MADUDU ya KUTISHA ALIYOIBUA MWALIMU BEATRICE YACHUKUA SAA 1 MAKONDA KUMALIZA MGOGORO WOTE....

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 май 2024
  • MADUDU ya KUTISHA ALIYOIBUA MWALIMU BEATRICE YACHUKUA SAA 1 MAKONDA KUMALIZA MGOGORO WOTE....
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 314

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  29 дней назад +23

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @eligiusmutabazi3804
    @eligiusmutabazi3804 29 дней назад +38

    Huyu mama ukiacha kuwa Ni msomi Ila Ni genius Sana aiseee anajua kujieleza,ana vielelezo vyote vya Madai yake Na Ni mtulivu Sana Hana papara kabisa yaani Hana mihemko Ila madini anayotoa kudai haki yake ndo wahusika wanabaki wanatetemeka Tu Kwa aibu...Makonda good work kaka mkubwa.

  • @user-ct7sw7ro3q
    @user-ct7sw7ro3q 29 дней назад +45

    Mwalimu wewe ulikuwa mahiri kazini kwako ndio maana vilaza hawajakupenda

    • @J_Pabloescobar0806
      @J_Pabloescobar0806 28 дней назад +1

      Kabisa mkuu
      Mwalimu asingekua na pesa nae ingekua shida ila kajiimarisha vizuri yani

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 18 дней назад

      Huyu mwalimu ana uwaredi mno Hali ya juu na ndio mana wanamchukia ​@@J_Pabloescobar0806

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 29 дней назад +25

    Watanzania wasiokuwa na sauti hudhulumiwa. Huyu ni mwalimu anaweza kujitetea. Watanzania wasiojiweza kujieleza hudhuluiwa na majambazi yanayoaminiwa na serikali. Kufutilia kasi ni kazi kubwa inayohitaji fedha. Watanzania wengi ni masikini sana. Makonda baba ni Mungu tu ndiye atakulipa kwa kusimamia haki.

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu 22 дня назад

      Mungu Ambariki Lakini Kuna Mama mmoja Nesi alifukuzwa Kazi Dodoma baada yakushinda kazini akiwa anaumwa.

    • @mgosimkome9242
      @mgosimkome9242 12 дней назад

      Yaani acha tu, halafu kuna mpuuzi anasimama anasema Mh. Makonda anadhalilisha watumishi kwa style hii kweli watumishi wanafanyia watu, haya huyu ni mwalimu Haya wale wanyonge je. Mh Rais una kazi kubwa sana. Naomba ukuu wa wilaya na mimi nikusaidie kazi wananchi wako wanateseka Sana.

  • @joseesiara9012
    @joseesiara9012 29 дней назад +72

    asee huyu mama amepiga spana sawasawa, utulivu wa kutosha, mpangilio mzuri, lugha ya staha. Aloooohhh huyu teacher akifundisha hata uwe na kichwa kigumu vp unaelewa😂😂😂

  • @mwanaidiabdalla5293
    @mwanaidiabdalla5293 29 дней назад +11

    Mimi nakuombea sna Mhe Allah akulinde hakika unatutetea wanyonge🙏🏽🙏🏽

  • @uebert9009
    @uebert9009 27 дней назад +12

    Kitu kizuri kuhusu Mh Mkuu wa Mkoa, ni kuwa umejirekebisha sana kwenye utatuzi wako wa Migogoro,
    1) UMEANZA KUHESHIMU MAHAKAMA
    2). UMEJIFUNZA KANUNI NA SHERIA MBALIMBALI NA UNAZIFUATA
    3). HEKIMA NA MAARIFA YAMEONGEZEKA SANA
    Nakupa maua Yako 🌺

    • @johnsonmwalongo2294
      @johnsonmwalongo2294 6 дней назад +1

      Umenena vyema brother amebadilika sana anahekima ya juu Mungu amsaidie

  • @annagustav6222
    @annagustav6222 24 дня назад +6

    Mh. Makonda natamani 2030 kama Mungu atakupa uhai uwe Rais wa JMT.
    Mungu akubariki sana..sana

  • @emmanuelreuben1863
    @emmanuelreuben1863 29 дней назад +12

    Uyu mada ni mtu smart sana, mama samia muone mpe kiti anajua

  • @user-ku4gf8dc4i
    @user-ku4gf8dc4i 28 дней назад +6

    Mh. Paul Makonda upo vizuri sana. Mungu akusimamie.

