The Story Book : Mizimu Ndani Ya Pango La Ngonga Zanzibar

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии •

  • @barekesteve8679
    @barekesteve8679 3 года назад +281

    Nakumbuka mtiga alivyo toka the story book jamal alituahidi kwamba the story book inaenda kuboreshwa nakua nzuri kuliko zaman kama unaamini amefanikisha kauliyake basi tujuane gonga like

  • @ramazecha2877
    @ramazecha2877 3 года назад +19

    Tumuamini mungu sio waganga Allah yupo pamoja na ssi wanadamu

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 3 года назад +4

      Waganga ndio Madaktari wa Asili.... ukimkataa mganga na Hospitali usiende koz utakua unamkosea Allah

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 Год назад +2

    Allah atuongoe njia ilionyoka akuepushe na fitina za shirki na fitina za dunia mitihan hii

  • @nayadmason6015
    @nayadmason6015 3 года назад +100

    hii story itasababisha makundi ya watu kwenda uko kufanya shirki kwa walio na imani izo za kishirikina ili kutafuta mali..
    Nawasihi ndugu zangu mungu pekee ndio anaetoa riski kwa mwanadamu sio mizimu wala majini.
    Na wala hakukosea kutuumba maskini na matajiri tushukuru na tulichojaaliwa.

    • @abdikanzu5261
      @abdikanzu5261 3 года назад +6

      Kwel mungu anatosha kwa kila jambo

    • @mbezzoprince9462
      @mbezzoprince9462 3 года назад +4

      Acha ukumbavu wew uspotoshe wenzako sisi niwa Africa

    • @adilaamani7027
      @adilaamani7027 3 года назад +9

      @@mbezzoprince9462 kwaio waafrica hawaamini mungu au

    • @WachajiWaForo
      @WachajiWaForo 3 года назад +7

      Kuwa kwangu muafrika haimaanishi kumshirikisha Mungu wangu. Pia kumbuka ukimuomba Mungu hataki malipo ila umshukuru lakini ukiwaomba majini utalazimika ulipie na ukikosea masharti unaanza kuumia duniani na akhera pia. Jamal umetuonesha mambo ambayo hatukuyajua kabla. Nawe hukufanya matambiko kwa sababu ya imani yako lakini umesahau kuwaonya watazamaji wako ya kwamba umewaonesha wajue tu na sio wafuate. Nakukumbusha.

    • @mbezzoprince9462
      @mbezzoprince9462 3 года назад +3

      @@WachajiWaForo acha kujidanganya wew we wafikiri mungu alikuja juzi kumbuka mungu alikua kabila ata izo dini zenu zakikumbuvu kuja ukumbuke watu walikua wanamuomba mungu wala sio god na hizo ng'ombe zengne

  • @josephgitau169
    @josephgitau169 3 года назад +37

    Binadamu ni binadamu tu maana anasifa za kibinadamu. wengi wataamini, wengi watapuuza maana hawajui maana japo wanapewa MAANA. Usifananishe historia ya lolindwo na historia za kale. BIG UP JAMAL. KUMBUKA KURUNDISHA MKONO KWA BABU.

    • @SA-xj8hc
      @SA-xj8hc 3 года назад +4

      Waganga ni wasanii kama wana sanaa wengine

  • @makonenyamumbo-st2je
    @makonenyamumbo-st2je Год назад +2

    Napenda Sana mizimu tunaishi vema Sana na mizimu kutoka Kenya

  • @yuscostainless5770
    @yuscostainless5770 3 года назад +24

    Jiwe aliwezi kua la kuombwa wa kuombwa ni Allah subhanna wataallah na yeye ndiye mpangaji na yeye ndio mpanguaji ametakasika mwenyezi mungu mlezi wa walimwengu wote

