Yaani Mimi nichague TOZO nitakuwa na akili timam kweli yaani wakiweka picha ya kaburi la JPM nitarudia rudia kulipipia kaburi la JEMEDARI kura kama nilivyokuwa narudia rudia folen ya ugali wa primary Kuliko kwenda kupiga kura ya TOZO hapo umeshateleza mama
Nukuu *Fadhila z Mungu zikija mikononi mwako husiziachie* S.S.Hasan. Kwahiyo, mhe. Samia, unamanisha kifo cha Rais Magufuri ni Fadhila kwako ili upate madaraka?? Hayo maneno yako yanaonesha kuwa Magufuri huenda hakufa kifo cha halari, alihujumiwa. Kauli yako pia, inahashiria uchu wa madaraka.
Hahahahahahahahahahaaaaaaaaaaa😂😂😂😅 Hii inaitwa twende tuone, we simama tu hakuna tatizo lakini huo ndo utakuwa uchaguzi mgumu kuliko chaguzi zote Kwa Chama Cha Mapinduzi(CCM). Yan kuwa mwanamke ndo qualification ya uraisi 2025? Sawa Tuombeane uzima Inshallah.
Mimi ni mwanamke lakini usithubutu kugombea huku vijijini wanawake hawataki hata kusikia sauti hivi unamjua Tundulisu wewe mwenzako Hayati alikuwa anapiga pushap sijui wewe itakuwaje kwanza kabla ya kutangazania ungefanya utafiti kiufupi hatutaki Rais mwanamke wala makamu mwanamke mpishe Majaliwa
@@simongwandu7392 daaaah wew jamaa unamatatizo gan ,unavyomwonaa Samia na Maguful ni sawaa .. Samia ni kikwetee full ... Maneno yasikudanganyee .. hii taifaa linaitaji Mwanaumee makin anayeweza kulipiganiaa... sio mtu wa kuungana na wazungu hali inajulikanaa toka mwanza Mzungu nia Yakee ni kuongoza Africa bila kuitawalaa ..Maguful katusaidiaa sanaa tunarudi tenaa tulipotokaa
Tatzo ni nini rais wetu kila ukisimama jukwaan unasemea tu kuhusu wanawake wenzako kuliko kusemea jinsia zote au siku hiz nchi yetu inawanawake tu wala haina wanaume ??maana kwa kweli nmechoka kila siku rais wetu akismama jukwaan anakngea kuhusu wanawake tu wakati nchi yetu ina jinsia zote kwa hyo awamu hii wanawake ndo wamekuwa na kipaumbele kuliko wanaume ?? naomba jibu wapendwa bila kusahau rip John Joseph pombe magufuli
Kwani tozo ipo kwa wansume tu? Sasa hata umeme ..tozo...bank tozo....machinga wote ni wanaume? Umetufukuza mjini eti hatulipi kodi .... Kura yangu utaisikia redioni .
Kweli Samia hadi sasa umeshawaangusha wanawake sana, 25 ni ndoto mama Samia kuwa rais tena, ata wamama wenyewe wameshakuchoka nikwambie ukweli, wasikudanganye na vigelegele hamna kitu hapo,🙆 katiba kwanza hili tukuelewe kama watanzania, democrasia gani mnamtundikia mbowe drip za hewa hacha kebei rais Samia🤔 tunaitaji democrasia ya kweli sio upuuzi huo🙄🤓😎
Watakuchagua wana ccm wengi atukuchagui kwasababu wewe umeshika nafasiya jpm lakini ufuatishi yale alieacha unamsikiliza kikwete watu awakuchagui labda muibe kula kama kwaida yenu
Wanaokudanganya kwamba unapedwa ni mawaziri wako unaokula nao .lakini sio wananchi.kikwete na family take ndio watakaokuchaguwa kama ulihusika kupoteza roho ya magu basi utagombea.watz hatukutaki haya robot tu huna.umefukuza wa kweli wa magu ukatulea wezi wa kikwete kupe wanyonyaji mijizi nyie.
Najipata mwenye furaha kubwa kusikia hivyo nakuombea sana ccm wakusimamishe maana hapo tutakuwa tumeikomboa inchi kutoka mikononi mwa ccm mapema kabisa...ewe Mola mjaalie asimame tuikomboe inchi hii...
