MADUDU ya KUTISHA ALIYOIBUA MWALIMU BEATRICE YACHUKUA SAA 1 MAKONDA KUMALIZA MGOGORO WOTE....
HTML-код
- Опубликовано: 10 май 2024
- MADUDU ya KUTISHA ALIYOIBUA MWALIMU BEATRICE YACHUKUA SAA 1 MAKONDA KUMALIZA MGOGORO WOTE....
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Huyu mama ukiacha kuwa Ni msomi Ila Ni genius Sana aiseee anajua kujieleza,ana vielelezo vyote vya Madai yake Na Ni mtulivu Sana Hana papara kabisa yaani Hana mihemko Ila madini anayotoa kudai haki yake ndo wahusika wanabaki wanatetemeka Tu Kwa aibu...Makonda good work kaka mkubwa.
Wala hatoi chozi.....NI fact Tu
@@barbarasara4033 yaani amenifurahisha sana..
Mwalimu wewe ulikuwa mahiri kazini kwako ndio maana vilaza hawajakupenda
Kabisa mkuu
Mwalimu asingekua na pesa nae ingekua shida ila kajiimarisha vizuri yani
Huyu mwalimu ana uwaredi mno Hali ya juu na ndio mana wanamchukia @@J_Pabloescobar0806
Watanzania wasiokuwa na sauti hudhulumiwa. Huyu ni mwalimu anaweza kujitetea. Watanzania wasiojiweza kujieleza hudhuluiwa na majambazi yanayoaminiwa na serikali. Kufutilia kasi ni kazi kubwa inayohitaji fedha. Watanzania wengi ni masikini sana. Makonda baba ni Mungu tu ndiye atakulipa kwa kusimamia haki.
Mungu Ambariki Lakini Kuna Mama mmoja Nesi alifukuzwa Kazi Dodoma baada yakushinda kazini akiwa anaumwa.
Yaani acha tu, halafu kuna mpuuzi anasimama anasema Mh. Makonda anadhalilisha watumishi kwa style hii kweli watumishi wanafanyia watu, haya huyu ni mwalimu Haya wale wanyonge je. Mh Rais una kazi kubwa sana. Naomba ukuu wa wilaya na mimi nikusaidie kazi wananchi wako wanateseka Sana.
asee huyu mama amepiga spana sawasawa, utulivu wa kutosha, mpangilio mzuri, lugha ya staha. Aloooohhh huyu teacher akifundisha hata uwe na kichwa kigumu vp unaelewa😂😂😂
Amesoma
@@tanzcanmediatv4473 mkuu kuna waliosoma lakin hata kujieleza tu ni kipengele.
Safii
RIP j
Huyu Mama ni Mwalimu sawia haswa
Mimi nakuombea sna Mhe Allah akulinde hakika unatutetea wanyonge🙏🏽🙏🏽
Kitu kizuri kuhusu Mh Mkuu wa Mkoa, ni kuwa umejirekebisha sana kwenye utatuzi wako wa Migogoro,
1) UMEANZA KUHESHIMU MAHAKAMA
2). UMEJIFUNZA KANUNI NA SHERIA MBALIMBALI NA UNAZIFUATA
3). HEKIMA NA MAARIFA YAMEONGEZEKA SANA
Nakupa maua Yako 🌺
Umenena vyema brother amebadilika sana anahekima ya juu Mungu amsaidie
Mh. Makonda natamani 2030 kama Mungu atakupa uhai uwe Rais wa JMT.
Mungu akubariki sana..sana
Uyu mada ni mtu smart sana, mama samia muone mpe kiti anajua
Mh. Paul Makonda upo vizuri sana. Mungu akusimamie.
Mama mwl hongera upo vizuri saruti kwako.miaka mingi kwako
Barikiwa Makonda
Hakuna mkamilifu Duniani
Binafsi nafurahishwa sanaa na kazi ya Mh Makonda, kazi ya kusimamia Haki ni kazi ngumu sanaa hapa Duniani.
Dhulma ni miongoni mwa vitu vinavyo fanya umaskini kuongezeka katika familia zetu.
Ukidhulumu haki ya mtu na ukaona ni sawa sawa mpaka mwisho wa maisha yako hapa Duniani basi uwe na hakika kua na kizazi chako kitabaki kwenye laana ile ile ulio acha umetenda Duniani.
