#BREAKING

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024

Комментарии • 355

  • @seiphabdallah4146
    @seiphabdallah4146 3 года назад +27

    Kwa hali hii sitachagua ccm bora agombee majaliwa 🙏🙏🙏

    • @rahhamabuhha6815
      @rahhamabuhha6815 3 года назад +1

      Majaliwa Mara kumi kiliko huyu mama

    • @dominickndomba4474
      @dominickndomba4474 3 года назад

      Sio majaliwa anaefaa ni HUMPHREY POLEPOLE anamaono makubwa na hawasujudii wazungu

    • @grecemakalwe8286
      @grecemakalwe8286 3 года назад

      Mama huna Sifaaaaaaa , mm ssikupigiiiiii kura na CCM ndiyo mmejimaliza

    • @grecemakalwe8286
      @grecemakalwe8286 3 года назад

      Tunamtaka MAJALIWAAAAAAAAA MAMA anadanganywa na kikwete

    • @pendopendokimathkimath1218
      @pendopendokimathkimath1218 3 года назад

      Tozo na mifumuko ya bei ya vitu mama acha maneno mengi tunakufa wanyonge sss

  • @how9833
    @how9833 3 года назад +19

    Yaani Mimi nichague TOZO nitakuwa na akili timam kweli yaani wakiweka picha ya kaburi la JPM nitarudia rudia kulipipia kaburi la JEMEDARI kura kama nilivyokuwa narudia rudia folen ya ugali wa primary Kuliko kwenda kupiga kura ya TOZO hapo umeshateleza mama

  • @sixville_tv
    @sixville_tv 3 года назад +11

    Philosophy zako za uongozi Hazikubariki kwa watanzania. Kiufupi ni kwamba project yako imefeli.

  • @tanzanian8847
    @tanzanian8847 3 года назад +6

    Nukuu *Fadhila z Mungu zikija mikononi mwako husiziachie* S.S.Hasan.
    Kwahiyo, mhe. Samia, unamanisha kifo cha Rais Magufuri ni Fadhila kwako ili upate madaraka?? Hayo maneno yako yanaonesha kuwa Magufuri huenda hakufa kifo cha halari, alihujumiwa.
    Kauli yako pia, inahashiria uchu wa madaraka.

  • @barack1729
    @barack1729 3 года назад +25

    Kama ccm wanataka kupoteza kiti Cha urais 2025, bas wamchague mwanamke

    • @ramadhanabas4455
      @ramadhanabas4455 3 года назад

      Kwa katiba hii ya nchi CCM kushindwa urais ni ndoto.

    • @monicahovda5890
      @monicahovda5890 3 года назад

      Na kweli. Na kwa iwezo wa Mungu Mwenyezi ndio uwe muda wa wakudondoka toka mikononi mwa huyu Mama

    • @planethakunamatata5254
      @planethakunamatata5254 3 года назад

      Nikusahihishe kidogo.... Uanamke sio tatizo. Tupinge au kuunga mkono kwa hoja za msingi sio uanamke.

  • @shadowhatory154
    @shadowhatory154 3 года назад +7

    🤔 I’m so sorry mama kamwe siwezi kukuchagua ijapokuwa mimi ni ccm Damu Damu 😭 na ni mwanamke pia 😷

  • @emmanuelytunduma8127
    @emmanuelytunduma8127 3 года назад +14

    CCM ndiyo itawa mwisho wake mimi ni wa CCM siwezi kukubali kukupa kula yangu

  • @shabanhafidhu1951
    @shabanhafidhu1951 3 года назад +8

    Hahahahahahahahahahaaaaaaaaaaa😂😂😂😅
    Hii inaitwa twende tuone, we simama tu hakuna tatizo lakini huo ndo utakuwa uchaguzi mgumu kuliko chaguzi zote Kwa Chama Cha Mapinduzi(CCM). Yan kuwa mwanamke ndo qualification ya uraisi 2025? Sawa Tuombeane uzima Inshallah.