Lakini napata wasiwasi japo mm CCM. Wamepita wagombea urais wengi wanawake lakini Sijawahi kusikia hata mmoja akijaribu kutumia uanamke kama kigezo. Niaminivyo MM kama mtu unajiamini utaongelea rekodi yako katika kutatua changamoto zinazowakabili watanzania wote kwa ujumla. Kwa namna alivyoongea amenikwaza sana. Naona dalili za mwanasiasa aliyefilisika fikra. Mapema sana jamani, Tufanye kazi tu. Jinsia sio kigezo. Mbona wapo wabunge wanawake wengi tena wameshinda chaguzi kwa kusimamia hoja za kitaifa. Hii ni kututoa kwenye reli.
Yan uchaguzi 2025 nafuu CCM mumsimamishe Polepole kuliko mama huyu lakini haswaa mwenye nafasi atakaeuzika ni majaliwa peke yake kwa Sasa maana watanzania tunahisi yeye ndiyo kiongozi mwenye maono ya JPM lakini mwingine sijui atakuwa ni nani jamani. Mtapokonywa nchi otherwise mupitishe mabox mlango wa nyuma.
Wazee wa CCM nchi inaenda kuzimu hiyo.Hivi mmefanya utafiti ktk kipindi hiki kifupi aliopo madarakani,je mnapata maoni ya watu huku mtaani mama huyo hakubaliki kabisa CCM mnaiweka nchi rehani mtatutia ktk misukosuko ambayo hatujawahi kushuhudia ktk nchi yetu.
Khaa we mama unafkli kwahaya tunayoyaona kuna mwenye kkutka tena wew uendelee kuwa Rais tz maana hapo umebakisha kutoa amri yawafngwa waaanzwe kunyongwa kwhzi staili yako huwez ktoboa2025 .kodi kila kona
Nukuu *Baraka hii ya kuwa Rais tukiiachia Mungu atatulaani* Sami.S.H. Hayo maneno yako ni ya ajabu sana. Na inabidi umuombe Mungu msamaha. Yaani mlaniwe kisa kuachia kiti Cha Cha urais???? Umetia haibu sana
Mbona wewe kazi hotuba zako ni wanawake tu,je hii nchi wanaishi wanawake tu au siku hizi watanzania wanaitwa wanawake?? Kura yangu hupati kwa ubaguzi huu.
Kuna wakati ulishawahi kusema kuwa wateule wako wasianze kuota Urais mbona muda bado 2025 ni mbali. Inahitajika kujenga uchumi kwanza ili Watanzania waone mbivu na mbichi. It is too early to announce the presidency at this juncture. Tufanye kazi.
Huyu mama akigombea urais chadema wanauchukua nchi asubuhi na mapema jidanganyeni tu mimi ni mwanamke ila mama sikupi kura yangu bora niwape upinzani mapema tuuu shida tunazopitia huku na matozo kila siku mbona tuna jambo letu wana kamati 😀😀😀😀
Kwa mujibu wa dini zote ( uislam na ukristo) Mwanamke hatakiwi kuongoza uma wenye mchanganyiko Labda aache dini kwanza. Sasa rais ametetewa na na shekhe kuwa nimwislam na anavaa vizuri vazi linalotambulisha dini, haya mambo mbona hayaeleweki!!! 2025 Rais tunamjua si mbowe wala Samia
Aiseeeeee hivi kumbe ulikuwa unatamani hiyo nafasi eheee, ila 2025 sijawahi kupiga kura nje na ccm lakini safari naona naenda kufanya kinyume nchii hii inahitaji aina ya watu kama JPM,
Mama yangu Samia ,kwa maneno hayo uliyoyatoa umefanya uchunguzi wa kina kwa Inchi nzima au wanaokuletea tarifa awakuambii ukweli kua watanzani awakupendi . Tozo bado ni kubwa, Mafuta yamepanda bei kupita kiasi. .gesi iko juu .umeme unakatika kila Mara. Mama kama haya yakiendelea ivi naona anguko kubwa la CCM 2025.
