MGOGORO WA ARDHI | WATANGANYIKA KUTOMILIKI ARDHI ZANZIBAR | HILMI HILAL
HTML-код
- Опубликовано: 3 май 2024
- Swahili Villa Onaline TV Washington DC, pamoja na America Swahili News Kutoka Colombia South Corolina
Siku ya Jumamosi May 4, 2024
Mda at 8:00 pm EAT Yaani Saa Mbili Usiku
USA at 1:00 pm EDT (mchana)
Toronto, Canada at 1:00 pm EDT
UK at 6:pm at 6:00 pm BST
Muscat, Oman at 9:00 pm GST - Развлечения
Asante sana nduguyetu kilichopo nikuvunjwa mkataba tusisumbuane akiongea tundulisu anashambuliwa namajambazi ya ccm nyinyi miccm mumemsikiliza uyo mzanzibali alinfwofafanua munafwotufanya ccm mwakauu kitaeleweka tumechoka na ccm majambazi
CCM jibuni hoja jamaa yuko sawa tuelezeni katiba siyo kutukana
Hongera ndugu yangu umeeleweka vizuri huuu mungano una shida ina bidi tuutizame upya u
Kaka mimi ni ccm lkn nakupongeza sana kusema ukweli nyerere aliharibu mamabo mengi sema wanamlindia heshima na kuacha kusema ukweli lkn ndiye aliyetufikisha hapa
Uko vizuri. HILMIY. Mungu akuweke na akupe. Upeo zaidi wa kuitetea Zanzibar
Kwali kabisa makusanyo yanatoka mengi nitanganyika
Kusema kweli wazanzibari hawataki huo mungano NA muongo sio kwa nguvu waulize wazanzibari wakitaka okey lakini kama hawataki utwatawala kwa mabavu haifai wapeni nchi yao
Uyu mzanzibar anaongea vzr kbs
Naam Asalam Alaikum kaka je kuusu mombasa pia Ina mikataba take waifahamu
Please what is the color flag of Tanganyika?
Wewe uko huko Canada unakula kuku , hujui matatizo ya mzanzibar masikini ,eti wazanzibar wanamiliki ardhi zambia ,jidanganye mwenyewe, kwa mzanzibar maskini anahitaji nauli na kitambulisho cha taifa basi ana haki sawa na mtanganyika kupata aridh na kilakitu atakacho, hawezi fanya hivyo kenya, uganda na dunia yote kuna zaidi ya wazanzibar wazanzibar milion wanaita Tanganyika home , tena waarabu koko kama wewe, muwe na shukurani kama ni waislam wa kweli
Kwa nini MKATABA uliweka wapi? Kwa nini kufichwa huu MKATABA upatikane uwekwe wazi kwa sababu sisi sote tuna uhalali wa citizens wa Tanganyika na Zanzibar. Kwa nini tunatawaliwa kwa mabavu.
Shkurani kwa elimu kubwa
In short Muungano hauna maana yoyote Kwa Watanganyika hautufaidii Kwa lolote zikitajwa sababu za kiusalama labda nI kwa nyakati zile aidha uvunjike au Tanganyika ipewe haki kuwa nchi Kamili,Nyerere tuna mheshimu ila alikuwa ni mwanadamu alikosea na alikiri hivyo mambo ya zidumu FIKRA za Fulani yalishapita lililopo jahazi livunjwe zigawanywe mbao.
Hivi ni kwa nini hawataki kusema kama Nyerere alitutosa?hivi nikwa nini tisiupitie huo mkataba
✌️👍👊.
Kweli kabisa muungano unatatizo kubwa sana! Tukatumie RASIMU ya Warioba ili ziwe Inchi tatu Tanganyika na Zanzibar na Muungano wa Tanzania.
Hakuna MUUNGANO utaoweza kufanya nchi 3 iitachowezekana ni Serikali hata 100. USA ina state 52 yaani Serikali 52 na ya Muungano 53 lakini NCHI ni 1.
Tahadhari Hilmi, mbona huyu jamaa ana maswali ya kukuingiza kwenye mitego?
Kweli tatizo liko na CCM. Watu walio CCM ndiyo imetutaifa sana nina kupa mauwa yako kwa kusema ukweli. Wao wanataka kutufanya watanganyika watumwa wao. Hakuna lingine na wanataka hata wazanzibar president awe mtu wao na ndiyo sababu wanataka huko Zanzibar raisi lazima awe CCM.
Mbona hapa Dar Wanamiliki arthi majumba Sasa inakuwaje
Tutachukua kwa nguvu tunasubili gali liwake
We need translate into Abraham kinana lie trying to compared america politics and tanzania costuetion wich is not
Ardhi ya Tanzania inamilkiwa na watanzania,kwa maana hiyo muungano ukivunjika kutakuwa na wazanzibar na watanganyika. Kwa akili yako unafikiri haitakuwa shida kisheria?
