MCHUNGAJI MASHIMO AKINUKISHA OFISINI - BAADA ya KUHUKUMIWA KIFUNGO JELA -AMWITA TAPELI ALIYEMSHITAKI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 апр 2024
  • MCHUNGAJI MASHIMO AKINUKISHA OFISINI - BAADA ya KUHUKUMIWA KIFUNGO JELA -AMWITA TAPELI ALIYEMSHITAKI
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 328

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Месяц назад +6

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @kadaskarim5081
    @kadaskarim5081 Месяц назад +4

    Dada una matusi sana na inaoneka wew Dada ndyo mwiz kabsa

  • @user-lt7yx2ms7h
    @user-lt7yx2ms7h Месяц назад +7

    Leo nakupa hongera zako Gabriel chitanda yaani umemtuliza mpaka kapoa namaneno akayatoa maua yako nakupa kiroho safi

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv
    @DeogratiusAndrew-zi7zv 26 дней назад +1

    Mbona mnamuhukumu kuwa anahasira mnasema nabii gani ana hasira kwani , Mungu hamjui kuwa ana hasira ,hata watoto wake watakuwa nahasira, Yesu aliingia Hekaluni akawachapa wafanya biashara sio hasira hiyo, watanzamia baadhi yetu tunapenda sana kusemana vibaya, ilakama mzungu ndio mngemsifia nakumuona ndio bora au ndio mtumishi wa Mungu au shehe akiwa mwarabu ndio anaheshimika , au Padre akiwa mzungu ndio ana heshimia sio poa ,tujenge tabia yakuwasifia wakwetu , msibebe tu nabii ana hasira au mchungaji gani anahasira, hakuna asie na hasira , ila ninamna gani kaumizwa na kuweza kuitawala hasira yake, nahapo ameweza kuitawala hasira ndiomana hakuna aliye umizwa au kumwaga damu , kwani ninyi mnao penda kuhukumu mnamangapi mabaya mmeyafanya au mnafikiri Mungu hajui, wote tuna muhitaji mwenyezi Mungu huyo ndio muhukumu wa haki,

  • @user-sl7mi8vc9b
    @user-sl7mi8vc9b 10 дней назад

    Mungu anaweza kumyumia MTU yeyote kuwa muwakilishi wake

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Месяц назад +4

    Mhuuuu makubwa haya Mungu amlinde Makonda kila mwenye kumsemea MABAYA yamrudie mwenyewe

  • @user-gs2bz5xm8u
    @user-gs2bz5xm8u 9 дней назад

    Hongera kwa ujasili mashimo

  • @scolamusa1226
    @scolamusa1226 Месяц назад +4

    Kutumikia Mungu haiangalie elimu Mungu anainua kila amtakaye Si Elim Ukijivunia Elim kwakayangu wewe si mtumishi wa Mungu

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu Месяц назад +6

    Toa hiyo kola ya uch ungaji unaizalilisha huna uchungaji wo wote wala unabii wo wote

  • @daudymlauletv8489
    @daudymlauletv8489 Месяц назад +19

    Anautumishi gni wa mungu acheni kutukuza upumbavu

    • @rogerabdallah439
      @rogerabdallah439 Месяц назад

      Unatafutwa na jeshi la police 🚔 mbezi jisalimishe kwa kumzalilisha mtumishi

    • @jeanmusamba8448
      @jeanmusamba8448 Месяц назад

      hahahhaha uko sawa humuona hasira hukaa vifuani mwa wapumbavu

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA 27 дней назад

      Kwanini unakataa kuwa Mtumishi wa Mungu ?

  • @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly
    @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly 27 дней назад +1

    Haondio kawaida yao,huwa wanatoa taarifa bila kuzihoji vizuri,pia bila kuxihakiki

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob Месяц назад +3

    Hadi hapo tuliosoma CUBA tumeshaelewa ukisoma 2Thethalonians3:10: Those who do not work can not to eat.

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 Месяц назад +4

    Huyu mtumishi gn wa MUNGU tapeli mkubwa mtajulikana tu

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 Месяц назад +7

    Hongera Rwanda,Rwanda huwez kuwakuta watumish wa ovyo Kama Hawa,kwanza huyu hata elimu Hana kabsa

    • @EmmmaTembo
      @EmmmaTembo Месяц назад

      Rwanda ndio kuna manabii wapumbavu kweli kweli

    • @rogerabdallah439
      @rogerabdallah439 Месяц назад

      Unatafutwa

    • @abdulkareemchacha2625
      @abdulkareemchacha2625 Месяц назад

      Aisee kweli hiyo jombaa?

