SIMULIZI: ALIHUKUMIWA KUNYONGWA, MKAPA, JPM WAKAMUOKOA "NIMEKIONA KITANZI, WENZANGU WALINYONGWA"
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Ni simulizi ya maisha ya Mzee Hussein Khatibu Kifunza aliyehukumiwa kunyongwa hadi kufa mwaka 1985, huku akishuhudia wenzake wakinyongwa gerezani (+255688190217).
Ayo Tv na Millardayo.com imezungumza na Mzee Kifunza ambaye ni mzaliwa wa Mzizima ambayo kwa sasa ni jiji la Dar es Salaam amable alisamehewa na Marais wawili tofauti ambao kwa sasa wote ni marehemu, Hayati Benjamin William Mkapa na Hayati Dr.John Pombe Magufuli.
Tuliosikiliza huu mkasa huku machozi yakitoka gonga like hapa😥😥
Yaan nimelia jaman🙌😭😭😭😭😭😭😭na kuwafikiria watoto wangu km mzazi ila wanaume wanapitia magumu mengi mnooo
U up
Pole sana mzee wangu.
Ok
No@@elinasanga9731
Ya Allah magufuli sinto kusahau maisha yangu yote wallah ntabaki kukupenda upendo wakwweli Haufi ntabaki kukupenda 💔💔😭😭 Allah akurehem huko ulipo
Msamaha unatokag kila rahis akiingia madarakan wanaobahatik huy kabahatik zama za magu mama yangu mdog alihukumiw kifungo cha maisha alitok mwaka km sikosei 2007 au 8 alitok msamah wa kikwete
Allahu akbar. Ewe mola wetu tusamehe mazambi yetu na utuongoze katika njia yako... tukumbushe pale tunaposahau amri zako kwa ukumbusho ambao hauna mazara kwetu. Aaaamin.
Amin
Amiin
Amiin
Usikubali kumuuamwenzako kumbuka na wewe utakufa ndio maana alikuta ta ndugu zake wengi walishakufa
Amiin rabil alamina
Tutaishi kumkumbuka hayati Magufuli❤️❤️
Sanaa tutamkumbuka
Kabisa nimeumia sana
Kabisa mungu amrehem
Subha Allah iv iyi dunia binadam wanaroho gani,mtu anafugwa miaka 35 alafu kwakosa lakusingiziwa inaumwa
Hio kawaida wengine Wana 9 saiv
Kumbuka kuwa wanaadamu wengi hawasemagi ukweli,,,,
Magufuli ulale pema peponi tutakukumbuka Daima 🙏🙏🙏
Amin
Amiin yarabi
Amiin yarabi
Amiin thuma Amiin
Amiiiiiina ya rabii 🤲
Mungu mrehemu John Pombe Magufuli kusamehe adhabu ya kunyongwa sio Jambo dogo
12111
Hy
Dunia ndio ijue sio kila mfungwa anahatia.pole sana mzee.mshukuru sana mwenyezi mungu.
Hakika
89dah mungu mpunguzie magu azabu ya kabri
Mungu akufanyie njia aliye kuwekea mama yako hadi kukushuhudia mwanae ukirudi tena uraiani umenikumbusha story ya mwanamke mjane (Nabii mke) ktk Biblia Mungu alimwambia hutakufa hadi umuone mwokozi (Yesu ) na kweli umri wa miaka 80 akamshuhudia Yesu hekaluni. Utukufu kwa Mungu aliye juu. Da kwa history hii Mungu anakupenda sana
Mungu nijaalie mwisho mwema binadam wewe ni nani unae weza kuukumu na kukatisha maisha ya mtu eh mungu
Hakika Mungu wetu ni mwema Sana huyo Mzee ni ushuhuda Mkubwa Sana Mungu alimuepusha Raisi Magufuli mikono yake kunyonga nchi inaweza kulaaniwa kwa Mambo mengi sana
Pole sana Baba yangu kwayaliyo kukuta ,Mungu aendelee kukulinda katika umri wako wa uzee hukukosea pole mkasa unatisha ,Ungefanyika Utaratibu achangiwe Ili ajikimu.