  • @rehemaphillingsonmlawa4206
    @rehemaphillingsonmlawa4206 28 дней назад +11

    Mama mwl hongera upo vizuri saruti kwako.miaka mingi kwako

  • @shaabanikabwe3437
    @shaabanikabwe3437 23 дня назад +3

    Hakuna mkamilifu Duniani
    Binafsi nafurahishwa sanaa na kazi ya Mh Makonda, kazi ya kusimamia Haki ni kazi ngumu sanaa hapa Duniani.
    Dhulma ni miongoni mwa vitu vinavyo fanya umaskini kuongezeka katika familia zetu.
    Ukidhulumu haki ya mtu na ukaona ni sawa sawa mpaka mwisho wa maisha yako hapa Duniani basi uwe na hakika kua na kizazi chako kitabaki kwenye laana ile ile ulio acha umetenda Duniani.
    Tujitafakari halafu tuchukue hatua, hakuna m'babee juu ya mgongo wa Ardhi.
    Kama tunapenda vizazi vyetu kwa ujumla basi tuanze sisi wenyewe kua watenda na wapenda haki kwa wenzetu.
    Mh Makonda kazi yake nzuri sanaa na ni ngumu sanaaa.
    Lakini kama waifanya kwa dhati ya moyo wako Mungu anasimama na wewe daima.

  • @eliuskivuyo6521
    @eliuskivuyo6521 6 дней назад +2

    Mwl Beatrice ni nondo kweli kweli,big up sana mh Makonda,watu wanadhulumiwa sana

  • @erickpique2437
    @erickpique2437 11 дней назад +2

    Mama anajua kupangilia maneno big up to her

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl 29 дней назад +11

    Safi Sana mwalim beatrice umejua kujieleza vizur

    • @baloz8974
      @baloz8974 29 дней назад +2

      Nimsomi na amekuwa akifuatilia haki zake taratibu kiutaalamu

  • @highonebalo8289
    @highonebalo8289 23 дня назад +4

    Mwalimu B!!!!!
    Kama una mume, basi ana kifaa cha nguvu; akatoe sadaka ya shukrani ya kipekee kwa Mungu.
    Aloo amepewa chombo cha nguvu.
    Watoto wako wana heri mamy!!!
    Umetulia sana hapo kichwani.
    Na Mungu amekupenda akahakikisha ni marufuku kuonewa.
    Akaleta mkombozi.
    Makonda Mungu akukamate vizuri sana mtumishi❤❤

    • @highonebalo8289
      @highonebalo8289 23 дня назад +1

      Mama Samia please please please😢
      Usituondolee huyu tunu wetu Makonda mamy plz.
      Wasiompenda wana chuki zao binafsi.
      Ila kwetu mama hii ni zawadi umetupa watu wa Arusha.
      Asante mama Samia Mungu akupe maisha mama❤

  • @user-kq1qx7qs5f
    @user-kq1qx7qs5f 7 дней назад +1

    Mweshimiwa makonda mungu akulinde uwendelee kuwasaidia wanyonge

  • @PrudenceMwakyoma-oz5ic
    @PrudenceMwakyoma-oz5ic 19 дней назад +3

    Makonda Mungu akulinde tusaidie

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 20 дней назад +2

    Mkuu wa Mkoa Arusha anafanya kazi nzuri sana japo ana maadui wengi

  • @JacquelineMahumbe
    @JacquelineMahumbe 10 дней назад +1

    Mama nimekupenda na hongera kwa uvumilivu, Mungu akupe maisha marefu.

  • @MenelusCzar
    @MenelusCzar 28 дней назад +9

    YAANI VIKAO VYA MAKONDA HATUITAJI HATA KULA JAMANI ❤❤❤❤

  • @wilper6318
    @wilper6318 12 дней назад +1

    Akili za huyu mam angu mwalimu ni kubwa sana, nimesikiliza mpk nimelia, naomb Mungu akutunze RC MAKONDA, nimelia sana.