Tujitafakari halafu tuchukue hatua, hakuna m'babee juu ya mgongo wa Ardhi.
Kama tunapenda vizazi vyetu kwa ujumla basi tuanze sisi wenyewe kua watenda na wapenda haki kwa wenzetu.
Mh Makonda kazi yake nzuri sanaa na ni ngumu sanaaa.
Lakini kama waifanya kwa dhati ya moyo wako Mungu anasimama na wewe daima.
Mwl Beatrice ni nondo kweli kweli,big up sana mh Makonda,watu wanadhulumiwa sana
Mama anajua kupangilia maneno big up to her
Safi Sana mwalim beatrice umejua kujieleza vizur
Nimsomi na amekuwa akifuatilia haki zake taratibu kiutaalamu
Mwalimu B!!!!!
Kama una mume, basi ana kifaa cha nguvu; akatoe sadaka ya shukrani ya kipekee kwa Mungu.
Aloo amepewa chombo cha nguvu.
Watoto wako wana heri mamy!!!
Umetulia sana hapo kichwani.
Na Mungu amekupenda akahakikisha ni marufuku kuonewa.
Akaleta mkombozi.
Makonda Mungu akukamate vizuri sana mtumishi❤❤
Mama Samia please please please😢
Usituondolee huyu tunu wetu Makonda mamy plz.
Wasiompenda wana chuki zao binafsi.
Ila kwetu mama hii ni zawadi umetupa watu wa Arusha.
Asante mama Samia Mungu akupe maisha mama❤
Mweshimiwa makonda mungu akulinde uwendelee kuwasaidia wanyonge
Makonda Mungu akulinde tusaidie
Mkuu wa Mkoa Arusha anafanya kazi nzuri sana japo ana maadui wengi
Mama nimekupenda na hongera kwa uvumilivu, Mungu akupe maisha marefu.
YAANI VIKAO VYA MAKONDA HATUITAJI HATA KULA JAMANI ❤❤❤❤
Kabisa unajikuta hata njaa huihisi kabisa
😅
@@christinewomanoffaith5479😅😅😅
Kabisaaaa yani😅😅😅
Akili za huyu mam angu mwalimu ni kubwa sana, nimesikiliza mpk nimelia, naomb Mungu akutunze RC MAKONDA, nimelia sana.
Wao hawatoweza kukupenda daima!!! lkn Mungu na sisi tukikupenda inatosha...!
PCM(Paulo Christian Makonda) wewe ni jembe na unasimamia haki ya wanyonge kweli kweliii. Nimesikiliza hii kesi kwa zaidi ya saa moja na chai sijanywa tangu asubuhi mpaka sasa. Nakutabilia kuwa kiongozi mkubwa sana mbeleni katika nchi yetu. Mwenyezi Mungu akusimamie.
Kumbe hizi kazi za serikali zina mitihani katika kutekeleza mambo ya haki. Alhamdulillah nawashukuru wote walioniwezesha kuto pata ajira serikalini maana nadhani ningekuwa Miongoni mwa wenye kubatilisha ya haki kuwa batili.
Mama samia alikuwa jinsi yakukerekebisha arusha ndio akamuona makonda anafaa kuwasaidia na kutoka kero za wanaarusha. Dada ni intellectual and intelligent enough she knows her rights according to employment status .
Kweli your president,she is brighter.
Mheshimiwa Makonda Mungu akutie nguvu sana. Najua yako mapungufu ya kibinadamu, tunakuombea Mungu akusaidie pale kwenye mapungufu na akuzidishie hekima kijana.
Makonda wewe MUNGU wangu azidi kukulinda nawatu wabaya.
Kwa kazi anayoifanya Makonda Nape na wengi waliokuwa wakimukashifu waone haya.
