''HUYU MKURUGENZI MTU MZIMA ILA ALINIPIGIA MAGOTI OFISINI - NIKAONA NI UNAFIKI'' - MAKONDA...
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- ''HUYU MKURUGENZI MTU MZIMA ILA ALINIPIGIA MAGOTI OFISINI - NIKAONA NI UNAFIKI'' - MAKONDA...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Kaka Makonda anazidi kupendeza na kunkara siku baada Ya siku na kukoma kisiasa zaidi.
Big up bro Kazi Nzuri.
Mimi nipo U.S huwa sicomment sana kwenye social platform, Ila kazi anayofanya makonda imenifanya nicomment kwa sababu pamoja na historia yake amekuja Kurudi kiongozi smart sana. Alichoongea hapa ni kitu kikubwa sana. Mfanyabiashara ni mtu wa kuheshimu sana kwa sababu ni mwajiri, ameshikilia maisha ya familia za watu. Na pia nlivyoona lie press conference niliona ni jambo la ajabu sana. Hapa Marekani ukiharibu uchumi na ukiwachokaza wafanyabiashara na unemployment rate iwe juu tu unashidwa uraisi vibaya mno.
Makonda Mwenyezi Mungu akufunike Damu YESU. Uwe salama sana kila mtanzania anakutegemea. 🙏🙏🙏
Naanza kukuelewa mheshimiwa Makonda ....uko vizuri sana
There is the light of God in you Makonda keep it up for Gods glory
Huyo Mkurugenzi aomba ardhi ipasuke aingie,mambo yamemgeukia,tulizowea kuonewa na maafisa serikali na kujiona mungu watu.
Makonda with highest maturity ever!do appreciate it
Mpeni makonda mauwa yake mapema saanaaa mpeni makonda mauwa yake mapema sana ......nakupenda tunakupendaaa❤❤❤❤❤❤
Mkurugenzi ile siku anaongea kwenye media dhahiri alionekana n muhuni tu !!mapete kama msanii,kumbe anaongea uongo!!Na alikua anaonekana tu
Ufreemason unawadanganya
Mshirikina
Makonda baba unafanya kazi iliyotukuka mungu akulinde siku Moja utakukuwa raisi wa hii nchi utasaidia wa nyonge
Kiongozi wetu..Makonda ..Mungu akulinde
Mkuu nakukubali sana
Makonda umenibadilisha mtazamo sana. Unafanya kazi nzuri sana kuanzia hili swale na like la mwalimu Beatrice. Sikutegemea Kama ntakuja kuona kiongozi kama wewe, Jerry Slaa, Bashe na Bashugwa.
Ongeza na aliyekuwa Waziri wa ardhi William Rukuvi
Muheshimiwa sisi wanyonge wa vibanda vya stend kuu ya mabasi pia tumitowa sana shs 30,000 kila mwezi kwa control no tofautitofauti lkn sasa hivi atudaiwi tena!
Huyu mkurugenzi alikuwa smart sana kipindi cha rais magufuli kule serengeti, alilia sana kwenye mkutano aliposingiziwa ni mbadhirifu na rais alimlinda. Sijui mapembe kayatoa wapi sikuhizi.
Yaani Baba Kegan mkuu wangu wa mkoa Mungu akubariki mno umekuwa na busara sana ya kuamua mambo. Yaani wewe hapa arusha hutoki mzee na mama akikuhamisha mimi niko namba moja kuandamana kutoka arusha hadi kwa mama
Hivi mnashindwa kumpongeza makonda mnaanza kumsema vibaya kweli jmn.......makonda piga kazi ,,wanaosema una kiburi mm bado sjakiona kiongeze...mnapenda sana ufisadi watanzania
Sasa ivi nimerudi kuangala social media kupitia makonda na global kila cku makonda anafurahisha kusikiliza!!yan nikivutio kikubwa anabaze kuisaidia jamii
Makonda nakukubali sana
Tatizo la Tanzania,"watu waliostabili kukaa mtaani ndoo wanaokaa maofsini na waliostabili kukaa maofsini ndoo wanaokaa mtaani"
Mwanangu chukua maua yako. Yaan sio yeye peke yake wako wengi wa namna hiyo Mikoani na Wilayani kite.❤❤❤👍👍🙏🙏🙏
Ila moja ya solution ded aondolew ata kama hahusik ana udhaifu mwingi
Nilitamani kuona makonda anakuwa mkuu wa mkoa wa mikoa yote anakuwa anaenda mwezi mmoja mmoja kila mkoa kunyoosha wezi na wapigaji
Makonda u r the best simply ckuwahi kukufahamu Kwa namba hii nakufahamu Leo.Mungu akusimamie sana na akulinde
Mungu awafanyie wepesi katika majukumu Yako Mh
Makondraaaa big up
Baba Makonda unafanya kazi nzuri sana kuliokowa taifa hili. Shida viongozi waziri kwenye mataifa ya kiafrika huwa hawadumu. . Arusha ni mkowa wa wakwepa kodi na uhalifu. Ukiwa kiongozi mutenda haki, basi watakuwekea majungu ya uwongo. Walimufanyia hivyo Sabaya. Sabaya alikuwa kiongozi bora sana lakini wafanya biashara feki na viongozi wasiokuwa waaminifu waliungana na kumushutumu vibaya na kupata mateso makubwa kwa kutetea haki.
