Yani mim nikionaga hivi huwa machozi yananitoka kwasababu nafahamu vizur historia ya nchi hii 😭😭😭😭😭😭😭 acha tu maisha yasonge tufe basi lakin mengi yanafanyika daaah haya bhana.
Wewe ulimjua huyu mzee?au unajuaje kama aliuchuna tuu miaka yote,kumbuka mambo mengi yameanza kujitokeza kuanzi aMagufuri aliposhika nchi,unakumbuka hata yule mzee wa Nembo ya taifa alivyosaidiwa?hakukuwa na mtu aliyemjua, kuna mambo mengi hatuyajui bila ya mwenye jambo kujitokeza atakufa tuu bila ya kujulikana mchango wake
@@timbukwa9771 labda wewe ni mgeni wa mambo ya historia ya tanganyika, huyu mzee amehojiwa muda mrefu na hata video zake zipo humu usitake kumpa mtu sifa isiyo yake.
Asante kwa hili,msiishie kuhoji tu,mpelekeni, kwa bitiku,(kigoda cha mwl,nyerere)historia yake iandikwe naamini wapo wengi,hawa ndo wafia nchi,ombi lake lifanyiwe kazi,magufuli Kama utapita waite wazee hawa wa karne,utabarikiwa
Watu ht huruma hawan pumbav sana rangi ya mboga mnamuacha vip mtu namna hii ..c huyu tu wako wengi kama haw ...leo eti kina polepole wanachonga sana pumbav...
Kwa mara ya kwanza nimesikia asili ya jina la Tanganyika. Niliwahi kumsikia Mwalimu Nyerere akisema alishindwa kabisa kujua jina la Tanganyika lilitokea wapi licha ya kutafiti chanzo chake lakini hakufanikiwa. Mzee leo ametoa asili ya jina la Tanganyika. A remarkable piece of history of Tanganyika.
Historia imefchwa Sana Kama mzee anavyosema ukiifukua sana utajifunza roho zakikatili zaviongoz wetu walio tangulia natoa pole Sana kwamzee wetu pia namshauli akaushe tu Mambo yasiwe mengi
@@hassanmfaume4522peleka Kule,, Hawa walifungwa kwa sababu waliendekeza udini na kutaka kulifanya Taifa kuwa la dini Moja.. Nyerere alitaka usawa kwa Kila mtu bila kujali dini ua ukabila
kila siku huwa namlaumu Sana nyerere, na nitaendelea kumlaumu, najua kuna wanaompenda ila mm namshukia Sana, duniani huwez kupendwa na wote , ila mm nnasababu zangu kwann namchukia nyerere
namba zake zinapita hapo kwenye screen unaweza kumpigia kuongea nae au kumtumia hela lkn kingine kikubwa ni kutambua uwepo wake na mchango wake kwa taifa letu.
Unajua shida ni pale ambapo WAANDISHI wa historia ya nchi hii nahisi walipotosha Sana,maana wazee Kama Hawa hawaandikwi na Wala serikali wakati zinasherkea miaka kadhaa ya Uhuru wa nchi Mara nyingi hutajwa mmoja tu kumbe Kuna wazee Kama Hawa amabao wameipigania nchi yetu.NAAMINI KABISA TABORA,TANGA,MZIZIMA,ZANZIBAR PANA HISTORIA NZR SANA ILA BADO WAANDISHI HAWAJAFANYA WAJIBU WAO Vzr
Tuirudishe historia ya nchi yetu sehemu yake, Tuache ushabiki wa imani zetu. Mwalimu alikaribishwa kwenye harakati za kuleta UHURU wa Tanganyika. Yeye sio mwanzilishi wa harakati za UHURU. Familia ya Sykes na wengine ndio waanzilishi wa harakati za uhuru. Soma kitabu cha Maisha ya Abdulwahid Sykes ndio utaona kuwa historia ya Tanganyika ilipotoshwa!