  • @mariethajohn6960
    @mariethajohn6960 3 года назад +7

    Mimi ni mwanamke lakini usithubutu kugombea huku vijijini wanawake hawataki hata kusikia sauti hivi unamjua Tundulisu wewe mwenzako Hayati alikuwa anapiga pushap sijui wewe itakuwaje kwanza kabla ya kutangazania ungefanya utafiti kiufupi hatutaki Rais mwanamke wala makamu mwanamke mpishe Majaliwa

  • @gidionkadaraja1403
    @gidionkadaraja1403 3 года назад +31

    MAMAA PLEAS USIGOMBEEE Urais ... pls This country need a person like JPM Again

    • @monicahovda5890
      @monicahovda5890 3 года назад

      Kweli kabisa. Lasivyo itapolomoka kabisa. Na kuwa Nchi ya hovyo kabisa.

    • @simongwandu7392
      @simongwandu7392 3 года назад

      Ndiye mwanamke Samia ana mbinu zote za Magu atapita bila kikwazo nani atasimama

    • @robertkilomba4296
      @robertkilomba4296 3 года назад

      Hii inchi inahitaji mzalendo kama Freeman mbowe na sio vibaraka was kurithishwa na taasisi fulani kwa manufaa ya kundi fulani kama Sasa🤔🙄🙆😎😎

    • @simongwandu7392
      @simongwandu7392 3 года назад +1

      @@robertkilomba4296 Mbowe ni mchaga angalia chadema inavyoendeshwa kama kampuni

    • @gidionkadaraja1403
      @gidionkadaraja1403 3 года назад +1

      @@simongwandu7392 daaaah wew jamaa unamatatizo gan ,unavyomwonaa Samia na Maguful ni sawaa .. Samia ni kikwetee full ... Maneno yasikudanganyee .. hii taifaa linaitaji Mwanaumee makin anayeweza kulipiganiaa... sio mtu wa kuungana na wazungu hali inajulikanaa toka mwanza Mzungu nia Yakee ni kuongoza Africa bila kuitawalaa ..Maguful katusaidiaa sanaa tunarudi tenaa tulipotokaa

  • @cypriankikoti9160
    @cypriankikoti9160 3 года назад +30

    Ccm ndiyo itakuwa mwisho wake,Mimi binafsi sitakupigia kura

  • @zenj1986
    @zenj1986 3 года назад +12

    Haya ukisikia mwisho wa ccm ndio hivyo.

  • @kimolankenyenge7158
    @kimolankenyenge7158 3 года назад +9

    Tatzo ni nini rais wetu kila ukisimama jukwaan unasemea tu kuhusu wanawake wenzako kuliko kusemea jinsia zote au siku hiz nchi yetu inawanawake tu wala haina wanaume ??maana kwa kweli nmechoka kila siku rais wetu akismama jukwaan anakngea kuhusu wanawake tu wakati nchi yetu ina jinsia zote kwa hyo awamu hii wanawake ndo wamekuwa na kipaumbele kuliko wanaume ?? naomba jibu wapendwa bila kusahau rip John Joseph pombe magufuli

    • @regenerativerestorationsci3197
      @regenerativerestorationsci3197 3 года назад

      Kwani tozo ipo kwa wansume tu? Sasa hata umeme ..tozo...bank tozo....machinga wote ni wanaume? Umetufukuza mjini eti hatulipi kodi .... Kura yangu utaisikia redioni .

  • @philipombwambo6345
    @philipombwambo6345 3 года назад +4

    Najua vyombo vyetu vitatumika kukusimika ila this time around mungu atakua upande wa taifa letu

  • @samsonkarungubale2658
    @samsonkarungubale2658 3 года назад +7

    Mm nikuombe mweshimiwa Wala usizubutu utaipoteza CCM na chadema kuipa ushindi wa kihistoria

  • @farajastudioandstationery5798
    @farajastudioandstationery5798 3 года назад +6

    Waza tofauti.... URAIS 2025 HAPANAAAA... TUACHIE TANZANIA YETU

  • @psj1564
    @psj1564 3 года назад +9

    Kweli kabisa akigombea majaliwa kwa ccm nitachagu lakini wewe ukigombea ndio itakua mwisho wa ccm

  • @robertkilomba4296
    @robertkilomba4296 3 года назад +27

    Kweli Samia hadi sasa umeshawaangusha wanawake sana, 25 ni ndoto mama Samia kuwa rais tena, ata wamama wenyewe wameshakuchoka nikwambie ukweli, wasikudanganye na vigelegele hamna kitu hapo,🙆 katiba kwanza hili tukuelewe kama watanzania, democrasia gani mnamtundikia mbowe drip za hewa hacha kebei rais Samia🤔 tunaitaji democrasia ya kweli sio upuuzi huo🙄🤓😎

