MGOGORO WA ARDHI | WATANGANYIKA KUTOMILIKI ARDHI ZANZIBAR | HILMI HILAL

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 май 2024
  • Swahili Villa Onaline TV Washington DC, pamoja na America Swahili News Kutoka Colombia South Corolina
    Siku ya Jumamosi May 4, 2024
    Mda at 8:00 pm EAT Yaani Saa Mbili Usiku
    USA at 1:00 pm EDT (mchana)
    Toronto, Canada at 1:00 pm EDT
    UK at 6:pm at 6:00 pm BST
    Muscat, Oman at 9:00 pm GST
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 83

  • @DamasAmos-ue2gh
    @DamasAmos-ue2gh 25 дней назад +1

    Asante sana nduguyetu kilichopo nikuvunjwa mkataba tusisumbuane akiongea tundulisu anashambuliwa namajambazi ya ccm nyinyi miccm mumemsikiliza uyo mzanzibali alinfwofafanua munafwotufanya ccm mwakauu kitaeleweka tumechoka na ccm majambazi

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 20 дней назад +1

    CCM jibuni hoja jamaa yuko sawa tuelezeni katiba siyo kutukana

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t 25 дней назад +2

    Hongera ndugu yangu umeeleweka vizuri huuu mungano una shida ina bidi tuutizame upya u

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 17 дней назад +1

    Kaka mimi ni ccm lkn nakupongeza sana kusema ukweli nyerere aliharibu mamabo mengi sema wanamlindia heshima na kuacha kusema ukweli lkn ndiye aliyetufikisha hapa

  • @juliusnyerere5393
    @juliusnyerere5393 21 день назад

    Uko vizuri. HILMIY. Mungu akuweke na akupe. Upeo zaidi wa kuitetea Zanzibar

  • @LuciaAgustino-pt5mg
    @LuciaAgustino-pt5mg 26 дней назад +1

    Kwali kabisa makusanyo yanatoka mengi nitanganyika

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 7 дней назад

    Kusema kweli wazanzibari hawataki huo mungano NA muongo sio kwa nguvu waulize wazanzibari wakitaka okey lakini kama hawataki utwatawala kwa mabavu haifai wapeni nchi yao

  • @exseviangaeje1158
    @exseviangaeje1158 20 дней назад

    Uyu mzanzibar anaongea vzr kbs

  • @alikibwana4657
    @alikibwana4657 21 день назад

    Naam Asalam Alaikum kaka je kuusu mombasa pia Ina mikataba take waifahamu

  • @brendapowers6290
    @brendapowers6290 17 дней назад

    Please what is the color flag of Tanganyika?

  • @emilbocco5895
    @emilbocco5895 15 дней назад

    Wewe uko huko Canada unakula kuku , hujui matatizo ya mzanzibar masikini ,eti wazanzibar wanamiliki ardhi zambia ,jidanganye mwenyewe, kwa mzanzibar maskini anahitaji nauli na kitambulisho cha taifa basi ana haki sawa na mtanganyika kupata aridh na kilakitu atakacho, hawezi fanya hivyo kenya, uganda na dunia yote kuna zaidi ya wazanzibar wazanzibar milion wanaita Tanganyika home , tena waarabu koko kama wewe, muwe na shukurani kama ni waislam wa kweli

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 25 дней назад +1

    Kwa nini MKATABA uliweka wapi? Kwa nini kufichwa huu MKATABA upatikane uwekwe wazi kwa sababu sisi sote tuna uhalali wa citizens wa Tanganyika na Zanzibar. Kwa nini tunatawaliwa kwa mabavu.

  • @mattarrashid7625
    @mattarrashid7625 27 дней назад +1

    Shkurani kwa elimu kubwa

  • @DavidSemu-gu6wp
    @DavidSemu-gu6wp 21 день назад

    In short Muungano hauna maana yoyote Kwa Watanganyika hautufaidii Kwa lolote zikitajwa sababu za kiusalama labda nI kwa nyakati zile aidha uvunjike au Tanganyika ipewe haki kuwa nchi Kamili,Nyerere tuna mheshimu ila alikuwa ni mwanadamu alikosea na alikiri hivyo mambo ya zidumu FIKRA za Fulani yalishapita lililopo jahazi livunjwe zigawanywe mbao.

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 17 дней назад

    Hivi ni kwa nini hawataki kusema kama Nyerere alitutosa?hivi nikwa nini tisiupitie huo mkataba

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 27 дней назад

    ✌️👍👊.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 25 дней назад

    Kweli kabisa muungano unatatizo kubwa sana! Tukatumie RASIMU ya Warioba ili ziwe Inchi tatu Tanganyika na Zanzibar na Muungano wa Tanzania.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 24 дня назад

      Hakuna MUUNGANO utaoweza kufanya nchi 3 iitachowezekana ni Serikali hata 100. USA ina state 52 yaani Serikali 52 na ya Muungano 53 lakini NCHI ni 1.

