HUYU HAPA NESI ALIYEMPOKEA TUNDU LISSU AKIWA MAHUTUTI BAADA ya KUPIGWA RISASI -''ALIKUWA na DAMU 3''

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 май 2024
  • HUYU HAPA NESI ALIYEMPOKEA TUNDU LISSU AKIWA MAHUTUTI BAADA ya KUPIGWA RISASI -''ALIKUWA na DAMU 3''
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 38

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  15 дней назад +1

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @angolina1768
    @angolina1768 11 дней назад

    Wallah Lisu una Mungu ww endelea kufanya kazi yako kwa kuwa Mungu anakusudi na ww

  • @rewardyesse7314
    @rewardyesse7314 14 дней назад +1

    Naona nesi anavyofurahia lissu kuwa hai,,,hii itabaki kuwa historia kwenye maisha yake kushiriki katika harakati ya kuokoa uhai wa mpinzani wa kisiasa

  • @JitihadaMasimba-ng5mv
    @JitihadaMasimba-ng5mv 14 дней назад

    Kumbe Nesi WAUKAE MIANGU Pole sana Mungu kezakupiganila kwizapata haki yako INSHAALLAH

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tn 14 дней назад +1

    Daaah inaumiza sanaaa

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x 15 дней назад +2

    Madaktari mbarikiwe sana

  • @joventjohansenmushwaimi1988
    @joventjohansenmushwaimi1988 15 дней назад +3

    Dahhh ni strory ngumu sanaa ,dada ubarikiwe sanaaa

  • @angolina1768
    @angolina1768 11 дней назад

    Daa pole sana dada

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 14 дней назад +4

    Nchi ya kidemokrasia ni hoja na si Risasi ,sikuona sababu

  • @user-wb9gy2xx3p
    @user-wb9gy2xx3p 14 дней назад +3

    Mtaka nae kumbe hana maana jamani

  • @user-ot5us9mz9w
    @user-ot5us9mz9w 14 дней назад

    Hii nchi Hii nchi Hii nchiii

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 14 дней назад +1

    Utawala ukiwa mbovu haki za wengi hubinywa

  • @amanmwalyambi1416
    @amanmwalyambi1416 14 дней назад

    Nchi hii inashida sana

  • @ERNESTSuleiman
    @ERNESTSuleiman 11 дней назад

    Jamani,hii nchi????

  • @DavidMutiba-hr3vo
    @DavidMutiba-hr3vo 15 дней назад +6

    Mtaka nimekuwa nikiheshimu utendaji wake hadi leo baada ya kumsikiliza huyu mama na bila shaka hadanganyi . Kumbe naye ni wa hovyo kiasi hiki.

    • @George-jz3jg
      @George-jz3jg 14 дней назад

      Nilijua tu lazima kuna watu wanamuelewa sana mtaka lakini mimi nilijitu la ovyo sana

  • @stonetown578
    @stonetown578 14 дней назад +2

    Mungu atajaalia utapata haki yako, lakini hii nchi ngumu.

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 14 дней назад +2

    Itifaki za hapa tz zimejaa unafiki uliojificha kwenye usalama

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 15 дней назад +4

    Yani nchi hii ina VIONGOZI WA hovyo sana hona rushwa ya ngono ime mkosesha mama kazi

  • @user-kv5om4ip2y
    @user-kv5om4ip2y 14 дней назад

    😢😢 dah mmama wa watu anatia huruma

  • @athanasmasmami5389
    @athanasmasmami5389 14 дней назад +3

    Viongozi wengi wa serikali ya Tanzania wanatumia madaraka vibaya sana hawana utu kazini wala uadilifu.)))Wanachojua ni kunyanyasa watu na madaraka yao na ipo siku hayo malalamiko ya wananchi yana mwisho wake hapa ni Dunian tunapita tu.Tanzania ngumu sana ku step forward yan kila siku same shit

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 14 дней назад +2

    Hivi CCM hivi hii nchi wameifikisha wp

  • @user-ot5us9mz9w
    @user-ot5us9mz9w 14 дней назад

    Hii Nchiii mioyo yetu una maumivu Uongozi wetu umejawa na kivuli kikubwa Cha mema ya sera za uongo ila vitendo vya Ushetani
    Hii ndio nchi ukipambania Haki Yakoutachikipata Duuuh

  • @user-ot5us9mz9w
    @user-ot5us9mz9w 14 дней назад

    Chaajabu hii page watu waki coment utaona coment zinavyo taifishwa

  • @josephsokhia
    @josephsokhia 14 дней назад +2

    MAWAZO YA MUNGU SI KAMA YA MWANADAMU WALIOTAKA TUNDU LISU ATANGULIE MBELE YA HAKI WAMETANGULIA WAO 😢

  • @mhidinathuman2398
    @mhidinathuman2398 14 дней назад +1

    Mnyampaa musidee mkiku usu mbuyane

  • @babalao910
    @babalao910 15 дней назад +2

    Wananyanyasa sana, ndio umuhimu wa vyama vya upinzani.

  • @mosesdalali7671
    @mosesdalali7671 13 дней назад

    Ila huyu mama kisaikolojia bado hayuko sawa, cjui shida ni kufanya kazi milembe au kufukuzwa kazi

    • @user-mz4mf4wj1y
      @user-mz4mf4wj1y 13 дней назад

      Nipo vizuri akili ipo vizuri labda nimechakaa na shida za mtaani dogo usiombe yakukute

  • @user-ot5us9mz9w
    @user-ot5us9mz9w 14 дней назад

    Mama mkurugenzi na wakurugenzi ni net work za maovu ya walio kwenye nchii

  • @zitongwang6278
    @zitongwang6278 14 дней назад +2

    Huyu mtoto mdogo alivokaa kwenye mikono ya Lissu Hadi raha, anyway naichukia nchi yangu Tanzania hasa kwenye swala la uongozi na haki .😫😫

    • @Uhuru351
      @Uhuru351 14 дней назад

      Usichukie Nchi, ila fanya kitu kwa ajiri ya kizazi kijacho waipende..

    • @brownsebastianmwibi5647
      @brownsebastianmwibi5647 13 дней назад

      Unaichukia nchi? Sina uhakika kama unamanisha kuichukia nchi.