MZEE ASIMULIA YALIYOJIFICHA ENZI ZA NYERERE "NILIMPOKEA, AKANIWEKA 'KIZUIZINI', ALILALA KWANGU"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 376

  • @luckyshumeofficial
    @luckyshumeofficial 4 года назад +44

    This man deserves a lot, honor and respect, Tanzania yote huyu mzee ashikwe mkono jamani #kenya watching

    • @profharuni8353
      @profharuni8353 3 года назад

      Kumbuka kuwa huku ni afrika kijana tena Tanzania

    • @saidabeid8249
      @saidabeid8249 2 года назад

      Mzee bilal hajatendewa haki maana wengine wote wako na majina ya barabara na madaraja hadi kina makamba...sio haki

  • @SulemanKhan-lr1mu
    @SulemanKhan-lr1mu 3 года назад +17

    Mr Bilali is the real history of Tanzania. What a shame he has been forgotten for so long.

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 4 года назад +30

    Very interesting story huyu mzee afanyiwe kitu hata kama miaka imeenda
    USHUHUDA tosha Be Blessed my Grandfather 🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @juliusraphael600
    @juliusraphael600 4 года назад +21

    Kazi nzuri kaka millard, huyo mzee anachosema ni kweli wamtunze huyo mzee anaweza waambia mambo mengi maana ya kale ni dhahabu. Butiama kwetu🙏🙏🙏

  • @kelvinmwakalikamo9387
    @kelvinmwakalikamo9387 4 года назад +39

    Nchii za wenzetu huyu mzee angetunzwa angeishii vizuriii sana lakinii daaah kasha telekezwaa

    • @sameramwajdu9029
      @sameramwajdu9029 3 года назад

      Uyu mzee siwakuishi maisha haya lakini ccm mh

  • @bamasultan2092
    @bamasultan2092 4 года назад +25

    Mzee wangu leo kaonekana kwa Dunia

  • @jumayusuph8471
    @jumayusuph8471 4 года назад +16

    Yani mim nikionaga hivi huwa machozi yananitoka kwasababu nafahamu vizur historia ya nchi hii 😭😭😭😭😭😭😭 acha tu maisha yasonge tufe basi lakin mengi yanafanyika daaah haya bhana.

  • @faridsalehmohamed1230
    @faridsalehmohamed1230 Год назад +5

    Nyerere pia alikua dikteta hasa kwa waislamu

  • @user-je1id1tx1u
    @user-je1id1tx1u 4 года назад +26

    Akifa selikali ndo itatoa histolia na kuonyesha imeumia sana kumpoteza mtu muhimi tanzagiza

    • @timbukwa9771
      @timbukwa9771 4 года назад

      Wewe ulimjua huyu mzee?au unajuaje kama aliuchuna tuu miaka yote,kumbuka mambo mengi yameanza kujitokeza kuanzi aMagufuri aliposhika nchi,unakumbuka hata yule mzee wa Nembo ya taifa alivyosaidiwa?hakukuwa na mtu aliyemjua, kuna mambo mengi hatuyajui bila ya mwenye jambo kujitokeza atakufa tuu bila ya kujulikana mchango wake

    • @mwanzomwisho1217
      @mwanzomwisho1217 3 года назад +1

      @@timbukwa9771 labda wewe ni mgeni wa mambo ya historia ya tanganyika, huyu mzee amehojiwa muda mrefu na hata video zake zipo humu usitake kumpa mtu sifa isiyo yake.

  • @benderarulenge7092
    @benderarulenge7092 4 года назад +12

    Yuko vizuri huyu mzee,pole mzee kwa kufungwa.

  • @softrock7155
    @softrock7155 4 года назад +16

    Sio waifanye mnara, nyumba ifanywe kuwa makumbusho (museum).

