KIMENUKA HUKO, KABURU AMSHTAKI MTUMISHI KWA MAKONDA ''HUWEZI KUONGEA KWA KURIPUKA,KUNA VIONGOZI WAKO
HTML-код
- Опубликовано: 17 май 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Kijana wangu Makonda unakazi ngumu sana. Tunakuombea Mwenyezi Mungu akulinde kwa Utumishi wako huu bora uliotukuka. Amlinde na kumtunza Mheshimiwa Raisi wetu aliyekuteua. Bila Mungu usingeweza na hutaweza bali kwa msaada wa Mungu unayemwamini. Ubarikiwe. AMINA.
Mzee baba umenyooka vizuri sana
WAFANYA BIASHALA MKOA WA ARUSHA UTAJILI UPO WAZI KWENU KUPITIA MKUU WA MKOA MAKONDA ANATAKA AKI KILA MFAYA BIASHALA AKUNA RONGORONGO ARUSHA UTAJILI HUYO NDUGU ATA WAFANYA BIASHALA NDOGO NDOGO MMEITOA HUONGOZI SUPER 👌 👍
Inabidi government iwe namfumo au system moja kwa sababu kuna wizi wengi.
Huyu mzee katisha sana
Mkurugenzi mwili mkubwa akili ya panzi apite hivi aje mtaani auze mchicha ajue Maisha yakoje huku duniani maana anacheza na.maisha ya duniani
Sasi sana mifimo yooye ya nch imeooza
Mwanaume kula hela ya mwanaume haiwezekani haiwezekani
Mkurugenzi kajambishwa😅😅
Yataisha hayo mwamba yupo hapo
Kikweli wafanya biashara wala siowabishi kulipa kodi lakin waonao kusanya ndio wanazila hicho ndicho kinakatisha tamaa kulipa kodi
Leo ndio kimenuka kabisa chambulo kamuumbua Mkurugenzi
Mimi bado naamini tunahitaji katiba mpya tuitoe ccm madarakani.
Kuna madudu ya kutosha ndani ya serikali ya ccm Kila Kona ya nchi hii
Katiba nzuri ukimpa mkurugensi huyu is nothing
Nchi imeooza
Very sad wanaharibu
Samia Hoyee Nani Kama Mama.
Mimi Huwa nawaambia watu madiwani Ndio tatizo, mama samia wape watanzania uchaguzi huru,.
Matatizo hayo ni Tanzania nzima,
Kweri Tatizo ni kubwa,
Hayo yanafanyika Arusha Kwa Wajanja je mikoa mwingine kutakuwaje. ????.
Huyu mfanya biashara hadi raha anachukia sana ufisadi