  • @josephatmbena8886
    @josephatmbena8886 2 года назад +3

    I like that broo ✌️✌️

  • @evanccast6228
    @evanccast6228 11 месяцев назад +1

    Mwamba nakukubali Sanaa 🙏🙏

  • @zainulabidiendhulfikar7398
    @zainulabidiendhulfikar7398 Месяц назад

    Profesa kumbe una sauti nzuri sana hivyo ❤❤

  • @michaeljpm5597
    @michaeljpm5597 3 года назад +6

    Jamali nimekubali Sanaa, amini kwamba Kila kitu kinawezekana, nasubili Sana Kilimanjaro njia ya tatu🙏🙏🤜🤛

  • @meschackvilsing269
    @meschackvilsing269 3 года назад +5

    Asante sana🙏🙏🙏 kaka kazi nzuri sn naku fatilia toka Kongo DRC 🇨🇩🇨🇩✊✊🇹🇿🇹🇿

  • @kangoabdhallah333
    @kangoabdhallah333 3 года назад +36

    Oh jamal here you go again,big up the son of Africa

  • @abbacali720
    @abbacali720 3 года назад +2

    Kumbe Maalim Seif urais hakuutaka angeutaka angeenda huko

  • @dj26number2
    @dj26number2 3 года назад +36

    Izo ndizo Dini zetu Waafrica sio izi nyingine asili🇹🇿❤️

  • @rosemofuga8101
    @rosemofuga8101 3 года назад +2

    Good boy brother Jamal,wat l believe ni kwamba unatakiwa kutodharau imani ya mtu mwingine ila la muhimu ni kusikiliza na si kubeza ni kusikiliza tu

  • @mayaindeed4864
    @mayaindeed4864 3 года назад +6

    Me kinacho nichekesha kwa mambo ya waganga eti ukiomba unafanikiwa ok kwanini usiombe wewe kwanza ukawa na maisha mazuri na majumba 😂 na ukaomba kwajil ya nchi yako uone akuna mtu au kitu cha kuomba isipo kuwa MWENYEZI MUNGU ❤ only

  • @internetviralvideos9064
    @internetviralvideos9064 3 года назад +13

    Hilo jiwe na kambi ya uyo mzee mzimu mwwewe uombe Mr story book uombe uwe mtangazaji mkubwa Afrika.

  • @abdulrahmanhassan9254
    @abdulrahmanhassan9254 3 года назад +15

    Wamaakafara Suleiman, walaakilla shayatun kafarun lialimuna nas sa siihir . Na wala hakukufuru Suleiman ( Solomon ) bali ni mashetani ndio waliokufuru kuwafundisha watu uchawi. Suratul Al bakra

  • @godfreymtazama4581
    @godfreymtazama4581 3 года назад +9

    Profesa adithia na machief wetu Kama nyungu ya mawe mkwawa mirambo na wengneo🙏🙏

  • @ruu6592
    @ruu6592 3 года назад +5

    Ishara ya kua Kuna majini ni ao popo wengi mm apana Asante

  • @mwanaidsalehe1109
    @mwanaidsalehe1109 3 года назад +6

    Hongera sana jamali yaani mim napenda sana the story book.

  • @filomenabarongo693
    @filomenabarongo693 3 года назад +2

    I like you Jamal.Napafananisha na pahala fulani nilikoenda kutembea zenj 👏🏾👏🏾

  • @mwidadiabdalla3564
    @mwidadiabdalla3564 3 года назад +2

    Jamal huu ujasiri si wakawaida. Mungu azidi kukulinda

  • @carolmuchiri9921
    @carolmuchiri9921 3 года назад +2

    Heehee Shetani kweri ni Muongo, Wewe Mwenyewe Mzee Wa Onekan Waka Maisha Ya Kichochori Mbona Hizo Mizimu Hazija Kutajirisha Jameni, Samahani Kama Nime kosea, Lakini Jameni Geukiieni Mwokozi Yesu Tu Ndo Mwenye Mambo Mazuri na ya Uzima 😢♥️🇰🇪

    • @talentdj8961
      @talentdj8961 3 года назад

      Siku zote waganga wa kweli hawapo kimslahi kama wa mjini yupo kwa ajili ya kusaidia watu

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 3 года назад

      Haa haaa uongo mtupu Mzee na wewe siungeomba uwe Rais wa Zanzibar 🤣🤣🤣😂

    • @ahmadmadaai1357
      @ahmadmadaai1357 3 года назад

      Ww yesu kakuoa lini tupe mfano bas yy mwenyew yeu kaomb aokolew atawez kumuokoa nani

    • @JohariMadua
      @JohariMadua 15 дней назад

      We yesu wako kakutajilisha??