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 4 года назад +12

    Asante kwa hili,msiishie kuhoji tu,mpelekeni, kwa bitiku,(kigoda cha mwl,nyerere)historia yake iandikwe naamini wapo wengi,hawa ndo wafia nchi,ombi lake lifanyiwe kazi,magufuli Kama utapita waite wazee hawa wa karne,utabarikiwa

  • @mitanotena5149
    @mitanotena5149 4 года назад +15

    Historia haifutiki mzee mungu akupe miaka kizazi hiki cha wapenda mberigiji wajue tanzania ilipotokea na inakoelekea !

    • @UzalendoNaUtu
      @UzalendoNaUtu 4 года назад +1

      We zwazwa, serikali yenu ndo imewasahau hawa wazee

    • @kadritonser2412
      @kadritonser2412 3 года назад

      Watu ht huruma hawan pumbav sana rangi ya mboga mnamuacha vip mtu namna hii ..c huyu tu wako wengi kama haw ...leo eti kina polepole wanachonga sana pumbav...

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 4 года назад +14

    Nimependa
    Tanga= mambo ya baharini
    Nyika= mambo ya nchi kavu

  • @tmanderson1371
    @tmanderson1371 4 года назад +11

    My God, this man deserves to be honoured, he has lived this long to tell Tanzanians untold stories.

    • @HassanHassan-fq5mf
      @HassanHassan-fq5mf 4 года назад

      Lahaula walakuwata illah billah lialiyu liadhim ndio faida za vyama vya shetan zulmaa tuu munaiyona faida ya zulma watajikosha wanataka kura

    • @theteacherchance6750
      @theteacherchance6750 3 года назад

      In TV Iman youtube channel, this veteran has gone deep in explaining Tanzania's history. Go there u'll ENJOY.

  • @kenedykatarama3966
    @kenedykatarama3966 3 года назад +4

    Mzee pamoja na kuwa umri umesogea ila kumbukumbu bado yuko vizuri sana Mungu atuwezeshe kuyatunza madini haya

  • @zachaa_tz
    @zachaa_tz 4 года назад +23

    Ayo Mungu akuzidishie upate views Billion 2 nimeelewa sana..🙏

  • @Shammy-rn3tn
    @Shammy-rn3tn 4 года назад +4

    Kwa mara ya kwanza nimesikia asili ya jina la Tanganyika. Niliwahi kumsikia Mwalimu Nyerere akisema alishindwa kabisa kujua jina la Tanganyika lilitokea wapi licha ya kutafiti chanzo chake lakini hakufanikiwa. Mzee leo ametoa asili ya jina la Tanganyika. A remarkable piece of history of Tanganyika.

  • @minaeli5989
    @minaeli5989 4 года назад +4

    Manshallah Allah amuweke mzee wetu yaani 97yrs anakumbuka vizuri hawa Wazee wamejitunza vizuri ombi langu serikali imtunze Hutu babu yetu

  • @sulutanjumajr5854
    @sulutanjumajr5854 4 года назад +7

    Historia imefchwa Sana Kama mzee anavyosema ukiifukua sana utajifunza roho zakikatili zaviongoz wetu walio tangulia natoa pole Sana kwamzee wetu pia namshauli akaushe tu Mambo yasiwe mengi

    • @tareqhilal6750
      @tareqhilal6750 4 года назад

      Kuna mengi Sana lakin uzuri na ushujaa ndio tunaambiwa

    • @timbukwa9771
      @timbukwa9771 4 года назад

      Hakuna nchi iliyoanza bila ya makosa mkuu.tena bora sisi kuliko nchi nyingine

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 3 года назад

      Hususan mwalimu alikuwa na roho ya ajabu halafu leo anatangaza mwenyeheri kweli

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Год назад

      ​@@hassanmfaume4522peleka Kule,, Hawa walifungwa kwa sababu waliendekeza udini na kutaka kulifanya Taifa kuwa la dini Moja.. Nyerere alitaka usawa kwa Kila mtu bila kujali dini ua ukabila

  • @thomaslaurent4679
    @thomaslaurent4679 3 года назад +7

    Historia ya kweli ya nchi iko hapa hakika.