Ramadhan A Ahungu ni kweli upotoshaji na uongo umetawa hadi sasa na hii imesababisha tuchukiane, inasemekana hata historia ya dini zipo sehem amebadili, maana nabii Suleiman inasadikika alikua mtu mweusi.
Ramadhan A Ahungu Lakini Nyerere hakuwa na makosa kuwafunga baadhi ya waloshiriki uhuru, maana Nkruma,Lumumba,Sankara,Samora,Karume, Gadafi,Hailleselasie nk walichelea kuchukua hatua kama za Nyerere ndio maana waliuwawa.
Nchi hii ina historia kubwa na kuna watu wengi sana walihusika kuitengeneza lkn haikuandikwa wala haiandikwi hadi leo,wazee Kama hawa walistahili kuwa vizuri wamepitia mengi sana magumu wakati mwingine hadi sisi kuikuta Tanzania hivi ilivyo.
Wanajua vizuri ila nahic majina yao yakewaponza maana nilifatilia nikakuta wakina mzee saksi, tapaza, takadiry, kirashti wengi nawalifungwa nawengine kufukuzwa kusaidiwa huyo mzee tusahau. Aliegundua tanzanaity tu kaambulia ml 💯.hataile filam anayoomba Ally kiba sidhani kama itafanikiwa labda iigizwe baada yauhuru. Maana watu wanajua historia yataifa vizuri tu ila hatutaki kuelezea maana italeta machafuko nasiokitu kizuri. Chamsingi tuwaenzi kimyakimya itakua vizuri.
FISIEM badala ya kuwathamini wazee kama hawa wao wako bize kuwalipa wasanii kwenye kampeni dah wenye nchi yao hata historia tu haiwataji wakati shukeni tulitakiwa tufundishwe kuhusu wazee hawa wazalendo. TANGA-Mambo ya baharini NYIKA-Mambo ya nchi kavu TANGANYIKA OUR COUNTRY
Kweli kbsa Seikali ilitazame hili, wazo hili ni jema mno kujenga ama kumjengea nyumba si nyumba tu lkn pia mnara ujengwe. Kwa kumbukumbu za nchi hii na pia kumuenzi Mwl. Jk. Nyerere na mzee huu. Lakini kwa sasa nendeni mkatafute history kwa huyu mzee, msije mkamsifu baada ya kifo chake, huu ndio wkt wa kumpongeza mzee huu
Nakushauri milad ayo uendelee kuchukua historia ya nchi hii kwa mzee huyu ana mambo mengi Sana. Na huenda ikawa sababu ya yeye kutambulika hapa nchini na akapata matunzo hata kwa uchache kwa kipindi kilichobakia.
Wakuu,viongozi/Serikali mmemsikia mzee huyu??Hapo mlipo huyu mzee ni mmoja wa aliyesaidia Chama na Serikali hii kuwepo na kunemeka,naomba sana mama Samia Rais wa Tanzania, mama msikivu mtupie jicho la huruma mzee huyu. Mama leo hii unaweza kufanya kitu/wema kwa mzee huyu aliyeisaidia Tanzania kuwa huru mama nakuomba mjengee nyumba huyu mzee,mfute machozi alifanikisha kwa nguvu zake na mali zake kuhakikisha waasisi wetu wa Taifa wanapata uhuru,mama Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nakuomba nakupigia magoti mvalishe nguo baba/mzee huyu,mkumbuke angalau kwa kujengewa nyumbani na moyo wake utaburudika na atakuombea na utabarikiwa Rais wangu.