    • @bobwhite9252
      @bobwhite9252 Месяц назад

      Bongo kama US kila takataka ipo na iko huru..huko rwanda udikteta kila kitu wanakatazwa😅...nchi haina vaibu😅😅😂😂

    • @MeckitilidaTushabe-or9hu
      @MeckitilidaTushabe-or9hu Месяц назад

      Yaàn sipendagi kusikia akiongea

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 27 дней назад

    Glob mnacho fanya sio vizuri kabisa, mnaweza kusikiliza upende moja bila hata ku balance story

  • @BerthaKundi
    @BerthaKundi Месяц назад

    Mmmmh Dunia simama nishuke, kama vita imehamia kwa watumishi wa Mungu mmmh 😢😢

  • @stellajoseph9334
    @stellajoseph9334 Месяц назад +2

    Sasa si uende kwa waziri wa Ardhi?

  • @user-nz9eb4ud6y
    @user-nz9eb4ud6y Месяц назад

    Mungu hamfichi mnafiki

  • @anytime5685
    @anytime5685 12 дней назад

    Kwa matusi haya niliyo yasikia na clip aliyoitoa mashimo dada ni mvamizi

  • @steramwanakira7183
    @steramwanakira7183 Месяц назад

    How did alindanganya?? Please explain

  • @IsmailJuma-zb5ni
    @IsmailJuma-zb5ni Месяц назад +17

    Muogopeni Allah enyi waja wa Allah, Hakuna nabii wala mtume zama Hizi mnakufuru.

    • @GeofreyKalo-ot3we
      @GeofreyKalo-ot3we Месяц назад +3

      Ww inakuuma nn?

    • @amraniissa530
      @amraniissa530 Месяц назад +2

      allah ni nani hata watu wamuogope

    • @amraniissa530
      @amraniissa530 Месяц назад +2

      tunapaswa kumwogopa Mungu aliye umba vyote na sio uyo allah wenu ndani ya Mungu tunaye Bwana wetu Yesu kristo

    • @MbwanaRashidi-rf3oh
      @MbwanaRashidi-rf3oh Месяц назад

      99 88😅

    • @wilisonmikate1652
      @wilisonmikate1652 Месяц назад +1

      Wenae fala tunasikiliza mambo ya msingi wewe unaingiza udini

  • @user-iv6vp4ms3l
    @user-iv6vp4ms3l Месяц назад

    Mubarikiwa ndiye anaye pambana katika ruho nakweli siyo wewe unaye jipendekeza Kwa wezi kilasiku sasa yamekukuta ona sasa unavyopaniki nakola shingon

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 Месяц назад

    Huwezi kuendesha kesi kwa jaziba na pili punguza kupaniki kukakaa sehem miaka mingi haikupi ruhusa ya moja kwa moja kupamiliki kama huna uhalali napo

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 Месяц назад

    Nadhani nabii ni jina tu kama majina mengine, lakini habari ya nabii mkuu sjui manabii wa cheo! Hapa bongo ni kazi kumpata nabii! Nabii wa bwana wakweli huwa hapaniki kiivo

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 Месяц назад

    Nakupongeza mwandishi wa habari,unajua kazi

  • @hamzaabdallah8637
    @hamzaabdallah8637 15 дней назад

    Mwandishi upo safi umebalance story

  • @credychipungahelo496
    @credychipungahelo496 27 дней назад

    Mamamaaaa yangu Kwa hasira hii weeee weeeeee weeeeeee

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 26 дней назад +1

    Yan mtumishi unakuwa na jazba namna hii

  • @joslinchuwa1298
    @joslinchuwa1298 Месяц назад

    Huyu mashimo alisema Mungu kamwonyesha Amuoe wema Sepetu.

  • @MooKakwamba
    @MooKakwamba 27 дней назад

    Alafu kwann muwe ivi lkn globo😢 daah nani alijua kama nakuja mkaandaa camera?😅

  • @josephjohn2114
    @josephjohn2114 Месяц назад +1

    Mwandishi hii habari imekuzidi kimo.

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu Месяц назад +3

    Sio nabii wa mungu huyo

  • @HALIDMOHAMED-zs6xd
    @HALIDMOHAMED-zs6xd Месяц назад

    Ao wamama wanashinda kwa kuuza miili ili wapate haki

  • @user-iv6vp4ms3l
    @user-iv6vp4ms3l Месяц назад +3

    Nakubali mchungaji mubarikiwa siyo wewe unafagilia wezi Kila siku

    • @johnkaliwanje434
      @johnkaliwanje434 Месяц назад

      na mm pia namkubali Mch. Mbarikiwa Mwakipesile, ana mafundisho mazur.