  • @kasarambajuma270
    @kasarambajuma270 3 года назад +3

    Mimi binafisi nampa hongera mzee Wetu pia namshuku mwenyezi mungu kwakumpa kumbukumbu mungu amlindi.

  • @abubakarmzee3374
    @abubakarmzee3374 4 года назад +11

    Izo ndo siasa mwisho wake unyonge

  • @salumumkugwa825
    @salumumkugwa825 4 года назад +6

    Dah! Huyu mzee alikuwa tajiri Sana miaka hiyo.

  • @bybytata7456
    @bybytata7456 3 года назад +2

    Duuh kweli dunia ainasir Allah ndie mjuzi zaidi allah akulipe baba yaan naumia mpaka basi Allah akupe mwisho mwema baba fimbo ya mnyonge dua zetu dua.

  • @hemedytengu5718
    @hemedytengu5718 3 года назад +16

    kila siku huwa namlaumu Sana nyerere, na nitaendelea kumlaumu, najua kuna wanaompenda ila mm namshukia Sana, duniani huwez kupendwa na wote , ila mm nnasababu zangu kwann namchukia nyerere

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 Год назад +3

      Sa sisi zinatuhusu nini hayo niyako wewe na chuki zako binafsi

    • @alexnswila7900
      @alexnswila7900 Год назад

      Zipi izo

    • @mohdmohd8428
      @mohdmohd8428 Год назад +2

      Nyerere alibebwa kisha akawageuka wenzie

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Год назад

      ​@@mohdmohd8428uongo!

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Год назад +1

      Hayo ni kwako.. hata uspompenda haisaidia anapendwa na mamilion ya watu na Bado wanamuenzi

  • @d.a.t3383
    @d.a.t3383 4 года назад +4

    Stories nzuri sana tumejifunza mawili.matatu Asante sana AYO fumua mengine ta Mlima Kilimanjaro

  • @mussaabdiel9797
    @mussaabdiel9797 4 года назад +18

    Sasa uyu mzee tunamsaidiaje kwa mfano tu labda ? Au tunamuhoji tu

    • @eventelias3566
      @eventelias3566 3 года назад +1

      namba zake zinapita hapo kwenye screen unaweza kumpigia kuongea nae au kumtumia hela lkn kingine kikubwa ni kutambua uwepo wake na mchango wake kwa taifa letu.

    • @ibrahimharuna9821
      @ibrahimharuna9821 3 года назад +1

      Unajua shida ni pale ambapo WAANDISHI wa historia ya nchi hii nahisi walipotosha Sana,maana wazee Kama Hawa hawaandikwi na Wala serikali wakati zinasherkea miaka kadhaa ya Uhuru wa nchi Mara nyingi hutajwa mmoja tu kumbe Kuna wazee Kama Hawa amabao wameipigania nchi yetu.NAAMINI KABISA TABORA,TANGA,MZIZIMA,ZANZIBAR PANA HISTORIA NZR SANA ILA BADO WAANDISHI HAWAJAFANYA WAJIBU WAO Vzr

  • @mpokimwabukusi8783
    @mpokimwabukusi8783 3 года назад +4

    Hii interview ilihitaji more time na airtime nzuri. Ni muhimu sana watu tukawa tunajua tulipotokea.

  • @lwitikomwakasefula2648
    @lwitikomwakasefula2648 3 года назад +3

    Hongera zako mzee bilali,Mungu Skype afya njema sema viongozi wa ccm mkumbukeni huyo mzee

  • @Ahungu
    @Ahungu 4 года назад +6

    Tuirudishe historia ya nchi yetu sehemu yake, Tuache ushabiki wa imani zetu. Mwalimu alikaribishwa kwenye harakati za kuleta UHURU wa Tanganyika. Yeye sio mwanzilishi wa harakati za UHURU. Familia ya Sykes na wengine ndio waanzilishi wa harakati za uhuru. Soma kitabu cha Maisha ya Abdulwahid Sykes ndio utaona kuwa historia ya Tanganyika ilipotoshwa!

