Wamenifukuza CCM lakini hawawezi kuuchukuwa uzalendo wangu kwa Zanzibar - Mzee Moyo
HTML-код
- Опубликовано: 17 авг 2020
- Miaka mitano iliyopita, Mzee Hassan Nassor Moyo alifukuzwa kutoka chama chake alichodumu nacho muda mrefu cha CCM kwa shutuma za kukiuka misingi ya chama hicho. Mwenyewe aliiambia Sauti ya Ujerumani ya Deutsche Welle kwamba hajali na angeliendelea kukisimamia alichokuwa akikiamini ambacho ni Maridhiano ya Wazanzibari, Muungano wa Serikali Tatu, na Zanzibar yenye mamlaka yake.
Allah akupe Qauli thabit Mzee wetu. Akusameh makosa yako
Allah atie nuor Njema kwenye Kaburi lako, na manukato mazuri ya neema, na akujaalie pepo siku ya mwisho
Alla akurehem mzee wet hakika uliipambania nchi yet na hukuyumba wao ni madalali wa nchi yet kwa uwezo wa Alla hawatafanikiwa
Mzee mshukuru mungu kukumbusha usiondoke dunian na DOA LA dhuruma na ukandamizaji haki za wananchi
Allah akustiri mzee wetu.
Amin.
Mzee moyoo Allah akusamehe madhambi yko
Allaah akughufirie dhambi zaka na akulaze pahala pema peponi but tumeondokewa na mzee wetu mwenye msimamo mkali,fikra na busara kubwa kwa wazanzibarii🙏
Babu yangu mungu akuvishe taji la peponi
Mungu akulaze mahali pema peponi mzee wetu mwema amiin
Ameen Yaraby
Mungua ailaze roho ya mzee moyo mahali pema peponi amini kiukwelii wazanzibar wata kukumbuka sana kwa msimamo wako na kuitakia mema zanzibar pia
Inasubiriw ukasitiriwe kwenje njumba yako ya Miller Mungu akulaze mahala pema peponi Amin
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi Amina
Allah akupe kauli thabit n akuingiz peponi kw rehma za Allah... Ww unaipnd nchi yk n wtu wko huu ndio uislm unvotkiwa n hii ndio dini y kweli... Unambiw uwpend waislm wenzio kuliko unvo ipnd nafsi yk.. Mm nkuombea dua ya rabbi mpe pepo mj wko kw rehma zako apokelew kw mikono miwili n kitbu chko upew kw mkon w kulia... Amin.... Zanzibar asa hv tun dhulumiwa cc n cc viongz wn lion hli lkn wnfny hv Sbb wnaon jion wnpt kil kit cc wchn nd tunumia
Dini yakweli , unapenda binadamy wote sio waisilamu wenziio Tu,
@@rehemamost444, Uisilam ni dini ya kweli na haq. Na ndio mana Allah akaeka wazi mapenzi ya imani, ya udugu na ubinaadamu. Uisilam umetufunza kupenda waisilam wenzetu, kupenda wanaadamu wote kiujumla, nakuwapenda ahli zetu. Na uisilam hauna kosa kusema mpende muisilam mwenzio kuliko unavyoipenda nafs yako mana nyote ni waimani moja. Akifa leo hatatoka wa dini nyengine akaja akamzika.
Innalillahi Wainna Ilayhii Rajiuun
Allah akupe qaul thabit mzee wetu
Mzee Wangu umeonesha juhudi yako kwa Zanzibar
Allah a kurehemu na akusameh makosa yako ww na jamii muslimiin
ALLAH amped mzee Hassan Nassoro Moyo Makazi mema peponi, Aameen
Ameen
Uchungu wa zanzibar aujua mwana zanzibar alie kinae
اللهم غفر له وارحمه واسكنه فسيح جناته
اللهم آمين
انا لله وانا اليه راجعون
الله يرحمه ويغفر له
الله يغفر له ويرحمه ويسكنه فسيح جناته
اللهم اغفر له وارحمه واسكنه في الجنة واكرم مثواه
Aamiin🤲
Inna lillah wainna ilaih rajiuun!!R.I.P Papa.
Mung akulaze pema peponi
Aamin
Bora uwe na msimamo hadi mwisho...he is such a role model
Ewe Mola wa Arshi tukufu msamehe mzee Moyo na wazee wetu walo kwisha tangulia na uwaingize katika jannat l-firdaws.
Ameen
Allah amrehemu mzee wetu amsamehe makosa yake
Kama Tanzania inanuka maovu, usingeishi, nenda hapo Somalia Tu, ukaishi harafu ndo utajua Tanzania viongoz wetu wananukia Aman,
@@rehemamost444 Zanzibar kwanzaaaa
Mzee moyo alisimamia kile alichokuwa anaamini
Kama wewe ni muasisi wa muungano iweje leo unataka uvunjike? Inna lillah...
Alamdulillah uliwaacha madhalimu na udhalimu wao
Mzee Zanzibar au tanzania
Rip
Hawakumtendea haki
Ukisema ukweli n kutaka mamlaka kamili zanzibar nakutetea zanzibar ccm haitaki ivo Allah akusamehe mazambi yako akujalie kauli sabit naukisema ukweli ktk ccm lazima ufukuzwe
Mmh
Mola akubari na umejitahidi kadiri ya uwezo wako
Simba
[[[[[[[]]]]]]]]
Mapinduzi ya mama zao
kina maalim sefu igeni ukweli na uaminifu wa huyu comred,ili iwe ni ushahidi mbele ya Allah.
fitna na farka+majungu vitawafanya mfe vibaya
Hatuta kusahau ww nilulu kwa zanzibar yetu
Tanzania inanuka maovu kutoka kwa wanaongoza uongozi
Siasa ya duniani ipo ivyo leo iyo saudia nchi takatifu na kumeoza kiuongozi ivyo tuombe pepo tu haya ya dunia wala hayana lolote
Bado tinga tinga na wafuasi wake
Mnafki hana chochote. CCM oyeeeeee mpaka kiama. Mkichukia poa tu.
Mnafiki wewe!!!
Allah Akujaalie Qabri Yako Minalriadhiljannah Yarabiy