IJUE HISTORIA ya JIJI LA DAR ES SALAAM, IKULU ya MAGOGONI na CHAMWINO! WAZEE WASIMULIA kwa KINA!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 май 2023
  • IJUE HISTORIA ya JIJI LA DAR ES SALAAM, IKULU ya MAGOGONI na CHAMWINO! WAZEE WASIMULIA kwa KINA!
    HII ni makala maalum ya historia ya Ikulu ya Dar es saalam na Chamwino...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Комментарии • 42

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад +1

    BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu 7 дней назад

    Kwahio ikulu ya Dar bandari ya dar imejengwa na mtawala wa Zanzibar 😊

  • @juliusakilimali9424
    @juliusakilimali9424 6 дней назад

    Huyo Zuhura cjui hajui kwamba hapa duniani c kwetu! Tupo safarini tu!! Tujitahidi kutenda haki kwa kila mmoja!!!

  • @user-wk4rc6cb4i
    @user-wk4rc6cb4i 8 месяцев назад +1

    Yes

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Год назад

    ❤️❤️❤️😍

  • @usafiaps318
    @usafiaps318 Месяц назад +1

    Waarabu Waingie Tu;Lakini Iko Siku!!!!!!!

  • @abdallahalbakri2561
    @abdallahalbakri2561 Год назад +1

    Jamani ndugu zangu kuna mtu anaijuwa email ya Bi Zuhura wa BBC nitashukuru sana manake nasikiya bado yupo single kama ni kweli yupo single nataka kupeleka posa kumchumbiya

    • @yusufuheri6524
      @yusufuheri6524 10 месяцев назад +1

      Kesha olewa so tuliza mshono

  • @yusuphmtipa1478
    @yusuphmtipa1478 20 дней назад

    8:54

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 Месяц назад

    Uache uchawa wakati huo rais alikuwa mmoja tu naye Magu Sasa ya mama yameingiaje

  • @usafiaps318
    @usafiaps318 Месяц назад

    Kwa Nini Sasa???????

  • @hamisimuhammad3656
    @hamisimuhammad3656 2 месяца назад +1

    Mali za waislamu zirudishwe

  • @helper1099
    @helper1099 24 дня назад

    Sasa Washomvi walikuja tu na hawakukuta wenyeji? Kwanini historia ya mwafika ianzie pale wageni walipofika. Acha zako....

  • @alalawiymuhammad446
    @alalawiymuhammad446 Год назад

    Kabla ya ushomvi kulikuwa na kabila ushomvi baada uhamiaj wa kabila mbili wabarawa na wazaramo ndio ukazaliwa ushomvi lkn kabla wabarawa kulikuwa na kabila likiitwa wamwambao

    • @user-um8xn4ge4i
      @user-um8xn4ge4i 2 месяца назад

      Shomvi na pazi ndio walioanzshisha mji waliuita mzizima kwa kizaramo mji wenye afya

    • @user-um8xn4ge4i
      @user-um8xn4ge4i Месяц назад

      Hakukua na kabila la ushomvi kk, shomvi na pazi walikuwa wakuu wa makabila y kizaramo na kikwelie basi, na hao shomvi na pazi ndio waliingiza choo cha kike wazaramo na wakwele kwa kuwapokea waarabu na kuukubali uislamu pia, wazaramo ndio waliowaonyesha njia waarabu kuingia bara hii ndio sababu wasukuma na wanyamwezi watani wa wazaramo

  • @ramdanmbara8500
    @ramdanmbara8500 Год назад +5

    Hivi kumtaja Magufuli kuwa mjenzi wa Ikulu mpya shida ninini? Zuhura huyo tangu BBC

    • @smartmusic9893
      @smartmusic9893 Год назад

      Hii ndiyo Tanzania 🎉

    • @hamadsheni8997
      @hamadsheni8997 Год назад

      Watu wote wanajua shda nini sasa.

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 Год назад +2

      Hujakatazwa kumtaja wewe
      Unaweza kumtaja asubuhi mchana na jioni ruksa

    • @yusufudongote6440
      @yusufudongote6440 Год назад +2

      Magufuri kumamake tu

    • @sultansallah8772
      @sultansallah8772 Год назад +2

      Mbona hamukumtaja kikwete kama kajenga daraja la kigambon na barbara za kuunganisha mikoa

  • @mhagamachas8974
    @mhagamachas8974 Год назад +2

    Zuhura acha roho mbaya kwa Magufuli yaani unafahamika waziwazi toka ukiwa BBC

  • @hamynas
    @hamynas Год назад +9

    kama ikulu ni jasho na nguvu ya waislamu na ilikua ni kituo chao cha DINI mpaka pale wakoloni wa kijerumani walivyoliteka na SASA wameshapata jengo mbadala DODOMA ni wakati mwafaka kulirejesha kwa WAISLAMU MALI YAO...FAIR DEAL

    • @fadhilisecha4268
      @fadhilisecha4268 Год назад +1

      Udini

    • @lulanjamd3886
      @lulanjamd3886 Год назад

      Yani waislam Kwa udini hadi wanakela 😂😂😂

    • @sumayasumaya6455
      @sumayasumaya6455 Год назад +5

      Inawauma sana, ni haki yao waislam si udini.., futa basi anachoongea huyu mzee, au aje mwingine akanushe

    • @mohamedsaid2882
      @mohamedsaid2882 Год назад

      Jamaa amechanganyikiwa huyu

    • @hamynas
      @hamynas Год назад +5

      @@fadhilisecha4268 ukidai haki unakua mdini?
      pumbavu saana