    • @ivanniyeha4229
      @ivanniyeha4229 4 года назад

      hayo ni yako

    • @christophermahawi4920
      @christophermahawi4920 4 года назад +1

      Ramadhan A Ahungu ni kweli upotoshaji na uongo umetawa hadi sasa na hii imesababisha tuchukiane, inasemekana hata historia ya dini zipo sehem amebadili, maana nabii Suleiman inasadikika alikua mtu mweusi.

    • @christophermahawi4920
      @christophermahawi4920 4 года назад

      Ramadhan A Ahungu Lakini Nyerere hakuwa na makosa kuwafunga baadhi ya waloshiriki uhuru, maana Nkruma,Lumumba,Sankara,Samora,Karume, Gadafi,Hailleselasie nk walichelea kuchukua hatua kama za Nyerere ndio maana waliuwawa.

    • @MhinaKulewa
      @MhinaKulewa 2 месяца назад

      The untold history for the struggle of independence

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 3 года назад +2

    Nyerere nae Mwenyezi Mungu amlipe kwa matendo yake

  • @yusufrajabu8425
    @yusufrajabu8425 4 года назад +11

    Sante mzee nimeelewa maana ya tanganyika

  • @RuhayaJean
    @RuhayaJean 26 дней назад

    Aksante sana kwa hii history ya muheshimmiwa MLM Nyerere.

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 4 года назад +16

    Nchi hii ina historia kubwa na kuna watu wengi sana walihusika kuitengeneza lkn haikuandikwa wala haiandikwi hadi leo,wazee Kama hawa walistahili kuwa vizuri wamepitia mengi sana magumu wakati mwingine hadi sisi kuikuta Tanzania hivi ilivyo.

    • @ramazubery2641
      @ramazubery2641 4 года назад +2

      Wanajua vizuri ila nahic majina yao yakewaponza maana nilifatilia nikakuta wakina mzee saksi, tapaza, takadiry, kirashti wengi nawalifungwa nawengine kufukuzwa kusaidiwa huyo mzee tusahau. Aliegundua tanzanaity tu kaambulia ml 💯.hataile filam anayoomba Ally kiba sidhani kama itafanikiwa labda iigizwe baada yauhuru. Maana watu wanajua historia yataifa vizuri tu ila hatutaki kuelezea maana italeta machafuko nasiokitu kizuri. Chamsingi tuwaenzi kimyakimya itakua vizuri.

    • @NaseebLugusha
      @NaseebLugusha 3 года назад

      FISIEM badala ya kuwathamini wazee kama hawa wao wako bize kuwalipa wasanii kwenye kampeni dah wenye nchi yao hata historia tu haiwataji wakati shukeni tulitakiwa tufundishwe kuhusu wazee hawa wazalendo.
      TANGA-Mambo ya baharini
      NYIKA-Mambo ya nchi kavu
      TANGANYIKA OUR COUNTRY

    • @ayubukivi2833
      @ayubukivi2833 3 года назад

      Jamani mjengeeni huyo mzee nyumba

  • @GoodluckGodfreyNgomuo
    @GoodluckGodfreyNgomuo Месяц назад

    Mungu akutuze baba yangu wewe ni mtu wa nguvu Sana🍁🌺💐☘️🥀🌻🥦

    • @abuuhamda6213
      @abuuhamda6213 6 дней назад

      Ni jirani yetu huyu alifariki baada ya mwaka huo nadhan

  • @joevang4685
    @joevang4685 4 года назад +7

    ela za kuwapa wasanii chepusheni hata kidogo mzee mmstili apate kajumba

  • @VMGAfrica
    @VMGAfrica 3 года назад +2

    Kali Sana #SmartSana Mzee 97 yearz halafu Yupo Sharp

  • @exoduspaul3382
    @exoduspaul3382 3 года назад +3

    Daaaah ingekua ndo enz hiz Land rover inauzwa 45000 nazan ata nafas ya kupak ixingekuepo😀