    • @paschalfausitine7108
      @paschalfausitine7108 Месяц назад

      Kwakweri huyu ndo alimzihaki mchungaji mbarikiwa Leo naye kaenda jeraaaaa haha😂

    • @user-gs2bz5xm8u
      @user-gs2bz5xm8u 9 дней назад

      Alichotenda vema asifiwe,habari za mbarikiwa hapa zimeingiaje ,daa kweli wachungaji wananguvu

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Месяц назад +1

    Nabii mwizi wa aridhi Tanzania

  • @israeluronu9958
    @israeluronu9958 Месяц назад +6

    Yani najaribu kuitafuta sauti halisi ya mashimo naikosa, akiongea zinatoka tatu mfululizo😊

  • @irenekitomary7271
    @irenekitomary7271 10 дней назад

    Yaan ulivo na njaa upewe ml 20 ukatae??????🤣🤣🤣🤣

  • @user-gn8zs4qx2y
    @user-gn8zs4qx2y 27 дней назад +1

    Huyu ndo nabii jaman dini izi et nabii

    • @user-rw2mm1jk6o
      @user-rw2mm1jk6o 16 дней назад

      Nabii wa wakristo huyo 😂😂hakika wapo kwenye hasara

  • @dismasmusoma9478
    @dismasmusoma9478 Месяц назад +1

    Kiukweli roman Catholic
    Na uislam ni dini ambazo zitazidi kuchukua nafasi katika dunia.
    Ila hawa wenzetu mmmmh napatapa mashaka sana.

    • @user-qy7he6cl8w
      @user-qy7he6cl8w 27 дней назад

      Romankathoric na uislam ni masinagogi ya shetani ayo

  • @kadaskarim5081
    @kadaskarim5081 Месяц назад

    Pole kaka mashimo msimamie mzee maan hana mtetezi

  • @user-yk3yr2yt6o
    @user-yk3yr2yt6o Месяц назад

    Tuwe rohoni ,dada huyo tapeli, ,go deeper in spirit,

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba8448 Месяц назад

    shida wahuni wanajiita watumishi wa Mungu,ona hata lugha yake

  • @tinosimon595
    @tinosimon595 Месяц назад +1

    Anataka kuliaaaaa haaaa na sisi tunajiskiagaje unavyo tuongeleaga vibaya Tim zetu 😂😅😅

  • @nugwiziwe7577
    @nugwiziwe7577 Месяц назад

    Huyu jamaa anasauti nyingi kinoma😂😂😂😂😂😂

  • @NuruNyanja-kz1qr
    @NuruNyanja-kz1qr Месяц назад +2

    Kwakwel hapa sadaka zimeliwa bule

  • @VictorMassawe-hb9yi
    @VictorMassawe-hb9yi Месяц назад +2

    Mbarikiwa ndo mchungaji wa kwel huyu ni muhuni tu

    • @johnkaliwanje434
      @johnkaliwanje434 Месяц назад

      na mm pia namkubali mch. Mbarikiwa Mwakipesile.

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 26 дней назад

    Kweli Wana Habari Wa Ovo Awajui Wajibu Wake Kitu Cha Msingi Kwanza Kuoji Kujua Ukweli Ndipo Habari Zitoke Sio Kuandika Habari Feki Mnachafua Watu

  • @Mkrist
    @Mkrist Месяц назад +6

    😂😂😂😂😂
    Hawa watumishi hawa. Inatakiwa tujue ni Mungu gani wanamtumikia kwa kweli.
    Dah!

    • @user-ev7bp9yu5i
      @user-ev7bp9yu5i 27 дней назад

      Bonge ra jambazi ili😂😂

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA 27 дней назад

      Kamuulize Mungu usije ukamkufuru Mungu kupitia watumishi wake

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 Месяц назад

    Huyo mwanamke flora anadharau sana!

  • @saidymbagalla6622
    @saidymbagalla6622 Месяц назад

    Kwa maelezo hayo mpaka hapa mimi nikiwa kama hakimu wa kujitegemea nasema ndugu mashimo ni mvamizi wa eneo la watu kama ameuziwa basi ametapeliwa

  • @salehemimbi1895
    @salehemimbi1895 Месяц назад +1

    Wakamtishia Kesi ya bunduki,hata sijui hata anaongea nini,haha hahaa

  • @lucianagodson437
    @lucianagodson437 Месяц назад +3

    Mashimo ashachanganyikiwa huyo

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l Месяц назад

    Au anakutaka?