Mtangazaji kongole kwako kazi nzuri 🙏🙏🙏🙏
Imani Imani Imanii Alhamdulillah Ma’sha’Allah * Assalama aleikum kaka
Pole Sana mzee mungu wetu mkubwa, nakushauli hiyo nyumba samehe mungu atakuzidishia pepo bora zaidi
lllPllPll]lo)l]llPlpl0l
Dah pole sana
Pole Sana Baba😭😭😭zulma hii jaman
duh hakika kilamuntuh Arakwa
qulynafsy dhaikatul maut
pole bbngu...Allah atakulipa kwa yote😢😢😢naskiaa uchungu nathmn niko n uwezo nikawmle hao wanao jifnyaa ndio wakubwa kwenye hii dunia....ila Allah atawalanii ....
Adhabu hii, ingefutwa duniani kote.
Jamani haya Maisha ni safari Sana kazi zingine ni ngumu Sana Mungu tusaidie
Mungu siAthuman baba ona Haki aizami mzee mungu anakupenda Sana zidi kumuabudu mungu
Pole xana mzeee kilio cha mateso ulichokipata mungu yuko pamoja na ww mungu ataendelea kukufuta machozi
Ila serikal wakat mwingine wawe wanasikiliza vizur sasa huyu Baba ana makosa gani daaah jmn pole Sana bab
Duuuhh pole babu mda kweli yani. hatakuzaliwa mm bado zijawazwa.daah kakupotezea ndotozako kweliyan.Allah kareem uwezijua nn kakuepusha.❤
Yaan acha tu hana mtoto wala mke inaumiza sanaa🙌😭😭😭😭😭
Magufuli tunakukumbuka every second we are breathing, may God rest you in easy Sir.
Akina babu seya pia
Rip mzee mkapa huyu mzee atakumbukwa daima Maan Hawa wakuhukumiwa kunyongwa wote adhabu ilibadilishwa,, kila Rais anamazuri yake namabaya kila utawala wafungwa huachiwa huru
@@dadapechi ppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppppp0p
Pole babu mungu akulinde atulinde nasi na vizazi vyetu
Amiina
Pole sana babu😥 Serekali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tz imezidi dhulma 😥 Kunawa2 miaka 9 sasa wanaadhibiwa bila yakosa 😭 Allah atawalaani kwarehma zake🤲 Nanyinyi muonje machungu yake kabla hamjafa 🙏
Pole baba Mungu yu mwema upatiwe yu haki yako tunaye Rais mwema pia ataliangalia hili kwani miaka 37 si mchezo. Mwenyezi Mungu tupe mwisho mwema
Bb yangu
Mshtakie Mwenye i mungu
Allah atakulipa kwa dhuruma uliyofanyiwa
Inalilahi Wainailahi Rajeehun kumbe nchi yetu ina sheria ya kunyonga🥺🥺🥺🥺Allah awafanyie wepesi woote waliyopo magereza Ooooh my Lord moyo umenimuaaaa. Mashaalah mzee anakumbukumbu zote
Ilikua zaman, Marais wengine walikua hawatii SAINI
Ipo ila haitekelezwi iliwah tokea Enzi za Rais mwinyi tuu aliwah sain wafungwa wakanyongwa sikumbuki idadi lkn haijawah kutokea tena
@@enterenter1921😢😢 duuh kumbe mwinyi nae alisaini hiyo kitu innalilah waina ilah rajiun 😢
Mungu alimtuma magu na katenda kazi kachukua mjaa wake bila ya magu inamana bila jmp Bado angekua gerezani
Daaah Maisha haYa....inauma Sanaa😭😭mungu tupe mwisho mwema
Naomba milad ayo kma itaezekana kufungua account ya mchango ya kusaidia wazee kama hawa walo poteza maisha bila hatiya.. Inaskitisha sna.. Allah Kareem
Hapo xafi waxo jema
Siamekutwa na hatia na mahakama.
