MCHUNGAJI MASHIMO AKINUKISHA OFISINI - BAADA ya KUHUKUMIWA KIFUNGO JELA -AMWITA TAPELI ALIYEMSHITAKI
HTML-код
- Опубликовано: 30 апр 2024
- MCHUNGAJI MASHIMO AKINUKISHA OFISINI - BAADA ya KUHUKUMIWA KIFUNGO JELA -AMWITA TAPELI ALIYEMSHITAKI
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Sauti ya zege mpelekeni huyo
Dada una matusi sana na inaoneka wew Dada ndyo mwiz kabsa
Leo nakupa hongera zako Gabriel chitanda yaani umemtuliza mpaka kapoa namaneno akayatoa maua yako nakupa kiroho safi
Mbona mnamuhukumu kuwa anahasira mnasema nabii gani ana hasira kwani , Mungu hamjui kuwa ana hasira ,hata watoto wake watakuwa nahasira, Yesu aliingia Hekaluni akawachapa wafanya biashara sio hasira hiyo, watanzamia baadhi yetu tunapenda sana kusemana vibaya, ilakama mzungu ndio mngemsifia nakumuona ndio bora au ndio mtumishi wa Mungu au shehe akiwa mwarabu ndio anaheshimika , au Padre akiwa mzungu ndio ana heshimia sio poa ,tujenge tabia yakuwasifia wakwetu , msibebe tu nabii ana hasira au mchungaji gani anahasira, hakuna asie na hasira , ila ninamna gani kaumizwa na kuweza kuitawala hasira yake, nahapo ameweza kuitawala hasira ndiomana hakuna aliye umizwa au kumwaga damu , kwani ninyi mnao penda kuhukumu mnamangapi mabaya mmeyafanya au mnafikiri Mungu hajui, wote tuna muhitaji mwenyezi Mungu huyo ndio muhukumu wa haki,
Mungu anaweza kumyumia MTU yeyote kuwa muwakilishi wake
Mhuuuu makubwa haya Mungu amlinde Makonda kila mwenye kumsemea MABAYA yamrudie mwenyewe
Hongera kwa ujasili mashimo
Kutumikia Mungu haiangalie elimu Mungu anainua kila amtakaye Si Elim Ukijivunia Elim kwakayangu wewe si mtumishi wa Mungu
Toa hiyo kola ya uch ungaji unaizalilisha huna uchungaji wo wote wala unabii wo wote
Anautumishi gni wa mungu acheni kutukuza upumbavu
Unatafutwa na jeshi la police 🚔 mbezi jisalimishe kwa kumzalilisha mtumishi
hahahhaha uko sawa humuona hasira hukaa vifuani mwa wapumbavu
Kwanini unakataa kuwa Mtumishi wa Mungu ?
Haondio kawaida yao,huwa wanatoa taarifa bila kuzihoji vizuri,pia bila kuxihakiki
Hadi hapo tuliosoma CUBA tumeshaelewa ukisoma 2Thethalonians3:10: Those who do not work can not to eat.
Huyu mtumishi gn wa MUNGU tapeli mkubwa mtajulikana tu
Hongera Rwanda,Rwanda huwez kuwakuta watumish wa ovyo Kama Hawa,kwanza huyu hata elimu Hana kabsa
Rwanda ndio kuna manabii wapumbavu kweli kweli
Unatafutwa
Aisee kweli hiyo jombaa?
Bongo kama US kila takataka ipo na iko huru..huko rwanda udikteta kila kitu wanakatazwa😅...nchi haina vaibu😅😅😂😂
Yaàn sipendagi kusikia akiongea
Glob mnacho fanya sio vizuri kabisa, mnaweza kusikiliza upende moja bila hata ku balance story
Mmmmh Dunia simama nishuke, kama vita imehamia kwa watumishi wa Mungu mmmh 😢😢
Sasa si uende kwa waziri wa Ardhi?
Mungu hamfichi mnafiki
Kwa matusi haya niliyo yasikia na clip aliyoitoa mashimo dada ni mvamizi
How did alindanganya?? Please explain
Muogopeni Allah enyi waja wa Allah, Hakuna nabii wala mtume zama Hizi mnakufuru.
Ww inakuuma nn?
allah ni nani hata watu wamuogope
tunapaswa kumwogopa Mungu aliye umba vyote na sio uyo allah wenu ndani ya Mungu tunaye Bwana wetu Yesu kristo
99 88😅
Wenae fala tunasikiliza mambo ya msingi wewe unaingiza udini
Mubarikiwa ndiye anaye pambana katika ruho nakweli siyo wewe unaye jipendekeza Kwa wezi kilasiku sasa yamekukuta ona sasa unavyopaniki nakola shingon
Huwezi kuendesha kesi kwa jaziba na pili punguza kupaniki kukakaa sehem miaka mingi haikupi ruhusa ya moja kwa moja kupamiliki kama huna uhalali napo
Nadhani nabii ni jina tu kama majina mengine, lakini habari ya nabii mkuu sjui manabii wa cheo! Hapa bongo ni kazi kumpata nabii! Nabii wa bwana wakweli huwa hapaniki kiivo
Nakupongeza mwandishi wa habari,unajua kazi
Mwandishi upo safi umebalance story
Mamamaaaa yangu Kwa hasira hii weeee weeeeee weeeeeee
Yan mtumishi unakuwa na jazba namna hii
Huyu mashimo alisema Mungu kamwonyesha Amuoe wema Sepetu.