Exactly na kura hawapati tena arusha ,kazi yao kupinga maendeleo
Well done Makonda kazi yako njema❤❤Mungu akulindee na wabaya wote wasiopeda haki
Ukisikia wakati wa Mungu ni sahihi ndo hii 🙌
Tunakutumainia Baba 🙏🙏
Mimi nilifukuzwa kazi, nikashinda kesi, nikarudishwa kazini, nikaajiliwa upya, ili nikose NSSF zangu. Sasa hivi niko juu
ulinyimwa NSSF kwa nini fatilia ni haki yako
Majitu yamejaa laana spiritual of evils
Glory to God
This is what we want big up mwl na mkuu wa mkoa be blessed sana till the end of time
Rais wetu hongera,san bro
Hongera Sana mama mwalimu , nimependa utulivu wako na jinsi unavojieleza , wakati WA Bwana umekuja Kwa wew kupata stahiki zako zote, Mungu mbariki Raisi samia suluhu hassani Kwa kumteua Makonda na kumpeleka Arusha , Makonda ana nafasi yake pekee peponi ..., Anawafuta watu wengi machozi , anasimamia haki za wanyonge, Mungu aendelee kumlinda huyu Baba milele Daima. 💛💚💛💚 CCM oyee ..., Yani binadamu Kwa kuonea binadamu wenzao NI shida kweli , ningekuwa huyu mama ningeshakufa Kwa presha ILA Mungu ana makusudi yake Kwa kweli , HAO waliomtungia uongo wote ili asimamishwe KAZI, kushushwa daraja na kukosa stahiki zake Mungu atawalipa Tu 😫
Revolutionist dear madam May Almighty God protect you and make you healthy
Smarter madam deserve her money
Makonda wewe jamaa ukipata watu wa kukusuport tutafika Mbali kiukweli kama sii roho mbaya za watu basi tunaweza fika nchi ya ahadi, ALLAH awe nawewe aameen
Ameen 🙏🙏
Nimegundua Arusha kwanini watu wanauwana tatizo kubwa ni Mali na wadhurumiwa na walio kwenye mamlaka stahiki hawatendi Haki icho ndio chanzo cha mauaji
mungu aibariki tanzania kwa hikma na busara za viongezi ningeomba hata kenya munganishe iwe nchi moja ya mungano wa tanzania ili viongozi waige mifano bora kizungu mingi na wananchi maskini ndie anae umia
Huyu mh.atairudisha heshima ya CCM, ARUSHA, KONGOLE MH MAKONDA, Mungu amekuleta kwa makusudi Mkoa wa ARUSHA
Teacher umetisha
Kazi nzuri
Mungu akulinde
Maa Shaa Allah huyu mwl Beatrice nimempenda yupo makini sana na anajua kujieleza hongera kwako mama Allah azidi kumuinua Mh Makonda ❤
Huyu Mama yuko Smart Sana anastahili hata kupewa nafasi kubwa zaidi anaweza kuwa msaada kwa wengine. Wanambania kwa sababu ya uwezo wake kichwani......that's my take
Wanamna hii hawatakiwi KBS kwa sbb n vichwa, hata viongozi hawawapendi sbb n wakweli wanataka haki. Na maono ya kazi,
DADEKI huyu Mama anafaa kuwa Kiongozi Big up sana kwa huyu Mama
Mwl nimekukubali kwa ujasiri hongera sana
. Pole saana madam umepitia magumu....,......,,,
God bless you makonda
Revolutionist dear madam May Almighty God protect you and make you healthy.Mpatie Huyo kaka yetu Paulo huu mstari kutoka Kwenye biblia ;Yeremia 22:3
Makonda is very smart
Makonda chapa kazi baba Mungu akulinde sana
Aisee ww Makonda ni mtu na nusu,...hongera sana...Mungu akusimamie ktk kuwajibika kwa wananchi wako
Mkuu wa Mkoa ndugu na Kaka Yetu
MUNGU akulinde na Akubariki Unafanya kazi kubwa na Helima kubwa mno
Makonda ubarikiwe sana sana nakupenda kakaangu jamani
Ongera sana makonda, njoo kagera uondoe takataka kama zilizopo uko, Makonda oyeeeeeee
. Hongera sana RC sasa nakukubali.
2.Nakuomba kama mtenda haki "Msimamie mwl.Betrice apate haki yake ya elimu(master degree)ambayo hii ilikuwa ndoto yake lakini manyangwau wakamkatili.
3.Tutaomba urejesho mkuu(kiwanja kipo mtoni?)
4.Tunakuomba umuombe kazi kwa Mheshimiwa rais,Dr.mama yetu mpendwa Dr.Samia Suluhu Hassan.
