#MEDANI
HTML-код
- Опубликовано: 15 мар 2024
- Karibu utazame chaneli yako pendwa ya Star TV Africa.
Jiunge nasi kupata habari za kitaifa na kimataifa, makala, burudani na habari za michezo katika nyanja zote!
Kutoka Ilemela - Mwanza, Tanzania mpaka ulipo, TUNAKUFIKIA!
Star TV Brightens Your Day ! - Развлечения
Mwandishi huyu ni smart sana, Gambo ni takataka mavi.
Utakataka wa gambo uko wap? Basi ww utakuwa mavi kabisa
Mbona Yuko vizuri ila wewe uwezo wa uelewa uko chini ya kiwango
gambo muogope mungu ww hukushnda
Gambo hana uwezo wa kushindana na Lema Arusha
Gambo nimekusikiliza kwa makini ukiwa mzee utakuwa bonge la mchawi
Gambo anachekesha hana ubavu kabisa amshukuru magu
Gambo ana jua. Lema ni mwamba.
Gambo hana kitu zaidi ya umbea.
Tuna mshauri ata fute kazi ya kufanya.
Machawa wa mwendazake hawa waliishi kwa kumtegemea binadamu badala ya kumtegemea mungu..
Dah! Mpaka naona aibu kuwa na mbunge WA aina hii,utafkiri nlimchagua.
Mwadishi nitafute kunazawad yako safi sana kwa maswali mazur yaliyokosa majibu sahii bila kusahau kauli ipuuzwe au
Lema ndiye Mbunge wa Arusha!
Maswali mengi unafeli kujibu. Lema bado anafiti sana Arusha mjini.
Arusha Ni Lema Arusha Bila Lema Haiwezekani.
Chieff Odemba. Unapomaliza kipindi basi usisahau ile salamu yako yakilugha chako cha kijaluo. Huwa naikubali sana.
Mwandishi namba moja
Maswali Bado hawezi kujibu kabisa 😊😊😊
Ni Mjinga Anangangana Kumshambilia Mwenye Jimbo Lake, Anajua Yupo Bungeni Pasipo Na Kibali Cha Wapiga Kura Wabunge Wa Mchongo Wa Mwendazake.
Sijawai kumsikia gambo kutetea watu wa ngologolo wala maisha magumu kwa wanaichi yeye anagalia masilai yake
We kalale huna lolote tuachie lema ndoo mbunge wa Arusha mjini
Hamna anachojibu anaulizwa kitu anajibu ujinga tena ujinga wa hali ya ujuu ila odemba salute san una ubongo mzur wa kutafakari na wa hoja nzur san
Chief Odemba hii kazi unaiweza
This is big agenda 2024 Mwandishi unastahili ulinzi
Mzeee chuga hawawez kuchagua mtu kama ww😅😅😅 em toka hapaaa
Huyu mwandishi anaakili kuliko wakina ayo tv
Kweli Gambo amejaa mavi kwenye ubongo wake, kama walivyo maccm wengi.Pumbafff
Kiukweli ndugu mtangazaji unamswali mazuri sana mh gambo akumbuke kuwa wananchi wa vyama pinzani nawao ni walipa kodi kwanini wanyimwe haki zao za msingi
Great associate....tulikuwa wote uvccm
Arusha si Maboya banaa Gamboo huwezi mshinda Lema hata kwa kumkaribia tu katika uchaguzi huru na haki Arusha ni Lema na Lema ni Arusha ww ni Asante Magufulu we all know that.
Arusha ipi😊
Kwakweli Ahsante Hayati
Hata Balozi Polepole aliwahi kusema Uchaguzi ukiwa huru na haki ccm ijiandae kukabidhi Ikulu
@@modernfarming5938 Wewe unajua Arusha Ipi?!
Hakuna mbunge hapaaaa,ni mbwembwe!!!!!
Kweli gambo huna Sela hata Moja, nikweli ulipitishwa na time ya uchaguzi, katafute kazi yakufanya
Dah mtangazaji upo vizuri kwenye maswali majibu ndo hayapo
I love this journalist
Gambo mbona unashindwa kujibu maswali unayoulizwa na mwandishiiiiiiii??? Nenda ukalale kama umeshindwa hoja.
