LEMA ATANGAZA VITA NA GAMBO UBUNGE MWAKA 2025 HAPATOSHI WASHIKANA MASHATI "MIMI BADO MBUNGE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 янв 2024
  • Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
    Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: / kusagamedia
    Instagram: / kusaganews
    RUclips : www.youtube.com/@kusagatv6320...
    Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...

Комментарии • 90

  • @user-jo9gp5tb9w
    @user-jo9gp5tb9w 4 месяца назад +2

    Mm naomba tyu wasiibe kura ila atakae husika kuiba kura za lema mungu asimucheleweshe

  • @juliusmsangi6849
    @juliusmsangi6849 4 месяца назад +3

    Huyo mwandishi kafilisika sera kichwani! Akamuulize Mwenezi wa Chama Twawala shida,manung'uniko, na masikitiko ya Wananchi!

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 4 месяца назад +1

    Unatangaza vizuri sana... Harmon ya utangazaji uko na sauti yako unaiweka safi sana... Big up mtangazaji

  • @shafiigari6011
    @shafiigari6011 4 месяца назад +4

    Me ninavyokufaham bado naona hata ubunge sio sehemu yako ila basi tyu wewe nafasi yako ni kua Raisi wa nchi hii kabixaaaa

  • @nabimanyafesto5014
    @nabimanyafesto5014 4 месяца назад +1

    Nakupenda bure kaka angu Lema

  • @juliusbura4550
    @juliusbura4550 4 месяца назад +1

    Hongera mh mkiti wa Kanda ya kaskazini

  • @user-fl7jl7vk3n
    @user-fl7jl7vk3n 4 месяца назад +2

    Lema hustaili kugombea ubunge tunaomba ugombee urais

  • @SimonLimuruti
    @SimonLimuruti 4 месяца назад +2

    Sema kweli mtumishi wa mungu,akika lema akirudi kua arusha mjini kua mbungu arusha utapona

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza7450 4 месяца назад +2

    Lema akigombea urais mimi nitampatia kura yangu.

  • @user-rr2vw2ng8r
    @user-rr2vw2ng8r 4 месяца назад +2

    Ongela kamanda

  • @reginas1832
    @reginas1832 4 месяца назад +3

    Halafu walimu na police ndiyo wanaitetea ccm waache waendelee kuteseka mpaka akili zao ziamke

  • @sharifaamrani654
    @sharifaamrani654 4 месяца назад +2

    Tuna msubiri kwa ham ❤ baba arusha ❤ jembe hlo baba ❤ mungu yuko nae kila wa kati❤

  • @user-vy5kn6nz4l
    @user-vy5kn6nz4l 4 месяца назад

    Lema utumishi uliotukuka upo ndani yako na Mungu akubariki(Mungu akuepushe na kila hila za Yule mwovu,na kila atendaye kazi za Ibilisi

  • @allenmacha4131
    @allenmacha4131 4 месяца назад +3

    Arusha tunampenda lema

  • @GodlizenSlaa
    @GodlizenSlaa 3 месяца назад

    Lema endelea kuomba mungu akudabo ujasiri mara zote.Wa nao kubesa ni mafala

  • @DoctorRengeda
    @DoctorRengeda 4 месяца назад +1

    Big up 💪xana lema akilinyingi sana

  • @raymondkihaka1827
    @raymondkihaka1827 3 месяца назад

    Aloo kweli Lema Yuko sawa kabisa hana xhd

  • @user-jo9gp5tb9w
    @user-jo9gp5tb9w 4 месяца назад +1

    Kura lema umepata mm nimwananchi wa kawaida tyu watu mtaan wanakupenda

  • @mrimimarwa6485
    @mrimimarwa6485 4 месяца назад +1

    Lazima ushinde kwajina la yesu

  • @sharifaamrani654
    @sharifaamrani654 4 месяца назад +1

    Na kubali maneno yako mpe mpe bana ❤

  • @user-qz2en7xi2h
    @user-qz2en7xi2h 4 месяца назад +2

    Arusha ni yako

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 4 месяца назад +2

    Lema alitafuta wafadhili Arusha mjini tupate maji, Gambo akaingilia kuuvaa mradi ule kama kiongozi wa serikali mfadhili akaondoka mpaka Leo maji ya uhakika hakuna!

  • @Abs-tz8dl
    @Abs-tz8dl 3 месяца назад

    Inshaallah atayiba kura Tanzania atalaniwa na mwenyezi mungu

  • @rahabufilangali-cp6br
    @rahabufilangali-cp6br 4 месяца назад +1

    Arusha is belong to God and Lema

  • @melejishangai6054
    @melejishangai6054 4 месяца назад +1

    Safi tuu

  • @Abs-tz8dl
    @Abs-tz8dl 3 месяца назад

    Dolla $1500-3000 ndo mshara wa kazi za chini Europe na USA.