  • @shabanimbilu9079
    @shabanimbilu9079 4 года назад +3

    Mmmh such a huge history mzee kaongea mengi mno still bado tuko na history

  • @alimakaba6170
    @alimakaba6170 4 года назад +16

    Inakuwaje mtu muhimu kama huyu unamhoji kwa dakika 10tu? Huja tutendendea haki kbs, tunahitaj pat2 na 3

  • @plujorilugano9489
    @plujorilugano9489 4 года назад +4

    Kweli kbsa Seikali ilitazame hili, wazo hili ni jema mno kujenga ama kumjengea nyumba si nyumba tu lkn pia mnara ujengwe. Kwa kumbukumbu za nchi hii na pia kumuenzi Mwl. Jk. Nyerere na mzee huu. Lakini kwa sasa nendeni mkatafute history kwa huyu mzee, msije mkamsifu baada ya kifo chake, huu ndio wkt wa kumpongeza mzee huu

  • @oscarezekiel1826
    @oscarezekiel1826 Год назад

    Pole mzee M/Mungu akulaze mahala pema peponi, kwa kweli Nyere kawafanyia dhulma watu wengi sana na bado anaonekana kama nabii why????

  • @ErastoKadole
    @ErastoKadole Месяц назад

    Mzee bilali ,mungu akutunze

  • @armaanmaryam4645
    @armaanmaryam4645 3 года назад +4

    Tunataka more of this please

  • @NaomiCharles-bb8md
    @NaomiCharles-bb8md 3 месяца назад

    Uyo Mzee angetunzwa na viongoz wa tz Sasa mama Samia Ina bidi uchukue jukum la kuakikisha ana pewa matunzo bola 🙏

  • @alisele5299
    @alisele5299 4 года назад +5

    Babu alikuwa tundulisu enzi zake labda au ccm sio watu wazuri jama

  • @abdullahmuhammadKambona
    @abdullahmuhammadKambona 27 дней назад

    Nyerere alikuwa mbinafsi sana na aliwachafua sana viongozi aliepishana nao maoni

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 4 года назад +8

    Tundu lisu nenda tabora kwa huyu mzee kamwambie Tanzania tunataka iongozwe na upinzani 🤣🤣mzee kashika nini vile??mapovu hayooo

    • @saidihamisi3652
      @saidihamisi3652 4 года назад +2

      Ww ndio hujui mzee huyu alifungwa kwa kukataa ukiritimba wa nyerere wa kulazimisha fikra za mtu mmoja ziwe kama sheria.

    • @tareqhilal6750
      @tareqhilal6750 4 года назад

      Mzee nyumbani kwake Kuna bendera ya cuf au chadema kama sikosei angalia vizuri acha maneno..

    • @blandinamnyinga8318
      @blandinamnyinga8318 4 года назад

      Tukijifunza kusoma na kutafsiri mtu alichokiandika itatusaidia zaidi kuliko kudandia kitu ambacho hujakielewa

    • @tekala8778
      @tekala8778 3 года назад

      @@tareqhilal6750 ruclips.net/video/mVzftMxHBvg/видео.html

    • @tekala8778
      @tekala8778 3 года назад +1

      8:08

  • @SKY-fk3fz
    @SKY-fk3fz 3 месяца назад

    Nyerere aliwageuka wapiganaji wa kweli wa uhuru wa bara na visiwani

  • @Ab113tech
    @Ab113tech 4 года назад +3

    Legendary 🙌🏽🇹🇿

  • @castrojuma982
    @castrojuma982 4 года назад +4

    Dah noma 😢 inasikitisha sana, história halisi imefichwa

  • @yousuphnzira3209
    @yousuphnzira3209 4 года назад +3

    Nakushauri milad ayo uendelee kuchukua historia ya nchi hii kwa mzee huyu ana mambo mengi Sana. Na huenda ikawa sababu ya yeye kutambulika hapa nchini na akapata matunzo hata kwa uchache kwa kipindi kilichobakia.