  • @hadjihadji197
    @hadjihadji197 27 дней назад

    Tahadhari Hilmi, mbona huyu jamaa ana maswali ya kukuingiza kwenye mitego?

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 25 дней назад

    Kweli tatizo liko na CCM. Watu walio CCM ndiyo imetutaifa sana nina kupa mauwa yako kwa kusema ukweli. Wao wanataka kutufanya watanganyika watumwa wao. Hakuna lingine na wanataka hata wazanzibar president awe mtu wao na ndiyo sababu wanataka huko Zanzibar raisi lazima awe CCM.

  • @cellinamuro6872
    @cellinamuro6872 22 дня назад

    Mbona hapa Dar Wanamiliki arthi majumba Sasa inakuwaje

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 27 дней назад

    We need translate into Abraham kinana lie trying to compared america politics and tanzania costuetion wich is not

  • @milkionmapunda1754
    @milkionmapunda1754 23 дня назад

    Ardhi ya Tanzania inamilkiwa na watanzania,kwa maana hiyo muungano ukivunjika kutakuwa na wazanzibar na watanganyika. Kwa akili yako unafikiri haitakuwa shida kisheria?

  • @DamasAmos-ue2gh
    @DamasAmos-ue2gh 25 дней назад

    Tuvunje mungano na Samia aludishe malizetu akauze bandali zao kwao zanzibali

    • @ambokileasheengai1140
      @ambokileasheengai1140 25 дней назад

      Wacha Ujinga Kwani Hao Marais wengine hawakuuza hizo mali?msimuonee huyu wa sasa....

  • @jumakiduka4625
    @jumakiduka4625 26 дней назад

    NAKUULIZA HILMI JE UNAYZKUBALI MAPINDUZI YA ZBR 1964?

  • @HumoudSalim-ct1tz
    @HumoudSalim-ct1tz 26 дней назад

    Helim jibu dogs tu huiwezi kuipata Tanzania bilakuwepo tanganyika

  • @tanzanite9944
    @tanzanite9944 26 дней назад +1

    Jamaa Mwarabu either anajifanya hajui au Labda Hajui alichosoma Shule. Neno Tanzania Tayari limeshawakilisha Tanganyika na Zanzibar na sio Lazima kutaja tena Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Majina yote ni sawa na Tanzania ni kifupi tuu cha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania period.

    • @rajabmsinzia1715
      @rajabmsinzia1715 26 дней назад

      Nani kakwambia Tanganyika itabakia kuwa Tanganyika na Zanzibar itabakia kuwa Zanzibar maana Zanzibar wana katiba yao ,,,Inshort tunaitaka Tanganyika itoke ndani Ya Tanzania ilipojichomeka

    • @AliAbdalla-lb8su
      @AliAbdalla-lb8su 26 дней назад

      Mwarabu gani uyo ss wazanzibari ndivo tulivo rangi zetu ukimwita huyu mwarabu basi karibia ya wazanzibari wote ndio wako ivo sura zao na rangi zao

    • @salumhaji1906
      @salumhaji1906 20 дней назад

      Wewe umezidi tena,mpaka huyu pia muarabu???!!!!!

  • @michaelbachubira7197
    @michaelbachubira7197 25 дней назад

    Nakúshúru sana mzanzibar ww una akili sana

  • @jumakiduka4625
    @jumakiduka4625 26 дней назад

    kwanza nimuulize huyo Hilmi ana umri gani?

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 26 дней назад

      AKILI ZA KUZALIWA NA KUSOMA
      AKILI ya mtu haitegemei UMRI Bali:
      1) Genotype (25%).
      2) Phenotype (75%).
      Waislam wa Kizanzibari wenye akili hawategemei mafundisho kutoka Chuo Cha Kivukoni kinachofundisha:
      1) NYEREREISM (Itikadi ya Nyerere).
      2) NYEREREPHILIA (Utashi wa Nyerere).

