VUTA NIKUVUTE NZITO YAIBUKA NA MGOGORO MKUBWA KUHUSU HOTELI HII KUSINI UNGUJA
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
cc: Masoud Maganga
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Pole sana bi Naila. If this is the situation then you have every reason to fight for your sweat and blood. Inasikitisha.
Javed anajulikana kwa utapeli lazma achukuliwe hatua
Lakini itakuwaje makhkama imzuwie mwenye mali kutembelea mali yake ?
Wahimdi Washenzi Sana hao sio watu wazuri kabisa
Tatizo ya serekali zetu za afrika inawapa sana nguvu wageni kuliko wenyeji
Mahakama za ccm hazitendi HAKI.
Mama umekosea sawa doller 54 unepewa doller elf 3.kwa nn ukubali angalau ingekuwa kodi ya mwanzo umelipwa 54 kamili halafu kodi inayo fata mtu akwambie hali tete anze kukuzungusha.hayo mambo ya kujuwana mm ndo siyataki lakin km kuna haki yako basi uipage .kwa nn kavunja na km ikitokea anadai aweke document za madai na km anadaiwa alipe na atengeze
Wote wajanja hao, wacha vyombo vya kisheria vifanye kazi zao
Huyo muahindi ni mshenz sana jeved
Ni lazima washtakiwe wetoa rushwa kwenye mahakama ya ccm.
Kesema kweli inauma mimi nakumbuka jinsi bi naila alivyohangaika na hii hoteli ni haki yake jamani mtu kulilia chake ni wajibu jikaze mahfouz usikubali ujinga huu uharibu kila kitu chenu.
Subiri utasikia mali ya serikali hio ndio ZANZIBAR
Kawaida ya hapa kwetu haitochukiliwa hatua yoyote hapa tupo hapa hapa
Hii Hotel ilikua nzury Sana mimi holidays zangu zote nalala hapo Palm beach na wageni wengi wanafakia hapo,services zao nzury,chakula chao kizury+mazingira ya nje mpaka ndani room yalikua mazury now nimeona ivo nimesikitika sana😢😢Wamlipe pesa zake aitengeze tena hotel maana wamemtia hasara sana mwenyewe airudishe kama mwanzo bado wananchi wanaihitaji hii hotel na wageni pia kwa ajili ya mapumziko na family zao.
Doo jamaa mshenzi sn
Sheha Nakipa 💯
Wamiliki wanajitahidi kuleta uzalendo ili kutupa sisi nafasi nakuacha watu wa nje halafu hatuthamini nia zao... Jamani tubadilike tuwasaport matajiri wanapo amua kutuinua
Sasa hio hotel ni orra bungalow resort au club
Sio kweli....hapo pana figisu...asiejuwa ukweli ataamini hayo maneno.
Mahakama gani hio ya Pesa nane inamrudishia Mwenye Hotel Halisi wakati imesha Haribiwa bila kulipiza Walio iteleka na Kuharibu Hoteli🤔😭😠😠
Wote matapel hawa dhulma nyng mwisho wake huo
Unawajua
Alomsikiya Adnan anatajwa gonga laiki hapa
🙏
Rushwa mbaya mpaka mtu mnammalizia maliyake
Sijui ni HOTEL ya nyota ngapi
Five😂😂😂
@@fatemaligalawa1918 😄😄😄asante ila naona kama ya nyota 1
@@kreamagdfsa1697 hahaha hta moja haifiki nahic ni bangaloo au mgawaha wa hazi ya juu
@@jakayamati3510 Nilikua natania tu my dear hio sio restaurant bali ni bungalow
Bii Naila ana chukua pesa then anaiharibu hoteli
Ushenz zanzibar imekua dili
Pole sana
Ogopa tapeli
Bii naila nyumba huzieka majini zisikalike
Msiwache
Hom sweety hom mmbwejuu halis
HIIINIHUJUMAWASHTAKIWEHAO
Punguzeni rushwa nyingi2
jamaa zangu walimkodisha mtu nyumba nyumba ilipo takiwa kavunja milango hiyo inakuwa choyo tu
Atiwe ndani