Interview imekuwa fupi Sana na hatujaona yooote anavyosema Mzee wetu. But ni vyema Ayo TV mnapoamua kufanya interview basi hakikisheni watu kama hawa wanapewa msaada. Natoa changamoto Tu Kwa Millard... Please Anzisha foundation ya Charity kusaidia watu unaowahoji ikiwa wapo katika Jambo Fulani gumu na kweli wanahitaji Msaada. Tunaweza kusaidiana watu kama hawa wakapewa heshima zao sio lazima serikali ifanye. Ahsante
Huyo kuna wakati alihojiwa au ndio hii imerudiwa? Wapo wengi walio gombea uhuru uzuri wa Nyerere alikuwa makali. Nyerere alikuwa anaamini binadamu wote ni sawa kutoka moyoni ndio maana aliwakubali wahindi wazungu na wengine na ndio maana tumekuwa wamoja. Hawa wazee walikuwa wanampinga na wengine walitaka utawala wa majimbo. Wakati wa Nyerere ponda, Lisu na wengine wanao hatarisha usalama wa nchi wangekuwa jela. Huyu mzee nakumbuka alitaka kuingiza uislam kwenye serikali au waislam watambulike kwa namna fulani na nyerere msimamo wake wa kupinga udini na ukabila ndio wakagombana. Lakini kwasababu bado yupo hai wamsaidie. Lakini kwa dar es salaam mbona walioshiriki ni wengi waliokuwa wanachangia nauli na kwenda kumpokea Nyerere akitoka UNO na wanaishi maskini au wamekufa masikini ni wengi.
Je wote walioshirikiana na nyerere walidai udini? Tukubaliane tu mzee nyerere kawadhulumu wenzie tu tusifichane, leo hii sherehe za uhuru hazinogi mana ukweli umefichwa sana
Ukiwa unaandika habari hizi tumia hekima na busara ,huwezi kulaumu upande mmoja bila kusikiliza upande mwengine so msikurupuke tu kuandika bila kujua impact
Hiyo ndo shida ya mwafirika akipata uongozi husahau kabisa aliokua nawao si Tanzania tu uganda pia ni vile vile kenya mambo ni hayo hayo na Kenyatta wako wazee mpaka sasa wanalia
Woga huu Tanzania! Yaani mwandishi ashindwa hata kuendeleza maneno nyeti muhimu ya mzee. Kwa nini aliwekwa kizuizi ni na Nyerere? Kwa nini Nyerere alikuja akamwomba msamaha? Ni maswali relevant sana katika interview hii.
This man deserves a lot, honor and respect, Tanzania yote huyu mzee ashikwe mkono jamani #kenya watching
Kumbuka kuwa huku ni afrika kijana tena Tanzania
Mzee bilal hajatendewa haki maana wengine wote wako na majina ya barabara na madaraja hadi kina makamba...sio haki
Mr Bilali is the real history of Tanzania. What a shame he has been forgotten for so long.
Very interesting story huyu mzee afanyiwe kitu hata kama miaka imeenda
USHUHUDA tosha Be Blessed my Grandfather 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Kazi nzuri kaka millard, huyo mzee anachosema ni kweli wamtunze huyo mzee anaweza waambia mambo mengi maana ya kale ni dhahabu. Butiama kwetu🙏🙏🙏
Nchii za wenzetu huyu mzee angetunzwa angeishii vizuriii sana lakinii daaah kasha telekezwaa
Uyu mzee siwakuishi maisha haya lakini ccm mh
Mzee wangu leo kaonekana kwa Dunia
Yani mim nikionaga hivi huwa machozi yananitoka kwasababu nafahamu vizur historia ya nchi hii 😭😭😭😭😭😭😭 acha tu maisha yasonge tufe basi lakin mengi yanafanyika daaah haya bhana.
Nyerere pia alikua dikteta hasa kwa waislamu
Akifa selikali ndo itatoa histolia na kuonyesha imeumia sana kumpoteza mtu muhimi tanzagiza
Wewe ulimjua huyu mzee?au unajuaje kama aliuchuna tuu miaka yote,kumbuka mambo mengi yameanza kujitokeza kuanzi aMagufuri aliposhika nchi,unakumbuka hata yule mzee wa Nembo ya taifa alivyosaidiwa?hakukuwa na mtu aliyemjua, kuna mambo mengi hatuyajui bila ya mwenye jambo kujitokeza atakufa tuu bila ya kujulikana mchango wake
@@timbukwa9771 labda wewe ni mgeni wa mambo ya historia ya tanganyika, huyu mzee amehojiwa muda mrefu na hata video zake zipo humu usitake kumpa mtu sifa isiyo yake.