  • @plujoncylugano4611
    @plujoncylugano4611 6 месяцев назад +1

    Wakuu,viongozi/Serikali mmemsikia mzee huyu??Hapo mlipo huyu mzee ni mmoja wa aliyesaidia Chama na Serikali hii kuwepo na kunemeka,naomba sana mama Samia Rais wa Tanzania, mama msikivu mtupie jicho la huruma mzee huyu. Mama leo hii unaweza kufanya kitu/wema kwa mzee huyu aliyeisaidia Tanzania kuwa huru mama nakuomba mjengee nyumba huyu mzee,mfute machozi alifanikisha kwa nguvu zake na mali zake kuhakikisha waasisi wetu wa Taifa wanapata uhuru,mama Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nakuomba nakupigia magoti mvalishe nguo baba/mzee huyu,mkumbuke angalau kwa kujengewa nyumbani na moyo wake utaburudika na atakuombea na utabarikiwa Rais wangu.

  • @juliusraphael600
    @juliusraphael600 4 года назад +11

    Kajieleza vizuri mzee Mungu akujaalie ufikishe miaka hata 200, sjui kama mimi nitaifikisha hiyo miaka 🇹🇿 🤔🤔

    • @khamissimai1477
      @khamissimai1477 3 года назад

      Kuishi miaka mingi ni adhabu unajua

    • @manungda9955
      @manungda9955 3 года назад

      Mzee mpaka sasa anamvua zake 97 bado tatu afikishe mvua 100

  • @sarahmackenga3868
    @sarahmackenga3868 4 года назад +9

    Baba magu muone huyu zee

  • @justinmutabazi7353
    @justinmutabazi7353 Год назад

    Yaraaaa Mzee kweri Serikari haimushukuru ikamujengea Nyumba nzuri

  • @peninaancon1256
    @peninaancon1256 4 года назад +4

    Wekeni namba sahihi ya Mzee Bilali..

  • @shaabanbindawood6538
    @shaabanbindawood6538 Год назад +2

    Mimi daima nyerere simpemdi Kabisaa

  • @MrJuniorwonder
    @MrJuniorwonder 4 года назад +6

    Interview imekuwa fupi Sana na hatujaona yooote anavyosema Mzee wetu. But ni vyema Ayo TV mnapoamua kufanya interview basi hakikisheni watu kama hawa wanapewa msaada. Natoa changamoto Tu Kwa Millard... Please Anzisha foundation ya Charity kusaidia watu unaowahoji ikiwa wapo katika Jambo Fulani gumu na kweli wanahitaji Msaada. Tunaweza kusaidiana watu kama hawa wakapewa heshima zao sio lazima serikali ifanye. Ahsante

    • @salamakombo3257
      @salamakombo3257 3 года назад

      Kweli kaka ila serekali itoe zaidi pesaa ipo

    • @abdallatimimi8443
      @abdallatimimi8443 3 года назад

      Emmanuel swallow. swadakta maneno yako ni kweli,huku kenya naona citizen na ktn wanajaribu sana

  • @ernestmbwana6282
    @ernestmbwana6282 3 года назад +1

    Yaani Maisha Ya siasa ..unamsaidia mtu ambae sio ndungu yako anakuwa juu alafu anakuja kukufunga.. Pole Dunia tunapita

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 4 года назад +8

    Huyo kuna wakati alihojiwa au ndio hii imerudiwa? Wapo wengi walio gombea uhuru uzuri wa Nyerere alikuwa makali. Nyerere alikuwa anaamini binadamu wote ni sawa kutoka moyoni ndio maana aliwakubali wahindi wazungu na wengine na ndio maana tumekuwa wamoja. Hawa wazee walikuwa wanampinga na wengine walitaka utawala wa majimbo. Wakati wa Nyerere ponda, Lisu na wengine wanao hatarisha usalama wa nchi wangekuwa jela. Huyu mzee nakumbuka alitaka kuingiza uislam kwenye serikali au waislam watambulike kwa namna fulani na nyerere msimamo wake wa kupinga udini na ukabila ndio wakagombana. Lakini kwasababu bado yupo hai wamsaidie. Lakini kwa dar es salaam mbona walioshiriki ni wengi waliokuwa wanachangia nauli na kwenda kumpokea Nyerere akitoka UNO na wanaishi maskini au wamekufa masikini ni wengi.