  • @tajirimo1353
    @tajirimo1353 3 года назад +10

    Kama namuona vile January akitaka kutoka fasta but inashindikana. big up Proffesor

  • @tinasamo2403
    @tinasamo2403 3 года назад +6

    Jamal mbona Kama unafurahia kukutana na mizimu😂... your stories are fantastic

  • @SprianMwenda
    @SprianMwenda 5 месяцев назад +1

    Bikap jamal ✊✊✊

  • @mattarjaiskel4625
    @mattarjaiskel4625 3 года назад

    Allahumma Salim. Wallahi ni shirki tupu.

  • @tahirwakhu5063
    @tahirwakhu5063 Год назад

    Jamaal the great ❤️ to you

  • @techtelecoms9308
    @techtelecoms9308 3 года назад +6

    Kipi Allah anawatuma mitume wake alifahamu kua Kuna uchwi na alifahamu kua Kuna majini na sifa ya Allah ni kumletea mja wake ujumbe kwa njia tofauti wengi wetu tutaanza kumuona Jamar kama mtu mbaya lakini yeye anazungumzia kile kilichopo, mengi yamepita na mengi yatapita ili tujifunze ni lazima tujueh yaliyo pita na ndo maana ata katika vitabu vya dini Kuna adithi mbali mbali, inapswa kila mmoja kushikilia Iman yake, Mimi nilimuelwa vyema Mr. Jamar kua (akukubari kile alicho abiwa na Wala akupokea mashart aliyopewa kwa maana dini yake haimruhusu) hvy ndivyo alivyosema.

  • @arafatkasu
    @arafatkasu 10 месяцев назад

    From Africa kusini love professional je

  • @saidhmuhammad5567
    @saidhmuhammad5567 11 месяцев назад +4

    Hizi ndio shirki kubwa na kosa la shirki hausamehewi na Allah mpka ufanye toba ya kisawasawa..ALLAH ATUEPUSHE NA MAMBO HAYA

  • @hamedabashir9
    @hamedabashir9 3 года назад

    Jamal km jamal fanta kz mm binafsi nakupenda mno💕💕❤️❤️😍

  • @faithe4063
    @faithe4063 2 года назад

    Mwenyezi Mungu akulinde kweli,unatairisha maisha yako sana

  • @MOHATVKENYA
    @MOHATVKENYA 3 года назад +3

    Gonga like kama umekubali the story book 💥💥💥💥💥💯💯💯💯💯💯

  • @wilgrisernest2184
    @wilgrisernest2184 3 года назад +7

    Aise safi sanaa

  • @evelynemoses5131
    @evelynemoses5131 3 года назад +1

    Unazidi kutufahamisha dunia ilivo mungu akupe maisha marefu

  • @salumjrsaidjr7150
    @salumjrsaidjr7150 2 года назад

    Wsf Tv Lubumbashi DRC Jamalli Merci !!

  • @Sara-ne3xl
    @Sara-ne3xl 3 года назад +1

    Okokeni Mumuamini Bwana Yesu muachane na mambo hayo

  • @jumabahasha8831
    @jumabahasha8831 3 года назад

    Kwanza hapana bud kumshukur mungu kwa kuwenza sha kuni faniki sha hiloo. Asant ' Ila ume tusimuliya story hata ambaye sisivwa zanzibar wenyewe hatu zielew' Hap tuliskiya mache che ulo jifunza hap ki ukweli yale maelezo ambaye kuwa tuna kuwa tuna skiliza kutoka nana una cho jifunza haya kututo sheleza ime kuwa ni mfup tuna itama niendelee mm ni mzanzbr halis