Yuko vizuri huyu mzee,pole mzee kwa kufungwa.
Sio waifanye mnara, nyumba ifanywe kuwa makumbusho (museum).
Asante kwa hili,msiishie kuhoji tu,mpelekeni, kwa bitiku,(kigoda cha mwl,nyerere)historia yake iandikwe naamini wapo wengi,hawa ndo wafia nchi,ombi lake lifanyiwe kazi,magufuli Kama utapita waite wazee hawa wa karne,utabarikiwa
Magufuli should talk with him :))
Historia haifutiki mzee mungu akupe miaka kizazi hiki cha wapenda mberigiji wajue tanzania ilipotokea na inakoelekea !
We zwazwa, serikali yenu ndo imewasahau hawa wazee
Watu ht huruma hawan pumbav sana rangi ya mboga mnamuacha vip mtu namna hii ..c huyu tu wako wengi kama haw ...leo eti kina polepole wanachonga sana pumbav...
Nimependa
Tanga= mambo ya baharini
Nyika= mambo ya nchi kavu
My God, this man deserves to be honoured, he has lived this long to tell Tanzanians untold stories.
Lahaula walakuwata illah billah lialiyu liadhim ndio faida za vyama vya shetan zulmaa tuu munaiyona faida ya zulma watajikosha wanataka kura
In TV Iman youtube channel, this veteran has gone deep in explaining Tanzania's history. Go there u'll ENJOY.
Mzee pamoja na kuwa umri umesogea ila kumbukumbu bado yuko vizuri sana Mungu atuwezeshe kuyatunza madini haya
Ayo Mungu akuzidishie upate views Billion 2 nimeelewa sana..🙏
Kwa mara ya kwanza nimesikia asili ya jina la Tanganyika. Niliwahi kumsikia Mwalimu Nyerere akisema alishindwa kabisa kujua jina la Tanganyika lilitokea wapi licha ya kutafiti chanzo chake lakini hakufanikiwa. Mzee leo ametoa asili ya jina la Tanganyika. A remarkable piece of history of Tanganyika.
Manshallah Allah amuweke mzee wetu yaani 97yrs anakumbuka vizuri hawa Wazee wamejitunza vizuri ombi langu serikali imtunze Hutu babu yetu
Historia imefchwa Sana Kama mzee anavyosema ukiifukua sana utajifunza roho zakikatili zaviongoz wetu walio tangulia natoa pole Sana kwamzee wetu pia namshauli akaushe tu Mambo yasiwe mengi
Kuna mengi Sana lakin uzuri na ushujaa ndio tunaambiwa
Hakuna nchi iliyoanza bila ya makosa mkuu.tena bora sisi kuliko nchi nyingine
Hususan mwalimu alikuwa na roho ya ajabu halafu leo anatangaza mwenyeheri kweli
@@hassanmfaume4522peleka Kule,, Hawa walifungwa kwa sababu waliendekeza udini na kutaka kulifanya Taifa kuwa la dini Moja.. Nyerere alitaka usawa kwa Kila mtu bila kujali dini ua ukabila
Historia ya kweli ya nchi iko hapa hakika.
Mimi binafisi nampa hongera mzee Wetu pia namshuku mwenyezi mungu kwakumpa kumbukumbu mungu amlindi.
Izo ndo siasa mwisho wake unyonge
Dah! Huyu mzee alikuwa tajiri Sana miaka hiyo.
Duuh kweli dunia ainasir Allah ndie mjuzi zaidi allah akulipe baba yaan naumia mpaka basi Allah akupe mwisho mwema baba fimbo ya mnyonge dua zetu dua.
kila siku huwa namlaumu Sana nyerere, na nitaendelea kumlaumu, najua kuna wanaompenda ila mm namshukia Sana, duniani huwez kupendwa na wote , ila mm nnasababu zangu kwann namchukia nyerere
Sa sisi zinatuhusu nini hayo niyako wewe na chuki zako binafsi
Zipi izo
Nyerere alibebwa kisha akawageuka wenzie
@@mohdmohd8428uongo!