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 3 года назад

      Mbona umepanic! Tatizo nini dogo?! Au na ww ni wale wale?! Acheni Mama afanye kazi, chokockoko zenu zimetuchosha... Go Mama Tanzania, Go! 💕🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌹

    • @zachariamagesa7230
      @zachariamagesa7230 3 года назад

      Kama Samia anatka urais 25 abadili mtazamo asiklize maon ya wananchi, ajifunze njia za JPM, km hataki uchaguz labd watmie nguv

    • @zachariamagesa7230
      @zachariamagesa7230 3 года назад

      @@j.c.maxima816 na ww ni walewale bendera fata upepo hjui mstakabar wa nchii tunakoelekea xo kuzr Nyerere aliacha kauli" viongozi mwasikilize wananchi wanataka nn"

    • @reganshao
      @reganshao 3 года назад

      @@zachariamagesa7230 we ni walewale wanafiki wakubwa tu ,, Yan mnatetea kila baya

    • @zachariamagesa7230
      @zachariamagesa7230 3 года назад

      @@reganshao ht usemalo hulijui pole xn!!

  • @psj1564
    @psj1564 3 года назад +9

    Watakuchagua wana ccm wengi atukuchagui kwasababu wewe umeshika nafasiya jpm lakini ufuatishi yale alieacha unamsikiliza kikwete watu awakuchagui labda muibe kula kama kwaida yenu

  • @ummimustafa5330
    @ummimustafa5330 3 года назад +5

    Sio kwenye mikono yako Mama!!!!Hata kidogo!!kwenye tiketi ya wanawake. watu wanayo macho, tulipofikia ni pabaya mno.

  • @allymuya9704
    @allymuya9704 3 года назад +13

    Ashushe Bei ya mafuta, dizeli na petroli, na miamala ishuke , halafu uboreshe maisha ndio wata watashawishika , bila hivyo upinzani njia nyeupe

    • @monicahovda5890
      @monicahovda5890 3 года назад

      Hatufai kiujumla Hana hata jipya la Maendeleo. Afrika kwa sasa inashindana kimaendeleo. Asifanye Tz kushika mkia alafu ikadhalauliwa.

  • @kasangaone
    @kasangaone 3 года назад +3

    Mama anajua hakubaliki kabisa

  • @marykilasi6248
    @marykilasi6248 3 года назад +3

    Ww atakaye kuchagua atakuwa kchaa kama pcha ya Magu ipo nitapga hata hatuko naye anatuuma sana Jpm tunalia sana hatuna aman

  • @emmysfitnessandforex9403
    @emmysfitnessandforex9403 3 года назад +10

    Binafsi sitakuchagua😥😥😥😥am sorry

  • @mosesembughi4284
    @mosesembughi4284 3 года назад +6

    Wanaokudanganya kwamba unapedwa ni mawaziri wako unaokula nao .lakini sio wananchi.kikwete na family take ndio watakaokuchaguwa kama ulihusika kupoteza roho ya magu basi utagombea.watz hatukutaki haya robot tu huna.umefukuza wa kweli wa magu ukatulea wezi wa kikwete kupe wanyonyaji mijizi nyie.

  • @atanasjuma433
    @atanasjuma433 3 года назад +4

    ni bora amejitangazia mapema ni wakat nass wanaume tujipange

  • @aboubaqarally9834
    @aboubaqarally9834 3 года назад +3

    Ninapondea nikwmba watanzania ni wanafiki sana😂 Si kila anayekupgia makofi bas anakupongza wengine washajua anguko lako

  • @mungunimwemakilawakati1299
    @mungunimwemakilawakati1299 3 года назад +4

    KIUKWELI MAMA HUKU MITAANI HUKUBALIKI KABISAAAA!!! ALIYEMTUKANA MAGUFULI WETU NDIO UMEMPA CHEO KIKUBWAAAAA!!!! HATUKUELEWI KABISAAAA!

  • @gidionkadaraja1403
    @gidionkadaraja1403 3 года назад +9

    My Tears,Due to this statement...