    • @AliAbdalla-lb8su
      @AliAbdalla-lb8su 26 дней назад

      Umri wake unakuhusu nini

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 25 дней назад

    Huyu mtu anachokiongea ni ukweli kabisa. Ukisema ukweli unaonekana wewe siyo mzalendo. Tuombe Mungu aweze kuwapa akili waamke ili tupiganie Tanganyika yetu Hata watoto wana CCM watapata shida sawa na watoto wetu mnaotuna ati si wazalendo. LISSU atakuwa katika history na ninyi CCM na mwalimu mtaliliwa na vizazi vinavyo kuja kwa ubaya mlioufanya ili waje wateseke. Unajua kuna methali inayo sema mtaka vyote hukosa vyote. CCM walitaka Tanzania ichukuwe Zanzibar kama mkoa lakini wazanzibar wakaw na macho na wala hawakuwa wajinga kama wakina wengi wetu ni Watanganyika ni wakina NAPE

  • @jumakiduka4625
    @jumakiduka4625 26 дней назад

    MUULIZE TUNDU LISU,NYERERE ALIUZA AU ALIGAWA KIPANDE CHA ARDHI BAGAMOYO PALE MAKURUNGE NAE NI MZANZIBARA?

    • @user13375
      @user13375 26 дней назад

      Pale si sehemu ya zanziba ,bali mwl.alimpa karume afanye malisho ya mifungo

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy 23 дня назад

    Islaam sio dini ya mwarabu huo ni ujinga na uongo hii ni dini ya mungu ulaniwe

  • @tanzanite9944
    @tanzanite9944 26 дней назад

    Kwenye Muungano Zanzibar ndio inafaidija na Muungano kwani inapatiwae Gawiio la Mapato ila haichangii Chochote kwenye makusanyo ya Kodi au Mapato. Tanganyika iko kwenye Muungano na Zanzibar kwasababu ya Usalama Tuu na sio kingine. Hakuna kitu chochote kinachotoka Zanzibar kwenda Bara, Labda Ubuyu.

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 26 дней назад

      Pesa zote za Zanzibar zinakwenda Bara. Pesa za Utalii zote zinakwenda Bara na siyo pesa za Muungano. Zanzibar wanapata nini? Kwenye huo Muungano… Njia zote Mjini mbovu.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 24 дня назад

      Zanzibar inaweza kujiongoza kwa kodi ya huo ubuyu tu. Watalii wakija Zanzibar viza yao ni ya Tanzania na Tanganyika ndio inachukuwa kila kitu cha Tanzania ikiwemo misaada. Suluhisho ni kuvunja Muungano LAKINI Wanasiasa wajiandae kujibu hoja mfano ipi hatma hasa ya Wazanzibar waliopo Tanganyika. Na je Kabla ya Mapinduzi na miaka 9 ya Karume Wapemba walikuwa Pemba na Waunguja Unguja je Muungano ukivunjika tutaishi kwa uwiano visiwani mwetu? Na je Tanganyika wataweza kudhibiti ukanda au ndio sasa Wapwani wawambie wa kanda ya juu bandari haiwahusu.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 24 дня назад

      Naomba Nyerere na Karume wasijadiliwe waliamua kwa muda wao na ni miaka 60 sasa kama sisi tumechoka tuuvunje. Tanganyika ni kubwa zaidi ya miaka 470 ya Zanzibar ina watu kidogo kuliko hata nusu ya Wakaazi wa Dodoma inaingia akilini kuwaruhusu Watanganyika waingie Zanzibar bila utaratibu?

    • @Jeff_Tz
      @Jeff_Tz 23 дня назад +1

      😅😅😂😂 Ubuyu upi? Wa babu Issa au Kiponda😅😅😂😂

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 22 дня назад

      Hicho kidogo cha kupewa Zanzibar haki Yao Muungano basi hawapewi 😂😂😂 hata misaada inayo toka njee Zanzibar lazima wende wakaombe Bara. 4% yao walosema watawapa haki Yao basi sasa labda miaka 50 😂😂😂 hawajapata kitu. Lakini sihaba Wa Bara wanakuja Zanzibar na maharagwe. Sidhani Zanzibar inataka usalama kutoka kwenu. Unachekesha wewe. Kweli lakini wanahitajia Usalama siku za uchaguzi mnawasaidia sana kupiga na Kuuwa Wananchi wasiyo na hatia.