Hayo ni kwako.. hata uspompenda haisaidia anapendwa na mamilion ya watu na Bado wanamuenzi
Stories nzuri sana tumejifunza mawili.matatu Asante sana AYO fumua mengine ta Mlima Kilimanjaro
Sasa uyu mzee tunamsaidiaje kwa mfano tu labda ? Au tunamuhoji tu
namba zake zinapita hapo kwenye screen unaweza kumpigia kuongea nae au kumtumia hela lkn kingine kikubwa ni kutambua uwepo wake na mchango wake kwa taifa letu.
Unajua shida ni pale ambapo WAANDISHI wa historia ya nchi hii nahisi walipotosha Sana,maana wazee Kama Hawa hawaandikwi na Wala serikali wakati zinasherkea miaka kadhaa ya Uhuru wa nchi Mara nyingi hutajwa mmoja tu kumbe Kuna wazee Kama Hawa amabao wameipigania nchi yetu.NAAMINI KABISA TABORA,TANGA,MZIZIMA,ZANZIBAR PANA HISTORIA NZR SANA ILA BADO WAANDISHI HAWAJAFANYA WAJIBU WAO Vzr
Hii interview ilihitaji more time na airtime nzuri. Ni muhimu sana watu tukawa tunajua tulipotokea.
Hongera zako mzee bilali,Mungu Skype afya njema sema viongozi wa ccm mkumbukeni huyo mzee
Tuirudishe historia ya nchi yetu sehemu yake, Tuache ushabiki wa imani zetu. Mwalimu alikaribishwa kwenye harakati za kuleta UHURU wa Tanganyika. Yeye sio mwanzilishi wa harakati za UHURU. Familia ya Sykes na wengine ndio waanzilishi wa harakati za uhuru. Soma kitabu cha Maisha ya Abdulwahid Sykes ndio utaona kuwa historia ya Tanganyika ilipotoshwa!
hayo ni yako
Ramadhan A Ahungu ni kweli upotoshaji na uongo umetawa hadi sasa na hii imesababisha tuchukiane, inasemekana hata historia ya dini zipo sehem amebadili, maana nabii Suleiman inasadikika alikua mtu mweusi.
Ramadhan A Ahungu Lakini Nyerere hakuwa na makosa kuwafunga baadhi ya waloshiriki uhuru, maana Nkruma,Lumumba,Sankara,Samora,Karume, Gadafi,Hailleselasie nk walichelea kuchukua hatua kama za Nyerere ndio maana waliuwawa.
The untold history for the struggle of independence
Nyerere nae Mwenyezi Mungu amlipe kwa matendo yake
Analipwa huko alipo
Sante mzee nimeelewa maana ya tanganyika
Aksante sana kwa hii history ya muheshimmiwa MLM Nyerere.
Nchi hii ina historia kubwa na kuna watu wengi sana walihusika kuitengeneza lkn haikuandikwa wala haiandikwi hadi leo,wazee Kama hawa walistahili kuwa vizuri wamepitia mengi sana magumu wakati mwingine hadi sisi kuikuta Tanzania hivi ilivyo.
Wanajua vizuri ila nahic majina yao yakewaponza maana nilifatilia nikakuta wakina mzee saksi, tapaza, takadiry, kirashti wengi nawalifungwa nawengine kufukuzwa kusaidiwa huyo mzee tusahau. Aliegundua tanzanaity tu kaambulia ml 💯.hataile filam anayoomba Ally kiba sidhani kama itafanikiwa labda iigizwe baada yauhuru. Maana watu wanajua historia yataifa vizuri tu ila hatutaki kuelezea maana italeta machafuko nasiokitu kizuri. Chamsingi tuwaenzi kimyakimya itakua vizuri.