  • @odaksibuchum7944
    @odaksibuchum7944 3 года назад +8

    Bye,bye,bye CCM Ndo utakuwa mwisho wa CCM

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 2 года назад +3

    2025 MAJALIWA MAJALIWA OYEEEEEEEEE.

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 3 года назад +7

    Wanaume wa ccm mnasikia mama atatuumiza wanaume simameni imara mkimuweka huyo mama ccm mmekwisha

  • @deogratiaskisima5461
    @deogratiaskisima5461 3 года назад +5

    Aje ndio atajuwa watanzania tunataka nini mimi ni ccm pia but Samia hutoboi liwe jua iwe iwe mvua tutajuwana

  • @saidabeid8249
    @saidabeid8249 3 года назад +4

    Najipata mwenye furaha kubwa kusikia hivyo nakuombea sana ccm wakusimamishe maana hapo tutakuwa tumeikomboa inchi kutoka mikononi mwa ccm mapema kabisa...ewe Mola mjaalie asimame tuikomboe inchi hii...

  • @dlumala
    @dlumala Год назад +1

    Ndugai Arafat sana kwa 25

  • @jeromemdoe6816
    @jeromemdoe6816 3 года назад +1

    Nipo hapa kwa kudra ya mwenyezi Mungu.Ama kweli kufa kufaana.

  • @issanyundo7014
    @issanyundo7014 Год назад +1

    Wewe mungu ulie juu yani napata plesh kusikia kuwa hatagombea daaah

  • @aidanbugufi6200
    @aidanbugufi6200 3 года назад +4

    Umesha ikisa kula yangu wala nisiwe muongo kwanza kuongozwa na mwanamke umenikosea heshima

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 8 месяцев назад +1

    Kweli tu Rais wangu

  • @juliuscharahan8594
    @juliuscharahan8594 3 года назад +2

    duh CCM ndy basitena mkibugi mkampitisha huyu Mama ndy mwisho wa CCM 2025

  • @wilhardvawunge8750
    @wilhardvawunge8750 3 года назад +3

    Yani hii tenaitakuwa nchi imeuzwa Kama utakuwa Tena Rais Mimi sikubaliiiii

  • @planethakunamatata5254
    @planethakunamatata5254 3 года назад +8

    Lakini napata wasiwasi japo mm CCM. Wamepita wagombea urais wengi wanawake lakini Sijawahi kusikia hata mmoja akijaribu kutumia uanamke kama kigezo. Niaminivyo MM kama mtu unajiamini utaongelea rekodi yako katika kutatua changamoto zinazowakabili watanzania wote kwa ujumla. Kwa namna alivyoongea amenikwaza sana. Naona dalili za mwanasiasa aliyefilisika fikra. Mapema sana jamani, Tufanye kazi tu. Jinsia sio kigezo. Mbona wapo wabunge wanawake wengi tena wameshinda chaguzi kwa kusimamia hoja za kitaifa. Hii ni kututoa kwenye reli.

    • @saramss7262
      @saramss7262 3 года назад

      HUYU BIBI kachizikaa yeye anajuwajee Kama atafika kwenda hukooo Delilah ufaiiiiii muuuaiii

    • @ramadhaniabdallah1147
      @ramadhaniabdallah1147 3 года назад +1

      Kumbuka alikua anaongea na wanawake ndo mana kaongea hivo au na ww mwanamke?

