Nakumbuka mtiga alivyo toka the story book jamal alituahidi kwamba the story book inaenda kuboreshwa nakua nzuri kuliko zaman kama unaamini amefanikisha kauliyake basi tujuane gonga like
hii story itasababisha makundi ya watu kwenda uko kufanya shirki kwa walio na imani izo za kishirikina ili kutafuta mali.. Nawasihi ndugu zangu mungu pekee ndio anaetoa riski kwa mwanadamu sio mizimu wala majini. Na wala hakukosea kutuumba maskini na matajiri tushukuru na tulichojaaliwa.
Kuwa kwangu muafrika haimaanishi kumshirikisha Mungu wangu. Pia kumbuka ukimuomba Mungu hataki malipo ila umshukuru lakini ukiwaomba majini utalazimika ulipie na ukikosea masharti unaanza kuumia duniani na akhera pia. Jamal umetuonesha mambo ambayo hatukuyajua kabla. Nawe hukufanya matambiko kwa sababu ya imani yako lakini umesahau kuwaonya watazamaji wako ya kwamba umewaonesha wajue tu na sio wafuate. Nakukumbusha.
@@WachajiWaForo acha kujidanganya wew we wafikiri mungu alikuja juzi kumbuka mungu alikua kabila ata izo dini zenu zakikumbuvu kuja ukumbuke watu walikua wanamuomba mungu wala sio god na hizo ng'ombe zengne
Binadamu ni binadamu tu maana anasifa za kibinadamu. wengi wataamini, wengi watapuuza maana hawajui maana japo wanapewa MAANA. Usifananishe historia ya lolindwo na historia za kale. BIG UP JAMAL. KUMBUKA KURUNDISHA MKONO KWA BABU.
Jiwe aliwezi kua la kuombwa wa kuombwa ni Allah subhanna wataallah na yeye ndiye mpangaji na yeye ndio mpanguaji ametakasika mwenyezi mungu mlezi wa walimwengu wote
Me kinacho nichekesha kwa mambo ya waganga eti ukiomba unafanikiwa ok kwanini usiombe wewe kwanza ukawa na maisha mazuri na majumba 😂 na ukaomba kwajil ya nchi yako uone akuna mtu au kitu cha kuomba isipo kuwa MWENYEZI MUNGU ❤ only
Wamaakafara Suleiman, walaakilla shayatun kafarun lialimuna nas sa siihir . Na wala hakukufuru Suleiman ( Solomon ) bali ni mashetani ndio waliokufuru kuwafundisha watu uchawi. Suratul Al bakra
Heehee Shetani kweri ni Muongo, Wewe Mwenyewe Mzee Wa Onekan Waka Maisha Ya Kichochori Mbona Hizo Mizimu Hazija Kutajirisha Jameni, Samahani Kama Nime kosea, Lakini Jameni Geukiieni Mwokozi Yesu Tu Ndo Mwenye Mambo Mazuri na ya Uzima 😢♥️🇰🇪
Kipi Allah anawatuma mitume wake alifahamu kua Kuna uchwi na alifahamu kua Kuna majini na sifa ya Allah ni kumletea mja wake ujumbe kwa njia tofauti wengi wetu tutaanza kumuona Jamar kama mtu mbaya lakini yeye anazungumzia kile kilichopo, mengi yamepita na mengi yatapita ili tujifunze ni lazima tujueh yaliyo pita na ndo maana ata katika vitabu vya dini Kuna adithi mbali mbali, inapswa kila mmoja kushikilia Iman yake, Mimi nilimuelwa vyema Mr. Jamar kua (akukubari kile alicho abiwa na Wala akupokea mashart aliyopewa kwa maana dini yake haimruhusu) hvy ndivyo alivyosema.
Kwanza hapana bud kumshukur mungu kwa kuwenza sha kuni faniki sha hiloo. Asant ' Ila ume tusimuliya story hata ambaye sisivwa zanzibar wenyewe hatu zielew' Hap tuliskiya mache che ulo jifunza hap ki ukweli yale maelezo ambaye kuwa tuna kuwa tuna skiliza kutoka nana una cho jifunza haya kututo sheleza ime kuwa ni mfup tuna itama niendelee mm ni mzanzbr halis
Hahahahaha😂😂😂 shetan uyo ok naish znz but hata sijuw vitu hivi kma vinapatikana that's good jamaal uko vizur kwa kutafuta story mashallah utafika mbali
Pamoja na hayo ndugu zangu ya Kuwa Wapenzi wa Kufuatilia The Story book Napenda Kuwanasihi Watazamaji Wote Ya Kwamba Hizo ni Imani za Kishirikina haifai kwa Muislamu Kuwa Ni katika hao,,,,Ni dhambi kubwa inayomtoa mtu Katika dini,,,,,Kaka Jamali na Waislamu Wote Muliokuwapo katika Hy ngoma munapaswa muombe Msamaha kwa Allahu kwa sbb hamkupaswa kuhudhuria hapo kwenye ngoma.