Wakuu wengine wa mikoa muigeni Mr. Makonda. Mungu Mlinde Mkuu wetu wa Mkoa.
Umenifurahisha sana mtu mzima hana akili wako kila mahali
Mkurugenzi wa Vitumbua huyu
Mungu,azidi kukulinda.Tetea walionewa
Safii sanaa kaka piga kazii
From Kigoma/Ujiji, MAKONDA FOR EVERYONE❤
Anapaswa awe waziri arekebishe kwanza miundo mbinu aisee wanaanza wanaishia njiani
Very good guy
Mungu akulinde makonda
Namuna makonda akiwa rais wa tanzania siku moja..hii ni ndoto yangu..mpaka sasahivi tayari kura yangu amepata akusanye ya wenye vichwa vigumu
Wanaweza wasimpitishe kwenye kura ya maoni wakapamdisha mtu wao
Huyu ndio kiongozi tunaye muhutaji kama taifa kuzidi kumuombea kwamungu amlinde
Mimi naona Makonda yupo sawa kabisa kuna watumishi ambao wakifanya ujinga na wapo chini ya mkuu wa mkoa Makonda atadil nao ila wengine mpaka waziri au Rais mwenyewe ndiyo atoe maamuzi kama hao wakurugenzi wengi wapo hovyo sana na wengi ni waizi lakini ndiyo hivyo nani atawatoa
Makonda the feature president
Mnatongozeka kirahisi sana. You’ve no idea what you’re talking about
@@albertjames6845mtu si anaongea anachoona sasa who are kusema watu hawana idea we ni mmiliki wa fikra za watu au
Mwambie huyo kk
Anajikuta mmliki wafikra za waty😂
Sio feature ni future😂😂😂
@@hellendaniel3809 😠😠😠😫
Kazi nzuri sana Mkuu
Mkurugenzi pole sana
DAH!! MUHESHIMIWA UKOVIZURI SANA MUNGU AKULINDE SANA KWAKUA MKWELI NA MUWAZI, SAFI SANA MUHESHIMIWA
Haha hivi hapo hilo jambaka linajiskiaje? Maana limejikausha hapo na limeingia cha kike. Da noma sana. Angekuwa Anko Magu lazima angeondoka nae hapo hapo. 😅😅😅
Nilisema kwenye comment awali hapa hakuna mkurugenzi wapigaji Hawa wanajiona Wana akili kuliko sisi wafanya biashara. Kumbe sisi tunaakili tumekosa nafasi tu serikalini, mimi mwenyewe kuna Siku nimejibiwa ujinga hapo manispaa mpaka unajiuliza nimekuja kulipa Kodi au kuomba msaada na Kuna dada anaitwa Devota anamajibu mabovu Sana na anadhalilisha Sana wafanya biashara mjini anaongea hovyo Sana
Ivi Arusha Tulionekanaje kupewa huyu Mkurugenzi 🤌.
Poleni sana ila Huyu Makonda atawanyoosha
Duhh
❤
Huyu jmaa nmkubali Sana ntamani sku nkutane naye mh makonda kwa kazi yake iliyotukuka nipo Zanzibar
When you think you know everything you know nothing.time Will speak🤷
Sasa hivi sukari na pressure iko juu.
hahaha
Hahah ila chumvi na force vitakua chini
Makonda utawanyoosha
Alani na makonda muda wote
Mh Makonda baba lao
Ila Makonda tatizo lako wazungumza mno. Kwani hujui Tanzania wajinga wengi na hayo majizi siyo kuwa hawajui ila ni dharau kubwa tu ya sheria? Acha kuwarai. Fanya kama Magufuli, inapothibiti kama hivyo, amuru kutolewa adhabu. Tena hukumu ianzie hilo jitu litaifishiwe kila kitu chake 2- asimamishwe kazi, halafu fanyeni kama Ulaya, jina la mtu huyo linaingizwa katika masjala hapewi kazi ya serikali milele.3- kifungo na kazi ngumu.
Nyie mwayachekea haya mambo kwa sababu baadhi ni rafiki zenu. Wizi wa watendaji umemalizwa 95% Ulaya, 97% Singapore, China nk. Inawezekana.
Wakurugenzi wanateuliwa na kutenguliwa na Rais.
Makonda ana fanya mambo ki mpangilio haswa
Tunata nchi inayofuata, hatutaki nchi wananchi ombaomba kwa viongozi.