Nadhani statement kama hii itakupa wakati Mgumu na utaongoza kwa shida tambua hata wale viongozi waandamizi chini yako hawako na wewe CHAPA KAZI MWAKA MMOJA ITA UCHAGUZI MWESHIMIWA
Kwa hali hii sitachagua ccm bora agombee majaliwa 🙏🙏🙏
Majaliwa Mara kumi kiliko huyu mama
Sio majaliwa anaefaa ni HUMPHREY POLEPOLE anamaono makubwa na hawasujudii wazungu
Mama huna Sifaaaaaaa , mm ssikupigiiiiii kura na CCM ndiyo mmejimaliza
Tunamtaka MAJALIWAAAAAAAAA MAMA anadanganywa na kikwete
Tozo na mifumuko ya bei ya vitu mama acha maneno mengi tunakufa wanyonge sss
Yaani Mimi nichague TOZO nitakuwa na akili timam kweli yaani wakiweka picha ya kaburi la JPM nitarudia rudia kulipipia kaburi la JEMEDARI kura kama nilivyokuwa narudia rudia folen ya ugali wa primary Kuliko kwenda kupiga kura ya TOZO hapo umeshateleza mama
😂😂😂😮😮
Philosophy zako za uongozi Hazikubariki kwa watanzania. Kiufupi ni kwamba project yako imefeli.
Kweli kabisa hatumtaki
Nukuu *Fadhila z Mungu zikija mikononi mwako husiziachie* S.S.Hasan.
Kwahiyo, mhe. Samia, unamanisha kifo cha Rais Magufuri ni Fadhila kwako ili upate madaraka?? Hayo maneno yako yanaonesha kuwa Magufuri huenda hakufa kifo cha halari, alihujumiwa.
Kauli yako pia, inahashiria uchu wa madaraka.
Kama ccm wanataka kupoteza kiti Cha urais 2025, bas wamchague mwanamke
Kwa katiba hii ya nchi CCM kushindwa urais ni ndoto.
Na kweli. Na kwa iwezo wa Mungu Mwenyezi ndio uwe muda wa wakudondoka toka mikononi mwa huyu Mama
Nikusahihishe kidogo.... Uanamke sio tatizo. Tupinge au kuunga mkono kwa hoja za msingi sio uanamke.
🤔 I’m so sorry mama kamwe siwezi kukuchagua ijapokuwa mimi ni ccm Damu Damu 😭 na ni mwanamke pia 😷
KWELI kabisa
Huyo mama 2025 aachie 2
CCM ndiyo itawa mwisho wake mimi ni wa CCM siwezi kukubali kukupa kula yangu
CCM bay bay
Hata mimi pia
Hahahahahahahahahahaaaaaaaaaaa😂😂😂😅
Hii inaitwa twende tuone, we simama tu hakuna tatizo lakini huo ndo utakuwa uchaguzi mgumu kuliko chaguzi zote Kwa Chama Cha Mapinduzi(CCM). Yan kuwa mwanamke ndo qualification ya uraisi 2025? Sawa Tuombeane uzima Inshallah.
Mimi ni mwanamke lakini usithubutu kugombea huku vijijini wanawake hawataki hata kusikia sauti hivi unamjua Tundulisu wewe mwenzako Hayati alikuwa anapiga pushap sijui wewe itakuwaje kwanza kabla ya kutangazania ungefanya utafiti kiufupi hatutaki Rais mwanamke wala makamu mwanamke mpishe Majaliwa
MAMAA PLEAS USIGOMBEEE Urais ... pls This country need a person like JPM Again
Kweli kabisa. Lasivyo itapolomoka kabisa. Na kuwa Nchi ya hovyo kabisa.