  • @maryamabdallah3140
    @maryamabdallah3140 29 дней назад +11

    Wao hawatoweza kukupenda daima!!! lkn Mungu na sisi tukikupenda inatosha...!

  • @mbwitajohn8496
    @mbwitajohn8496 21 день назад +2

    PCM(Paulo Christian Makonda) wewe ni jembe na unasimamia haki ya wanyonge kweli kweliii. Nimesikiliza hii kesi kwa zaidi ya saa moja na chai sijanywa tangu asubuhi mpaka sasa. Nakutabilia kuwa kiongozi mkubwa sana mbeleni katika nchi yetu. Mwenyezi Mungu akusimamie.

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu 21 день назад +2

    Kumbe hizi kazi za serikali zina mitihani katika kutekeleza mambo ya haki. Alhamdulillah nawashukuru wote walioniwezesha kuto pata ajira serikalini maana nadhani ningekuwa Miongoni mwa wenye kubatilisha ya haki kuwa batili.

  • @baloz8974
    @baloz8974 29 дней назад +6

    Mama samia alikuwa jinsi yakukerekebisha arusha ndio akamuona makonda anafaa kuwasaidia na kutoka kero za wanaarusha. Dada ni intellectual and intelligent enough she knows her rights according to employment status .

  • @marymaula9231
    @marymaula9231 5 дней назад

    Mheshimiwa Makonda Mungu akutie nguvu sana. Najua yako mapungufu ya kibinadamu, tunakuombea Mungu akusaidie pale kwenye mapungufu na akuzidishie hekima kijana.

  • @ankoanko-zz7it
    @ankoanko-zz7it 29 дней назад +8

    Makonda wewe MUNGU wangu azidi kukulinda nawatu wabaya.

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 29 дней назад +8

    Kwa kazi anayoifanya Makonda Nape na wengi waliokuwa wakimukashifu waone haya.

    • @baloz8974
      @baloz8974 29 дней назад

      Exactly na kura hawapati tena arusha ,kazi yao kupinga maendeleo

  • @abdallahbashiru1152
    @abdallahbashiru1152 25 дней назад +1

    Well done Makonda kazi yako njema❤❤Mungu akulindee na wabaya wote wasiopeda haki

  • @DM.2200
    @DM.2200 16 дней назад +1

    Ukisikia wakati wa Mungu ni sahihi ndo hii 🙌

  • @jeannentibitigure5515
    @jeannentibitigure5515 День назад

    Tunakutumainia Baba 🙏🙏

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 29 дней назад +12

    Mimi nilifukuzwa kazi, nikashinda kesi, nikarudishwa kazini, nikaajiliwa upya, ili nikose NSSF zangu. Sasa hivi niko juu

  • @godfreymagessa786
    @godfreymagessa786 22 дня назад +1

    This is what we want big up mwl na mkuu wa mkoa be blessed sana till the end of time

  • @Christopherjohnkaira
    @Christopherjohnkaira 15 дней назад +1

    Rais wetu hongera,san bro

  • @zitongwang6278
    @zitongwang6278 23 дня назад

    Hongera Sana mama mwalimu , nimependa utulivu wako na jinsi unavojieleza , wakati WA Bwana umekuja Kwa wew kupata stahiki zako zote, Mungu mbariki Raisi samia suluhu hassani Kwa kumteua Makonda na kumpeleka Arusha , Makonda ana nafasi yake pekee peponi ..., Anawafuta watu wengi machozi , anasimamia haki za wanyonge, Mungu aendelee kumlinda huyu Baba milele Daima. 💛💚💛💚 CCM oyee ..., Yani binadamu Kwa kuonea binadamu wenzao NI shida kweli , ningekuwa huyu mama ningeshakufa Kwa presha ILA Mungu ana makusudi yake Kwa kweli , HAO waliomtungia uongo wote ili asimamishwe KAZI, kushushwa daraja na kukosa stahiki zake Mungu atawalipa Tu 😫

  • @kazaulachibali
    @kazaulachibali 22 дня назад

    Revolutionist dear madam May Almighty God protect you and make you healthy

  • @malcomketer8262
    @malcomketer8262 18 дней назад +1

    Smarter madam deserve her money

  • @alexbayingana7879
    @alexbayingana7879 29 дней назад +9

    Makonda wewe jamaa ukipata watu wa kukusuport tutafika Mbali kiukweli kama sii roho mbaya za watu basi tunaweza fika nchi ya ahadi, ALLAH awe nawewe aameen