FISIEM badala ya kuwathamini wazee kama hawa wao wako bize kuwalipa wasanii kwenye kampeni dah wenye nchi yao hata historia tu haiwataji wakati shukeni tulitakiwa tufundishwe kuhusu wazee hawa wazalendo.
TANGA-Mambo ya baharini
NYIKA-Mambo ya nchi kavu
TANGANYIKA OUR COUNTRY
Jamani mjengeeni huyo mzee nyumba
Mungu akutuze baba yangu wewe ni mtu wa nguvu Sana🍁🌺💐☘️🥀🌻🥦
Ni jirani yetu huyu alifariki baada ya mwaka huo nadhan
ela za kuwapa wasanii chepusheni hata kidogo mzee mmstili apate kajumba
Kali Sana #SmartSana Mzee 97 yearz halafu Yupo Sharp
Daaaah ingekua ndo enz hiz Land rover inauzwa 45000 nazan ata nafas ya kupak ixingekuepo😀
Mmmh such a huge history mzee kaongea mengi mno still bado tuko na history
Inakuwaje mtu muhimu kama huyu unamhoji kwa dakika 10tu? Huja tutendendea haki kbs, tunahitaj pat2 na 3
tena anaweza kujieleza vizuri
Nenda TV Iman ktk youtube ana pt 1, 2 na 3 Utampenda
TV Iman ktk RUclips andika Bilal Rehani Waikela, utafurahi
Kweli kbsa Seikali ilitazame hili, wazo hili ni jema mno kujenga ama kumjengea nyumba si nyumba tu lkn pia mnara ujengwe. Kwa kumbukumbu za nchi hii na pia kumuenzi Mwl. Jk. Nyerere na mzee huu. Lakini kwa sasa nendeni mkatafute history kwa huyu mzee, msije mkamsifu baada ya kifo chake, huu ndio wkt wa kumpongeza mzee huu
Pole mzee M/Mungu akulaze mahala pema peponi, kwa kweli Nyere kawafanyia dhulma watu wengi sana na bado anaonekana kama nabii why????
Mzee bilali ,mungu akutunze
Tunataka more of this please
Uyo Mzee angetunzwa na viongoz wa tz Sasa mama Samia Ina bidi uchukue jukum la kuakikisha ana pewa matunzo bola 🙏
Babu alikuwa tundulisu enzi zake labda au ccm sio watu wazuri jama
Nyerere alikuwa mbinafsi sana na aliwachafua sana viongozi aliepishana nao maoni
Tundu lisu nenda tabora kwa huyu mzee kamwambie Tanzania tunataka iongozwe na upinzani 🤣🤣mzee kashika nini vile??mapovu hayooo
Ww ndio hujui mzee huyu alifungwa kwa kukataa ukiritimba wa nyerere wa kulazimisha fikra za mtu mmoja ziwe kama sheria.
Mzee nyumbani kwake Kuna bendera ya cuf au chadema kama sikosei angalia vizuri acha maneno..
Tukijifunza kusoma na kutafsiri mtu alichokiandika itatusaidia zaidi kuliko kudandia kitu ambacho hujakielewa
@@tareqhilal6750 ruclips.net/video/mVzftMxHBvg/видео.html
8:08
Nyerere aliwageuka wapiganaji wa kweli wa uhuru wa bara na visiwani
Legendary 🙌🏽🇹🇿
Dah noma 😢 inasikitisha sana, história halisi imefichwa
Nakushauri milad ayo uendelee kuchukua historia ya nchi hii kwa mzee huyu ana mambo mengi Sana. Na huenda ikawa sababu ya yeye kutambulika hapa nchini na akapata matunzo hata kwa uchache kwa kipindi kilichobakia.