Hivi ni viumbe kama viumbe vingine, ni majini hao sio mzimu hakuna kitu mzimu ni majini yana chezea watu kwa kafara za kijiinga unapooenda kwa mganga, mganga nae anaomba msaada kwa mizimu (jini) ili usaidiwe asa jini ili hakufanyie jambo lazima utumize jambo lake ambalo ni kukudharirisha binadamu kwanza. atakuambia kalale na dada yako au leta damu na kadhalika ukitimiza asa yeye anakufanyia hiko utakacho. ila hakuna kitu super natural kwako ni super natural ila kwa jini ni kawaida. mfano wewe vs sisimizi. simimizi hakuombe maji wewe umuambia mlete mkee wako lala nae hakisha fanya hivyo sisimizi wewe una mchotea maji ndo nzima unampaa asa kwa sisimizi na ndoo ya maji hataona umemufanyia makubwa saaana. hizo shiriki jamani muombeni Mungu inatosha
Mali za mizimu sio nzur Mara unalale na babako mamako kakako dadako yanii ushetani uchafu mambo ambayo hayapendez wa mungu Wala jamiii mungu tupe rizki za halali
Mwisho wa siku Jamal apewe uwaziri wa utaliii bwana maana historia anazijua na anazifatilia kuliko hao mawaziri hongera sana mie mzanzibar Ila kwa Mara ya kwanza ndio naona Mambo haya
Huyu Proffesor ni zaidi kama vile maziwa ya asses matamu aisee huyu jamaa anaweza Story anatoaga za kweli hadanganyaji ni zaidi proffesor uyo Jamal April Wise Jamal
Hilo jiwe linalochuruzika maji, kinachojiunda juu kinaitwa STALACTITE, kinachopanda chini ni STALAGMITE na kikiungana huitwa EARTH PILLAR. Geography 😂😂😂
Nakumbuka mtiga alivyo toka the story book jamal alituahidi kwamba the story book inaenda kuboreshwa nakua nzuri kuliko zaman kama unaamini amefanikisha kauliyake basi tujuane gonga like
Nikweli
upo vizur san hongore
Uwakika
Story nyingine lin
Kama kwel gonga like
Tumuamini mungu sio waganga Allah yupo pamoja na ssi wanadamu
Waganga ndio Madaktari wa Asili.... ukimkataa mganga na Hospitali usiende koz utakua unamkosea Allah
Allah atuongoe njia ilionyoka akuepushe na fitina za shirki na fitina za dunia mitihan hii
hii story itasababisha makundi ya watu kwenda uko kufanya shirki kwa walio na imani izo za kishirikina ili kutafuta mali..
Nawasihi ndugu zangu mungu pekee ndio anaetoa riski kwa mwanadamu sio mizimu wala majini.
Na wala hakukosea kutuumba maskini na matajiri tushukuru na tulichojaaliwa.
Kwel mungu anatosha kwa kila jambo
Acha ukumbavu wew uspotoshe wenzako sisi niwa Africa
@@mbezzoprince9462 kwaio waafrica hawaamini mungu au
Kuwa kwangu muafrika haimaanishi kumshirikisha Mungu wangu. Pia kumbuka ukimuomba Mungu hataki malipo ila umshukuru lakini ukiwaomba majini utalazimika ulipie na ukikosea masharti unaanza kuumia duniani na akhera pia. Jamal umetuonesha mambo ambayo hatukuyajua kabla. Nawe hukufanya matambiko kwa sababu ya imani yako lakini umesahau kuwaonya watazamaji wako ya kwamba umewaonesha wajue tu na sio wafuate. Nakukumbusha.