Ndiye mwanamke Samia ana mbinu zote za Magu atapita bila kikwazo nani atasimama
Hii inchi inahitaji mzalendo kama Freeman mbowe na sio vibaraka was kurithishwa na taasisi fulani kwa manufaa ya kundi fulani kama Sasa🤔🙄🙆😎😎
@@robertkilomba4296 Mbowe ni mchaga angalia chadema inavyoendeshwa kama kampuni
@@simongwandu7392 daaaah wew jamaa unamatatizo gan ,unavyomwonaa Samia na Maguful ni sawaa .. Samia ni kikwetee full ... Maneno yasikudanganyee .. hii taifaa linaitaji Mwanaumee makin anayeweza kulipiganiaa... sio mtu wa kuungana na wazungu hali inajulikanaa toka mwanza Mzungu nia Yakee ni kuongoza Africa bila kuitawalaa ..Maguful katusaidiaa sanaa tunarudi tenaa tulipotokaa
Ccm ndiyo itakuwa mwisho wake,Mimi binafsi sitakupigia kura
Acha wivu aise
Kwanini wewe ni jeshi mpaka uwe na athali kwa CCM!?
Umesema ukweli kama ccm watapendeza huyu samia ccm ndo kwaheri.
Haya ukisikia mwisho wa ccm ndio hivyo.
Tatzo ni nini rais wetu kila ukisimama jukwaan unasemea tu kuhusu wanawake wenzako kuliko kusemea jinsia zote au siku hiz nchi yetu inawanawake tu wala haina wanaume ??maana kwa kweli nmechoka kila siku rais wetu akismama jukwaan anakngea kuhusu wanawake tu wakati nchi yetu ina jinsia zote kwa hyo awamu hii wanawake ndo wamekuwa na kipaumbele kuliko wanaume ?? naomba jibu wapendwa bila kusahau rip John Joseph pombe magufuli
Kwani tozo ipo kwa wansume tu? Sasa hata umeme ..tozo...bank tozo....machinga wote ni wanaume? Umetufukuza mjini eti hatulipi kodi .... Kura yangu utaisikia redioni .
Najua vyombo vyetu vitatumika kukusimika ila this time around mungu atakua upande wa taifa letu
Mm nikuombe mweshimiwa Wala usizubutu utaipoteza CCM na chadema kuipa ushindi wa kihistoria
Waza tofauti.... URAIS 2025 HAPANAAAA... TUACHIE TANZANIA YETU
😭😭😭😭
Kweli kabisa akigombea majaliwa kwa ccm nitachagu lakini wewe ukigombea ndio itakua mwisho wa ccm
Majaliwa safiiiiiiiiiiiii
Kweli Samia hadi sasa umeshawaangusha wanawake sana, 25 ni ndoto mama Samia kuwa rais tena, ata wamama wenyewe wameshakuchoka nikwambie ukweli, wasikudanganye na vigelegele hamna kitu hapo,🙆 katiba kwanza hili tukuelewe kama watanzania, democrasia gani mnamtundikia mbowe drip za hewa hacha kebei rais Samia🤔 tunaitaji democrasia ya kweli sio upuuzi huo🙄🤓😎
Mbona umepanic! Tatizo nini dogo?! Au na ww ni wale wale?! Acheni Mama afanye kazi, chokockoko zenu zimetuchosha... Go Mama Tanzania, Go! 💕🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌹
Kama Samia anatka urais 25 abadili mtazamo asiklize maon ya wananchi, ajifunze njia za JPM, km hataki uchaguz labd watmie nguv
@@j.c.maxima816 na ww ni walewale bendera fata upepo hjui mstakabar wa nchii tunakoelekea xo kuzr Nyerere aliacha kauli" viongozi mwasikilize wananchi wanataka nn"
@@zachariamagesa7230 we ni walewale wanafiki wakubwa tu ,, Yan mnatetea kila baya
@@reganshao ht usemalo hulijui pole xn!!
Watakuchagua wana ccm wengi atukuchagui kwasababu wewe umeshika nafasiya jpm lakini ufuatishi yale alieacha unamsikiliza kikwete watu awakuchagui labda muibe kula kama kwaida yenu
Sio kwenye mikono yako Mama!!!!Hata kidogo!!kwenye tiketi ya wanawake. watu wanayo macho, tulipofikia ni pabaya mno.
Hafai kwa uraisi
Ashushe Bei ya mafuta, dizeli na petroli, na miamala ishuke , halafu uboreshe maisha ndio wata watashawishika , bila hivyo upinzani njia nyeupe
Hatufai kiujumla Hana hata jipya la Maendeleo. Afrika kwa sasa inashindana kimaendeleo. Asifanye Tz kushika mkia alafu ikadhalauliwa.