    • @aboubaqarally9834
      @aboubaqarally9834 3 года назад

      fact

  • @abubakarihamissi4178
    @abubakarihamissi4178 3 года назад +9

    😁😁😁😁😁😁 uraisi mtamu asikwambie mtu

  • @damianichayo895
    @damianichayo895 3 года назад +4

    Jamani jamani!! Ee Mungu inisuru Tanzania

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 3 года назад +2

    Jamani Mimi ni mwanamke, labda Ummy MAALIMU, lakini wewe mama kaa tu upumzike

  • @jonathanmaengo4281
    @jonathanmaengo4281 2 года назад +1

    Daah ! Ccm ndiyo unaishilia hivyo ...kosa kubwa sana

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 3 года назад +3

    HatuKuchaguwi. 😠

  • @oqtiraula1814
    @oqtiraula1814 3 года назад +4

    Huu kweli msiba. Tumefiwa na JPM, kidonda kibichi, tunakwenda kufiwa na CCM😭

    • @samwelrichard6014
      @samwelrichard6014 3 года назад +2

      Tutakuw tumelogwa san kkurudisha ten madarakan

  • @shabanhafidhu1951
    @shabanhafidhu1951 3 года назад +2

    Yan uchaguzi 2025 nafuu CCM mumsimamishe Polepole kuliko mama huyu lakini haswaa mwenye nafasi atakaeuzika ni majaliwa peke yake kwa Sasa maana watanzania tunahisi yeye ndiyo kiongozi mwenye maono ya JPM lakini mwingine sijui atakuwa ni nani jamani. Mtapokonywa nchi otherwise mupitishe mabox mlango wa nyuma.

  • @gordiansoko9113
    @gordiansoko9113 3 года назад +13

    Wazee wa CCM nchi inaenda kuzimu hiyo.Hivi mmefanya utafiti ktk kipindi hiki kifupi aliopo madarakani,je mnapata maoni ya watu huku mtaani mama huyo hakubaliki kabisa CCM mnaiweka nchi rehani mtatutia ktk misukosuko ambayo hatujawahi kushuhudia ktk nchi yetu.

    • @monicahovda5890
      @monicahovda5890 3 года назад

      Tena sasa ndio CCM Itasambalatika. Yaani na ile dhana ya kuiba kula sio kwenye teknology hii ya Computelize. CCM iandike Mapumnziko

    • @abubakarimwasumilwe7293
      @abubakarimwasumilwe7293 3 года назад

      Mama samia ndo mwanamke anayefaa kua raisi.

  • @fadhilikaminyoge9625
    @fadhilikaminyoge9625 3 года назад +1

    Ni kudra za mwenyezi MUNGU. Kwakweli shida unashangilia kupewa kiti kwa sababu ya kufa kwa Rais?

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 3 года назад +2

    Yaani hapo umejidanganya ,hayupo wa kukupa kura 2025 huo ndo ukweli, maliza mda wako uondoke.

  • @justinetikombe2336
    @justinetikombe2336 3 года назад +1

    2025 📞 hello jpm mama Samia kweli kazi ipo

  • @eliaspaulmasanyiwa6902
    @eliaspaulmasanyiwa6902 3 года назад +1

    Acha kukututukana na mungu hajawapa kudra Bali mmejipa ninyi wenyewe maana hatuna uhakika Kama jpm alikufa kwa mapenzi ya mungu. Rip Magufuli

  • @alexkangombe6906
    @alexkangombe6906 3 года назад +2

    Kuacha naunafiki %97 hatujafuraishwa nauyu mama.tena kabiiiisaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

  • @mdzainb3722
    @mdzainb3722 3 года назад +2

    Mmmmmmh nipigwe moka nife sikuchagui

  • @philipombwambo6345
    @philipombwambo6345 3 года назад +1

    Ushauri wangu staafu kwa heshima utulie kama kiongozi mstaafu ila ukijichanganya ukagombea siku hiyo ndio ujinga wawatanzania utaisha

  • @misambo88
    @misambo88 3 года назад +1

    Huu ujinga hatutauruhusu sisi wapiga kura we jichanganye tu

  • @geofreyj.1986
    @geofreyj.1986 3 года назад +2

    Amesahau cjawahi kupiga kura Ila saiv ntapiga ili ushindwe UMESAHAU

  • @experiuskamugisha6863
    @experiuskamugisha6863 3 года назад +2

    Ebu cheki wanavyo mshsngaa wenzake wakikumbuka tozo wanasimama kinafiki

  • @emanueralberto211
    @emanueralberto211 3 года назад +1

    Porepore Yuko vizuri anafaa kabisa misimamo yake kama Nyerere namakufuri

  • @isaacbakundukizeisaacbakun2177
    @isaacbakundukizeisaacbakun2177 3 года назад +2

    CCM musisahahu yaliyo tendeka Malawi

  • @kamobcooler1077
    @kamobcooler1077 3 года назад +3

    Bye bye CCM

  • @ambroschristian4172
    @ambroschristian4172 3 года назад +1

    Jichoshe nani akupe kwa kazigani ulio Fanya hata sasa hufai ondoka

  • @sarahsimon8060
    @sarahsimon8060 3 года назад +3

    Usijidanganye ww mama 25 ukigombea labda uchukue kwa mateso unayotupa tunayajua wenyewe jidanganye