Wakuu,viongozi/Serikali mmemsikia mzee huyu??Hapo mlipo huyu mzee ni mmoja wa aliyesaidia Chama na Serikali hii kuwepo na kunemeka,naomba sana mama Samia Rais wa Tanzania, mama msikivu mtupie jicho la huruma mzee huyu. Mama leo hii unaweza kufanya kitu/wema kwa mzee huyu aliyeisaidia Tanzania kuwa huru mama nakuomba mjengee nyumba huyu mzee,mfute machozi alifanikisha kwa nguvu zake na mali zake kuhakikisha waasisi wetu wa Taifa wanapata uhuru,mama Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nakuomba nakupigia magoti mvalishe nguo baba/mzee huyu,mkumbuke angalau kwa kujengewa nyumbani na moyo wake utaburudika na atakuombea na utabarikiwa Rais wangu.
Kajieleza vizuri mzee Mungu akujaalie ufikishe miaka hata 200, sjui kama mimi nitaifikisha hiyo miaka 🇹🇿 🤔🤔
Kuishi miaka mingi ni adhabu unajua
Mzee mpaka sasa anamvua zake 97 bado tatu afikishe mvua 100
Baba magu muone huyu zee
Yaraaaa Mzee kweri Serikari haimushukuru ikamujengea Nyumba nzuri
Wekeni namba sahihi ya Mzee Bilali..
Mimi daima nyerere simpemdi Kabisaa
Interview imekuwa fupi Sana na hatujaona yooote anavyosema Mzee wetu. But ni vyema Ayo TV mnapoamua kufanya interview basi hakikisheni watu kama hawa wanapewa msaada. Natoa changamoto Tu Kwa Millard... Please Anzisha foundation ya Charity kusaidia watu unaowahoji ikiwa wapo katika Jambo Fulani gumu na kweli wanahitaji Msaada. Tunaweza kusaidiana watu kama hawa wakapewa heshima zao sio lazima serikali ifanye. Ahsante
Kweli kaka ila serekali itoe zaidi pesaa ipo
Emmanuel swallow. swadakta maneno yako ni kweli,huku kenya naona citizen na ktn wanajaribu sana
Yaani Maisha Ya siasa ..unamsaidia mtu ambae sio ndungu yako anakuwa juu alafu anakuja kukufunga.. Pole Dunia tunapita
Huyo kuna wakati alihojiwa au ndio hii imerudiwa? Wapo wengi walio gombea uhuru uzuri wa Nyerere alikuwa makali. Nyerere alikuwa anaamini binadamu wote ni sawa kutoka moyoni ndio maana aliwakubali wahindi wazungu na wengine na ndio maana tumekuwa wamoja. Hawa wazee walikuwa wanampinga na wengine walitaka utawala wa majimbo. Wakati wa Nyerere ponda, Lisu na wengine wanao hatarisha usalama wa nchi wangekuwa jela. Huyu mzee nakumbuka alitaka kuingiza uislam kwenye serikali au waislam watambulike kwa namna fulani na nyerere msimamo wake wa kupinga udini na ukabila ndio wakagombana. Lakini kwasababu bado yupo hai wamsaidie. Lakini kwa dar es salaam mbona walioshiriki ni wengi waliokuwa wanachangia nauli na kwenda kumpokea Nyerere akitoka UNO na wanaishi maskini au wamekufa masikini ni wengi.
Je wote walioshirikiana na nyerere walidai udini? Tukubaliane tu mzee nyerere kawadhulumu wenzie tu tusifichane, leo hii sherehe za uhuru hazinogi mana ukweli umefichwa sana
@@salumkanju1732udini ni adui wa Taifa.. Nyerere sio mjinga Kuna kitu usitudanganye
Nchi wamekuja kula mapimbi wengine kabisa huyu mzee ana history kubwa ya nchi hii
Mzee anajitaid kuongea kwelii daaah mungu akuweke
Huyu mzee ni muhimu sana kwa Taifa.
