafuko makubwa sana inawapasa viongoz walijue Hilo na waache kujidanganya kua wanainch wataenderea kua wajinga miaka yote
Wambieni wajinga.