Tuvunje mungano na Samia aludishe malizetu akauze bandali zao kwao zanzibali
Wacha Ujinga Kwani Hao Marais wengine hawakuuza hizo mali?msimuonee huyu wa sasa....
NAKUULIZA HILMI JE UNAYZKUBALI MAPINDUZI YA ZBR 1964?
Mapinduzi au mauwaji?
MAPINDUZI YALIUWA WAISLAM WA ZANZIBAR KUNUFAISHA KANISA✝️
Helim jibu dogs tu huiwezi kuipata Tanzania bilakuwepo tanganyika
Jamaa Mwarabu either anajifanya hajui au Labda Hajui alichosoma Shule. Neno Tanzania Tayari limeshawakilisha Tanganyika na Zanzibar na sio Lazima kutaja tena Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Majina yote ni sawa na Tanzania ni kifupi tuu cha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania period.
Nani kakwambia Tanganyika itabakia kuwa Tanganyika na Zanzibar itabakia kuwa Zanzibar maana Zanzibar wana katiba yao ,,,Inshort tunaitaka Tanganyika itoke ndani Ya Tanzania ilipojichomeka
Mwarabu gani uyo ss wazanzibari ndivo tulivo rangi zetu ukimwita huyu mwarabu basi karibia ya wazanzibari wote ndio wako ivo sura zao na rangi zao
Wewe umezidi tena,mpaka huyu pia muarabu???!!!!!
Nakúshúru sana mzanzibar ww una akili sana
kwanza nimuulize huyo Hilmi ana umri gani?
AKILI ZA KUZALIWA NA KUSOMA
AKILI ya mtu haitegemei UMRI Bali:
1) Genotype (25%).
2) Phenotype (75%).
Waislam wa Kizanzibari wenye akili hawategemei mafundisho kutoka Chuo Cha Kivukoni kinachofundisha:
1) NYEREREISM (Itikadi ya Nyerere).
2) NYEREREPHILIA (Utashi wa Nyerere).
Umri wake unakuhusu nini
Huyu mtu anachokiongea ni ukweli kabisa. Ukisema ukweli unaonekana wewe siyo mzalendo. Tuombe Mungu aweze kuwapa akili waamke ili tupiganie Tanganyika yetu Hata watoto wana CCM watapata shida sawa na watoto wetu mnaotuna ati si wazalendo. LISSU atakuwa katika history na ninyi CCM na mwalimu mtaliliwa na vizazi vinavyo kuja kwa ubaya mlioufanya ili waje wateseke. Unajua kuna methali inayo sema mtaka vyote hukosa vyote. CCM walitaka Tanzania ichukuwe Zanzibar kama mkoa lakini wazanzibar wakaw na macho na wala hawakuwa wajinga kama wakina wengi wetu ni Watanganyika ni wakina NAPE
MUULIZE TUNDU LISU,NYERERE ALIUZA AU ALIGAWA KIPANDE CHA ARDHI BAGAMOYO PALE MAKURUNGE NAE NI MZANZIBARA?
Pale si sehemu ya zanziba ,bali mwl.alimpa karume afanye malisho ya mifungo
Islaam sio dini ya mwarabu huo ni ujinga na uongo hii ni dini ya mungu ulaniwe
Kwenye Muungano Zanzibar ndio inafaidija na Muungano kwani inapatiwae Gawiio la Mapato ila haichangii Chochote kwenye makusanyo ya Kodi au Mapato. Tanganyika iko kwenye Muungano na Zanzibar kwasababu ya Usalama Tuu na sio kingine. Hakuna kitu chochote kinachotoka Zanzibar kwenda Bara, Labda Ubuyu.
Pesa zote za Zanzibar zinakwenda Bara. Pesa za Utalii zote zinakwenda Bara na siyo pesa za Muungano. Zanzibar wanapata nini? Kwenye huo Muungano… Njia zote Mjini mbovu.
Zanzibar inaweza kujiongoza kwa kodi ya huo ubuyu tu. Watalii wakija Zanzibar viza yao ni ya Tanzania na Tanganyika ndio inachukuwa kila kitu cha Tanzania ikiwemo misaada. Suluhisho ni kuvunja Muungano LAKINI Wanasiasa wajiandae kujibu hoja mfano ipi hatma hasa ya Wazanzibar waliopo Tanganyika. Na je Kabla ya Mapinduzi na miaka 9 ya Karume Wapemba walikuwa Pemba na Waunguja Unguja je Muungano ukivunjika tutaishi kwa uwiano visiwani mwetu? Na je Tanganyika wataweza kudhibiti ukanda au ndio sasa Wapwani wawambie wa kanda ya juu bandari haiwahusu.