  • @HashirBakari
    @HashirBakari 4 месяца назад

    Huu ni ushirikina mungu awalani maan hawa wana mila potofu

  • @kotadapotar5094
    @kotadapotar5094 Год назад

    Nakukubari Jamal April 🙏🇹🇿🇬🇷

  • @faa0099
    @faa0099 3 года назад +2

    Hahahahaha😂😂😂 shetan uyo ok naish znz but hata sijuw vitu hivi kma vinapatikana that's good jamaal uko vizur kwa kutafuta story mashallah utafika mbali

  • @lawrenceshakespeare8946
    @lawrenceshakespeare8946 3 года назад +11

    jamal april big up doing great work

  • @kelvinonyango9379
    @kelvinonyango9379 3 года назад

    Hapo kupandisha shetani nishidaa kwa kweli bundi niachieni duur big up

  • @cornelytv2839
    @cornelytv2839 5 месяцев назад +1

    ❤❤😊

  • @abuushuraih3809
    @abuushuraih3809 3 года назад +1

    Pamoja na hayo ndugu zangu ya Kuwa Wapenzi wa Kufuatilia The Story book Napenda Kuwanasihi Watazamaji Wote Ya Kwamba Hizo ni Imani za Kishirikina haifai kwa Muislamu Kuwa Ni katika hao,,,,Ni dhambi kubwa inayomtoa mtu Katika dini,,,,,Kaka Jamali na Waislamu Wote Muliokuwapo katika Hy ngoma munapaswa muombe Msamaha kwa Allahu kwa sbb hamkupaswa kuhudhuria hapo kwenye ngoma.

    • @yasinali4377
      @yasinali4377 3 года назад

      Yupo kwenye kazi jamal ila kiukweli hakuna ukwel wwte na niupuz kuwa na fkra hz kwakweli

  • @lariahneema6362
    @lariahneema6362 2 года назад

    Jamal kazi unayo mwaaaaah

  • @hathumanimahale1746
    @hathumanimahale1746 3 года назад +10

    Jamali 🙏🙏🙏💯

  • @MAISHAYACROATIA
    @MAISHAYACROATIA 3 года назад +1

    Umetisha

  • @beladangoteissa3123
    @beladangoteissa3123 3 года назад +2

    Thanks kwa elimu nzuri big brother.

  • @achouasha2073
    @achouasha2073 2 года назад

    jamal big up bro

  • @brayankennerd6571
    @brayankennerd6571 3 года назад +4

    Super idea

  • @helenkambi3918
    @helenkambi3918 3 года назад +2

    Huo ni ushirikina Mwenyezi Mungu awalani

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 3 года назад +1

      Wakulaaniwa ni nyinyi mnaokataa mila

    • @nickalreadyknows
      @nickalreadyknows 3 года назад

      @@BigZhumbe shirkiiiii ushirikina

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 3 года назад +1

      @@nickalreadyknows Shirki ni neno la kiarabu tumia kiswahili

  • @aminasaid8462
    @aminasaid8462 3 года назад +6

    Jamal nakubal bro

  • @mbukechagu2955
    @mbukechagu2955 3 года назад

    Nakukubali sana kaka angu unakaz nzuri na unafafanua vizur sana kaz yako m/mungu akuzishe zaid ya hapa

  • @arnoldlusambo3921
    @arnoldlusambo3921 3 года назад +6

    brother unajua sana unaelewa kazi yako unajua ni kitu gan kinatakiw kifanyike ili watazamaji wafurahi nakupa100%

  • @timetravellor5367
    @timetravellor5367 3 года назад +1

    Thanks for publish our country

  • @fettyabiola1389
    @fettyabiola1389 3 года назад +21

    Fact: stori huwa zinatisha na kuhamasisha kuliko uhalisia😂😂😂, ila jaman elimu muhimu