Alafu kwann muwe ivi lkn globo😢 daah nani alijua kama nakuja mkaandaa camera?😅
Mwandishi hii habari imekuzidi kimo.
Sio nabii wa mungu huyo
Una UHAKIKA?
Ao wamama wanashinda kwa kuuza miili ili wapate haki
Nakubali mchungaji mubarikiwa siyo wewe unafagilia wezi Kila siku
na mm pia namkubali Mch. Mbarikiwa Mwakipesile, ana mafundisho mazur.
Kwakweri huyu ndo alimzihaki mchungaji mbarikiwa Leo naye kaenda jeraaaaa haha😂
Alichotenda vema asifiwe,habari za mbarikiwa hapa zimeingiaje ,daa kweli wachungaji wananguvu
Nabii mwizi wa aridhi Tanzania
Yani najaribu kuitafuta sauti halisi ya mashimo naikosa, akiongea zinatoka tatu mfululizo😊
Kkkkk eti 3
Kweli kabisaaaaa😢😢😢😢
Daaaaah bongo rahaaa sanaa😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Yaan ulivo na njaa upewe ml 20 ukatae??????🤣🤣🤣🤣
Huyu ndo nabii jaman dini izi et nabii
Nabii wa wakristo huyo 😂😂hakika wapo kwenye hasara
Kiukweli roman Catholic
Na uislam ni dini ambazo zitazidi kuchukua nafasi katika dunia.
Ila hawa wenzetu mmmmh napatapa mashaka sana.
Romankathoric na uislam ni masinagogi ya shetani ayo
Pole kaka mashimo msimamie mzee maan hana mtetezi
Tuwe rohoni ,dada huyo tapeli, ,go deeper in spirit,
shida wahuni wanajiita watumishi wa Mungu,ona hata lugha yake
Anataka kuliaaaaa haaaa na sisi tunajiskiagaje unavyo tuongeleaga vibaya Tim zetu 😂😅😅
Huyu jamaa anasauti nyingi kinoma😂😂😂😂😂😂
Kwakwel hapa sadaka zimeliwa bule
Mbarikiwa ndo mchungaji wa kwel huyu ni muhuni tu
na mm pia namkubali mch. Mbarikiwa Mwakipesile.
Kweli Wana Habari Wa Ovo Awajui Wajibu Wake Kitu Cha Msingi Kwanza Kuoji Kujua Ukweli Ndipo Habari Zitoke Sio Kuandika Habari Feki Mnachafua Watu
😂😂😂😂😂
Hawa watumishi hawa. Inatakiwa tujue ni Mungu gani wanamtumikia kwa kweli.
Dah!
Bonge ra jambazi ili😂😂
Kamuulize Mungu usije ukamkufuru Mungu kupitia watumishi wake
Huyo mwanamke flora anadharau sana!
Kwa maelezo hayo mpaka hapa mimi nikiwa kama hakimu wa kujitegemea nasema ndugu mashimo ni mvamizi wa eneo la watu kama ameuziwa basi ametapeliwa
Wakamtishia Kesi ya bunduki,hata sijui hata anaongea nini,haha hahaa
Mashimo ashachanganyikiwa huyo
Au anakutaka?
Hyu hna mungu ndani laki 3 TU inamchanganya wkt yeye ni mrushi ! Mchungaji wa taifa anadhulum na kesi mahakaman kisa ardhi
Kwa hyo Kaja Kakita na Camera zimetegeshwa.
Nimecheka sana yaan kabla hajapoa Gabriel anakandamiza swali😂😂😂😂
Hi chombo cha habari kimekula rushwa ameshindwa kumuhoji huyo mama kwann wakati kasoma kila kitu
Mpiga kelele kwenye mabasi 😂😂😂
hapo kuna jambo haliko sawa! au mashimo hajui kupanga vina
Media ethics lazima story/habari ibalance .sikiliza pande zote 2.vinginevyo unaleta taharuki.
Lana imemkuta mashimo kwa kwa kumdhihaki mchungaji mbarikiwa alipopata kesi malipo ni habahaba dunia
Jaman angalien sadaka mnapotoa mnampa nani
Tunampa Mungu kwan we unampaga nani
Kumbe sio Eneo la Mashimo wala huyo dada! Wote wanataka kulipiga? Wote wezi huyo pamoja na huyo🤣🤣🤣
Au kalapina
Waa Nafsi zilizo jeruhiwa mmm watu wanatembea na vidonda
Hata huyo Mashimo alikuwa anamsema Mch. Mbarkiwa bila hata kujali kutomuuliza Mch. Mbarikiwa ili ajue uchungu wa Mbarikiwa ni nini
😁😁😁 hahahaha yaani kwa akili ya haraka huyu mwaandishi akijita mchungaji lazima ukubali maana jamtuliza mashimo Hadi aka kaachini👋👋
😅😅jina limepoa sasa tunaliamsha kwa gear hii😂😂😂😂mjini hapa
mashimooo mashimooooooooooo
Hata hiyo General Power of Attorney, ndugu wa huyo Mzee washtuke mapema, la sivyo wateja Lia kilio cha mbwa mwezi.