  • @sundaystanley5322
    @sundaystanley5322 4 месяца назад +5

    Lema usijipe 100% kushinda,

  • @JohnManyilizu-jz2qu
    @JohnManyilizu-jz2qu 4 месяца назад +2

    Watu makini chadema

  • @user-jo9gp5tb9w
    @user-jo9gp5tb9w 2 месяца назад

    Gambo safar hii lile dirisha alopita lmezibwa

  • @mangobase
    @mangobase 4 месяца назад

    Naenda kaibe kazi yako ya zamani

  • @mshikor
    @mshikor 4 месяца назад +1

    Wanyiha bwana mnkondya huna lolote Bado upo enzi za zambi elim ndogo

  • @user-jo9gp5tb9w
    @user-jo9gp5tb9w 4 месяца назад

    Gambo atafute kazi ya kufanya hta uende ukagombee dar tyunakuletea lema upambane na jembe kwanz lema kidume

  • @user-fl7jl7vk3n
    @user-fl7jl7vk3n 4 месяца назад +1

    Waambie ukweli Hawa CCM ni wajinga sana

  • @samwelmachaka936
    @samwelmachaka936 4 месяца назад

    2020 mbona hukupita kama unskubalika

  • @kilonzokallage6159
    @kilonzokallage6159 2 месяца назад

    Mwandishi tulia tusikilize madini kidogo
    Kuna vitu huyu jamaa akiongea vinapenya sana
    Anastahili tu kuwepo alete changamoto.

  • @emmanuelisarria6321
    @emmanuelisarria6321 4 месяца назад +1

    👍

  • @sittakisinda927
    @sittakisinda927 4 месяца назад

    Porojo nyingi sanaa huyu Lema

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 4 месяца назад

    Fatani mkubwa huyo muongo mkubwa. Mbunge ulikimbia muongo fatan mkubwa huyo mbaka Dini zetu anakebehi muongo na fatani mkubwa huyo

  • @shabanikimpinga6769
    @shabanikimpinga6769 4 месяца назад

    Mbona.husemi.raiya.unatamani.ubunge.wapeni.nawengine

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 4 месяца назад

    👍✌️👊.

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 4 месяца назад

    Arusha Mji wa.Mataifa
    LAKINI MJI UN MATATIZO .....NO WATER...IKIPATA
    MAJI NI YA CHUMVI
    AIBU KUBWA SANA......
    KWELI ARUSHA HAIENDELEI...
    NO WATER
    NO POWER
    NO MILK
    ..........

  • @Simulikatz
    @Simulikatz 4 месяца назад +1

    Kugombea

  • @user-qj2fz8uq3j
    @user-qj2fz8uq3j 4 месяца назад

    Ungepunguza sifa

  • @athmaniathmanisimba4976
    @athmaniathmanisimba4976 3 месяца назад

    mhemiwa.kagombekondoa upeleke
    Maendeleo. Mbele.

  • @ibrahimirove
    @ibrahimirove 4 месяца назад +2

    Ulikuwa Mbunge Hujafanya Lolote Hatukutaki Wewe Ni Mchochezi Tuuuu

    • @juliusmsangi6849
      @juliusmsangi6849 4 месяца назад +2

      Maswali ya mambumbumbu ya chama Twawala! Kodi zenu mnampa Mbunge ili muwadai wamefanya Nini?

    • @musasabuu2808
      @musasabuu2808 4 месяца назад +1

      Kwani anakusanya kodi

    • @husseinamassanza50
      @husseinamassanza50 4 месяца назад

      Ulitaka bibi yako ndiyo awe m bunge, huyo ambaye ni m bunge baada ya lema yeye kakufanyia kipi shoga wewe

    • @Abs-tz8dl
      @Abs-tz8dl 3 месяца назад

      Wewe ni 00000.0000” x 0000000000”.0000=0

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 4 месяца назад

    Tulisikia chadema kama katiba na nec haitafanyiwa mabadiko hamtashiriki imekuwaje tena

  • @johnsimba
    @johnsimba 4 месяца назад

    Lema una point ila sasa unachanganya na kingereza mengine hatuyaelewi ebu ongea angalao kiswahili zaidi

  • @michaelmagwaza-bc6mk
    @michaelmagwaza-bc6mk 4 месяца назад

    Mheshimiwa Lema Mbona humping nafasi Mtangazaji anapokuhoji.? Kwanini unamkatisha alafu wewe unaongea sana hutaki ukatishwe. ILOVE YOU LEMA.

  • @elishambise-qz1cx
    @elishambise-qz1cx 4 месяца назад

    binafsi namwamini sana uyu mwamba kwnza hana nizam ya uoga nikikumbuka 2005 najuwa awezi kosa ushindi pindi uchaguzi ukiwa nawa huru na aki

  • @humphreynyiti516
    @humphreynyiti516 4 месяца назад

    Huyu ni mmbunge wetu chuga yetu

  • @user-jo9gp5tb9w
    @user-jo9gp5tb9w 2 месяца назад

    Wasiibe kura tu

  • @user-vb3sy6oe2y
    @user-vb3sy6oe2y 4 месяца назад

    Lema MÙNGU akubarikisaana miminakuombea

  • @raymondlaizer4717
    @raymondlaizer4717 4 месяца назад +2

    Lema sikuzote your Smart tungepata mawaziri watano kama ww njichi hii ingekua mbali

    • @Jal210
      @Jal210 4 месяца назад

      Huyu jambazi mkubwa

  • @user-vb3sy6oe2y
    @user-vb3sy6oe2y 4 месяца назад

    Maandiko yanasema akiwapo nabii MUNGUATAJIFUNUA KUtokananahuyonabii

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza7450 4 месяца назад

    Tobowa lema mwambiye huyo mwandishi.