  • @ahmedmiraji877
    @ahmedmiraji877 3 года назад +10

    Hivi ni viumbe kama viumbe vingine, ni majini hao sio mzimu hakuna kitu mzimu ni majini yana chezea watu kwa kafara za kijiinga unapooenda kwa mganga, mganga nae anaomba msaada kwa mizimu (jini) ili usaidiwe asa jini ili hakufanyie jambo lazima utumize jambo lake ambalo ni kukudharirisha binadamu kwanza. atakuambia kalale na dada yako au leta damu na kadhalika ukitimiza asa yeye anakufanyia hiko utakacho. ila hakuna kitu super natural kwako ni super natural ila kwa jini ni kawaida. mfano wewe vs sisimizi. simimizi hakuombe maji wewe umuambia mlete mkee wako lala nae hakisha fanya hivyo sisimizi wewe una mchotea maji ndo nzima unampaa asa kwa sisimizi na ndoo ya maji hataona umemufanyia makubwa saaana. hizo shiriki jamani muombeni Mungu inatosha

    • @christonchristian7448
      @christonchristian7448 2 года назад

      sio jini ni roho za miungu au wafu ambapo hao majini huwa ni malaika waovu huja katika roho na mwili pia njuavyo

    • @ahmedmiraji877
      @ahmedmiraji877 2 года назад

      @@christonchristian7448 hakuna malaika muovu wewe acha kupotosha watu.

    • @christonchristian7448
      @christonchristian7448 2 года назад

      @@ahmedmiraji877 kwan hujui kwamba shetan alikua makaika na akamwasi Mungu ndo uovu huo...anyways its personal understanding U know!!!@

    • @ahmedmiraji877
      @ahmedmiraji877 2 года назад +1

      @@christonchristian7448 najua thats version of Christian side

    • @christonchristian7448
      @christonchristian7448 2 года назад

      @@ahmedmiraji877 good 💪💪💪💪

  • @ushindiedouard2893
    @ushindiedouard2893 3 года назад

    Ok asante kwa kazi nzuri uko naifaha

  • @kasimumughuna201
    @kasimumughuna201 3 года назад

    Nimeupenda ujumbe wako wa mwisho kwa serikali japo sjui Kama watafanyia kaz

  • @ramayasly4584
    @ramayasly4584 3 года назад +4

    Allah atunusulu

  • @mafungarose5734
    @mafungarose5734 3 года назад +20

    Be safe Jamal, we love and still need u,places zingine aah aah,much love from kenya

  • @riziwanially6324
    @riziwanially6324 3 года назад +16

    ila wakupe kazi ya kusimulia na kuelezea utarii wa ndani na vivutio kwa ukubwa zaidi

  • @indivirabonnymatenje7290
    @indivirabonnymatenje7290 3 года назад +7

    One day I will visit this place God help me

  • @anthonykyalo7756
    @anthonykyalo7756 3 года назад

    Jamal waifanya kazi zur pogezi Kwa kazi yako.

  • @GoodluckPriskus-dy4fr
    @GoodluckPriskus-dy4fr Год назад

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @salumongajunior419
    @salumongajunior419 3 года назад +17

    All the way from South Africa nakukubali sana mzee Jamal

  • @sumeiyamaddy95
    @sumeiyamaddy95 3 года назад

    Mali za mizimu sio nzur Mara unalale na babako mamako kakako dadako yanii ushetani uchafu mambo ambayo hayapendez wa mungu Wala jamiii mungu tupe rizki za halali

  • @felixmponzi9990
    @felixmponzi9990 3 года назад +6

    Salute bro

  • @bravehunter4935
    @bravehunter4935 3 года назад

    Zanzibar inawatu wa aina tofauti Kwaiyo Ikiwa tofauti ya Huyo Mzee Na kikundi Chake Wanafanya tabia hio, ibaki Kusema ni hao tu wenye itikadi hio

  • @leylasalim9380
    @leylasalim9380 Год назад

    Shirk tupu inallillah wainnailah rajiun

  • @nassircalale1860
    @nassircalale1860 2 года назад

    Nakukubalii sanaaaaa professor

  • @fakiibabalao4185
    @fakiibabalao4185 3 года назад +2

    Wa kwanza leo

  • @prettypretty9745
    @prettypretty9745 3 года назад +4

    Mwisho wa siku Jamal apewe uwaziri wa utaliii bwana maana historia anazijua na anazifatilia kuliko hao mawaziri hongera sana mie mzanzibar Ila kwa Mara ya kwanza ndio naona Mambo haya