Inalilai walnalilai rajiuni pole sana baba Mwenyezi Mungu hatakulipa
Inasikitisha sana pole baba mitihani ya dunia jamani
Jamani wapangaji tuwewakweri kwa wenyenyumba tutapata zambi nakuwapoza wazee kama uyu baba
alhamdulillah,kikubwa mzee wangu ukiweza waeza oa na zaidi kumuomba mungu maisha ya yaliobaki ,usikate tamaa baba
Kakaayo tunaomba ufanye taratibu za number ya mawasliano, ikiwezekana usimamie tumuwezeshe mzee mwisho wake uwe mwema, maana Hana uwezo wa kufanya kazi kweri inauma mno jaman 😭😭
+255688190217
Pole sana ALLAH atazidi kukufanyia wepesi In sha Allah
Pole sana babu Allah akuhifadhi na akuongoze katika khaki ufanye yale yenye kumfurahisha Allah
😭😭😭😭hata sijui hawa Askari wanaonyonga huwa wanakua na roho gani mweee pole Sana Baba angu
Ukweli naumia sana 😭😭😭😭
Nimeumiaaa
Mwenyezi Mungu atupe jicho la kuwajua marafiki wazuri na wabaya
Duh machozi😭😭😭😭 yamenitoka ee, mungu wangu, watoto wetu vizazi vyetu,
Huruma jamani
Anavyosimulia huruma
Kosa la kusingiziwa
Mungu mkubwa
Yaan we acha tu 😭😭😭😭😭😭inaumiza sana hii story
Inaumiza sana tuombe mwisho mwema
Pole sana Allah atakusaidia inshaallah
Hii nchi haki inapotezwa sana na wengi walio jela hawana hatia 😢 walio fanya makosa wapo tu nje wanapeta 😢😢😢
Nimelia jaman🙌😭😭😭😭😭jela haina mwenyewe daah Mungu tu mzee wetu kutoka kwenye kitanzi
Allah Ndio hakimu muadilifu..atawahukumu wote hao wanaojifanya mahakimu
Mungu akufanyie wepesi kwakila jambo
Allah akbari, *ni kweli hakimu muadilifu ni Allah pekee*
Yani kuna binti yangu aipendi hii kazi ya uwakimu anakwambiya hii kazi ya lhana kesho kwa mungu uwezi fanya hii kazi mwanzo mbaka mwisho bira ya kumzurumu mtu haki yake
@@zurfashafii9531 masha Allah
@@zurfashafii9531 Masha Allah
Naam
“Alaisallahu bi-ahkamil haakimin”
@@RioIpo shukulani
Pole sana mzeee
Daaaaaaaah akisimulia mambo yakunyongwa mwiliulinisisimka nakutetemeka .
Asante Ayati Magufuli kwa hekima yako kumsamee uyu mzee
Ewe allah msamehe namakosa yake mzee wetu Joan Pombe magufuli kwa rehema zako inshallah utupe mwisho mwema😭😭😭😭
Al hamdulillah Rabil alamiin haki ya mtu haipotei.
Daah Jaah bless. jela kweli haina mwenyewe
Dah 😢😢
“Alaisallahu bi-ahkamil haakimin” Suratul TIN aya ya 8
" Jee! Hakika Allah sio hakimu muadilifu?"
Umenifanya nitoe machozi kwa hii Aya ,kweli kila uweza na nguvu ni za Allah hakika Allah ni mmiliki wa kila kitu
@@habibahadithi5080 Naam tunajiachia sana wanaaadam.. wakati wisest judge ni Allah
Pole baba mungu alihukumu hukumu yake ya kweli
Kwakweli kilichopita wahenga wanasema si ndwele kali kwakweli inasikitisha sana cha zaidi mtu hakua na kosa hakuhusika na chochote unahukumiwa kufa yani hatari sana Allah atustiri na mitihani midogo na mikubwa ya hii dunia
Alhmndulillah umepata bahat mama mzazi bado yupo Hai jambo lakumshukuru Allah
Mungu baba mwingi wa Rekhema mwenye kurehemu naomba uniondolee na mikosi nuksi na balaa,kwa mtu usiye fahamu jela siyo kuzuri,ogopa Maisha yakula kwa muda kunywa maji kwa muda kuoga kwa muda kulala napo ni kwa muda na ogopa unaenda jela kwa kosa ambalo hauja lifanya,Mungu baba mwingi wa Rekhema akulaze mahali pema peponi Raisi wetu Hayati John Pombe Magufuli Mungu akundolee adhabu za kaburi akupe kauli thabiti....Aamiin
Daaaah kipind cha mwinyi matatzo watu walikuwa wananyongwa sana sijuw kwa nini mbona uongoz wa jpm hakuna hata mmoja aliyenyongwa Rip John pombe magufuli
Uongeleiii Nyerere alikuaa ananyonga VIBAYA mnoo
Polesana Mzee, mungu amekuongoa bac mchemungu Sana, ili mungu akupokee akhera na ukafurahie malipo mazuri inshaallah.