Mama anajua hakubaliki kabisa
Ww atakaye kuchagua atakuwa kchaa kama pcha ya Magu ipo nitapga hata hatuko naye anatuuma sana Jpm tunalia sana hatuna aman
Binafsi sitakuchagua😥😥😥😥am sorry
Wanaokudanganya kwamba unapedwa ni mawaziri wako unaokula nao .lakini sio wananchi.kikwete na family take ndio watakaokuchaguwa kama ulihusika kupoteza roho ya magu basi utagombea.watz hatukutaki haya robot tu huna.umefukuza wa kweli wa magu ukatulea wezi wa kikwete kupe wanyonyaji mijizi nyie.
Kikwete ndiye anayemusuma ili Waende le kuiba
ni bora amejitangazia mapema ni wakat nass wanaume tujipange
Ninapondea nikwmba watanzania ni wanafiki sana😂 Si kila anayekupgia makofi bas anakupongza wengine washajua anguko lako
KIUKWELI MAMA HUKU MITAANI HUKUBALIKI KABISAAAA!!! ALIYEMTUKANA MAGUFULI WETU NDIO UMEMPA CHEO KIKUBWAAAAA!!!! HATUKUELEWI KABISAAAA!
My Tears,Due to this statement...
Haiwezekani Tanzania bando
Bye,bye,bye CCM Ndo utakuwa mwisho wa CCM
2025 MAJALIWA MAJALIWA OYEEEEEEEEE.
Wanaume wa ccm mnasikia mama atatuumiza wanaume simameni imara mkimuweka huyo mama ccm mmekwisha
Aje ndio atajuwa watanzania tunataka nini mimi ni ccm pia but Samia hutoboi liwe jua iwe iwe mvua tutajuwana
😂😂😂😂😂
😂😂😂
Najipata mwenye furaha kubwa kusikia hivyo nakuombea sana ccm wakusimamishe maana hapo tutakuwa tumeikomboa inchi kutoka mikononi mwa ccm mapema kabisa...ewe Mola mjaalie asimame tuikomboe inchi hii...
SANA
Ndugai Arafat sana kwa 25
Nipo hapa kwa kudra ya mwenyezi Mungu.Ama kweli kufa kufaana.
Wewe mungu ulie juu yani napata plesh kusikia kuwa hatagombea daaah
Umesha ikisa kula yangu wala nisiwe muongo kwanza kuongozwa na mwanamke umenikosea heshima
😂😂😂😂
Kweli tu Rais wangu
duh CCM ndy basitena mkibugi mkampitisha huyu Mama ndy mwisho wa CCM 2025
Yani hii tenaitakuwa nchi imeuzwa Kama utakuwa Tena Rais Mimi sikubaliiiii
Lakini napata wasiwasi japo mm CCM. Wamepita wagombea urais wengi wanawake lakini Sijawahi kusikia hata mmoja akijaribu kutumia uanamke kama kigezo. Niaminivyo MM kama mtu unajiamini utaongelea rekodi yako katika kutatua changamoto zinazowakabili watanzania wote kwa ujumla. Kwa namna alivyoongea amenikwaza sana. Naona dalili za mwanasiasa aliyefilisika fikra. Mapema sana jamani, Tufanye kazi tu. Jinsia sio kigezo. Mbona wapo wabunge wanawake wengi tena wameshinda chaguzi kwa kusimamia hoja za kitaifa. Hii ni kututoa kwenye reli.
HUYU BIBI kachizikaa yeye anajuwajee Kama atafika kwenda hukooo Delilah ufaiiiiii muuuaiii
Kumbuka alikua anaongea na wanawake ndo mana kaongea hivo au na ww mwanamke?
fact
😁😁😁😁😁😁 uraisi mtamu asikwambie mtu
Jamani jamani!! Ee Mungu inisuru Tanzania
Jamani Mimi ni mwanamke, labda Ummy MAALIMU, lakini wewe mama kaa tu upumzike
Kwel Bora Ummy Mwalimu
Daah ! Ccm ndiyo unaishilia hivyo ...kosa kubwa sana
HatuKuchaguwi. 😠
Huu kweli msiba. Tumefiwa na JPM, kidonda kibichi, tunakwenda kufiwa na CCM😭
Tutakuw tumelogwa san kkurudisha ten madarakan
Yan uchaguzi 2025 nafuu CCM mumsimamishe Polepole kuliko mama huyu lakini haswaa mwenye nafasi atakaeuzika ni majaliwa peke yake kwa Sasa maana watanzania tunahisi yeye ndiyo kiongozi mwenye maono ya JPM lakini mwingine sijui atakuwa ni nani jamani. Mtapokonywa nchi otherwise mupitishe mabox mlango wa nyuma.