  • @user-qz2en7xi2h
    @user-qz2en7xi2h 4 месяца назад

    Mguakupe uzima

  • @user-lv7zy7mx9i
    @user-lv7zy7mx9i 4 месяца назад

    Unataka swawabu kwa uongo

  • @francisrogears528
    @francisrogears528 4 месяца назад

    lema mwamba

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 4 месяца назад

    Arusha bado tunakukubali kamanda Lema,ingawa ccm walikunyang'anya kinyume chetu bado hujapoteza,Karibu Gambo anajua alivyoshinda na hata aongee mema kiasi gani bungeni na uraiani tunataka bunge la mseto na wananchi bado tunakumbuka matendo yake kwa upinzani wakati akiwa DC/RC na aliapa atamshinda kwa vyovyote na kweli ccm ilishinda nchi nzima kana kwamba wananchi woote nchini waliichagua ccm tu!

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 4 месяца назад

    Lema alikosea kuwatukana bodaboda na JOODEV hilo tu lilimuondolea kasivii frana tena bado anatukana tena maaskofu wachungaji manabii bodaboda hapo tu unakosea

  • @frankpeter-of8xp
    @frankpeter-of8xp 4 месяца назад +1

    Mbona viongozi wa ccm amuwaulizi maswali magumu Kama hayo

    • @benjaminmiselya2622
      @benjaminmiselya2622 4 месяца назад

      Hahaha.kama Trump I want to ask you tough questions 😂😂😂

    • @abdulmajidmageja6562
      @abdulmajidmageja6562 4 месяца назад +1

      Viongozi wa ccm ni chenga sana hawa jui kujibu maswali

  • @user-vy5kn6nz4l
    @user-vy5kn6nz4l 4 месяца назад +1

    Mwandishi jipange maswali ya kumuuliza huyo jamaa hayo mabarabara na mavitu wanayotaja wamefanya ni kodii zetu.

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 4 месяца назад

    Sio rahisi miaka 10 alokaa lema ukilinganisha na mitatu ya gambo gambo kafanya mengi lema alikua akijidai eti katupa ujasiri lakini akakimbiza familia yake nje mpk sasa inakula pizza Canada sisi tunakula mihogo na pilipili

    • @silvesterrichardhelenya1319
      @silvesterrichardhelenya1319 4 месяца назад

      Pesa za ccm hupekekwa kwa Kwa mbunge ambaye ni Wa chama chao

    • @PrinceHendry-hp8vv
      @PrinceHendry-hp8vv 4 месяца назад

      Ww kuandika hujui so nyamaza hujui kitu nikianza kukuelewesha napoteza bando

    • @karolikisaka8991
      @karolikisaka8991 4 месяца назад

      Gambo ana kashfa na chama chake
      Gambo ana kashfa na serikali yake
      Mengine tunyamaze

    • @PrinceHendry-hp8vv
      @PrinceHendry-hp8vv 4 месяца назад

      Pamoja na yote ila lema hafai sio mzalendo mbona mbowe sugu na wengine hawakukacha mbowe alikaa mpk jela lema akaishia nje ya nchi mpk Leo mkewe na watoto hawapo tz

  • @user-qj2fz8uq3j
    @user-qj2fz8uq3j 4 месяца назад

    lema tatizo unapenda sifa mzee

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 4 месяца назад +2

    Lema usijipe moyo. Huna lolote in mhuni tu .Labda CCM isimteuwe mrisho

  • @kandorohussein6890
    @kandorohussein6890 4 месяца назад

    Lema mbwembwe nyingi tu lakini una njaa kali tu, Huko nje ulikoenda ukaona kuzuri si ungekaa hukohuko umerudi kuganga njaa tu. Lakini nakusifu unafaabsana kwa PROPAGANDA !

    • @husseinamassanza50
      @husseinamassanza50 4 месяца назад +1

      Sasa njaa aliyonayo lema na njaa uliyonayo wewe yupi atakufa haraka kama sio wewe, fikiria vitu vya kuongea na ushoga uache

    • @Abs-tz8dl
      @Abs-tz8dl 3 месяца назад

      @@husseinamassanza50sio lazima ulijibu by robot la Ccm Hilo

  • @Jal210
    @Jal210 4 месяца назад

    Uliifanya nini ulivyokuwa Mbunge Arusha wacha ujinga Wewe LEMA mhuni mmoja Jambazi mwizi wa magari Arusha

  • @user-fl4lr2lq3s
    @user-fl4lr2lq3s 4 месяца назад

    Huyo kadata

  • @user-uo6zj2jm3e
    @user-uo6zj2jm3e 4 месяца назад

    Tunamtaka lema ndio nimbunge kwa sababu hatujamchagua gambo sisi