  • @user-lo8ef9qn2r
    @user-lo8ef9qn2r 29 дней назад +6

    Nimegundua Arusha kwanini watu wanauwana tatizo kubwa ni Mali na wadhurumiwa na walio kwenye mamlaka stahiki hawatendi Haki icho ndio chanzo cha mauaji

  • @husseinbakromar5865
    @husseinbakromar5865 28 дней назад +1

    mungu aibariki tanzania kwa hikma na busara za viongezi ningeomba hata kenya munganishe iwe nchi moja ya mungano wa tanzania ili viongozi waige mifano bora kizungu mingi na wananchi maskini ndie anae umia

  • @JumaNada
    @JumaNada 25 дней назад +2

    Huyu mh.atairudisha heshima ya CCM, ARUSHA, KONGOLE MH MAKONDA, Mungu amekuleta kwa makusudi Mkoa wa ARUSHA

  • @barakaanthony159
    @barakaanthony159 25 дней назад +1

    Teacher umetisha

  • @iammedik3924
    @iammedik3924 29 дней назад

    Kazi nzuri

  • @hosseasimon3887
    @hosseasimon3887 25 дней назад

    Mungu akulinde

  • @user-xh7xf2ki3r
    @user-xh7xf2ki3r 25 дней назад

    Maa Shaa Allah huyu mwl Beatrice nimempenda yupo makini sana na anajua kujieleza hongera kwako mama Allah azidi kumuinua Mh Makonda ❤

  • @sebmalunde5945
    @sebmalunde5945 28 дней назад +5

    Huyu Mama yuko Smart Sana anastahili hata kupewa nafasi kubwa zaidi anaweza kuwa msaada kwa wengine. Wanambania kwa sababu ya uwezo wake kichwani......that's my take

    • @hamisijuma3276
      @hamisijuma3276 28 дней назад

      Wanamna hii hawatakiwi KBS kwa sbb n vichwa, hata viongozi hawawapendi sbb n wakweli wanataka haki. Na maono ya kazi,

    • @angellomarcel5677
      @angellomarcel5677 26 дней назад

      DADEKI huyu Mama anafaa kuwa Kiongozi Big up sana kwa huyu Mama

  • @teofridamlelwa6051
    @teofridamlelwa6051 22 дня назад

    Mwl nimekukubali kwa ujasiri hongera sana

  • @ashajumanne2441
    @ashajumanne2441 6 дней назад

    . Pole saana madam umepitia magumu....,......,,,

  • @MichaelMaro-hj7yo
    @MichaelMaro-hj7yo 11 дней назад +1

    God bless you makonda

  • @kazaulachibali
    @kazaulachibali 22 дня назад

    Revolutionist dear madam May Almighty God protect you and make you healthy.Mpatie Huyo kaka yetu Paulo huu mstari kutoka Kwenye biblia ;Yeremia 22:3

  • @wilbroddaffi66
    @wilbroddaffi66 28 дней назад +2

    Makonda is very smart

  • @Pina-ed3bn
    @Pina-ed3bn 26 дней назад

    Makonda chapa kazi baba Mungu akulinde sana

  • @MoshiAthumani-de4ed
    @MoshiAthumani-de4ed 14 дней назад

    Aisee ww Makonda ni mtu na nusu,...hongera sana...Mungu akusimamie ktk kuwajibika kwa wananchi wako

  • @jameskileo955
    @jameskileo955 29 дней назад +1

    Mkuu wa Mkoa ndugu na Kaka Yetu
    MUNGU akulinde na Akubariki Unafanya kazi kubwa na Helima kubwa mno

  • @jescaandrew8763
    @jescaandrew8763 26 дней назад +1

    Makonda ubarikiwe sana sana nakupenda kakaangu jamani

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 29 дней назад +1

    Ongera sana makonda, njoo kagera uondoe takataka kama zilizopo uko, Makonda oyeeeeeee

  • @apollohugo
    @apollohugo 18 дней назад

    . Hongera sana RC sasa nakukubali.
    2.Nakuomba kama mtenda haki "Msimamie mwl.Betrice apate haki yake ya elimu(master degree)ambayo hii ilikuwa ndoto yake lakini manyangwau wakamkatili.
    3.Tutaomba urejesho mkuu(kiwanja kipo mtoni?)
    4.Tunakuomba umuombe kazi kwa Mheshimiwa rais,Dr.mama yetu mpendwa Dr.Samia Suluhu Hassan.
    Mungu akutangulie mkuu kwasababu mwl.Betrice anakitu kichwani chakueasaidia wa Tanzania kama ulivyo wwl.
    Asante.