  • @ItinaJeremia-rh8vx
    @ItinaJeremia-rh8vx Год назад

    Ogela sana kaka

  • @ellywillisgotora1473
    @ellywillisgotora1473 3 года назад +3

    Jamal una akili nyng sana mzee hongera sana kwa simulizi nzuri kama hii

  • @josephkondola9654
    @josephkondola9654 3 года назад +1

    Daaaah nakubali professor kwa elimu ubarikiwe

  • @julaynicholaus
    @julaynicholaus 3 года назад +1

    Ningekuwa na pesa ningekupa kama zawadi yangu
    Jaman kwenye ulimwengu wameletwa kwaajil ya kuwaelimixha wengine hongera sana Jamary

  • @msolekaonlinemedia
    @msolekaonlinemedia 3 года назад +2

    Ushirikina wa hali ya juu yaani mm niliombe jiwe khaa

    • @joleenmasha
      @joleenmasha 3 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣eti uliombe nini?

  • @ankallypandu8294
    @ankallypandu8294 3 года назад

    Safi sana kwa ujumbe wako mzuri

  • @saifamahrez413
    @saifamahrez413 2 года назад

    Jamal I like your voice

  • @tygatooraww6543
    @tygatooraww6543 3 года назад +10

    Huyu Proffesor ni zaidi kama vile maziwa ya asses matamu aisee huyu jamaa anaweza Story anatoaga za kweli hadanganyaji ni zaidi proffesor uyo Jamal April Wise Jamal

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Год назад

    wazanzibar tena kwa umanga

  • @lariahneema6362
    @lariahneema6362 2 года назад

    Uamini mungu ndie mlinzi wako

  • @MrRizwan1978
    @MrRizwan1978 3 года назад +1

    Professor

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 3 года назад +4

    Nilitamani kufahamu private ya maisha yako alokwambia jini wa mganga 😄ila umetuficha tusifaham,

  • @ayubufrank3546
    @ayubufrank3546 Год назад

    Kiukweli jamaa anajitahidi Sanaaaaa

  • @jumambwana8899
    @jumambwana8899 2 года назад

    Nimeipenda

  • @joelmwita3592
    @joelmwita3592 3 года назад +2

    Nakupongeza kaka, KAZI nzuri Sana umetuelimisha

  • @davidphidelis2553
    @davidphidelis2553 3 года назад

    Alafu we mtangazaji unachokoza vitu visivyochokozeka....shauri yako

  • @jabamusa520
    @jabamusa520 3 года назад

    Jamaa jasir san duh!

  • @ahmedaziz7853
    @ahmedaziz7853 3 года назад +3

    Wanamzungumzia Joyce banda alikua raisi wa malawi 2012

  • @goldstarstudionjombe9239
    @goldstarstudionjombe9239 3 года назад

    Good

  • @ahmedsalumomar5002
    @ahmedsalumomar5002 3 года назад

    Mzeee upo vzr

  • @YOUNGBROJA
    @YOUNGBROJA 3 года назад +11

    I need to come to this place for sure

  • @robathcarlos8068
    @robathcarlos8068 3 года назад

    Jaa una piga kazi nzur Sana

  • @likimaro6
    @likimaro6 3 года назад +20

    Hilo jiwe linalochuruzika maji, kinachojiunda juu kinaitwa STALACTITE, kinachopanda chini ni STALAGMITE na kikiungana huitwa EARTH PILLAR. Geography 😂😂😂

    • @harunasuleiman6883
      @harunasuleiman6883 3 года назад

      Haya ndo tushakuona umesoma sana

    • @sekondianacletus4537
      @sekondianacletus4537 3 года назад

      @@harunasuleiman6883 😅😅 labdaa cyoo miujizaa

    • @Max9_captain
      @Max9_captain 2 года назад +1

      Ni kweli hamna miujiza yoyote hapo hiyo ni geography mungu ni mmoja habari mizimu ni ujinga tu