@@WachajiWaForo acha kujidanganya wew we wafikiri mungu alikuja juzi kumbuka mungu alikua kabila ata izo dini zenu zakikumbuvu kuja ukumbuke watu walikua wanamuomba mungu wala sio god na hizo ng'ombe zengne
Binadamu ni binadamu tu maana anasifa za kibinadamu. wengi wataamini, wengi watapuuza maana hawajui maana japo wanapewa MAANA. Usifananishe historia ya lolindwo na historia za kale. BIG UP JAMAL. KUMBUKA KURUNDISHA MKONO KWA BABU.
Waganga ni wasanii kama wana sanaa wengine
Napenda Sana mizimu tunaishi vema Sana na mizimu kutoka Kenya
Jiwe aliwezi kua la kuombwa wa kuombwa ni Allah subhanna wataallah na yeye ndiye mpangaji na yeye ndio mpanguaji ametakasika mwenyezi mungu mlezi wa walimwengu wote
Hakika ndugu
Wallaii
fact
Naam
I like that broo ✌️✌️
Mwamba nakukubali Sanaa 🙏🙏
Profesa kumbe una sauti nzuri sana hivyo ❤❤
Jamali nimekubali Sanaa, amini kwamba Kila kitu kinawezekana, nasubili Sana Kilimanjaro njia ya tatu🙏🙏🤜🤛
Asante sana🙏🙏🙏 kaka kazi nzuri sn naku fatilia toka Kongo DRC 🇨🇩🇨🇩✊✊🇹🇿🇹🇿
Oh jamal here you go again,big up the son of Africa
Tuletee story mahalanga wa s/afrika
Kumbe Maalim Seif urais hakuutaka angeutaka angeenda huko
Izo ndizo Dini zetu Waafrica sio izi nyingine asili🇹🇿❤️
Good boy brother Jamal,wat l believe ni kwamba unatakiwa kutodharau imani ya mtu mwingine ila la muhimu ni kusikiliza na si kubeza ni kusikiliza tu
Me kinacho nichekesha kwa mambo ya waganga eti ukiomba unafanikiwa ok kwanini usiombe wewe kwanza ukawa na maisha mazuri na majumba 😂 na ukaomba kwajil ya nchi yako uone akuna mtu au kitu cha kuomba isipo kuwa MWENYEZI MUNGU ❤ only
Mganga hajigangi
Hahahaha😂
Nakufanikiwa mpk nyota ndug
@@charleskhan7491 basi waganga wote ndo hawana nyota😂😂😂hio ni shirki jamani
Hilo jiwe na kambi ya uyo mzee mzimu mwwewe uombe Mr story book uombe uwe mtangazaji mkubwa Afrika.
🤣🤣
Wamaakafara Suleiman, walaakilla shayatun kafarun lialimuna nas sa siihir . Na wala hakukufuru Suleiman ( Solomon ) bali ni mashetani ndio waliokufuru kuwafundisha watu uchawi. Suratul Al bakra
Profesa adithia na machief wetu Kama nyungu ya mawe mkwawa mirambo na wengneo🙏🙏
Ishara ya kua Kuna majini ni ao popo wengi mm apana Asante
Duh
Hongera sana jamali yaani mim napenda sana the story book.
I like you Jamal.Napafananisha na pahala fulani nilikoenda kutembea zenj 👏🏾👏🏾
Jamal huu ujasiri si wakawaida. Mungu azidi kukulinda
Heehee Shetani kweri ni Muongo, Wewe Mwenyewe Mzee Wa Onekan Waka Maisha Ya Kichochori Mbona Hizo Mizimu Hazija Kutajirisha Jameni, Samahani Kama Nime kosea, Lakini Jameni Geukiieni Mwokozi Yesu Tu Ndo Mwenye Mambo Mazuri na ya Uzima 😢♥️🇰🇪
Siku zote waganga wa kweli hawapo kimslahi kama wa mjini yupo kwa ajili ya kusaidia watu
Haa haaa uongo mtupu Mzee na wewe siungeomba uwe Rais wa Zanzibar 🤣🤣🤣😂
Ww yesu kakuoa lini tupe mfano bas yy mwenyew yeu kaomb aokolew atawez kumuokoa nani
We yesu wako kakutajilisha??
Kama namuona vile January akitaka kutoka fasta but inashindikana. big up Proffesor
Jamal mbona Kama unafurahia kukutana na mizimu😂... your stories are fantastic
Bikap jamal ✊✊✊
Allahumma Salim. Wallahi ni shirki tupu.