Kanisa la uyu jamaa linapatikana wapi jamani
C uongeee vizuri mashimo mbona unakoroma
Mama tapeli uyo
Dada maneno yake yanaonekana ya uwongo
Aitwe Dr silaa hapo ukwel utajulikana ila mashimo simuamini
😂😂😂😂😂
Jerry slaa sio Dr
Yani binadamu tu wahajabu sana.Hatujui ya kwamba hasira zipo au la.Kuwa mtumish sio kuwa hautakumbwa na hasira uelewa tu ndo unaosumbua hapa.
Haki haitafutwi kwa ulegevu bali kwa kwa ukakavu wa akili lakini mkumbuke kuwa hata Mungu wetu anachukia na kwasababu iyo sisi tumeumbwa lwa mfano wake na ndiyo maana sisi kama wanadamu hata malaika hawana cha kufanya bali kututii sisi na kutulinda thidi ya maadui zetu.
Ovo msihukumu kwa sababu ya talanta yake
Mungu wetu atupe neema ya kumjua
Mwasha 😮
Eti haujawahi kufanya jinai na hautofanya jinai?! Wewe si uliwashawahi kumpiga mtu makofi hadharani? Kumpiga mtu siyo kosa la jinai?
MASHIMO SI NDIYO ALIFURAHIA KUFUNGWA KWA MBARIKIWA MWAKIPESILE, MAMBO YAMEGEUKA?? HII DUNIA HII, IACHE KAMA ILIVYO, MASHIMO USIFURAHIE MATESO YA MWINGINE ILIHALI UKIJUA HATA WEWE BADO UKO DUNIANI.
POLE SANA MCHUNGAJI MASHIMO.....HUYO DADA NI TAPELI MKUBWA....NA ANAWATUMIA BAADHI YA WATENDAJI WACHAFU WALA RUSHWA ARDHI KUPORA ARDHI ZA WATU....WEWE MAMA MCHAFU HUMUOGOPI MWENYEZI MUNGU MTUKUFU?
Kwa hiyo huyu mashimo ya vyoo ndio mkweli
Mashimo namuelewa vizuri sana achilia mbali tabia zake nyingine yuko sahihii sana
Mchungaji asiyekuwa na hekimaaa😂😂😂
Mkome kuwa mastaaa kwenye nchi Kijitwisha mizigo tu yakufahamika.Ndio mjue mtafatwa nakila mwandishi wahabari.Wenzenu WANAFANYA biashara nyie mnaabika tu
Huyu kijana alimwita mbarikiwa mwakipesile mpumbavu, leo naye analia duuuu! hii duniaa bwanaaaa iache tu!.
Uyo nabii wa bangi
Umehukumiwa kweli unakasirika nini na kes ipo mahakani
Nashauri hizo documents utoe kopi, original usitembee nazo, ni hatar sana. Original zinatolewa mahakaman au mahali maaalumu pale inapobidi
Eti nabii wa taifa !!!!!😮😮😮
Msiwe mnacomment kwa msio ya jua mna comment matusi wakati jamaa anatetea wazee wanaodhurumiwa
Mwizi huyu anawasaidia kitu Gani, hivi Serikali inaweza kutoa hati asiyemuwa mwenyewe??
MCHUNGAJI UBALIKIE POLE SANA
Hongera kijana!! Wewe ni mwana taaruma.
Hana akili huyu kichaaa. Anae vaa nguo Sikiliza hata Mongezi yake. Hajui hata kujitetea.
Mtafute Makonda au Silaa
Kosa la mashimo Ninini?
General Power of Attorney haitolewi kiholela holela. Hata ndugu yako huwezi mpa hiyo hivi hivi hadi amuelewe Kwelikweli. General Power of attorney ni Sawa na kukabidhi mtu faragha yako.
Hujui sheria wewe nyamaza.
Hapo pia anafanya kosa kusema mahakama kwa maamuzi yake
Mchungaji mwenye jazba
Baraza la ardhi na mahakama vitu viwili tofauti acha ubabai
Lakini mashimo yuko anaongea ukweli wenge hutapeliwa ardhi
Global mnatuboa vitu vya kipuuzi kama hivi sio vya kurushwa na media kubwa kama hii
Halafu manabii wengi Na wanaume Vijana tu Mbona sioni manabii wanawake vijana 😮
Kikubwa wamtafute Waziri wa Ardhi mwenye haki apewe haki yake