    • @salumkanju1732
      @salumkanju1732 Год назад +1

      Je wote walioshirikiana na nyerere walidai udini? Tukubaliane tu mzee nyerere kawadhulumu wenzie tu tusifichane, leo hii sherehe za uhuru hazinogi mana ukweli umefichwa sana

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Год назад

      ​@@salumkanju1732udini ni adui wa Taifa.. Nyerere sio mjinga Kuna kitu usitudanganye

  • @yassinhamza1969
    @yassinhamza1969 5 месяцев назад

    Nchi wamekuja kula mapimbi wengine kabisa huyu mzee ana history kubwa ya nchi hii

  • @silvanmassawe1422
    @silvanmassawe1422 4 года назад +1

    Mzee anajitaid kuongea kwelii daaah mungu akuweke

  • @kelvinokelo7992
    @kelvinokelo7992 3 года назад +2

    Huyu mzee ni muhimu sana kwa Taifa.

  • @josephatkiliko2546
    @josephatkiliko2546 3 года назад +1

    Mungu Akupe miaka mingine mingi mzee wangu

  • @ivanniyeha4229
    @ivanniyeha4229 4 года назад +1

    Ukiwa unaandika habari hizi tumia hekima na busara ,huwezi kulaumu upande mmoja bila kusikiliza upande mwengine so msikurupuke tu kuandika bila kujua impact

  • @halidhamaad177
    @halidhamaad177 3 года назад +1

    Ulikua una upeo ndio mana nyerere hakupenda akawabakisha wasio na akili

  • @siasasiasa6238
    @siasasiasa6238 2 года назад

    malongo una mapungufu makubwa ktk kuboji ili kupata habari ilokamilika kabla hujamaliza usharukia Jambo jingine jaribu kuliangalia

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi7590 3 месяца назад

    Ndiyo hivyo nchii hii walimterekeza tatizo mzanaki alikua mbinafsi😂😂😂😂

  • @fauzishma8033
    @fauzishma8033 4 года назад +3

    Hiyo ndo shida ya mwafirika akipata uongozi husahau kabisa aliokua nawao si Tanzania tu uganda pia ni vile vile kenya mambo ni hayo hayo na Kenyatta wako wazee mpaka sasa wanalia

    • @martinemaganga2546
      @martinemaganga2546 4 года назад

      Inategemea kwani waafrika wengi mkishafanikiwa hatua ya kwanza wanaanza hila za kutaka kukupindua hivyo mwl.Jk Nyerere hakuwa mjinga kiasi hicho

  • @hatibuathuman5011
    @hatibuathuman5011 4 года назад +3

    Selekali sikivu huyu mzee ashuudie mafajikio japo kidogo akiwa hai

  • @ulayaz
    @ulayaz Год назад

    Kuna haja ya historia ya kweli ya Tanzania kuandikwa. Tuachane na historia ya uwongo tuliyoisoma

  • @OmaryBarua
    @OmaryBarua 6 месяцев назад

    Vijana tunapofaidi vyeo tuwakumbuke wale waliopigania tupunguze mbwembwe za madaraka

  • @joevang4685
    @joevang4685 4 года назад +2

    yanga na mashabiki zake mpo wapi jaman

  • @lawjoseph6590
    @lawjoseph6590 4 года назад +1

    Magufuli mkumbuke uyo mzee anamuchango mukubwa sana ktk taifa

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 Год назад

    Mzee yupo vizuri ila kama nyerere alikuwepo mzee huyu mbona yupo duni

  • @dominicofabian2245
    @dominicofabian2245 3 года назад

    Allah akuhifadh, nawaomba serikali wakutazame kwa jicho la huruma ni mchango mkubwa umetoa kwa taifa let.

  • @slowclimbertothetop4572
    @slowclimbertothetop4572 Год назад

    Millard nyie hovyo sana. Kwanini hamjauliza zaidi kwanini aliingizwa detention?