  • @user-tn7sw9cz7f
    @user-tn7sw9cz7f 24 дня назад +1

    Makonda nakutabilia uraisi miaka ijayo mungu akupe uhai 🙏

  • @evatimothy7382
    @evatimothy7382 24 дня назад +1

    Yesu akutunze ❤

  • @verombwambo3703
    @verombwambo3703 29 дней назад +5

    Mwalimu chukuwa maua Yako nimekupenda bure

  • @renatusmahombwe3093
    @renatusmahombwe3093 7 дней назад

    Uko sawa makonda

  • @PASCHALCHARLES-dc1yd
    @PASCHALCHARLES-dc1yd 15 дней назад

    Mungu akubariki makonda

  • @IsraeiMwankwasya
    @IsraeiMwankwasya 18 дней назад

    Makonda Mungu akulinde akupe hekima zaidi

  • @athumanimapande8394
    @athumanimapande8394 27 дней назад +4

    Makonda level ya ukuu wa mikoa kashapita na uyu mama mwalimu namuona ana kalama ya uongozi zaidi ya ualimu uyo mwalimu mtazameni mpeni nafasi ya uongozi

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 26 дней назад

      MAWAZO YAKO SAWA NA YANGU MAMA SAMIA AMUANGALIE MAMA ANABUSARA NA UWEZO MKUBWA

    • @jumamdoka7867
      @jumamdoka7867 16 дней назад

      Makonda ni level angalau za uwaziri mkuu

    • @Abdul-zx9vn
      @Abdul-zx9vn 6 дней назад

      Yeees

  • @vailethmollel5115
    @vailethmollel5115 20 дней назад

    Pole madam😢

  • @user-gp3cv9pk8u
    @user-gp3cv9pk8u 22 дня назад

    Mama I applaud you- you are a roll model for TZ women!👏🏾👏🏾👏🏾🙏🏾✌🏾💯❤️

  • @marymaula9231
    @marymaula9231 5 дней назад

    Aiseee, wewe mama nimekupenda sana, wewe ni mwalimu mzuri. Unajiamini, una uwezo wa kujieleza, hata ukimfundisha mwenye cognitive disability lazima apige hatua mbele

  • @kaundavyoseena6514
    @kaundavyoseena6514 27 дней назад

    RC Makonda kwa hapo umenifurahisha. Keep it up. Uachane na kauli tata tenda haki. Basi.

  • @sebmalunde5945
    @sebmalunde5945 28 дней назад +1

    Mamlaka za uteuzi vetting gani zaidi inahtajika, vichwa kama hivi sio vya kupoteza. Dah Hongera mhe. Makonda

  • @sarkodiejr254
    @sarkodiejr254 14 дней назад

    Madam Beatrice knows her rights, she came prepared,justice for Mwalimu BEATRICE

  • @iammedik3924
    @iammedik3924 29 дней назад +1

    Keep it up

    • @baloz8974
      @baloz8974 29 дней назад

      She's knows her rights very well

  • @denislazaro-hp1xm
    @denislazaro-hp1xm 25 дней назад

    dada yuko smart sana aisee

  • @MwitaMaloda-dh8gn
    @MwitaMaloda-dh8gn 17 дней назад

    long live makondaaaa,you deserve more than that

  • @skinnygypsy8629
    @skinnygypsy8629 6 часов назад

    Sawa Sana kama magufuli

  • @MbarakaMahsein
    @MbarakaMahsein 26 дней назад

    Makonda hongera sana

  • @antidiuskalugira6727
    @antidiuskalugira6727 12 дней назад +1

    Watupe na mrejesho wandishi wetu tujuee jee ayo maelekezo ya mkuu wa mkoa yanatekelezwaaa kwel au sias za camera