Bonge la mwandishi wa habari, tumpe maua yake.
Bonge la muamdishi
Kichaaa uyo
Gambo huna jipya
Ety serikal inadai wananchi umeanza kuchanganyikiwa😂😂😂😂😂
Mwandishi safi
Yani huyu kilaza kweli swali ni kwamba ela unatowa wapi mmbuge? Na usipo pewa izo ila ufanyeje? Kila alipo mpizani atupeleki…?
😂😂😂 Gambo hana chake Arusha kwa staili hii
Unaulizw hiki unajb tofaut we ni boy
Huyu ni mashaka kweli aisee😅😅
We chifu ni noma kwa maswali
Hebu angalia mwizi na fisadi Gambo anavyoropoka kama mshirikina alekutwa na laana
Gambo hana uwezo wakushindana na lema
Uwiano wa maendeleo ya taifa na umri wa taifa..miaka 63 ya uhuru kutowiana ni swala linalohitaji mjadala mpana zaidi!
Tatizo kubwaa mno
Dakika ya 11 nimechoka sasa
Jibu maswali gambo
Jibu maswali acha kujikanyaga gambo
Daah bonge la interview
Gambo ujue akuna k2 apo pumba tu
Mwandishi anaitaji tunzo
Mwandishi big up sana, gambo propaganda kwelikweli unazingua.
ivike atua kaka uwe unawapa point kwa kila swali kaka ongera. Sana kaka maswali ya Yana tija lakini sisi wamasai kutolea ngorongoro je nilani ya c
Hoja za maswali hazijibiwi, lol
Gambo Matopeni Au alikuwa na Swaumu 😀
Uchu wa madaraka
Huna uwezi wa kushinda ubunge arusha mjini
Hakuna hoja hapa ni za mtt wa darasa la saba.
Mbona hajibu maswali
Tunamtaka lema
Alikuwa hapa mwezi mmoja ukionpitaaa
Nyanda we noma ...una maswali konk na mazur sana
Chairman Haijawahi babe mtu kwenye roli Wanakuja Wao Wenyewe.
Chief Odemba nakukubali umekuwa mwanaharakati mzuri katika kutangaza haki na kuinterview viongozi wetu mungu akupe uwepesi lakini gambo bado hajawa na uwezo wa kujibu maswali yako kwa ufasaha lema ndio arusha respect kwake wanaoharibu ccm ni baadhi ya viongozi wasio waadilifu na ndio wanaoharibu sifa ya mama angalau makonda anajaribu kuonyesha njia sahihi lakini wengi hawataupikea na ungesaidia ccm kwa kiwango kikubwa , cha kumshauri gambo atumie ukaribu aliyonayo kwa mama kujihimarisha na kuonyesha uzoefu wa kazi bcoz kwa sasa yeye siyo mwanasiasa lingine kiongozi mwenye madaraka siyo kushindana na asiye na madaraka bali nikutumia kelele yake kujiimarisha na kufanya yale yanayopigiwa kelele na yule mshindani wake . Ndio mbinu sahihi ya kujiokoa na kulinda maslahi ya watoto na familia yao
Mrisho Gambo una kitu ndani yako
Unampiga maswali kama umetumwa na lema haloo??
Mueshimiwa muandishi wa habari huyu mbunge wa arusha mjini ushamvua nguo kwa wenzake
Kwa bahati mbaya mbunge mwenye akili kama hii anaweza kuwa waziri ccm wanaiharibu hii nchi
Ni Hatari Sana
Tena Huyu! Kibuyu, Mwendazake Angekuepo Ungekuta Ni PM Ama Waziri Wa Fedha Kabisa 😁😄
Ila nyanda unitendea haki taaruma yako
Kumbe anaitwa mashaka ndio maana anashindwa kujibu maswali. Wazazi tuwe makini tunapowapa watoto majina. Utashangaa unamuita mtoto mashaka, matatizo, mawazo, tabu, shida, hapanaaaaaa!!!!! Haifai tuwe makini
Wabunge wa mwendazake a.k.a viti maalum.