  • @emilbocco5895
    @emilbocco5895 15 дней назад

    Tanzania means Tanganyika na Zanzibar , sawa na Czechoslovakia ni Czech republic na slovakia , lete hoja za maana

  • @user-nf7vq6dt3z
    @user-nf7vq6dt3z 26 дней назад

    Ukateni

    • @AhmedZahor
      @AhmedZahor 24 дня назад

      Kwa kua sasa hv Raisi wa Tanzania Mzanzibar sasa hv ndio munaziona kero za Muungano

  • @tanzanite9944
    @tanzanite9944 26 дней назад

    Ukisikia Ujinga Ndio huu. Hivi Kuna Muungano wa Nchi kuungana kwa Mika 10 na wakauita Muungano? Mwarabu Acha kudanganya watu. Wazee walio kuwepo wakati wa Muungano mpaka leo wapo na Wanasema hakuna kitu cha Muungano wa miaka 10, la sivyo ungeitwa Mkataba wa mika 10 na sio Muungano. Haya ni mambo ya kutengeneza tuu. Zanzibar ilikuwa Huru Miezi michache tuu kabla ya Muungano, hili Baraza la Mapinduzi lilikuwa na Uwezo gani au muda gani wa Kukaa na kujadili mambo ya Muungano?Na Janus Zanzibar inayo didimizwa na Tanganyika, huo ni Uongo mtupu.

    • @AliAbdalla-lb8su
      @AliAbdalla-lb8su 26 дней назад

      Muongo mwenyewe msenge sisi hatuutaki muungano

    • @albinusmkono5887
      @albinusmkono5887 25 дней назад

      Sikiliza huyo mwarabu anatusaidia watangajika tujitambie.sisi niazuzu.anazngumzia muungano na aridhi.hazungumzii.dini

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 27 дней назад

    Wazanzibari ni wabaguzi kwa sababu ya dini ya kiislamu ambayo dini hiyo ni mali ya mwaarabu.
    Tukumbuke muafrika dini yake
    ya asili siyo uislamu wala ukristo.
    Kwa hiyo watu weupe wameleta dini zao Africa ili kutugawa.Na wameshatugawa
    ndio maana wao ni matajiri kutokana na kutuibia kwa hizo dini zao.
    Dini ni silaha ya maangamizi pia kama silaha zingine

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 26 дней назад

      Akili yako ndio mbovu soma kwanza uwo uislam una kubali ubaguzi alafu uislamu sio mila ya waarabu warabu walikua na dini zao za kishirikina na kuabudu masanamu na walivo letewa wajumbe juu ya dini hii ya Mwenyezi Mungu, wao ndio wa mwanzo walio anza kuipinga na wengine ndio waka ikubali baada ya kujua haki ilipo so lazma ukitoa elimu yako ya kipumbavu ujue unacho kiongea,

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 26 дней назад

      @@MohamedAhmada-ie7ke Akili ya
      mamako ndio mbovu kwa sababu wewe huelewi

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 26 дней назад

      @@mataypanga5262 Mungu akuongoe kwanza ujifahamu

    • @AliAbdalla-lb8su
      @AliAbdalla-lb8su 26 дней назад

      Sie sio waafrika basi waafrika ni pekeyenu endeleeni kua wakiristo na uafrika wenu sio shida zetu tunachotaka muungano urekebishwe ikiwezekana uvunjwe

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 20 дней назад

    Na huyo CCM wampige

  • @user-oy9ps1us2w
    @user-oy9ps1us2w 28 дней назад

    Huyu mwarabu anaongelea kuhusu muungano

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 27 дней назад

      Huyo ni Mzalendo wa Kizanzibari Kindakindaki.

    • @hafidhali3020
      @hafidhali3020 26 дней назад

      Huyo ni mzalendo zaidi kuliko wewe

    • @user-oy9ps1us2w
      @user-oy9ps1us2w 26 дней назад

      @@hafidhali3020 uzalendo upi wakati kwao Oman huko atakuwa na uzalendo na Africa huyu

    • @hafidhali3020
      @hafidhali3020 26 дней назад

      @@user-oy9ps1us2w huyu ni mzalendo kwanza amezaliwa Zanzibar yeye na vizazi saba nyumba yake,yani mababu na mababu wamezaliwa hapo Zanzibar na hivyo unavyomuona huyo Ndio Wazanzibari wengi tulivyo hayo mambo mengine ni siasa za kijinga tu

    • @Nedjadist
      @Nedjadist 26 дней назад

      Ndiyo ujinga unaozungumziwa. Ujinga upo.

  • @amiroamiroboa8724
    @amiroamiroboa8724 23 дня назад

    Hiyo Ardhi ya Zanzibar Wazanzibar haiwatoshi bado nyinyi Watanganyika pia Munaitaka nazima Muangaliye na Population ya pande zote mbili..

  • @brendapowers6290
    @brendapowers6290 17 дней назад

    Please what is the colour flag of Tanganyika?

  • @DamasAmos-ue2gh
    @DamasAmos-ue2gh 25 дней назад

    Wewe mshauli ubalikiwe unaongea ukweli wapumbavu a wa waccm wamekalia majungutu awangalii oja wanangalia kuiba pesa TU naujambazi