Kwani tundulisu nyinyi watanganyika mnakosa nn kwenyi huu muungano? Maana naona kila kitu cha Tanganyika kinafanyika vizuri tu...kwa kivuli cha muungano sasa shida iko wapi? Zanzibar pamoja na kuwa na serekali yake lakini bado ni maskini haha hohe...shida nini Anty?
Napendekeza chadema ifanye mabadiliko ya katiba . Tuwe na muundo wa serikali tatu . Yaani mwenyekiti chadema zanzibar mwenyekiti chadema Tanganyika Mwenyekiti chadema Taifa
Hivi mnazani watanganyika Kuna mzanzibar anaependa mungano huu wa zulma Kama vp tujaribu kufanya x change miaka 60 mumetutawala Sasa tuwape Tanganyika yenu Kisha serikal ya jamuhuri ya Tanzania na mihimili yake yote Kwa muda wa mia mitano tuone Kama na nyinyi mtaa kimnya
Muheshimiwa usiwe usiwe unasema uwongo Kuna watu kutoka bara wamemiliki ardhi zanzibar na wanapga kura pia huo wako ni uzush hemu ongerea point inayohusiana na mungano na mamlaka yenu watanganyika
Maana ya kumiliki ardhi ni kwamba Mtanganyika huwezi kujenga au kununua nyumba Zanzibar, huwezi kulima n.k lakini wao huku wanaruhusiwa kumiliki nyumba, hoteli, gesti, na mashamba
Ukweli halisi ni kwamba sisi siyo nchi moja kwani, Mtanganyika hana haki ya kuchagua au kuchaguliwa Zanzibar, kuajiriwa, kumiliki ardhi na mambo mengine
Upinzani ni afya kwa maendeleo ya nchi yoyote Duniani Wapinzani wanaibua baadhi ya mambo ambayo baadhi ya Wananchi wa kawaida wasingeweza kuyajua.Tuwaombe Wapinzani muungane ili tuwe na Vyama viwili vyenye nguvu ili kuleta ushindani wa maendeleo Tuige SIMBA NA YANGA
Sio kweli kama mtanganyuka Hana haki ya kuchagua ama kuchaguliwa hivi mzee mwinyi na mwanawe Hussein wametokea wp watanganyika acheni ubaguzi kisa mama kua rais wa watanganyika ndio imekua shida yote hiyo hebu daeni maslah ya Tanganyika yenu musiongelee upuzi wa kijinga usiokua na tija
Ongelea point za msingi ili watanganyika na nyinyi muwe na serikal yenu kwanza tumeshachoka na mungano wa kimabavu rais wa kwanza wa zanzibar hakua na zamira ya mungano Kama huu wa kijinga kabisa Nia wazanzibar ni kujitawala wenyewe na sio kutawaliwa na watwana na Kama tulikua tunahitaji kutawaliwa ni Bora angeliendelea kutawala sultan kutoka oman tungelikua na maendeleo miaka 60 ya mungano ujinga mtupu
Why tundundulisu gos much deeper is because trying to show thouse who creat lie propaganda without sense lmpact into Zanzibar and Tanganyika that jointvencter crush started since 1995 into Tanzania Palament Antilles now that why we need new constuetion remove this misunderstanding jointvencter between Zanzibar and Tanganyika
Muheshimiwa usiwe usiwe unasema uwongo Kuna watu kutoka bara wamemiliki ardhi zanzibar na wanapga kura pia huo wako ni uzush hemu ongerea point inayohusiana na mungano na mamlaka yenu watanganyika
Hiyo ya muungano baba tunakushukuru kwa erimu mungu akupe nguvu ya kutuerimisha ubarikiwe sana
Mungu akuweke sana mwamba tupo pamoja atuwezi kumpa kura raia wa nchi nyingine kura zote zako
Asante Tundu Lissu Mungu azidi kukupa afya njema na kukulinda.
Kutoka kwa shetan
Elim.ya.zanzibar.elim.iko.juu
7.30am
Ukimsikiliza kwa makini Lissu,
Kuna jambo lakujifunza kutoka kwake
Huyu ni zawadi toka kwa Mungu kwa watanzania
Jamaa anajua sana mpaka anakela
Kwani tundulisu nyinyi watanganyika mnakosa nn kwenyi huu muungano? Maana naona kila kitu cha Tanganyika kinafanyika vizuri tu...kwa kivuli cha muungano sasa shida iko wapi? Zanzibar pamoja na kuwa na serekali yake lakini bado ni maskini haha hohe...shida nini Anty?