Naomba Nyerere na Karume wasijadiliwe waliamua kwa muda wao na ni miaka 60 sasa kama sisi tumechoka tuuvunje. Tanganyika ni kubwa zaidi ya miaka 470 ya Zanzibar ina watu kidogo kuliko hata nusu ya Wakaazi wa Dodoma inaingia akilini kuwaruhusu Watanganyika waingie Zanzibar bila utaratibu?
😅😅😂😂 Ubuyu upi? Wa babu Issa au Kiponda😅😅😂😂
Hicho kidogo cha kupewa Zanzibar haki Yao Muungano basi hawapewi 😂😂😂 hata misaada inayo toka njee Zanzibar lazima wende wakaombe Bara. 4% yao walosema watawapa haki Yao basi sasa labda miaka 50 😂😂😂 hawajapata kitu. Lakini sihaba Wa Bara wanakuja Zanzibar na maharagwe. Sidhani Zanzibar inataka usalama kutoka kwenu. Unachekesha wewe. Kweli lakini wanahitajia Usalama siku za uchaguzi mnawasaidia sana kupiga na Kuuwa Wananchi wasiyo na hatia.
Tanzania means Tanganyika na Zanzibar , sawa na Czechoslovakia ni Czech republic na slovakia , lete hoja za maana
Ukateni
Kwa kua sasa hv Raisi wa Tanzania Mzanzibar sasa hv ndio munaziona kero za Muungano
Ukisikia Ujinga Ndio huu. Hivi Kuna Muungano wa Nchi kuungana kwa Mika 10 na wakauita Muungano? Mwarabu Acha kudanganya watu. Wazee walio kuwepo wakati wa Muungano mpaka leo wapo na Wanasema hakuna kitu cha Muungano wa miaka 10, la sivyo ungeitwa Mkataba wa mika 10 na sio Muungano. Haya ni mambo ya kutengeneza tuu. Zanzibar ilikuwa Huru Miezi michache tuu kabla ya Muungano, hili Baraza la Mapinduzi lilikuwa na Uwezo gani au muda gani wa Kukaa na kujadili mambo ya Muungano?Na Janus Zanzibar inayo didimizwa na Tanganyika, huo ni Uongo mtupu.
Muongo mwenyewe msenge sisi hatuutaki muungano
Sikiliza huyo mwarabu anatusaidia watangajika tujitambie.sisi niazuzu.anazngumzia muungano na aridhi.hazungumzii.dini
Wazanzibari ni wabaguzi kwa sababu ya dini ya kiislamu ambayo dini hiyo ni mali ya mwaarabu.
Tukumbuke muafrika dini yake
ya asili siyo uislamu wala ukristo.
Kwa hiyo watu weupe wameleta dini zao Africa ili kutugawa.Na wameshatugawa
ndio maana wao ni matajiri kutokana na kutuibia kwa hizo dini zao.
Dini ni silaha ya maangamizi pia kama silaha zingine
Akili yako ndio mbovu soma kwanza uwo uislam una kubali ubaguzi alafu uislamu sio mila ya waarabu warabu walikua na dini zao za kishirikina na kuabudu masanamu na walivo letewa wajumbe juu ya dini hii ya Mwenyezi Mungu, wao ndio wa mwanzo walio anza kuipinga na wengine ndio waka ikubali baada ya kujua haki ilipo so lazma ukitoa elimu yako ya kipumbavu ujue unacho kiongea,
@@MohamedAhmada-ie7ke Akili ya
mamako ndio mbovu kwa sababu wewe huelewi
@@mataypanga5262 Mungu akuongoe kwanza ujifahamu
Sie sio waafrika basi waafrika ni pekeyenu endeleeni kua wakiristo na uafrika wenu sio shida zetu tunachotaka muungano urekebishwe ikiwezekana uvunjwe
Na huyo CCM wampige
Huyu mwarabu anaongelea kuhusu muungano
Huyo ni Mzalendo wa Kizanzibari Kindakindaki.
Huyo ni mzalendo zaidi kuliko wewe
@@hafidhali3020 uzalendo upi wakati kwao Oman huko atakuwa na uzalendo na Africa huyu
@@user-oy9ps1us2w huyu ni mzalendo kwanza amezaliwa Zanzibar yeye na vizazi saba nyumba yake,yani mababu na mababu wamezaliwa hapo Zanzibar na hivyo unavyomuona huyo Ndio Wazanzibari wengi tulivyo hayo mambo mengine ni siasa za kijinga tu
Ndiyo ujinga unaozungumziwa. Ujinga upo.
Hiyo Ardhi ya Zanzibar Wazanzibar haiwatoshi bado nyinyi Watanganyika pia Munaitaka nazima Muangaliye na Population ya pande zote mbili..
Uko sahihi kabisa
Please what is the colour flag of Tanganyika?
Green, yellow and black
Wewe mshauli ubalikiwe unaongea ukweli wapumbavu a wa waccm wamekalia majungutu awangalii oja wanangalia kuiba pesa TU naujambazi