Yes Majaliwa hoyeee.
Wazee wa CCM nchi inaenda kuzimu hiyo.Hivi mmefanya utafiti ktk kipindi hiki kifupi aliopo madarakani,je mnapata maoni ya watu huku mtaani mama huyo hakubaliki kabisa CCM mnaiweka nchi rehani mtatutia ktk misukosuko ambayo hatujawahi kushuhudia ktk nchi yetu.
Tena sasa ndio CCM Itasambalatika. Yaani na ile dhana ya kuiba kula sio kwenye teknology hii ya Computelize. CCM iandike Mapumnziko
Mama samia ndo mwanamke anayefaa kua raisi.
Ni kudra za mwenyezi MUNGU. Kwakweli shida unashangilia kupewa kiti kwa sababu ya kufa kwa Rais?
Yaani hapo umejidanganya ,hayupo wa kukupa kura 2025 huo ndo ukweli, maliza mda wako uondoke.
2025 📞 hello jpm mama Samia kweli kazi ipo
Acha kukututukana na mungu hajawapa kudra Bali mmejipa ninyi wenyewe maana hatuna uhakika Kama jpm alikufa kwa mapenzi ya mungu. Rip Magufuli
Kuacha naunafiki %97 hatujafuraishwa nauyu mama.tena kabiiiisaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mmmmmmh nipigwe moka nife sikuchagui
Ushauri wangu staafu kwa heshima utulie kama kiongozi mstaafu ila ukijichanganya ukagombea siku hiyo ndio ujinga wawatanzania utaisha
Huu ujinga hatutauruhusu sisi wapiga kura we jichanganye tu
Amesahau cjawahi kupiga kura Ila saiv ntapiga ili ushindwe UMESAHAU
Ebu cheki wanavyo mshsngaa wenzake wakikumbuka tozo wanasimama kinafiki
Kweli wanasimama kinafiki
Porepore Yuko vizuri anafaa kabisa misimamo yake kama Nyerere namakufuri
CCM musisahahu yaliyo tendeka Malawi
Bye bye CCM
Jichoshe nani akupe kwa kazigani ulio Fanya hata sasa hufai ondoka
Usijidanganye ww mama 25 ukigombea labda uchukue kwa mateso unayotupa tunayajua wenyewe jidanganye
Me ni ccm Hadi damu mpaka family yangu ccm wote ila ukingombea umetuhamisha ccm by by
Khaa we mama unafkli kwahaya tunayoyaona kuna mwenye kkutka tena wew uendelee kuwa Rais tz maana hapo umebakisha kutoa amri yawafngwa waaanzwe kunyongwa kwhzi staili yako huwez ktoboa2025 .kodi kila kona
Kwani wanawake ni walemavu? Mbona Samia anatumia sana kigezo Hiko? Halafu anafanya kampeni huyu mama.
Nukuu *Baraka hii ya kuwa Rais tukiiachia Mungu atatulaani* Sami.S.H.
Hayo maneno yako ni ya ajabu sana. Na inabidi umuombe Mungu msamaha.
Yaani mlaniwe kisa kuachia kiti Cha Cha urais???? Umetia haibu sana
Tatizo sio kuwa rais tatizo ni utendaji kazi wako kwa wananchi
Kwani siilisha tabiriwa atakaye iuwa ccm atatoka ndani ya ccm
Uchumi ukue kwake kwa wananchi sifuri
Mmmmmmmmmmm!!!!! Natabiri Anguko la Ccm.