Jamaal the great ❤️ to you
Kipi Allah anawatuma mitume wake alifahamu kua Kuna uchwi na alifahamu kua Kuna majini na sifa ya Allah ni kumletea mja wake ujumbe kwa njia tofauti wengi wetu tutaanza kumuona Jamar kama mtu mbaya lakini yeye anazungumzia kile kilichopo, mengi yamepita na mengi yatapita ili tujifunze ni lazima tujueh yaliyo pita na ndo maana ata katika vitabu vya dini Kuna adithi mbali mbali, inapswa kila mmoja kushikilia Iman yake, Mimi nilimuelwa vyema Mr. Jamar kua (akukubari kile alicho abiwa na Wala akupokea mashart aliyopewa kwa maana dini yake haimruhusu) hvy ndivyo alivyosema.
From Africa kusini love professional je
Hizi ndio shirki kubwa na kosa la shirki hausamehewi na Allah mpka ufanye toba ya kisawasawa..ALLAH ATUEPUSHE NA MAMBO HAYA
Jamal km jamal fanta kz mm binafsi nakupenda mno💕💕❤️❤️😍
Mwenyezi Mungu akulinde kweli,unatairisha maisha yako sana
Gonga like kama umekubali the story book 💥💥💥💥💥💯💯💯💯💯💯
Aise safi sanaa
Unazidi kutufahamisha dunia ilivo mungu akupe maisha marefu
Wsf Tv Lubumbashi DRC Jamalli Merci !!
Okokeni Mumuamini Bwana Yesu muachane na mambo hayo
Kwanza hapana bud kumshukur mungu kwa kuwenza sha kuni faniki sha hiloo. Asant ' Ila ume tusimuliya story hata ambaye sisivwa zanzibar wenyewe hatu zielew' Hap tuliskiya mache che ulo jifunza hap ki ukweli yale maelezo ambaye kuwa tuna kuwa tuna skiliza kutoka nana una cho jifunza haya kututo sheleza ime kuwa ni mfup tuna itama niendelee mm ni mzanzbr halis
Huu ni ushirikina mungu awalani maan hawa wana mila potofu
Nakukubari Jamal April 🙏🇹🇿🇬🇷
Hahahahaha😂😂😂 shetan uyo ok naish znz but hata sijuw vitu hivi kma vinapatikana that's good jamaal uko vizur kwa kutafuta story mashallah utafika mbali
jamal april big up doing great work
Hapo kupandisha shetani nishidaa kwa kweli bundi niachieni duur big up
❤❤😊
Pamoja na hayo ndugu zangu ya Kuwa Wapenzi wa Kufuatilia The Story book Napenda Kuwanasihi Watazamaji Wote Ya Kwamba Hizo ni Imani za Kishirikina haifai kwa Muislamu Kuwa Ni katika hao,,,,Ni dhambi kubwa inayomtoa mtu Katika dini,,,,,Kaka Jamali na Waislamu Wote Muliokuwapo katika Hy ngoma munapaswa muombe Msamaha kwa Allahu kwa sbb hamkupaswa kuhudhuria hapo kwenye ngoma.
Yupo kwenye kazi jamal ila kiukweli hakuna ukwel wwte na niupuz kuwa na fkra hz kwakweli
Jamal kazi unayo mwaaaaah
Jamali 🙏🙏🙏💯
Umetisha
Thanks kwa elimu nzuri big brother.
jamal big up bro
Super idea
Huo ni ushirikina Mwenyezi Mungu awalani
Wakulaaniwa ni nyinyi mnaokataa mila
@@BigZhumbe shirkiiiii ushirikina
@@nickalreadyknows Shirki ni neno la kiarabu tumia kiswahili
Jamal nakubal bro
Nakukubali sana kaka angu unakaz nzuri na unafafanua vizur sana kaz yako m/mungu akuzishe zaid ya hapa
brother unajua sana unaelewa kazi yako unajua ni kitu gan kinatakiw kifanyike ili watazamaji wafurahi nakupa100%
Thanks for publish our country
Fact: stori huwa zinatisha na kuhamasisha kuliko uhalisia😂😂😂, ila jaman elimu muhimu
Hivi ni viumbe kama viumbe vingine, ni majini hao sio mzimu hakuna kitu mzimu ni majini yana chezea watu kwa kafara za kijiinga unapooenda kwa mganga, mganga nae anaomba msaada kwa mizimu (jini) ili usaidiwe asa jini ili hakufanyie jambo lazima utumize jambo lake ambalo ni kukudharirisha binadamu kwanza. atakuambia kalale na dada yako au leta damu na kadhalika ukitimiza asa yeye anakufanyia hiko utakacho. ila hakuna kitu super natural kwako ni super natural ila kwa jini ni kawaida. mfano wewe vs sisimizi. simimizi hakuombe maji wewe umuambia mlete mkee wako lala nae hakisha fanya hivyo sisimizi wewe una mchotea maji ndo nzima unampaa asa kwa sisimizi na ndoo ya maji hataona umemufanyia makubwa saaana. hizo shiriki jamani muombeni Mungu inatosha
sio jini ni roho za miungu au wafu ambapo hao majini huwa ni malaika waovu huja katika roho na mwili pia njuavyo
@@christonchristian7448 hakuna malaika muovu wewe acha kupotosha watu.