Sikujjua huyu jamaa kiwango kiko chini hivyo. Ndio maana G. Lema anajiamini sana Arusha
Gambo ebu tuacheee tuchekeeeee yaan ulivyo muongo hata Mungu hapendi
Gambo anachekesha kumbe kichwani hazimo kabisa kweli magu alituchagulia vilaza na majukha hivi pumbavu kabisa
Mwandishi kwamba jamaa alikua na roho mbaya kiasi hicho, ila ukweli huyu jamaa alitumika vibaya kipindi cha mwendazake
Odemba wewe ni mwandishi makini na mzoefu sana. Na kituo cha Star TV. Ni kituo kikubwa kabla hamujamualika mtu kuja studio fanyeni uchambuzi wakina kwanza. Sio kila mtu wakualika tu studio hapo. Mnakidharirisha kituo chenu some time.
Ndugu mwandishi maswali yako hakiki maana lugha nyengine ni kalii.
Dakika ya 4 hadi 6
4:00
Mwandishi mnafiki ametumwa
Huyu Mtangazaji kama hujajipanga vizuri unaweza ukakimbia mahojiano.. Duh!🤣😂!.. Huyu mbunge angejua atakutana na hoja nzito kiasi hicho asingeshiriki hiyo interview..
😂😂Gamboooo
Mwandishi bora aliyebakia Tanzania
Yupo Yule Mwingine Mtozi Nae Yuko Vizuri, Waandishi Wa Aina Hii Wanaitendea Haki Taaluma Yao.
ILA N KWEL YAN UNAKUTA MTU YUKO KIGOMA ANAMZUNGUMZIA GAMBO AMBAE ANACHAGULIWA NA WATU WA ARUSHA HAWEZ KUONGEA UHALISIA WA WATU WA ARUSHA
Analalamika milima inauzwa na viongoz ili hali viongoz wote waliopo kwenye nafasi ni ccm,huku anakuambia ccm ni chama kinachojali watu
Mwenye kiti wa chamade anauwezo wa kumwambia mkurugenzi kuwa nimekuchagua na nimekuoa gari na nyumba? Mwenye kiting wa chama answerable kumquat mkurugenzi yoyote au mtu yoyote nsani ya taifa?
Hiyo ndoo akiliyako na vyeo vyote ulivyopitia ,??
Chief apewe ubunge aise 😊
Huyo gambo ni mbw me ni jiran yake Barbara mbov kwnz aish muriet kahm ana maan huyo mjing
Minazani baada ya hii interview huyu jamaa anaenda kuwa adui yako na ifike maali ccm msikubali kuojiwa
unastaiki kufanya kazi BBC au CNN ongera mwandishi akuna mbunge apo
Achana has uyo ukawa
Sasa mrisho gambo waliouza mlima unawajua tuambie ni ccm au nichadema na kama wameuza zipi hatua za kisheria zimechukuliwa na serejali yenu
Swali la Dakika 18...kama alisema kama mwenyekiti swali ni je mwenyekiti wa chama ndo mwenye majukumu kikatiba ya kutoa izo teuzi za kazi za kusimamia uchaguzi??
Eti ubunge ni wito wakati mnalipwa 18milion nyokozako
Acha kuropoka hovyo badae ukapimwe shinikizo la damu
Yani ilo swali ndo uwa lina wagusha kabisa miaka 63 kweli hahahaha Africa shida kweli
Dah yaani hii ndio type ya wawakilishi tulio nao
Ujinga Mtupu, Hii Ndiyo Ahsante Mwendazake Ubongo Wa Kuku Una Akili Kuliko Hiki Kituko Cha Leo.
Uyu mbunge dah ni ajielewi kabisa dah skutegemea yaan uyu ilkuwaje ata ccm wampe dhamana ya kuwa mgombea wake
Duu kumbe gambo hakuna kitu
Kichwa Ni Empty Mzee 😁😄
SAFI SANA GAMBO KWA KAZI KUBWA ILIYOTUKUKA ARUSHA
Kazi aliyofanya gambo Arusha au kwakuwa ni mwislamu mwenzako ,hebu tuondokee na Udini wenu ,waislamu ni watu wenye husida
@@andrewkissava9184Wewe ndiyo unaleta you udini, ni wapi kataja suala la dini?
K**
😂😂😂😂😂 gambo
Mambo mbona unafeli, Kuna hoja inatakiwa uzijibu bila kuwa zuzu unajipatia heshima broo huu ni usharudi wa buree