Ni yeye
Napendekeza chadema ifanye mabadiliko ya katiba . Tuwe na muundo wa serikali tatu . Yaani mwenyekiti chadema zanzibar mwenyekiti chadema Tanganyika
Mwenyekiti chadema Taifa
Hivi mnazani watanganyika Kuna mzanzibar anaependa mungano huu wa zulma Kama vp tujaribu kufanya x change miaka 60 mumetutawala Sasa tuwape Tanganyika yenu Kisha serikal ya jamuhuri ya Tanzania na mihimili yake yote Kwa muda wa mia mitano tuone Kama na nyinyi mtaa kimnya
Muheshimiwa usiwe usiwe unasema uwongo Kuna watu kutoka bara wamemiliki ardhi zanzibar na wanapga kura pia huo wako ni uzush hemu ongerea point inayohusiana na mungano na mamlaka yenu watanganyika
Maana ya kumiliki ardhi ni kwamba Mtanganyika huwezi kujenga au kununua nyumba Zanzibar, huwezi kulima n.k lakini wao huku wanaruhusiwa kumiliki nyumba, hoteli, gesti, na mashamba
Ukweli halisi ni kwamba sisi siyo nchi moja kwani, Mtanganyika hana haki ya kuchagua au kuchaguliwa Zanzibar, kuajiriwa, kumiliki ardhi na mambo mengine
Upinzani ni afya kwa maendeleo ya nchi yoyote Duniani Wapinzani wanaibua baadhi ya mambo ambayo baadhi ya Wananchi wa kawaida wasingeweza kuyajua.Tuwaombe Wapinzani muungane ili tuwe na Vyama viwili vyenye nguvu ili kuleta ushindani wa maendeleo Tuige SIMBA NA YANGA
In
Bonge la shule
Kaz
ASANTE SANA TUMEJUA CCM KAKIKUNDI WANAJIFICHIA HAPO KTK MUUNGANO
Mzarau mwiba humchoma ccm walimdharau Mzee warioba sasa watamkumbuka
👍👊✌️。
Asante kwa darasa
Ogera sana Mtanganyika ariesoma vizuri na kuelewa sheria za nchi na katiba kwa kuendelea kujitoa na kupambania haki ya Wataganyika
Sio kweli kama mtanganyuka Hana haki ya kuchagua ama kuchaguliwa hivi mzee mwinyi na mwanawe Hussein wametokea wp watanganyika acheni ubaguzi kisa mama kua rais wa watanganyika ndio imekua shida yote hiyo hebu daeni maslah ya Tanganyika yenu musiongelee upuzi wa kijinga usiokua na tija
Kama uwelewi huyu ww ni ndondocha kabisa aisee
Channel haifunguki.
Wauza nyungo wote wa Zanzibar ni wabara.
Wanamiliki Ardhi?
tafadhali ujibu swali....
Hata wachina wanauza karanga tanzania, je niwatanzania?
Nndio wenye pesa nyinyi kaz yenu kulimaaaaaaaa
Sorry ckufaham comment
Ongelea point za msingi ili watanganyika na nyinyi muwe na serikal yenu kwanza tumeshachoka na mungano wa kimabavu rais wa kwanza wa zanzibar hakua na zamira ya mungano Kama huu wa kijinga kabisa Nia wazanzibar ni kujitawala wenyewe na sio kutawaliwa na watwana na Kama tulikua tunahitaji kutawaliwa ni Bora angeliendelea kutawala sultan kutoka oman tungelikua na maendeleo miaka 60 ya mungano ujinga mtupu
Why tundundulisu gos much deeper is because trying to show thouse who creat lie propaganda without sense lmpact into Zanzibar and Tanganyika that jointvencter crush started since 1995 into Tanzania Palament Antilles now that why we need new constuetion remove this misunderstanding jointvencter between Zanzibar and Tanganyika
Bonge la shule
Muheshimiwa usiwe usiwe unasema uwongo Kuna watu kutoka bara wamemiliki ardhi zanzibar na wanapga kura pia huo wako ni uzush hemu ongerea point inayohusiana na mungano na mamlaka yenu watanganyika