@@ahmedmiraji877 kwan hujui kwamba shetan alikua makaika na akamwasi Mungu ndo uovu huo...anyways its personal understanding U know!!!@
@@christonchristian7448 najua thats version of Christian side
@@ahmedmiraji877 good 💪💪💪💪
Ok asante kwa kazi nzuri uko naifaha
Nimeupenda ujumbe wako wa mwisho kwa serikali japo sjui Kama watafanyia kaz
Allah atunusulu
Ameen
Be safe Jamal, we love and still need u,places zingine aah aah,much love from kenya
Aki hii ni kurisk maisha imagine
❤
ila wakupe kazi ya kusimulia na kuelezea utarii wa ndani na vivutio kwa ukubwa zaidi
One day I will visit this place God help me
Jamal waifanya kazi zur pogezi Kwa kazi yako.
🔥🔥🔥🔥🔥
All the way from South Africa nakukubali sana mzee Jamal
Mali za mizimu sio nzur Mara unalale na babako mamako kakako dadako yanii ushetani uchafu mambo ambayo hayapendez wa mungu Wala jamiii mungu tupe rizki za halali
Salute bro
Zanzibar inawatu wa aina tofauti Kwaiyo Ikiwa tofauti ya Huyo Mzee Na kikundi Chake Wanafanya tabia hio, ibaki Kusema ni hao tu wenye itikadi hio
Shirk tupu inallillah wainnailah rajiun
Nakukubalii sanaaaaa professor
Wa kwanza leo
Mwisho wa siku Jamal apewe uwaziri wa utaliii bwana maana historia anazijua na anazifatilia kuliko hao mawaziri hongera sana mie mzanzibar Ila kwa Mara ya kwanza ndio naona Mambo haya
Ogela sana kaka
Jamal una akili nyng sana mzee hongera sana kwa simulizi nzuri kama hii
Daaaah nakubali professor kwa elimu ubarikiwe
Ningekuwa na pesa ningekupa kama zawadi yangu
Jaman kwenye ulimwengu wameletwa kwaajil ya kuwaelimixha wengine hongera sana Jamary
Ushirikina wa hali ya juu yaani mm niliombe jiwe khaa
🤣🤣🤣🤣🤣eti uliombe nini?
Safi sana kwa ujumbe wako mzuri
Jamal I like your voice
Huyu Proffesor ni zaidi kama vile maziwa ya asses matamu aisee huyu jamaa anaweza Story anatoaga za kweli hadanganyaji ni zaidi proffesor uyo Jamal April Wise Jamal
wazanzibar tena kwa umanga
Uamini mungu ndie mlinzi wako
Professor
Nilitamani kufahamu private ya maisha yako alokwambia jini wa mganga 😄ila umetuficha tusifaham,
Kiukweli jamaa anajitahidi Sanaaaaa
Nimeipenda
Nakupongeza kaka, KAZI nzuri Sana umetuelimisha
Alafu we mtangazaji unachokoza vitu visivyochokozeka....shauri yako
Jamaa jasir san duh!
Wanamzungumzia Joyce banda alikua raisi wa malawi 2012
Good
Mzeee upo vzr
I need to come to this place for sure
Take me please i want to go there😊
Wen you go take me along please
Jaa una piga kazi nzur Sana
Hilo jiwe linalochuruzika maji, kinachojiunda juu kinaitwa STALACTITE, kinachopanda chini ni STALAGMITE na kikiungana huitwa EARTH PILLAR. Geography 😂😂😂
Haya ndo tushakuona umesoma sana
@@harunasuleiman6883 😅😅 labdaa cyoo miujizaa
Ni kweli hamna miujiza yoyote hapo hiyo ni geography mungu ni mmoja habari mizimu ni ujinga tu