VUTA NIKUVUTE NZITO YAIBUKA NA MGOGORO MKUBWA KUHUSU HOTELI HII KUSINI UNGUJA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
    Follow Ktv Tz Online
    Facebook | KTV TZ ONLINE
    INSTAGRAM |@ktv_tz_online
    Wasiliana nasi kupitia number
    +255 625 323 932
    Ktv Tz Online Journalists
    cc: Sadia Rashid
    cc: Sauti Byego
    cc: Maryam Busara
    cc: Masoud Maganga
    Camera Department"
    Dadi Ali
    Omar (OJ)
    Nassor Shaibu
    Abdallah Juma
    Editors:
    Juma Maulid
    Dadi Ali
    Video Zingine:
    Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
    - Ali Kiba akiwa Oman
    • ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
    • NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Комментарии • 42

  • @sfiniyussur4460
    @sfiniyussur4460 3 года назад +1

    Pole sana bi Naila. If this is the situation then you have every reason to fight for your sweat and blood. Inasikitisha.

  • @nadinahfurseth2019
    @nadinahfurseth2019 3 года назад

    Javed anajulikana kwa utapeli lazma achukuliwe hatua

  • @talibsaid8081
    @talibsaid8081 3 года назад +5

    Lakini itakuwaje makhkama imzuwie mwenye mali kutembelea mali yake ?

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 3 года назад +2

    Wahimdi Washenzi Sana hao sio watu wazuri kabisa

  • @MohamedAli-ds8uz
    @MohamedAli-ds8uz 3 года назад +1

    Tatizo ya serekali zetu za afrika inawapa sana nguvu wageni kuliko wenyeji

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 3 года назад +1

    Mahakama za ccm hazitendi HAKI.

  • @Zanzibar-e4h
    @Zanzibar-e4h 29 дней назад

    Mama umekosea sawa doller 54 unepewa doller elf 3.kwa nn ukubali angalau ingekuwa kodi ya mwanzo umelipwa 54 kamili halafu kodi inayo fata mtu akwambie hali tete anze kukuzungusha.hayo mambo ya kujuwana mm ndo siyataki lakin km kuna haki yako basi uipage .kwa nn kavunja na km ikitokea anadai aweke document za madai na km anadaiwa alipe na atengeze

  • @zanzibarexcursions6087
    @zanzibarexcursions6087 3 года назад +1

    Wote wajanja hao, wacha vyombo vya kisheria vifanye kazi zao

  • @jumamatao3628
    @jumamatao3628 3 года назад +1

    Huyo muahindi ni mshenz sana jeved

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 3 года назад +1

    Ni lazima washtakiwe wetoa rushwa kwenye mahakama ya ccm.

  • @mahmoudsuleimanmohamed4969
    @mahmoudsuleimanmohamed4969 2 года назад

    Kesema kweli inauma mimi nakumbuka jinsi bi naila alivyohangaika na hii hoteli ni haki yake jamani mtu kulilia chake ni wajibu jikaze mahfouz usikubali ujinga huu uharibu kila kitu chenu.

  • @kreamagdfsa1697
    @kreamagdfsa1697 3 года назад +2

    Subiri utasikia mali ya serikali hio ndio ZANZIBAR

  • @fadhilaahmed6639
    @fadhilaahmed6639 3 года назад

    Kawaida ya hapa kwetu haitochukiliwa hatua yoyote hapa tupo hapa hapa

  • @shadyasaid3224
    @shadyasaid3224 3 года назад

    Hii Hotel ilikua nzury Sana mimi holidays zangu zote nalala hapo Palm beach na wageni wengi wanafakia hapo,services zao nzury,chakula chao kizury+mazingira ya nje mpaka ndani room yalikua mazury now nimeona ivo nimesikitika sana😢😢Wamlipe pesa zake aitengeze tena hotel maana wamemtia hasara sana mwenyewe airudishe kama mwanzo bado wananchi wanaihitaji hii hotel na wageni pia kwa ajili ya mapumziko na family zao.

  • @yahyashaib5116
    @yahyashaib5116 3 года назад +3

    Doo jamaa mshenzi sn

  • @omarimbarakamikidadi1314
    @omarimbarakamikidadi1314 3 года назад

    Sheha Nakipa 💯

  • @felixntenyange4593
    @felixntenyange4593 3 года назад

    Wamiliki wanajitahidi kuleta uzalendo ili kutupa sisi nafasi nakuacha watu wa nje halafu hatuthamini nia zao... Jamani tubadilike tuwasaport matajiri wanapo amua kutuinua

  • @kreamagdfsa1697
    @kreamagdfsa1697 3 года назад +1

    Sasa hio hotel ni orra bungalow resort au club

  • @themoudy17
    @themoudy17 3 года назад

    Sio kweli....hapo pana figisu...asiejuwa ukweli ataamini hayo maneno.

  • @carolmuchiri9921
    @carolmuchiri9921 3 года назад

    Mahakama gani hio ya Pesa nane inamrudishia Mwenye Hotel Halisi wakati imesha Haribiwa bila kulipiza Walio iteleka na Kuharibu Hoteli🤔😭😠😠

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 3 года назад +2

    Wote matapel hawa dhulma nyng mwisho wake huo

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 3 года назад

    🙏

  • @yahyashaib5116
    @yahyashaib5116 3 года назад +1

    Rushwa mbaya mpaka mtu mnammalizia maliyake

  • @kreamagdfsa1697
    @kreamagdfsa1697 3 года назад +2

    Sijui ni HOTEL ya nyota ngapi

    • @fatemaligalawa1918
      @fatemaligalawa1918 3 года назад

      Five😂😂😂

    • @kreamagdfsa1697
      @kreamagdfsa1697 3 года назад +1

      @@fatemaligalawa1918 😄😄😄asante ila naona kama ya nyota 1

    • @jakayamati3510
      @jakayamati3510 3 года назад

      @@kreamagdfsa1697 hahaha hta moja haifiki nahic ni bangaloo au mgawaha wa hazi ya juu

    • @kreamagdfsa1697
      @kreamagdfsa1697 3 года назад

      @@jakayamati3510 Nilikua natania tu my dear hio sio restaurant bali ni bungalow

  • @aleiali9676
    @aleiali9676 3 года назад

    Bii Naila ana chukua pesa then anaiharibu hoteli

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 3 года назад +2

    Ushenz zanzibar imekua dili

  • @youngteo4158
    @youngteo4158 3 года назад

    Pole sana

  • @osmanha6915
    @osmanha6915 3 года назад

    Ogopa tapeli

  • @aleiali9676
    @aleiali9676 3 года назад

    Bii naila nyumba huzieka majini zisikalike

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi4385 3 года назад

    Msiwache

  • @shanishamsi9576
    @shanishamsi9576 3 года назад

    Hom sweety hom mmbwejuu halis

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi4385 3 года назад

    HIIINIHUJUMAWASHTAKIWEHAO

  • @barrysulty1756
    @barrysulty1756 3 года назад +2

    Punguzeni rushwa nyingi2

  • @Zanzibar-e4h
    @Zanzibar-e4h 29 дней назад

    jamaa zangu walimkodisha mtu nyumba nyumba ilipo takiwa kavunja milango hiyo inakuwa choyo tu

  • @eenpaard3915
    @eenpaard3915 3 года назад

    Atiwe ndani