  • @carlosmatabaro9689
    @carlosmatabaro9689 21 день назад

    Hongera saana Makonda kwa kutetea haki

  • @abdykihiyo3359
    @abdykihiyo3359 25 дней назад

    Safiii kbs

  • @makoyelwango6048
    @makoyelwango6048 24 дня назад +1

    Majitu yamejaa laana 😭🤗

  • @tatuali8538
    @tatuali8538 28 дней назад

    Hii ni wazi Tanzania mnyonge hana haki Tanzania ni nchi ya rushwa ubadhilifu unyonyaji kwa watumishi wa serekali. Mungu akujaalie Mh Makonda akulinde na akufanyie wepesi kwenye kazi

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 23 дня назад +1

    Mama kaonewa sana , kanyimwa haki ya kupata elimu ni dhambi kubwa sana aisee . umri alitakiwa apate masters umesimama na sijui kama kunamtu anayeweza kurudisha nyuma wakati . non of them can pay her time . sorry madamme teacher , I ❤ you😊

  • @GwidoGomba
    @GwidoGomba 5 дней назад

    Makonda MUNGU akupe maisha marefu utusaidie sisi wanyonge. Tunaomba rais Samiha akuletee pia mara

  • @JackMwita-ve8dj
    @JackMwita-ve8dj 12 дней назад

    Viongozi wengine muige kutatua migogoro ya wananchi kama makonda, mkuu wa mkoa nakupa heko Hongera sana na mungu akulinde

  • @KonoradiPaskari
    @KonoradiPaskari 24 дня назад

    Pole nakazi mku wamkoa😊

  • @user-ex7bh1np4t
    @user-ex7bh1np4t 29 дней назад +3

    Mheshimiwa Kwann!? Huyo mama usimchukue akae kwenye kitengo Cha kusolve matatizo ya wananchi atakusaidia sana,.

    • @barbarasara4033
      @barbarasara4033 29 дней назад +3

      Hatoi chozi wala hatafuti huruma ni. Fact Tu anatoa

  • @Jayjas810
    @Jayjas810 День назад

    Mbona watu hupenda kudhulumu wengine bila huruma

  • @hamzasuleiman9605
    @hamzasuleiman9605 22 дня назад

    Huyo kweli ni Mwalimu , maana yuko fasaha , ana uzoefu wa kutosha , anajiamin , hana woga wala papara , kiufupi ameweza sana 👐

  • @gracesenzota6555
    @gracesenzota6555 29 дней назад +2

    Hekima na ufahamu,Mungu akulinde mtetezi wa wanyonge Mkuu wa Mkoa

  • @user-bn8kd3jg2m
    @user-bn8kd3jg2m 29 дней назад

    Dah...aise😢

  • @godfreymrosso2051
    @godfreymrosso2051 10 дней назад

    madam beatrice is very bright hadi raha

  • @inearclassictz1233
    @inearclassictz1233 10 дней назад

    Sasa uyu ni mtumishi anayeweza kwenda ikulu JE mwananch wa kawaida inakuaje. Yaani uyu anabarua mpaka ya katibu kiongozi dar😢😢

  • @user-mp4yt7ps5q
    @user-mp4yt7ps5q 21 день назад

    Beatrice Mungu akulinde wakupe na ulinzi

  • @gerrywin2194
    @gerrywin2194 24 дня назад

    Hat off

  • @AmedeusMbanda-gh4rj
    @AmedeusMbanda-gh4rj 20 дней назад

    😮😮

  • @saidihaibe2375
    @saidihaibe2375 29 дней назад +1

    Makonda ni mmoja kama Kuna mwingine ni photo copy. Well done 👍

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu 2 дня назад

    Hayo madudu yafumuliwe nchi nzima watu wengi wanaumia. Watu wanapinga mpaka maelekezo ya mahakama.

  • @Mapishinatibatv
    @Mapishinatibatv 26 дней назад

    Mwalimu uko vizuri sana akili mingi.

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k 4 дня назад

    Watendaji wa serikali hii madudu matupu

  • @user-up4zk1rs6j
    @user-up4zk1rs6j 18 дней назад

    Mhh, Beatrice yuko vizuri!!