  • @abdallahahmedmmary225
    @abdallahahmedmmary225 4 года назад +2

    Bilal mzee wangu Meenyez mungu atakujaalia kwani maumivuyako tunayajua kutokana na huo mfumo kandamiz () ( ) 😡😡😡😭

  • @clinton3168
    @clinton3168 3 года назад +1

    Nampendaa huyo Babu nipeni namba zake nimsalimie hata nimtembelee

  • @rockyvlogs2214
    @rockyvlogs2214 3 года назад +1

    Jamani jamani 😩😩

  • @simonmwandu2214
    @simonmwandu2214 3 года назад

    Mzee aliponzwa na uislam nyerere kakandamiza uislam

  • @lucasmollel2522
    @lucasmollel2522 3 года назад

    Awesome grandpa

  • @saidikobossa7489
    @saidikobossa7489 Год назад

    Huyu Mzee bado yupo? Anaidai hii nchi heshima na matunzo makubwa

  • @chb5367
    @chb5367 2 года назад

    Sijuw kwann viongoz wa serikali hawaoni habar km hiz ,
    Anapoishi Hy Kuna Mkuu wa wilaya, mkoa hata viongoz wa mitaa wapo lkn waapi!🤔🤔

  • @SalumSafkim
    @SalumSafkim 21 день назад

    Sku zote ukiwa muislamu lazima utakuwa huruma

  • @geofreymtasingwa742
    @geofreymtasingwa742 Год назад

    Siasa zilificha ukweli watu wakweli tumewatupa tukakumbatia wanasiasa nawenye vyeo

  • @kimbwifimbo4803
    @kimbwifimbo4803 2 года назад

    Serikali imeshindwa kupata baraka za mzee huyu mpaka amekufa, hi Ni laana tosha, sijui Kama MUNGU anatudhibu kwa makosa Haya ama la.

  • @hassansamata5995
    @hassansamata5995 4 года назад +7

    Huyu mzee icon..afanyiwe jambo

  • @onesmomassawe6230
    @onesmomassawe6230 3 года назад

    mungu akubrk sana AYO

  • @StevenMlumba-iu3kr
    @StevenMlumba-iu3kr Год назад

    Serikali inashindwa hata kumjengea nyumba Mzee huyu jamani Hawa ndio wazee taifa hili sio wazee wasasa wa chongo.

  • @Nedjadist
    @Nedjadist 3 года назад +1

    Woga huu Tanzania! Yaani mwandishi ashindwa hata kuendeleza maneno nyeti muhimu ya mzee. Kwa nini aliwekwa kizuizi ni na Nyerere? Kwa nini Nyerere alikuja akamwomba msamaha? Ni maswali relevant sana katika interview hii.

  • @pvkanyorota264
    @pvkanyorota264 2 года назад

    Watu km haea serekali ingewaangalia japo kumjengea nyumba nfogo tu ht ya vyumba 2

  • @SuperKibwana
    @SuperKibwana 4 года назад

    Haina mwendelezo hii Mr Ayo? Maana imekatikia pabaya.
    Asante sana.

  • @jenipherpeter9490
    @jenipherpeter9490 3 года назад

    Hongera sana mzee wetu, serikali ikutazame kwa jicho la tatu.

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc1200 4 года назад +3

    Mzee wet wa tabora huyu serikali imuanglie

    • @eddimalon6051
      @eddimalon6051 4 года назад

      Haikumuangalia alipokuwa kijana, imuangalie leo. wacha wende na serikali yao.

  • @hassanmataula7063
    @hassanmataula7063 3 года назад +1

    Dah! Mzee yupo sahihi sana yaan dah!

  • @frankmachette3221
    @frankmachette3221 3 года назад

    duh kweli tanzania noma thana ha kujengewa kanyumba ka tutofal

  • @hamisially-c4x
    @hamisially-c4x Месяц назад

    KAZI YAVIONGOZI WETU NIKUJILIMBIKIZIA MALI WANASAHAU HIZI HAZINA ZA NCHI