Mie nitakupigia kura mama umetuona Diasporas baada ya miaka mingi mnoooo
We mpgie tu na diasporas wenzako ila kama tume ikiwa huru sisi walala hoi tutafanya jambo 2025
Yaani ww jidanganye ugombee ndo utajua sasa hutopita hata kwa nusu
Naona umenogewa na Urais .malizia tuu ukae pembeni 2025 is not You the Lord Say
Mbona wewe kazi hotuba zako ni wanawake tu,je hii nchi wanaishi wanawake tu au siku hizi watanzania wanaitwa wanawake??
Kura yangu hupati kwa ubaguzi huu.
Kuna wakati ulishawahi kusema kuwa wateule wako wasianze kuota Urais mbona muda bado 2025 ni mbali. Inahitajika kujenga uchumi kwanza ili Watanzania waone mbivu na mbichi. It is too early to announce the presidency at this juncture. Tufanye kazi.
point sana yaan
point sana yaan
Huyu mama akigombea urais chadema wanauchukua nchi asubuhi na mapema jidanganyeni tu mimi ni mwanamke ila mama sikupi kura yangu bora niwape upinzani mapema tuuu shida tunazopitia huku na matozo kila siku mbona tuna jambo letu wana kamati 😀😀😀😀
Sasa Ndio wakati wa Chadema kupewa Nchi na Wananchi. Tena asijaribu kugombania. Akigombania tu atashangaa
RAISI SAMIA NJOO USOME COMMENT.
Atazimia
Namungu uyo uyo ndio ata kutowa. 25 mana ww sio chaguo letu tumezoa kuna mahosptli mashule. Madalaja mikakati ya ma dini na ichi wapi ina kwenye
Hatukutaki tunamtaka kasim Majaliwa.
Hahahaha ngoja tuone
Hakuna kitu hapa,galasa
ccm kueni makini
Maliza muda wako was urisi uondoke hatukutaki
Kwa mujibu wa dini zote ( uislam na ukristo) Mwanamke hatakiwi kuongoza uma wenye mchanganyiko Labda aache dini kwanza. Sasa rais ametetewa na na shekhe kuwa nimwislam na anavaa vizuri vazi linalotambulisha dini, haya mambo mbona hayaeleweki!!! 2025 Rais tunamjua si mbowe wala Samia
Yani ukimpigia kura huyu mama ni sawa umemchagua mzee wa msoga
Na huyo Mzee Msoga alivyo kichefuchefu kitupu
Huyu akifa sijui kama ataliliwa
2025 kugombea uraisi Mama kweli wakati dini hairuhusiwi kuongonzwa na mwanamke
Watakuchagua haohao
Nitajitahidi kupiga kura ili ushindwe
😂😂😂😂
😂😂😂
2024 and still she is a super woman stay strong our president 🤍
Midume mnapiga makofi na nyie wanawake
😂😂😂😂
Hahaha ww umenimaliza
Aiseeeeee hivi kumbe ulikuwa unatamani hiyo nafasi eheee, ila 2025 sijawahi kupiga kura nje na ccm lakini safari naona naenda kufanya kinyume nchii hii inahitaji aina ya watu kama JPM,
Kwani hawa wanawake wapiga kura si wake za watu,kichwa cha familia kitafanya kazi
😂😂😂😂😂
😂😂
Mama yangu Samia ,kwa maneno hayo uliyoyatoa umefanya uchunguzi wa kina kwa Inchi nzima au wanaokuletea tarifa awakuambii ukweli kua watanzani awakupendi .
Tozo bado ni kubwa,
Mafuta yamepanda bei kupita kiasi.
.gesi iko juu
.umeme unakatika kila Mara.
Mama kama haya yakiendelea ivi naona anguko kubwa la CCM 2025.
Nadhani statement kama hii itakupa wakati Mgumu na utaongoza kwa shida tambua hata wale viongozi waandamizi chini yako hawako na wewe CHAPA KAZI MWAKA MMOJA ITA UCHAGUZI MWESHIMIWA
Kugombea tu lakini kutimiza wajibu aah!!.
Ukipita urais 2025,,, nitakununulia zawad,, yangu macho
Watanzania tumekuchoka hatukuitaji nenda ngolo ngolo kwanza tuyo uje ugombee uraisi