Mungu Akupe miaka mingine mingi mzee wangu
Ukiwa unaandika habari hizi tumia hekima na busara ,huwezi kulaumu upande mmoja bila kusikiliza upande mwengine so msikurupuke tu kuandika bila kujua impact
Ulikua una upeo ndio mana nyerere hakupenda akawabakisha wasio na akili
malongo una mapungufu makubwa ktk kuboji ili kupata habari ilokamilika kabla hujamaliza usharukia Jambo jingine jaribu kuliangalia
Ndiyo hivyo nchii hii walimterekeza tatizo mzanaki alikua mbinafsi😂😂😂😂
Hiyo ndo shida ya mwafirika akipata uongozi husahau kabisa aliokua nawao si Tanzania tu uganda pia ni vile vile kenya mambo ni hayo hayo na Kenyatta wako wazee mpaka sasa wanalia
Inategemea kwani waafrika wengi mkishafanikiwa hatua ya kwanza wanaanza hila za kutaka kukupindua hivyo mwl.Jk Nyerere hakuwa mjinga kiasi hicho
Selekali sikivu huyu mzee ashuudie mafajikio japo kidogo akiwa hai
Kuna haja ya historia ya kweli ya Tanzania kuandikwa. Tuachane na historia ya uwongo tuliyoisoma
Vijana tunapofaidi vyeo tuwakumbuke wale waliopigania tupunguze mbwembwe za madaraka
yanga na mashabiki zake mpo wapi jaman
Magufuli mkumbuke uyo mzee anamuchango mukubwa sana ktk taifa
Mzee yupo vizuri ila kama nyerere alikuwepo mzee huyu mbona yupo duni
Allah akuhifadh, nawaomba serikali wakutazame kwa jicho la huruma ni mchango mkubwa umetoa kwa taifa let.
Millard nyie hovyo sana. Kwanini hamjauliza zaidi kwanini aliingizwa detention?
Bilal mzee wangu Meenyez mungu atakujaalia kwani maumivuyako tunayajua kutokana na huo mfumo kandamiz () ( ) 😡😡😡😭
Nampendaa huyo Babu nipeni namba zake nimsalimie hata nimtembelee
Jamani jamani 😩😩
Mzee aliponzwa na uislam nyerere kakandamiza uislam
Awesome grandpa
Huyu Mzee bado yupo? Anaidai hii nchi heshima na matunzo makubwa
Sijuw kwann viongoz wa serikali hawaoni habar km hiz ,
Anapoishi Hy Kuna Mkuu wa wilaya, mkoa hata viongoz wa mitaa wapo lkn waapi!🤔🤔
Sku zote ukiwa muislamu lazima utakuwa huruma
Siasa zilificha ukweli watu wakweli tumewatupa tukakumbatia wanasiasa nawenye vyeo
Serikali imeshindwa kupata baraka za mzee huyu mpaka amekufa, hi Ni laana tosha, sijui Kama MUNGU anatudhibu kwa makosa Haya ama la.
Huyu mzee icon..afanyiwe jambo
mungu akubrk sana AYO
Serikali inashindwa hata kumjengea nyumba Mzee huyu jamani Hawa ndio wazee taifa hili sio wazee wasasa wa chongo.
Woga huu Tanzania! Yaani mwandishi ashindwa hata kuendeleza maneno nyeti muhimu ya mzee. Kwa nini aliwekwa kizuizi ni na Nyerere? Kwa nini Nyerere alikuja akamwomba msamaha? Ni maswali relevant sana katika interview hii.
Watu km haea serekali ingewaangalia japo kumjengea nyumba nfogo tu ht ya vyumba 2
Haina mwendelezo hii Mr Ayo? Maana imekatikia pabaya.
Asante sana.
Hongera sana mzee wetu, serikali ikutazame kwa jicho la tatu.
Mzee wet wa tabora huyu serikali imuanglie
Haikumuangalia alipokuwa kijana, imuangalie leo. wacha wende na serikali yao.
Dah! Mzee yupo sahihi sana yaan dah!
duh kweli tanzania noma thana ha kujengewa kanyumba ka tutofal
KAZI YAVIONGOZI WETU NIKUJILIMBIKIZIA MALI WANASAHAU HIZI HAZINA ZA NCHI