Kwa hiyo hii adhabu yakunyongwa ipo. Ila ni bahati tuu kuachiwa. Mwenyezi Mungu akujaalie kheri Baba. Vita umevishinda😰
leo nimekubali waliyo jela ciote wenye hatiyaaaa 😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🤲
Pole sana bb yng
Pole sana
Bado Mungu yupo kwa ajili ya wanyonge. Tuendelee kumtumania Mungu
Malanyingi penye ukweli MUNGU husimama!pole sana mzee!
Wewe unamtamkia laana.hayati j.p.m.lakini wananchi wakawaida wengi.wamemwachilia baraka.tafakari ww unayemlaumu kila siku.unashindwa hata kulala
maisha hyaa nikwamda tu pole sana mzee
Mungu ashkuriwe na vilivile baba wa taifa alie mtetezi wa wanyonge
Pole Sana mzee 😭
GOD is LOVE for All People's
Viva JPM
Pole baba . RIP my JPM
Allah akbar!
Mkapa na. Magufuri. Asanteni sana
Imani imani Alhamdulillah Ma’sha’Allah Assalama Aleikum Kaka
Pole sana mzee du mungu anatisha jamani kama mungu kakupangia ufike ulaya utakwenda hata huskujuwe na mungu akupe uhai mkubwa du kifo hadi uhai
Ewee mwenyewe mungu tufanyie wepesii mwisho mwema mjarie mzee wa watu maisha haya hayana huluma
Dunia niuwanja wafujo.pole sana Baba hapo serikali ilitakiwa imlipe fidia.
DUH,POLE SANA TANZANIA HII SIO MCHEZO
YAA RABBY TULINDE NA MASHARI YA DUNIAN
Dah Yani inauma sana hao maaskali walaniwe sana mzee hata hana hata hatia kwakweli
Baba pore sana
Pole Sana mzee MUNGU amekunusuru azabu ya kifo🙏🙏
Masikini kosa afanye mwengine adhabu apate mwengine kweli si wote waliojela wanahatia
Pole Sana mzee wangu hio ni dhulma lakini mungu yu pamoja nawe
Pole sana mzee m/mungu ashukuriwe ndiokilakitu
Walonyongwa na wanyongaji tutakutana mbele uko kwa hakimu wa haki
Huko watu watakuwa wengi wala hutawaona
@@janethhenry1557 😂😂😂😂akili zako wew
Hahahaaaaa ni shida
🤣🤣🤣🙏
😂😂😂
Mungu nijalie baba insharah
Mwandishi unae mhoji jifunze kazi upyaa
Mungu atunusuru wallah
Kumbe nduo maana yesu aliwajua tangu na enzi polisi kwangu nao a nikazi ya laana mungu itakua ngumu mzee ujana wake kaumalizia jela uzee wake kaumalizia jela laki ni mungu akasema mamayako Atakufa mpaka akuone sasa bibi yetu mungu anaweza kumchukua mja wake kwani umeyaona matendo makuu ya mungu wako tumshukuru mungu wetu na tumlaani shetani kwa kazi yake ikitendwa na polisi mungu shugulika nao
Mbona wabakaji hawnyongwi Tena wanabaka watoto wa kiume
Hawa watu wanaofanya Huuu Unyamaa Mungu Atawalipa Na Wao Malipo Yaoo Maana Inasikitisha
katika story nilizowai kusikiliza nikaenjoy ni namba 1
Number one to day
Na kumbuka mzee. Kifunza alikua anakaa. Keko bonden karibu na magereza
@@sihabasihaba5155 kumbe
POLE SANA MZEE WANGU,
🤔pole sana Mzee umeshinda vita endelea kumtumainia MUNGU
Kiukweli inauma Sana magufuli mungu amlaze Sana uko alipo 😭😭😭😭😭
Napenda saana kuatili chaneli z Ayo Tv maanani zahukakika na anacho kiandika ndicho anacho kitangaza Mungu akuzidishie
Bb yangu
Sjikamana na ibada
Duniani hamna haki kwa kweli ina maana kuna watu wamenyongwa bila hatia dah machozi yamenitoka kwa kweli