  • @isayatv1361
    @isayatv1361 2 года назад +1

    Me ni ccm Hadi damu mpaka family yangu ccm wote ila ukingombea umetuhamisha ccm by by

  • @khadhirkhadharramadhan8448
    @khadhirkhadharramadhan8448 3 года назад +1

    Khaa we mama unafkli kwahaya tunayoyaona kuna mwenye kkutka tena wew uendelee kuwa Rais tz maana hapo umebakisha kutoa amri yawafngwa waaanzwe kunyongwa kwhzi staili yako huwez ktoboa2025 .kodi kila kona

  • @tareqhilal6750
    @tareqhilal6750 3 года назад +1

    Kwani wanawake ni walemavu? Mbona Samia anatumia sana kigezo Hiko? Halafu anafanya kampeni huyu mama.

  • @tanzanian8847
    @tanzanian8847 3 года назад

    Nukuu *Baraka hii ya kuwa Rais tukiiachia Mungu atatulaani* Sami.S.H.
    Hayo maneno yako ni ya ajabu sana. Na inabidi umuombe Mungu msamaha.
    Yaani mlaniwe kisa kuachia kiti Cha Cha urais???? Umetia haibu sana

  • @wahangaalphons5649
    @wahangaalphons5649 3 года назад +1

    Tatizo sio kuwa rais tatizo ni utendaji kazi wako kwa wananchi

  • @deogratiasassey6872
    @deogratiasassey6872 3 года назад +2

    Kwani siilisha tabiriwa atakaye iuwa ccm atatoka ndani ya ccm

  • @kasangaone
    @kasangaone 3 года назад +2

    Uchumi ukue kwake kwa wananchi sifuri

  • @ntemisungwa3102
    @ntemisungwa3102 3 года назад +1

    Mmmmmmmmmmm!!!!! Natabiri Anguko la Ccm.

  • @veronicankhwazi7954
    @veronicankhwazi7954 3 года назад +1

    Mie nitakupigia kura mama umetuona Diasporas baada ya miaka mingi mnoooo

    • @mohamedpesambili9460
      @mohamedpesambili9460 3 года назад

      We mpgie tu na diasporas wenzako ila kama tume ikiwa huru sisi walala hoi tutafanya jambo 2025

  • @masumajoseph9559
    @masumajoseph9559 3 года назад +2

    Yaani ww jidanganye ugombee ndo utajua sasa hutopita hata kwa nusu

  • @mzalendohuru...4967
    @mzalendohuru...4967 3 года назад +1

    Naona umenogewa na Urais .malizia tuu ukae pembeni 2025 is not You the Lord Say

  • @dbmsoftball8056
    @dbmsoftball8056 3 года назад +1

    Mbona wewe kazi hotuba zako ni wanawake tu,je hii nchi wanaishi wanawake tu au siku hizi watanzania wanaitwa wanawake??
    Kura yangu hupati kwa ubaguzi huu.

  • @mainguburemo6186
    @mainguburemo6186 3 года назад +1

    Kuna wakati ulishawahi kusema kuwa wateule wako wasianze kuota Urais mbona muda bado 2025 ni mbali. Inahitajika kujenga uchumi kwanza ili Watanzania waone mbivu na mbichi. It is too early to announce the presidency at this juncture. Tufanye kazi.

  • @zuleyvendor6577
    @zuleyvendor6577 3 года назад +2

    Huyu mama akigombea urais chadema wanauchukua nchi asubuhi na mapema jidanganyeni tu mimi ni mwanamke ila mama sikupi kura yangu bora niwape upinzani mapema tuuu shida tunazopitia huku na matozo kila siku mbona tuna jambo letu wana kamati 😀😀😀😀

    • @monicahovda5890
      @monicahovda5890 3 года назад

      Sasa Ndio wakati wa Chadema kupewa Nchi na Wananchi. Tena asijaribu kugombania. Akigombania tu atashangaa

  • @duweetherapytalk4656
    @duweetherapytalk4656 3 года назад +1

    RAISI SAMIA NJOO USOME COMMENT.