  • @user-fw8wm2xd8x
    @user-fw8wm2xd8x Месяц назад

    Hyu hna mungu ndani laki 3 TU inamchanganya wkt yeye ni mrushi ! Mchungaji wa taifa anadhulum na kesi mahakaman kisa ardhi

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 27 дней назад

    Kwa hyo Kaja Kakita na Camera zimetegeshwa.

  • @user-mt6nu5hs8q
    @user-mt6nu5hs8q Месяц назад

    Nimecheka sana yaan kabla hajapoa Gabriel anakandamiza swali😂😂😂😂

  • @abdullramadhanii626
    @abdullramadhanii626 Месяц назад

    Hi chombo cha habari kimekula rushwa ameshindwa kumuhoji huyo mama kwann wakati kasoma kila kitu

  • @kwilasacharles1747
    @kwilasacharles1747 Месяц назад +1

    Mpiga kelele kwenye mabasi 😂😂😂

  • @drjbmsige4098
    @drjbmsige4098 29 дней назад

    hapo kuna jambo haliko sawa! au mashimo hajui kupanga vina

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 Месяц назад

    Media ethics lazima story/habari ibalance .sikiliza pande zote 2.vinginevyo unaleta taharuki.

  • @AntoniaRyoba
    @AntoniaRyoba 13 дней назад

    Lana imemkuta mashimo kwa kwa kumdhihaki mchungaji mbarikiwa alipopata kesi malipo ni habahaba dunia

  • @leonardmwacha5151
    @leonardmwacha5151 Месяц назад +3

    Jaman angalien sadaka mnapotoa mnampa nani

  • @mbachoclassic7818
    @mbachoclassic7818 29 дней назад

    Kumbe sio Eneo la Mashimo wala huyo dada! Wote wanataka kulipiga? Wote wezi huyo pamoja na huyo🤣🤣🤣

  • @narohwings
    @narohwings 17 дней назад

    Au kalapina

  • @rerisamba
    @rerisamba Месяц назад

    Waa Nafsi zilizo jeruhiwa mmm watu wanatembea na vidonda

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 27 дней назад

    Hata huyo Mashimo alikuwa anamsema Mch. Mbarkiwa bila hata kujali kutomuuliza Mch. Mbarikiwa ili ajue uchungu wa Mbarikiwa ni nini

  • @abujumanne7570
    @abujumanne7570 Месяц назад

    😁😁😁 hahahaha yaani kwa akili ya haraka huyu mwaandishi akijita mchungaji lazima ukubali maana jamtuliza mashimo Hadi aka kaachini👋👋

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 Месяц назад

    😅😅jina limepoa sasa tunaliamsha kwa gear hii😂😂😂😂mjini hapa

  • @user-kc2zm6vh4v
    @user-kc2zm6vh4v Месяц назад

    mashimooo mashimooooooooooo

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob Месяц назад +1

    Hata hiyo General Power of Attorney, ndugu wa huyo Mzee washtuke mapema, la sivyo wateja Lia kilio cha mbwa mwezi.

  • @fediliaulomi4969
    @fediliaulomi4969 Месяц назад

    Kanisa la uyu jamaa linapatikana wapi jamani

  • @joslinchuwa1298
    @joslinchuwa1298 Месяц назад +2

    C uongeee vizuri mashimo mbona unakoroma

  • @NuruNyanja-kz1qr
    @NuruNyanja-kz1qr Месяц назад +2

    Aitwe Dr silaa hapo ukwel utajulikana ila mashimo simuamini

  • @cosmaslunyembeleka251
    @cosmaslunyembeleka251 28 дней назад

    Yani binadamu tu wahajabu sana.Hatujui ya kwamba hasira zipo au la.Kuwa mtumish sio kuwa hautakumbwa na hasira uelewa tu ndo unaosumbua hapa.
    Haki haitafutwi kwa ulegevu bali kwa kwa ukakavu wa akili lakini mkumbuke kuwa hata Mungu wetu anachukia na kwasababu iyo sisi tumeumbwa lwa mfano wake na ndiyo maana sisi kama wanadamu hata malaika hawana cha kufanya bali kututii sisi na kutulinda thidi ya maadui zetu.
    Ovo msihukumu kwa sababu ya talanta yake
    Mungu wetu atupe neema ya kumjua

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 18 дней назад

    Mwasha 😮

  • @mohamedmagongo9348
    @mohamedmagongo9348 25 дней назад

    Eti haujawahi kufanya jinai na hautofanya jinai?! Wewe si uliwashawahi kumpiga mtu makofi hadharani? Kumpiga mtu siyo kosa la jinai?