Duh
Makonda ata kuja kua Rais wa tz
Nchi hii ina hitaji uongozi wa aina hii kwa sasa
Mama aliona madudu ya Arusha ndomaana akampeleka mwamba,Arusha ninchi nyingine yn pesa ndoinaongea manyanyaso kwa wasio nacho,wenye hela wenyewe kwa wenyewe dhuluma yn Mama Samia aliona mbali
Makonda abaki kuwa makonda kwa hiyo msimtumie makonda kuchagua majizi ya CCM
Hahaha case solved 😂😂
Nchi inayofuata Sheria. Hatutaki ombaomba.
Mwaka jana nilikuwa Nyegezi stand: akaja mtoza ushuru wa abiria wanao ingia na mizigo, nilikuwa na dumu1 la oil 20 ltrs , nililipa ushuru 3000/ ila resiti ya EFD iliandikwa Mwanza south!🙄🙄🙄🙄
Hv huyu ndo yule aliye vaa mapete kama mpunga majini
Huyu mkurugenzi km wa tarime enzi za magufuli Alilia kwenye mkutano hadharani
Wataisoma namba makonda wee ni magufuli tosha uongopii fisi yyt
Piga kazi makonda nape acheze sindimba tu uongozi aujui
Lione jambaxi lenyewe,lifukuxwe kaxi,na lifilicwe,hao wanaokuchuna kupitia jasho la wa2,unatanua na malaya kwa kudhulumu watu,lipaaaa.
Makonda kivipi tena? Mnasahau ya kuwa mifumo yetu yakiutawala ndiyo imetufikisha hapo! Wakurugenzi wasiwe wateule waombe kazi ndipo watawajibika ipasavyo, Sasa ona mkurugenzi amzima anadhalilika na hao wanasiasa wenye kupenda sifa!
Mkurugenzi kazingua makoñda nae kazingua angeweka wazi kukasirishwa kwake na hatua za mkurugenzi na kusema hatua aliyo amua kuichukua sio kumshushia kichambo mtu mzima mwenzake mbele ya kadamnasi
Makonda Hana na hajawahi kua na busara ya kiuongozi
Wanavyotuibia wanatumia busara china mafisadi wananyongwa Africa busara zinatuchelewesha kumsema fisadi et hamna busara
Wanavyotuibia wanatumia busara china mafisadi wananyongwa Africa busara zinatuchelewesha kumsema fisadi et hamna busara
China wawe wananyonga mafisadi au wawe wanawapigia makofi
Makonda Hana na hajawahi kuwa na busara za kiuongozi
Icho chuma kilicholala chato kilikua hakina uvumilivu lakini kilikua na subira na limits kwenye baadhi ya mambo mbele ya public lakini reaction yake lazima ingekuja kwa vitendo
@@evanswinston5102yeye hana mamlaka juu ya mkurugenzi... ni raisi tu ndio anaweza kumwadabisha au kumtumbua....kwahiyo katumia busara na yeye kumwaibisha kwa namna anayoweza kwa cheo chake ili wakubwa kama waziri wa tamisemi wamwangalie tena
Wajinga wengi mkuuu
Ukiombwa radhi sio lazma kutangaza,sifa zilimponza sungura⛷️
Hayo mambo ya kuomba msamaha kimya kimya wakati jambo lenyewe liliongelewa hadharani huo ni UNAFIKI na UBINAFSI mkubwa aloufanya huyo muomba msamaha ili kulinda kibarua chake bila kujali dhuluma wanazo wafanyia wananchi.
Uyu jamaa misifa tu
Hapo sifa au uhalisia! Huyo Mkurugenzi Mhuni tu!
Wahuni wote mpaka mwitike abeee Kwa makonda
Binadamu ndio yenyu hata mfanyiwe wema bado mtaona kasoro ila Mungu yuajua
Ile press ilikuwa ya kipumbavu
Xee xima linampigia makonda magoti kwa wixi walo lipaaa,hujawahi mpigia Mungu goti hata cku moja,yakafika shingoni ukapiga kwa binadamu.
Mungu akulinde
Hizi porojo ambazo tumezizoea kila siku kwene siasa ya Bongo ndo maana watu au Taasis wanatajwa na CAG lakin no further action inachukuliwa.....Then serikal ikipunguza makali ya maisha hapo ndo itawagusa watu weng sana koz kama kazi tunafanya sana lakn vitu ndo vinapanda bei kila kukicha hata walio ajiriwa wanalalamika makali ya Maisha
Huyo mkurugenzi si ndiye alikuwa anaongea kwa kuonesha mapete ya kifreemason
Ben Saanane, Azory Gwanda.
Wamefanyeje Tena??
Leo ndo nmemuonda Makonda anayetakiwa kuitwa makonda hongera sana kiongoz