Mungu akutangulie mkuu kwasababu mwl.Betrice anakitu kichwani chakueasaidia wa Tanzania kama ulivyo wwl.
Asante.
Makonda nakutabilia uraisi miaka ijayo mungu akupe uhai 🙏
Yesu akutunze ❤
Mwalimu chukuwa maua Yako nimekupenda bure
Uko sawa makonda
Mungu akubariki makonda
Makonda Mungu akulinde akupe hekima zaidi
Makonda level ya ukuu wa mikoa kashapita na uyu mama mwalimu namuona ana kalama ya uongozi zaidi ya ualimu uyo mwalimu mtazameni mpeni nafasi ya uongozi
MAWAZO YAKO SAWA NA YANGU MAMA SAMIA AMUANGALIE MAMA ANABUSARA NA UWEZO MKUBWA
Makonda ni level angalau za uwaziri mkuu
Yeees
Pole madam😢
Mama I applaud you- you are a roll model for TZ women!👏🏾👏🏾👏🏾🙏🏾✌🏾💯❤️
Aiseee, wewe mama nimekupenda sana, wewe ni mwalimu mzuri. Unajiamini, una uwezo wa kujieleza, hata ukimfundisha mwenye cognitive disability lazima apige hatua mbele
RC Makonda kwa hapo umenifurahisha. Keep it up. Uachane na kauli tata tenda haki. Basi.
Mamlaka za uteuzi vetting gani zaidi inahtajika, vichwa kama hivi sio vya kupoteza. Dah Hongera mhe. Makonda
Madam Beatrice knows her rights, she came prepared,justice for Mwalimu BEATRICE
Keep it up
She's knows her rights very well
dada yuko smart sana aisee
long live makondaaaa,you deserve more than that
Sawa Sana kama magufuli
Makonda hongera sana
Watupe na mrejesho wandishi wetu tujuee jee ayo maelekezo ya mkuu wa mkoa yanatekelezwaaa kwel au sias za camera
Hongera saana Makonda kwa kutetea haki
Safiii kbs
Majitu yamejaa laana 😭🤗
Hii ni wazi Tanzania mnyonge hana haki Tanzania ni nchi ya rushwa ubadhilifu unyonyaji kwa watumishi wa serekali. Mungu akujaalie Mh Makonda akulinde na akufanyie wepesi kwenye kazi
Mama kaonewa sana , kanyimwa haki ya kupata elimu ni dhambi kubwa sana aisee . umri alitakiwa apate masters umesimama na sijui kama kunamtu anayeweza kurudisha nyuma wakati . non of them can pay her time . sorry madamme teacher , I ❤ you😊
Makonda MUNGU akupe maisha marefu utusaidie sisi wanyonge. Tunaomba rais Samiha akuletee pia mara
Viongozi wengine muige kutatua migogoro ya wananchi kama makonda, mkuu wa mkoa nakupa heko Hongera sana na mungu akulinde
Pole nakazi mku wamkoa😊
Mheshimiwa Kwann!? Huyo mama usimchukue akae kwenye kitengo Cha kusolve matatizo ya wananchi atakusaidia sana,.
Hatoi chozi wala hatafuti huruma ni. Fact Tu anatoa
Mbona watu hupenda kudhulumu wengine bila huruma
Huyo kweli ni Mwalimu , maana yuko fasaha , ana uzoefu wa kutosha , anajiamin , hana woga wala papara , kiufupi ameweza sana 👐
Hekima na ufahamu,Mungu akulinde mtetezi wa wanyonge Mkuu wa Mkoa
Dah...aise😢
madam beatrice is very bright hadi raha
Sasa uyu ni mtumishi anayeweza kwenda ikulu JE mwananch wa kawaida inakuaje. Yaani uyu anabarua mpaka ya katibu kiongozi dar😢😢
Beatrice Mungu akulinde wakupe na ulinzi
Hat off
😮😮
Makonda ni mmoja kama Kuna mwingine ni photo copy. Well done 👍
Hayo madudu yafumuliwe nchi nzima watu wengi wanaumia. Watu wanapinga mpaka maelekezo ya mahakama.
Mwalimu uko vizuri sana akili mingi.
Watendaji wa serikali hii madudu matupu
Mhh, Beatrice yuko vizuri!!