  • @Hapomwanzo
    @Hapomwanzo 27 дней назад +1

    MASHIMO SI NDIYO ALIFURAHIA KUFUNGWA KWA MBARIKIWA MWAKIPESILE, MAMBO YAMEGEUKA?? HII DUNIA HII, IACHE KAMA ILIVYO, MASHIMO USIFURAHIE MATESO YA MWINGINE ILIHALI UKIJUA HATA WEWE BADO UKO DUNIANI.

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Месяц назад

    POLE SANA MCHUNGAJI MASHIMO.....HUYO DADA NI TAPELI MKUBWA....NA ANAWATUMIA BAADHI YA WATENDAJI WACHAFU WALA RUSHWA ARDHI KUPORA ARDHI ZA WATU....WEWE MAMA MCHAFU HUMUOGOPI MWENYEZI MUNGU MTUKUFU?

    • @user-vv1te9fu8q
      @user-vv1te9fu8q Месяц назад

      Kwa hiyo huyu mashimo ya vyoo ndio mkweli

  • @allandavid752
    @allandavid752 Месяц назад

    Mashimo namuelewa vizuri sana achilia mbali tabia zake nyingine yuko sahihii sana

  • @GoodluckAmos
    @GoodluckAmos Месяц назад

    Mchungaji asiyekuwa na hekimaaa😂😂😂

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 10 дней назад

    Mkome kuwa mastaaa kwenye nchi Kijitwisha mizigo tu yakufahamika.Ndio mjue mtafatwa nakila mwandishi wahabari.Wenzenu WANAFANYA biashara nyie mnaabika tu

  • @Hapomwanzo
    @Hapomwanzo 27 дней назад

    Huyu kijana alimwita mbarikiwa mwakipesile mpumbavu, leo naye analia duuuu! hii duniaa bwanaaaa iache tu!.

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 25 дней назад +1

    Uyo nabii wa bangi

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Месяц назад

    Umehukumiwa kweli unakasirika nini na kes ipo mahakani

  • @alexandermanase8956
    @alexandermanase8956 Месяц назад

    Nashauri hizo documents utoe kopi, original usitembee nazo, ni hatar sana. Original zinatolewa mahakaman au mahali maaalumu pale inapobidi

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 25 дней назад

    Eti nabii wa taifa !!!!!😮😮😮

  • @SixLife-fi3pz
    @SixLife-fi3pz Месяц назад +1

    Msiwe mnacomment kwa msio ya jua mna comment matusi wakati jamaa anatetea wazee wanaodhurumiwa

    • @hamzaabdallah8637
      @hamzaabdallah8637 15 дней назад

      Mwizi huyu anawasaidia kitu Gani, hivi Serikali inaweza kutoa hati asiyemuwa mwenyewe??

  • @user-bg3id3vo3x
    @user-bg3id3vo3x Месяц назад

    MCHUNGAJI UBALIKIE POLE SANA

  • @allyshaban406
    @allyshaban406 Месяц назад

    Hongera kijana!! Wewe ni mwana taaruma.

  • @damsonmgalula
    @damsonmgalula Месяц назад

    Hana akili huyu kichaaa. Anae vaa nguo Sikiliza hata Mongezi yake. Hajui hata kujitetea.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 18 дней назад

    Mtafute Makonda au Silaa

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 Месяц назад

    Kosa la mashimo Ninini?

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob Месяц назад +1

    General Power of Attorney haitolewi kiholela holela. Hata ndugu yako huwezi mpa hiyo hivi hivi hadi amuelewe Kwelikweli. General Power of attorney ni Sawa na kukabidhi mtu faragha yako.

  • @samkoka3
    @samkoka3 Месяц назад

    Hapo pia anafanya kosa kusema mahakama kwa maamuzi yake

  • @ndorobocarworks-dx4pf
    @ndorobocarworks-dx4pf Месяц назад

    Mchungaji mwenye jazba

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q Месяц назад

    Baraza la ardhi na mahakama vitu viwili tofauti acha ubabai

  • @KenedyDesigner
    @KenedyDesigner Месяц назад

    Lakini mashimo yuko anaongea ukweli wenge hutapeliwa ardhi

  • @TahyaNassoro
    @TahyaNassoro 28 дней назад

    Global mnatuboa vitu vya kipuuzi kama hivi sio vya kurushwa na media kubwa kama hii

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 18 дней назад

    Halafu manabii wengi Na wanaume Vijana tu Mbona sioni manabii wanawake vijana 😮

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 27 дней назад

    Kikubwa wamtafute Waziri wa Ardhi mwenye haki apewe haki yake