  • @doniishilali6501
    @doniishilali6501 3 года назад +1

    Namungu uyo uyo ndio ata kutowa. 25 mana ww sio chaguo letu tumezoa kuna mahosptli mashule. Madalaja mikakati ya ma dini na ichi wapi ina kwenye

  • @gjsjsjsjsjsjvsjjshhshsh4683
    @gjsjsjsjsjsjvsjjshhshsh4683 3 года назад +1

    Hatukutaki tunamtaka kasim Majaliwa.

  • @pachawabrazak1997
    @pachawabrazak1997 3 года назад +4

    Hahahaha ngoja tuone

  • @jairosmalongo2340
    @jairosmalongo2340 3 года назад +1

    Hakuna kitu hapa,galasa

  • @ramadhankiloko9246
    @ramadhankiloko9246 3 года назад +1

    ccm kueni makini

  • @josephsoka7617
    @josephsoka7617 3 года назад +2

    Maliza muda wako was urisi uondoke hatukutaki

  • @gabrielfurahas5723
    @gabrielfurahas5723 2 года назад

    Kwa mujibu wa dini zote ( uislam na ukristo) Mwanamke hatakiwi kuongoza uma wenye mchanganyiko Labda aache dini kwanza. Sasa rais ametetewa na na shekhe kuwa nimwislam na anavaa vizuri vazi linalotambulisha dini, haya mambo mbona hayaeleweki!!! 2025 Rais tunamjua si mbowe wala Samia

  • @kusagaonlinetv3983
    @kusagaonlinetv3983 3 года назад +3

    Yani ukimpigia kura huyu mama ni sawa umemchagua mzee wa msoga

  • @user-sh9lj8sx2e
    @user-sh9lj8sx2e 6 месяцев назад

    2025 kugombea uraisi Mama kweli wakati dini hairuhusiwi kuongonzwa na mwanamke

  • @safinatourssafaris2519
    @safinatourssafaris2519 2 года назад +1

    Watakuchagua haohao

  • @experiuskamugisha6863
    @experiuskamugisha6863 3 года назад +4

    Nitajitahidi kupiga kura ili ushindwe

  • @Nadir_Abdullah
    @Nadir_Abdullah 6 месяцев назад

    2024 and still she is a super woman stay strong our president 🤍

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 3 года назад +5

    Midume mnapiga makofi na nyie wanawake

  • @kanaanimpya2340
    @kanaanimpya2340 3 года назад

    Aiseeeeee hivi kumbe ulikuwa unatamani hiyo nafasi eheee, ila 2025 sijawahi kupiga kura nje na ccm lakini safari naona naenda kufanya kinyume nchii hii inahitaji aina ya watu kama JPM,

  • @houseofjudah7470
    @houseofjudah7470 3 года назад +1

    Kwani hawa wanawake wapiga kura si wake za watu,kichwa cha familia kitafanya kazi

  • @abelnzella2518
    @abelnzella2518 3 года назад +3

    Mama yangu Samia ,kwa maneno hayo uliyoyatoa umefanya uchunguzi wa kina kwa Inchi nzima au wanaokuletea tarifa awakuambii ukweli kua watanzani awakupendi .
    Tozo bado ni kubwa,
    Mafuta yamepanda bei kupita kiasi.
    .gesi iko juu
    .umeme unakatika kila Mara.
    Mama kama haya yakiendelea ivi naona anguko kubwa la CCM 2025.

  • @joaneskailembo4485
    @joaneskailembo4485 3 года назад +1

    Nadhani statement kama hii itakupa wakati Mgumu na utaongoza kwa shida tambua hata wale viongozi waandamizi chini yako hawako na wewe CHAPA KAZI MWAKA MMOJA ITA UCHAGUZI MWESHIMIWA

  • @hggghmugaya7035
    @hggghmugaya7035 2 месяца назад

    Kugombea tu lakini kutimiza wajibu aah!!.

  • @anordkingstar5793
    @anordkingstar5793 3 года назад +1

    Ukipita urais 2025,,, nitakununulia zawad,, yangu macho

  • @user-gp7es3sg3k
    @user-gp7es3sg3k 23 дня назад

    Watanzania tumekuchoka hatukuitaji nenda ngolo ngolo kwanza tuyo uje ugombee uraisi